HILI NDIO LILILOWAFELISHA WENGI KATIKA NDOA ZAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 32

  • @asiasuleman8750
    @asiasuleman8750 25 дней назад

    Manshallh nimeipenda sana my❤❤

  • @zainabuali9915
    @zainabuali9915 7 месяцев назад

    Somo miwani kama mjeruman kweli😂😂😂😂kusem kwel hki kpind nkipenda kinaamasha ndoa zlizofubaa, ahsante somo❤

  • @samirajumanneanzuruni7320
    @samirajumanneanzuruni7320 4 месяца назад

    Mashallah

  • @ZainabIssa-v5u
    @ZainabIssa-v5u 7 месяцев назад +2

    Mashallah hubbu lhalali inafanya kazi mpka kwa waandaaji wa kipindi inaonesha msumari umegongomelewa kwa umakini na rangi inaendelea kupakwa kwa ustadi.

  • @faizaa155
    @faizaa155 Месяц назад

    Asalam alykum warhmatullh wabarakat naomba number yko dada

  • @umurimbotv304
    @umurimbotv304 7 месяцев назад

    Asante 👏

  • @nadiaali9147
    @nadiaali9147 18 дней назад

    Wewe mwenywe unaonesha unashindana na mumeo sasa mutasaidiana vipu na wakati mume kashamkataza mkewe asifanye kazi pesa atapata wapi mke? Wewe unajiangalia wewe tu kwasababj uko na kazi na mumeo kakuruhusu kuna wengine hawapewi fursa yakutafuta kaz na wazaz wamekusomesha mpk phd loh

  • @nadiaali9147
    @nadiaali9147 18 дней назад

    Mtu akiamua kubadilika atabadilika na km hajaamua kubadilika habadiliki wewe dada

  • @mwanaidiiddi-hh5lc
    @mwanaidiiddi-hh5lc 6 месяцев назад +1

    MashaAllah Allah awalipe kheir kubwa dunian na akhera

  • @rehemaomarsaid
    @rehemaomarsaid 7 месяцев назад +2

    Aalaykum mashallah kipindi kizuru,lakini kunawanaume wengine hata ujitahidi kiasi Gani haoni jitihada zako Sasa mwanamuke kama huyo tufanyeje?

    • @nadiaali9147
      @nadiaali9147 18 дней назад

      Achana nae songa mbele tafuta kazi upate pesa uendeshe maisha mamy

  • @fauzenkassim8424
    @fauzenkassim8424 7 месяцев назад +1

    Mashaallah ❤❤❤ Allah awazidishie InshaAllah

  • @FatimeOmari
    @FatimeOmari 7 месяцев назад +1

    Jamani wmama wenzangu kuwa mama unaejitambua ni raha sana hata km mtavurugwa na hasad mumeo atakuganda

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 7 месяцев назад +1

    Tutanunua kitanda, sio usingizi
    Tutanunua nyumba, sio makaazi,
    Tutanunua dawa, sio afya
    Tutanunua mapambo, sio utulivu.

  • @MamiMohamed-c6l
    @MamiMohamed-c6l 7 месяцев назад

    Assalam aleikum me naomba muzungumzie hii mada mume anaependa kumuapiza mkewe kwa mambo tu madogo madogo ya nyumbani

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo3093 7 месяцев назад +1

    hii mada yafaa waarabu maana kila kitu mtu wa kazi

    • @mkude
      @mkude 6 месяцев назад

      Wewe huna unalolijua kabisa ,zero brain.kama me wako Hana hela za kukuwekea mfanyakazi usiwe na husda Kwa waraabu kuwawekea wake zao mfanyakazi. Kwa Taarifa yako mwanamke sio jukumu lake lazima akupikie chakula au kukufulia nguo,anaweza kukufanyia hivyo Kwa mahaba tu lakini sio lazima.mwanamke jambo la kwanza anatakiwa kuwa na heshima kuwa na upendo na tendo la ndoa ni wajibu wake Kwa mme wake.mme wake kama anamoenda mke wake atamuwekea mfanyakazi amsaidie kazi za ndani ikiwemo hata kupika pia.

    • @mkude
      @mkude 6 месяцев назад +1

      Eti hii mada yafaa Kwa waraabu kila kitu mfanyakazi khaaaa 😮😢.kwahiyo unataka mke wako aangalie watoto afue nguo za watoto akupikie chakula akufulie nguo.halafu na usiku akupatie na tendo la ndoa.acha husda Kwa waraabu wewe kama huwezi kufanyiwa na mme wako ni wewe hiyo

  • @amnerashid9026
    @amnerashid9026 7 месяцев назад

    Mashallah nimefurahi kumuona somo mtoto jungu kuu amerudi mezani kipindi kimenoga 🥳👏

  • @FatimeOmari
    @FatimeOmari 7 месяцев назад

    Kweli kabisa tena utamgandaa nabutampambania mumeo wakt wote!!

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 7 месяцев назад

    A alaikum warahmatullah wabarakatu mashallah somo zuri shukran saba kwa ukumbusho Allah akubarik

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 7 месяцев назад

    🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @FatimeOmari
    @FatimeOmari 7 месяцев назад

    Nikweli somo mtotot hata mimi mwanagu mmoja yupo hao wako

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman 7 месяцев назад

    Mashaallh

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 7 месяцев назад

    20:45 🎉🎉🎉❤😂😂😂😅🤣

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 7 месяцев назад

    Uyuu atie jeuri saana na anaringa

  • @fayzakarym8943
    @fayzakarym8943 7 месяцев назад

    Somo umenena mashaa Allh.....