KUMBE MWANAUME ANAFANYWA HIVI?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Комментарии • 20

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 11 месяцев назад +1

    Wanaume wengi wananuka mashololo Yao akirudi tu kazi I ataka sex bila kwenda chooni kujishughulikia basi na akina mama WENGINE wanaogopa kumuambia nenda ukaoge ongeeni hayo pia tafadhali

  • @maryammohamed5312
    @maryammohamed5312 Год назад +2

    Mashallah, kipindi kizuri watoto wetu wa kiume wakishaanza kubaleghe mara nyingi hatushuliki tena nao, tofauti na watoto wa kike, ni vizuri kukaa nao na kuzidi kuwaelekeza Kuhusu usafi wao wa mwili , Uislam ni usafi tujisafisheni. Inapendeza sana wanandoa kuwa nadhifu. Allah barik Kwa kipindi hiki kizuri

  • @mohamedhussein-qb5sg
    @mohamedhussein-qb5sg Месяц назад

    Somo uko vizuri tupe nasi mikoba Kenya...wafunde kutuvumbika na kutufukiza .....hehehehhee

  • @nadhifamohammed7749
    @nadhifamohammed7749 Год назад +4

    Mume unataka kum surprise kwa singo anarudi saa 6 usiku natamani wakisikie baadhi yao wanaume

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Год назад

      😂😂😂😂😂

    • @Fathiakhalid
      @Fathiakhalid Месяц назад

      Naombeni hiz video zenu kuhusu ndoa muzirushe yutub tuangalie na ss

    • @Fathiakhalid
      @Fathiakhalid Месяц назад

      Tunajifunza vitu vingi sana na tunavifanyia kazi na vinatufaaa sana tunaon mafanikio badhi yao

  • @زينبتنزانيا
    @زينبتنزانيا Год назад +1

    Mashallah shukuran najifunza mengi kazi nzur😊 patam

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 11 месяцев назад

    Kweli w’me inabidi wafahishwe usafi na kujishughulikia. Maisha ya ssa si ya zamani, ssa m’ke na m’me wote wanachoka kwa kutafuta. Na pengine hawana wafanyakazi. Ssa ushughulikiwe ww, wtto, nyumba na yy mwenyewe m’ke. Mnadhani m’ke hachoki????

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 Год назад +2

    Kipindi kinaendelea kupendeza lakini bado nawaomba mupige vita suala la kungwi.. Bxz kungwi hatakiwi kuwa na maharusi.

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Год назад

      Sasa sindo tamaduni

    • @alisaid5745
      @alisaid5745 Год назад

      Kipind kizur ila sheik ww usikae nakae mtangaz wakike mnao musitulee maajab ww ikiwa mwanaume endesha ww

  • @ummukauthar-r5q
    @ummukauthar-r5q 11 месяцев назад

    unapatikana wapi somo mtoto ?naomba contact yako please

  • @MwanahijaKassm-oz4bn
    @MwanahijaKassm-oz4bn 11 месяцев назад

    Bi Atia hio jins ya kuvumbika mume tufahamishe in shaallah

  • @Antj-i7e
    @Antj-i7e Год назад

    Hivi dada tunataka kujua mume anavumbikwaje? Na dada unapatikana wapi?

  • @MwanaishaAlamin
    @MwanaishaAlamin Год назад

    Mashallah , kipindi kizuri🎉

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 11 месяцев назад

    Mm hata avumbikwe vp lkn masuala ya mdomo wangu kueka huko sitaki km masuala ya mdomo wake kueka huko/mate yake. Nahc ndio mana siku hzi watu wengi wanasikitika na miwasho na maradhi mengine ya sehemu za siri.

    • @Fear_Allah394
      @Fear_Allah394 11 месяцев назад

      Na mambo hayo pia yanasabbisha mwisho hamu zinapotea.

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

  • @HalimaIssahmosso
    @HalimaIssahmosso Год назад

    Masha Allah, barakallah fik