Naaam maadam fatuma wanawake wengi ndo mama ndo bab kila unachokifanya bila wewe kutoka walala njaa na watoto hali wala kwenda shule na kuvaa lakini kwa mwanaume wenye kazi watafany hayo
hivo kama mume hazingatii wajibu wake hivo vinyoleo na sabuni unazipara wapi?na kingine unashinda na njaa nguvu zinatoka wapi ukhti wanawake wengi wanajitahid waume ni tatizo labda wewe mwenzetu unahuduma bora ndio mana unamudu hayo unayo sema usafi unatoka wapi huduma hakuna
Mm nashangaa hawa wanaofindisha hv uislamu umefundisha mwanamke amfanyie mwanaume tu yy. Mwanaume hana yakumfanyia mkeo. Kiufup mwanaume ndio amfanyie mkewe sio mwanamke tu
Ndio hpo utasema ni mlemavu umfanyie hvo wengine hawatak ujinga huo wanajua kwamba mwanamke anachoak kazi za nyumba kuangalia watoto bdo uwangalie mpk kucha za mwanaume si kutupa kazi bila mshahara.
Ma shaa Allah Tabarakallah ❤❤ ukhty wetuu tunakupendaa kwa ajili ya Allah 😍😍😍
Jazakah Allah kher nakupenda nikiwa kenya ukhty Fatma mdidi Allah ajalie siku moja nikutane n ww live nizidi furah n darsa zako
MaashAllah tabarakaAllah wa Jazakallahu kheir inshaallah, ukhty Fatma nakupenda ww na mafundisho yako kwa ajili ya AllALLAH.
Ma sha Allah....Ma sha Allah.....shukrani sana kwa elimu.
Maashaa Allah, shukran ukht kwa elimu
Eweee Ukhty Fatma wee 🙋♀️Mashallah Allahumma barik😁
Maashallah Tabarak Allah ❤❤❤❤ukthy allah akujalie kila lenye kher nawe🤲🤲
Maa shaa Allahu kipenzi changu roll model wangu!! I wish one day nihudhurie darsa lako liveee yn
Masha Allah, nakupenda kwa ajili ya Allah
Ukhti darsa zako zinapatikana wapi kwa mabinti wari wanao olewa tunahitaji kuwaleta uwafundishe kabla ya kuolewa tafadhali
Masha Allah baraka llah fika
Mashaallah mashaallah
Maa Shaa Allah,TabbarakaAllah❤❤
MaashaAllah ukhty
Naaam maadam fatuma wanawake wengi ndo mama ndo bab kila unachokifanya bila wewe kutoka walala njaa na watoto hali wala kwenda shule na kuvaa lakini kwa mwanaume wenye kazi watafany hayo
Jazakallah khayran
Mashallah ukhuti
Wambie.. Daada
Mashaallah tabaraka llah
Masha Allah
Waambie wainga wainga wasio jijua NA majeuri yamewajaa wenyewe hawajui hata kujisafisha
hivo kama mume hazingatii wajibu wake hivo vinyoleo na sabuni unazipara wapi?na kingine unashinda na njaa nguvu zinatoka wapi ukhti wanawake wengi wanajitahid waume ni tatizo labda wewe mwenzetu unahuduma bora ndio mana unamudu hayo unayo sema usafi unatoka wapi huduma hakuna
Inamanisha mume no mtoto wa mwisho nyie😂😂😂😂😂 nimechoka mimi wakwangua anapenda ushindi au magadi
Tufundisheni watoto wa kiume usafi
Mbona unamambo ww nimnyoe kwani yy Hana mikono mnahangaika na hao wanaume hawana maana kesho wanakuletea wanawake wengine Sina muda huo
Mm nashangaa hawa wanaofindisha hv uislamu umefundisha mwanamke amfanyie mwanaume tu yy. Mwanaume hana yakumfanyia mkeo. Kiufup mwanaume ndio amfanyie mkewe sio mwanamke tu
Ndio hpo utasema ni mlemavu umfanyie hvo wengine hawatak ujinga huo wanajua kwamba mwanamke anachoak kazi za nyumba kuangalia watoto bdo uwangalie mpk kucha za mwanaume si kutupa kazi bila mshahara.
Mh!!!!!!