KUMNYIMA HAKI YA NDOA NI UKATILI PIA (HUBBUL HALAL)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 17

  • @SamiraMakame-w9c
    @SamiraMakame-w9c 29 дней назад

    Subuhana llahu

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 4 месяца назад +1

    Masha ALLAH

  • @bontenirera4795
    @bontenirera4795 24 дня назад +1

    Uyo mama ningemjuwa mapema kabla yakuowa ningejielimisha kwanza

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 4 месяца назад +3

    Shukran twajifunza pia kabla kuingia kwenye ndoa

  • @IbrahimMohamed-vo9ls
    @IbrahimMohamed-vo9ls 4 месяца назад +3

    Tuoe kwnza alaf ndik tuangalie izi video

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 4 месяца назад +1

      Ni sawa pia kujifunza kabla hujaingia ndoani

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi2047 4 месяца назад +1

    HAYO MAMBO YA KUULIZANA SIMU IKIWA UTAKATAZA, JEE VIPI UTAMUONGOZA MKEO HALI TU MEONA MSANII WA KIKE MALAIKA WA TZ KWASABABU YA SIMU SASA NDOA PINDU PINDU, ALIACHIWA HUO UHURU JEE MBONA NDOA IMESAGIKA KAMA UJI?. UWAFUNZE WANAWAKE TU WAACHE TAMAA BASI NDOA ZOTE ZITAKUWA SAWA.

  • @FatmaOmar-r1t
    @FatmaOmar-r1t 4 месяца назад +1

    Mashallah najifunza Sanaa,hiki kipindi ni kama stress remover kwangu.Allah akupeni afya njema.

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 4 месяца назад +1

    Mashallah Madam Laila Allah akujaze Kher unahikma Ya kuzungumza Allah akujaze kher🤲🥰🥰🥰

  • @ashamfunga7875
    @ashamfunga7875 7 дней назад

    Kama ni mwanaume wawa nawake wengi we ukae nae tuu akuletee maradhi

  • @MussaJuma-nf3vg
    @MussaJuma-nf3vg 2 месяца назад

    Asanteni Mwandishi Mr RASHID na mwanasaikolojia wetu MADAM LEYLA.
    Nawapata vizuri.
    Kipengele cha mwanamke kumwambia mwanamme hana hisia naye. Kuna sababu hapo ambazo nyengine mwanamme ndio chanzo au ni makutano ambayo hayakua na maamuzi sahihi kwenye moyo bali macho na mihemko ilitumika kwenye maamuzi.
    DR MUSSA (PSYCHOLOGIST)

  • @rukiaussi2764
    @rukiaussi2764 3 месяца назад +1

    Mashallah jazakallah kheir

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 4 месяца назад

    Jazaka Allahu khairan kwa darsa nzuri Alhamdulillah

  • @AgnessMsacky
    @AgnessMsacky 4 месяца назад

    Ukatili uko wa aina tofauti moja mchepuko w mume huwawanatukana mke mkubwa ukishtaki kw mume mume anamtetea mchepuko wake huku nikumuonea mke mkubw

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf Месяц назад

    ❤❤❤

  • @FatmaOmar-r1t
    @FatmaOmar-r1t 4 месяца назад +1

    Madam leila ilikuwa bado ana ugeni wa studio katika vipindi vilivyopita apo alfatah ila leo yupo vizur kama tulivyomzowea mashallah.

    • @x7hia
      @x7hia 3 месяца назад

      Wewe itakua ndo una ugeni mana huyo Leiya ni mtangazaji professional km studio na media ashazizoea ana miaka kwenye media