sheikh Jaafar aendelea anika siri na namna waganga wanavyo tapeli watu Part 02

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Huu ni muendelezo wa Darsa la wiki ilopita,hapa Sheikh anarudia alichoonesha wiki ilopita na kuongeza kwa tafsiri ya visanga vyote......

Комментарии • 50

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад +1

    Shiki upo ila wagonjwa wapo

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Год назад +4

    Allah awape kheri kubwa sana hapa duniani na kesho mbele ya Allah#tunasubiri muendlezo penye majaaliwa ya Allah #nawapenda waislam wote kwa ajili ya Allah na wale ambao sio waislam nawapenda piah#karibun kwnye uislam dini ya haki❤️

  • @AsheryKenneth-zg3tb
    @AsheryKenneth-zg3tb Год назад +1

    Inshallah ALLAH awazidishie wepesi MASHEIKH zetu mzidi kutupa DAAWW

  • @saimonrodgers8262
    @saimonrodgers8262 Год назад +2

    Mungu akubriki kwa kuwasanua watu..

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 17 дней назад

    Mwanamgu alikuwa akiniambia kila mara kuna bibikize alikuwa akimtokea usiku ameva mavazi hayo yena akiwa macho subhanallah 😮😢

  • @JohnChikoye-t9z
    @JohnChikoye-t9z Год назад +1

    May almighty God add more days on you, God bless you .

  • @manyotaonlinetv1110
    @manyotaonlinetv1110 Год назад

    Wewe umevijuaje hivyo kama si mshilikina acha kuharibu kazi za watu mjuzi ni mwenyezi mungu swali je huyo alotibiwa kwa njia hizo kafanikiwa kama kafanikiwa watu watazidi kutafuta tiba za aina hiyo maana tiba zipo na aina ya stahili hiyo ipo kikubwa ni tiba sahihi

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Mimi siwezi kukuzarau kwasababu wewe nishehe

  • @CheiaNdiricho-kn4zb
    @CheiaNdiricho-kn4zb Год назад +1

    Masha allah mungu akupeni wepesi nawa penda sana

  • @morogoromedia
    @morogoromedia Год назад +1

    Mashaallha masheikh wetu allha awaekee

  • @mayumasala8442
    @mayumasala8442 Год назад +1

    Maashallah Maashallah tabaraka rahman jazakallah her

  • @shomaryabdul6862
    @shomaryabdul6862 Год назад +1

    Allah umaamin 🤲😢 shehe osmani
    Nimeerewa sana Ilo darasa 🙏

    • @leanyakaligo
      @leanyakaligo Год назад

      Asante.sasa shehe nifanye nini mtoto huyu ame teseka na ugonjwa wa kifafa.

  • @JumaissaSuleiman
    @JumaissaSuleiman 9 месяцев назад

    Hahahaha wewe Shee kotekote uko

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад +1

    Saw shehe ila tiba ipo tuu

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 Год назад +1

    mbona utuonyeshi ujanja wa wachawi na wanga. hapa naona kuna kugombania wateja

    • @muba6699
      @muba6699 Год назад

      Kwani uliambia Wachawi na wanga Ujanja Sio ujanja ni mfumo au chama unajisajili bila kusajiliwa na mtu!! hata wewe unaeza kua mchawi hata kesho ukanza safari zako mwanza dar na ungo 😂😂😂 acha uswahili ndugu yangu😅😅 jina lako nimeliheshimu ((farijal family)) ila nilikua nataka kukukandia kispoti Mwana Yanga WEWE SHABIKIA TU YANGA!!! hizi darsa sio Simba na Yanga😅😅😅 skujui ila Ni Signal flani hivi nimekupa We mtu mzima jiongeze!!!

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Na mm nimwisilam siwezi kukuzarau ila Ramli ndiyo ninayo pata wateja mm man Ramli yangu digombanishi watu nangaliya kilichopo ndiyo ninacho mjiww bila kunambiya

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Год назад +1

    Cheikh unanichekesha mpaka naliya

  • @fatimahirakoze7311
    @fatimahirakoze7311 Год назад +1

    Acha kunichekesha

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Nataka vilinge hivyo nivijuwe watu wengi wanataka kutibiwa nafusi tuu nafusi ikituliya tuu hupowa maradhi yake

  • @islamsaid4830
    @islamsaid4830 Год назад

    assalamu alaikum sheikh athman Michael na sheikh Jafar naomba usaidizi wenu kwa majina naitwa islam said salim kutoka kenya mombasa niko swali nataka kuwa ambia kuna wabaya wangu wana ni sumbua sana kwa ndoto ama wanitumia wanya kama vile jibwa ama paka na mimi mwenyewe napata ujumbe kutoka ndoto ama mashale yana nisheza kwa mwili wangu sazengine wana niumiza mwili wangu kama vile kwa mkono huskia mishipa huni uma sana mana wanani finya hizo mishipa hadi naumia ama mara nyengine jicho langu huliskia likini dunga sana ndani hilo jicho langu huwa niskia hivyo lazima nitaona kitu kama vile majibwa ama paka wakija kwangu na waona uzuri maruhani yangu yana nilinda sana naomba usaidizi wenu nifanye mbinu gani ya kuwa dhibu hawo madui zangu wabaya mana ni wachawi na hawo wanga

  • @nusrahmollel7721
    @nusrahmollel7721 Год назад +1

    Masha Allah

  • @tumawaziri3022
    @tumawaziri3022 Год назад +1

    Shehe mungu akupe maisha marefu

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Wateja watak wapate wao tuu sisi tutumiya majini tusipate wateja aziza umeongea ukweli wewe upo wapi aziza

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Год назад +1

    Jazakallahu khair

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Watu wengi kama hawajapitishwa vilinge hawakubali

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Naomba sheh nitafute mimi nimganga kutoka pemba

  • @raiswamaraishalisi8426
    @raiswamaraishalisi8426 Год назад +1

    Ameen ! Kutoka Congo

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Mimi nidoctar nipo pemba ila ndiyo hivyo

  • @abedsaidy7263
    @abedsaidy7263 Год назад

    Shukrani shekhe kwa kutufungua macho namasikio

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 Год назад

    Hunalolite wewe mwenyewe unaushi kwa uganga

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Год назад

    😮Tuambie na ujanja wa tv za waganga

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Wawo wataka kutibiwa wapowe tuu

  • @doctormwalimjuma8040
    @doctormwalimjuma8040 Год назад

    Nawatu pia tunazidi kuwatibia tuu

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад

    Sheikh umejioanga 😂😂😂

  • @OmarAssira-l2d
    @OmarAssira-l2d Год назад +1

    Masha allah mungu akupe wepisi uzidi kutufahamisha

  • @neymarjunior8404
    @neymarjunior8404 Год назад

    Asante sana

  • @neymarjunior8404
    @neymarjunior8404 Год назад

    Asante sana

  • @omarybasho2341
    @omarybasho2341 Год назад

    Hunalolite wemwenyeweganga

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 Год назад +1

    Barak Allah feeq, Jazzaka Allah kheri

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Год назад

    😂😂😂

  • @abedsaidy7263
    @abedsaidy7263 Год назад

    😂😂😂

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 Год назад

    😂😂😂😂

  • @YassiniSamsung-yn5bs
    @YassiniSamsung-yn5bs Год назад

    👍

  • @uwesumandwanga1818
    @uwesumandwanga1818 Год назад

    Shekhe unaposema waganga unawakosea watu kwanza uganaga c halamu ila halamu ni ushilikina na c waganga wote washilikina hapana