HIVI NDIVYO WANAUME WANAVYOWAUMIZA WANAWAKE KATIKA NDOA ZA UKE WENZA
HTML-код
- Опубликовано: 12 окт 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mashallah.Tunafaidika sana kwa haya. Mengu magumu. Yanasababishwa na wanaume kwa kutojali umuhimu wa ndoa kuwa ni ibada. Kujali zaidi matamanio yao tu. Athari kwa kizazi pia. Watoto pia wanaathirika sana ikiwa hakuna maadili. Shukran zenu waalim
Mashallah sheikh Leo zamu ya upande wa pili hii ndio raha isiiegemee upande mmoja
Mashallah Mashallah Maalim ana madini na raha zaid anaenda na Quran nimempenda sana
Alhamdulilah ❤❤❤❤.
Maalim hassan huyu awesome sana hapa anapia kwenye misingi mizuri dini sycologia kawatibu wengi leo
MashaAllah ❤❤❤
Mashaalllah arudi tena❤❤
SubhanaAllah umeongea mambo mazito maasha Allah
Sauty km shekh msabah masha Allah
Nimempenda Hulu Maalim Sana maashallah 🎉🎉🎉🎉
Mashallah uhakika nameno juu yamsitari yani mpaka natokwa namachozi yani ayo maneno yamenigusa Kwenye moyo😢
Aje tena na tena jmn somo zuri sana
Mashaallah shekh nimekufahamu
Tumekuelewa sana ustadh.
Nina shida na no ya sim ya ustadh hassan
Kaka yetu yani na kuku bali uko vizuri
Huyu aje kila Siku 🎉🎉🎉
Nilicho jifunza kwa kaka yangu yani ina takiwa wahubiri wa dini wawe wataalam wa scologie ili wawa weke sawa wa umini wawo
Dah jamaa nimesoma nae nasari huyu na madrasa pamoja 😂😂😂 maisha haya
Nikweli mavazi yakiletwa na mume unajiskia faraja lkn leo wapo niwachache baada ya mapembe bas
😢 mtu ataka kunioa mke2 lakini aniambia nampenda sana mkewangu n nataka kukuoa tu mke wa 2 lakini sinamatatizo n bimkubwa.. je uyu n mkubali ama 😊
Indio yupo sahihi
Muombe Allah ikiwa kuna heri
Baadaye usije kuja kulia hapa ,hata hivyo kwani wanaonaga mke wa pili ikiwa hawawapendi au wamewachoka wake wa kwanza?
Kasema ukweli, ulitaka akudanganye???, au mnapenda mtu aseme ana tofauti na mke wake wa kwanza?? Amekwambia hivo ili uende na adabu zote na kama ukimvunjia heshima bimkubwa bas jibu unalo