AINA 15 ZA WANAWAKE HATARI NDANI YA NDOA - SHEIKH. OTHMAN MICHAEL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024

Комментарии • 519

  • @mejumaaabuu618
    @mejumaaabuu618 Год назад +4

    Asante sheikh wetu,naomba mungu anipe mume mwema inshaallah.

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 3 года назад +6

    Mashallah shukrain shekhe wetu allah akujalie afya njema mashallah mawaidha mazuri allah atujaliye tuwe miongoni ya wanawake wema nashukru allah kunipa rafuraha ya Ndoa yangu mashallah ss hv nina miaka17 Allah ajaliye yenye kudumu na Baraka tele na tushi mpaka tuzikani inshaallah nawaombea na wengine awajalie walio kuepo kwenye Ndoa allah awajalie Ndoa za kudumu na lakuwa awajaowa,ajaolewa allah awajalie wapate wake wema 'Waume wema inshaallah allahuma ameen 🤲

    • @ShaffikAbdul
      @ShaffikAbdul 2 года назад

      Allahumah Ameen Ya Allah🙏

  • @ajayegidekihahe8672
    @ajayegidekihahe8672 4 года назад +6

    Mimi cyo muislam ila napenda saana mawaidha yako sheikh m/mungu aendelee kukulinda akupe afya njema

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 4 года назад +1

    Shukra shekhe wetu Othman Michael Allah akujalie kila lenye kher na barka hapa dunian na akhera pia Allah atujalie tuwe waja wema miongoni mwa waja wema walokwisha kutangulia 🙏Amin yaaraby

  • @fatmafoum3073
    @fatmafoum3073 4 года назад +1

    Mashaallah shehe wetu mungu akupeni afya na siha njema muzidi kutukumbusha yalio mema ili tuyafanye

  • @sharifamohd9559
    @sharifamohd9559 3 года назад +4

    Allah atujaalie tuwe wanawake wema inshaallah

  • @user-xx1yw7jw2p
    @user-xx1yw7jw2p Год назад +1

    Mashaallah mawaiza mazuri sana mungu akuzidishie

  • @rizikiismael2306
    @rizikiismael2306 5 лет назад +71

    asante saana sheikh wangu ,jamani naomba niwe mke mzuri kwa mme wangu ameen

    • @dottohassan458
      @dottohassan458 5 лет назад +2

      Upo wap kwa sasa

    • @butondodavid2105
      @butondodavid2105 4 года назад

      Sawa mke wangu

    • @mohamedjuma3748
      @mohamedjuma3748 4 года назад

      Juhudi ipite Sasa sio uwebora2

    • @juailiandayishimiye8942
      @juailiandayishimiye8942 4 года назад

      Amiin

    • @lailakibalu592
      @lailakibalu592 3 года назад

      Shehe mimi piya yamenikuta kwamume wangu nimatisho yatalaka na nishehe anajua sheriya napaka sasa kanitenga bila sababu nikimuliza akasema nikutumiye talaka yako nashidwa ?

  • @basirafaki9274
    @basirafaki9274 4 года назад +8

    Mashallah Allah sw atujaalie tuwe miongoni mwa wanawake wema yarab. Shukran sana Allah barik

  • @nassorsaleh1811
    @nassorsaleh1811 5 лет назад +20

    my favourite all time sheik

  • @AishaNshinzabandi-op1it
    @AishaNshinzabandi-op1it 9 месяцев назад +1

    Shukran saana sheikh Allah akupe pepo uipendayo

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak6577 3 года назад +1

    ماشاء الله
    جزاك الله خيرا يا شيخ عثمان
    Umetunza mazuri tumepata faida shukran sheikh othman mola akubariki akuruzuku Afya njema

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 3 года назад +1

    Mashallah mungu akuzidishie utoe mawaidha mazuri zaidi

  • @mariyambimaely9009
    @mariyambimaely9009 5 лет назад +5

    Mashaallah Allah Akbar mungu akujalie mwisho mwema

  • @zahramunir8596
    @zahramunir8596 5 лет назад +12

    Mashaallah shkh Mungu akupe afya Yarrab... (amiin)

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад +36

    Shukran shehe wetu mm yamenikuta hayo Lakin nimesubiri kwa Allah kwani katika yule mume mbaya nikipata watoto wa zuri mungu aniongozee watoto wangu inshaallah

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 4 года назад +5

    Maashallah tabaraqallah nakupenda kwa ajil ya allah

  • @tabuseleman8389
    @tabuseleman8389 5 лет назад +5

    masha Allah, Asante kwa mafunzo mema Allah azidi kukuhifadhi sheikh wetu

  • @tausjuma6018
    @tausjuma6018 3 года назад +1

    Ahsante sana sheikh kwa mawaidha mazuri naomba Allah anijaalie mume mwema inshaallah

  • @paschalmaganga1893
    @paschalmaganga1893 5 лет назад +8

    Asante kwa mafundisho mazuri

  • @almassoud3109
    @almassoud3109 5 лет назад +5

    Shukran ya sheikh. Allah atujaalia nyumba nzur, zilizoepushwa na umal'un

  • @salmalyana5287
    @salmalyana5287 4 года назад +6

    Masha Allah Shekh,mawaidha yamenigusa Sana Mimi binafsi tangu nimeolewa nimekuwa wa kukosolewa na si kusifiwa kwa kila nililololifanya,Allah awabadilishe wanaume kupitia mawaidha haya Insha Allah..

    • @zulfahismail9373
      @zulfahismail9373 3 года назад

      Ni kweli. Hata mimi. Nakosa. Hara. Ya. NDOWA. Yangu. Kabisa Sana tu na mchukiyA. Ndoa. Hii

    • @soberhousetv2245
      @soberhousetv2245 Год назад

      Yaani unakosolewa hadi unajiona takataka

  • @laylisaid9563
    @laylisaid9563 5 лет назад +11

    Mwnyazi Mungu awzindishie hekima 💖

  • @dubais9018
    @dubais9018 5 лет назад +5

    Maashaallah tabarakallahu Rahman Sheikh umetupa darsa nzur tutaitumia kwa familia zetu na ndugu zetu ktk maisha yetu

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 4 года назад +2

    Masha Allah nampenda huy sheikh kwanza mawaidh yake manzuri Allah akupe umri mref wenye kheri Insha Allah

  • @salehmuhammedsaid5088
    @salehmuhammedsaid5088 5 лет назад +16

    mashallah huna tofauti na sheikh Othman maalim kasoro ni ndevu tu

  • @farhinyassir2144
    @farhinyassir2144 4 года назад +2

    Allah ajaalie nizidi kuwa mke mwema kwa mume wangu. Maana hizo sifa ulozitaja sina ht moja Alhamdulillah

  • @hailatyhamissi3114
    @hailatyhamissi3114 5 лет назад +7

    Mashallah mungu akupe wepesi

  • @zenaal-baalawy1953
    @zenaal-baalawy1953 5 лет назад +10

    Jazaak Allah kheir. Niliwahi kuzisikia sifa hizi kwa sheikh Othman Maalim namfatilia sana.

  • @wondersmotivation5543
    @wondersmotivation5543 5 лет назад +2

    Jazakha Allah,,, kheeir,,nafurahia xana darsa lako,,,Allah akuzidishiye umri refu duniani,,,uzidi kutunufaisha na ilmu,,,ningeomba utupe jina la mahad ambaye umepata ujasiri ya Dini,,ili watoto wetu,,,kaka zetu pia wajiunge nalo,,,Wa billahi taufiq,,,

  • @zunaydaabdalla9718
    @zunaydaabdalla9718 5 лет назад +11

    Nimekupenda shkeikh Allah akuwekee miaka yenye kheir na ww inshallah🤝

  • @shadiahborandi2687
    @shadiahborandi2687 4 года назад +1

    Mashallah Allah akuzidishiye riziki na ilimu akupe mwisho mwema

  • @rahmajonas5960
    @rahmajonas5960 5 лет назад +1

    Manshaallah nimejifunza asante kwa elimu allah akulipe inshaallah haya mawaidha namsilizisha mume wang cku ya ndoa inshaallah soon

  • @mwasitially2928
    @mwasitially2928 5 лет назад +12

    Maa sha Allah jazakallah kheri shukran sana

  • @gracenkungu452
    @gracenkungu452 3 года назад

    Asante ustaadh ishallah mungu akujaze zaidi baraka,tunaomba nasi kina mama tujue wanaime na tabia zao tofauti tuwe na uchaguzi

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 лет назад +7

    Huyu Sheikh namuelewa sana.. Mungu hakupe umri mrefu

  • @maimunakhamis4759
    @maimunakhamis4759 5 лет назад +4

    Ni kweli sauti yake ni kama ya sheikh Othman maallim. Allah Awajaze wote wawili ksa mawaidha mazuri

    • @asiasahaya4773
      @asiasahaya4773 4 года назад

      Inshalaah ostathi wetu alllah akujalie umri mrefu

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 3 года назад +1

    Mashaallah ustadh mungu akupe kheri 🙏 kutu jenga

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 5 лет назад +8

    MaashaaAllah sheikh mawaidha mazuri Allah akupe afya na umri uzid kutuelimisha

  • @seifushabani9686
    @seifushabani9686 5 лет назад +9

    Mashaallah mawaidha mazur sana

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 года назад +4

    Pongezi Sanaaa sheikh kwa mafunzo mazuri 🔥🔥🔥💥💥

  • @yusramohamed1723
    @yusramohamed1723 5 лет назад +2

    Mashaallah shekhe nimekupnda bure nimejifnza mengi allah akuweke inshaallh

  • @asiahmariam3942
    @asiahmariam3942 5 лет назад +4

    Shukran sheikh wetu Allah akulipe kila la kheri

  • @fattyandruqyahbinthouthman8025
    @fattyandruqyahbinthouthman8025 5 лет назад +2

    Manshaa Allah Tabaraqhallahu khair Allah akulipeni kila lakheir sheikh Othman😍😍

  • @OmanOman-uo6qw
    @OmanOman-uo6qw 4 года назад

    Asante shekhe ila hizo tabia na wanaume wanazo na wanatuvunja moyo kwa kweli cc wanawake

  • @versetransport3079
    @versetransport3079 3 года назад

    Shukran Jazakallahu kheir.wake wangu wanatabia izo.naomba yarabi anipe mke mwema

  • @hilalzayana5088
    @hilalzayana5088 5 лет назад +2

    Masha Allah tabaraka Rahman,tunashkur kwa mawaidha sheikh

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 5 лет назад +2

    Mashallah mashallah mawaidha mazur sana Shukran ustadhi

    • @chondebabatz5477
      @chondebabatz5477 5 лет назад

      Kumbuka kujistiri Bi fatmah jina LA mtoto wa mtume wetu badilika

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling4738 5 лет назад +7

    Shukran sana shekhe wetu.Allah akuzidishie hekma.

  • @tyeuhsvsy1874
    @tyeuhsvsy1874 5 лет назад +7

    Mungu atunusuru na utusamehe Kwan mngne tushayafanya mungu tusameje inshallah

  • @aminasaidy1890
    @aminasaidy1890 5 лет назад +2

    Nimeipenda allah nijalie niwemke mwema kwa mumewangu

  • @khadijashedrack9142
    @khadijashedrack9142 5 лет назад +5

    jaazakhallah kheri sheikh

  • @kajoakother6041
    @kajoakother6041 4 года назад

    Mashalla nimekupenda kwajiri ya allaa mungu akuweke mywaka miya ishallaa

  • @naimaally7072
    @naimaally7072 5 лет назад +6

    Ma shaa Allah nimepata kujifunza mengi Allah akupe siha njema shk wetu

  • @laylasuliman5805
    @laylasuliman5805 5 лет назад +6

    Mashaallah shekhe tunakuelewa sna shukrani

  • @zainabubutoki8679
    @zainabubutoki8679 4 года назад +5

    Naaminii me ni mkee mwemaa kwaa mumee wanguu

  • @azminzahir7903
    @azminzahir7903 3 года назад

    Shukrani shekhe Allah akujalie na ww pia uwe na mke mwema na mm pia Allah azidishe busala niliyo nayo kwa mme wangu inshaallah niwe miongoni mwa wale walio tangulia amiina

    • @ashuradaud8577
      @ashuradaud8577 3 года назад +1

      Ma shall ah ustadh wetu allah akujaalie

    • @ashuradaud8577
      @ashuradaud8577 3 года назад

      Napenda mawaidha yako japo cjaolewa bado

    • @ashuradaud8577
      @ashuradaud8577 3 года назад +1

      Napenda mawaidha yako japo cjaolewa bado

    • @zawadiayubu210
      @zawadiayubu210 Год назад

      Mashaallah nimeelimika xn

  • @fowziasheikh1147
    @fowziasheikh1147 4 года назад

    Allahu Akbar......mashaalah uislamu n dini alhamdulilah

  • @mmasha456
    @mmasha456 4 года назад +17

    Allah atuongoze wanawake wote wakiislam yaarab

    • @fatumampumbo6186
      @fatumampumbo6186 4 года назад

      Ameen yaarab

    • @ucjvvjcjjvih9934
      @ucjvvjcjjvih9934 4 года назад

      Am muna fro tz Mashaallah mi niliolewa miaka 7 nilipata mtoto wa kike 1 nikakosa matuzo kwa mume mwisho nilijiachisha mpaka sasa ni mwaka wa5 naishi peke yang sitamani ndoa kwa yaliyonipata mume mzizi sana

    • @mariamyoyote8172
      @mariamyoyote8172 4 года назад

      Amin thumma amin

    • @aliidrisaxmad5169
      @aliidrisaxmad5169 3 года назад

      Asalam alaikum

    • @aliidrisaxmad5169
      @aliidrisaxmad5169 3 года назад

      52710094

  • @abdulidrissaidrissakashais5799
    @abdulidrissaidrissakashais5799 5 лет назад +6

    Ahallawah akujalie kila lenye kheri ndan ya din na juu yamaisha yako

    • @hazelbrown4712
      @hazelbrown4712 4 года назад

      Ahallawah ndio nini Ndugu? Ni ALLAH ama Allah wala sio hivyo ulivyo andika wewe

  • @ummulkheir8321
    @ummulkheir8321 4 года назад +2

    Shukran,jazzaka Allah kheir

  • @رياالزنجباري
    @رياالزنجباري 5 лет назад +4

    Napenda sn sheh anaetoa mawaiza na ayaa asant sn shegh

  • @semenrajabu3891
    @semenrajabu3891 5 лет назад +3

    Mashanllah mawaidha tumeyaelewa vzr shukran

  • @thamratsaid8526
    @thamratsaid8526 4 года назад +1

    Mashallah mashallah Allah akubarik na akuhifadhi amiin

  • @hamzabyarwa6628
    @hamzabyarwa6628 4 года назад +1

    Manshaalha mafunzo mazuri sana rakini wenyewe awataki kusikiriza mawaiza kama hayo mtihani shekhe

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga4027 5 лет назад +104

    Mimi ni Mkiristo lakn napenda mawaidha ya huyu jamaa, Barikiwa sana bro

  • @ashaomary8881
    @ashaomary8881 5 лет назад +10

    Mashallah mashallah sheikh Allah akujalie pepo

  • @Oman-ik1be
    @Oman-ik1be 5 лет назад +4

    Mashaallah shehe nimejifuza mengi

  • @smaihsmaih2815
    @smaihsmaih2815 5 лет назад +2

    mashaa ALLAH tabaaraka LLAH huyu othman maalim mwengine nimetaladhadh

  • @shjshj864
    @shjshj864 4 года назад

    Shukran jazillah Allah akulipe kher shekh,lkn umenifrahisha 😃wanawake wanarudisha pumz kwa amri ya Allah aliosema waume waoe zaid ya wanne subhanna Allah vp tutaipata pepo jaman Allah aniepushe na wanawake km hao na waliotajwa wote kwa jumla allahumma aminy

  • @felixshirima2615
    @felixshirima2615 5 лет назад +1

    Barikiwa she wangu

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 года назад

    Asante mwenyezi mungu akubarik

  • @sangadaniel7735
    @sangadaniel7735 5 лет назад +2

    Mashaallah sheikh Allah akulipe kheri

  • @sophiahassan4869
    @sophiahassan4869 5 лет назад +2

    Mashaallah sherk kwa mawaidha Aya mazr...inshaallah tutabadilika kw uwezo w Allah n kusikiza mawaidha km Aya ...aaamin

  • @meedaafarai9677
    @meedaafarai9677 5 лет назад +7

    Hata wanaume mwingine wanatabia hizo poa.siku his si wanawake tu. Mungu atuhidi shekhar.

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 5 лет назад

      MEEDAA FARAI aamin thumaa aamin

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 5 лет назад +3

      Hii ni maada kuhusu wanawake na zipo za wanaume wenye tarbia mb'aya pia.
      Tafuta Sheikh Juma Amir wa Kenya, yeye alitoa tarbia kama 20 mbaya za Wanaume.

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 5 лет назад

      Hamidu Dongo
      Ma shaa Allah wacha nione nisikie in shaa allah

    • @meedaafarai9677
      @meedaafarai9677 5 лет назад

      Poa .Asante kunifahamisha. Nitafunguwa nisikie. Subhannallah

  • @Presenterramjtz
    @Presenterramjtz 5 лет назад +2

    Mashallah allah akupe taufiq zidi toa elimu zaid ikhwaa

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 4 года назад

    Mwenyezi mungu akuinuwe sheikh wetu

  • @ayshmem9924
    @ayshmem9924 5 лет назад +4

    Maashaallah shekhe Allah akujaalie gher inshaallah uzdi kutupa daawa

  • @nuuzuli5176
    @nuuzuli5176 5 лет назад +2

    Maashaallah
    Allah atubadilishe wanawake na atujaalie waume wenye kheri nasi.

  • @ashaherith1482
    @ashaherith1482 5 лет назад +5

    Masha Allah nakupenda sana shkh wanqu Allah akuzidishie elm

    • @stamirmusa4308
      @stamirmusa4308 4 года назад

      Mashallah shehe wetu mungu akuongoze uzidi kutupa mawaidha

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад +15

    Wanawake twapenda sana kusifiwa

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 5 лет назад

      Faiza Said
      Da faiza ww pia na mmeo msifie ili mfurahi wote in shaa allah

    • @faizasaid8262
      @faizasaid8262 5 лет назад

      Khadija Al sinae uwo ushabik je😂😂

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 5 лет назад

      Faiza Said
      Ahaha mie nitafanya anavotaka na ninavotaka pia 🤓🤓

    • @faizasaid8262
      @faizasaid8262 5 лет назад

      Khadija Al vizur

  • @htwwkha2179
    @htwwkha2179 4 года назад

    Siku hizi wanaume baadhi yao wana kauli chafu kidogo katoa maneno machafu,ht ukimuelekeza kichwa kizito.mpaka wake wanajiona wana bahati mbaya.hawaswali,wavivu,wabishi,wanachefua hadi hutamani kula nae chakula cha usiku,yaani ni msiba.mi naona muandae darsa muwakumbushe wajibu wao.mke anapenda kauli nzuri pia.basi utasikia sisi watu wa pwani ni kawaida kuzungumza lugha za uovu.ukiteleza kidogo utasikia nakulisha mimi.

  • @mussamussa7541
    @mussamussa7541 3 года назад

    Maaaashallaaah, nimept darsa kubwa sn maana nipo mbioni kutft mke Allah aniongz

  • @sofialion4925
    @sofialion4925 4 года назад +2

    Mashaallah jazaka Allah kher

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад +7

    Nilipo kataliwa na kijana muislam akatokea mumewangu alikua amesilimu nakumbe alisilimu kwajili ya mke matatizo yakaaza hapo mungu aniongoze nakuwaongoza waislam wote inshaallah

    • @halifaparago4384
      @halifaparago4384 5 лет назад +3

      fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin ,Mungu akupe sbra ishallah

    • @nyabenyabenda664
      @nyabenyabenda664 5 лет назад +1

      Samahani sana naomba namba yako

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 5 лет назад +1

      fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin
      Pole da tumaa Allah yuko pamoja na wenye kusubir
      Subir da tuma

  • @roggerrajab9782
    @roggerrajab9782 4 года назад

    Nashukuru kwa mafunzo mema na nimekuelewa Sheikh

  • @ashaasalimu8225
    @ashaasalimu8225 5 лет назад +3

    allah akupe mwisho mwema sheghe

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 года назад

    Mashallah shukran umetufunza

  • @khalfansuleiman6206
    @khalfansuleiman6206 4 года назад +5

    MAASHA-ALLAAH M.MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU ZAID NA AKULINDE NA HASAD

  • @mwamvuahamisi953
    @mwamvuahamisi953 5 лет назад +4

    Mashaallah mawaidh mazur

  • @saidimohammed2455
    @saidimohammed2455 5 лет назад +7

    Mash Allah

  • @yusuphumohammed5833
    @yusuphumohammed5833 5 лет назад +1

    Mashaalah Allah akulipe ishaallah

  • @jamesisaya5448
    @jamesisaya5448 5 лет назад +1

    jameni mashallah mungu akupe muongozo ulo mwema

  • @nangekhesrednib8945
    @nangekhesrednib8945 5 лет назад +3

    🤣😂🤣😂🤣...Vallah...huyo Mwanamke Manaana...ilifanya niangue kijeko....huyo wifi Yangu......twamuogopa...Sheikh....endelea kutuba mafundisho.... Maşallah...🙏🏼🙏🏾

    • @salehemsumi3752
      @salehemsumi3752 4 года назад +1

      Wifiako tena hp tusikilize nawaidha cio kutajana majina itakuwa ndio mwanzo wa ugonvi

    • @salamashabani4100
      @salamashabani4100 4 года назад

      @@salehemsumi3752 Masha Allah,nimecheka mwenyewe ya Allah

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 5 лет назад +7

    Mashallah Mashallah Allah Akupe Mwisho Mwema Tunaomba Hiyo Pat 2 Hizo ila Saba Zilizo Bakia

  • @hamidkulanga6781
    @hamidkulanga6781 5 лет назад +7

    ma shaa allah

  • @zakiyahussain8902
    @zakiyahussain8902 3 года назад

    Mashaallah. Shukran sana shekhe

  • @fatumaramadhanmashaallahal9966
    @fatumaramadhanmashaallahal9966 5 лет назад +5

    Na yote yalitokana na kuambiwa mm nilitaka katika mlango mbaya babangu alikua mchaga mzaramu nikaambiwa sifai kuolewa ni mlango m baya nashukuru kwakua asman maalim husema katika kile kibaya hupatikana watoto wa zuri inshaallah mungu atuongoze inshaallah

    • @khadijaal6548
      @khadijaal6548 5 лет назад

      fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin
      In shaa Allah da tumaa

  • @ismailnamtuma1830
    @ismailnamtuma1830 2 года назад

    Alhamdulillaaah,,mashallaah.allaaah akuzidishie elimu

  • @ndetikiti6150
    @ndetikiti6150 5 лет назад +1

    Mashaalah she he allha akuhifadhi
    Na aurally heri ya hapa ndunia Na ahera