Ukiota ndoto hizi 7 jua una jini la mikosi na nuksi | Ujue mti ambao ukioga unaondoa nuksi - Jaafar

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Elimika na Sheikh Jaafar Abdul Rahman

Комментарии • 213

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Год назад +6

    SUBHANAALLAH YAARABB TUKINGE NA MAJINI 🤲🤲😰😰😰

  • @MakaiKasala
    @MakaiKasala Год назад

    Elimu inaweza kuwa nzuri, ila uvaaji huu unatufundisha nini kama umma wa kiislamu?

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад

    Yaan huyu sheikh ana comedy ndani yake😂😂😂utacheka tu

    • @manasa2449
      @manasa2449 Год назад

      😂😂😂😂😂

    • @zohoraramadan4540
      @zohoraramadan4540 Год назад

      @@manasa2449 kweli sngd comedian

    • @manasa2449
      @manasa2449 Год назад

      @@zohoraramadan4540 yaani ukiangalia unaruadia rudia 😀😀😀

  • @UweraEmelyse
    @UweraEmelyse 8 месяцев назад +2

    Jambo jina ni sandrine Mimi nahitaji Numero yako ya wastapp

  • @abubakarkhamisi3931
    @abubakarkhamisi3931 10 месяцев назад +3

    Sawa ila mbon umevaa mielizi n miguo hiyo y kienyeji

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 Год назад +8

    Huo mti wa mkuta ndio mti gani wanao jua watusaidie

  • @AbibaSalleh
    @AbibaSalleh 10 дней назад +1

    Mungu.anikinge.nahuyo.jini

  • @carolineatieno2725
    @carolineatieno2725 Год назад +5

    Nisadie Niko na shida ndoto mbaya sana,Niko na kisirani mbaya

  • @zulfajoachim6145
    @zulfajoachim6145 5 месяцев назад +2

    Mhh yaani shehe ww unaongea kweli sisi wenye jini mahaba tunapata shida sana na hatuna bahati kabisa

  • @hichayasin7244
    @hichayasin7244 Год назад +5

    HAPO SASA UNATAKA KUWAGEUZA ILI UWATAPELI WATU WEWE NDIO MWALIMU WA MATAPELI UNATAKIWA UCHUNGUZWE UNATUMIA DINI KITAPELI WATU HAPO JAMANI TUWE MAKINI NA HUYU SHEKH MSHIRIKINA,,🤣🤣🤣🤣,

  • @khadijasalum1659
    @khadijasalum1659 3 месяца назад +1

    Tunaomba Tafadhali kwa ajili ya ALLAH Shekh Othman akija Msa atupunguzie Malipo maana makubwa sana ndio pia dawa zina kua Taufik wengene hatuna pesa Fanyeni dawa kwa wepesi wa pesa INSHAALLAH

  • @hassanikombe9053
    @hassanikombe9053 Год назад +3

    Dah yan shekhee umeongea lugha zote kuhutaj uwo mti,.lkn kw kiswahil ndo umefeli 😁😁😁😁,make ungeutaj uwez ukapgiwaa sim 😁😁😁 shekhee ww noma sanaaa

    • @budabuda1326
      @budabuda1326 Год назад

      Assalaamaleikum vipi sheikh ati ni mtigani anaouzungumzia hapo naona nikiwa search Google yanakuja mengi!!!

  • @VictorAlulu
    @VictorAlulu Год назад +1

    Hello Mimi nashita Kama izo unaweza nisaidia namnagani? Pesa nabata kwa mwezi elfu hamsini lakini uwa sizioni kapsa Sina kitu

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid Год назад +2

    Mm maisha siotiii kabisaa haya jini asieota aitwa nani .nalala fofo .wtt n mume wangu kutwa Kuni beza kwa usingizi mwingi.

  • @Afsa-z3g
    @Afsa-z3g 22 дня назад

    Nasafiri alafu gari inaniacha sehemu ya kuchimba dawa

  • @princehelinsburg1933
    @princehelinsburg1933 Месяц назад

    Pia wakristo wengi wapitia mambo haya ilhali watapeliwa na wati

  • @RehemaKasanga-vu5nj
    @RehemaKasanga-vu5nj 2 месяца назад

    Na hayo mahirizi umebeba ya ya Nn Kama wewe ni Shehe?

  • @zohoraramadan4540
    @zohoraramadan4540 Год назад +3

    Waleykumusalamu warahmatullah wabarakatuh, 😁mwamba, we jafari ninacheka unafikiri mazuri usituchekeshe na hali ni musiba

  • @florencewairimo2245
    @florencewairimo2245 Год назад +3

    Asante sana kwa mafunzo mungu akubariki🙏🙏🙏

  • @everlynechebet-lh5hu
    @everlynechebet-lh5hu Год назад +1

    Mimi Kuota na kuhaudiwa pesa lakini siku ikifika anitumi anageuka

  • @jeaninevumilia5917
    @jeaninevumilia5917 6 месяцев назад +1

    😂 Ninayo kivuli hikyo ya Nuksi

  • @aliamour4970
    @aliamour4970 Год назад +5

    Maneno mengiiiiiiiii!!

  • @linetaidi4723
    @linetaidi4723 Год назад +2

    Tuonyeshe mti huo naomba tafadhali

  • @JijiJiji-v6g
    @JijiJiji-v6g Год назад +2

    Tuandikie Jina zahizo mti

  • @japharyramadhani7831
    @japharyramadhani7831 Год назад +1

    mimi nimefurahi mawaidha yanavyotolewa hakika ni somo nzuri sana, ila hofu yangu ni mahilizi na dini ya kislamu kwani yanaashiria ushirikina sasa hapo ndio siajaelewa labda elimu yangu ndogo

  • @NeemaSomo-rx7dy
    @NeemaSomo-rx7dy Год назад +2

    Wallah nimejikuta nacheka

  • @starlight8794
    @starlight8794 Год назад +6

    Mm ninae uwa ananisumbua sana maana mm hunijia pale ninapo anza ku lala huja nika pigana nae japo kua hunimaliza nguvu na kama kuna mtu ako karibu yangu basi atanisikia nikipiga kelele sijui nifanyeje ili aniondokee maana sazengine huninia na sauti yani aongea ila simuelewi kisha ananiingia anaanza kunisumbua ila uwa simruhusu maana uwa napigana nae hadi inanibidi nipige makelele ili wenye wame lala karibu yangu waniamshe ndo pale anapo niachilia aki nimechoka na hili li jini

    • @neemamboya-ss6pl
      @neemamboya-ss6pl Год назад +2

      Mimi mwenyewe nkitaka kulala kale kausingizi inanijia yaan nakua naskia kila kitu ila mwil unakua hauna nguvu ata kujigeuza swez na saut haitoki imenitesa muda mrefuuu mnoo

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Год назад +5

      Itia jina la YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI KWA NGUVU AU ITA DAMU YA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI, MAANA HUYO YESU KRISTO NDO KIBOKO YA WACHAWI WAGANGA WASHIRIKINA NA TAKATAKA ZOTE ANAZOZUNGUMZIA HUYU NA HATA HUYU MGANGA YESU KRISTO NI WEMBE

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Год назад

      @@neemamboya-ss6pl MWITE AU ITA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETHI ALIE HAI

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Год назад

      Halafu HUYU anawadanganya UFALME WA giza hauwezi ukafitini UFALME WAKE maana hawa WAGANGA NA HAYO majina WOTE WAKO KATIKA falme moja AMBAO NI UFALME WA SHETANI, kwahyo msihangaike kutafuta vibaraka WA shetani AMBAO NI waganga hapana tafta watumishi wa MUNGU (YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI) watumishi wake YESU KRISTO NDO wanaoweza kuwaweka huru kwenye hzo nguvu za giza lkn sio waganga maana wanatumia nguvu za giza lkn sio inayotoka juu MBINGUNI tafta watumishi kama akina kuhani Musa, SUGUYE, MWAMPOSA, prophet david Richard , hawa ndio wanaoweza kuyatatua shda kama hzo maana NGUVU wanayoitimia inatoka juu MBINGUNI

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 Год назад

      Mimi nilikuwa naota hivo nikiwa najaamiana basi nikatoa sacrifice namba Saba ,,ya kukata hizo ndoto za kujamiana..tangu nitoe hazijawai nirudia hata kidogo

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 4 месяца назад

    Bahati mbaya na wewe ni mganga umekuja tu na kuwaponda waganga lakini na wewe ni mganga kuni neno uganga ni utibabu kwani hata wale wahospitali wanaitwa waganga Sasa waponde wenzako lakini Bado itabaki wewe ni mganga no comment

  • @OmarMohamed-bs2hf
    @OmarMohamed-bs2hf 3 месяца назад

    Shekhe ikiwa wewe unawapiga wa ganga ila unatugahamisha dawa na dawa hizi hizi ndio tunazopewa na hawa hawa waganga hebu tujeni Kuna nn hapa

  • @nduguhashimnapia3135
    @nduguhashimnapia3135 Год назад +1

    Je ukiwa unasafir mara kwa mara safari za kawaida inakua jje sheikh

  • @EmilyNyariaro
    @EmilyNyariaro 24 дня назад

    Naomba namba yako

  • @NhaloNhalo-ol7ls
    @NhaloNhalo-ol7ls Год назад +3

    Ahsante Sanaa Sheikh kwa Somo nzuri

  • @khadijandabahagamye7252
    @khadijandabahagamye7252 Год назад +2

    Me napenda kuota nikiwa nafunukwa na maji 😢 mana yake nini..?

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025 8 месяцев назад

    Ilo vazi shekh vipi mbona kama mganga wakienyeji ??unatueka njia panda

  • @RehemaKasanga-vu5nj
    @RehemaKasanga-vu5nj 2 месяца назад

    Yesu Kristo Ndiye Mwamba wangu 2

  • @mussamatondo4886
    @mussamatondo4886 Год назад +16

    Some time mmetuvalia juga kutundanganya, ndoto inaendana na mawazo yako

    • @reenaismael4310
      @reenaismael4310 Год назад +17

      You know what,kama kitu hakijawahi kukutokea utaona chochote kile unachoambiwa ni uongo tu
      Lakini nikwambie watu wanapitia mtihani huku nje ,kama uko sawa sema Alhamdulilah
      Allah akulinde na kukuepusha na mabaya.
      Kwa wale wana shida wacha waskie Insha'Allah kwa auezo wa Allah watapata shifa na kufanyiwa wepesi katika kila jambo Lao.
      Mungu akulinde na kukuepusha na maadui,mashetani na kila jambo mbaya likitaka kukutokea Allah akutangulie mbele Aameen.

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 Год назад

      Life is spiritual,kama waelewa what spiritual is basi haifai kupingana

    • @madamprayer6490
      @madamprayer6490 Год назад

      @@reenaismael4310 kweli asee

    • @sinobosstv5565
      @sinobosstv5565 Год назад

      Na mawazo yako yanawezatawaliwa bado na shetani

    • @happybalama3591
      @happybalama3591 Год назад

      Sio kweli ndoto huletwa na Mungu au shetani

  • @aminahhabibu4652
    @aminahhabibu4652 Год назад +1

    Shekh mm Niko na hizo shida nakupataje wallah nimechoka kabisa Mambo hayaidi kila nifanyalo nakuomba sana nidaudie sijui nifanyaje mm

    • @muba6699
      @muba6699 Год назад

      Una swali kila Siku??? Simamisha Swala mambo yako Yatanyoka!

  • @FatumaAhmad-rk4ou
    @FatumaAhmad-rk4ou 3 месяца назад

    Shekhe mm ndoto hzo naota sn nitasaidikaje niko mbali

  • @wrongnamemtuwahapa
    @wrongnamemtuwahapa Год назад +2

    Kiswahili unaitwaje

  • @Afsa-z3g
    @Afsa-z3g 22 дня назад

    Dah

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 Год назад

    Huo muilizi hapo ndo uonekane fundi au yani sikuizi mjini wezi wengi kwa kweli khaaaaa kujiganya unaongea kilafudhi ya kiislam kuchafua watu tuuu

  • @cellcelll2151
    @cellcelll2151 Год назад +2

    Sheikh kambe waniongelea mm😢😢

  • @ChalesMatelu
    @ChalesMatelu 6 дней назад

    Dar

  • @Hajra-vu9gd
    @Hajra-vu9gd Год назад +2

    Yarabi inamanisha mm ninayo mm naota nikipaa subunallah

  • @irene3abi123
    @irene3abi123 Год назад +1

    Nimependa sana mafunzo yako

  • @IsmailAhmadChakudeka388
    @IsmailAhmadChakudeka388 4 месяца назад

    Ivi huyu mbona yupo nawatu wa bidaa asaiv au Bora tonge

  • @ladymuslima4956
    @ladymuslima4956 Год назад +3

    Ni dhambi kuwa wawili watu wa jinsia tofauti

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Год назад

      Ndio nizambi mnafanyanini uko vichocholoni.kwenye faraga?

  • @rehemamrinzi6996
    @rehemamrinzi6996 Год назад +1

    Nami hzo ndoto ndio zangu kbsa wallah

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Год назад

    Na huyu nae pia anitwa shekhe??? Mnaomuamini nyote mnakufuru

  • @NEBERT-rc6bb
    @NEBERT-rc6bb 4 месяца назад

    +254 Kenya mti wa kuondoa nuts audawa inapatkanna wait?

  • @muniraomar2235
    @muniraomar2235 Год назад +3

    Sasa naweza kuzitoa vp

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 Год назад +4

    Sheikh mti huo hauna jina Kwa kiswahili ili nasi tujue?

  • @alimanana7564
    @alimanana7564 29 дней назад

    😢😢mimi ninaye kweli napenda kuota nafanya mapenzi mara nimeza kila kitu nikifanya mthihani kwakweli ata nikipata mchumba binaishia ivo😢

  • @mancopy8851
    @mancopy8851 Год назад +2

    asalam aleykum shekhe mm hayo yte ulosema yana nikuta sana shekhe ndoa mbil zimevunjika bila sababu wala mahusiano haya dumu shekhe napitia wakat mgumu sna shekhe

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Год назад +11

    Maashallah baharin kupaa angani skuli yote nimeota kuingiliwa miala iloipita sasa afazar ila majenga mwaka wa5 numba imesimama nikikata pesa za kezeka bat sijui zinakwenda wapi inakuka kila sabab matumiz zinpungua siezeki ni lweki shehe inayoyasema mtihani mkubwa yarab🤲

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802 Год назад +3

    Uwongo mtupu.
    Mnao tizama hii you tube chungeni.

    • @jeaninevumilia5917
      @jeaninevumilia5917 6 месяцев назад

      Wewe piya waitazama

    • @kassimabdilatif1802
      @kassimabdilatif1802 6 месяцев назад

      @@jeaninevumilia5917
      Inamaanisha unaamini huu upuuzi ?
      Tunajaribu kuwasaidia nyinnyi mnao danganywa.
      I'm not here to argue with people.
      Una uhuru wa kuamini na kutoamini.
      Sina haja ya utoto wa kushindana na watu !

  • @latifaradjabu3949
    @latifaradjabu3949 Год назад

    Mtu huyo sheikh mungutuonyesha majani yake tungeutafuta au kama inawezekana kukupata kupitia ww tusaidie namba zasim mm nipo Burundi sjui nitaupataje

  • @faidaimmaculee28
    @faidaimmaculee28 Год назад +1

    Iyonikweli wa Ganga niwaongo 😂😂

  • @NeemaSomo-rx7dy
    @NeemaSomo-rx7dy Год назад +2

    Wallah nimejikuta nacheka

  • @FatmaMohammed-x7z
    @FatmaMohammed-x7z Год назад

    Samahanini huyu msemaji hapa tumfahamu vipi AMA yupo kundi gani?

  • @fatumaomary6110
    @fatumaomary6110 Год назад

    Unawaponda waganga alafu na ww unafanya uganga balaa tupu

  • @SaudaMuhammedyussuf
    @SaudaMuhammedyussuf Год назад

    Mimi Nina mwaka sita nishaasha shule lakini kila siku nakua naota nikiwa shule

  • @tria2254
    @tria2254 Год назад

    Kaka uyo mti unaitwaje kwenye kingereza ?

  • @1THEBRAIN
    @1THEBRAIN Год назад +1

    Nyie mnatangaza biashara yenu ya uganga 😂😂😂😂, kwanza mlinza na maziga ubwe eti wangaga wanavyo fanya alafu eti tutaonyesha jinsi uongowao ulivyo hamkuonyesha lengo lenu lilikua ni kutangaza uganga wenu, jitibieni nyie kwanza

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 Год назад

      Siyo biashara hivi vitu Vipi sema inafatana na njia utayotumia kujitibia

    • @muhamadhusein5260
      @muhamadhusein5260 Год назад

      ​@@lifeinmiddleeast8179 wewe unaejuwa haki tufahamishe kwenye channel yako na kama huna channel azisha channel utufundishe ili tujue na sio uropoke tu

    • @muhamadhusein5260
      @muhamadhusein5260 Год назад

      ​@@lifeinmiddleeast8179 wewe unaejuwa haki tufahamishe kwenye channel yako na kama huna channel azisha channel utufundishe ili tujue na sio uropoke tu

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Год назад

      Hakuna kisicho tangazwa katika dunia hii hata dini isipotangazwa watu hawawezi kuijua,Hata wewe leo ukifungua hospitali yako leo utaitangaza ila nikushauri tu acha rohoo mbaya na husda juu ya wanaharakati wa dini ya Uislamu na tiba kama hizi za kisheria yaani zinazozingatia misingi ya Qurani ziko sahihi hata Mtume alifanya uganga huu na ni sehemu ya dini na maana ya neno Uganga ni tabibu ;sasa sijui wewe unapinga nini?Hata Madakitari wa tiba za magonjwa ya kibailojia nao katika kuswahili ni Waganga au Watabibu ndiyo maana utasikia mtu anahitwa mganga mkuu wa serikali.Tumia akili husikurupuke Wewe, zamani tiba za kizungu hazikuwepo na watu walitibiwa kwa njia za asili na Wazungu katika utafiti wao wa madawa wanashirikiana na watu mbalimbali wenye kuijua miti kitiba wa kiasili lakini wewe limbukeni unaleta kejeli hapa .

    • @allyfadhili
      @allyfadhili Год назад

      @@ramadhanwilbard8196 watu hawakatai tiba za asili. Ila kusema kuwa eti Kuna makini yanawaingia watu na kwamba eti Kuna watu wanaweza kuzuia Riziki Kwa kukuwekea kivuli huo ni uwongo.

  • @princehelinsburg1933
    @princehelinsburg1933 Месяц назад

    Nimepitia baadhi ya mambo haya

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад +1

    Inachekesha weweshehe wangu

  • @AminaAmina-mv4ko
    @AminaAmina-mv4ko Год назад +1

    Shukran laka kwa elmu

  • @AlimaSadiki
    @AlimaSadiki Месяц назад

    Shukran sheikhe allaah akuongoze

  • @budabuda1326
    @budabuda1326 Год назад

    Anime Google kama alivyo sema nimepata al ausaj na al khaizaran imekuja miti miwili tofauti 😮

  • @ZAHRAMCHOME
    @ZAHRAMCHOME Год назад

    Shkh tusadie tiba hiyo see tulioko mikoani

  • @AishaMshaka
    @AishaMshaka 4 месяца назад

    Tunataka huwomti nimtigani

  • @PapilAlvin
    @PapilAlvin Год назад

    Nahitaji msaada ktk hili kila ulichokiongea kinanihusu mimi

  • @allyfadhili
    @allyfadhili Год назад +1

    Huo ni uwongo.

  • @MozarySeyouMozarySeyou
    @MozarySeyouMozarySeyou 3 месяца назад

    Duu atr Allah atupishe naivo vitu

  • @laurentnyembo6073
    @laurentnyembo6073 Год назад +1

    Asante Sana kwa funzo🙏

  • @mbisinzembei5857
    @mbisinzembei5857 3 месяца назад

    Mimi niko kenya mti jana ya kenya

  • @HellenDavid-j5z
    @HellenDavid-j5z Год назад

    😢😢😢utanisaidiaje mm maana Chenye unaongea kinanikuta kila wakati nafukuzwa kazi na nikipa mwanaume ananiacha bila sababu😢😢😢😢

    • @shalfaa
      @shalfaa 7 месяцев назад

      Njoo upate dawa utoe nuksi 254712734325

  • @ramlaismail7287
    @ramlaismail7287 Год назад

    Kwahy uy mgang au shekh nasikia shekh wang😅😅

  • @robertndebate5462
    @robertndebate5462 Год назад

    Uyu mganga au shekhe mbona ana mielizi kama mijezi ya makolo

  • @neymarjunior8404
    @neymarjunior8404 Год назад

    Mkuta mbona iyo kiswahili inatuchanganya

  • @mbutaleetz225
    @mbutaleetz225 4 месяца назад

    Huyu ni muongo

  • @mombasaraha1502
    @mombasaraha1502 Год назад

    Hapo kwa bibi harusi na po nimejifunza sana nilikuwa sijui watu husema nn

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 Год назад +1

    Mm mara Moja moja ndio naota hiyo y kupaa mara Moja Moja je ninaye, naomba unijibu

    • @muba6699
      @muba6699 Год назад

      Unandoto kubwa katika maisha yako Fanya Ibada unanuru ndani yako!!!

    • @abubakarmpole4000
      @abubakarmpole4000 Год назад +1

      @@muba6699 wallah kama vile unajua bro shukran

    • @VeronicaMushi-ms1tn
      @VeronicaMushi-ms1tn Год назад

      Taja tena.huo mti.

  • @KuluthumuSaidi-f5j
    @KuluthumuSaidi-f5j Год назад

    Mimi nnaye nitakupataje dalili zote nnazo naokewakila naachika nitakupataje nasumbuka

    • @Madam870
      @Madam870 Год назад

      Pole sana nitafute naeza kushauri insha Allah dadaa

  • @NeemaSomo-rx7dy
    @NeemaSomo-rx7dy Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @baruaniabdallah3318
    @baruaniabdallah3318 Год назад

    Unashindwa kuzungumzia tiba unatoa stor

  • @SameerMdumbemalongo
    @SameerMdumbemalongo Год назад

    Acha uongo.....shaitan hakai sehemu inaposomwa albqara...ayatu qursi.....hatuna dalili eti masahaba walioga mti flani ......eti ukaondoa nuksi....hiii dini inekamilika

    • @latiferameer4922
      @latiferameer4922 Год назад

      Mimi huwa nashangaa et oga toa nuksi khaa nuksi ndo nn ss!upo mbali na mola wako ibada 0 af et uoge utoe nuksi😥

    • @SameerMdumbemalongo
      @SameerMdumbemalongo Год назад

      @@latiferameer4922 Allah akulipe.....kuna vijamaaa vina njaaa vinataka kupiga hela za watu

  • @didieruwingabire2370
    @didieruwingabire2370 Год назад

    Sasa huyo muti tutaupataje

  • @ZuhuraIssa-h2b
    @ZuhuraIssa-h2b 3 месяца назад

    Jamani mkowapi

  • @sulekhamohammed5358
    @sulekhamohammed5358 3 месяца назад

    Masha Allah Mimi nataka

  • @rahmaomary5134
    @rahmaomary5134 5 месяцев назад

    😁😁😁😁Waganga

  • @Mmmmmmm-k7s
    @Mmmmmmm-k7s Год назад

    Unaongea ukweli yaani wachawi kiukweli ni kipi wanachokipata

  • @didieruwingabire2370
    @didieruwingabire2370 Год назад

    Uyu anaitwa nani

  • @SaudaMuhammedyussuf
    @SaudaMuhammedyussuf Год назад

    Na napenda kuota nikia nimepaa

  • @everlynechebet-lh5hu
    @everlynechebet-lh5hu Год назад +1

    Niko na muzungu alikuwa ananisadia lakini sahii

  • @moseskariuki6461
    @moseskariuki6461 Год назад +4

    Maajabu ya dunia,kurushia wengine ouoga, nikama wao watakaa hii dunia melele😢😢

  • @zarabati1750
    @zarabati1750 3 месяца назад

    Maashaallah

  • @richardstephano9059
    @richardstephano9059 Год назад +1

    Aisee balaa

    • @YusufuMusani
      @YusufuMusani 3 месяца назад +1

      Miminimete sekasana apaduniyani.

  • @laurinebihembo2907
    @laurinebihembo2907 9 месяцев назад

    Naomba namba

  • @wrongnamemtuwahapa
    @wrongnamemtuwahapa Год назад +1

    Mimi mara nyingi uota na paaa sana msituni