Mama una urembo fulani basi kuwa unaweka niqab , miongoni mwa sisi basi wamoja wakiona sura ya kike khaswa ya kupendeza kama ya kwako roho zina dunda na hilo we ni mwalim unalijuwa kilikoni. Allah allam. Wakuli support hili basi weka like hapo chini.
Allah akupe kwa ujira mkubwa. Na akuzidishiye elimu zaidi na akupe nguvu ya kunyoosha jamii. Ni mzee wako kutoka Burundi. Nafwatiliya sana kipindi vyako.
katika wanawake wenye akili na IQ kubwa basi wewe ni mmoja wapo nilikuwa nakuchukulia kirahisi rahisi kumbe wewe ni kichwa haswa,yaani umechambua mada hujabakisha kitu mungu akubariki kwa darsa lako
Mm nme mvumilia sana hata mungu anajua na jans nmepata dawa kwa bagi yake na shanga ya niuno nmezichukua ila sija mwambia kitu nimedundua wazi kuna usaliti mana heshima pia imepungua anaondoka bila ruhusa yangu yote nilimwambia kua ntaoa Akanijibu nioe Amekua kisoi
Unakifaham kisa cha bi Aisha(ra) aliposingiziwa uzinifu,etep alizochukua mtume Muhammad (swa)kabla ya wahyi alikuwa ameshamwambia mkewe maneno flan inamaana alikuwa tayari kusamehe,unaweza kusamehe kabisa wala has haina shida
Mm nna mwaka wa 6 ss ndoa yng ina migogoro haijawahi kukutanishwa familia 2 mpk ss mkwe wng kanifukuza kwake na sina usaliti wala ushirikina wala cjalfny baba lililo kithir ni malumban ya kawaida t lkn haijawahi kusuluhushwa ss nipo kwet na mwanang mdogo na yy yupo kwao na mwanang wa kike mkubwa
❤❤❤ Asante sana mama yangu kwaujumbe mzuri sana.
Hayo mambo yanatesa watu wengine sana wanawake wengi hawatosheki na waume zao umalaya umewazid akitoka
Assallam aleiykum warahmatullahi wabarakaatúhu shida pesa sipati mke .... Wamchao Allah mfano wa Mama yetu Khadija RA wakowapi ,,,
Nikipata km huyu naoa ndani ya mwezi mmoja tu👏👏👏🙏🙏
Mimi siku hiyohiyo
Mimi dakika inayofuata naoa
Maneno yako yana musingi muzuri saana,, Allah baariq
Mama una urembo fulani basi kuwa unaweka niqab , miongoni mwa sisi basi wamoja wakiona sura ya kike khaswa ya kupendeza kama ya kwako roho zina dunda na hilo we ni mwalim unalijuwa kilikoni. Allah allam. Wakuli support hili basi weka like hapo chini.
Tafuta mke uoe shekhe 😁
Swadakta
@@HusseinLimbekwani mtu akiwa na mke hwawezi kutamani mwanamke mwingine?
Khaaaaaa,
Acha upwiru ww😂
Alhamdulillah,,Niko mbali Sana na familia yangu,, ninapo kusikiza au fatilia mawaidha yako hufarijika saana.
Allah akupe kwa ujira mkubwa. Na akuzidishiye elimu zaidi na akupe nguvu ya kunyoosha jamii.
Ni mzee wako kutoka Burundi. Nafwatiliya sana kipindi vyako.
Mm nakupenda
Dada yupo vizuri kwa ushauri wa kujenga familia.
Asante madam kwa elimu bora inayotoa kwa jamii yetu, Mungu alibariki sana
Nakupenda san dada angu una ushauri mzuri naisikia sauti na mama ety kipenz samia na busara zake pia Mungu awe naww dada ang kipenz
Na mie nilisema ivo ivo na roho yangu
Masha allah barakallah fiik, Allah akuhifadhi, akuongoze na akupe umri mrefu wenye khery.
katika wanawake wenye akili na IQ kubwa basi wewe ni mmoja wapo nilikuwa nakuchukulia kirahisi rahisi kumbe wewe ni kichwa haswa,yaani umechambua mada hujabakisha kitu mungu akubariki kwa darsa lako
Maa shaa Allaah...., nimevutiwa ssna na ww dsdaangu, i wish nipate 2nd wife frm ur young sister......!!!
Maashaa Allah ukhuty Allah akulipe ziada inshaallah.
Madam mungu akubariki akupe umri mrefu dunian
Mashallah Mungu akuweke dadaangu umenifunza kitu
Madam leila mimi nashida nawewe nitakupataje ndugu yangu
Mm nme mvumilia sana hata mungu anajua na jans nmepata dawa kwa bagi yake na shanga ya niuno nmezichukua ila sija mwambia kitu nimedundua wazi kuna usaliti mana heshima pia imepungua anaondoka bila ruhusa yangu yote nilimwambia kua ntaoa Akanijibu nioe Amekua kisoi
MASHAA Allah tabarakallah
Huyu Dada nampenda anavyo Ongea.!
Mama mama kizi mkazi sio
Kama ulikuwepo katika maneno uliyoyasema, mashaallah tabaaraka rrahmaan.
Maneno yako ni mazuri sana 🙏🏽
Uko vizur
Usaliti sio zaidi ya mara moja ndio umuache,ile moja tayari wamwacha palepale hakuna subra hio yakusubiri tenaa
Wanaume munasaliti kutwa kucha mbona sisi tunavymilia hata mume msaliti
Unakifaham kisa cha bi Aisha(ra) aliposingiziwa uzinifu,etep alizochukua mtume Muhammad (swa)kabla ya wahyi alikuwa ameshamwambia mkewe maneno flan inamaana alikuwa tayari kusamehe,unaweza kusamehe kabisa wala has haina shida
Bsrakallahufika jazakalkahir
Allah akubaarik
Jazakallah khayran
Masha-allah anakhekima sana
Mm nna mwaka wa 6 ss ndoa yng ina migogoro haijawahi kukutanishwa familia 2 mpk ss mkwe wng kanifukuza kwake na sina usaliti wala ushirikina wala cjalfny baba lililo kithir ni malumban ya kawaida t lkn haijawahi kusuluhushwa ss nipo kwet na mwanang mdogo na yy yupo kwao na mwanang wa kike mkubwa
Allah akuripe unashauri muzuri na omba nambayako
Akuripe au akulipe.
Jinga sana, zingatia amatumizi.ya R n L niwafundushe mpaka lini
Shukrani sana🎉
Hvi huyu dda anasikilizwa n wanawake wenzie
Daaah shukran sana madam
Baaraka llahu fik
Mashallah amirat
Vaaaa nikabu mama
@Kalamutz tafiteni utaratibu wa kupata mic tie clip, hii ya kushika mic haiko poa
Haya yote ndio anayo wangu mimi
Pole
Upo sawa
Maashaallah
Mashaa Allah
Mammy ningetaman kukuoa
safi kabisa
MashaAllah
Mashaallah
Dada anafaa kuwa kungwi
Mashall
Uje ufunde mwanangu
Je kwanaume akifanya hayo nisawa au mwanamke pia aombe taraka ? Nisaidie kujua mana hayo yapo pandezote
Mwanamke anaweza kuomba talaka na sababu za kuomba talaka ndo izoizo za upande wa mwanamme
Kabsa Kwa upande wa mwanaume inakaje apo??
@@AishaMohamed-n1x kiufupi mwanamke anaweza kudai talaka
Hayo ni mambo ya Tanga jamani ndiko tulikoona story kama hizi, lakini waume wamefinikwa hawayaoni yaliopo.
😂😂😂 ww
❤❤
Nenda darasa kama unataka Aya na hadithi
Sio niqab bali ni jalbab
Talaka nani kasema Mbingu zina tetemeka ?? Tupe aya hapa au Hadith Ukhty
Ushamfahamu lkn unataka ubishani , jibu ni Arshi na Arshi ya Mungu si iko mbinguni
nadhani ukatafute mwenyewe acha kufanya fitina katika dini
Unajina kubwa Mashaallah ! Tafakari uzito wa jina lako kisha kasome tofauti na hapo badilisha jina.
Uwe na inswaaf ndio din na simihemko
Kwaio hujaona point yoyote zaid ya Mbingu kutetemeka?
Kalale
Lafudhi kama ya mama Samia president
Mallahah