Ustadh Shafi Amlipua Shk Mbogo "Sisi Waislam Hatumfuati Nabii Suleiman Hadithi Uliyoitoa Ni Dhaifu"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM RUclips @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 www.facebook.c...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com...
    Changia Kupitia M pesa +255 764 182 518
    Airtel Money +255 687 816 688

Комментарии • 63

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 2 месяца назад

    Shidakubwa mashekh zetu wanataka maisha mazuri sana wakotayari kufanyalolote atakama litamuudhi mungu

  • @migwa100
    @migwa100 2 месяца назад +3

    Sheikh Shafii tupe ilimu tumepotea sana ushirikina umekuwa sifa sikuzi Allah atuepushe na mitihani ya Dunia na akhera

  • @SaidihamisiSewando
    @SaidihamisiSewando 3 месяца назад

    Safi sana shekh shafii wambie hao washirikina wasipoambiwa ukweli watapoteza watu nakuwatapeli

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 3 месяца назад

    😂😂, Sulleeee

  • @mussaabdulmalick2048
    @mussaabdulmalick2048 3 месяца назад +2

    Jaman kwanza ww unajua maana yakufata mtu ? Mbona tunachinja kama kumfata nabii iblahima

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 3 месяца назад

      Swadakta

    • @ZukhelRwegoshora
      @ZukhelRwegoshora 3 месяца назад

      Tunachinja Kama Ibrahim maana katufundisha Muhammad mwenyewe wap Muhammad katufundisha tutumie Majin?

  • @emmanuelmasatu
    @emmanuelmasatu 3 месяца назад +1

    Acheni MUNGU aitwe MUNGU. Biblia inatufudisha kuwa nyakati zamwisho siri nyingi zitafunuliwa. Nabado tutayajua mengi kutokakwenu tena kutoka kwenye midomoyenu wenyewe.

  • @JohnOuya-w7j
    @JohnOuya-w7j 3 месяца назад +2

    Sheikh mbogo na shafi achaneni ukafiri njooni kwa yesu ndie njia iliyo sahihi kufika kwa mungu,

  • @migwa100
    @migwa100 2 месяца назад +1

    Sheikh naomba kama kuna dawa ya kisuna jina la ogonjwa sinuses naomba unijibu in box insh-Allah

  • @KhamisUssi-v7i
    @KhamisUssi-v7i 3 месяца назад +2

    Sule acha tamaa za kidunia jua Kila kaumu na kiongozi wake usipotoshe watu na hao vibaraka wako

  • @FetymaaJuma
    @FetymaaJuma 3 месяца назад +1

    Ustadh Shafi yani Hawa usiwaache maana wanapotosha waislamu wasio jitambua wallah. Sisi twakuombea, pesa zao za ushirikina zisikutishe

  • @Fathertrucker
    @Fathertrucker 3 месяца назад +1

    😂 Sadakta wape wape elimu Shekh Wangu wakomeshe Wao

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 3 месяца назад

    Mbogo Acha ubabaishaj ww,Rud kw Allah ,Utachomwa,Nafs Yko Allah Anaijua upo jee,kwhy Acha kupotosha wt2,Kwh hyo Rukkya c Aya IPO ktk Quran na Ktabu kataremshiwa Muhammad,mpka zmekufkia ww,Sasa Akl huna Wal Elmu huna Rud Darasan,Ukjua Rukkya mana yke ucngesema hvy,,Tumeambiwa Tukmswalia Mtume kw Wng Tunapta thawab ,Sasa Kat ya Afya Za Rukkya na Thawab ,Bora nn hpo

  • @salhamudy2065
    @salhamudy2065 3 месяца назад

    Wamefanya dini biashara kwa makubaliano na majini yao mtume wetu ni Muhammad SAW ndio kiigizo chetu

  • @pascalvirgilio7208
    @pascalvirgilio7208 3 месяца назад

    Kazi ipo wenyewe kwa wenyewe andaeni mdahalo mufundishane vizri maana quran ni iyo iyo lakini mnatfsr tofaut kuhusu majini

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk 3 месяца назад

    Aslam alykum, vipi tutumiye majini na dua ziko? Sule tafathali aca uongo.

  • @FetymaaJuma
    @FetymaaJuma 3 месяца назад +1

    Allahu Akbar
    Usichoke kutufundisha tupo nyuma yako na Allah atakulinda na hasad za Hao mushrik

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 2 месяца назад

    Nafikiri mbogo na suley waoneshe hadith sahihi au aya inayo thibitisha upamoja na majini

  • @zeharaz4116
    @zeharaz4116 3 месяца назад

    😅 Nakupa heko sheikh Shafi kwa ufananuzi wa Hali Ya juu wala musicho kutoa Elimu

  • @shabirimohamedi5380
    @shabirimohamedi5380 3 месяца назад

    Asalamu Alaikum mashekhe ivi wewe shafi , doctor sule ,mazinge, na wengine wote haswa wa waadhiri wote watanzania na wanje yanchi mnajua kwamba waislam woote wanaawamini juu ya uislamu na waislamu mmepatwa na nanini? Mnagongana gongana mmelogwa? Fanyeni kazi ya dawa watu wasilimu achaneni na dunia dunia silolote sichochote ndugu zangu.

  • @جزيرةعبدالله
    @جزيرةعبدالله 3 месяца назад +2

    Shukuran shekh wag kutukumbusha allah akup umur murefu weny khr nambaraka

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB 3 месяца назад

    Uki acana na dini ya majini .Muhammad hakutunwa na mungu😂😂😂😂😂

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB 3 месяца назад

    Muhammad si mtume wamungu musipotee hakuna mutakayo saidiwa na mungu

  • @HusseinKorio
    @HusseinKorio 2 месяца назад

    Asc ndugu zangu huyu sheikh Ako sawa hatufati mtume Suleiman lakini tuna amini kama mtume wa mweyezi mungu

  • @FadhiliMagana
    @FadhiliMagana 2 месяца назад

    Wallah masheikh wachawi mtaenda chomwa nyinyi mnasema et mapete cjui majini huo n uchawi acheni bwana

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB 3 месяца назад

    Hhhhhhhhhhhhhhhhhh we muongo sana shafi

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 3 месяца назад

    Suleyman akuweka mikataba ya kukufuru kama wao wanavyoweka makubaliano ya kishirikina na majini. Yeye alikuwa anawana na alikuwa akiwaamrisha sio kuwaomba usaidizi gizani usiku wa manane.

  • @AbdulatifoSufo-tb2rn
    @AbdulatifoSufo-tb2rn 3 месяца назад

    Uko poa nimefaidika sans.
    Mi nipo msubijj

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri 3 месяца назад

    Shekhee hhhh hajui Dua ya kuingia chooni wah!! Msiba huo

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 3 месяца назад

    Huyju jamaa alievaa zambalau ,Bado sana

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 3 месяца назад

    sheikh shafi huyu pia unampa ushekhe ?anaupata wapi au hiyo kujua aya mbilitatu au kanzu ya zambarau kama padri puuza kabisa huyu mtu hana elimu

  • @mirzah117
    @mirzah117 3 месяца назад +4

    Mwaipopo alisema mengi ya kweli kuhusu huyo Sule mkamsakama sana ..kisa anatokea kwenye ukristo haya sasa achane unafiqun

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад +1

    SHAFI NAE KAAMUA KUWABOMOA JUMLA JUMLA

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 3 месяца назад

    Kijana wa sule huyu , daaa

  • @YassnKalyango
    @YassnKalyango 3 месяца назад +1

    Haojamaa hawanaelim yakitabu
    Shekh shafiy wapedawa kaka
    Watakuelewa badae

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd 3 месяца назад

    Sule mpuuzi kwel kwel

  • @SaidiBakari-kl1gu
    @SaidiBakari-kl1gu 3 месяца назад

    WEWE SHEIKH NJAA INAKUSUMBUA. FANYA BIASHARA USITEGEMEE MASHETANI(MAJINI) KUKUPA MAISHA...MBONA KUNA MASHEIKH WANAFANYA BIASHARA HALALI....

  • @salhamudy2065
    @salhamudy2065 3 месяца назад

    Sheikh tupo na wewe pamoja madhali upo kwenye haki Allah akulipe khairy fy dunia wali Akhera

  • @SeifHassan-wl7ur
    @SeifHassan-wl7ur 3 месяца назад

    Sheikh wangu Shafii Allah akuhifadhi upo sahihi huyo mbogo mbogo kweli hamna kitu kichwani mwake kama hajakuelewa haelewi tena huyo.

  • @KhamisUssi-v7i
    @KhamisUssi-v7i 3 месяца назад +3

    Ustaz uko vizur sana Allah akulinde Sanaa , na hao washirikina wape elimu hadi mwisho wa uhai wako ishaalah

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi 3 месяца назад

    Shekh shafi unaifanya kazi ya maana sana kwa sababu hao wapotoshaji wangewapoteza sana waislamu. Swali la kwanza hiyo qur'an kashushiwa suleyman au kashushiwa Mtume saw. Kama unataka kumfuata Suleyman tafuta vitabu vyeke uvifuate.

  • @aliykhamisi1431
    @aliykhamisi1431 3 месяца назад

    Wafanye mdahalo wa kutumia maji tuone, sio mdahalo wa wakiristo tu, masheikh wawaite ktk mdahalo watetee mabodigurd wao wa kijini

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau8697 3 месяца назад

    ukosawa sheik shafi mpe elimu mungu amuongoze amuondole kibir ashaalla

  • @JustinKabila-ro5jt
    @JustinKabila-ro5jt 3 месяца назад

    Mungu akulipe heri sheikh wale ma sheikh wengine wana tuvuruga tu congo tuna kupenda saana

  • @swaleheswaleheamri5911
    @swaleheswaleheamri5911 3 месяца назад +2

    Shafii Allah atakulipa. Acha dunia iwameze hao washirikina.

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri
    @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri 3 месяца назад

    Sheikh hapo ni sawa unfanya hikma na haqqi.

  • @HusseniMadebe
    @HusseniMadebe 3 месяца назад

    Mashaaallah, wallah tuko pmja naww shekhe shaafii, Allah akuhifazi huyu Ghana shekhe sule Ana kiburi,

  • @gasorekassim5499
    @gasorekassim5499 3 месяца назад

    mashaallh sh shafii, tunamsubiri na mazinge nayy aseme

  • @aliykhamisi1431
    @aliykhamisi1431 3 месяца назад

    Asante sheikh Shafi, umesahau Dua anayotaka kuwazuia watu kama yeye alivyoisoma akapewa maji na jini hahahah watu Wana njaa balaa

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 3 месяца назад

    Shafi toa elim

  • @allyway999
    @allyway999 3 месяца назад

    Shekhe shafi Akili zako ziko 💯 kabisa yule best ake ndacha mwache ajinadi kwa sadaka zetu

  • @SeifHassan-wl7ur
    @SeifHassan-wl7ur 3 месяца назад

    Sheikh shafii wewe ni unajua mashallah Allah akupe umri mrefu inshallah 🙏

  • @abiomar1652
    @abiomar1652 3 месяца назад

    Subhaanallah sheich kweli maneno Allah SW Akuhifadhi

  • @munirayassin6103
    @munirayassin6103 3 месяца назад

    ❤ Allah akuifadh

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 3 месяца назад

    Nakukubali sana shfi ❤

  • @baloziwaziri338
    @baloziwaziri338 3 месяца назад +1

    Upo sawa Ustadh wetu
    Allahumma akuhifadhi Ustadh wetu

  • @BabaFuraha
    @BabaFuraha 3 месяца назад

    Sule.nimchawi namshukuru Mwenyezi Mungu kumuumbuwa sule nawachawi wenzake