Jazakumllahu khayra shekh wetu OTHMAN naswaha nzuri Masha Allah tabarakallah mola atujaalie tuwe wachaji allah kiunyenyekev ili tupate kurehemew na Allah na tumuombe Allah atujaalie tukutn na rasullu swallahu alayhi wasaalama peponi Ameen 🤲🤲😢😢 Yaa rabbi tujaalie Pepo Yako kwa rehma zako 😢😢 amiin tulinde na ghazabu ya jahanaam 🤲
Yaaaarabiiii Allah atupe nafasi Ummat Mohammad sote tuipate Pepo hiyo biidhinlah na atusamehe dhambi zetu na atukutanushe na kipenz chetu mtume Mohammad s.a.w, Kwan Allah ni msikivu na husamehe,❤❤
Shekh othuman maalim mwenyezi mungu akujaalie afya njema uwe wa kutujuza kama hivi Inshallah nataman Sana siku moja nikuona uso kwa uso napenda Sana kusikiliza mawaiza yako shekh wangu mwenyezi mungu akujaalie Sana shekh unanipa wakati mzuri Sana ninapo kusikiliza shekh mwenyezi mungu atujaalie tuwe na mwisho mwema waislam wote Inshallah tuwe wenye kuiona pepo ya mwenyezi mungu subhannal huu wataala
Mashaallah ♥️ ♥️, Allah atuandike pamoja na waja wake wema ya Rabby 🙏. Naulzaje: mtu akikukopa kias cha FEDHA zako kisha akatae kukulipa unatumia njia gani ya sawa yaan ki Dini unasoma dua gani ili aweze kuregesha / kukulipa????
Ewe mwenyezi mungu mkuu mjaalie sheikh wetu maisha mazuri duniani na akhera na utujaalie mwisho mwema waja wa mtume Mohamed s.w.s inshaallah
❤❤❤
Allahuma ameen
4om4@@RehaniOmar
Amiiiin yaraab 🤲❤️
😊😊
Ewe mwenyezi Mungu mtukufu nakuomba mjalie shekhe wetu mwisho mwema
Jazakumllahu khayra shekh wetu OTHMAN naswaha nzuri Masha Allah tabarakallah mola atujaalie tuwe wachaji allah kiunyenyekev ili tupate kurehemew na Allah na tumuombe Allah atujaalie tukutn na rasullu swallahu alayhi wasaalama peponi Ameen 🤲🤲😢😢 Yaa rabbi tujaalie Pepo Yako kwa rehma zako 😢😢 amiin tulinde na ghazabu ya jahanaam 🤲
Nmefarijika sana na mawaidha yko sheikh Allah akupe mri mrefu uzid kutufahamisha insha allah
Mawaidha yako ni mazuri sana yanajenga na kufundisha mungu akujaalie umri mrefu uendelee kutuelimisha inshaallah
Mashaallha mungu amueke sheikh wetu ni zawadi kutoka Kwa allha
Amiiin
Masha Allah Masha Allah
Allah akusamehe ulipokosea na akujaze kheri wewe na kizazi chako
Allah akuongeze umri utuelimishe ishallah shukran
Ameeen Allahumma Ameen Yarabil allameen 🤲 🙏 shukran sheikh Jazaka Allahu kher ❤❤❤
Jazaaka lwahu khair ya muallim,allah akujaze kheri hapa duniani na kesho akhera,na akupe pepo ya firdaus.aamiin thumma amiin❤.
Yaaaarabiiii Allah atupe nafasi Ummat Mohammad sote tuipate Pepo hiyo biidhinlah na atusamehe dhambi zetu na atukutanushe na kipenz chetu mtume Mohammad s.a.w, Kwan Allah ni msikivu na husamehe,❤❤
Allah akulinde na kila Shari shekhe wetu
mwenyezi mungu amjalie shekh wetu
Allahu jamillu yuhibbu jamalla, swadakata sheikh wetu ' haiyaka allah
ALLAH akuneemeshe😊
Yaa Rabbi tusamehe Sisi Wana wako hakika sisi niwadhaifu kwako
Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
Inshallah Allah atusamee
Wallah maalim othuman allah akujaze kher mpk cku ya kiyama yaan nikickliza mawaidha yako huwa napata ucngiz mzuuur wallah allah ndo anajua
Mashalla 🤲 mm piya hata kama Niko na hasiraa nikisikiza mawaidha yake nafarijika waallah
Mungu akubaki sana wewe na ss inshalaa
Allahumma Aamin
Maashaslsh❤❤❤❤
Maa shaa ALLAH 🇰🇪💚💚💚
Masha ALLAH
Mashalla 🤲
Inshallah sheikh mwenyez mungu akujaliye mwisho mwema uzid kutujuz 🙏🙏
Shekh othuman maalim mwenyezi mungu akujaalie afya njema uwe wa kutujuza kama hivi Inshallah nataman Sana siku moja nikuona uso kwa uso napenda Sana kusikiliza mawaiza yako shekh wangu mwenyezi mungu akujaalie Sana shekh unanipa wakati mzuri Sana ninapo kusikiliza shekh mwenyezi mungu atujaalie tuwe na mwisho mwema waislam wote Inshallah tuwe wenye kuiona pepo ya mwenyezi mungu subhannal huu wataala
ماشاء الله تبارك الله
Sheikh Othman Maalim Allah akupe umri uzidi kuelimisha watu
Allah akuneemeshe
Mashaallh
Mashaallah🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Allahuma Amiin Shukran Jazaakum Allahu kheir Shekh ♥️♥️♥️
Allah akupe umri mrefu shekhe uzidikutuelimisha
Leo sheikh Othman nimesoma jambo kubwa sana ❤
Mashaallah ♥️ ♥️, Allah atuandike pamoja na waja wake wema ya Rabby 🙏. Naulzaje: mtu akikukopa kias cha FEDHA zako kisha akatae kukulipa unatumia njia gani ya sawa yaan ki Dini unasoma dua gani ili aweze kuregesha / kukulipa????
Allah akbar
❤
❤❤❤❤❤❤❤
Jazakallah khayran
Ameen
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
Walykum Salam warahmatullah wabarakatuh
Nataka kuuliza swali
Uliza
Mm nimeota kua nimeingia peponi tena si mara moja, je hizi ndoto zamanisha nn tafadhali
Mwenyezimungu akupe afya na umri mrefu uzidi kutufundisha hekma na busara.sisi wazazi na vizazi vywetu kwaujumla
Masha allah
❤❤❤❤❤