mzee Mke anatoka kwa Bwana. usidhani ukiongea kingereza umeweza kufundisha. wewe ni muahamasishaji huongei ukijua Mungu ana mipango. hatujakataa kuwa kila mtu ana mapungufu. lakini unajua tukisema mtu aombe mke mkamilifu ama mume mkamilifu tunamamisha nimi? vijana msidanganyike na mtu ambaye Mungu amemghadhibikia anataka kuchukuwa wafuasi wa falsafa. tena inawapasa kuomba sana ili Mungu akupeni wanawake ama waume sawa sawa na mapenzi yake ili muweze kutimiza shauri lake ambalo mmezaliwa kwaajili yake mlitimize.
Upandacho ndicho atakacho vuna.Mapenzi yapi? Kuhusu waumini wa falsafa anzisha na wewe kama utawapata!!!!! Acha chuki binafsi jomba,mtumishi anapiga faya kama hutaki vunga ,mbona tupo shazi tunaomsikiliza asee.haiko kwere nadhani umenisoma hapo bablache
Sipo kwenye ndoa lkni naitarajia kwa uweza wa MUNGU nitaolewa soon as possible but umenifunza hata nikiwa kwenye ndoa yangu I will know how to handle n kikubwa kwenye ndoa kwa concept niliyoipata hapa kwamba inawapasa wote muwe na hofu ya MUNGU,muwe wenye moyo wakuachilia na kusamehe kwa haraka,mioyo yenye kuomba toba mtafika mbali
Amen Apostle, am Blessed. Thank you so much chief for your endless love upon us. We love you and our mum so much,May God of Major1 continue to bless you and increase you abundantly 🙏
APOSTLE UMESEMA TUNGALI PATA HAYA NDOA YETU INGALI SIMAMA .SHIDA ALIKUWA PASTOR SASA HAKUJALI NENO .MIMI NILIKATALIWA HATA NA WATOTO HADI SASA . AKILETA NYAMA NIYAKE SIO WW NA WATOTO MKILA HIYO BOMA HAMLALI WOTE TUTA RUDI ASUBUI LENGO NYAMA..NA MENGINE MENGI .BT ALL IN ALL PRAY FOR ME NILIVUMILIA HADI AKAFUNGA VIRAGO AKANIACHA SAIZI WA TOTO WAMEKUWA .NIKO LEBANON BT WATOI KENYA .AAH NILICHAPWA KAMA NGOMA ..
Daddd!!! This was amazing. I realy miss ur Educative and spiritual, blessed preachings. Still proud of u Long live Chief.May God keep u and ur family for us. Big loves from Thailand.
Leo umenena kweli.nimekuwa wa 2 ku subscribers. Pastor wa Methodist Camp TANZANIA waliunganisha ndoa nyingi sio mpakaShela. Yaani walisaidia na wasio jiweza jamani. be blessed. 💞💜💙🔥🔥
It is true apostle, we all have weakness, apostle Paul said he has a thorn in his flesh...kikubwa tusiolewe with high expectations. Na wanawake wenzangu tujue tu sisi Ni wasaidizi tu, kuwasaidie waume zetu wafikie hatima Yao.. Asante Sana apostle kwa mafundisho yako....nitakufuatilia mpaka kieleweke...
Mi kwangu huwa kinyume sijui kwa nini inakuwa hivi. Yaani ndani tukiwa hatuna maelewano hakuna story zaidi ya salaam hapo ndipo uchumi wangu huwa unaimalika napata pesa,promotion kazini fursa za kupata pesa na ninapata hata nikifanya uwekezaji ktk kipindi kama hicho napata manufaa. Ujenzi nafanya akiwa amesafiri ila akirudi tu milango ya fedha inajifunga hata pesa ya chakula inakuwa ya kusotea. Tukiwa na furaha ndani tunaongea vzr mambo huwa magumu hatari majanga kazini,pesa ni mshahara to mshahara na unakuta madeni kibao. What shall I do?
Mimi nimutumishi wa MUNGU nirikuwa naitwa sheikha Amiri nirikuwa mwisiram nakushukuru Mungu nimeokoka
Ameni Mwenyezi MUNGU aendelee kukutunza katika kristo Yesu
@@emanuelsiame1929 emen kwako pia
Ubarikiwe katika Jina la Yesu
@@fraviusmanyika7521 emen
mzee Mke anatoka kwa Bwana. usidhani ukiongea kingereza umeweza kufundisha. wewe ni muahamasishaji huongei ukijua Mungu ana mipango. hatujakataa kuwa kila mtu ana mapungufu. lakini unajua tukisema mtu aombe mke mkamilifu ama mume mkamilifu tunamamisha nimi?
vijana msidanganyike na mtu ambaye Mungu amemghadhibikia anataka kuchukuwa wafuasi wa falsafa. tena inawapasa kuomba sana ili Mungu akupeni wanawake ama waume sawa sawa na mapenzi yake ili muweze kutimiza shauri lake ambalo mmezaliwa kwaajili yake mlitimize.
Upandacho ndicho atakacho vuna.Mapenzi yapi? Kuhusu waumini wa falsafa anzisha na wewe kama utawapata!!!!! Acha chuki binafsi jomba,mtumishi anapiga faya kama hutaki vunga ,mbona tupo shazi tunaomsikiliza asee.haiko kwere nadhani umenisoma hapo bablache
Sipo kwenye ndoa lkni naitarajia kwa uweza wa MUNGU nitaolewa soon as possible but umenifunza hata nikiwa kwenye ndoa yangu I will know how to handle n kikubwa kwenye ndoa kwa concept niliyoipata hapa kwamba inawapasa wote muwe na hofu ya MUNGU,muwe wenye moyo wakuachilia na kusamehe kwa haraka,mioyo yenye kuomba toba mtafika mbali
Kwel pastor uko vzr Mungu azid kukutumia unamafundisho mazur mno haki Akuna mwalimu wa ndoa nikweli
Halelujah!! Uko Sawa kabisa kiroho am Phanice Okongo barikiwa kabisa kiroho nahata kimwili
Pastor tumalizie ni fupi sana tamu nimehelewa baba asante
Amina mtumishi naomba ushauri mke wangu haipiti wiki bila kukwazana ananinunia mala kwamala
Asante kwa mafundisho mazuri Chief, wengi wamesaidika kupitia mafunzo yako.
Amen🙏
Umetubariki sana Apostle 🙏
mbn uyu baba anaongeea ukweli
Ni kweli kabisa mtumishi hakuna mtalam wa ndoa
Mafundisho mazuri
I am privileged to watch this before entering marriage. Thank you so much Chief
Mambo
Mura
Asante Mlezi wangu
hili kanisa liko wapi jamani
Kweli kabisa Baba Mtumishi. Akuna aliye mkamilifu ktk wanadamu wa Mwili na Nyama. Asante sana Mtumishi 🙏🏼🙏🏼
Sema Baba wanaume waskie
Am listening from 🇶🇦🇰🇪🙏🙏
Hapo kwenye Ex hapo
Nmeyahifadhii kwenye akili na moyo wanguuu yatakujq nisaidiaa saanq
Asante kiongozi
Hakika mtumishi wa Mungu umefanyika baraka sana kwenye mafundisho yako Duh! Natamani ningekufahamu mapema Barikiwe sana.🙏
Powerful teachings my Apostle...God bless you.
Powerful teaching be blessed Man of the God
Ukweli mtupu umenigusa nimeipenda sana mungu akupe nguvu Zaid na zaid
Mtumishi wamungu upo dar sehem gani maana niritaka jumapiri hiii 4 mwezi wakumi nije niabudu
Yupo makongo juu ,,mbele kidg ya Chuo cha ardhii , kituo kinaitwa Kanisan ECG
To God Be The Glory Thank you For The Messeg Lovely Apostle
ameeen
Nimebarikiwa Sana umeponya ndoa yangu
I like your words man of God be blessed actually nmejifunza kitu kikubwa.
This message is so powerful I declare my marriage is healed in Jesus Might Name. Amen
Mungu anipe mwenzi mwema wa maisha
Hahahahaha janeth bhna
Ameen
Amen Apostle, am Blessed. Thank you so much chief for your endless love upon us. We love you and our mum so much,May God of Major1 continue to bless you and increase you abundantly 🙏
Mungu azidi kukupa vitu kwa ajili ya watu wa Mungu
Mungu atusaidiye vijana
Mungu akulinde mtumishi nabalikiwa sana namasomo yako
Na hayo ndiyo mateso yangu, somo hili ni unabii kwangu, Mungu nihurumie
Asante KWA UJUMBE MZURIII APOSTLE
Mtumishi mungu akubariki ukweli kapisaaaaa
Uko sawa
Woow upo vizuri sana Apostle l appreciate you!!
❤❤❤❤❤
Nimekukubari Aposto mutalemwa
We mtumishi wa mungu niko pamoja nawewe
APOSTLE UMESEMA TUNGALI PATA HAYA NDOA YETU INGALI SIMAMA .SHIDA ALIKUWA PASTOR SASA HAKUJALI NENO .MIMI NILIKATALIWA HATA NA WATOTO HADI SASA . AKILETA NYAMA NIYAKE SIO WW NA WATOTO MKILA HIYO BOMA HAMLALI WOTE TUTA RUDI ASUBUI LENGO NYAMA..NA MENGINE MENGI .BT ALL IN ALL PRAY FOR ME NILIVUMILIA HADI AKAFUNGA VIRAGO AKANIACHA SAIZI WA TOTO WAMEKUWA .NIKO LEBANON BT WATOI KENYA .AAH NILICHAPWA KAMA NGOMA ..
Ebenezaaa hapo ndipo unaponiachaa hoiiii ninakukumbuka saaana
Kweli kila mtu ana maisha yake kwenye ndoa
Amina mtumishi Mungu akubariki sana ktk hilo tuambie tupone wenye ndoa
Nakupenda Yesu kiristo nimebarikiwa sanasana namafundisho yako mutumishi
Daddd!!! This was amazing.
I realy miss ur Educative and spiritual, blessed preachings. Still proud of u
Long live Chief.May God keep u and ur family for us. Big loves from Thailand.
Ameeen
Very powerful
Nakupenda sana Apostle. Mafundi haya ni mafundisho mazuri. Ubarikiwe sana.
Iyiiii Mungu anisamehe kwelikweli unatcho kisema ubarikiwe mon père mtalemwa
Powerful
Leo umenena kweli.nimekuwa wa 2 ku subscribers. Pastor wa Methodist Camp TANZANIA waliunganisha ndoa nyingi sio mpakaShela. Yaani walisaidia na wasio jiweza jamani. be blessed. 💞💜💙🔥🔥
be blessed
Hongera baba nmepona
Hongera baba nmepona
Namshukuru Mungu kwa ajili yako apostle. Hakika unatuvusha. Nimejifunza mengi sana na ninaendelea kujifunza
Akika mungu akupe maisha marefu
AMEN
Bwana Yesu kiristo asifiwe mtumishi wamngu hongera sana
Tuambie man of God
Hongera baba nmepona
Woow,,very wondery messege lndeed, people should come and learn this secrets,,thankxs be to God for l have picked my part,,be blessed man of God
Barikiwa mtumishi kwa meseji nzuri
Nimeuelewa huu moto hakika apostle wewe ni tatizo Kwa Kwa wale mitume na manabii watafuta hela Kwa wanandoa
Amina baba
It is true apostle, we all have weakness, apostle Paul said he has a thorn in his flesh...kikubwa tusiolewe with high expectations. Na wanawake wenzangu tujue tu sisi Ni wasaidizi tu, kuwasaidie waume zetu wafikie hatima Yao.. Asante Sana apostle kwa mafundisho yako....nitakufuatilia mpaka kieleweke...
Aminaaa 🙌🙌 ubarikiwe sana mtumishi, asante kwa mafundisho mazuri..
Baba mchungaji unatufundishaka vizuri sana na penda sana ila shida Moja tu na wasi wasi kwangu ni uyo bushiri
Mungu akubariki mtumishi
We jamaa nakufuatilia kwa ukaribu mnoo , na nakukubali sana kwa kazi yako , mungu aendelee kukupa vitu vya kujifunza zaidi
Iconect
Amen Mafundisho mazuri
Nirikuwa nafikiria nitakupataje minimutu wakigoma nimuha
Barikiwa saana apostle
Ubalikiwe san mtumishi
Do I need to be an apostle to say this simple truth?
Amina
YESU KRISTO NAKUOMBA UNISAIDIE UNIREHEMIE UNIREHEMU AMEN AMEN AMEN AMEN
Maashaallah Apostle mungu akuongezee....🖐🖐
Ubarikiwe mtumishi mungu aendelee kuinua huduma yako apostle mwinjilist
😂😂😂 hayo yapo kwangu mm apostle ila sasa mwenzangu htk ntoe mahali kwao sasa, sasa sijui anamaana gan
Nikweli baba maneno yako
Ubarikiwe sana Apostle
Amina Mtumishi Somo zuri ubarikiwe
Ubarikiwe Mtumishi Somo nzuri sana
Nimebadilika jaman, Mungu akutunze baba yangu mlezi
Asamte baba kwa kutunyoosha
Ni kweli jamn hmn
Mungu hakubariki
Safi sana hii imepenyaa
Amina
Mi kwangu huwa kinyume sijui kwa nini inakuwa hivi. Yaani ndani tukiwa hatuna maelewano hakuna story zaidi ya salaam hapo ndipo uchumi wangu huwa unaimalika napata pesa,promotion kazini fursa za kupata pesa na ninapata hata nikifanya uwekezaji ktk kipindi kama hicho napata manufaa. Ujenzi nafanya akiwa amesafiri ila akirudi tu milango ya fedha inajifunga hata pesa ya chakula inakuwa ya kusotea. Tukiwa na furaha ndani tunaongea vzr mambo huwa magumu hatari majanga kazini,pesa ni mshahara to mshahara na unakuta madeni kibao. What shall I do?
Great words Asante apostle kwa mafundisho haya
Duly noted Chief Apostle.
Amina amina
Ni kweli kabisaa
Well noted pastor