Ukipuuza haya usimlaumu mtu siku Dada wa Kazi akiwa mke mwenzako

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июн 2024
  • Ukht Fatma Mdidi

Комментарии • 28

  • @rahmayusuph9973
    @rahmayusuph9973 29 дней назад +2

    Ma shaa Allah Tabarakallah ❤❤ ukhty wetuu tunakupendaa kwa ajili ya Allah 😍😍😍

  • @RehemaJuma-es4jk
    @RehemaJuma-es4jk 17 дней назад

    Jazakah Allah kher nakupenda nikiwa kenya ukhty Fatma mdidi Allah ajalie siku moja nikutane n ww live nizidi furah n darsa zako

  • @serahmohamed6513
    @serahmohamed6513 27 дней назад

    MaashAllah tabarakaAllah wa Jazakallahu kheir inshaallah, ukhty Fatma nakupenda ww na mafundisho yako kwa ajili ya AllALLAH.

  • @arashe6351
    @arashe6351 29 дней назад

    Ma sha Allah....Ma sha Allah.....shukrani sana kwa elimu.

  • @jasmintanga2474
    @jasmintanga2474 Месяц назад

    Maashaa Allah, shukran ukht kwa elimu

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 27 дней назад

    Eweee Ukhty Fatma wee 🙋‍♀️Mashallah Allahumma barik😁

  • @nismaali2982
    @nismaali2982 27 дней назад

    Maashallah Tabarak Allah ❤❤❤❤ukthy allah akujalie kila lenye kher nawe🤲🤲

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 29 дней назад

    Maa shaa Allahu kipenzi changu roll model wangu!! I wish one day nihudhurie darsa lako liveee yn

  • @ZaidaNyanyagi
    @ZaidaNyanyagi 26 дней назад

    Masha Allah, nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 29 дней назад +3

    Ukhti darsa zako zinapatikana wapi kwa mabinti wari wanao olewa tunahitaji kuwaleta uwafundishe kabla ya kuolewa tafadhali

  • @MajuvaMajuva
    @MajuvaMajuva 27 дней назад

    Masha Allah baraka llah fika

  • @OmaryIssa-uk4zh
    @OmaryIssa-uk4zh 28 дней назад +1

    Mashaallah mashaallah

  • @user-pt9uw3nz8c
    @user-pt9uw3nz8c 27 дней назад

    Maa Shaa Allah,TabbarakaAllah❤❤

  • @ashuumuhammad8269
    @ashuumuhammad8269 27 дней назад

    MaashaAllah ukhty

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 24 дня назад

    Naaam maadam fatuma wanawake wengi ndo mama ndo bab kila unachokifanya bila wewe kutoka walala njaa na watoto hali wala kwenda shule na kuvaa lakini kwa mwanaume wenye kazi watafany hayo

  • @a.856
    @a.856 29 дней назад

    Jazakallah khayran

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 29 дней назад

    Mashallah ukhuti

  • @tumwesigyehamdan8587
    @tumwesigyehamdan8587 25 дней назад

    Wambie.. Daada

  • @moanamessi1749
    @moanamessi1749 29 дней назад

    Mashaallah tabaraka llah

  • @user-mr5yf1hp7t
    @user-mr5yf1hp7t 27 дней назад

    Waambie wainga wainga wasio jijua NA majeuri yamewajaa wenyewe hawajui hata kujisafisha

  • @thetruth8979
    @thetruth8979 25 дней назад

    hivo kama mume hazingatii wajibu wake hivo vinyoleo na sabuni unazipara wapi?na kingine unashinda na njaa nguvu zinatoka wapi ukhti wanawake wengi wanajitahid waume ni tatizo labda wewe mwenzetu unahuduma bora ndio mana unamudu hayo unayo sema usafi unatoka wapi huduma hakuna

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Месяц назад

    Inamanisha mume no mtoto wa mwisho nyie😂😂😂😂😂 nimechoka mimi wakwangua anapenda ushindi au magadi

  • @ASIMOnlineTv
    @ASIMOnlineTv 29 дней назад

    Tufundisheni watoto wa kiume usafi

  • @user-bo1cn3dw6o
    @user-bo1cn3dw6o 26 дней назад

    Mbona unamambo ww nimnyoe kwani yy Hana mikono mnahangaika na hao wanaume hawana maana kesho wanakuletea wanawake wengine Sina muda huo

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 21 день назад

      Mm nashangaa hawa wanaofindisha hv uislamu umefundisha mwanamke amfanyie mwanaume tu yy. Mwanaume hana yakumfanyia mkeo. Kiufup mwanaume ndio amfanyie mkewe sio mwanamke tu

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 21 день назад +1

      Ndio hpo utasema ni mlemavu umfanyie hvo wengine hawatak ujinga huo wanajua kwamba mwanamke anachoak kazi za nyumba kuangalia watoto bdo uwangalie mpk kucha za mwanaume si kutupa kazi bila mshahara.

  • @nurumasha
    @nurumasha 28 дней назад

    Mh!!!!!!