HIVI NDIVYO WANAUME WANAVYOWAUMIZA WANAWAKE KATIKA NDOA ZA UKE WENZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 23

  • @maryamadam5622
    @maryamadam5622 День назад +1

    Mashallah.Tunafaidika sana kwa haya. Mengu magumu. Yanasababishwa na wanaume kwa kutojali umuhimu wa ndoa kuwa ni ibada. Kujali zaidi matamanio yao tu. Athari kwa kizazi pia. Watoto pia wanaathirika sana ikiwa hakuna maadili. Shukran zenu waalim

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket 21 час назад +1

    Mashallah sheikh Leo zamu ya upande wa pili hii ndio raha isiiegemee upande mmoja

  • @RahmaRashid-lc6nw
    @RahmaRashid-lc6nw День назад +1

    Mashallah Mashallah Maalim ana madini na raha zaid anaenda na Quran nimempenda sana

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 День назад

    Alhamdulilah ❤❤❤❤.
    Maalim hassan huyu awesome sana hapa anapia kwenye misingi mizuri dini sycologia kawatibu wengi leo

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 13 часов назад

    MashaAllah ❤❤❤

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 15 часов назад

    Mashaalllah arudi tena❤❤

  • @aramm474
    @aramm474 День назад

    SubhanaAllah umeongea mambo mazito maasha Allah

  • @MonoMono-q7s
    @MonoMono-q7s День назад +1

    Sauty km shekh msabah masha Allah

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 День назад

    Nimempenda Hulu Maalim Sana maashallah 🎉🎉🎉🎉

  • @HalimaNasser-l9g
    @HalimaNasser-l9g 13 часов назад

    Mashallah uhakika nameno juu yamsitari yani mpaka natokwa namachozi yani ayo maneno yamenigusa Kwenye moyo😢

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 15 часов назад

    Aje tena na tena jmn somo zuri sana

  • @MyasaAbdullah
    @MyasaAbdullah День назад

    Mashaallah shekh nimekufahamu

  • @bahidispensary2786
    @bahidispensary2786 18 часов назад

    Tumekuelewa sana ustadh.
    Nina shida na no ya sim ya ustadh hassan

  • @FatuNahimana
    @FatuNahimana День назад

    Kaka yetu yani na kuku bali uko vizuri

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 День назад

    Huyu aje kila Siku 🎉🎉🎉

  • @FatuNahimana
    @FatuNahimana День назад

    Nilicho jifunza kwa kaka yangu yani ina takiwa wahubiri wa dini wawe wataalam wa scologie ili wawa weke sawa wa umini wawo

  • @abdulkidau3178
    @abdulkidau3178 День назад

    Dah jamaa nimesoma nae nasari huyu na madrasa pamoja 😂😂😂 maisha haya

  • @AlkafaaMarket
    @AlkafaaMarket 21 час назад

    Nikweli mavazi yakiletwa na mume unajiskia faraja lkn leo wapo niwachache baada ya mapembe bas

  • @AminaSalim-i6j
    @AminaSalim-i6j День назад

    😢 mtu ataka kunioa mke2 lakini aniambia nampenda sana mkewangu n nataka kukuoa tu mke wa 2 lakini sinamatatizo n bimkubwa.. je uyu n mkubali ama 😊

    • @MWANAHAMISIOTTO
      @MWANAHAMISIOTTO День назад

      Indio yupo sahihi

    • @salwasuleiman3525
      @salwasuleiman3525 10 часов назад

      Muombe Allah ikiwa kuna heri

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Час назад

      Baadaye usije kuja kulia hapa ,hata hivyo kwani wanaonaga mke wa pili ikiwa hawawapendi au wamewachoka wake wa kwanza?

    • @rukiasalim3376
      @rukiasalim3376 Час назад

      Kasema ukweli, ulitaka akudanganye???, au mnapenda mtu aseme ana tofauti na mke wake wa kwanza?? Amekwambia hivo ili uende na adabu zote na kama ukimvunjia heshima bimkubwa bas jibu unalo