Mkeo akifanya haya muache - Leilah Aboubakar

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 87

  • @HurumaSelestine
    @HurumaSelestine 7 месяцев назад +3

    ❤❤❤ Asante sana mama yangu kwaujumbe mzuri sana.

  • @omarymlundi5119
    @omarymlundi5119 6 месяцев назад +1

    Hayo mambo yanatesa watu wengine sana wanawake wengi hawatosheki na waume zao umalaya umewazid akitoka

  • @man4nikaah
    @man4nikaah 5 месяцев назад +4

    Assallam aleiykum warahmatullahi wabarakaatúhu shida pesa sipati mke .... Wamchao Allah mfano wa Mama yetu Khadija RA wakowapi ,,,

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 8 месяцев назад +7

    Nikipata km huyu naoa ndani ya mwezi mmoja tu👏👏👏🙏🙏

  • @kazungukakiyo
    @kazungukakiyo 8 месяцев назад +12

    Maneno yako yana musingi muzuri saana,, Allah baariq

  • @diagfinamix1861
    @diagfinamix1861 8 месяцев назад +20

    Mama una urembo fulani basi kuwa unaweka niqab , miongoni mwa sisi basi wamoja wakiona sura ya kike khaswa ya kupendeza kama ya kwako roho zina dunda na hilo we ni mwalim unalijuwa kilikoni. Allah allam. Wakuli support hili basi weka like hapo chini.

    • @HusseinLimbe
      @HusseinLimbe 8 месяцев назад +4

      Tafuta mke uoe shekhe 😁

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 8 месяцев назад +1

      Swadakta

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma 8 месяцев назад +3

      ​@@HusseinLimbekwani mtu akiwa na mke hwawezi kutamani mwanamke mwingine?

    • @Switielie
      @Switielie 8 месяцев назад +1

      Khaaaaaa,

    • @neymarsalah2240
      @neymarsalah2240 7 месяцев назад +1

      Acha upwiru ww😂

  • @kazungukakiyo
    @kazungukakiyo 8 месяцев назад +6

    Alhamdulillah,,Niko mbali Sana na familia yangu,, ninapo kusikiza au fatilia mawaidha yako hufarijika saana.

  • @PierreFundi-fx8sg
    @PierreFundi-fx8sg 6 месяцев назад +1

    Allah akupe kwa ujira mkubwa. Na akuzidishiye elimu zaidi na akupe nguvu ya kunyoosha jamii.
    Ni mzee wako kutoka Burundi. Nafwatiliya sana kipindi vyako.

  • @ManPro-ng3op
    @ManPro-ng3op 7 месяцев назад +2

    Mm nakupenda

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 8 месяцев назад +2

    Dada yupo vizuri kwa ushauri wa kujenga familia.

  • @Sunplazaduara
    @Sunplazaduara 5 месяцев назад +1

    Asante madam kwa elimu bora inayotoa kwa jamii yetu, Mungu alibariki sana

  • @AbedKirway-tr5wx
    @AbedKirway-tr5wx 8 месяцев назад +2

    Nakupenda san dada angu una ushauri mzuri naisikia sauti na mama ety kipenz samia na busara zake pia Mungu awe naww dada ang kipenz

  • @RamadhanKhamis-oy2tm
    @RamadhanKhamis-oy2tm 8 месяцев назад +3

    Masha allah barakallah fiik, Allah akuhifadhi, akuongoze na akupe umri mrefu wenye khery.

  • @d15355
    @d15355 8 месяцев назад +4

    katika wanawake wenye akili na IQ kubwa basi wewe ni mmoja wapo nilikuwa nakuchukulia kirahisi rahisi kumbe wewe ni kichwa haswa,yaani umechambua mada hujabakisha kitu mungu akubariki kwa darsa lako

  • @haroubalkharusy9117
    @haroubalkharusy9117 6 месяцев назад

    Maa shaa Allaah...., nimevutiwa ssna na ww dsdaangu, i wish nipate 2nd wife frm ur young sister......!!!

  • @ShudaBakari
    @ShudaBakari Месяц назад

    Maashaa Allah ukhuty Allah akulipe ziada inshaallah.

  • @RashidMpina-bv6iw
    @RashidMpina-bv6iw 8 месяцев назад +3

    Madam mungu akubariki akupe umri mrefu dunian

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 8 месяцев назад +4

    Mashallah Mungu akuweke dadaangu umenifunza kitu

  • @RamadhaniIssa-i1d
    @RamadhaniIssa-i1d 7 месяцев назад

    Madam leila mimi nashida nawewe nitakupataje ndugu yangu

  • @DaddySBuda-dp6nq
    @DaddySBuda-dp6nq 5 месяцев назад

    Mm nme mvumilia sana hata mungu anajua na jans nmepata dawa kwa bagi yake na shanga ya niuno nmezichukua ila sija mwambia kitu nimedundua wazi kuna usaliti mana heshima pia imepungua anaondoka bila ruhusa yangu yote nilimwambia kua ntaoa Akanijibu nioe Amekua kisoi

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 8 месяцев назад +2

    MASHAA Allah tabarakallah

  • @SeedsDeep
    @SeedsDeep 8 месяцев назад +4

    Huyu Dada nampenda anavyo Ongea.!

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 8 месяцев назад

    Kama ulikuwepo katika maneno uliyoyasema, mashaallah tabaaraka rrahmaan.

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 8 месяцев назад +1

    Maneno yako ni mazuri sana 🙏🏽

  • @RenataSulley
    @RenataSulley Месяц назад

    Uko vizur

  • @yusufkhanna
    @yusufkhanna 8 месяцев назад +2

    Usaliti sio zaidi ya mara moja ndio umuache,ile moja tayari wamwacha palepale hakuna subra hio yakusubiri tenaa

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 8 месяцев назад

      Wanaume munasaliti kutwa kucha mbona sisi tunavymilia hata mume msaliti

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n 8 месяцев назад

      Unakifaham kisa cha bi Aisha(ra) aliposingiziwa uzinifu,etep alizochukua mtume Muhammad (swa)kabla ya wahyi alikuwa ameshamwambia mkewe maneno flan inamaana alikuwa tayari kusamehe,unaweza kusamehe kabisa wala has haina shida

  • @TwahirAli
    @TwahirAli 8 месяцев назад +1

    Bsrakallahufika jazakalkahir

  • @jadisaid5993
    @jadisaid5993 7 месяцев назад

    Allah akubaarik

  • @a.856
    @a.856 8 месяцев назад +2

    Jazakallah khayran

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 8 месяцев назад +1

    Masha-allah anakhekima sana

  • @GhaniyeHaji-hv3je
    @GhaniyeHaji-hv3je 3 месяца назад

    Mm nna mwaka wa 6 ss ndoa yng ina migogoro haijawahi kukutanishwa familia 2 mpk ss mkwe wng kanifukuza kwake na sina usaliti wala ushirikina wala cjalfny baba lililo kithir ni malumban ya kawaida t lkn haijawahi kusuluhushwa ss nipo kwet na mwanang mdogo na yy yupo kwao na mwanang wa kike mkubwa

  • @AbdulNizigiyimana-u8m
    @AbdulNizigiyimana-u8m 8 месяцев назад

    Allah akuripe unashauri muzuri na omba nambayako

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 8 месяцев назад

      Akuripe au akulipe.
      Jinga sana, zingatia amatumizi.ya R n L niwafundushe mpaka lini

  • @YoanWins
    @YoanWins 7 месяцев назад

    Shukrani sana🎉

  • @abumutwaira4892
    @abumutwaira4892 7 месяцев назад +1

    Hvi huyu dda anasikilizwa n wanawake wenzie

  • @AbdulkarimAdamsumai
    @AbdulkarimAdamsumai 8 месяцев назад

    Daaah shukran sana madam

  • @Muharram-c5n
    @Muharram-c5n 8 месяцев назад

    Baaraka llahu fik

  • @dungamchafu7605
    @dungamchafu7605 8 месяцев назад +1

    Mashallah amirat

  • @FakHamad
    @FakHamad 6 месяцев назад

    Vaaaa nikabu mama

  • @saldinthegreat2264
    @saldinthegreat2264 8 месяцев назад

    @Kalamutz tafiteni utaratibu wa kupata mic tie clip, hii ya kushika mic haiko poa

  • @romanusnjovu6845
    @romanusnjovu6845 8 месяцев назад

    Haya yote ndio anayo wangu mimi

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 8 месяцев назад +1

    Upo sawa

  • @abdulrahimsaid7864
    @abdulrahimsaid7864 8 месяцев назад +1

    Maashaallah

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294 8 месяцев назад

    Mashaa Allah

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 8 месяцев назад

    Mammy ningetaman kukuoa

  • @AbdulVitasa
    @AbdulVitasa 8 месяцев назад

    safi kabisa

  • @hamisichirau4983
    @hamisichirau4983 8 месяцев назад

    MashaAllah

  • @marwaanhanief9623
    @marwaanhanief9623 8 месяцев назад

    Mashaallah

  • @MikidadRashid-oj8tf
    @MikidadRashid-oj8tf 8 месяцев назад

    Dada anafaa kuwa kungwi

  • @ShabaniShabani-p8c
    @ShabaniShabani-p8c 8 месяцев назад

    Mashall

  • @MikidadRashid-oj8tf
    @MikidadRashid-oj8tf 8 месяцев назад

    Uje ufunde mwanangu

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 8 месяцев назад +2

    Je kwanaume akifanya hayo nisawa au mwanamke pia aombe taraka ? Nisaidie kujua mana hayo yapo pandezote

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 8 месяцев назад +1

      Mwanamke anaweza kuomba talaka na sababu za kuomba talaka ndo izoizo za upande wa mwanamme

    • @AishaMohamed-n1x
      @AishaMohamed-n1x 8 месяцев назад

      Kabsa Kwa upande wa mwanaume inakaje apo??

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 8 месяцев назад

      @@AishaMohamed-n1x kiufupi mwanamke anaweza kudai talaka

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 8 месяцев назад +1

    Hayo ni mambo ya Tanga jamani ndiko tulikoona story kama hizi, lakini waume wamefinikwa hawayaoni yaliopo.

    • @kimjey0012
      @kimjey0012 8 месяцев назад

      😂😂😂 ww

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 8 месяцев назад

    ❤❤

  • @KarimKombo-xu8he
    @KarimKombo-xu8he 8 месяцев назад +2

    Nenda darasa kama unataka Aya na hadithi

  • @abdallaabdalla4416
    @abdallaabdalla4416 7 месяцев назад

    Sio niqab bali ni jalbab

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 8 месяцев назад +3

    Talaka nani kasema Mbingu zina tetemeka ?? Tupe aya hapa au Hadith Ukhty

    • @MohdMohd-y4w
      @MohdMohd-y4w 8 месяцев назад +2

      Ushamfahamu lkn unataka ubishani , jibu ni Arshi na Arshi ya Mungu si iko mbinguni

    • @newbwejuu4302
      @newbwejuu4302 8 месяцев назад +1

      nadhani ukatafute mwenyewe acha kufanya fitina katika dini

    • @MfizoCrypto
      @MfizoCrypto 8 месяцев назад

      Unajina kubwa Mashaallah ! Tafakari uzito wa jina lako kisha kasome tofauti na hapo badilisha jina.

    • @NurdinTwangeni
      @NurdinTwangeni 8 месяцев назад +1

      Uwe na inswaaf ndio din na simihemko

    • @LuqmanAndrew-nu9rx
      @LuqmanAndrew-nu9rx 6 месяцев назад +1

      Kwaio hujaona point yoyote zaid ya Mbingu kutetemeka?
      Kalale

  • @IbrahimuMajengo-tv8ix
    @IbrahimuMajengo-tv8ix 8 месяцев назад +1

    Lafudhi kama ya mama Samia president

  • @niyorHamiss-yv4rm
    @niyorHamiss-yv4rm 8 месяцев назад

    Mallahah