UKIMALIZA TENDO LA NDOA TU USIFANYE MAMBO HAYA | NIHATARI SANA | YATAKULETEA MADHARA | SHEIKH OTHMAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 105

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 года назад +23

    Asalaam aleykum Athuman Michael Allah akulinde na wachawi na mashetwani kakangu. Mie kupenda sababu zangu ni kwamba huna uchoyo wa elimu

  • @HabibaHared
    @HabibaHared Год назад

    Mashaallah mola akuzidishiye elmu na akuhifathi

  • @rajabramadan1226
    @rajabramadan1226 3 месяца назад

    Mashaallah MwenyeziMungu akuzdishie elm

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 3 года назад +16

    Shukran shekhe othman. Napenda sana saut yako shekhe, inanifanya nielewe somo kwa urahisi wallah. Allah akulipe kheri kwa darsa lako in shaa Allah

  • @عايشه-ر8و
    @عايشه-ر8و 2 года назад +1

    Mola akupe umri mtefu sheikh

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 3 года назад +7

    Shukran sana sheik Jazakka Allahu kher.Niliahidi moyo wangu hdi nikuone au tuwasiluane In Sha Allah Mola akupe umri uzidi kuokia umma wake Muhamma( S. A. W)🙏.

  • @NaimaSalim-hv6bd
    @NaimaSalim-hv6bd Год назад +1

    Asalam aleikum shekhe MashaAllah tabarakllah darsa nzuri Sana MashaAllah ila mmi nipo na mmangu asumbuliwa na presha hadi hupoteza fahamu je yawezekana kupata dawa

  • @ayshmem9924
    @ayshmem9924 3 года назад +2

    Maa shaa Allah shukrni sana Shekhe Allah akujaalie umri mrefu uzidi kuelimisha waislam in Shaa Allah

  • @AshaAsha-ng1ug
    @AshaAsha-ng1ug 3 года назад +6

    Shukran shehe wetu kwakutufunza yenye faida ktk maisha haya ya duniani

  • @SahaToto-q6r
    @SahaToto-q6r 4 месяца назад

    Takkbrrrr

  • @Hinduhamza
    @Hinduhamza 11 месяцев назад

    Nakupenda sana wewe ni mkarimu

  • @naimajuma3577
    @naimajuma3577 11 месяцев назад

    Shukran JazakaahAllah kherah ❤ ila ss wa Saudia tunazipataje

  • @biassnachindoro4549
    @biassnachindoro4549 2 года назад

    Asalamu alykum. Naitwa biassna nasumbuliwa sana nagadzi yamikono sana shekhe

  • @geerleebmuhamed8301
    @geerleebmuhamed8301 2 года назад

    Mashaa llah Allah bariik fii Allah akulipe kwa darsa tunaelimika Sana

  • @UmmiyLugome
    @UmmiyLugome Год назад

    Alla akuongoze

  • @shamymhmazan7778
    @shamymhmazan7778 3 года назад

    Mashallah shukran Allah akuzidishie umri mrefu azidi kukufungulia na tiba zingine Mashallah shukran

  • @AmissiDeo-p1s
    @AmissiDeo-p1s Год назад

    Asalam mwalaikum warahmatullay wabarakatuhu shekh mimi nilianguka chooni ila namshukuru Allah mpaka sasa Niko Salma Japo nimebaki mlemavu wamguu natembeya n'a magongo naomba nambayasimu maana nipo mbali shekh

  • @HalimaSaid-w2j
    @HalimaSaid-w2j Год назад

    Ameen

  • @ismailmustafa2649
    @ismailmustafa2649 3 года назад

    Sheh, shukran kwa ilimu hiyo muhimu illa kwa BAHATI mbaya sisi huku tuko mbali na hatuna uwezo kukufikiya kwani hapa hatujaona wajuzi kama nyinyi maradhi nimengi mmoja wapo Niko nakijana myaka takriban 28 alikumbwa jinni kaafir upenda sana ka chooni ,hana chochote anachopenda illa kulala Paso sijapata usaidizi {maalim Ismail mustafa Hoima Uganda

  • @farhatbates9302
    @farhatbates9302 3 года назад +2

    Mashaa allahu, tabarakah allahu,hasbiya allahu, Allah amuhifandi shekh wetu,amin

  • @ashashaban6484
    @ashashaban6484 3 года назад

    Mashallah.Allah.akulipe.kila.la kheri.inshallah

  • @sulekhaosman8357
    @sulekhaosman8357 3 года назад +1

    MashaAllah shukran Sana sheikh wetu Allah Akulipe Kila la kheri

  • @UwinezaLydie
    @UwinezaLydie 5 месяцев назад

    Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh shukran shekh Nina ndugu yangu amepooza miguu iyo dawa ataipata jee

  • @zabibumusa9605
    @zabibumusa9605 3 года назад

    Mashallah shekhe allah akupe umri mlefu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Sana ata mimi nampendaga

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi6600 3 года назад +1

    Jazakalah khaira

  • @mkomoremkomore-hy3xj
    @mkomoremkomore-hy3xj Год назад

    Vzr

  • @ashanassoro6492
    @ashanassoro6492 3 года назад +1

    Masha Allah sheikh

  • @lilianomamo9210
    @lilianomamo9210 3 года назад +10

    Hata sisi wakristo tuko hapa

  • @mohamedelzobery7194
    @mohamedelzobery7194 2 года назад

    Shukran sheikh

  • @aminamganga4991
    @aminamganga4991 3 года назад

    Shkrn shekhe

  • @amenaallahawazidishieumrin6235
    @amenaallahawazidishieumrin6235 3 года назад

    Shukuran baraqa Allah fiq

  • @MejumaaHamadi
    @MejumaaHamadi 2 месяца назад

    Asalaam aleikum.nitazipataje izo dawa za stroke tafadhali nipo Mombasa kenya

  • @naomikatope8458
    @naomikatope8458 3 года назад

    Allah akulipe kheri Kwa darsa lako

  • @zumrasaidi6600
    @zumrasaidi6600 3 года назад +4

    Allh akupe miaka mingi shehe utibu watu wengi

  • @shamsaazhar3473
    @shamsaazhar3473 3 года назад +1

    Maashallah 💖

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 3 года назад +2

    Masha Allah💕

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa1842 2 года назад

    Mashalah amina

  • @chikujuma9228
    @chikujuma9228 2 года назад

    Shukuran shekhe

  • @shanihamimu5288
    @shanihamimu5288 3 года назад

    Allha.akupe.umri.mrefu

  • @wemaabdalla-qb8yl
    @wemaabdalla-qb8yl Год назад

    Mashallah

  • @billibnli8844
    @billibnli8844 3 года назад

    mashaAllah,niko kenya na nilikuwa nataka dua uniombe jia zangu zifunguke inshaAllah na mi nitakukumbuka.

  • @NaimaSalim-hv6bd
    @NaimaSalim-hv6bd Год назад

    MashaAllah tabarakllah Allah akuzidishie ukarimu uliokuwanao na Allah akuzidishie elimu uzidi kutufunza inshaAllah dawa pesa ngapi ya kenya

  • @siyamaibrahim2773
    @siyamaibrahim2773 3 года назад

    Mashaallah sisi wengine tuko mbali kweli

  • @fatumanuribrahim7627
    @fatumanuribrahim7627 3 года назад

    Mashaallah sheikh Osman Allah akupe umri mrefu uendelee kutufunza dawa ni Hela ngapi

  • @aminamichael5023
    @aminamichael5023 3 года назад

    Shukran

  • @Zainab-gs4mz
    @Zainab-gs4mz 3 года назад +1

    Mashallah Allah akupe mda mrefu

  • @joeloileoile4786
    @joeloileoile4786 7 месяцев назад

    Tunaomba hizo dawa mulete zaidi za Kenya kwanzia Nairobi ,kisumu Busia bungoma etc asante

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 11 месяцев назад

    ❤❤

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 3 года назад

    maa shaa Allah

  • @mwanakomboomary7609
    @mwanakomboomary7609 3 года назад

    Assalamu Alykum kunamtu ananiambia kila binadamu anajini je sheikh nikweli

  • @zaynabjaabir1791
    @zaynabjaabir1791 2 года назад +1

    Sheikh hauna dawa ya matatizo
    ya uzaz kwa akina mama

  • @AshaHamisi-jz5mk
    @AshaHamisi-jz5mk Год назад

    Shkh samahn m nna mtt wa miaka mitatu ila anatatz upnde wa kulia umepooz wte hlo tatz alikuw nalo toka alipo kuw na miez sita je hzo daw zinawez kumsaidia?

  • @rehemarashid9829
    @rehemarashid9829 2 года назад

    Asalam alaikum warahmathullah wabarakatuh

  • @aisha-t5o3e
    @aisha-t5o3e Год назад +1

    Asalam alleykum shekhe nilikuwa nauliza maana ya neno ijama Mimi sijui maana yake

    • @EshaMohamed-c8j
      @EshaMohamed-c8j 10 месяцев назад

      Hijama nikutolewa damu mbovu wengine huchanjwa na kijembe Kisha damu ikavutwa kwa pembe but cku hizi Kuna mashini zakufanyia hijama

  • @kavumohemedi871
    @kavumohemedi871 3 года назад +1

    👍

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 3 года назад +1

    Mashaalah

  • @salamabakar5288
    @salamabakar5288 Год назад

    Assalm alykum kwema shekh ugetoa number yko maana Kuna maswalii tunataka kuliZa Kwa Siri tukupte mwenyewe

  • @zaitunibunu8769
    @zaitunibunu8769 3 года назад +5

    Asalam aleykum warahmatullah wabarakatu, sukran kwa kutuelimisha lakini Niko na shwahili ni hivi umesema tusiingie chooni kichwa wazi je kama unataka kuonga tuna fanya vipi kichwa? Shukran.

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 3 года назад +1

      Yaani wakati unapingia chooni tu unajifunika lakini ukianza kuoga au haja nyengine unajifinua haimaaninishi muda wote ujifunike kichwa

  • @thulythatmustf3535
    @thulythatmustf3535 3 года назад +1

    Asalaamu alaikum doctor Nina dada yangu alipata tatizo la kutoweza kuongea hafla maneno hayafahamiki ni Zaid ya mwaka wa Tano Sasa maneno hayatoki vizuri hafahamiki akiongea..Naomba unifahamishe naipata vip hiyo dawa. Nipo Zanzibar

  • @salmakarim933
    @salmakarim933 Год назад

    Assalam alaykum nnaomba namba ya sim ya WhatsApp

  • @faridabakari7730
    @faridabakari7730 2 года назад

    Asalam alaykum

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Год назад

    Ndio wengi waliodondoka chooni walipata matatizo makubwa ata mama alisema

  • @husseinashol8111
    @husseinashol8111 2 года назад

    Assalam Aleykum Sheikh, Niko hapo Kwa HULQUUM napataje? Niko Kenya

  • @rehemarashid9829
    @rehemarashid9829 2 года назад

    Sheikh hio dawa ya ulcers nihela ngapi.. mm mwili unamaumivu sana na mgongo mpaka shingo..nachili ya tumbo

  • @neemamsabaha8791
    @neemamsabaha8791 3 года назад

    Umefanana sana na husen Kato wa tanga

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 3 года назад

    Ahsant

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 3 года назад

    Aslm Aleikum warramatullahi,nitazipata vp hizo dawa?Bbake rafiki yangu yupo na ugonjwa wa kiharusi

  • @zainabumavura4270
    @zainabumavura4270 2 года назад

    aalamalaykum shekh naumia sana nipo hapa dar lkn nasindwa kuonana na wewr alla akuhifadd na kunijalua mie tizk ya halaln nije kuktana na wewe

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 года назад

    Janjajanja nyingi imaan imepotea

  • @Tatafati-uk8vy
    @Tatafati-uk8vy Год назад

    Minakitupa hicho chombo😢

  • @رحيمة-ش7ه
    @رحيمة-ش7ه Год назад

    Yaani ngekua karibu ngechkua iyo dawa..mana nkilala usiku paja lafa ganzi na mkono pia yani uwa sielewi Janga gani

  • @jolierazia2432
    @jolierazia2432 3 года назад +1

    Assalam aleikum warhatulah wabarakatuh....kwani sheikh kaowa?

    • @salumusimba9236
      @salumusimba9236 3 года назад

      Uyu shekhe kaowa na anawake 2 sjui km kaongeza wengne

  • @AshaRamadhan-et8ph
    @AshaRamadhan-et8ph 8 месяцев назад

    Wap inapaikana

  • @ramayasly4584
    @ramayasly4584 3 года назад +1

    Watu niwagonjwa Sheikh lakini inakuja kwa matibabu yanayo mpendeza Allah niyale yameamlishwa na Allah ni Yale alio yatumia bwana Mtume Mohammad rasulullah?

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 3 года назад +2

    Caption ni tofauti na kilichozungumzwa

    • @khamisoothman5294
      @khamisoothman5294 3 года назад +1

      Kuwa na subra ktk kusikiliza mpaka mwisho,hicho kilichoandikwa ni moja ya maudhui yalioelezwa ktk clip hii

  • @MirnaAhmed-op3gx
    @MirnaAhmed-op3gx Год назад

    Nitapata wapi hayo mafuta Niko lamu

  • @MirnaAhmed-op3gx
    @MirnaAhmed-op3gx Год назад

    Waitumiaje hiyo dawa mwalimu

  • @shamsaazhar3473
    @shamsaazhar3473 3 года назад

    N shilingi ngapi hijama

  • @siyamaibrahim2773
    @siyamaibrahim2773 3 года назад

    Mimi yangu inapanda

  • @aishandwata2207
    @aishandwata2207 3 года назад +1

    Mimi ndio napotenza hela kila siku mamani.

  • @wahidaabdallah1610
    @wahidaabdallah1610 2 года назад

    Kwa nini shelh huna ndevu

  • @mjajukiyahya2790
    @mjajukiyahya2790 3 года назад +2

    Uwe unataja na bei zake kuepusha janjajanja

    • @khamisoothman5294
      @khamisoothman5294 3 года назад

      Unaweza kumpigia simu kupitia number hizo kuuliza

  • @BathulBathul-ep1iu
    @BathulBathul-ep1iu 3 месяца назад

    Hijama ni nini ????

  • @husseinhcube1310
    @husseinhcube1310 9 месяцев назад

    Hijama ni nn ? Shekhe

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 3 года назад

    Waliowahi kutumia dawa tunaomba watoe feedback

  • @SamiaSaidi-v5b
    @SamiaSaidi-v5b 4 месяца назад

    Mashallah

  • @charitylulu8872
    @charitylulu8872 2 года назад

    Mashaallah

  • @Rahma-cj7wi
    @Rahma-cj7wi 2 года назад

    Shukran

  • @faridabakari7730
    @faridabakari7730 2 года назад

    Asalam alaykum

  • @yasinikalata4572
    @yasinikalata4572 2 года назад

    Mashaallah

  • @yasinikalata4572
    @yasinikalata4572 2 года назад

    Mashaallah