UKHTY FATMA MDIDI AKIJIBU USOYAJUA KUHUSU MAISHA YAKE | KWANINI WANAWAKE HUCHUKIA UKE WENZA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июл 2023
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

Комментарии • 35

  • @fatmahaji7661
    @fatmahaji7661 9 дней назад +1

    Nakupenda sana ukhty Fatma, Allah azidi kukusimamia

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 11 месяцев назад +4

    Dada yang nakupenda kwa ajili Yaa .❤

  • @fatumatsopa3941
    @fatumatsopa3941 10 месяцев назад +1

    Swadakta ukhti fatma.Allah akuzidishie ilmu na ufahamu wa kuelimisha wanawake.

  • @mwaminianasi9919
    @mwaminianasi9919 11 месяцев назад +7

    Ukhty Fatma nakupenda saaana kwajil ya Allah ❤❤❤❤❤

  • @husnamadai7052
    @husnamadai7052 11 месяцев назад +2

    Nakukubali kweli kweli nakuelewa sana tena uliposema ukiona nyumba inayumba ni mwanamke

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 11 месяцев назад +5

    😂😂😂😂😂Na tumepinda kweli kweli, ni الله tu atuongoze kwa kweli.

    • @zuhraalisaid3516
      @zuhraalisaid3516 11 месяцев назад +1

      Wallah allah atufanyie wepesi tuweze kujielewa

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 9 месяцев назад +1

    MashaAllah

  • @mwajumamahita6619
    @mwajumamahita6619 4 месяца назад

    MashaAllah Tabarak Allah

  • @user-zy4sx6xm4t
    @user-zy4sx6xm4t 11 месяцев назад

    Mashallah Allah kuweka na kila kheri Frm Kenya

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 5 месяцев назад

    Ma Shaa Allah

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 11 месяцев назад

    Masha ALLAH

  • @seifsalum3018
    @seifsalum3018 5 месяцев назад +1

    Mimi niko na swali, bi aishay, alikuwa na ilimu kubwa sana kuliko ww mama yangu, kwann ww wafanya daawa, mbele za wanaume alafu mama yetu aishay hakufanya ?

  • @AshouHumaid
    @AshouHumaid 11 месяцев назад +2

    Na kweli😂

  • @user-dr2qf4tb9s
    @user-dr2qf4tb9s 4 месяца назад

    Sitaki kuchek bin shariif, hhhh aah hy honger mume😂

  • @user-lz3cc1pe6x
    @user-lz3cc1pe6x 11 месяцев назад +2

    dada kwenda kuchukuwa mikopo benk ni riba haramu na wewe unataka kutoa ruhusa wanawake wachukuwe mikopo

  • @muhammadfakihomar6213
    @muhammadfakihomar6213 11 месяцев назад +1

    Alhabibi Ukhty ana madini mengi kichwani lazima tumtafute tena

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  11 месяцев назад

      ni kweli kabisa, hii hakuwa na nafasi vizur ila INSHA ALLAH tutamtafuta

  • @SophiaMnguyu-ob4gh
    @SophiaMnguyu-ob4gh 11 месяцев назад

    Asalam alayk warahmatullah wabarakatu

  • @user-lz3cc1pe6x
    @user-lz3cc1pe6x 11 месяцев назад +1

    mchanganyeko wa wanawake na wanaume ni haramu

  • @user-rk6sx2bw3e
    @user-rk6sx2bw3e 2 месяца назад

    Ukty fatuma naomba namba yako nataka nije darsa.....

  • @SophiaMnguyu-ob4gh
    @SophiaMnguyu-ob4gh 11 месяцев назад

    Naomba ukhty Fatma inbox namazungumzo

  • @bilo1106
    @bilo1106 10 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @living_creature99
    @living_creature99 11 месяцев назад +1

    Hongera kaka @ridhwan sharif , kaka angu naomba namba Yako please 🙏 , Mimi ni kijana wako khamis

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  11 месяцев назад

      ahsante sana 0772454520

    • @princess.s.r7446
      @princess.s.r7446 8 месяцев назад +1

      ​@@RiyadhTvOnlineZnznilikua nashida za namba ya uyu ukhty😢😢

    • @RiyadhTvOnlineZnz
      @RiyadhTvOnlineZnz  8 месяцев назад

      @@princess.s.r7446 nitafute kwa 0772854520

  • @AmeenaTanzania
    @AmeenaTanzania 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤Mm ninamaswali

  • @asiahamis7893
    @asiahamis7893 11 месяцев назад +1

    Assalam alleykum warahmatullah wabarakatuh mtangazaj naomba namba ya ukhty Fatma

    • @husnamadai7052
      @husnamadai7052 11 месяцев назад

      Ukipata nitumie na Mimi

    • @jaymwinyi6957
      @jaymwinyi6957 10 месяцев назад

      ​@@husnamadai7052mi mwenyewe naitaka

  • @user-lz3cc1pe6x
    @user-lz3cc1pe6x 11 месяцев назад

    mikopo ya benk ni riba haramu unarudisha na ziada

  • @AsiaBadru-xq6fv
    @AsiaBadru-xq6fv 5 месяцев назад

    Natamani nipatenamba yako ukiti ninashida naamini wewe ndowakunitatuliya shidai