Ujue uke wenza Sehemu Ya 1 - Ukht Fatma Mdidi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 186

  • @muniraame1535
    @muniraame1535 2 года назад +9

    Mashallah uhti Allah akubarik twambie ukweli maana sisi wanawake wengi hatutaki kusoma dini yetu baada ya umbea tu .

  • @hidayarubibi4224
    @hidayarubibi4224 2 года назад +10

    Ma shaa Allah!!! KONGOLE UKHT FATMA MDIDI! ALLAH AKUHIFADHI.

  • @jackjeremiah4149
    @jackjeremiah4149 2 года назад +18

    Mimi Ni mkristo lkn nimejifunza kitu kikubwa Sana kupitia somo hili pia umeniponya Moyo kwa kiwango kikubwa Sana🙏 hii elim sio kwa waisilamu tu Bali hata sisi wakristo kipo chakujifunza.shukran san

    • @sadakhamis1261
      @sadakhamis1261 2 года назад

      Yaani huyo ukhty mashallah wako 4...ikiwa yeye ni mke wa kwanza.. Wanapendana saana

    • @اللهأكبر-ذ7ث3س
      @اللهأكبر-ذ7ث3س 2 года назад +2

      Mashallah wewe ni kijana wa dhahabu duniani karibu kujifunza dini kupitia midahalo ya masheikh mbali mbali mfano sheikh saidi kinyogali, Dr sule,salim daawa hamza mahene, Yusuf wambugu

    • @ashanamulya9556
      @ashanamulya9556 2 года назад

      Ubadilike

    • @zaharanbilali2022
      @zaharanbilali2022 Год назад +1

      Mashaallah Allah akipe mri mrefu

    • @rosemasune8404
      @rosemasune8404 Год назад +1

      Yan huyu dada ananifurahisha sana sio anaongea tu ila anayaishi anayoyaongea

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 2 года назад +8

    Mashaallah hakika nimejinfunza mengi allah akulipe kheri fatma nimekupenda kwa hidhini ya allah

  • @fatmahassan4790
    @fatmahassan4790 2 года назад +9

    MaSha Allah TabarakaLlah Mungu Akuhifadhi. Swadakta Habibty. Umezungumza Mada, Muhimu. Mungu Akujaze Kila la kheri

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 2 года назад +5

    Wanaume wamepewa idhin ya kuoa zaid ya mmoja ....hiyo ni kher kwao wakiwa wako kwenye tawhid

  • @mayarkcollection3148
    @mayarkcollection3148 2 года назад +6

    Maa Shaa Allah ukhty,, I wish nikiolewa niwe na wenzangu au niolewe uke wenza ila nahitaji mwalimu wakunifunza SoMo Hilo. Ukhty I wish ungekuwa mwalimu wangu. I wish 😢

  • @nuria7223
    @nuria7223 Год назад +3

    Kama mwenyezi mungu amewakubalia sisi ni nani tukatae amri ya Allah inauma lakini tuwe na subra. Na nyinyi wanaume mumuogope mwenyezi mungu

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 2 года назад +8

    Maashaallah ustadhat Allah amekuongoza ktk hili,ni adhimu kupata haya!,Allah atuhifadhi na atupe mwisho mwema

    • @najmalatiffah936
      @najmalatiffah936 2 года назад +1

      Namuomba sana Allah niwe na elimu kma yako dada🤲🤲🤲🤲🤲

  • @memynanji6108
    @memynanji6108 2 года назад +6

    Masha Allah ukhty umeongea vzr sana nimepata Elim kubwa sana, Allah akutunze

  • @rajab2741
    @rajab2741 2 года назад +7

    Mashaallah....Allah atujalie wake wenye uelewa kuhusu dini na ukewenza ..

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 2 года назад +6

    Mashallah tabaraka llah 👍🤗 Allah atuwezeshe Kwakwel Ukewenza unapingwa Saana ❤️❤️❤️ Shukran sana 😘

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Год назад +3

    Asalam aleikum masha Allha Allha Akulipe kheli dunia walAkhela

  • @ibrahimhategekimana6725
    @ibrahimhategekimana6725 2 года назад +3

    asalam alaikum ww nitowe shukran hajati nina ulizo wenye sio wajani hawaruhusiwi kuolewa

  • @AshaMbenna-np1qe
    @AshaMbenna-np1qe Год назад +1

    Assalam alaykum warahmatullah Naomb namba ya ukhty fatma

  • @mariamngwari8228
    @mariamngwari8228 2 года назад +3

    mashaAllah ukhty Fatma tumeipa elimu❤️❤️

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 2 года назад +5

    Mashaalah Allah atujaalie tuweze kutimiza mapenzi ya kweli

  • @innocentniyizonkiza1527
    @innocentniyizonkiza1527 2 года назад +6

    Ndoa za ukee wenza zinapunguza Zina kwa upande zote kike kiume

  • @ramadhansadik001
    @ramadhansadik001 Год назад +2

    Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +2

    Uft sahizi hamna uwadilifu ni mtihani mwaname anawatesa wanawake tu sahivi hamna kitu ni. Mtihani kula ni yashida anakolala anapeleka huku haleti hujuwi nguo ya iddi wala ramadhani na matusi tu

  • @zaqiamhando6522
    @zaqiamhando6522 2 года назад +3

    Nmejifunza pakubwa alhmdullah Allah akujaliee mwisho mwema inshallah

  • @mariamsalehabdulla6825
    @mariamsalehabdulla6825 2 года назад +2

    Asnte ukhty umenifumbua macho mana mm mwenyewe npo kwenye hii sunna

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 2 года назад +3

    Mashallah tabarakallah mwenyezi mungu akujaze kila la kheri dadaetu kipenzi nimejifuza sana kuhusu ibada hiyo

  • @latifanyari8912
    @latifanyari8912 5 месяцев назад

    Shukran sana ukht nimekuelewa tupe namba zako tukiitsji ushauri inshaallah

  • @bakarkhamis5369
    @bakarkhamis5369 Год назад +2

    Mashaallah ingawa cna mpango wa kuowa uke weza ila darsa ni zuri ❤❤❤❤

  • @shaymaashameem3145
    @shaymaashameem3145 Год назад +1

    Assalaam alaykum
    Naomba namba za ukhty Fatma mdidi tafadhali

  • @RukayyaNassor-i9o
    @RukayyaNassor-i9o 10 дней назад

    Uhti nimekubali sanaa kwa mawaidha yako ila tatizo make wamwanzo ndie mwenye kuwa na dhiki Sana nakikubwa wanawake wanaofatilia wanakuwa cwazuri kwa mambo wanayowafanyia ha
    wanae mkuta anajiona yye zaidi naanakuwa yye ndio anajiona Zaid anakuwa hafati maamrisho ya alla anajia ugomvi naushindani hichi ndicho kinacholeta mtihani

  • @aishabh7936
    @aishabh7936 2 года назад +3

    Mashallah dada fatma kwakutupa mawaidha nzuri kwa kutufunza wanawake mada ambao ni gumu sana kwa wengi kukubali

  • @rahamrahma6259
    @rahamrahma6259 2 года назад +2

    mashaallah TabaraqaAllah nakupenda sana ukht

  • @biaishaathumani5149
    @biaishaathumani5149 Год назад +2

    Masha Allah

  • @dottohami
    @dottohami Год назад +2

    Masha Allha 🔥❤️🔥

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад +2

    Mashaallah mashaallah mashaallah mwenyezi Mungu akulipe bi fatma nimepata faida kubwa sanaa

  • @RukiahJuma
    @RukiahJuma 9 месяцев назад +1

    Nakupenda sana ukhty kwang n kama mama kabisa na unanipa san nguvu nakuona hata kama nikiolewa naweza

  • @msafiribakari6322
    @msafiribakari6322 2 года назад +3

    Nakukubali sana my teacher

  • @umulikhairmurenga6587
    @umulikhairmurenga6587 Год назад +1

    Masha Allah, Jazaka lahu Khair. Umetujenga ki-imani,

  • @fahmacholi5754
    @fahmacholi5754 2 года назад +1

    Dada yangu naomba namba zako ninashida kuhusu huo uke wenza huenda ukanisaidia

  • @BatuliMaaoud-bg2yu
    @BatuliMaaoud-bg2yu 5 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @Garusahir
    @Garusahir 2 месяца назад

    1:39:04 1:39:04 1:39:04 1:39:04

  • @hamisakamna4738
    @hamisakamna4738 Год назад +1

    Allah atujaalie kila la kheri na ww akujaalie umri mrefu

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 2 года назад +3

    Somo zuri,mashaa Allah ukht fatma mdidi

  • @fatmamwinyi3827
    @fatmamwinyi3827 2 года назад +2

    Namba zako wajina tupate tukuulize tuliyonayo

  • @rehemamustapha364
    @rehemamustapha364 2 года назад +2

    Mungu akujalie mama

  • @a.856
    @a.856 2 года назад +2

    Jazakallah khayran

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 года назад +1

    Ukhty kwa hakika ume sema kweli na darsa nzuri sana hii.
    Kwa ushauri, inge pendeza zaidi unge ifunika kwa khimaar sura yako....................

  • @fatimahasin2041
    @fatimahasin2041 Год назад +1

    Sijajutia kukuckiliza💙💙

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 2 года назад +3

    umesema vzr jazaa ya wema

  • @MwatatuKhalid
    @MwatatuKhalid Год назад +1

    Mashaallah. Allah akulipe kila la kheri

  • @hatimalnaamani876
    @hatimalnaamani876 2 года назад +2

    Shukurani sana mama kwa darasa zuri

  • @AsmaAsma-ob9wl
    @AsmaAsma-ob9wl 2 года назад +2

    Mashaallah.uht Fatma jazaka Allah heer

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 2 года назад +1

    UKTY naomba namba yako nikupigie. inshallah

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 2 года назад +1

    Allah atakulipa kheri inshallah .Aamiin

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад

    😂😂😂😂😂😂bismilah mashalaah. mawaidha mazuri sana.ALLAH AKUWEKEEE UKHTY FATMA❤❤

  • @naiylamahmed4484
    @naiylamahmed4484 2 года назад +1

    MashaAllah....shukran kwa kutupa elimu kuhusu hili jambo

  • @FarhanZay-sb4gv
    @FarhanZay-sb4gv 4 месяца назад

    Nimejifunza mengi s

  • @shufaamasanja9123
    @shufaamasanja9123 2 года назад +1

    Allah akulipe kheir inshallah mwalimu wetu

  • @saumkisira9328
    @saumkisira9328 2 года назад +2

    Ukht naomba kuuliza km mtoto wa mama mkubwa Na mama mdogo kuolewa Na mume mmoja Je yafaa

    • @abuukauthar4607
      @abuukauthar4607 Год назад +3

      Mtoto wa mama mkubwa na mdogo inafaa kuolewa pamoja Tena inapendeza kweli

  • @sabihamakami3720
    @sabihamakami3720 2 года назад +1

    Ukhty umeongea pwenti sana 😢

  • @ashasalimu5527
    @ashasalimu5527 2 года назад +1

    Kwa yule kwenye uwadilifu Ila kwa Zama hizi muadilifu ninani huyo moja shida tuu

  • @masoudsafia207
    @masoudsafia207 2 года назад +1

    Mashallah habibty nakupenda bure bure

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 2 года назад +1

    Somo zuri hili..mashaaAllah
    Jazakumullah kheir

  • @mwanakombongare1644
    @mwanakombongare1644 2 года назад +1

    Mashaallah dadangu Allah akupe umri mada tamu xna

  • @haleemasultan6760
    @haleemasultan6760 2 года назад +2

    Masha Allah baraka Allah 🤲

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 2 года назад +1

    Mashaa Allah tabaraka Allah

  • @neemafatu471
    @neemafatu471 2 года назад +1

    Maashaallah maashaallah maashaallah

  • @Nasramoussa-z5d
    @Nasramoussa-z5d 11 месяцев назад

    Manshallah Nimejufunza kitu ALLAH Akuifazi 🤗🤗😘😘

  • @DjumaAsha
    @DjumaAsha 9 месяцев назад

    Ma sha Allah Tabaarakallah Shukran ukhti fatma mdidi Kwa darsa muhim saaana lenye mazingatio makubwa🤝🤝🌹❤️

  • @yusufseifu4967
    @yusufseifu4967 2 года назад +1

    Shukran jazla ustadha

  • @umarmwayagah773
    @umarmwayagah773 Год назад +1

    Maa Shaa Allah

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 2 года назад +2

    MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤❤❤👌👌

  • @azuathamri9916
    @azuathamri9916 2 года назад +1

    Mashallah allah akuongezee inshallah

  • @abdulkareemchacha2625
    @abdulkareemchacha2625 Год назад

    Maashaallah..... Hongera sana Ukhty Fatma kwa weledi aliokujaalia Allah S.W.T

  • @fatumaabbas9265
    @fatumaabbas9265 2 года назад +2

    MashaAllah sister Fatma nimejifunza mengi 🥰🥰🥰

  • @mejumaaabuu618
    @mejumaaabuu618 2 года назад +1

    Mashaallah mungu atuwezeshe inshaallah.

  • @abubakarkilabuka
    @abubakarkilabuka 8 месяцев назад

    Mashallah ukhty Fatma Mussa, Allah akulipe Kila kheri. Allah Amiin.

  • @abdulbastwahassan7651
    @abdulbastwahassan7651 2 года назад +1

    Mashallah kwamafundisho mazuli

  • @luchibakari814
    @luchibakari814 9 месяцев назад

    Alhamdulillah ya Allah Allah akuzidishie umri uzid kutuelimisha akujalie khemir ya dunia na akhera amiin

  • @kashindyehabibu4612
    @kashindyehabibu4612 2 года назад +1

    Jazakallah khaira

  • @hadijagere
    @hadijagere 6 месяцев назад

    Shukran nimejifunza sana Allah akulinde na baba yako ampe makazi mema amin

  • @halimahbwelele694
    @halimahbwelele694 Год назад +1

    MashaAllah 🥰🥰🥰

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Mungu anisuru lakini mateso nakimbia au mwanamke mshirikina anamrongwa mke mweza namuwachiya mume mimi naondoka namuwachiya anakula raha ya mume wake

  • @taharamohd2515
    @taharamohd2515 2 года назад +1

    Mimi Nataka Namba za uyo mama nisaidien ninashida nae

  • @Ummussalama-f4q
    @Ummussalama-f4q 7 месяцев назад

    Mashallah ❤❤🎉🎉🎉ukhty fatma Allah akulipe🤲

  • @hindu5268
    @hindu5268 2 года назад +1

    Mashaallah, ustadhat

  • @nhamodavid2055
    @nhamodavid2055 2 года назад +1

    Masha Allah 🥰🥰

  • @latifahud4336
    @latifahud4336 Год назад +1

    Aaah hapana Kwa kweli ukewenza Mimi stakiii,hata ake nan hamjaniconvice

  • @ramadhansadik001
    @ramadhansadik001 Год назад

    Uke wenza imekua changamoto na chukizo sana kwa wanawake, ila hii yote ni kukosa elimu tu. Na pia wanaume nao hujiona shabab wanapooa wake zaidi ya mmoja. Ila katika ukwel ni kwamba sasa hivi wanaume ni wengi so mtu angebakia tu na wale wenye uwezo nao.

    • @ahmedimghwira5899
      @ahmedimghwira5899 Год назад

      Dada yangu nimeisikiliza darasa nzuri sana Allah akuongezee elimu zaid mimi nimemwambia mke wangu na taka kuogeza mke wapili mwanamke amekuwa simba mpaka sasa ni analeta fujo sio kidogo akitaka talaka.

  • @Zaytun-v2x
    @Zaytun-v2x 7 месяцев назад

    Nakupenda Kwaajili ya Allah

  • @nuria7223
    @nuria7223 Год назад

    Ma shaa Allah tabarakallah jazakallahu kheir

  • @rizikichamosi7551
    @rizikichamosi7551 Год назад

    Mashallah tabarakallah nimeipenda sana mada

  • @zuhurambonde7599
    @zuhurambonde7599 2 года назад +1

    Mashaallah

  • @hamisakamna4738
    @hamisakamna4738 Год назад

    Allah atujaalie tuwe waumini wema

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Mimi niko na dada yangu anamateso ya ndowa yeye ni wamwanzo lakini ni shida tu kula ya shinda idd hampi nguo hata moja watoto mtihani pakula wanalala chini anakuja kuosema nyumbani iweje hamna kitu analiya kwa aghadhabu ya mume wake kwa kweli mtihani mimi naenda nikayaona kwa macho yangu

    • @neemafatu471
      @neemafatu471 2 года назад +1

      Hilo ni tatizo la MUMEWE .KAMA ALIVYOSEMA UKTY KUWA HANA IMAN AU ELIMU.

  • @NiyoyitaEric-b2v
    @NiyoyitaEric-b2v 5 месяцев назад

    Barakallahu fit kum

  • @swaibatjawad2580
    @swaibatjawad2580 2 года назад

    Manshallah nimekuelewa ukhty

  • @IbrahimWaziri-to3fl
    @IbrahimWaziri-to3fl 11 месяцев назад

    Assalam alaykum

  • @fatumajumaa8422
    @fatumajumaa8422 Год назад

    Tatizo ni wanaume

  • @msafiribakari6322
    @msafiribakari6322 2 года назад

    Tutaelewana tu elim ndio kila kitu

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 2 года назад +1

    Maa shaa Allah

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 10 месяцев назад

    Mashallah ❤❤❤❤

  • @bsamohamed122
    @bsamohamed122 2 года назад

    Naomba nambari Yako ya sim mama