Mkeo akifanya haya muache - Leilah Aboubakar

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 111

  • @HurumaSelestine
    @HurumaSelestine 11 месяцев назад +4

    ❤❤❤ Asante sana mama yangu kwaujumbe mzuri sana.

  • @diagfinamix1861
    @diagfinamix1861 Год назад +30

    Mama una urembo fulani basi kuwa unaweka niqab , miongoni mwa sisi basi wamoja wakiona sura ya kike khaswa ya kupendeza kama ya kwako roho zina dunda na hilo we ni mwalim unalijuwa kilikoni. Allah allam. Wakuli support hili basi weka like hapo chini.

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma Год назад +1

      Swadakta

    • @Aidhjuma
      @Aidhjuma Год назад +3

      ​@husseinlimbekwani mtu akiwa na mke hwawezi kutamani mwanamke mwingine?

    • @Switielie
      @Switielie 11 месяцев назад +1

      Khaaaaaa,

    • @neymarsalah2240
      @neymarsalah2240 11 месяцев назад +2

      Acha upwiru ww😂

    • @shabansaid2323
      @shabansaid2323 11 месяцев назад +1

      Sawia

  • @kazungukakiyo
    @kazungukakiyo Год назад +12

    Maneno yako yana musingi muzuri saana,, Allah baariq

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 11 месяцев назад +8

    Nikipata km huyu naoa ndani ya mwezi mmoja tu👏👏👏🙏🙏

  • @kazungukakiyo
    @kazungukakiyo Год назад +6

    Alhamdulillah,,Niko mbali Sana na familia yangu,, ninapo kusikiza au fatilia mawaidha yako hufarijika saana.

  • @omarymlundi5119
    @omarymlundi5119 10 месяцев назад +1

    Hayo mambo yanatesa watu wengine sana wanawake wengi hawatosheki na waume zao umalaya umewazid akitoka

  • @ahmedyahya991
    @ahmedyahya991 2 месяца назад +1

    Ahsante dada❤sana kwaajili ya mwenyezi mungu

  • @RashidMpina-bv6iw
    @RashidMpina-bv6iw Год назад +4

    Madam mungu akubariki akupe umri mrefu dunian

  • @RamadhanKhamis-oy2tm
    @RamadhanKhamis-oy2tm Год назад +3

    Masha allah barakallah fiik, Allah akuhifadhi, akuongoze na akupe umri mrefu wenye khery.

  • @man4nikaah
    @man4nikaah 9 месяцев назад +4

    Assallam aleiykum warahmatullahi wabarakaatúhu shida pesa sipati mke .... Wamchao Allah mfano wa Mama yetu Khadija RA wakowapi ,,,

    • @Baddie-p3b
      @Baddie-p3b 2 месяца назад +1

      Ukitaka mke kama Khadija (r.a) hakikisha na wewe upo kama Mtume (S.A.W)

  • @AbedKirway-tr5wx
    @AbedKirway-tr5wx Год назад +2

    Nakupenda san dada angu una ushauri mzuri naisikia sauti na mama ety kipenz samia na busara zake pia Mungu awe naww dada ang kipenz

  • @ShudaBakari
    @ShudaBakari 5 месяцев назад +1

    Maashaa Allah ukhuty Allah akulipe ziada inshaallah.

  • @TwalibMakeleketa
    @TwalibMakeleketa 13 дней назад

    Asanteee madam,Allah akulipe kila la kheri

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips Год назад +4

    Mashallah Mungu akuweke dadaangu umenifunza kitu

  • @SULEIMAN-l8v
    @SULEIMAN-l8v Месяц назад

    Dada Mungu akubarik umenipiga ndimo izo sbb ulizozitaja umekopi moyoni mwangu

  • @Sunplazaduara
    @Sunplazaduara 9 месяцев назад +1

    Asante madam kwa elimu bora inayotoa kwa jamii yetu, Mungu alibariki sana

  • @haroubalkharusy9117
    @haroubalkharusy9117 10 месяцев назад

    Maa shaa Allaah...., nimevutiwa ssna na ww dsdaangu, i wish nipate 2nd wife frm ur young sister......!!!

  • @chachangogo120
    @chachangogo120 Месяц назад

    Asallaam allekhum. Hakika Dada nimekuwa nikikufatilia sana hakika unanipa somo sana

  • @PierreFundi-fx8sg
    @PierreFundi-fx8sg 10 месяцев назад +1

    Allah akupe kwa ujira mkubwa. Na akuzidishiye elimu zaidi na akupe nguvu ya kunyoosha jamii.
    Ni mzee wako kutoka Burundi. Nafwatiliya sana kipindi vyako.

    • @issarachide1474
      @issarachide1474 2 дня назад

      Alhandulillah dada insha allah ,allah hatakulipa wallah billah mfano wako ni wa peke kwa karne hi 21

  • @d15355
    @d15355 Год назад +4

    katika wanawake wenye akili na IQ kubwa basi wewe ni mmoja wapo nilikuwa nakuchukulia kirahisi rahisi kumbe wewe ni kichwa haswa,yaani umechambua mada hujabakisha kitu mungu akubariki kwa darsa lako

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 Год назад +2

    Dada yupo vizuri kwa ushauri wa kujenga familia.

  • @IshaamSayyid
    @IshaamSayyid Месяц назад

    masha allha umeongea vizuri mungu akubarik

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 Год назад +2

    MASHAA Allah tabarakallah

  • @deeruta9894
    @deeruta9894 Год назад +1

    Maneno yako ni mazuri sana 🙏🏽

  • @ManPro-ng3op
    @ManPro-ng3op 11 месяцев назад +2

    Mm nakupenda

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад

    Kama ulikuwepo katika maneno uliyoyasema, mashaallah tabaaraka rrahmaan.

  • @FatimaAbdulla-s4i
    @FatimaAbdulla-s4i 2 месяца назад +1

    Shukrani sana dadangu

  • @HajiSaid-p7f
    @HajiSaid-p7f Месяц назад

    Assalam aleykum dada mke wangu anatuma messeji.anafuta naomba ushauri wako❤

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 Год назад +1

    Masha-allah anakhekima sana

  • @DaddySBuda-dp6nq
    @DaddySBuda-dp6nq 9 месяцев назад +1

    Mm nme mvumilia sana hata mungu anajua na jans nmepata dawa kwa bagi yake na shanga ya niuno nmezichukua ila sija mwambia kitu nimedundua wazi kuna usaliti mana heshima pia imepungua anaondoka bila ruhusa yangu yote nilimwambia kua ntaoa Akanijibu nioe Amekua kisoi

  • @a.856
    @a.856 Год назад +2

    Jazakallah khayran

  • @jadisaid5993
    @jadisaid5993 11 месяцев назад

    Allah akubaarik

  • @TwahirAli
    @TwahirAli Год назад +1

    Bsrakallahufika jazakalkahir

  • @AbdulNizigiyimana-u8m
    @AbdulNizigiyimana-u8m Год назад

    Allah akuripe unashauri muzuri na omba nambayako

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 Год назад

      Akuripe au akulipe.
      Jinga sana, zingatia amatumizi.ya R n L niwafundushe mpaka lini

  • @johnpascal1060
    @johnpascal1060 Месяц назад

    Dada aksante Sana Dada

  • @RamadhaniIssa-i1d
    @RamadhaniIssa-i1d 11 месяцев назад

    Madam leila mimi nashida nawewe nitakupataje ndugu yangu

  • @SeedsDeep
    @SeedsDeep Год назад +4

    Huyu Dada nampenda anavyo Ongea.!

  • @GhaniyeHaji-hv3je
    @GhaniyeHaji-hv3je 7 месяцев назад +1

    Mm nna mwaka wa 6 ss ndoa yng ina migogoro haijawahi kukutanishwa familia 2 mpk ss mkwe wng kanifukuza kwake na sina usaliti wala ushirikina wala cjalfny baba lililo kithir ni malumban ya kawaida t lkn haijawahi kusuluhushwa ss nipo kwet na mwanang mdogo na yy yupo kwao na mwanang wa kike mkubwa

  • @AbdulkarimAdamsumai
    @AbdulkarimAdamsumai Год назад

    Daaah shukran sana madam

  • @dungamchafu7605
    @dungamchafu7605 Год назад +1

    Mashallah amirat

  • @mojakatundu
    @mojakatundu Месяц назад

    Asalam alaikum, dada samahani kea hili, sijui kama Una familia au!? Ila Mimi nimetikea kukupenda na ikiwezekana unipe nafasi ya mume kwako,

  • @hamisichirau4983
    @hamisichirau4983 Год назад

    MashaAllah

  • @YoanWins
    @YoanWins 11 месяцев назад

    Shukrani sana🎉

  • @Muharram-c5n
    @Muharram-c5n Год назад

    Baaraka llahu fik

  • @marwaanhanief9623
    @marwaanhanief9623 Год назад

    Mashaallah

  • @yusufkhanna
    @yusufkhanna Год назад +2

    Usaliti sio zaidi ya mara moja ndio umuache,ile moja tayari wamwacha palepale hakuna subra hio yakusubiri tenaa

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Год назад

      Wanaume munasaliti kutwa kucha mbona sisi tunavymilia hata mume msaliti

    • @Muharram-c5n
      @Muharram-c5n Год назад

      Unakifaham kisa cha bi Aisha(ra) aliposingiziwa uzinifu,etep alizochukua mtume Muhammad (swa)kabla ya wahyi alikuwa ameshamwambia mkewe maneno flan inamaana alikuwa tayari kusamehe,unaweza kusamehe kabisa wala has haina shida

  • @khamisoothman5294
    @khamisoothman5294 Год назад

    Mashaa Allah

  • @abdulrahimsaid7864
    @abdulrahimsaid7864 Год назад +1

    Maashaallah

  • @zalinamangi8039
    @zalinamangi8039 2 месяца назад

    Great

  • @QadraGure
    @QadraGure 2 месяца назад

    Mabruuk

  • @FakHamad
    @FakHamad 10 месяцев назад +1

    Vaaaa nikabu mama

  • @abumutwaira4892
    @abumutwaira4892 11 месяцев назад +1

    Hvi huyu dda anasikilizwa n wanawake wenzie

  • @romanusnjovu6845
    @romanusnjovu6845 Год назад

    Haya yote ndio anayo wangu mimi

  • @saldinthegreat2264
    @saldinthegreat2264 Год назад

    @Kalamutz tafiteni utaratibu wa kupata mic tie clip, hii ya kushika mic haiko poa

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Год назад +1

    Upo sawa

  • @RenataSulley
    @RenataSulley 5 месяцев назад

    Uko vizur

  • @MikidadRashid-oj8tf
    @MikidadRashid-oj8tf Год назад

    Uje ufunde mwanangu

  • @ShabaniShabani-p8c
    @ShabaniShabani-p8c Год назад

    Mashall

  • @AbdulVitasa
    @AbdulVitasa Год назад

    safi kabisa

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 Год назад

    Mammy ningetaman kukuoa

  • @SahimSahil
    @SahimSahil Месяц назад

    Kabisa aende darsa km ataka Aya na hadithi jahiliya huyo hajui hata dini yake inasemaje Muhammed watakabaya laahaula

  • @MikidadRashid-oj8tf
    @MikidadRashid-oj8tf Год назад

    Dada anafaa kuwa kungwi

  • @DadiMohammed
    @DadiMohammed 2 месяца назад

    Juu ya kua unatufundisha lkn unaonekana ktk clip zako nyengine una marembo mapambo ambayo yalitakiwa mumeo tu ayaone si wengine waigaji watakuiga naomba ujirekebishe kwa hilo usitamanishe watu

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 Год назад

    ❤❤

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 Год назад +2

    Je kwanaume akifanya hayo nisawa au mwanamke pia aombe taraka ? Nisaidie kujua mana hayo yapo pandezote

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Год назад +1

      Mwanamke anaweza kuomba talaka na sababu za kuomba talaka ndo izoizo za upande wa mwanamme

    • @AishaMohamed-n1x
      @AishaMohamed-n1x Год назад

      Kabsa Kwa upande wa mwanaume inakaje apo??

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Год назад

      @@AishaMohamed-n1x kiufupi mwanamke anaweza kudai talaka

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Год назад +1

    Hayo ni mambo ya Tanga jamani ndiko tulikoona story kama hizi, lakini waume wamefinikwa hawayaoni yaliopo.

  • @niyorHamiss-yv4rm
    @niyorHamiss-yv4rm Год назад

    Mallahah

  • @abdallaabdalla4416
    @abdallaabdalla4416 11 месяцев назад

    Sio niqab bali ni jalbab

  • @KarimKombo-xu8he
    @KarimKombo-xu8he Год назад +2

    Nenda darasa kama unataka Aya na hadithi

  • @IbrahimuMajengo-tv8ix
    @IbrahimuMajengo-tv8ix Год назад +1

    Lafudhi kama ya mama Samia president

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Год назад +3

    Talaka nani kasema Mbingu zina tetemeka ?? Tupe aya hapa au Hadith Ukhty

    • @MohdMohd-y4w
      @MohdMohd-y4w Год назад +2

      Ushamfahamu lkn unataka ubishani , jibu ni Arshi na Arshi ya Mungu si iko mbinguni

    • @newbwejuu4302
      @newbwejuu4302 Год назад +1

      nadhani ukatafute mwenyewe acha kufanya fitina katika dini

    • @MfizoCrypto
      @MfizoCrypto Год назад

      Unajina kubwa Mashaallah ! Tafakari uzito wa jina lako kisha kasome tofauti na hapo badilisha jina.

    • @NurdinTwangeni
      @NurdinTwangeni Год назад +1

      Uwe na inswaaf ndio din na simihemko

    • @LuqmanAndrew-nu9rx
      @LuqmanAndrew-nu9rx 10 месяцев назад +1

      Kwaio hujaona point yoyote zaid ya Mbingu kutetemeka?
      Kalale