Alhamdulillah kisa chenye ibra,mazingatio,mafundisho na elimu kubwa kwetu cc tilioko hai hapa ulimwenguni,shekh mwenyeezi mngu akulipe,akuhifadhi,akulinde na shari zote za masih Ddajal nacc Allah atuzidishie subra tupate mwisho mwema inshaAllah wabillah taufiq Ammin
Maashaa Allah sheikh ujumbe mzuri umetufikia na ukatufunza kua mali sio kitu mbele ya Allah.Mola akujalie Umri mrefu wenye mafanikio hapa duniani na akhera.na akujalie Allah mwisho mwema.na akuongezee elimu zaidi nasi utugawanyie.Amina Inshaa Allah
Akaupanda mlima mpaka kileleni af akautazama mlima akajiuliza ataupandaje..? mashaallah sheikh mawaidha n mazur ila jitahid kupangalia maneno sheikh wetu. Allah atupe mwisho mwema inshaallah 😢
2mshukuru mung kwa kula jamb mitihani yote inapangwa na allah s.w mug akubariki sana baba yang yarrab 2jalie mwisho mwema 2kukumbuke wakati wa shida na raha🙏🙏🙏🙏
Allah tuzidishie wema na mwisho mwema nimejifunza katika shehe huyu kwa umauti Allah nijaria mwisho mwema na uzima wa Dunia na roho yangu unitunzie na siku yako ya toa roho uniondolee maumivu Allah uzeeni
Yaa Allah nijaalie uhai na uzima Mali so kitu apa duniani❤. Nijaalie nguvu na subra na Imani thabit amiin
❤️
Amiiyn Yaa Rabil-aalamin
Alhamdulila
Ameen
Amiin
Hongera baba ni mfano bora kwa kila moja kila binadamu ni atafute uso wa mungu na sio kuweka mioyo yetu kwa mali
Shukraan sheikh
Allah akbar,Iman ni utajir tosha,mwenyez mungu naomba utujalie Iman ya ukwel kabla ya kuwa na pesa
Ameen. Nimejifunza mengi sana kwenye kisa uzuli nasikiliza ndani ya mwezi mtukufu.
Subuhana allah wa bihamdihi x100
Allah inshaallah husamehe mazambi yetu
❤❤❤
Shukran sheghe ujumbe ni mzuri Sana ya Allah tujaalie
Mungu akuhifadhi,akukidhie haja zako,akuongezee siku uzidi kutuelimisha
Jazakallahu kheir sheikh wetu.
Mimi ni mkristo lakini nimependa sana uhu ujumbe MUNGU azidi kukubariki shekhe kwa kutukumbusha
Asha Allah
@@SalmaKhatib-tq6uiInsha Allah
Karibu kwa Uislamu dini bora katika dunia ❤❤
Ya Allah tufanye tuwe wenye subira
Mali na watoto vyote ni mtihani ®Allah atupe mwisho mwema yarabby
Ni ujumbe mauri sana❤
Aaamin
Aaamin yarabi
YA ALLAH TUJAALIE MWISHO MWEMA ..
Inshallah 🤲🏾
Amiin amiin amiin 🤲🤲🤲
Ameen
Ameen
Allahuma Amiin
Shukran sana kwa ukumbusho wajazaakallahu khayra. ALLAH atuongoze na atujaalie mwisho mwema cc na ww
Allahumma ameen
Asante Sana kwa somo lako nzuri hakika nimejifunza kitu ee mola nipe moyo wa ibada
Alhamdulillah kisa chenye ibra,mazingatio,mafundisho na elimu kubwa kwetu cc tilioko hai hapa ulimwenguni,shekh mwenyeezi mngu akulipe,akuhifadhi,akulinde na shari zote za masih Ddajal nacc Allah atuzidishie subra tupate mwisho mwema inshaAllah wabillah taufiq Ammin
Mwenyezi Mungu tusaidie tafadhali tupate miisho mema. Dah! Hakika sisi si lolote wala si chochote juu yako na njia zako. 🙏🏻
Amiiiin🙏✋👋
Maashaa Allah sheikh ujumbe mzuri umetufikia na ukatufunza kua mali sio kitu mbele ya Allah.Mola akujalie Umri mrefu wenye mafanikio hapa duniani na akhera.na akujalie Allah mwisho mwema.na akuongezee elimu zaidi nasi utugawanyie.Amina Inshaa Allah
Akaupanda mlima mpaka kileleni af akautazama mlima akajiuliza ataupandaje..? mashaallah sheikh mawaidha n mazur ila jitahid kupangalia maneno sheikh wetu. Allah atupe mwisho mwema inshaallah 😢
Subhanallah.Binaadamu tusiache ibada zetu kwa sababu ya mali.mali ni za kupita na Ibada ni za kudumu.Allah atupe mwisho mwema.
Aaamin
Amiin
Amiin
Daaaaah mm ni mkristo lakn mawaidha yameniingia sana mungu azidi kukupa pumzi na sauti ya kusema
2mshukuru mung kwa kula jamb mitihani yote inapangwa na allah s.w mug akubariki sana baba yang yarrab 2jalie mwisho mwema 2kukumbuke wakati wa shida na raha🙏🙏🙏🙏
Yaarabi tupe mwisho mwema
Sheikh wetu mungu akupe afya njema
Yani sauti nzuri sana
Amin Amin Amin
mungu ni mkubwa kwa kila jambo Ila swala ni muhimu sana
😢😢😢 yarabiii tujaalie mwisho mwema ,,,,,,,kisa kizuri sana allah akuzidishie moyo wakutufungua macho
Allah atujalie ujiri na kukumbuka swala kila wakati jamani kisa kinafundisha sna shehee
Kisa kinasisimua sana. Allah atujaalie mwisho mwema inshaaallah ❤
Amiin yaa rabby
Mashaallah nasaha nzur sana kisa chenye nazingatio Allah atupe mwisho mwena inshallah
Allah tujaalie mwisho mwema hapa dunian na kesho Akhera!!!!
Shekh allah akulipe kwa mawaidha yako yanamafunzo
Shekh wapo watu wengi wa aina hiyo wanao muabudu mungu kipindi cha shida wakipata wanamtupa mungu
Mungu nijaliye niwe na subra na nijaliye kizazi chema amini niwasaidiye wazazi wngu na wazazi wa we Angu aminii❤❤❤
Maasha Allah shukran Jazakallahu Khair 🙏, hakika hiki kisa ni Chenye manufaa makubwa Shekhe,
Nampenda sana Alla na mtume wangu Muhammad
Ujumbe mzuri wenye kuiogopesha na kuihofisha nafasi .Ameen Allah akupe afya ilitupate faidi zaidi Toka kwako insha Allah
Wape uchumbe wa ukweli wasikie wasisikie pasi olewao
Ujumbemzuri
Ameen
😊
Subhanallah kisa chasisimuwa mailaika mola tujaalie tuwe miongoni mwa waja wema tusighafilike na dunya kwa mali ameen
Mungu wajaliye wazazi wetu wawe na subra aminii❤❤❤
Na mie bora nimalize salaa tayari mawaidha mazuri Allaah akuhifadhi Yaarabiy asitujaalie kuwa katika waja wakuzuwiya mikono yetu
Mungu anatumia sura ya kiumbe Yeyote kutekeleza mipango Yake.
Mwenyezi mungu tunakuomba utusamehe na madhamb yetu🤲
Masha Allah kisa chenye mazingatiyo sheikh wangu mpendu
Mashaallwa mungu atupemwisho mwema
Subhanallaa waumbikum jazakallah kisahiki kimenifunza❤❤❤
Tunatakiwa tubadilike
Mashaallah mwenyezi mungu atunusuru nayadunia
Kisa Madhubuti Sana Hiki Allah Atukuzie Imani Zetu
Jazak Allah kher😮😮😮
Shukran Sana kwa ukumbusho mzuri
MaaShaAllah Allah atupe mwisho mwema
Asante kwa kutukumbusha kwa Hilo na ujumbe wako ni nzur sana mungu awe nawe
Shukran shekhe mungu akujalie kwa mafundisho mazuri sana mungu atujalie sisi sote atupe mwisho mwema ❤❤❤❤
Takbiriiiiii
Allahu Akbar
Jazakallah Allah atuzudishie iman na subra
Allah tuzidishie wema na mwisho mwema nimejifunza katika shehe huyu kwa umauti Allah nijaria mwisho mwema na uzima wa Dunia na roho yangu unitunzie na siku yako ya toa roho uniondolee maumivu Allah uzeeni
Ujumbe mzuri mnoo Mashallah
😊 cc tx.Allah atujaalie riziki za halali
Allahuakbar,Allahuakbar ya Allah utusamehe ya Allah ameen ameen Rabillah lameen😢
Allah sw akulipeh jambo ili insha-Allah! Piah namuomba Allah sw atupeh mwisho mwemah 🙏 🇹🇿
Nmefk8za na kujifunza katika kida hiki mungu akujalie hekima za8di ya hii utufunze za8di Inshallah
Jazakallahul Kheir Sheikh kwa ukumbusho
Sheh Allah akupe maisha marefu.
Fan a'udhu billah min dhalika
😢😢😢 shukran sheikh mungu akupe umri mrefu wenye kheri insha'Allah
Ewe mwenyenzi mungu uzidi kunibariki nakuku abudu pesa siyo kitu mbele yako❤
maasha Allah.hakika kisa cha kutufunza ALLAH atujaalie subra kwakwel
Historia hiiimebeba mfano wa past life yangu wallah shukurani Mola mlezi akuzidishie umri uzidi kutukumbusha InshaAllah Ameen
Alhamdulillah, mungu akikujaalia neema usisahau kurudisha shukran kwake
Allah atusamehe sote Ameen Ameen
Subhanallaah mugu atupe mwisho mwema kweli na umasikini ulaniwe
Ah sibhanallah Allah atukaalie mwisho mwema. Amiiin
Mwenyezi Mungu tusamehe waja wako na utuongoze kwenye njia ya kheri Inshaallah 🙏🏾
Laillahah Ilallah Muhammad Rasulullah❤
Ya Allah nashkuru kwa ulicho niruzuku nacho. Wewe ndiye unayejuwa khatimah yangu
Yallab Tujaalie Mwisho mwema 🙏❤️
mungu akupe maisha malefu uzidi kutoa mawaidha
Innashallah
Allah atuajaalie miongon mwa wakuyatekelwza na kupata mwisho mwema😢
MASHAALAH ❤
Allahu Akbar.Mashallahu Barakallahu fiikii
Dah Alhamdulillah 😢😢😢
Mashaallah mawaidh mazur Allah atuwezesh mwish mwema
Allah atujalie tuwe na mwisho mwema sote 🙏💗💗🙏💯
Ya allah tupe mwisho mwema 🤲🏻
Allah Akbar Allah anatupenda sana alhamdulillah i love u Allah
Mashallah ujumb mzur sana Allah atujalie mwisho mwema
Allah atujalie mwisho mwema Ameen na taqwa ya kweli
Mashallh good you bls❤❤❤❤❤❤
Thank u very much my Sheikh,Asante Kwa ujumbe Huo unamaana Sana .
Inshaallah,M'Mungu akujaalie shekhe kwa kisa che huyo fukara chenye mafunzo.
Allah asitujaalie kughafilika na Ibada zake
subhanallah allahumma ameen 🙏 🙏 22:46
Allihamndulilah Allah akulipe kwaswadaka hii zuri sana nime jifuza
🤲🤲🤲 Allah tuongoze katika njia iliyo salama
ALLAH ATUJALIE MWSHO MWEM
Mungu atusahe na tusiwe nanafsi zakupenda Mali zadunia tukamsahau mungu shehe wetu mungu akuafu
CT CT
Mawaidhs
Mashaallh kisa hicho kinamafunzo shekh Allah atujalie mwisho mwema
Allah atupe Mali zenye kheir na barka...Maa Shaa Allah kila kizuri chenye mafunzo ..Baarakallah fiyk sheikh
Aamin
❤❤❤❤❤❤
Mwenyezi mungu tujaalie matendo mema na mwisho mwema
Allah atueke miongoni mwa waja wake ambao watafaulu inshallah
Allah atuzidishie AFYA njema
Kisa kizuri kina mafunzo mazuri MashaAllah
Yaalab tujalie mwisho mwema 🙏💖
nashukuru kwa kunipa habari njema mungu nijalie nafasi ya kukumbuka watu sasa wanataka miujiza ya kupata pesa 9
Allah atujalie mwisho mwema ❤