Pesa kidogo Stara na Dini yako unaviona ushamba,Unapotea Binti - Ukht.Fatma Mdidi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 фев 2024
  • Ukht Fatma Mdidi akizungumza jana katika event ya Ladies in Islam ilofanyika aktika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center

Комментарии • 43

  • @zainabolenga2829
    @zainabolenga2829 4 месяца назад +6

    Hongera bibi fatma mdidi kwa ubora wako Allah akulipe pepo na akufanyie mwisho mwemah

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 4 месяца назад +5

    Jazakah Allah kharain Mola akuajalie kheri na mwisho mwema ameen na pia akuajalie afya na akuajalie zaidi uwemwenye kukataza wanawake wenzio wa kiislam

  • @zuu515
    @zuu515 3 месяца назад +1

    I hope you all see the noor and beauty of ukhti fatima...no makeup noor on her face ❤ mashaallah tabarakaAllah ... lesson learned...mtwii Allah atakunawirisha na noor yake.

  • @mozaally7643
    @mozaally7643 3 месяца назад +1

    Hongera ukhti Fatma mara nyengne hao wanawake wenzio watolee mawaidha maana wa full mekup utasema waholini

  • @sadikiissa7756
    @sadikiissa7756 4 месяца назад +3

    Hongeren sana. Allah awazidishie ktk kukumbushana ili kuwanusuru wanawake wa kiislam kwa kuwa wengi wao wameacha dini ya Allah na kuiga mila za Wazungu.

  • @maxmiliankoga2711
    @maxmiliankoga2711 3 месяца назад

    Mash allah m mungu akuzidishie

  • @mifunga3414
    @mifunga3414 4 месяца назад +1

    Pongezi ikufikie dada faftima kwako hadi kwa Allah Subhanah wantawalh❤

  • @ramadhanaldawiyya8659
    @ramadhanaldawiyya8659 3 месяца назад

    Masha ALLAH

  • @user-nn6fy6bh7p
    @user-nn6fy6bh7p 3 месяца назад

    Barakallahu fiiki wajazakallahu khairan

  • @mbarukshaban8098
    @mbarukshaban8098 2 месяца назад

    Mashaallah

  • @nazraseiban1082
    @nazraseiban1082 4 месяца назад

    Ukhty uko faswaha sana...MashaAllah❤

  • @MaryamZugo
    @MaryamZugo 3 месяца назад

    MashaAllah nakupenda sanaaa

  • @mams1892
    @mams1892 4 месяца назад

    Jazzakallahu khairan

  • @zuu515
    @zuu515 3 месяца назад

    Ameeen yarab

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 4 месяца назад

    Mashaallah Allahu ❤

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 4 месяца назад

    BARAKALLAHU FIIKI WA JAZAKALLAHU KHAIRAN UKHTI.

  • @a.856
    @a.856 4 месяца назад +1

    Jazakallah khayran

  • @mozaally7643
    @mozaally7643 3 месяца назад

    Wengne wamejitia makope jmni hapo Kuna muhadhara ndio wanaonesha nn Innalillah WA inna ilaihi raajiun Allah atuongoe na vizaz vyetu

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 4 месяца назад +1

    Leo hii imekua kinyume, wanawake ndo wanao ziudumia familia pamoja na kumuudumia mume.

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 4 месяца назад +14

    Kuna wanawake full make up kama wapo harusini tuchague na maeneo ya kujipodoa wadada huu ni msiba

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk 4 месяца назад

      Ujumbe mzur sana dada yangu mashaallah Allah akuweke inshaallah

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 4 месяца назад

      Lakini hapo hakuna wanaume halafu mjue wanawake tunapenda kupendeza

  • @kulthum8335
    @kulthum8335 4 месяца назад

    Mashallah

  • @AdmiringCorgi-rg5tj
    @AdmiringCorgi-rg5tj 4 месяца назад

    Chukuweni Sunna hapo enyi Wanawake ambao hamujaolewa kwa wafaya kazi wenu pale wanapofanya vizuri.

  • @crspasmahongepeter5178
    @crspasmahongepeter5178 4 месяца назад

    Hi

  • @AdmiringCorgi-rg5tj
    @AdmiringCorgi-rg5tj 4 месяца назад

    Kasri

  • @atambitotzmagari7100
    @atambitotzmagari7100 4 месяца назад

    Asalamu Alaykm warahmatullah wabarakatu,dada nnashida na wewe naomba namba yako

  • @saidsuleiman1912
    @saidsuleiman1912 4 месяца назад +4

    Mbona wengi wenu hapo mko uchi kwa mujibu wa maamrisho ya dini? Licha ya kuwa unaelezea maneno mazuri ya bibi Khadija

    • @alhabibismail3031
      @alhabibismail3031 4 месяца назад

      ......makosa ni ya cameraman kuwachkua wakiwa hvyo kisha kuonesha io part,,mana hapo ni wanawake watupu...kosa la pili niww kuangalia ilitakiwa uangalie chni..ALLAH ATUSAMEHE

    • @khamismuhammad
      @khamismuhammad 4 месяца назад +3

      Mche Allah wewe! Ivi alokwambia wakiwa wanawake watupu wanaruhusiwa kukaa uchi nani? Mche Allah kutokan na maneno yako ayo! Kwani uko walikotoka mpaka kufika apo pia kuna wanawake watupu sio?!! Na hata km cameraman hakuchukuwa watu wakaona je unasemaje kuhusu Allah pia gawaoni au mche Allah

    • @alhabibismail3031
      @alhabibismail3031 4 месяца назад

      @@khamismuhammad jazaka llah khayr kwa nasaa yako nzuri..

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 4 месяца назад +1

      ​@@khamismuhammad uchi Gani umeuona mbona mimi sijaona?

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 4 месяца назад

      Alafu kisheria uchi wa mwanamke ni mwili mzima isipokuwa uso na viganja

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 4 месяца назад

    Shughuli kama hii ya wanawake tu kwa hio wahusika wote na wataarishaji wote watakiwa wawe wanawake... Kama mpiga picha.. Lakini Leo kama hapo anakuwa mwanamume ndio mpiga picha hii inakuwa haikubaliki wala haiingii akilini

  • @FaridSaid-wm6yh
    @FaridSaid-wm6yh 2 месяца назад

    قل الحق من ربك ..........
    وقل الحق وإن كان مر
    Kuna maswali mengi yanahitaji uyajibu,
    Je MUHAMMAD IBNI WAHAAB ni kweli kama inavyo zushwa ati alitumwa na waingereza au mayahudi au makafiri kupotosha uislamu?
    Sasa wapi alipotosha?
    Nitajie aya ndani ya Qur'an au Sunna (Hadithi)
    walau moja alipotosha kwa ushahidi thabiti ?
    Acheni Fitna za Hadaa kwa Umma .

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 4 месяца назад

    Makofi yanini wamama wazima mna shindwa kusema Taqbiiir!?

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv 4 месяца назад

    22:08 22:09

  • @AdmiringCorgi-rg5tj
    @AdmiringCorgi-rg5tj 4 месяца назад

    Aaaaah!! Wakowapi wanaojifananiza angalau kidoogo tu Khadija jamanii?

  • @user-vj2si3bj8u
    @user-vj2si3bj8u 4 месяца назад

    Mashaallah