Majini Wanatumia Simu, Ukimuona Nyoka Nyumbani Kwako Fanya Hivi Kabla Ya Kumuua
HTML-код
- Опубликовано: 7 июн 2024
- QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM RUclips @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center
Mbogo umesoma yule shafi mjinga Sana ujinga umemjaa anajidai kasoma kumbe shafi Hana elimu mjanjajanja tu
Shafii hajasoma anachojua kukopea Aya za Qur an. Na Bibilia.
Ebu msikilize Shekh Yusuf diwani alivyo chambua majini
Ww una ilimu.
DINI YA KIPAGANI!!
Sasa inaporomoka tu kwa kuwa Injili ya YESU lazima isimame💪
Weye jiheshimu gwajima anaingiza waumini kanisani kupitia majini alietowa kwa mzemasele
wwe na sule hamna tofauti na nabii ilyasa feki
Tuonyeshe Kwa bibilia majini yameokoka.
Majini Ni waislamu peke
Kwaio wewe sasa ushakua mcha mungu
Ni mimi mazuri 😂
Huyu yupo sawa wewe unae sema Hawa ndoo wanao chafuwa uisilamu wewe ndoo huna elimu na Ina wezekana ume tumwa na upande wapili kuzuia juhudi za wajuzi jinga wewe Kaa usome
Majini ni mashetani hayo majini
Uyu ata kusoma ajuwi.
Je ataelewa vp
Wacha uongo,hakuna majini wakristo naona umepagawa .
Kwani nyinyi mtume wenu naani.....Alafu mbona mwamtangulia.....ama itakua mna elimu kumshinda?
Mbogo sy lazima ujb kama hujui siunaacha yann mpaka ujidhalilishe?
Shafi está certo você não sabe nada 😂😂😂😂
Hata kigoma Mwamgongo alikuwepo
Sheikh usiziogope comment😂
Njaa imetoka tumboni ikaamia kichwani....balaaa
😂😂😂😂 kabisa 🤝💯
Acha mambo Yako wachawi wakubwa
Lipo lopo
Wewe na sule ndio walewale washirikina nyie sio mashehe ni mashehena na washirikina huo sio huo siku iz weng dini tumeisoma hamtudanganya
Surat ljinni aya ya 11,majini wanasema miongoni mwetu ni wema na wengine ni waovu...hii ni qur an..xx ww umsoma embu npe ufafanuzi hapoo
Hii ndio tabu ya makhurafii mwisho wao ushirikina kutumia majini badala ya kumumba Allah shida zao. (Al baqarah 186)
Na waja Wangu wanapokuuliza kuhusu Mimi: Hakika Mimi niko karibu. Ninaitikia maombi ya mtu wanaponiomba. Basi na waitikie kwa utiifu Kwangu na waniamini Mimi, huenda wakaongoka kwenye Njia Iliyo Nyooka.
Watu kama hawa ndo wanao uchafua uislamu
Sasa sheikh ww umepata iyo dua kwani uwezi kuitowa kwann
Kabisa 🤝💯😢
Iyo niilimu ww umepewa bure kwanini ww utaka ugaramiwe
amuna sheikh mbogo ni mkweli,lslam ni ushetani!
Utanisameh Sheikh lakini heri ungenyamazia na Dua hio kuliko kusemablazima tugharamie Dua,wakati yule Sheikh ulosoma Dua kwake hukugharamia,Astaghfirulah,Allah atusameh