sheikh Jaafar aendelea anika siri na namna waganga wanavyo tapeli watu Part 02
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Huu ni muendelezo wa Darsa la wiki ilopita,hapa Sheikh anarudia alichoonesha wiki ilopita na kuongeza kwa tafsiri ya visanga vyote......
Shiki upo ila wagonjwa wapo
Allah awape kheri kubwa sana hapa duniani na kesho mbele ya Allah#tunasubiri muendlezo penye majaaliwa ya Allah #nawapenda waislam wote kwa ajili ya Allah na wale ambao sio waislam nawapenda piah#karibun kwnye uislam dini ya haki❤️
Fifty
Etty
Inshallah ALLAH awazidishie wepesi MASHEIKH zetu mzidi kutupa DAAWW
Mungu akubriki kwa kuwasanua watu..
Mwanamgu alikuwa akiniambia kila mara kuna bibikize alikuwa akimtokea usiku ameva mavazi hayo yena akiwa macho subhanallah 😮😢
May almighty God add more days on you, God bless you .
Wewe umevijuaje hivyo kama si mshilikina acha kuharibu kazi za watu mjuzi ni mwenyezi mungu swali je huyo alotibiwa kwa njia hizo kafanikiwa kama kafanikiwa watu watazidi kutafuta tiba za aina hiyo maana tiba zipo na aina ya stahili hiyo ipo kikubwa ni tiba sahihi
Mimi siwezi kukuzarau kwasababu wewe nishehe
Masha allah mungu akupeni wepesi nawa penda sana
Mashaallha masheikh wetu allha awaekee
Maashallah Maashallah tabaraka rahman jazakallah her
Allah umaamin 🤲😢 shehe osmani
Nimeerewa sana Ilo darasa 🙏
Asante.sasa shehe nifanye nini mtoto huyu ame teseka na ugonjwa wa kifafa.
Hahahaha wewe Shee kotekote uko
Saw shehe ila tiba ipo tuu
mbona utuonyeshi ujanja wa wachawi na wanga. hapa naona kuna kugombania wateja
Kwani uliambia Wachawi na wanga Ujanja Sio ujanja ni mfumo au chama unajisajili bila kusajiliwa na mtu!! hata wewe unaeza kua mchawi hata kesho ukanza safari zako mwanza dar na ungo 😂😂😂 acha uswahili ndugu yangu😅😅 jina lako nimeliheshimu ((farijal family)) ila nilikua nataka kukukandia kispoti Mwana Yanga WEWE SHABIKIA TU YANGA!!! hizi darsa sio Simba na Yanga😅😅😅 skujui ila Ni Signal flani hivi nimekupa We mtu mzima jiongeze!!!
Na mm nimwisilam siwezi kukuzarau ila Ramli ndiyo ninayo pata wateja mm man Ramli yangu digombanishi watu nangaliya kilichopo ndiyo ninacho mjiww bila kunambiya
Cheikh unanichekesha mpaka naliya
Acha kunichekesha
Nataka vilinge hivyo nivijuwe watu wengi wanataka kutibiwa nafusi tuu nafusi ikituliya tuu hupowa maradhi yake
assalamu alaikum sheikh athman Michael na sheikh Jafar naomba usaidizi wenu kwa majina naitwa islam said salim kutoka kenya mombasa niko swali nataka kuwa ambia kuna wabaya wangu wana ni sumbua sana kwa ndoto ama wanitumia wanya kama vile jibwa ama paka na mimi mwenyewe napata ujumbe kutoka ndoto ama mashale yana nisheza kwa mwili wangu sazengine wana niumiza mwili wangu kama vile kwa mkono huskia mishipa huni uma sana mana wanani finya hizo mishipa hadi naumia ama mara nyengine jicho langu huliskia likini dunga sana ndani hilo jicho langu huwa niskia hivyo lazima nitaona kitu kama vile majibwa ama paka wakija kwangu na waona uzuri maruhani yangu yana nilinda sana naomba usaidizi wenu nifanye mbinu gani ya kuwa dhibu hawo madui zangu wabaya mana ni wachawi na hawo wanga
Masha Allah
Shehe mungu akupe maisha marefu
Wateja watak wapate wao tuu sisi tutumiya majini tusipate wateja aziza umeongea ukweli wewe upo wapi aziza
Jazakallahu khair
Watu wengi kama hawajapitishwa vilinge hawakubali
Naomba sheh nitafute mimi nimganga kutoka pemba
Ameen ! Kutoka Congo
Mimi nidoctar nipo pemba ila ndiyo hivyo
Shukrani shekhe kwa kutufungua macho namasikio
Hunalolite wewe mwenyewe unaushi kwa uganga
😮Tuambie na ujanja wa tv za waganga
Wawo wataka kutibiwa wapowe tuu
Nawatu pia tunazidi kuwatibia tuu
Sheikh umejioanga 😂😂😂
Masha allah mungu akupe wepisi uzidi kutufahamisha
Asante sana
Asante sana
Hunalolite wemwenyeweganga
Barak Allah feeq, Jazzaka Allah kheri
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
👍
Shekhe unaposema waganga unawakosea watu kwanza uganaga c halamu ila halamu ni ushilikina na c waganga wote washilikina hapana