NDOA NI YA WATU WAWILI: KIPINDI HUBBUL HALAL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 39

  • @fatimajuma8900
    @fatimajuma8900 Год назад +3

    Kweli huyu Dada hapo ndo kaharibu kuweka mapambo yake wake ingawa Alhamdulillah Hana makeup Allah Subhaana amuongoze yeye na hata siye tunamokoseya In Shaa Allah

  • @zainabissa7851
    @zainabissa7851 Год назад

    Rashid asifiae mvua ?

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 Год назад +7

    Mwanamke wakiislamu funika hina yako na udhihirish kwa mume wako sio dunia nzima waone

    • @AishaMtapa
      @AishaMtapa 11 месяцев назад

      Ni kweli nae abadilike kwà kuficha hayo mapambo yake.

  • @KhadijaHamad-hs6ig
    @KhadijaHamad-hs6ig Год назад +2

    Sio kweli dadangu na hao wanaume wanahaki ya kutambua wajibu wao kwa wenzao,wanaume wengi hawana elimu ya ndoa wanataka kuwakandamiza wanawake kwa kutumia kigezo Cha Aya "arrijali kawwamuna ghala nnissai"

  • @UmAkram-z1u
    @UmAkram-z1u Год назад +2

    usidhihrishe pambo lako kwa watu wote ni haramu

  • @aishakh5046
    @aishakh5046 Год назад +2

    Hio hina ni yamtu moja tu kavyaye sokisi usituoneshe sote

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Год назад +2

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Jazzaka Allahu Khairan

  • @zainabuliza2664
    @zainabuliza2664 Год назад +1

    Lakini kuna wanaume wengine pia hawana mahaba wala pia ukiwafanyia hawayapokei kwa uzuri kazi yao ni kuwafanya wanawake zao kama watumwa 😢 innalillah

  • @halimanindi8055
    @halimanindi8055 Год назад

    Somo zur lakin dada bado stara kwako ni mtihani,. umeenda kwenye kipindi umejipodoa mwenyew mashaalah lakin haujajistir urembo wako unajionesha tena walegeza hadi jicho, siyo sawa hayo ni mambo ya shemeji hayo

  • @attiyakhalfan8027
    @attiyakhalfan8027 Год назад +1

    Asalaam alaykum-Mimi nasema pande zote mbili zinatakiwa kuelimishwa kukaa na mwezi wake! Sio kulaumiwa mwanamke tuu!

  • @salem9874
    @salem9874 Год назад +1

    Bora uwafahamishe mana now is too much

  • @safiaabou-kw2np
    @safiaabou-kw2np Год назад

    Ndoa ni watu 2 haki na wajibu ni watoto pacha na wanaume waambie wajibu wao ili wapate haki zao

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Год назад +1

    Yaani majumba mingi haki za ndoa hadi mume aombe kama hakuomba ,itafika mwaka watu wanaingia ndani na kutona ,,yaani mume tu ndie mwenye shida na mkewe lakini mke kawaida hua hana shida na mumewe

  • @FatmaAli-v8s
    @FatmaAli-v8s Год назад

    Sio wanawake tu shekhe Rashid na wanaume pia wanawanyima haki wake zao sasa munalizungumziaje na hili

  • @AbuuSufyaan-y5p
    @AbuuSufyaan-y5p Год назад

    Na nyie wenye nyote mmepinda

  • @AbuuSufyaan-y5p
    @AbuuSufyaan-y5p Год назад

    Kajistiri kwanza kama wampenda mumeo kisha ufungue hiyo darsa ya ndoa nyumbani kwako sio kujianika hapo bila ya stara

  • @biubwazahir782
    @biubwazahir782 Год назад +1

    Mashaallah

  • @saidisaidi2310
    @saidisaidi2310 Год назад

    Mwalimu una mume ww ? mana makungwi wng hua wameachika niswali tu kama huna mume tujitolee

  • @زينبتنزانيا
    @زينبتنزانيا Год назад

    Mashallah somo nzuri Allah anijlii na mimi kuwa mwema kwa mume na Familia yake duuh, tabia hizo na ziona huku oman

  • @mamyyussuf
    @mamyyussuf Год назад

    MashaAllah MashaAllah najifunza mengi kupitia hiki kipindi .shukran sana

  • @awadhimchaki3357
    @awadhimchaki3357 Год назад

    Ficha Hina ficha uso sauti Yako nayo mtihani Dada wewe unayaingia madhambi weye na we mkaka Allah akusamehe

    • @aminanahimana8759
      @aminanahimana8759 Год назад +1

      Kuficha sura sio lazima acheni mambo ya fitna Tumuokopeni Allah

    • @zainabuliza2664
      @zainabuliza2664 Год назад

      Kuna watu wanautia uzito uislamu jamani kwaiyo hata vitanga vyake vya mkono pia ni dhambi kuonekana uso pia
      Astaghafirullah

    • @AishaMtapa
      @AishaMtapa 11 месяцев назад

      ​@@zainabuliza2664ishu hayo mapiko na mahina yako wazi ni haramu kuonyesha kwà kila asyekuwa harimu wako

    • @AishaMtapa
      @AishaMtapa 11 месяцев назад

      ​@@zainabuliza2664pia tafuta somo linalohusu ubora wa kufunika sura kwà mwanamke na sauti yake ndio utafahamu. No research no right to speak. hapo kapewa ushauri tu hakulazimishwa kuvaa au kuficha amefikishiwa tu kama yeye anavyowafikishia wenzie.so kuwa mpole dada zaina tusiishi kwà kufata mkumbo. Usipende wanaume waizoee sura yako ikiwa tu umeolewa ni fitna. Ndio maana bb Aisha r.a alikuwa anaweka pazia.

  • @HamadiMageti-ku2hg
    @HamadiMageti-ku2hg Год назад

    Sheh Rashid unaongea point icho kipindi kizur Sana

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 Год назад

    Daaaa ndio mle mle. Kwakweli hatari

  • @HamadiMageti-ku2hg
    @HamadiMageti-ku2hg Год назад

    Dada hongera Sana wambie wasojielewa

  • @KhadijaHamad-hs6ig
    @KhadijaHamad-hs6ig Год назад

    Na wanaume jee

  • @fatmakhalid2898
    @fatmakhalid2898 Год назад

    Somo nataka kujuwa hili umesema amelaaniwa mwanamke anaemnyima haki ya ndoa mumewe na hana sabab ya msingi jee ikiwa mume nd anafanya hivyo ya n kumnyima mkewe pasi na sabab ya msingi hii imekaaje??

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 11 месяцев назад

      Nae Pia Analaniwaa,Uislam Unaongelea Sanah Kuhusu Mwanamke Kwa Sababu Sie Ndio Waalimu Majumbani Kwetu,Xoo Ukianza Mume kama kakupenda kweli Atabadilika Tuh,ila Kama Habadiliki Ni Hasidi na Yeye Pia Siku ya Kiama Ataenda Ulizwa,Ndoa Ni Nusu Ya Dini,na Wanawake Tuh Ndio Tumepewa Yale Mambo Manne Ukiyatekeleza unapata Pepo,(Uswali,Ufunge,Ukihifadhi ,Na Umtwiii Mumeo ila Tuh Katika Mambo ya Haraam Usimtwii,)ila Wanaume Hawakupewa,Soo let's work Towards Jannah

  • @fatemasalem9677
    @fatemasalem9677 Год назад +1

    Tunataka namba za kungwi

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Год назад

    ما شاء الله تبارك الله