Majini Wanatumia Simu, Ukimuona Nyoka Nyumbani Kwako Fanya Hivi Kabla Ya Kumuua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 июн 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM RUclips @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 profile.php?...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center

Комментарии • 32

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 19 дней назад +3

    Mbogo umesoma yule shafi mjinga Sana ujinga umemjaa anajidai kasoma kumbe shafi Hana elimu mjanjajanja tu

    • @mussamtupa
      @mussamtupa 18 дней назад

      Shafii hajasoma anachojua kukopea Aya za Qur an. Na Bibilia.
      Ebu msikilize Shekh Yusuf diwani alivyo chambua majini

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 16 дней назад +1

    Ww una ilimu.

  • @qerysir4410
    @qerysir4410 16 дней назад +1

    DINI YA KIPAGANI!!
    Sasa inaporomoka tu kwa kuwa Injili ya YESU lazima isimame💪

    • @mamawamireille4872
      @mamawamireille4872 15 дней назад

      Weye jiheshimu gwajima anaingiza waumini kanisani kupitia majini alietowa kwa mzemasele

  • @HassanOsimine
    @HassanOsimine 18 дней назад +2

    wwe na sule hamna tofauti na nabii ilyasa feki

  • @samsonmutuku4496
    @samsonmutuku4496 16 дней назад

    Tuonyeshe Kwa bibilia majini yameokoka.
    Majini Ni waislamu peke

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd 21 день назад +1

    Kwaio wewe sasa ushakua mcha mungu

  • @MohazmSamowadan
    @MohazmSamowadan 10 дней назад

    Ni mimi mazuri 😂

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 18 дней назад

    Huyu yupo sawa wewe unae sema Hawa ndoo wanao chafuwa uisilamu wewe ndoo huna elimu na Ina wezekana ume tumwa na upande wapili kuzuia juhudi za wajuzi jinga wewe Kaa usome

  • @thomasnizigiyimana5122
    @thomasnizigiyimana5122 17 дней назад

    Majini ni mashetani hayo majini

  • @AbdulatifoSufo-tb2rn
    @AbdulatifoSufo-tb2rn 20 дней назад +1

    Uyu ata kusoma ajuwi.
    Je ataelewa vp

  • @EMMANUELMWABONJE
    @EMMANUELMWABONJE 16 дней назад

    Wacha uongo,hakuna majini wakristo naona umepagawa .

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah579 20 дней назад

    Kwani nyinyi mtume wenu naani.....Alafu mbona mwamtangulia.....ama itakua mna elimu kumshinda?

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 19 дней назад

    Mbogo sy lazima ujb kama hujui siunaacha yann mpaka ujidhalilishe?

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu 17 дней назад

    Shafi está certo você não sabe nada 😂😂😂😂

  • @KikwaleRashid
    @KikwaleRashid 21 день назад

    Hata kigoma Mwamgongo alikuwepo

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 19 дней назад

    Sheikh usiziogope comment😂

  • @rajababdallah579
    @rajababdallah579 20 дней назад +1

    Njaa imetoka tumboni ikaamia kichwani....balaaa

    • @Dafetty
      @Dafetty 19 дней назад

      😂😂😂😂 kabisa 🤝💯

  • @user-ix3pl1ey6n
    @user-ix3pl1ey6n 18 дней назад

    Acha mambo Yako wachawi wakubwa

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 19 дней назад

    Lipo lopo

  • @ABUUSHURAIM
    @ABUUSHURAIM 16 дней назад

    Wewe na sule ndio walewale washirikina nyie sio mashehe ni mashehena na washirikina huo sio huo siku iz weng dini tumeisoma hamtudanganya

    • @Rashid-bs6vj
      @Rashid-bs6vj 16 дней назад

      Surat ljinni aya ya 11,majini wanasema miongoni mwetu ni wema na wengine ni waovu...hii ni qur an..xx ww umsoma embu npe ufafanuzi hapoo

  • @ExcitedChefHat-ef5jt
    @ExcitedChefHat-ef5jt 20 дней назад

    Hii ndio tabu ya makhurafii mwisho wao ushirikina kutumia majini badala ya kumumba Allah shida zao. (Al baqarah 186)
    Na waja Wangu wanapokuuliza kuhusu Mimi: Hakika Mimi niko karibu. Ninaitikia maombi ya mtu wanaponiomba. Basi na waitikie kwa utiifu Kwangu na waniamini Mimi, huenda wakaongoka kwenye Njia Iliyo Nyooka.

  • @kasimubangu1875
    @kasimubangu1875 21 день назад

    Watu kama hawa ndo wanao uchafua uislamu

    • @user-dx8qe4di9n
      @user-dx8qe4di9n 20 дней назад

      Sasa sheikh ww umepata iyo dua kwani uwezi kuitowa kwann

    • @Dafetty
      @Dafetty 19 дней назад

      Kabisa 🤝💯😢

    • @user-dx8qe4di9n
      @user-dx8qe4di9n 19 дней назад

      Iyo niilimu ww umepewa bure kwanini ww utaka ugaramiwe

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 18 дней назад

      amuna sheikh mbogo ni mkweli,lslam ni ushetani!

  • @ShamimWanjiru-bm6ve
    @ShamimWanjiru-bm6ve 19 дней назад

    Utanisameh Sheikh lakini heri ungenyamazia na Dua hio kuliko kusemablazima tugharamie Dua,wakati yule Sheikh ulosoma Dua kwake hukugharamia,Astaghfirulah,Allah atusameh