RAHA YA UKE WENZA NI KUSHINDANA KWA TUNGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 40

  • @guyogalora2736
    @guyogalora2736 10 месяцев назад +1

    Masha Allah shukran jazeelan somo zuri sana

  • @azizaali8506
    @azizaali8506 5 месяцев назад +1

    Subhan Allah ndugu yangu mbona mapambo yako hadharani hivooo

  • @zaynaothman6505
    @zaynaothman6505 6 месяцев назад +1

    Masha Allah,kwa somo zuuri,,.somo mtoto samahani, km unaweza kuvaa gloves it's better ukazivaa henna yako inavutia mnoo Masha Allah.

  • @ShamsaZamda
    @ShamsaZamda 19 дней назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @UmmyLubna-rp6rv
    @UmmyLubna-rp6rv 3 месяца назад

    Mumeo ana wake wangapi?

  • @latifahud4336
    @latifahud4336 Год назад +2

    Afu vaa hijabu we dada hinna zako kwa mumeo

  • @IdrisaIsmail-mt3ks
    @IdrisaIsmail-mt3ks Год назад +3

    Huo urembo ni wachumbani kwa mmee wako.

    • @SSur-e7d
      @SSur-e7d 8 месяцев назад +1

      Ila ht mm nashangaa alitakiwa avae jelibabii ndo igekua sahihi

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад +2

    Ugefinika mapambo yako basi kabla ya mafundisho ya ndoa

  • @Mrs.Mumewangu
    @Mrs.Mumewangu 4 месяца назад

    Dimonso lugha zake za kiuni sana.. Anyway nimejifunza jambo la maana sana. Shukran

  • @muhammadhussain449
    @muhammadhussain449 Год назад +1

    Jamaani tufate maneno yake sio vitendo vake

  • @HalimaAli-t9o
    @HalimaAli-t9o Год назад +1

    Kwa nini usijihifazi

  • @JumaKasimusuleiman-pr9bj
    @JumaKasimusuleiman-pr9bj Год назад +5

    Wewe ukhty funika mapambo yako ili dawa yako iwe na radhi za Allah sio unafundisha watu haliyakuwa ww upo uchi

    • @zainabnoor2278
      @zainabnoor2278 Год назад

      Uchi upi aloonyesha hapo sasa acha kuangalia wake za watu kwa macho ya uhasidi wewe jifunze uelimike amri peleka kwa mkeo na wanao yeye ana mumewe anaejielewa dunia haiendi unavyotaka wewe jua kutofautisha mambo

    • @saidkhamis9507
      @saidkhamis9507 Год назад +1

      @@zainabnoor2278 Allah amesema:wanawake wasidhihirishe mapambo yao ispokuwa kwa waumezao au kwa waliowamiliki,suili je hapo anaonekana na wangapi!je ww utaweza kulikwepesha jicho lako bila yakumuangalia?

    • @zainabnoor2278
      @zainabnoor2278 Год назад

      Pambo lipi alilodhihirisha hapo labda

    • @saidkhamis9507
      @saidkhamis9507 Год назад +2

      @@zainabnoor2278 inavyoonyeshea mapambo hauyajui?

    • @alimatambwe3402
      @alimatambwe3402 Год назад +1

      Ona Sheikh wawatu macho yake yapo chini kabisa anaokoa kuinuwa sura mapambo ya hina yanaonekana nguo zinamsogelea mapaja,labda umja wapo hapo ndiye mme wake,Ila napenda maongezi yake tu ,ushauri wake mzuri .

  • @latifahud4336
    @latifahud4336 Год назад +1

    Hayajakukuta weyeeeee,mie siutak kbsa uke wenza wanawake n washirikina sana unaeza rogwa buree

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 11 месяцев назад

      Alikurogaaa jukumu lake,Ikiwa Aliolelewa Aisha Bint Abubakar (R.A)Sie ni kina Nani ??Usisema Kujikitaa Keshoo Sije Ukawa Massul Kw Allah Kumbuka Ni maandishii Na Kitendo Cha Kuwa Sunnah Ni Kwa Sababu Manabiii Waliyafanyaaa

  • @rabiaothman-w4m
    @rabiaothman-w4m Год назад

    Sisi wailslamu tumeitwa uma Bora kwasababu tunamrishana mema na tunakatazana mabaya ww dada iweje huyo mdada asikumbushwe kuhusu dini yake unasema tufate esh

  • @rabiaothman-w4m
    @rabiaothman-w4m Год назад

    Jistiri kwanza uko na wanaume kati kati haifai ulivyo jiachiya

  • @azizaali8506
    @azizaali8506 5 месяцев назад

    Na hawa anaokaa nao kwenye hivi vipindi si ni mashekheee mbona wameridhia namna hii huyu ndugu yetu adhihirishe mapambo yake namna hiii na mitandio ya hakiamungu namna hiiiiii

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад

    Unaongea hivyo hayajakukuta

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Год назад

    Assalam aleykum ndugu zangu naomba kuuliza huyu mdada ameolewa

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад

    Unaongea hivyo hayajakukuta

  • @yumnamohamed5149
    @yumnamohamed5149 Год назад +1

    ukewenza una raha haswaa ikiw munajielew

    • @anselmoonolius
      @anselmoonolius Год назад

      😂😂😂😂. Akili kitu mhim xana ukiikosa hata ukiambiwa kula mavi utakula na utayasifia

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад

    Kamati za ufundi utatafuta tu ukizidiwa

  • @ZahorMohamed
    @ZahorMohamed Год назад

    Sawa

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Год назад +3

    Mm ukewenza ndan ya nafs siutaki mana mambo ya kuja kurogwa siyawez, in shot na bahat mbaya hii nilionayo sisubut uke wenza stafuti mabalaa mie

    • @hijrakassim304
      @hijrakassim304 Год назад

      Muombe Allah akuepushe nao mana sio wote walouingia wameutaka hiyo nimipango ya Mungu

    • @asalkhan9168
      @asalkhan9168 Год назад

      Allah akunusuru na kuamini sana uke wenza ni shirki

    • @asalkhan9168
      @asalkhan9168 Год назад

      Sasa je ukitokezea uo uke wenza umefanyika kwako utafanyaje

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Год назад +2

      Ukiamini kurogwa utarogwa bila hata ya ukewenza

    • @saidkhamis9507
      @saidkhamis9507 Год назад +1

      Ni imani yako mbovu tu na sifikirii kama kuna mume wa mke mmoja

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад

    Unaongea hivyo hayajakukuta