MREMBO WA "NAMBA UNAYOPIGA HAIPATIKANI" AFUNGUKA, PESA ALIZOLIPWA “WANADAI NIMEVUNJA NDOA ZA WATU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2024
  • ‪@millardayoTZA‬

Комментарии • 62

  • @stephennyagonde637
    @stephennyagonde637 Час назад +10

    Hongera sana Mary, nilipata kumfahamu marehemu mzee wako Eng. Paul Chizi alinisaidia sana kuingia kwenye biashara ya consultancies. Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani. Sikuwahi kujua kama aliye tangaza tangazo hilo.

  • @AidaKajala
    @AidaKajala 2 часа назад +19

    Kasomea Kwa madiba kakulia Kwa madiba bado anaongea Kiswahili ila ngekua ma Dada wa bongo njooni mjifunze kitu

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 6 минут назад

    Wow,confidence is beauty ❤

  • @elizabethmwakajilaayo6707
    @elizabethmwakajilaayo6707 6 минут назад

    Safiii sana, shule kwa mtoto wa kike ni muhimu sana ni rahisi kujitambua kipaji chake

  • @richardJanson-h7c
    @richardJanson-h7c Час назад +1

    You are very talented kipiji kizuri please visit schools and show them about drama they will like 👍 it

  • @sakinabudi
    @sakinabudi 2 часа назад +8

    Kumbe wewe ndio uliemfanya mama angu aseme sasa atapatikana saa ngapi halafu humjibu😂😂

  • @emanueljackson-l9y
    @emanueljackson-l9y 3 минуты назад

    Mtandao Gani yupo TIGO,VODA, AIRTEL,HALOTEL auuu

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 2 часа назад +2

    Nakupenda sana umetisha sana ubarikiwe

  • @User92.invisible
    @User92.invisible 2 минуты назад

    Hii ni pure talent

  • @daudihankungwe5802
    @daudihankungwe5802 2 часа назад +2

    Hongera sanA kaz nzuri

  • @2116-n
    @2116-n Час назад +6

    Nani amegundua mtangazaji kampenda mhojiwa😂😂, angalia yake

    • @eddymaphy
      @eddymaphy Час назад +1

      Aki Mungu anakumulika 😂😂ni kweli alafu macho yanangara kama taa za BMW

    • @peaceofmind7036
      @peaceofmind7036 Час назад

      Mm hapa nimegundua

    • @sports007tv4
      @sports007tv4 Час назад

      Ww hujampenda

    • @2116-n
      @2116-n Час назад

      @@sports007tv4 nimempenda, ww hujampenda!?🤪

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 27 минут назад

      Kweri afu dada yupo bize na interview Hana hata habri nae

  • @majutojuma7654
    @majutojuma7654 Час назад +1

    Love you so much sister Mary!

  • @SalmaJumanne-sn7tt
    @SalmaJumanne-sn7tt 2 минуты назад

    Yaani baba angu alikuwa anasema haka kamama kanajuaje kama hapatikani ...

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 10 минут назад

    WAACHE KUNUNUA BETRI IMARA KWENY SIMU ZAO WAKWAMBIE WW NDO UMEVUNJA NDOA..

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Час назад +1

    Anajitahidi saana kiswahili kinzuri saana kimenyooka kama vile amezaliwa bongo amekulia bongo na amesoma bongo A-Z nimemuelewa saana

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 Час назад

    Ana sauti nzuri sana sana Mary Chizi.

  • @nyembobea7285
    @nyembobea7285 2 часа назад +2

    Crown fm huyu anatufaa mchukueni

  • @hariethsamwel8948
    @hariethsamwel8948 2 часа назад +1

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 20 минут назад

    Sasa kwa vile mushampata hebu mwambieni tukishawakosa awe anatuambia tutawapata wakati gani jameni😂😂
    Mbona anatuachaga hewani jomoni?😅😅

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Час назад +1

    Akitoka huyu no 2 ni Veronika simulizi

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 Час назад +1

    Merry Chizi😂😂😂

  • @Ommyblacktz13
    @Ommyblacktz13 2 часа назад +1

    Kumbe niww uliefanya nimpige mkewangu

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 25 минут назад

    Hongera sana dada yetu wa tz

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 2 часа назад

    Tunachukuliwa poa sana, ukimwambia gharama mteja inaonekana ni kubwa.

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g Час назад

    Mtangazaji umetisha umeona umvalie shuti kabisa

  • @josephatmakuka4860
    @josephatmakuka4860 2 часа назад

    Hakika

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 2 часа назад

    Anafaa Sana ❤😊🙏

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 2 часа назад

    Anajua lugha uyo

  • @TimotheoSimtowe
    @TimotheoSimtowe Час назад

    Uyu akiwa mke wako majirani wanaweza dhani ndani kuna watu 100. Anaongea balaaa pala palaa draaaaaaaa! Duh😮😮

  • @labancharles8453
    @labancharles8453 2 часа назад

    woa sauti kama ya malaika

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re 2 часа назад

    Yuko Vizuriii Mchumba

  • @magrethdaniel8441
    @magrethdaniel8441 Час назад

    Yani hata haringi yuko sawa yani kikawaida sana haonyeshi majivuno

  • @YonnahKokan
    @YonnahKokan 2 часа назад

    Unafanya kazi nzuri pita mashuleni kuna watoto wa kike wengi sana wana talent sana lakini hawajui pakuanzia!!!!

  • @Moshiling
    @Moshiling 16 минут назад

    Tuletee yule mzee wa tigo miaka 2009

  • @SalmaJumanne-sn7tt
    @SalmaJumanne-sn7tt 2 минуты назад

    Yaani baba angu alikuwa anasema haka kamama kanajuaje kama hapatikani ...