TAJRIBA ADHIMU YA JINA TUKUFU LA ALLAH KATIKA KUKUPA MAFANIKIO MAKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • TAJRIBA ADHIMU YA JINA TUKUFU LA ALLAH KATIKA KUKUPA MAFANIKIO MAKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
    Katika video hii tunaelezea Siri miongoni mwa siri za JINA TUKUFU LA ALLAH katika kukupa mafanikio mkubwa hapa duniani na akhera. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako ya kupata mafanikio makubwa uloyakusudia.
    Maelezo yake:
    Surah: Al-A’araf (7)
    Ayah: 180
    -----------------------------------------------------------------------------------------
    Utaratibu wake:
     Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
     Swali Rakaa mbili za haja.
     Omba haja zako zote kupitia kwa Jina Tukufu la Allah (SWT) kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama alivyobainisha Rasulullah kwa dua hizi:
    اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.
    ------------------------------------------------------------------------------------------
    Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
    **********************************************************************

Комментарии • 160

  • @AliNondo
    @AliNondo 3 месяца назад +5

    Assalam alayku warahmatullah, namshuru Allah sw na kushukuru na wewe shekhe wangu kwa darsa yako naona kama ni miujiza Allah kaniletea.Sheke wangu ileshida niliyo nayo ya mume wangu kuwa na gugu na kiburi sasa nimeanza kuona mambo mazuri kutoka kwake Allahuakbar. Nimeifanya juzi tu usiku wa kuakia ijumaa imeanza kuleta majibu shekhe siku ya pili tu mahaba motomoto. Mashaallah mashaallah mashaallah. Sasa na weza kuwa na amani ya nafsi shekhe shukran sitaacha kufuatia darsa zako.Allah akulipe kheri❤

    • @AliNondo
      @AliNondo 3 месяца назад +1

      Shekhe nasema ukweli wangu mimi nilikuwa nimtu wakulia tu kila siku nilikua nateseka zidi yake kwani kaoa mkemwengine na kaanza kunidharau nikawa silolote kwake akilala kwa mwenzangu akija huku anakua mkali hadisura anachenji, nilikua nikiumia kwa kweli. Ila baada kufuatilia darsa zako nimeanza kuona mafanikio mazuri. Allah akulipe kila lakheri mungu akupe maisha marefu.

    • @AliNondo
      @AliNondo 3 месяца назад +1

      Malibu yamekuja ndani ya siku 1 tu baada kuisoma hii dua

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Alhamdu Lillah! Hiyo ni Tawfiq ya Allah (SWT) na Uwezo wake. Nami namshukuru Allah (SWT) kwa kheri zote na muomba zaidi anipe uwezo na Tawfiq za kuwafaidisha ummah. Ameen! Shukran! 🙏🤲🤲🤲

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      @@AliNondo Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      @@AliNondo Alhamdu Liillah! Thumma Alhamdu Liillah! Thumma Alhamdu Liillah! Shukran! 🤲🤲🤲🤲🙏

  • @HasnaHasina-v1z
    @HasnaHasina-v1z 3 месяца назад +4

    Maanshallah shekhe nakuombeya kilalakheri mungu akuhifadhi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Tabarakallah! Allah (SWT) Akupe kheri zote Dadangu mpendwa, Hasna Hasina. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @SoomaSoma-t8x
    @SoomaSoma-t8x 4 месяца назад +3

    Mashall alhamdulillah jazakallah heri mungu akuweke uweze kutuelimisha zaidi Ameen

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +2

      Tabarakallah. Sote Ya Rabb. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @HabsaOmar-k7u
    @HabsaOmar-k7u 4 месяца назад +3

    Allahumma inniy A's aluka bianniy Ash hadu annaka anta allah la _ilaha annta al _ahad al_ aswamad alladhiy lam yalid walam yulad walam yakullahu kufuwan_ahad 🤲

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +2

      Masha Allah! Insha Allah utawasaidia wengi wazioweza kuisoma dua kwa Kiarabu. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🙏

  • @meowzna
    @meowzna 18 дней назад +1

    S.A.W🙏

  • @faudhiakaserabantu8928
    @faudhiakaserabantu8928 2 месяца назад +1

    Mashallah Mashallah Allah akupe umri mrefuu wenye manfaa
    Shukran

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Tabarakallah! Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 2 месяца назад +2

    Maan allah shekhee❤❤❤❤

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Tabarakallah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @meowzna
    @meowzna 18 дней назад

    Jazakallahu Kheir🙏

  • @AminaMudy-su5tz
    @AminaMudy-su5tz 5 месяцев назад +3

    Allah akulipe kila lakheri akupe hitaji lamoyo wako hakika nakupenda kwaajili ya Allah

  • @arafatabdulnasaer9354
    @arafatabdulnasaer9354 4 месяца назад +2

    Alhamdulillah Rabir Allah miin, Shekhe wetu.
    Akulipe yaliyo mema.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Masha Allah. Ameen Ya Rabbal 'Aalameen. Ameen sote Ya Rabb! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @AesherWendo-pe1ol
    @AesherWendo-pe1ol 3 месяца назад +2

    Shukran JazakaAllahu kheir,

  • @aminamohammed7055
    @aminamohammed7055 2 месяца назад +2

    amen
    inshaallah😢😢😢

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Tabarakallah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @AshuraKhamis-qv3ld
    @AshuraKhamis-qv3ld 4 месяца назад +3

    Masha Allah tabarakallah ❤️ Allah akulipe khery

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Ameen ya Rabb! Sote Insha Allah. Barakillahu Feek! 🤲🙏

  • @YusraHamadi
    @YusraHamadi 4 месяца назад +2

    Asalam alaykum warahma2lahi wabaraka2 sheikh naomba hiyo du'aa 🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Dua ndio hii:
      اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.

  • @bakarimwaguluwe-yh2dn
    @bakarimwaguluwe-yh2dn 2 месяца назад +1

    InshaAllah

  • @LuuljilalBarre
    @LuuljilalBarre 4 месяца назад +2

    Maa Shaa Allah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Tabarakallahu. Shukran! 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙏

  • @fatmamaulid2948
    @fatmamaulid2948 3 месяца назад +1

    Mashaallaah wajazaka llahul kheir aammeenn shukran sana Allahaah akubarikie akupe umri mrefu siha njema Uzidi kutujuza aammeenn Sheikh Shukran ❤

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Tabarakallah! Ameen Ya Rabbal 'Alameen. Sote Insha Allah. Shukran.

  • @HauaAliSaide
    @HauaAliSaide 5 месяцев назад +3

    MashaAllah shekik mimi nipo Mozambique lakini sijuwi kusoma ndio najitahidi mimi nataka hiyo dua nimuombe Allah nijuwe kusoma Qur'ane na akuhifadhi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +3

      Tabarakallahu. Namuomba Allah (SWT) Akuafiqie uisome Qur'an, uifahamu na kuihifadhi. Ameen. Shukran sana.

    • @HauaAliSaide
      @HauaAliSaide 5 месяцев назад

      @@mohamedalidini ameen ya rabb shukran sana ikiwezekana naomba namba Yako ya WatsApp sheik

    • @nuruabeid9934
      @nuruabeid9934 5 месяцев назад +2

      Mashallah Allah akujaalie kila la kheir

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +2

      @@nuruabeid9934 Tabarakallahu. Sote, ya Rabb 🤲

  • @xhilingiibra3571
    @xhilingiibra3571 3 месяца назад +1

    Mashaallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Tabarakallah! Shukran! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @rizikirashid1199
    @rizikirashid1199 4 месяца назад +2

    MashaALLAH Shukran jazakaLLAH shekh uweukituandikia hizo dua kwa kiswshili wengine hatujui kiarabu

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Tabarakallah! Insha Allah. Shukran sana kwa maoni yako. Barakillahu Feek.🤲

  • @faridakhamis5862
    @faridakhamis5862 4 месяца назад +2

    Jazaka llahu kheri

  • @Shakila-t3c
    @Shakila-t3c 4 месяца назад +2

    Aslm alkm ww.... Masha Allah!! Allah akupe mazuri katika Masha yako. Masha Allah.

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Ameen. Sote Insha Allah Taala 🤲🙏

  • @FalahiIddy
    @FalahiIddy 3 месяца назад +1

    Jazakumllahu khayra

  • @salimawishenga7588
    @salimawishenga7588 4 месяца назад +2

    Barakallahu fiyk yaa Shaikh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +2

      Waiyyaak. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen 🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @aminamohammed7055
    @aminamohammed7055 2 месяца назад

    Mashallah

  • @Asia-m7n
    @Asia-m7n 4 месяца назад +2

    Masha Allah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +1

      Tabarakalla. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen. 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 5 месяцев назад +2

    Allah akubarik saan sheikh wetu

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Ameen. Insha Allah sote. Ya Rabb! Barakallahu feek!🙏

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw 5 месяцев назад +2

    Barakah ALLAHU fiiqum hbbi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Waiyyaakum ya Habibty. Shukran sana.

  • @sangokipozi4611
    @sangokipozi4611 4 месяца назад +2

    Allahu akbar!

  • @broumaiyyah8018
    @broumaiyyah8018 5 месяцев назад +2

    Barakallahu fiikii ya akhui

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Waiyyaak ya Habiby! Ikramakallahu! Ameen.👐

  • @omarjr1791
    @omarjr1791 5 месяцев назад +2

    Mashaallah mwalimu wetu kwa darsa

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Tabarakallah. Barakallahu Feek Habiby!

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 5 месяцев назад +2

    Alhamdulillah
    Allah akulipe badala Sheikh🙏🙏🙏🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Ameen ya Rabb! Sote Insha Allah. Barakallahu Feek! 🙏

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 3 месяца назад +1

      @@mohamedalidini 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +2

      @@muddymuzungu4357 Afwan Sana!

  • @mohammedgulam9274
    @mohammedgulam9274 5 месяцев назад +3

    Sheikh naomba dua mungu anifungulia kila jambo
    Shukran

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +4

      Omba dua hi ya Rasulullah (SAW) nayo ni: اللهم إني أسألك من فضلك ورحمتك فإنه لا يملكها إلا أنت
      Maana yake: Ewe Mola, hakika mimi nakuomba kutokamana na Fadhla zako na Rehma zako, hakika hazimiliki hizo yeyote ispokuwa wewe (Allah). Kariri hii idadi unayopenda na kuwa na yaqeen, insha Allah, Mola atakutimizia haja zako. Afwan.

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 5 месяцев назад +1

      Dua gani unasoma?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +4

      @@Catherine-mh8sw Unasoma dua hii ambayo nimeiweka hapo kwenye description:
      اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 5 месяцев назад +1

      @mohamedalidini shukran sana sheikh wetu

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      @@Catherine-mh8sw Ameen ya Rabbal 'Alameen!

  • @kibibikombe9203
    @kibibikombe9203 5 месяцев назад +2

    Shukran sanaa jazaka Allah kheri

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад

      Afwan. Waiyyaak. Barakillahu Feek.

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 5 месяцев назад +2

    MAASHAA ALLAH SHUKRAN SHEIKH kwa elm jazzakallakum kheir

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      TABARAKALLAH. ALLAH (SWT) ATUPE KHERI ZOTE. AMEEN!

  • @hatibustambuli8039
    @hatibustambuli8039 5 месяцев назад +2

    Jazakallah khyr

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Waiyyaak. Ikramakallahu. Shukran.

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 5 месяцев назад +2

    Amiina

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 5 месяцев назад +2

    ALHAMNDULILLAH

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      NASHA ALLAH! TABARAKALLAH! SHUKRAN 🙏

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 5 месяцев назад +3

    ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH

  • @AliAbdalla-f6i
    @AliAbdalla-f6i 5 месяцев назад +2

    Shukran jazila yaa thaqal afiya .

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Ameen waiyyaak. May Allah (SWT) Bless us all. Ameen.

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 5 месяцев назад +1

    shukran sana sana sheikh

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 5 месяцев назад

    Shukran sheikh kwa ukumbusho
    Allah akuhifadhi

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад

      Afwan. Allah (SWT) Atujazi kheri zote. Ameen. Nakuomba usambaze video kwa watu wengi ili wafaidike zaidi. Shukran. 🤲

  • @harifanasra6320
    @harifanasra6320 5 месяцев назад +1

    Shukran jazakallah khair

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад

      Afwan. Waiyyaak! May Allah (SWT) Bless us all.

  • @AminaMayaza
    @AminaMayaza 2 месяца назад +1

    Shekh naomba taf siri y'a duwa allahuma inni as aluka bianalakalhada pakamwisho

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Tafsiri yake kwa lugha ya Kiingereza ni hii: Oh Allah, I ask you that I bear witness that you are God, there is no god but You, the One and Only, the Eternal, who does not beget, nor was born, and there is no one equal to Him. Oh God, I ask You that praise be to You, there is no god but You, the Benefactor, the Creator of the heavens and the earth, O Possessor of Majesty and Honour, O Ever-Living, O Ever-Living .

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      Tafsiri yake kwa lugha ya Kiswahili ni hii: Ewe Mola wangu nakuomba nashuhudia ya kwamba wewe ni Allahu, hapana mola ila Wewe, Peke Yako, wa Milele tu, ambaye hazai wala hakuzaliwa, na hakuna anayelingana Naye. Ewe Mola wangu nakuomba sifa njema ni Zako, hapana mola ila Wewe, Mwingi wa Rehema, Muumba wa mbingu na ardhi, Ewe Mwenye Ukuu na Heshima, Ewe Uliye hai, Ewe Uliye hai.

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 5 месяцев назад +1

    mashallh

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 5 месяцев назад +1

    GOD BLESS YOU!

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад

      AMEEN! YOU TOO. THANK YOU SO MUCH!

  • @Amna-v8z
    @Amna-v8z 5 месяцев назад +1

    Ameen yaraab

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Ameen! Ameen! Thumma Ameeen! Shukran.

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 5 месяцев назад +1

    Asallam Allayikum Warahamatullah wabarakatuh
    Nakusalimia sheikh WANGU sheikh Nashida Moja ukiwa na shida ya kiofiic au kiongozi kuongea nae unaongea nae hadi anasema uende ukifka kula anawakabithi watumishi wake na baada yake Unakuwa hausaidiwi chochote na wale watu kukuona una Makosa ihali mliongea na yakaisha akasema sawa njoo oficini lakn ukifika hupati msaada wowote Zaid8 Wengine wanakaa kukucheka kwa kukosa Msaada Maalim utumie njia ipi walau upate kusikilizwa na kueleweka Na kukubalika kwao

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +2

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Fuata njia hii ya Rasulullah alomfundisha swahaba na akapata haja yake kwa mtu. Nayo ni: 1) Swali rakaa mbili za haja. 2) Ukimaliza omba dua infuatayo: (اللَّهمَّ إنِّي أسألُكَ وأتوجَّهُ إليْكَ بمحمَّدٍ نبيِّ - (hapa utataja haja yako) الرَّحمةِ يا محمَّدُ إنِّي قد توجَّهتُ بِكَ إلى ربِّي في حاجتي هذِهِ لتقضى
      3) Nenda kwa yule mtu ulomkusudia.
      Allah (SWT) Atuwafiqie kheri zote. Ameen!

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      دعاء الحاجة عن الرسول صلّى الله عليه وسلّم: "اللَّهُمَّ إنِّي أسألُكَ وأتوجَّهُ إليكَ بنبيِّكَ محمَّدٍ نبيِّ الرَّحمةِ، إنِّي توجَّهتُ بِكَ إلى ربِّي في حاجَتي هذِهِ لتقضى ليَ، اللَّهُمَّ فشفِّعهُ فيَّ". رواه عثمان بن حنيف وأورده الترمذي في الصحيح، وهو المعروف بحديث الرجل الضرير.

  • @FayeezAlbahassaney
    @FayeezAlbahassaney 5 месяцев назад +1

    MashaAllah TabarakaAllah my lecturer

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Barakallahu Feek ya Habiby! Ikramakallahu!

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 5 месяцев назад +1

      @@mohamedalidini InshaAllah my lecturer biidhnllah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      @@FayeezAlbahassaney Ameen ya Rabb!

    • @FayeezAlbahassaney
      @FayeezAlbahassaney 5 месяцев назад +1

      @@mohamedalidini Allah atakulipa ujira mkubwa mno InshaAllah 🤲🏾

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      @@FayeezAlbahassaney Ameen. Insha Allah, sote. Barakallahu Feek.

  • @RehemaMwakuro
    @RehemaMwakuro 5 месяцев назад +1

    Shukran sheikh Jazakallahu khair

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Waiyyaak. Allah (SWT) atujazi kheri zote. Ameen!

    • @NiyonsengaModest
      @NiyonsengaModest 5 месяцев назад +1

      Nani wa kutuandikia kwa kiarabu kiswahili tunaomba

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +2

      @@NiyonsengaModest اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.
      ALLAHUMMA INNY AS’ALUKA BI ANNY ASH’HADU ANNAKA ANTA ALLAH LA ILAHA ILLA ANTA AL-AHADU AS-SWAMADU AL-LADHY LAM YALID WALAM YULAD WALAM YAKUN LAHU KUFWAN AHAD. ALLAHUMMA INNY AS’ALUKA BI ANNA LAKA AL-HAMDA LA ILAHA ILLA ANTA AL-MANNAAN BADI’U-SSAMAWAT WAL-ARDH YA DHAL-JALAAL WAL-IKRAAM YA HAYYU YA QAYYUM.

    • @NiyonsengaModest
      @NiyonsengaModest 5 месяцев назад +1

      Shukurani

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      @@NiyonsengaModest Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote.

  • @HabsaOmar-k7u
    @HabsaOmar-k7u 4 месяца назад +2

    Hiyo apo vipenzi

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 4 месяца назад +2

    Asalam aleykum jomon naombatuandikie hiyo DUA

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 месяца назад +3

      Waalaikumussalam Wrahamtullah Wabarakatuh. Dua ndio hii:
      اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.

  • @KhalidKabaraza
    @KhalidKabaraza 4 дня назад +1

    Assalaam alaikum shekhe mm nasubuliwa na shetani ananilaza mpaka kwenye swala na Kila alisomewa anaondoka Tena anarud naomba nisaidie nifanye nn?

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  4 дня назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Kuna video natengeneza ya mada hiyo. Insha Allah natarajia kupost wikendi hii. Kwa uwezo wa Allah itakusaidia.

  • @maisarahamim4391
    @maisarahamim4391 5 месяцев назад +2

    Sheikh naomba, utuandikie kwenye kiswahili. In Sha Allah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +2

      Ewe Mola hakika mimi nakuomba nami nashuhudia ya kwamba Wewe ni Allah, hakuna Mola anayepaswa kuabudiwa ispokuwa Wewe, Mola Mmoja, Mwenye kutegemewa Ambaye hajazaa wala kuzaliwa na ambaye hana aliyefanana naye. Kisha utaomba haja yako yoyote. Natumai nimekusaidia. Afwan!

    • @LuuljilalBarre
      @LuuljilalBarre 4 месяца назад

      Sheikh Alitaka umwandikie kwa kiswahili hiyo sio tafsiri yake hapana wanataka kujua hiyo ila kusoma kiarabu ndio mtihani wanahitaji uliandike Dua lenyewe kama ilivyo kwa maandishi ya kiswahili Ili waweze kusoma​@@mohamedalidini

  • @mealiipafu-wg7dx
    @mealiipafu-wg7dx 5 месяцев назад +1

    Naomba uniandikie

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +2

      Dua ni Hii:
      اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.

  • @Islaza275
    @Islaza275 5 месяцев назад +1

    Asalam alykm warhmtullah wabarakatu sheikh naomba no Yako ya wsp

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Hii ndio namba yangu: +254700047708. Afwan.

  • @HassanAbdala-f3v
    @HassanAbdala-f3v 5 месяцев назад +1

    Asalam Alaykum... Vp Hali Yako SHEIKH,,, Tuwekee Namba Yako ya Sim ambayo pia Unatumia kwa Whatsapp. BaarakaLLAHU Fiika

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +2

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Namba yangu ya simu na WhatsApp ni hii: +254700047708. Pia nitaiweka kwa page ya channel insha Allah.

    • @HassanAbdala-f3v
      @HassanAbdala-f3v 5 месяцев назад +1

      ​@@mohamedalidiniIn Shaa ALLAH,"Shukran Sana SHEIKH

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +1

      @@HassanAbdala-f3v Ikaramakallah. Afwan.

  • @SabaNyoni
    @SabaNyoni 5 месяцев назад +11

    Shekhe ni ķweli niliomba nikajibiwa

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +3

      Masha Allah. Barakallahu Feek.

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 5 месяцев назад +4

      hongera tuna ambiwa dua hukubaliwa pale unapo acha Dhambi yaan unaacha anayo kataa Allah na kufnya anayo penda Allah basi Ukiombacho hupewa haraka Mwengine akiomba ana futiwa Dhambi kwnza Ndio akubaliwe Mambo yake au afutiwe majnga Ndio apewe Hitajio lake Allah humpa mtu kitu chnye manufaa Kwake

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  5 месяцев назад +5

      @@jamilashabani8580 Bila shaka Allah (SWT) kukupa ulichokiomba kuna hali tatu. 1) Hukupa haraka bila kukuchelewesha. 2) Hukucheleweshea hapa duniani na akakupa Akhera. 3) Hukupa kilichokuwa bora kwako. Allah (SWT) ni Mjuzi zaidi.

    • @aminamwinyi5528
      @aminamwinyi5528 2 месяца назад +1

      Mashallah

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  2 месяца назад +1

      @@aminamwinyi5528 Tabarakallah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @FalahiIddy
    @FalahiIddy 3 месяца назад +1

    Jazakumllahu khayra

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  3 месяца назад +1

      Waiyyaak! Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲