Mashallah shukrain shekhe wetu allah akujalie afya njema mashallah mawaidha mazuri allah atujaliye tuwe miongoni ya wanawake wema nashukru allah kunipa rafuraha ya Ndoa yangu mashallah ss hv nina miaka17 Allah ajaliye yenye kudumu na Baraka tele na tushi mpaka tuzikani inshaallah nawaombea na wengine awajalie walio kuepo kwenye Ndoa allah awajalie Ndoa za kudumu na lakuwa awajaowa,ajaolewa allah awajalie wapate wake wema 'Waume wema inshaallah allahuma ameen 🤲
Shukra shekhe wetu Othman Michael Allah akujalie kila lenye kher na barka hapa dunian na akhera pia Allah atujalie tuwe waja wema miongoni mwa waja wema walokwisha kutangulia 🙏Amin yaaraby
Shukran shehe wetu mm yamenikuta hayo Lakin nimesubiri kwa Allah kwani katika yule mume mbaya nikipata watoto wa zuri mungu aniongozee watoto wangu inshaallah
Masha Allah Shekh,mawaidha yamenigusa Sana Mimi binafsi tangu nimeolewa nimekuwa wa kukosolewa na si kusifiwa kwa kila nililololifanya,Allah awabadilishe wanaume kupitia mawaidha haya Insha Allah..
Jazakha Allah,,, kheeir,,nafurahia xana darsa lako,,,Allah akuzidishiye umri refu duniani,,,uzidi kutunufaisha na ilmu,,,ningeomba utupe jina la mahad ambaye umepata ujasiri ya Dini,,ili watoto wetu,,,kaka zetu pia wajiunge nalo,,,Wa billahi taufiq,,,
Shukrani shekhe Allah akujalie na ww pia uwe na mke mwema na mm pia Allah azidishe busala niliyo nayo kwa mme wangu inshaallah niwe miongoni mwa wale walio tangulia amiina
Am muna fro tz Mashaallah mi niliolewa miaka 7 nilipata mtoto wa kike 1 nikakosa matuzo kwa mume mwisho nilijiachisha mpaka sasa ni mwaka wa5 naishi peke yang sitamani ndoa kwa yaliyonipata mume mzizi sana
Shukran jazillah Allah akulipe kher shekh,lkn umenifrahisha 😃wanawake wanarudisha pumz kwa amri ya Allah aliosema waume waoe zaid ya wanne subhanna Allah vp tutaipata pepo jaman Allah aniepushe na wanawake km hao na waliotajwa wote kwa jumla allahumma aminy
Hii ni maada kuhusu wanawake na zipo za wanaume wenye tarbia mb'aya pia. Tafuta Sheikh Juma Amir wa Kenya, yeye alitoa tarbia kama 20 mbaya za Wanaume.
Siku hizi wanaume baadhi yao wana kauli chafu kidogo katoa maneno machafu,ht ukimuelekeza kichwa kizito.mpaka wake wanajiona wana bahati mbaya.hawaswali,wavivu,wabishi,wanachefua hadi hutamani kula nae chakula cha usiku,yaani ni msiba.mi naona muandae darsa muwakumbushe wajibu wao.mke anapenda kauli nzuri pia.basi utasikia sisi watu wa pwani ni kawaida kuzungumza lugha za uovu.ukiteleza kidogo utasikia nakulisha mimi.
Nilipo kataliwa na kijana muislam akatokea mumewangu alikua amesilimu nakumbe alisilimu kwajili ya mke matatizo yakaaza hapo mungu aniongoze nakuwaongoza waislam wote inshaallah
Na yote yalitokana na kuambiwa mm nilitaka katika mlango mbaya babangu alikua mchaga mzaramu nikaambiwa sifai kuolewa ni mlango m baya nashukuru kwakua asman maalim husema katika kile kibaya hupatikana watoto wa zuri inshaallah mungu atuongoze inshaallah
Asante sheikh wetu,naomba mungu anipe mume mwema inshaallah.
Mashallah shukrain shekhe wetu allah akujalie afya njema mashallah mawaidha mazuri allah atujaliye tuwe miongoni ya wanawake wema nashukru allah kunipa rafuraha ya Ndoa yangu mashallah ss hv nina miaka17 Allah ajaliye yenye kudumu na Baraka tele na tushi mpaka tuzikani inshaallah nawaombea na wengine awajalie walio kuepo kwenye Ndoa allah awajalie Ndoa za kudumu na lakuwa awajaowa,ajaolewa allah awajalie wapate wake wema 'Waume wema inshaallah allahuma ameen 🤲
Allahumah Ameen Ya Allah🙏
Mimi cyo muislam ila napenda saana mawaidha yako sheikh m/mungu aendelee kukulinda akupe afya njema
Shukra shekhe wetu Othman Michael Allah akujalie kila lenye kher na barka hapa dunian na akhera pia Allah atujalie tuwe waja wema miongoni mwa waja wema walokwisha kutangulia 🙏Amin yaaraby
Mashaallah shehe wetu mungu akupeni afya na siha njema muzidi kutukumbusha yalio mema ili tuyafanye
Allah atujaalie tuwe wanawake wema inshaallah
Mashaallah mawaiza mazuri sana mungu akuzidishie
asante saana sheikh wangu ,jamani naomba niwe mke mzuri kwa mme wangu ameen
Upo wap kwa sasa
Sawa mke wangu
Juhudi ipite Sasa sio uwebora2
Amiin
Shehe mimi piya yamenikuta kwamume wangu nimatisho yatalaka na nishehe anajua sheriya napaka sasa kanitenga bila sababu nikimuliza akasema nikutumiye talaka yako nashidwa ?
Mashallah Allah sw atujaalie tuwe miongoni mwa wanawake wema yarab. Shukran sana Allah barik
my favourite all time sheik
Manshallah shekh mungu akujalie kila LA kheri inshallah
Taqwa
Subhanalha
Takbiri..ALHAHU.AKBAR
Shukran saana sheikh Allah akupe pepo uipendayo
ماشاء الله
جزاك الله خيرا يا شيخ عثمان
Umetunza mazuri tumepata faida shukran sheikh othman mola akubariki akuruzuku Afya njema
Shehe ubarikiwe
Mashallah mungu akuzidishie utoe mawaidha mazuri zaidi
Mashaallah Allah Akbar mungu akujalie mwisho mwema
Amiin
Mashaallah shkh Mungu akupe afya Yarrab... (amiin)
Ameen
Amiin
Shukran shehe wetu mm yamenikuta hayo Lakin nimesubiri kwa Allah kwani katika yule mume mbaya nikipata watoto wa zuri mungu aniongozee watoto wangu inshaallah
Maashallah tabaraqallah nakupenda kwa ajil ya allah
masha Allah, Asante kwa mafunzo mema Allah azidi kukuhifadhi sheikh wetu
Ahsante sana sheikh kwa mawaidha mazuri naomba Allah anijaalie mume mwema inshaallah
Asante kwa mafundisho mazuri
Shukran ya sheikh. Allah atujaalia nyumba nzur, zilizoepushwa na umal'un
Daaah Ni kweli kbs
Masha Allah Shekh,mawaidha yamenigusa Sana Mimi binafsi tangu nimeolewa nimekuwa wa kukosolewa na si kusifiwa kwa kila nililololifanya,Allah awabadilishe wanaume kupitia mawaidha haya Insha Allah..
Ni kweli. Hata mimi. Nakosa. Hara. Ya. NDOWA. Yangu. Kabisa Sana tu na mchukiyA. Ndoa. Hii
Yaani unakosolewa hadi unajiona takataka
Mwnyazi Mungu awzindishie hekima 💖
Nmekuerew maalm
Mashaalla
@@khadijamsongo7681 ommysum08@gmail.com Mom me mom mmmpmmmmmm
Maashaallah tabarakallahu Rahman Sheikh umetupa darsa nzur tutaitumia kwa familia zetu na ndugu zetu ktk maisha yetu
Allah akujaalie kila la kheri inshaallah
Baarakallahu fiik.
Masha Allah nampenda huy sheikh kwanza mawaidh yake manzuri Allah akupe umri mref wenye kheri Insha Allah
mashallah huna tofauti na sheikh Othman maalim kasoro ni ndevu tu
Allah ajaalie nizidi kuwa mke mwema kwa mume wangu. Maana hizo sifa ulozitaja sina ht moja Alhamdulillah
Masha Allah
Mashallah
Allahubaariq
Mashallah mungu akupe wepesi
Jazaak Allah kheir. Niliwahi kuzisikia sifa hizi kwa sheikh Othman Maalim namfatilia sana.
Jazakallahulkheir.
Jazakha Allah,,, kheeir,,nafurahia xana darsa lako,,,Allah akuzidishiye umri refu duniani,,,uzidi kutunufaisha na ilmu,,,ningeomba utupe jina la mahad ambaye umepata ujasiri ya Dini,,ili watoto wetu,,,kaka zetu pia wajiunge nalo,,,Wa billahi taufiq,,,
Nimekupenda shkeikh Allah akuwekee miaka yenye kheir na ww inshallah🤝
Aamin thumma aamin
Mashallah Allah akuzidishiye riziki na ilimu akupe mwisho mwema
Manshaallah nimejifunza asante kwa elimu allah akulipe inshaallah haya mawaidha namsilizisha mume wang cku ya ndoa inshaallah soon
Maa sha Allah jazakallah kheri shukran sana
Asante ustaadh ishallah mungu akujaze zaidi baraka,tunaomba nasi kina mama tujue wanaime na tabia zao tofauti tuwe na uchaguzi
Huyu Sheikh namuelewa sana.. Mungu hakupe umri mrefu
Ni kweli sauti yake ni kama ya sheikh Othman maallim. Allah Awajaze wote wawili ksa mawaidha mazuri
Inshalaah ostathi wetu alllah akujalie umri mrefu
Mashaallah ustadh mungu akupe kheri 🙏 kutu jenga
MaashaaAllah sheikh mawaidha mazuri Allah akupe afya na umri uzid kutuelimisha
MashaAllah
Mashaallah mawaidha mazur sana
Pongezi Sanaaa sheikh kwa mafunzo mazuri 🔥🔥🔥💥💥
Mashaallah shekhe nimekupnda bure nimejifnza mengi allah akuweke inshaallh
Shukran sheikh wetu Allah akulipe kila la kheri
Manshaa Allah Tabaraqhallahu khair Allah akulipeni kila lakheir sheikh Othman😍😍
Silimu kwa ajili ya allah
Asante shekhe ila hizo tabia na wanaume wanazo na wanatuvunja moyo kwa kweli cc wanawake
Shukran Jazakallahu kheir.wake wangu wanatabia izo.naomba yarabi anipe mke mwema
Masha Allah tabaraka Rahman,tunashkur kwa mawaidha sheikh
Mashallah mashallah mawaidha mazur sana Shukran ustadhi
Kumbuka kujistiri Bi fatmah jina LA mtoto wa mtume wetu badilika
Shukran sana shekhe wetu.Allah akuzidishie hekma.
Maashalah
Mashalha shekhe
Mungu atunusuru na utusamehe Kwan mngne tushayafanya mungu tusameje inshallah
MashaAllah
Nimeipenda allah nijalie niwemke mwema kwa mumewangu
Aaaaamin
jaazakhallah kheri sheikh
Mashalla nimekupenda kwajiri ya allaa mungu akuweke mywaka miya ishallaa
Ma shaa Allah nimepata kujifunza mengi Allah akupe siha njema shk wetu
Mashaallah shekhe tunakuelewa sna shukrani
Balaka allahuh fii ya ustadh
Naaminii me ni mkee mwemaa kwaa mumee wanguu
Asalam alaikum
52710094
Shukrani shekhe Allah akujalie na ww pia uwe na mke mwema na mm pia Allah azidishe busala niliyo nayo kwa mme wangu inshaallah niwe miongoni mwa wale walio tangulia amiina
Ma shall ah ustadh wetu allah akujaalie
Napenda mawaidha yako japo cjaolewa bado
Napenda mawaidha yako japo cjaolewa bado
Mashaallah nimeelimika xn
Allahu Akbar......mashaalah uislamu n dini alhamdulilah
Allah atuongoze wanawake wote wakiislam yaarab
Ameen yaarab
Am muna fro tz Mashaallah mi niliolewa miaka 7 nilipata mtoto wa kike 1 nikakosa matuzo kwa mume mwisho nilijiachisha mpaka sasa ni mwaka wa5 naishi peke yang sitamani ndoa kwa yaliyonipata mume mzizi sana
Amin thumma amin
Asalam alaikum
52710094
Ahallawah akujalie kila lenye kheri ndan ya din na juu yamaisha yako
Ahallawah ndio nini Ndugu? Ni ALLAH ama Allah wala sio hivyo ulivyo andika wewe
Shukran,jazzaka Allah kheir
Napenda sn sheh anaetoa mawaiza na ayaa asant sn shegh
Mashanllah mawaidha tumeyaelewa vzr shukran
Mashallah mashallah Allah akubarik na akuhifadhi amiin
Manshaalha mafunzo mazuri sana rakini wenyewe awataki kusikiriza mawaiza kama hayo mtihani shekhe
Mimi ni Mkiristo lakn napenda mawaidha ya huyu jamaa, Barikiwa sana bro
Amos Mwanga karibu zaidi na uitwe ISSA.
Mashaallah.. Amos Mungu akupe kher
Karibu Dini ya Unyenyekevu..
@@zahramunir8596 Amina
@@aishamaulid2358 hahahaaaa ubarikiwe
Mashallah mashallah sheikh Allah akujalie pepo
Mashaallah shehe nimejifuza mengi
mashaa ALLAH tabaaraka LLAH huyu othman maalim mwengine nimetaladhadh
Shukran jazillah Allah akulipe kher shekh,lkn umenifrahisha 😃wanawake wanarudisha pumz kwa amri ya Allah aliosema waume waoe zaid ya wanne subhanna Allah vp tutaipata pepo jaman Allah aniepushe na wanawake km hao na waliotajwa wote kwa jumla allahumma aminy
Barikiwa she wangu
Asante mwenyezi mungu akubarik
Mashaallah sheikh Allah akulipe kheri
Mashaallah sherk kwa mawaidha Aya mazr...inshaallah tutabadilika kw uwezo w Allah n kusikiza mawaidha km Aya ...aaamin
Aaamina
Hata wanaume mwingine wanatabia hizo poa.siku his si wanawake tu. Mungu atuhidi shekhar.
MEEDAA FARAI aamin thumaa aamin
Hii ni maada kuhusu wanawake na zipo za wanaume wenye tarbia mb'aya pia.
Tafuta Sheikh Juma Amir wa Kenya, yeye alitoa tarbia kama 20 mbaya za Wanaume.
Hamidu Dongo
Ma shaa Allah wacha nione nisikie in shaa allah
Poa .Asante kunifahamisha. Nitafunguwa nisikie. Subhannallah
Mashallah allah akupe taufiq zidi toa elimu zaid ikhwaa
Mashaallah
Mwenyezi mungu akuinuwe sheikh wetu
Alhahu.maswali.aaala.Nabiii..Muhammad
Nz
Maashaallah shekhe Allah akujaalie gher inshaallah uzdi kutupa daawa
Rhuyt
P
Maashaallah
Allah atubadilishe wanawake na atujaalie waume wenye kheri nasi.
Masha Allah nakupenda sana shkh wanqu Allah akuzidishie elm
Mashallah shehe wetu mungu akuongoze uzidi kutupa mawaidha
Wanawake twapenda sana kusifiwa
Faiza Said
Da faiza ww pia na mmeo msifie ili mfurahi wote in shaa allah
Khadija Al sinae uwo ushabik je😂😂
Faiza Said
Ahaha mie nitafanya anavotaka na ninavotaka pia 🤓🤓
Khadija Al vizur
Siku hizi wanaume baadhi yao wana kauli chafu kidogo katoa maneno machafu,ht ukimuelekeza kichwa kizito.mpaka wake wanajiona wana bahati mbaya.hawaswali,wavivu,wabishi,wanachefua hadi hutamani kula nae chakula cha usiku,yaani ni msiba.mi naona muandae darsa muwakumbushe wajibu wao.mke anapenda kauli nzuri pia.basi utasikia sisi watu wa pwani ni kawaida kuzungumza lugha za uovu.ukiteleza kidogo utasikia nakulisha mimi.
Maaaashallaaah, nimept darsa kubwa sn maana nipo mbioni kutft mke Allah aniongz
Mashaallah jazaka Allah kher
Nilipo kataliwa na kijana muislam akatokea mumewangu alikua amesilimu nakumbe alisilimu kwajili ya mke matatizo yakaaza hapo mungu aniongoze nakuwaongoza waislam wote inshaallah
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin ,Mungu akupe sbra ishallah
Samahani sana naomba namba yako
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin
Pole da tumaa Allah yuko pamoja na wenye kusubir
Subir da tuma
Nashukuru kwa mafunzo mema na nimekuelewa Sheikh
allah akupe mwisho mwema sheghe
Mashallah shukran umetufunza
MAASHA-ALLAAH M.MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU ZAID NA AKULINDE NA HASAD
Maashaa Allaah Allaah akupe Elimu yenye manufaa
Mashaallah mawaidh mazur
Mwamvua Hamisi mazuri sana
Mash Allah
Mashaalah Allah akulipe ishaallah
jameni mashallah mungu akupe muongozo ulo mwema
Subhanalha mashalha
🤣😂🤣😂🤣...Vallah...huyo Mwanamke Manaana...ilifanya niangue kijeko....huyo wifi Yangu......twamuogopa...Sheikh....endelea kutuba mafundisho.... Maşallah...🙏🏼🙏🏾
Wifiako tena hp tusikilize nawaidha cio kutajana majina itakuwa ndio mwanzo wa ugonvi
@@salehemsumi3752 Masha Allah,nimecheka mwenyewe ya Allah
Mashallah Mashallah Allah Akupe Mwisho Mwema Tunaomba Hiyo Pat 2 Hizo ila Saba Zilizo Bakia
Mashallah shekhe
Maashaallah
ma shaa allah
Mashaallah. Shukran sana shekhe
Na yote yalitokana na kuambiwa mm nilitaka katika mlango mbaya babangu alikua mchaga mzaramu nikaambiwa sifai kuolewa ni mlango m baya nashukuru kwakua asman maalim husema katika kile kibaya hupatikana watoto wa zuri inshaallah mungu atuongoze inshaallah
fatuma Ramadhan mashaallah Allahu barikin
In shaa Allah da tumaa
Alhamdulillaaah,,mashallaah.allaaah akuzidishie elimu
Mashaalah she he allha akuhifadhi
Na aurally heri ya hapa ndunia Na ahera