Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hongera sana Mary, nilipata kumfahamu marehemu mzee wako Eng. Paul Chizi alinisaidia sana kuingia kwenye biashara ya consultancies. Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani. Sikuwahi kujua kama aliye tangaza tangazo hilo.
Kasomea Kwa madiba kakulia Kwa madiba bado anaongea Kiswahili ila ngekua ma Dada wa bongo njooni mjifunze kitu
Wamesoma feza tu apo wanajikutk km wako Harvard 😂😂😂😂
Dah uko sahihi
Upo sahihi
Malizia bongo movie😅😅
Wow,confidence is beauty ❤
Safiii sana, shule kwa mtoto wa kike ni muhimu sana ni rahisi kujitambua kipaji chake
You are very talented kipiji kizuri please visit schools and show them about drama they will like 👍 it
Kumbe wewe ndio uliemfanya mama angu aseme sasa atapatikana saa ngapi halafu humjibu😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 utaskia sasa atapatikan saa ngapi mwangu
😂😂😂😂😂
Mtandao Gani yupo TIGO,VODA, AIRTEL,HALOTEL auuu
Nakupenda sana umetisha sana ubarikiwe
Hii ni pure talent
Hongera sanA kaz nzuri
Nani amegundua mtangazaji kampenda mhojiwa😂😂, angalia yake
Aki Mungu anakumulika 😂😂ni kweli alafu macho yanangara kama taa za BMW
Mm hapa nimegundua
Ww hujampenda
@@sports007tv4 nimempenda, ww hujampenda!?🤪
Kweri afu dada yupo bize na interview Hana hata habri nae
Love you so much sister Mary!
Yaani baba angu alikuwa anasema haka kamama kanajuaje kama hapatikani ...
WAACHE KUNUNUA BETRI IMARA KWENY SIMU ZAO WAKWAMBIE WW NDO UMEVUNJA NDOA..
Anajitahidi saana kiswahili kinzuri saana kimenyooka kama vile amezaliwa bongo amekulia bongo na amesoma bongo A-Z nimemuelewa saana
Ana sauti nzuri sana sana Mary Chizi.
Crown fm huyu anatufaa mchukueni
❤
Sasa kwa vile mushampata hebu mwambieni tukishawakosa awe anatuambia tutawapata wakati gani jameni😂😂Mbona anatuachaga hewani jomoni?😅😅
Akitoka huyu no 2 ni Veronika simulizi
subutuuu
Merry Chizi😂😂😂
Kumbe niww uliefanya nimpige mkewangu
Hongera sana dada yetu wa tz
Tunachukuliwa poa sana, ukimwambia gharama mteja inaonekana ni kubwa.
Mtangazaji umetisha umeona umvalie shuti kabisa
Hakika
Anafaa Sana ❤😊🙏
Anajua lugha uyo
Uyu akiwa mke wako majirani wanaweza dhani ndani kuna watu 100. Anaongea balaaa pala palaa draaaaaaaa! Duh😮😮
Hahaha
woa sauti kama ya malaika
Unamjua malaika
Yuko Vizuriii Mchumba
Mmmmm ushaanza
😅😅😅@@rogerabdallah439
Yani hata haringi yuko sawa yani kikawaida sana haonyeshi majivuno
Sio kama wewe ata nikikutongoza utaki nawakati mungu kakupa bule
😂😂😂😂😂@@rogerabdallah439
@@rogerabdallah439 duuuu
@@jeremiadaniel523 kweli
Unafanya kazi nzuri pita mashuleni kuna watoto wa kike wengi sana wana talent sana lakini hawajui pakuanzia!!!!
Tuletee yule mzee wa tigo miaka 2009
Hongera sana Mary, nilipata kumfahamu marehemu mzee wako Eng. Paul Chizi alinisaidia sana kuingia kwenye biashara ya consultancies. Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani. Sikuwahi kujua kama aliye tangaza tangazo hilo.
Kasomea Kwa madiba kakulia Kwa madiba bado anaongea Kiswahili ila ngekua ma Dada wa bongo njooni mjifunze kitu
Wamesoma feza tu apo wanajikutk km wako Harvard 😂😂😂😂
Dah uko sahihi
Upo sahihi
Malizia bongo movie😅😅
Wow,confidence is beauty ❤
Safiii sana, shule kwa mtoto wa kike ni muhimu sana ni rahisi kujitambua kipaji chake
You are very talented kipiji kizuri please visit schools and show them about drama they will like 👍 it
Kumbe wewe ndio uliemfanya mama angu aseme sasa atapatikana saa ngapi halafu humjibu😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 utaskia sasa atapatikan saa ngapi mwangu
😂😂😂😂😂
Mtandao Gani yupo TIGO,VODA, AIRTEL,HALOTEL auuu
Nakupenda sana umetisha sana ubarikiwe
Hii ni pure talent
Hongera sanA kaz nzuri
Nani amegundua mtangazaji kampenda mhojiwa😂😂, angalia yake
Aki Mungu anakumulika 😂😂ni kweli alafu macho yanangara kama taa za BMW
Mm hapa nimegundua
Ww hujampenda
@@sports007tv4 nimempenda, ww hujampenda!?🤪
Kweri afu dada yupo bize na interview Hana hata habri nae
Love you so much sister Mary!
Yaani baba angu alikuwa anasema haka kamama kanajuaje kama hapatikani ...
WAACHE KUNUNUA BETRI IMARA KWENY SIMU ZAO WAKWAMBIE WW NDO UMEVUNJA NDOA..
Anajitahidi saana kiswahili kinzuri saana kimenyooka kama vile amezaliwa bongo amekulia bongo na amesoma bongo A-Z nimemuelewa saana
Ana sauti nzuri sana sana Mary Chizi.
Crown fm huyu anatufaa mchukueni
❤
Sasa kwa vile mushampata hebu mwambieni tukishawakosa awe anatuambia tutawapata wakati gani jameni😂😂
Mbona anatuachaga hewani jomoni?😅😅
Akitoka huyu no 2 ni Veronika simulizi
subutuuu
Merry Chizi😂😂😂
Kumbe niww uliefanya nimpige mkewangu
Hongera sana dada yetu wa tz
Tunachukuliwa poa sana, ukimwambia gharama mteja inaonekana ni kubwa.
Mtangazaji umetisha umeona umvalie shuti kabisa
Hakika
Anafaa Sana ❤😊🙏
Anajua lugha uyo
Uyu akiwa mke wako majirani wanaweza dhani ndani kuna watu 100. Anaongea balaaa pala palaa draaaaaaaa! Duh😮😮
Hahaha
woa sauti kama ya malaika
Unamjua malaika
Yuko Vizuriii Mchumba
Mmmmm ushaanza
😅😅😅@@rogerabdallah439
Yani hata haringi yuko sawa yani kikawaida sana haonyeshi majivuno
Sio kama wewe ata nikikutongoza utaki nawakati mungu kakupa bule
😂😂😂😂😂@@rogerabdallah439
@@rogerabdallah439 duuuu
@@jeremiadaniel523 kweli
Unafanya kazi nzuri pita mashuleni kuna watoto wa kike wengi sana wana talent sana lakini hawajui pakuanzia!!!!
Tuletee yule mzee wa tigo miaka 2009
Yaani baba angu alikuwa anasema haka kamama kanajuaje kama hapatikani ...