YA RABBII WAPEE KHERI NYINGI MA SHEIKH WETU NA FADHLA NA BARAKA NA REHMA ZAKO ZIWAAENEEE KWA UPANA USIO KUA NA MAKADIRIO......... KWA KUWA HAO NDIO WARITHI WA MITUME WAKO...... WANAJITAHIDI KTK JUHUDI ZA KUELIMISHA UMMA......... 😶😌😁😁😄😄😃😀
Shukran sana kwakisomo takatifu natafsili yake shukran sana Allah akulipe msomaji na anae tafsili shukran zaid zimwendee Allah ndy mwing wanehema namwenye kurehemu shukran yaAllaby shukran
Allahuma rabbanaa samiina Ewe Allah mtukufu kwa hakika tumekiri kwako na tumenyenyekeya kwako na hatuna nguvu yeyote wala uwezo wowote juu yako Yaa Rabbi kwa hakika hiyi Qur'an tukufu ni ushahidi mkubwa sisi ni madhaifu wa kubwa kwako tutiye taufiq katika maisha yetu Yaa Allah we we ndio rafiki wetu wa kweli hutuachi kwenye shida na raha Yaa Allah tunakupenda sana zaidi ya kila kitu Arrahman Arrahiim
Alhamdullilah ya rabb 🤲🏽 kwa wote waliotumia muda wao kutuandalia Quran kwa njia hii inatusaidia sana tuliobadilisha dini kujifunza. Allah awazidishie kheri, na awape pepo yake amiin 🤲🏽🤲🏽
Alhamdulillah nashukuru nimezaliwa ndani ya uislam , bado niko kwenye uislam na inshallah namuomba mwenyezi mungu umauti unikute nikiwa kwenye uislam, mwenye kumuabudu yeye tu na kuamini uislam ni dini ya haki...inshallah pia anifanyie wepesi wa kutimiza na kuyafuate yale aliyoamrisha na kuyaacha yale aliyokataza...hii surah ni heavy weight imemaliza kila kitu kwenye uislam na maisha ya mwanadamu kiujumla..
Allah akihifadhi ustadh wetu Suleiman Hibri (tall). Hakika umeifanya kazi dini tunakuomba pepo ya Daraja ya juu utakapoitwa na Allah. Allah akupe umri mrefu tuzidi kufaidi kama nasi tutakuwa duniani.
Allahuma ajirin minanari jazakallah ghairu shukran san hakuna shaka ndani y uislam naflaia kuzaliwa ktk uislam allah akbar alove Quran lailaha illah muhamad rasurullah
Subhanaa Allah Hakikaa *Qur'an* Ina mazingatio Makubwaa Sana kwa wenye akili na kutafakari juu ya uumbwaji wetu, kuzaliwa kwetu, kufa kwetu na kufufuliwa kwetu Yaarab tujaghalie mwisho ulomwema na tuwe ni wenye kutenda yaliyo mema *Amiiin*
Allah akupe umr SHEIKH Mishar Rasheed na amrehemu SHEIKH Abdallah Farsi Kwa kazi yake ya tafsir. Wallahy Qur'an ni IBRA kwetu na kitulizo na ndo misq ya Moyo kwetu waislamu. Allah tupe muongozo Mwema soote waislamu
Mashaallah allahu akbar ewe tutie Imani kwenye vifua vyetu vilainike pindi tunapo sikia makatazo yako na tunapo sikia Jina lako tuwe na hofu tunapo sikia adhabu zako tuogope amiin yarabil amiin inshaallah 😭😭😭😭😢😢
Alhamdulilah, bado tunazidi kufaidika na ilmu hii ya kur an na tafsiri yake. ALLAH awazidishie nyote alosoma qur an na alotafsiri pia. Na awafanyie wepesi wa mambo yenu. Aameen.
May Allah bless the ummah of Muhammad swalla lwahu alahi wassallam I love this surah bcs the recitation is so beautiful and the meaning mashallah may Allah grant us jannah
Mashallah mashallah. ALLAH akulipe ujira mzuri mnoo maana nimekaa tu nimetamani kusikiliza tafsiri toka kwko sheik wetu,basi nimeiridhisha nafsi yangu kwa hiki kilichotaka.
Mashaallah mwenyezi mungu awajalie mhendeleze hivihivi
Masha Allah inapendeza sana kusikiza Quran Allah Akulipe Janatul Firdaus Amiin Amiin
Maashallah hiii ndio sabuni ya roho yaarab tuepushe na uongo ili tupate kufaulu siku zote na katka imaan na utuokoe dunian kaburini na akhera amin
Amin ya Rabby
Amiin yarabiiii
اللهم أمين 🤲🙏
ALLAH nijalie upendo huu huu uwe enderevu wa kuipenda Quran tukufu na kuisikiliza ❤❤❤❤❤🙏
Mwenyezimungu akulipe kila lilirojema hapa Duniani na akhera kwa kazi nzr yakutuelimisha
Subahanaaallah,, 😭😭hakika quraan ni mzr ukizingatia
Ataukue na stress aje basi skiza Qur'an tukufuuh.. maash Allah kwa kila mwenye kuskiza Qur'an .. na tafsiri yake
Allahmdulillah twamushukuru mwenyezi mungu kwa ulinzi wake nafadhili zake Eee mullah udhidi kutuepusha nakiahama nagazabu mablimbali na umauti nauzee ☝🏽niwewe pekeyake unastahili kuabudiwa 🤲🏽na mtetezi wetu Amin
Mwenyezi mungu tusamehe makosayetu tunakuomba mwisho mwema
Mwenyezi mungu tusamehe makosa yetu tunakuomba mwisho mwema
Amin🤲
Ya Allah tuwezeshe nasi kuhifadhi kitabu chako Ya Rabbi. Amiin
Amin 🤲 yaaraby 😢
Aamiin YAA ALLAH RABBI ❤❤❤
Amiin
Allah akulipe kher sheikh wetu kwa tafsiri nzuri sana 🌹🌙⭐️
Mumba akuzidishie Muslim mwezetu lea tafsir nzur
Allah akbar. Allah atuongoze katka njia ilokua sahih ya kumuabudu yeye pekee na kufuata mema. Min
YA RABBII WAPEE KHERI NYINGI MA SHEIKH WETU NA FADHLA NA BARAKA NA REHMA ZAKO ZIWAAENEEE KWA UPANA USIO KUA NA MAKADIRIO......... KWA KUWA HAO NDIO WARITHI WA MITUME WAKO...... WANAJITAHIDI KTK JUHUDI ZA KUELIMISHA UMMA......... 😶😌😁😁😄😄😃😀
AMIIN AMIIN THUMA AMIIIN
Shukran sana kwakisomo takatifu natafsili yake shukran sana Allah akulipe msomaji na anae tafsili shukran zaid zimwendee Allah ndy mwing wanehema namwenye kurehemu shukran yaAllaby shukran
Masha Allah
Allah atuwekeye wepesi kuingia pepuni
Allahu akbar biyyadiqa kheri shukran Yaaa rabby kwa kuzaliwaa katika mishipa ya kislaam tupe hussni khatma amini amini ya rabby
Amin kwa waislam wote
Allahuma rabbanaa samiina
Ewe Allah mtukufu kwa hakika tumekiri kwako na tumenyenyekeya kwako na hatuna nguvu yeyote wala uwezo wowote juu yako Yaa Rabbi kwa hakika hiyi Qur'an tukufu ni ushahidi mkubwa sisi ni madhaifu wa kubwa kwako tutiye taufiq katika maisha yetu Yaa Allah we we ndio rafiki wetu wa kweli hutuachi kwenye shida na raha Yaa Allah tunakupenda sana zaidi ya kila kitu Arrahman Arrahiim
Aaaaamiyna
Amiiiina yaa rabby atusaidi sote tulio slm🙏
🙏🙏
Mashaa Allah, uwislam dini kamili, ya haki, Allah twakuomba tuongoze kwenye njiya iliyo ya haki
Mpaka umauti utukute tukiwa wenye kushikamana na haki kwa ubora wa kutekeleza maamrisho yake kwa mafundisho ya mtume Muhammad(saw), inshaallah!
Mashallah m/ mungu tupe mwisho mwema yarrabi
Alihamdulilah kwa tafsiri nzuri.
Mwenyezi Muungu atawalipa.
Asante sana Mwenyezi Mungu akulipe kila la heri apa duniani na kesho ahera insha Allah
Alhamdullilah ya rabb 🤲🏽 kwa wote waliotumia muda wao kutuandalia Quran kwa njia hii inatusaidia sana tuliobadilisha dini kujifunza. Allah awazidishie kheri, na awape pepo yake amiin 🤲🏽🤲🏽
Ameen kwa wote.
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 me
Amina ya rabbi
Amin Amin yaa rabby🙏
Ameen ameen
Alihamdullah nashukuru kuzaliwa kwenye Uislam Allah aniongoze kwenye Dini yangu na mazingatio yake
Amiin 🤲 ishaallah
Allahumma amiin
@@mwanajumamohammed4356ishallah..kila..la..kheli
Alhamdulillah I'm proud to be a Muslim.may the almighty allah guide us all to the right path.allahumma ameen.
Allahumma Ameen
Allha hamdulilah namshukuru Allha kwaneema ya kuwa muislamu ninamuomba Allha anisamehe mm nawazazi wangu na waumin wote siku ya kiama
Alhamdulillah nashukuru nimezaliwa ndani ya uislam , bado niko kwenye uislam na inshallah namuomba mwenyezi mungu umauti unikute nikiwa kwenye uislam, mwenye kumuabudu yeye tu na kuamini uislam ni dini ya haki...inshallah pia anifanyie wepesi wa kutimiza na kuyafuate yale aliyoamrisha na kuyaacha yale aliyokataza...hii surah ni heavy weight imemaliza kila kitu kwenye uislam na maisha ya mwanadamu kiujumla..
Mashallah tabarakallah❤❤❤
2:18:31
MashaAllah jazaka laah kheri asiye ukubali wislam hakika ameangamia vikubwa🔥
Mashaallah EWEMWENYEZIMUNGU namm Nijalie Kusoma Qur ani ishaallah
In shaa Allah
Jitihada wajadaaa
Yarabby turuzuku sisi wote waisilamu tuwe ni wenye kukuabudu nakufata vitendo vyako amiin inshaallah
Dua haiwekwi InshaAllah mbele yake. Bali tunaomba kwa iman kwamba Allah anaitakabali, inshaAllah kwenye dua si mahala pake. Allah anajua zaidi
@@sajumahege4903Masha'Allah hapo kweli
Asante sana kwa kutafili haya hii, na asante kwa msomaji wa aya hii 🙏🙏
mashallah ewe mola tujalie minalladhina yastamiuna qaula ahsan faya tthabiuna ahasna
Ameen
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 allow download
Ameeeeeeeen Ya-Rabb🤲🤲🤲🤲
Mashhalaah
Allah atujalie tufe tukiw wa islam na mung awe radh na ss
Mashalla allah akulipe kwa tufafanulia tujwelwe zahdi
Mashaallah uisilamu ndio ilio kamilika
Alihamdulilah I am so proud to be Muslim alihamdulilah
MaashaAllah jazzaqlahu Kher for giving us the knowledge.
Allah akihifadhi ustadh wetu Suleiman Hibri (tall). Hakika umeifanya kazi dini tunakuomba pepo ya Daraja ya juu utakapoitwa na Allah. Allah akupe umri mrefu tuzidi kufaidi kama nasi tutakuwa duniani.
Mashaallah tabarakallah,mola awajazie kila jema duniani na akhera ,awajazie rehma na neema zilizo njema
Lllllllllllllllllllpllllllllllllpllllllllllllplllllllllllll.lllllolllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllplllpllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllllollollllloollollllpolllollllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllollllllllllllolllllllllllllllplllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllpllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllpllollllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllopllllllllllllllllllllllllpllllllllllllllllllllollllllllllllllllllllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllllllllllllllllloll
Llllllllllpllllllllllllllllllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllollll lllllllllllllllllollllllllllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllolllollloollllllllllllllllllllllllllllllllllllpolllllllllllllll lllllllllllollllllll llllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllplllplllllllooll olllllllllllllllllllllllooll
Lllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllollollllllllllllllllllllllllllllollollllllllllllllllllllllloolllllllllllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllll lllllllll lolllllllllplllllllllllllllll lolllllollllllllllll llollllllllolllllllllllllllllolll llllllllllllllllllllllll
Llllllllllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllollllllllllllllllllllllolollllllllllllllllllllllllllllllllllllllolllolllllpllllllllllolllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllloll lllolll
Lllllllllllllllllllllllllllplllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllllollollllllllllllllllllllllllllllollollllllllllllllllllllllloolllllllllllllllpllllllllllllllllllllllllllllllllll llllllllolllllllllll
Lllllllllllllll llll LL lll lllllll ok l LL llllll LL llllllll LL llllllll look lllllllllllllllllll a lllllllllllllll ollplllllllllllll LL lllllll look llllllllollllllllllllllllllllllllllllllllllllll ll llllllllll LL llllllllollllllllllllllllllllllllllllllllllllll llllllllllllllolllllllllllllloolllolllplllllllll LL lollll LL llllllll LL llllllllll LL llllllllll lpllllllllllllllllll pp llllllllll l LL lllllllllllllo LL lllll
Jazaka Allahu khayr
Allah awape khayr za Qur'an duniani na akhera
Mashaalaah mungu ni mwema xana
mashaalllah. mungu atuongoze katika njia iliyo nyooka
MashaAllah ya Allah tujaliye tuwe miongoni mwa wenye kutenda mema
Tupe mwisho mwema
Yaa Allah tusamehe tunapo koseya
Yaa Allah tupe janah fildaus ❤
L9M
Masha.Allah shukurani ustadhi al.kurani
Mashallah mja wa Mungu Mungu akupe mwisho mwema na sie tunavyo kusikiliza Amen
Allah akufikixhe mahal pema peponi kwakulitangaza jina lake kwa waja wakee 🙏🙏🙏
Allahuma ajirin minanari jazakallah ghairu shukran san hakuna shaka ndani y uislam naflaia kuzaliwa ktk uislam allah akbar alove Quran lailaha illah muhamad rasurullah
Baraka Allah waafiwamikum
Mashaaàlh ewe Mumba tyujalie tuwe wenye kufaulu
Masha Allah jklh Mola akuzidishiye
Allah Awalipe kila la gheri kwa jambo hili jema mlilolifanya 🙏🙏
Mashaallah sheikh wetu Allah akupe kila lenye kheir na we
Ameen.
Manshalla mungu akufungulie milango ya pepo.
@@aminiomary7445 amiina
Amiiin
AMEEN
Mashaallah hakika mwenyeww kufatilia vitabu vya Allah vimetakacka avikuacha ya dunia na khaera jazzah Allah khery Allah awalipe mema mashk
Ameen kwa wote
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 Allah atujaze Iman
Maashaa Allah shukurani ustadhi kwaukumbusho lnshallah 🤲🤲 mwenyezi mungu Akuhifadhi lnshallah
This sheikhe insha ALLAH may ALLAH grant Firdau insha ALLAH
Allahakbar mwenzimungu akuzidishie kila lagher huko uliko amin
Subhanaa Allah Hakikaa *Qur'an* Ina mazingatio Makubwaa Sana kwa wenye akili na kutafakari juu ya uumbwaji wetu, kuzaliwa kwetu, kufa kwetu na kufufuliwa kwetu
Yaarab tujaghalie mwisho ulomwema na tuwe ni wenye kutenda yaliyo mema
*Amiiin*
Ameen
Ameen.
May Allah guide us and grant us goodness here in this world and here after
Amiin
Aaamin dhumma aamin.
Amiin
Najivunia kuwa muislam ❤️ Yallab tujalie mwisho mwema 🤲
Jazzakallah kheri. Allah awaongoze kama mlivyotuongoza sisi.
Aaamin
Mashaallah
Allh nijalie niwe mwenyekuisoma na kuisikiliza quran tukufu
Ametuka Allah Wetu Mtukufu Subhanah Wataala yeye mwenye sifa kamilifu Ya Hayy Ya Qayyum
Masha Allah tabarakah llah Allah atujaalie mwisho mwema Allah kareem 🤲
Allah akupe umr SHEIKH Mishar Rasheed na amrehemu SHEIKH Abdallah Farsi Kwa kazi yake ya tafsir. Wallahy Qur'an ni IBRA kwetu na kitulizo na ndo misq ya Moyo kwetu waislamu. Allah tupe muongozo Mwema soote waislamu
Awalinde na awape mwisho mwema
Ya rabbi tu ruzuku sisi wajawako kila yalio kua mema
Ameen ameen
Shukran kwakuzidi kutuilimisha mwenyezimungu atawajazi kheri inshallah 🙏 ♥
Al Quran tafsir one love asante japo ni mkristo nawapenda sanaa
Karibu
UNASUBIRI NN SASA KUSLIIM AU MPAKA MAUTI YAKUJIE GHAFLA
@@jimmymakundi3060 taratibu muendee kwa aya Mwenyezi mungu ni mwenye kuwaongoa walioko nje
Mashaallah MUNGU akujalie kila la kher welcome
Karibu ndugu
Manshaallah kikweli kama kuelewa nimeelewa naipenda sana dini yangu najivunia sana ku zaliwa kwenye dini ya wiislam 🙏🙏🙏
Alhamdulilah nimezaliwa katika uislam Allah atuwezeshe tuwe katika mazingatio ya dini yake. Atupokee katika pepo zake. 🤲 Atupe mwisho mwema
Amiiiin InshaaAllah 🤲🤲🤲 Ya Allah Tujaalie stareh Yetu kubwa iwe ni Kuipenda Qur'aan 📿📿
Oh. Cool to. Cool cool. Cc cc. Cc. Cool. B. Be. Be. B.
Ameen🤲
Amin🤲🏾
mashaallah mashaallah mwenyezi mungu atuzidishiye wesilamu wote kwa kusikiliza quran thukufu Inshallah 🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲
Mashaallah allahu akbar ewe tutie Imani kwenye vifua vyetu vilainike pindi tunapo sikia makatazo yako na tunapo sikia Jina lako tuwe na hofu tunapo sikia adhabu zako tuogope amiin yarabil amiin inshaallah 😭😭😭😭😢😢
Saumrajab Palomar mahaallah lnshaallah kheli
My littl pony equate grlss
Amiin
Alhamdulillah
Mashllah Allah atuhifadhishe qur an
Allahu Akbar
Allah atukinge waislam wote kwa Qur'an na atujaalie pepo wote
Manshallah,Mwenyezi Mungu Akutilie wepesi Inshallah
Allah atujalie Kheri Dunian na kesho akhera
Allh huakbr mwenyezimunimukubua, wala anamufano, yarabi utuhongoze mujiya iliyo nyohoka, utujaliye mwicho mwema
Aaamin
Allah nilijalie Mimi na dugu zangu tuishie dini yetu ya kisilamu Amina
Allah awalipe kheir msomaji na alie tafsiri kwa kazi nzuri. Tunapata elimu kwa wepesi alhamdulillah
Amiin yaraby
Alhamdulillah naipendahii kuiskiliza sana nakujifunza mengi
Welcome mashaallah
Ma sha Allah inapendaza sna Allah akulipe kher kwa kutupatia elimu hii maana tuckiliza na kufaham maana ya kila neno ni faida zaid
Allah awalipeni hkeri naawaingize janatu
@@ramadhanisururamadhanisuru3215 Ameen
Mashall eeh mwenyezimung tuongeze tupe mwisho mwema pia mwenyezimung akulipe kher uwe na mwisho mwem
Mashallah jazakallahu kheri Allah (S.W.) akulipe kila la kheri
We nhbjnvchunjhgbjjfubvcug
Mungu atupe wepesi tuwe miungoni mwa watendawema na kushauli wengne wafuate maelekezo ya mwenzimungu
Alhamdulilah, bado tunazidi kufaidika na ilmu hii ya kur an na tafsiri yake.
ALLAH awazidishie nyote alosoma qur an na alotafsiri pia. Na awafanyie wepesi wa mambo yenu. Aameen.
Ooo love 💕 too c
Allah is all every thing🙏🙏🙏🙏🙏
Shukrani mungu akubarik na akulinde kwa kila Jambo unalotaka kufanya
Masha Allah Shekh for this translation Allaumma Allah Muhammad Aley walii nabii wasalam
Mashaallah thanx
May Allah bless the ummah of Muhammad swalla lwahu alahi wassallam I love this surah bcs the recitation is so beautiful and the meaning mashallah may Allah grant us jannah
Mashaallah
Amiin
Jazaka llah heli ALLAH nifanyie wepesi nami nishike mafundisho lnshaAllah
Ameen.
KS.
Hasina ndo fanya juhudi kwni bila juhudi kufanya kazi bure
Mashallaah page hii iongezwe na mengineyo kuhusu dini yetu Kama vile Hadith
Maashaallah hakika ALLAH mwingi mbora mwenye nguvu hakufanyie wepesi ktk kila jambo lako
B h
Bzbb l
L
B h
Bzbb l
L
Na hiwe hivyo
Mashallah mashallah.
ALLAH akulipe ujira mzuri mnoo maana nimekaa tu nimetamani kusikiliza tafsiri toka kwko sheik wetu,basi nimeiridhisha nafsi yangu kwa hiki kilichotaka.
Sheh
Ametakasika mwenyezi mungu Allah Akbar
Tunashur sana nivizuri sana kufaham tafsir asante sana Mungu akupe janatul
Allah akulipe kwa tafsili na usomaji wa Quran Aimi
Amen kwa wote
Ameen ya rabb
Tunakuomba mwenyez mungu utujalie mwisho mwema amiin
Subhanallah hakika ALLAH ametakasika yeye pekee kwa utukufu wake mkuu na ni mwenye huruma nyingi
Allah huakbar
@@yasminambogo8811 Allahu Akbar kabira, walhamdulillah kathira wa subhanallah bukratan aaswilah
subhanallah
Mungu ndio kila kit tunakuomba waja wako utusamehe ss na wezetu waliotangulia mbele yahaki Amiin ❤
Masha Allah shukran sana
Mwenyezi mungu tujarie mwisho mwema
M/mungu akujaalie maisha marefu ili uzidi kutuelimisha nawe utapata ujira wako kwa Allah
ALLAH AKBAR ewe mora wangu naomba uniongeze katika njia ilio nyooka amiin ❤❤❤
Shukran mumeirudisha musifute inatufunza ss
Allahu akbar allahu akbar namshukuru allah subhana wattaala kwa kunipa kheri na neema ya kuwa muislamu na kuiskiliza quran tukufu
Mashallah shekh Allah akujalie mema
Ameen
Tunakushukuru sana kutuwekea Quran tukufu humu inshallah mungu akupe maarifa zaidi
الحمد لله رب العالمين وشكراً جزاك الله خيرا
Alhamdulilah nimeipata nilitafuta hii kwa mda mrefu Alhamdulilah .Mashaallah
Ya. Rwabi mola atuongoze. InshALLAL
Ameen YaaRab Ameen ❤
Yaa Allah tujaliye mwisho mwema tufake tukiwa Wa islam wazuri umetulidhiya