TAJRIBA ADHIMU YA AL-ISTIGHFAR KATIKA KUPATA UTAJIRI MKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • TAJRIBA ADHIMU YA AL-ISTIGHFAR (الاستغفار) | KATIKA KUPATA UTAJIRI MKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
    Katika video hii tunaelezea Siri miongoni mwa siri za AL-ISTIGHFAR katika kupata utajiri mkubwa. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako ya kupata ukwasi.
    Maelezo yake:
    Surah: Nuh (71)
    Ayah: 10-14
    -----------------------------------------------------------------------------------------
    Utaratibu wake:
     Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
     Kariri Al-Istighfar kwa matamshi yoyote yalosahihi kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama Allah (SWT) anavyotufundisha ndani ya Qur’an akisema:
    فَقُلْتُ ٱسْتَغْفِرُوا۟ رَبَّكُمْ إِنَّهُۥ كَانَ غَفَّارًۭا. يُرْسِلِ ٱلسَّمَآءَ عَلَيْكُم مِّدْرَارًۭا. وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَٰلٍۢ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّـٰتٍۢ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَـٰرًۭا. مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًۭا. وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا.
    ------------------------------------------------------------------------------------------
    Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
    **********************************************************************

Комментарии • 172

  • @TatusuleimaniShauri
    @TatusuleimaniShauri 3 месяца назад +2

    Shehe Mimi kwanza nashukuru sana halafu ninashida Moja kubwa naomba msaada wako

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Nakushukuru sana kuwa mfuasi mkubwa wa channel yangu. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Naomba unielezee tatizo lako huenda Allah (SWT) Akatupa Tawfiq na tukaweza kulitatua.

    • @TatusuleimaniShauri
      @TatusuleimaniShauri 3 месяца назад +1

      Asante nashukuru nimekaribia naomba Dua zako maana nimekua mzito wa kufanya mambo yaheri

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      @@TatusuleimaniShauri Allah (SWT) Akufanyie wepesi katika mambo yako yote. Ameen 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @عبدالرحمن-ض9م
    @عبدالرحمن-ض9م 28 дней назад +1

    جزاك الله خير
    الله يحفظك
    Allah AKUPE mwisho mwema na akuruzuku kila kitu hapa duniani na kesho akhera insha Allah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  28 дней назад +1

      Ameen! Thumma Ameen! Thumma Ameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @husseinshaibu5239
    @husseinshaibu5239 4 месяца назад +6

    Jazakallahu kheir Al habib, Hili kama mtu hajafanya huweza kuona kama Masikhara lakini Allah kisha sema, ukifanya hivyi Allah atakupa kadhaa wa kadhaa n.k, Mie ni moja wa Watu ambao Allah alinifanyia mambo makubwa kabisa kwa Istighfar tu Sina Shaka na hilo.. Jenga Yaqini sasa kisha kaa chini utaona Maajabu yake..

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Barakallahu Feek ya Habiby. Nakubaliana nawe 100%. Maneno yako yanazidisha ladha katika mazungumzo haya. Kuwa na yaqeen ndio kufaulu. Allah (SWT) azidi kutupa mazuri duniani na akhera. Ameen! 👐

  • @zahramsangi3632
    @zahramsangi3632 4 месяца назад +3

    Maa Shaa Allwah…kwa faida hii uliyotupatia, Allwah akupe umri mrefu wenye manufaa hapa duniani na kesho akhera, na akuruzuku kwa kila unalo muomba bi-idhinilah In Shaa Allwah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Ameen ya Rabb! Insha Allah. Allah (SWT) atupe mazuri hapa duniani na kesho akhera. Ameen!

  • @SharifaA-y4t
    @SharifaA-y4t Месяц назад +1

    Masha Allah shukuran sana shehe mwenyezi mungu akulipe kira laheri

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Месяц назад +1

      Tabarakallah! Sote Insha Allah! Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q 4 месяца назад +4

    Naam shekhe wetu Allah akujaalie kher zaidi mm naamini sana kuruani inasir nyingisan kwaweny kuamini

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +2

      Bila Shaka. Shukran sana kwa maelezo na maoni yako. Allah (SWT) Akubariki. Ameen!

  • @user-oj1yp1tt1t
    @user-oj1yp1tt1t 4 месяца назад +4

    Shukran yaa sheikh Mwenyezi Mungu akuepushe vijico na hasidi 🙏🙏🙏🙏🇷🇼🇷🇼🇷🇼

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Ameen ya Rabbal 'Alameen. Sote Insh Allah Taala. 👐

  • @saidam.k213
    @saidam.k213 4 месяца назад +3

    MashaAllah ...Allah atufanye tuwe miongoni mwa wenye kumkumbuka na wenye kutubia kw wingi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Tabarakallah! Ameen ya Rabbal 'Alameen! 👐

  • @hadijaismail3619
    @hadijaismail3619 3 месяца назад +1

    Jazakallah heri,Allah akulipe heri duniani na akhera huna choyo na elimu yako

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 4 месяца назад +7

    shukran sana sheikh wetu

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Tabarakallahu. Barakallahu Feek! 🙏

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 4 месяца назад +3

    Shukran sheikh kwa ukumbusho
    Allah akuhifadhi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Ameen ya Rabb! Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @raidataty8502
    @raidataty8502 2 месяца назад +2

    Shukran and Ameen for the last dua you made . I went through the comments and some people talk trash here may Allah guide please sheikh don’t take it personal wasamehe kwaajili ya Allah.
    Allah azidi kukuhifadh
    To be clear: is saying istighfar “ استغفرالله…?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. I understand that and I always guided by this Ayah 199 of Surah Al-A'raf:
      خُذِ ٱلْعَفْوَ وَأْمُرْ بِٱلْعُرْفِ وَأَعْرِضْ عَنِ ٱلْجَـٰهِلِينَ ١٩٩
      Meaning: Be gracious, enjoin what is right, and turn away from those who act ignorantly. May Allah (SWT) Bless us abundantly. Ameen! 🤲🤲🤲

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 4 месяца назад +4

    Allahu akbar ❤❤❤

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Alhamdu Lillah! Shukran dadangu 🙏

  • @AshuraKhamis-qv3ld
    @AshuraKhamis-qv3ld 3 месяца назад +2

    Shukran shukran shukran shukran 😢😢😢

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Afwan! Afwan! Afwan Sana. Barakillahu Feek 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fauziamussa381
    @fauziamussa381 4 месяца назад +2

    Aa ww ni kweli kabisa, jazaka Llahu kheir from Msa, baraka Llahu fiq

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Ameen. Waiyyaak. Karibu sana Dada!

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 4 месяца назад +2

    ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH Kheri sana.

  • @saumsaum712
    @saumsaum712 4 месяца назад +2

    Shukran jazeelan

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Waiyyaak Ukhtiyal Azeezah! Barakillahu Feek.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад +3

    Mashallah ❤️ ❤️ allsh atujaalie tuwe ni miongoni mwao

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад

      Tabarakallahu! Ameen ya Rabbal 'Alameen. Shukran sana.

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n 3 месяца назад +1

    Aslm alkm ww.... Allah Kareem. Jazakallah kheir 🙏 Masha Allah!!!

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Allah Akramul Akrameen. Barakallahu Feek.

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 3 месяца назад +1

    Allahumma Ameen. Jazaak Allahul kheir

  • @fatmamafazy8999
    @fatmamafazy8999 4 месяца назад +2

    Mashaallah mafunzo mazuri sana. Tafadhali kidogo harakisha katika kueleza. Shukran

    • @NO1LIKES2FAIL
      @NO1LIKES2FAIL 4 месяца назад

      Mshkuru Allah umepata hio elimu bure kabisa hata kama anaelezea taratibu …

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 4 месяца назад +1

    Shukran sheikh ..dua ya kuondoa hasad tafadhali ukipata mda inshaaAllah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Afwan. Insha Allah, nitakutumia hiyo Dua. Shukran.

    • @anyeresa928
      @anyeresa928 3 месяца назад +1

      Ntashukuru Allah akuzidishie elm na kutuletea faida inshaaAllah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      @@anyeresa928 Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Insha Allah utasoma dua hii kila siku baada ya swala ya Subhi na Ishaa mara moja moja. Kwa uwezo wa Allah, Allah (SWT) atakuondolea na kukukinga hasadi ya aina yoyote. Na hii ndio Dua:
      بِسْمِ اللهِ أَرْقِيْ نَفْسِيْ مِنْ كُلِّ شَيْءٍ يُؤْذِيْنِيْ، وَمِنْ شَرِّ كُلِّ نَفْسٍ أَوْ عَيْنٍ حَاسِدٍ، بِسْمِ اللهِ أَرْقِيْ نَفْسِيْ اللهُ يَشْفِيْنِيْ، مَا شَاءَ اللهُ كَانَ، وَمَا لَمْ يَشَأْ لَمْ يَكُنْ، وَلَا حَوْلَ وَلَا قُوَّةَ إِلَّا بِاللِه، أَسْأَلُ اللهَ الْعَظِيْمَ رَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيْمِ أَنْ يَشْفِيَنِيْ وَيَشْفِيَ مَرْضَى الْـمُسْلِمِيْنَ .اللَّهُمَّ احْفَظْنِيْ يَا خَيْرَ حَافِظٍ مِنْ كُلِّ شَرٍّ، وَمِنْ كُلِّ حَسَدٍ وَعَيْنٍ، وَاجْعَلْنِيْ فِي ضَمَانِكَ وَحِرْزِكَ وَأَمَانِكَ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ. اللَّهُمَّ اصْرِفْ عَنِّي كُلَّ مَنْ أَرَادَ بِيْ شَرّاً، وَأَشْغِلْهُمْ فِي نُفُوْسِهِمْ، وَكُفَّ أَيْدِيْهِمْ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَعْلَمُ أَنَّهُ لَمْ يُصِبْنِيْ إِلَّا مَا كَتَبْتَهُ عَلَيَّ، وَإِنِّيْ لَا أَخَافُ أَحَداً مِنْ خَلْقِكَ مَا دُمْتَ أَنْتَ مَعِيْ، فَاللَّهُمَّ احْفَظْنِيْ وَاحْرُسْنِيْ. اللَّهُمَّ إِنِّيْ وَكَّلْتُكَ أَمْرِيْ، وَأَنْتَ حَسْبِيْ وَنِعْمَ الْوَكِيْلِ، اللَّهُمَّ أَخْرِجْ كُلَّ دَاءٍ أَصَابَ جَسَدِيْ، وَرَدِّ كَيْدَ كُلِّ عَيْنٍ نَظَرَتْ فِي رِزْقِيْ، وَاكْفِنِيْ شَرَّ خَلْقِكَ الْـحَاسِدِيْنَ. اللَّهُمَّ لَا تَجْعَلْ نَفْسِيْ حَاقِدَةً حَاسِدَةً، وَارْزُقْنِيْ الرِّضَا وَالْقَنَاعَةِ، وَلَا تَجْعَلْنِيْ أَمَدَّ بَصَرِيْ إِلَى غَيْرِيْ، وَرَضِّنِيْ بِمَا رَزَقَتَنِيْ يَا أَرْحَمَ الرَّاحِمِيْنَ. اللَّهُمَّ بَارِكْ لِي فِيْمَا رَزَقْتَنِيْ، وَاصْرِفْ عَنّي شَرَّ الْأَشْرَارِ، وَكَيْدَ الْفُجَّارِ، وَطَوَارِقَ اللَّيْلِ وَالنَّهَارِ. اللَّهُمَّ احْرُسْنِيْ بِعَيْنِكَ الَّتِي لَا تَنَامُ، وَاكْلَأْنِيْ بِمُلْكِكَ الَّذِيْ لَا يُضَامُ، وَاحْفَظْنٍيْ يَا حَيُّ يَا قَيُّوْمُ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِكُلِّ اسْمٍ هُوَ لَكَ أَنْ تَصْرِفَ عَنِّيْ كُلَّ عَيْنٍ، وَتُعَافِيْنِيْ مِنْ كُلِّ حَسَدٍ . وصلى الله على سيدنا محمد وعلى آله وسلم والحمد الله رب العالمين.

  • @nasraddinkadiir5115
    @nasraddinkadiir5115 3 месяца назад +1

    Wlh alhamdunillah ISTIGHFAR my change your life

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +3

      Masha Allah! May Allah (SWT) Give us Yaqeen about Qur'an so that we can apply in life 🤲🙏🙏🙏🙏🤲

  • @HassanAboud-gh5re
    @HassanAboud-gh5re 4 месяца назад +1

    Mashallh mungu akuzidishie kheri Inshallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Tabarakallah! Ameen! Sote ya Rabb! 👐

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 4 месяца назад +1

    Ameen thumaanin

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Ya Rabb! Ya Rabb! Ya Rabb! Qabul! Shukran.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 4 месяца назад +1

    Ma sha llah
    Shukran sheikh
    Allah akubariki

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Tabarakallah! Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @FIRDAUSAWADH
    @FIRDAUSAWADH 4 месяца назад

    Ameen yaraabil Alameen

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад

      Taqabbala Allah Minna wa minkum swalihal A'maal.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 4 месяца назад +2

    MashaAllah shukraan sheikh

  • @letuslearn7548
    @letuslearn7548 4 месяца назад +3

    اللهم صل علي محمد و علي آل محمد كما صليت علي إبراهيم و علي آل إبراهيم إنك حميد مجيد و بارك علي محمد و علي آل محمد كما باركت علي إبراهيم و علي آل إبراهيم إنك حميد مجيد بقدر عظمة الله و قدر جلال الله و كماله عدد الشفع والوتر وكلمات الله التامات الطيبات المباركات

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      آمين يا رب العالمين. بارك الله فيك وجزاك الله خير الجزاء.

  • @UmmuMunawarAliy
    @UmmuMunawarAliy 4 месяца назад +3

    Asalam alaikum waramtullah wabarakatuh. Ostaz jazakallahulghair

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Waiyyaak! Barakillah Feek! 👐🙏

  • @ZubedaSorsa
    @ZubedaSorsa 3 месяца назад +1

    Shukran jazza yako Kwa Allah sheikh

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 4 месяца назад +1

    Shukran d

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote. Ameen!

  • @HapsaHaji-bg5jk
    @HapsaHaji-bg5jk 4 месяца назад +1

    shukran

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад

      Afwan. May Allah (SWT) Bless you abundantly. Ameen.

  • @abdoulsissoko4855
    @abdoulsissoko4855 4 месяца назад +2

    Jazak'Allahu Khairan

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад

      Afwan. Barakallahu Feek ya Akhylkareem!

  • @aminaalidini1705
    @aminaalidini1705 4 месяца назад +2

    Mashaa Allah, shukran sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +2

      Tabarakallahu. Shukran Dadangu! 🙏

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 4 месяца назад +1

    Swadkta wallahi shukrani

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Barakillahu Feek ya Ukhtyal Azeezah!

  • @fauziamussa381
    @fauziamussa381 4 месяца назад +1

    Aa ww ni kweli hta mimi istighfr na S. A nnby iminipeleka umra Alhamduli Llah jazaka Llahu kheir

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Masha Allah! Tabarakallah! Allah (SWT) Atuafiqie kheri zote. Barakillahu Feek!

    • @herryhabibu9258
      @herryhabibu9258 4 месяца назад +1

      Ameen

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      @@herryhabibu9258 Ya Rabbal 'Alameen. Shukran.

  • @xhilingiibra3571
    @xhilingiibra3571 2 месяца назад +1

    Mashaallah

  • @Dafetty
    @Dafetty 3 месяца назад +1

    Shukran sana sheikh

  • @user-js2gt2bf6n
    @user-js2gt2bf6n 3 месяца назад +1

    Aminaana

  • @user-tw8qr3ns6r
    @user-tw8qr3ns6r 4 месяца назад +1

    استغفر الله العظيم

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o 3 месяца назад +1

    Shukran jazaqa Allah khayra

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +2

      Waiyyaak. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🙏

    • @user-qv8uo3bc6o
      @user-qv8uo3bc6o 3 месяца назад +1

      @@mohamedalidini Aamin yarabbi laalamiin

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      @@user-qv8uo3bc6o Ya Rabb! Barakillahu Feek. 🤲🙏🙏🙏

    • @user-qv8uo3bc6o
      @user-qv8uo3bc6o 3 месяца назад

      @@mohamedalidini Aamin yarabbi laalamiin kwasote pia

  • @bisharmohamed2275
    @bisharmohamed2275 3 месяца назад +1

    God bless you

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Ameen. All of us. Shukran 🤲🙏

  • @AsnatyMshamu
    @AsnatyMshamu 2 месяца назад +1

    Allah akuzidishie,nimekuelewa mno kama unagroup wattsap naomba kuingizwa ili nipate faida zaidi inshaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! La sina group. Insha Allah, nitaanzisha. Shukran! 🙏🤲

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 4 месяца назад +1

    Amiin yaarabi

  • @AshuraKhamis-qv3ld
    @AshuraKhamis-qv3ld 3 месяца назад +1

    Masha Allah tabarakallah ❤️🫰🏾

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Tabarakallah. Barakillahu Feek 🙏🙏🙏

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 4 месяца назад +1

    MashaAllah shukran ngoja ni subscribe nizid kupata faida

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Tabarakallah. Bila shaka! Faida utazipata insha Allah. Karibu sana dadangu mpendwa.🙏

  • @MayiNtunzwenimana
    @MayiNtunzwenimana 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад

      Shukran Sana 🤲🤲🤲🤲🙏🙏🙏🙏🙏

  • @awenam-of7te
    @awenam-of7te Месяц назад +1

    Hata uislam kwa rehma za Allaah ulisimama kwa upanga nafsi na mali

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  Месяц назад +1

      Kheiran Insha Allah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 4 месяца назад +1

    Hio ALSTIGHFAAR ni dua upi ama unaisoma vp,,,,mwenye kuifaham namba anijuze inshaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Assalam Alaikum Warahmatullah Wabarakatuh. Shukran kwa swali lako. Kinachohitajika kufanya ni kufuata yafuatayo:
      Utaratibu wake:
       Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
       Kariri Al-Istighfar kwa matamshi yoyote yalosahihi kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama Allah (SWT) anavyotufundisha ndani ya Qur’an.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 месяца назад +4

    The miss understood religion

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +2

      Allah Akbar! Allah (SWT) is Great! Kindly. See my comments below 👇. Barakallahu Feek ya Habiby!

    • @user-oj1yp1tt1t
      @user-oj1yp1tt1t 4 месяца назад +1

      Alhamdulillah sheikh nayapenda mawaidha yako na I ivi kwa Sasa naanza kuyaona mabadiliko kwa duaa hiz na adhkar namuomba mungu mwingi wa Rehema akujalie afia nzuri na mafanikio mazuri fii dunia wal akhera 🙏🇷🇼mashallah tabaraka Allah 🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      @@user-oj1yp1tt1t Ameen ya Rabbal 'Alameen. Sote Insha Allah Taala. Shukran.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      @@user-oj1yp1tt1t Ameen! Ameen! Thumma Ameen! Barakillahu Feek!

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 месяца назад +6

    Quran haikuja kuwatafutia watu utajiri hebu ifike wakati hii dini tuwaachie wanaojua hii dini watufundishe haya ukishajuwa tajiri ndio inakuwa nini?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +28

      Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Kwanza nakushukuru kwa maoni yako na tunayaheshimu sana. Ila ni kwamba maneno yako yatufahamisha kiwango chako cha elimu. Nadhani ni busara kubwa kutorevusha ujumbe wangu kwako. Kwa ufupi Qur'an imeletwa kwa manufaa ya wanadamu. Nawe una khiyari ya kunufaika au la. Usiwe mbishi kwa mambo yalobainishwa wazi ndani ya Qur'an na wanavyuoni wakubwa wakayathibitisha na kunufaika. Qur'an inatutaka tujue, tuizingatie na kufwata. Na hizo ayah ziko wazi. Allah (SWT) ni mjuzi wa yote! Shukran sana Kakangu na nakupenda kwa ajili ya Allah (SWT).

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 4 месяца назад +12

      Acha chuki kaka hiy ni sifa ya hasid Allah akulind my lecturer

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +3

      @@FayeezAlbahassaney Ameen ya Rabb. Shukran Habib!

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 4 месяца назад +8

      Angaliya kaka ktk surat Nuh aya ya 10 -12 inaelz waz waz inasema aya 10 “ Nikisema ombeni msamaha kwa mola wenu mlezi,hakika yeye ni mwingi wa kusamehe. Aya 11 “ Atakuletea mvua inyeshe mfululizo. Yan kwa man ya kwamba mvua iwe rutuba ktk ardh tuwez kupat mazao ambay sisi ni chakula kwet. Aya ya 12 Atakupeni mali mali, na wana (watoto) na atakupeni mabustani na atakufanyieni mit na pia nakuongzy aya ya 13 Mna nini hamuweki heshima ya M/mung? Pmj na Aya ya 14 Na hali yeye kakumbeni darja baada ya darja

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 4 месяца назад +3

      @@mohamedalidini Allahumma amin Yarabby:InshaAllah my lecturer

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 4 месяца назад +2

    Shukran ya sheikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Waiyyaak. Allah (SWT) atupe kheri zote. Ameen! 👐