Mimi Ni mkristo lkn nimejifunza kitu kikubwa Sana kupitia somo hili pia umeniponya Moyo kwa kiwango kikubwa Sana🙏 hii elim sio kwa waisilamu tu Bali hata sisi wakristo kipo chakujifunza.shukran san
Mashallah wewe ni kijana wa dhahabu duniani karibu kujifunza dini kupitia midahalo ya masheikh mbali mbali mfano sheikh saidi kinyogali, Dr sule,salim daawa hamza mahene, Yusuf wambugu
Maa Shaa Allah ukhty,, I wish nikiolewa niwe na wenzangu au niolewe uke wenza ila nahitaji mwalimu wakunifunza SoMo Hilo. Ukhty I wish ungekuwa mwalimu wangu. I wish 😢
Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.
Uft sahizi hamna uwadilifu ni mtihani mwaname anawatesa wanawake tu sahivi hamna kitu ni. Mtihani kula ni yashida anakolala anapeleka huku haleti hujuwi nguo ya iddi wala ramadhani na matusi tu
Uhti nimekubali sanaa kwa mawaidha yako ila tatizo make wamwanzo ndie mwenye kuwa na dhiki Sana nakikubwa wanawake wanaofatilia wanakuwa cwazuri kwa mambo wanayowafanyia ha wanae mkuta anajiona yye zaidi naanakuwa yye ndio anajiona Zaid anakuwa hafati maamrisho ya alla anajia ugomvi naushindani hichi ndicho kinacholeta mtihani
Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.
Dada yangu nimeisikiliza darasa nzuri sana Allah akuongezee elimu zaid mimi nimemwambia mke wangu na taka kuogeza mke wapili mwanamke amekuwa simba mpaka sasa ni analeta fujo sio kidogo akitaka talaka.
Mimi niko na dada yangu anamateso ya ndowa yeye ni wamwanzo lakini ni shida tu kula ya shinda idd hampi nguo hata moja watoto mtihani pakula wanalala chini anakuja kuosema nyumbani iweje hamna kitu analiya kwa aghadhabu ya mume wake kwa kweli mtihani mimi naenda nikayaona kwa macho yangu
Mashallah uhti Allah akubarik twambie ukweli maana sisi wanawake wengi hatutaki kusoma dini yetu baada ya umbea tu .
Ma shaa Allah!!! KONGOLE UKHT FATMA MDIDI! ALLAH AKUHIFADHI.
Mimi Ni mkristo lkn nimejifunza kitu kikubwa Sana kupitia somo hili pia umeniponya Moyo kwa kiwango kikubwa Sana🙏 hii elim sio kwa waisilamu tu Bali hata sisi wakristo kipo chakujifunza.shukran san
Yaani huyo ukhty mashallah wako 4...ikiwa yeye ni mke wa kwanza.. Wanapendana saana
Mashallah wewe ni kijana wa dhahabu duniani karibu kujifunza dini kupitia midahalo ya masheikh mbali mbali mfano sheikh saidi kinyogali, Dr sule,salim daawa hamza mahene, Yusuf wambugu
Ubadilike
Mashaallah Allah akipe mri mrefu
Yan huyu dada ananifurahisha sana sio anaongea tu ila anayaishi anayoyaongea
Mashaallah hakika nimejinfunza mengi allah akulipe kheri fatma nimekupenda kwa hidhini ya allah
MaSha Allah TabarakaLlah Mungu Akuhifadhi. Swadakta Habibty. Umezungumza Mada, Muhimu. Mungu Akujaze Kila la kheri
Amiin yaarab
Wanaume wamepewa idhin ya kuoa zaid ya mmoja ....hiyo ni kher kwao wakiwa wako kwenye tawhid
Maa Shaa Allah ukhty,, I wish nikiolewa niwe na wenzangu au niolewe uke wenza ila nahitaji mwalimu wakunifunza SoMo Hilo. Ukhty I wish ungekuwa mwalimu wangu. I wish 😢
Uko z wpi my mm nataka mwenzangu
@@ashuraidd9117 dar es salaam
Kama mwenyezi mungu amewakubalia sisi ni nani tukatae amri ya Allah inauma lakini tuwe na subra. Na nyinyi wanaume mumuogope mwenyezi mungu
Maashaallah ustadhat Allah amekuongoza ktk hili,ni adhimu kupata haya!,Allah atuhifadhi na atupe mwisho mwema
Namuomba sana Allah niwe na elimu kma yako dada🤲🤲🤲🤲🤲
Masha Allah ukhty umeongea vzr sana nimepata Elim kubwa sana, Allah akutunze
Mashaallah....Allah atujalie wake wenye uelewa kuhusu dini na ukewenza ..
Mashallah tabaraka llah 👍🤗 Allah atuwezeshe Kwakwel Ukewenza unapingwa Saana ❤️❤️❤️ Shukran sana 😘
Asalam aleikum masha Allha Allha Akulipe kheli dunia walAkhela
asalam alaikum ww nitowe shukran hajati nina ulizo wenye sio wajani hawaruhusiwi kuolewa
Assalam alaykum warahmatullah Naomb namba ya ukhty fatma
mashaAllah ukhty Fatma tumeipa elimu❤️❤️
Mashaalah Allah atujaalie tuweze kutimiza mapenzi ya kweli
Ndoa za ukee wenza zinapunguza Zina kwa upande zote kike kiume
subutu
kabisaa
Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.
Uft sahizi hamna uwadilifu ni mtihani mwaname anawatesa wanawake tu sahivi hamna kitu ni. Mtihani kula ni yashida anakolala anapeleka huku haleti hujuwi nguo ya iddi wala ramadhani na matusi tu
Nmejifunza pakubwa alhmdullah Allah akujaliee mwisho mwema inshallah
Asnte ukhty umenifumbua macho mana mm mwenyewe npo kwenye hii sunna
Mashallah tabarakallah mwenyezi mungu akujaze kila la kheri dadaetu kipenzi nimejifuza sana kuhusu ibada hiyo
Shukran sana ukht nimekuelewa tupe namba zako tukiitsji ushauri inshaallah
Mashaallah ingawa cna mpango wa kuowa uke weza ila darsa ni zuri ❤❤❤❤
Assalaam alaykum
Naomba namba za ukhty Fatma mdidi tafadhali
Uhti nimekubali sanaa kwa mawaidha yako ila tatizo make wamwanzo ndie mwenye kuwa na dhiki Sana nakikubwa wanawake wanaofatilia wanakuwa cwazuri kwa mambo wanayowafanyia ha
wanae mkuta anajiona yye zaidi naanakuwa yye ndio anajiona Zaid anakuwa hafati maamrisho ya alla anajia ugomvi naushindani hichi ndicho kinacholeta mtihani
Mashallah dada fatma kwakutupa mawaidha nzuri kwa kutufunza wanawake mada ambao ni gumu sana kwa wengi kukubali
mashaallah TabaraqaAllah nakupenda sana ukht
Masha Allah
Masha Allha 🔥❤️🔥
Mashaallah mashaallah mashaallah mwenyezi Mungu akulipe bi fatma nimepata faida kubwa sanaa
Nakupenda sana ukhty kwang n kama mama kabisa na unanipa san nguvu nakuona hata kama nikiolewa naweza
Nakukubali sana my teacher
Masha Allah, Jazaka lahu Khair. Umetujenga ki-imani,
Dada yangu naomba namba zako ninashida kuhusu huo uke wenza huenda ukanisaidia
Mashaallah
1:39:04 1:39:04 1:39:04 1:39:04
Allah atujaalie kila la kheri na ww akujaalie umri mrefu
Somo zuri,mashaa Allah ukht fatma mdidi
Namba zako wajina tupate tukuulize tuliyonayo
Mungu akujalie mama
Jazakallah khayran
Ukhty kwa hakika ume sema kweli na darsa nzuri sana hii.
Kwa ushauri, inge pendeza zaidi unge ifunika kwa khimaar sura yako....................
Funika USO dada usitamaniwe
Sijajutia kukuckiliza💙💙
umesema vzr jazaa ya wema
Mashaallah. Allah akulipe kila la kheri
Shukurani sana mama kwa darasa zuri
Mashaallah.uht Fatma jazaka Allah heer
UKTY naomba namba yako nikupigie. inshallah
Allah atakulipa kheri inshallah .Aamiin
😂😂😂😂😂😂bismilah mashalaah. mawaidha mazuri sana.ALLAH AKUWEKEEE UKHTY FATMA❤❤
MashaAllah....shukran kwa kutupa elimu kuhusu hili jambo
Nimejifunza mengi s
Allah akulipe kheir inshallah mwalimu wetu
Ukht naomba kuuliza km mtoto wa mama mkubwa Na mama mdogo kuolewa Na mume mmoja Je yafaa
Mtoto wa mama mkubwa na mdogo inafaa kuolewa pamoja Tena inapendeza kweli
Ukhty umeongea pwenti sana 😢
Kwa yule kwenye uwadilifu Ila kwa Zama hizi muadilifu ninani huyo moja shida tuu
Mashallah habibty nakupenda bure bure
Somo zuri hili..mashaaAllah
Jazakumullah kheir
Mashaallah dadangu Allah akupe umri mada tamu xna
Masha Allah baraka Allah 🤲
Mashaa Allah tabaraka Allah
Maashaallah maashaallah maashaallah
Manshallah Nimejufunza kitu ALLAH Akuifazi 🤗🤗😘😘
Ma sha Allah Tabaarakallah Shukran ukhti fatma mdidi Kwa darsa muhim saaana lenye mazingatio makubwa🤝🤝🌹❤️
Shukran jazla ustadha
Maa Shaa Allah
MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤❤❤👌👌
Swadakta
Mashallah allah akuongezee inshallah
Maashaallah..... Hongera sana Ukhty Fatma kwa weledi aliokujaalia Allah S.W.T
MashaAllah sister Fatma nimejifunza mengi 🥰🥰🥰
Mashaallah mungu atuwezeshe inshaallah.
Mashallah ukhty Fatma Mussa, Allah akulipe Kila kheri. Allah Amiin.
Mashallah kwamafundisho mazuli
Alhamdulillah ya Allah Allah akuzidishie umri uzid kutuelimisha akujalie khemir ya dunia na akhera amiin
Jazakallah khaira
Shukran nimejifunza sana Allah akulinde na baba yako ampe makazi mema amin
MashaAllah 🥰🥰🥰
Mungu anisuru lakini mateso nakimbia au mwanamke mshirikina anamrongwa mke mweza namuwachiya mume mimi naondoka namuwachiya anakula raha ya mume wake
Mimi Nataka Namba za uyo mama nisaidien ninashida nae
Ukipata unitag na mim
Mashallah ❤❤🎉🎉🎉ukhty fatma Allah akulipe🤲
Mashaallah, ustadhat
Masha Allah 🥰🥰
Aaah hapana Kwa kweli ukewenza Mimi stakiii,hata ake nan hamjaniconvice
Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.
Dada yangu nimeisikiliza darasa nzuri sana Allah akuongezee elimu zaid mimi nimemwambia mke wangu na taka kuogeza mke wapili mwanamke amekuwa simba mpaka sasa ni analeta fujo sio kidogo akitaka talaka.
Nakupenda Kwaajili ya Allah
Ma shaa Allah tabarakallah jazakallahu kheir
Mashallah tabarakallah nimeipenda sana mada
Mashaallah
Allah atujaalie tuwe waumini wema
Mimi niko na dada yangu anamateso ya ndowa yeye ni wamwanzo lakini ni shida tu kula ya shinda idd hampi nguo hata moja watoto mtihani pakula wanalala chini anakuja kuosema nyumbani iweje hamna kitu analiya kwa aghadhabu ya mume wake kwa kweli mtihani mimi naenda nikayaona kwa macho yangu
Hilo ni tatizo la MUMEWE .KAMA ALIVYOSEMA UKTY KUWA HANA IMAN AU ELIMU.
Barakallahu fit kum
Manshallah nimekuelewa ukhty
Assalam alaykum
Tatizo ni wanaume
Tutaelewana tu elim ndio kila kitu
Maa shaa Allah
Mashallah ❤❤❤❤
Naomba nambari Yako ya sim mama