TAJRIBA ADHIMU YA JINA TUKUFU LA ALLAH KATIKA KUKUPA MAFANIKIO MAKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU |
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- TAJRIBA ADHIMU YA JINA TUKUFU LA ALLAH KATIKA KUKUPA MAFANIKIO MAKUBWA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
Katika video hii tunaelezea Siri miongoni mwa siri za JINA TUKUFU LA ALLAH katika kukupa mafanikio mkubwa hapa duniani na akhera. Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafwata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako ya kupata mafanikio makubwa uloyakusudia.
Maelezo yake:
Surah: Al-A’araf (7)
Ayah: 180
-----------------------------------------------------------------------------------------
Utaratibu wake:
Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
Swali Rakaa mbili za haja.
Omba haja zako zote kupitia kwa Jina Tukufu la Allah (SWT) kwa mujibu wa Qur’an na Hadith, kama alivyobainisha Rasulullah kwa dua hizi:
اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.
------------------------------------------------------------------------------------------
Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
**********************************************************************
Assalam alayku warahmatullah, namshuru Allah sw na kushukuru na wewe shekhe wangu kwa darsa yako naona kama ni miujiza Allah kaniletea.Sheke wangu ileshida niliyo nayo ya mume wangu kuwa na gugu na kiburi sasa nimeanza kuona mambo mazuri kutoka kwake Allahuakbar. Nimeifanya juzi tu usiku wa kuakia ijumaa imeanza kuleta majibu shekhe siku ya pili tu mahaba motomoto. Mashaallah mashaallah mashaallah. Sasa na weza kuwa na amani ya nafsi shekhe shukran sitaacha kufuatia darsa zako.Allah akulipe kheri❤
Shekhe nasema ukweli wangu mimi nilikuwa nimtu wakulia tu kila siku nilikua nateseka zidi yake kwani kaoa mkemwengine na kaanza kunidharau nikawa silolote kwake akilala kwa mwenzangu akija huku anakua mkali hadisura anachenji, nilikua nikiumia kwa kweli. Ila baada kufuatilia darsa zako nimeanza kuona mafanikio mazuri. Allah akulipe kila lakheri mungu akupe maisha marefu.
Malibu yamekuja ndani ya siku 1 tu baada kuisoma hii dua
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Alhamdu Lillah! Hiyo ni Tawfiq ya Allah (SWT) na Uwezo wake. Nami namshukuru Allah (SWT) kwa kheri zote na muomba zaidi anipe uwezo na Tawfiq za kuwafaidisha ummah. Ameen! Shukran! 🙏🤲🤲🤲
@@AliNondo Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
@@AliNondo Alhamdu Liillah! Thumma Alhamdu Liillah! Thumma Alhamdu Liillah! Shukran! 🤲🤲🤲🤲🙏
Maanshallah shekhe nakuombeya kilalakheri mungu akuhifadhi
Tabarakallah! Allah (SWT) Akupe kheri zote Dadangu mpendwa, Hasna Hasina. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Mashall alhamdulillah jazakallah heri mungu akuweke uweze kutuelimisha zaidi Ameen
Tabarakallah. Sote Ya Rabb. Allah (SWT) Akupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Allahumma inniy A's aluka bianniy Ash hadu annaka anta allah la _ilaha annta al _ahad al_ aswamad alladhiy lam yalid walam yulad walam yakullahu kufuwan_ahad 🤲
Masha Allah! Insha Allah utawasaidia wengi wazioweza kuisoma dua kwa Kiarabu. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🙏
S.A.W🙏
W.S.W.W ❤
Mashallah Mashallah Allah akupe umri mrefuu wenye manfaa
Shukran
Tabarakallah! Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! 🤲🤲🤲🤲🤲
Maan allah shekhee❤❤❤❤
Tabarakallah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Jazakallahu Kheir🙏
Allah akulipe kila lakheri akupe hitaji lamoyo wako hakika nakupenda kwaajili ya Allah
Ameen ya Rabb. Sote Insha Allah. Nami pia.
Ameen. Sote ya Rabb
Alhamdulillah Rabir Allah miin, Shekhe wetu.
Akulipe yaliyo mema.
Masha Allah. Ameen Ya Rabbal 'Aalameen. Ameen sote Ya Rabb! 🤲🤲🤲🤲🤲
Shukran JazakaAllahu kheir,
Waiyyaak! Ameen! 🤲🤲🤲🤲
amen
inshaallah😢😢😢
Tabarakallah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Masha Allah tabarakallah ❤️ Allah akulipe khery
Ameen ya Rabb! Sote Insha Allah. Barakillahu Feek! 🤲🙏
Asalam alaykum warahma2lahi wabaraka2 sheikh naomba hiyo du'aa 🙏
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Dua ndio hii:
اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.
InshaAllah
Insha Allah!
Maa Shaa Allah
Tabarakallahu. Shukran! 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🙏
Mashaallaah wajazaka llahul kheir aammeenn shukran sana Allahaah akubarikie akupe umri mrefu siha njema Uzidi kutujuza aammeenn Sheikh Shukran ❤
Tabarakallah! Ameen Ya Rabbal 'Alameen. Sote Insha Allah. Shukran.
MashaAllah shekik mimi nipo Mozambique lakini sijuwi kusoma ndio najitahidi mimi nataka hiyo dua nimuombe Allah nijuwe kusoma Qur'ane na akuhifadhi
Tabarakallahu. Namuomba Allah (SWT) Akuafiqie uisome Qur'an, uifahamu na kuihifadhi. Ameen. Shukran sana.
@@mohamedalidini ameen ya rabb shukran sana ikiwezekana naomba namba Yako ya WatsApp sheik
Mashallah Allah akujaalie kila la kheir
@@nuruabeid9934 Tabarakallahu. Sote, ya Rabb 🤲
Mashaallah
Tabarakallah! Shukran! 🤲🤲🤲🤲🤲
MashaALLAH Shukran jazakaLLAH shekh uweukituandikia hizo dua kwa kiswshili wengine hatujui kiarabu
Tabarakallah! Insha Allah. Shukran sana kwa maoni yako. Barakillahu Feek.🤲
Jazaka llahu kheri
Ameen! Waiyyaak! 🤲🙏
Aslm alkm ww.... Masha Allah!! Allah akupe mazuri katika Masha yako. Masha Allah.
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Ameen. Sote Insha Allah Taala 🤲🙏
Jazakumllahu khayra
Wiyyaak! Shukran! 🤲🙏
Barakallahu fiyk yaa Shaikh
Waiyyaak. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen 🤲🤲🤲🙏🙏🙏
Mashallah
Tabarakallah! Shukran!
Tabarakallah! Shukran!
Masha Allah
Tabarakalla. Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen. 🤲🤲🤲🤲🤲
Allah akubarik saan sheikh wetu
Ameen. Insha Allah sote. Ya Rabb! Barakallahu feek!🙏
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi
Waiyyaakum ya Habibty. Shukran sana.
Allahu akbar!
Masha Allah! Shukran Sana.
Barakallahu fiikii ya akhui
Waiyyaak ya Habiby! Ikramakallahu! Ameen.👐
Mashaallah mwalimu wetu kwa darsa
Tabarakallah. Barakallahu Feek Habiby!
Alhamdulillah
Allah akulipe badala Sheikh🙏🙏🙏🙏
Ameen ya Rabb! Sote Insha Allah. Barakallahu Feek! 🙏
@@mohamedalidini 🙏🙏🙏🙏🙏
@@muddymuzungu4357 Afwan Sana!
Sheikh naomba dua mungu anifungulia kila jambo
Shukran
Omba dua hi ya Rasulullah (SAW) nayo ni: اللهم إني أسألك من فضلك ورحمتك فإنه لا يملكها إلا أنت
Maana yake: Ewe Mola, hakika mimi nakuomba kutokamana na Fadhla zako na Rehma zako, hakika hazimiliki hizo yeyote ispokuwa wewe (Allah). Kariri hii idadi unayopenda na kuwa na yaqeen, insha Allah, Mola atakutimizia haja zako. Afwan.
Dua gani unasoma?
@@Catherine-mh8sw Unasoma dua hii ambayo nimeiweka hapo kwenye description:
اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ
@mohamedalidini shukran sana sheikh wetu
@@Catherine-mh8sw Ameen ya Rabbal 'Alameen!
Shukran sanaa jazaka Allah kheri
Afwan. Waiyyaak. Barakillahu Feek.
MAASHAA ALLAH SHUKRAN SHEIKH kwa elm jazzakallakum kheir
TABARAKALLAH. ALLAH (SWT) ATUPE KHERI ZOTE. AMEEN!
Jazakallah khyr
Waiyyaak. Ikramakallahu. Shukran.
Amiina
Ya Rabb! 👐
ALHAMNDULILLAH
NASHA ALLAH! TABARAKALLAH! SHUKRAN 🙏
ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH ALHAMNDULILLAH
MASHA ALLAH TABARAKALLAHU.
Shukran jazila yaa thaqal afiya .
Ameen waiyyaak. May Allah (SWT) Bless us all. Ameen.
shukran sana sana sheikh
Karibu sana Alhabib!
Shukran sheikh kwa ukumbusho
Allah akuhifadhi
Afwan. Allah (SWT) Atujazi kheri zote. Ameen. Nakuomba usambaze video kwa watu wengi ili wafaidike zaidi. Shukran. 🤲
Shukran jazakallah khair
Afwan. Waiyyaak! May Allah (SWT) Bless us all.
Shekh naomba taf siri y'a duwa allahuma inni as aluka bianalakalhada pakamwisho
Tafsiri yake kwa lugha ya Kiingereza ni hii: Oh Allah, I ask you that I bear witness that you are God, there is no god but You, the One and Only, the Eternal, who does not beget, nor was born, and there is no one equal to Him. Oh God, I ask You that praise be to You, there is no god but You, the Benefactor, the Creator of the heavens and the earth, O Possessor of Majesty and Honour, O Ever-Living, O Ever-Living .
Tafsiri yake kwa lugha ya Kiswahili ni hii: Ewe Mola wangu nakuomba nashuhudia ya kwamba wewe ni Allahu, hapana mola ila Wewe, Peke Yako, wa Milele tu, ambaye hazai wala hakuzaliwa, na hakuna anayelingana Naye. Ewe Mola wangu nakuomba sifa njema ni Zako, hapana mola ila Wewe, Mwingi wa Rehema, Muumba wa mbingu na ardhi, Ewe Mwenye Ukuu na Heshima, Ewe Uliye hai, Ewe Uliye hai.
mashallh
Tabarakallahu! Shukran.
GOD BLESS YOU!
AMEEN! YOU TOO. THANK YOU SO MUCH!
Ameen yaraab
Ameen! Ameen! Thumma Ameeen! Shukran.
Asallam Allayikum Warahamatullah wabarakatuh
Nakusalimia sheikh WANGU sheikh Nashida Moja ukiwa na shida ya kiofiic au kiongozi kuongea nae unaongea nae hadi anasema uende ukifka kula anawakabithi watumishi wake na baada yake Unakuwa hausaidiwi chochote na wale watu kukuona una Makosa ihali mliongea na yakaisha akasema sawa njoo oficini lakn ukifika hupati msaada wowote Zaid8 Wengine wanakaa kukucheka kwa kukosa Msaada Maalim utumie njia ipi walau upate kusikilizwa na kueleweka Na kukubalika kwao
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Fuata njia hii ya Rasulullah alomfundisha swahaba na akapata haja yake kwa mtu. Nayo ni: 1) Swali rakaa mbili za haja. 2) Ukimaliza omba dua infuatayo: (اللَّهمَّ إنِّي أسألُكَ وأتوجَّهُ إليْكَ بمحمَّدٍ نبيِّ - (hapa utataja haja yako) الرَّحمةِ يا محمَّدُ إنِّي قد توجَّهتُ بِكَ إلى ربِّي في حاجتي هذِهِ لتقضى
3) Nenda kwa yule mtu ulomkusudia.
Allah (SWT) Atuwafiqie kheri zote. Ameen!
دعاء الحاجة عن الرسول صلّى الله عليه وسلّم: "اللَّهُمَّ إنِّي أسألُكَ وأتوجَّهُ إليكَ بنبيِّكَ محمَّدٍ نبيِّ الرَّحمةِ، إنِّي توجَّهتُ بِكَ إلى ربِّي في حاجَتي هذِهِ لتقضى ليَ، اللَّهُمَّ فشفِّعهُ فيَّ". رواه عثمان بن حنيف وأورده الترمذي في الصحيح، وهو المعروف بحديث الرجل الضرير.
MashaAllah TabarakaAllah my lecturer
Barakallahu Feek ya Habiby! Ikramakallahu!
@@mohamedalidini InshaAllah my lecturer biidhnllah
@@FayeezAlbahassaney Ameen ya Rabb!
@@mohamedalidini Allah atakulipa ujira mkubwa mno InshaAllah 🤲🏾
@@FayeezAlbahassaney Ameen. Insha Allah, sote. Barakallahu Feek.
Shukran sheikh Jazakallahu khair
Waiyyaak. Allah (SWT) atujazi kheri zote. Ameen!
Nani wa kutuandikia kwa kiarabu kiswahili tunaomba
@@NiyonsengaModest اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.
ALLAHUMMA INNY AS’ALUKA BI ANNY ASH’HADU ANNAKA ANTA ALLAH LA ILAHA ILLA ANTA AL-AHADU AS-SWAMADU AL-LADHY LAM YALID WALAM YULAD WALAM YAKUN LAHU KUFWAN AHAD. ALLAHUMMA INNY AS’ALUKA BI ANNA LAKA AL-HAMDA LA ILAHA ILLA ANTA AL-MANNAAN BADI’U-SSAMAWAT WAL-ARDH YA DHAL-JALAAL WAL-IKRAAM YA HAYYU YA QAYYUM.
Shukurani
@@NiyonsengaModest Afwan. Allah (SWT) atuwafiqie kheri zote.
Hiyo apo vipenzi
Kheiran! Shukran.
Asalam aleykum jomon naombatuandikie hiyo DUA
Waalaikumussalam Wrahamtullah Wabarakatuh. Dua ndio hii:
اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.
Assalaam alaikum shekhe mm nasubuliwa na shetani ananilaza mpaka kwenye swala na Kila alisomewa anaondoka Tena anarud naomba nisaidie nifanye nn?
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Kuna video natengeneza ya mada hiyo. Insha Allah natarajia kupost wikendi hii. Kwa uwezo wa Allah itakusaidia.
Sheikh naomba, utuandikie kwenye kiswahili. In Sha Allah
Ewe Mola hakika mimi nakuomba nami nashuhudia ya kwamba Wewe ni Allah, hakuna Mola anayepaswa kuabudiwa ispokuwa Wewe, Mola Mmoja, Mwenye kutegemewa Ambaye hajazaa wala kuzaliwa na ambaye hana aliyefanana naye. Kisha utaomba haja yako yoyote. Natumai nimekusaidia. Afwan!
Sheikh Alitaka umwandikie kwa kiswahili hiyo sio tafsiri yake hapana wanataka kujua hiyo ila kusoma kiarabu ndio mtihani wanahitaji uliandike Dua lenyewe kama ilivyo kwa maandishi ya kiswahili Ili waweze kusoma@@mohamedalidini
Naomba uniandikie
Dua ni Hii:
اَللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنِّي أَشْهَدُ أَنَّكَ أَنْتَ اللهُ لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْأَحَدُ الصَّمَدُ الَّذِي لَمْ يَلِدْ وَلَمْ يُوْلَدُ وَلَمْ يِكُنْ لَهُ كُفُوًا أَحَدُ. اللَّهمَّ إنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ، لَا إِلَهَ إِلَّا أَنْتَ الْمَنَّانُ، بَدِيْعُ السَّمَوَاتِ وَاْلأَرْضِ، يَا ذَا الْجَلاَلِ وَاْلإكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قيُّومُ.
Asalam alykm warhmtullah wabarakatu sheikh naomba no Yako ya wsp
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Hii ndio namba yangu: +254700047708. Afwan.
Asalam Alaykum... Vp Hali Yako SHEIKH,,, Tuwekee Namba Yako ya Sim ambayo pia Unatumia kwa Whatsapp. BaarakaLLAHU Fiika
Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Namba yangu ya simu na WhatsApp ni hii: +254700047708. Pia nitaiweka kwa page ya channel insha Allah.
@@mohamedalidiniIn Shaa ALLAH,"Shukran Sana SHEIKH
@@HassanAbdala-f3v Ikaramakallah. Afwan.
Shekhe ni ķweli niliomba nikajibiwa
Masha Allah. Barakallahu Feek.
hongera tuna ambiwa dua hukubaliwa pale unapo acha Dhambi yaan unaacha anayo kataa Allah na kufnya anayo penda Allah basi Ukiombacho hupewa haraka Mwengine akiomba ana futiwa Dhambi kwnza Ndio akubaliwe Mambo yake au afutiwe majnga Ndio apewe Hitajio lake Allah humpa mtu kitu chnye manufaa Kwake
@@jamilashabani8580 Bila shaka Allah (SWT) kukupa ulichokiomba kuna hali tatu. 1) Hukupa haraka bila kukuchelewesha. 2) Hukucheleweshea hapa duniani na akakupa Akhera. 3) Hukupa kilichokuwa bora kwako. Allah (SWT) ni Mjuzi zaidi.
Mashallah
@@aminamwinyi5528 Tabarakallah! Allah (SWT) Atupe kheri zote. Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲
Jazakumllahu khayra
Waiyyaak! Ameen! 🤲🤲🤲🤲🤲