USTADHI SHAFII NA MCH. NDACHA WAKUTANA, WAAHIDI KUTOA UTETEZI WA MAADA MPAKA MMOJA AHAME DINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • LEO KUELEKEA MDAHALO MKUBWA WA KIIMANI KATI YA WAALIMU WA KIKRISTO NA WAHADHIRI WA DINI YA KIISLAMU, MCH. NDACHA NA USTADHI SHAFII WAMEKUTANA

Комментарии • 126

  • @mamawamuya
    @mamawamuya 28 дней назад +9

    Ma sha Allah,sheikh shafi

  • @samxx411
    @samxx411 28 дней назад +10

    Ila Ndacha nampenda yupo friendly sana, inshallah Allah amuoneshe haki.

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 27 дней назад +10

    Dah shafii ostdh Wang utatoboa kwel kwa hili jamaa lilivyo bishi kweny majibu...nakuombea kwa mung ostdh wang

    • @hamisimwagarashi9501
      @hamisimwagarashi9501 27 дней назад +1

      Ninaimani na uislamu kwamba ni DINI ya haki.
      Na ninaimani na mwalimu shafi.
      Na kadhalika nafahamu shetani anaweza mpa mtu ujasiri nakuweza kujiamini hata kufikia mtu kujisahau kama ndacha.

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 27 дней назад

      ​@@hamisimwagarashi9501Tuanzie hapo kwanza shetani na majini ni Dini ganii??

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 27 дней назад

      ​@@hamisimwagarashi9501ni nabii gani aliwasilimishaa majini na shetani????

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 27 дней назад

      ​@@hamisimwagarashi9501Muhammad alipewa utume na nanii?? MUNGU alieumba mbingu na nchi akakupe ufaham ili uijue kweli na kwelii ikuweke HURU.

    • @hamisimwagarashi9501
      @hamisimwagarashi9501 27 дней назад

      @@0badiaMwasongwe-rt1wr
      Assante sana ndugu yangu kwa swali hili kwani huenda KWELI wataka kujua.
      MIMI NI MUISLAMU.
      JINI SIFAHAMU DINI YAKE.
      SHETANI SI FAHAMU DINI YAKE.
      HEBU NI SAIDIE NDUGU YANGU KWANI JINI NA SHETANI DINI YAO IPI?
      PIA NAOMBA UNIJUZE WEWE DINI YAKO IPI?

  • @idrissmutinda6243
    @idrissmutinda6243 28 дней назад +9

    Shafii kweli napenda madundisho yako kwanza namna unavyocheka na kutoa point.👍.

    • @abasmwika3432
      @abasmwika3432 27 дней назад

      @@idrissmutinda6243 ila sasa asilete makuzi kwenye hiyo mijadala. Kuhusu maandiko sina Shaka nae yuko vizuri na uzuri Qur'an anaijua. Apunguze utani utani kwenye hiyo mijadala inataka usiriasi mwingi.

  • @Jabir-y7m
    @Jabir-y7m 26 дней назад +1

    Ass w w, naaam Innshaallah, Allah Awajalieni kheri na baraka zake . Maanshaallah Sheikh Wng Allah Akujalie Kila lakheri na baraka 👏

  • @abdallahhanafi6963
    @abdallahhanafi6963 28 дней назад +6

    Ewe allah tunakuomba udhihirishe haqi na batili uidhihirishe na washindwe walio ktk upotovu

  • @Sultan-o7m9s
    @Sultan-o7m9s 27 дней назад +2

    In sha Allah Ipo Siku Ndacha atakuwa Muislam Sababu Ni Miongoni mwa watu Muhimu snaa Ktk Ulimwengu wa leo hasa akiwa ktk Dini Ya Kiislam In Sha Allah

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 28 дней назад +5

    Naimani sheikh shafi atamufundisha uyu mzee ndacha inshallah ❤

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 28 дней назад +5

    Mwenyezimngu Akuongozee ndacha walekezwaaa huleekeeezeki badoo hujapataa hedayaaa ya mwenyezimngu.

  • @shyneafya2468
    @shyneafya2468 27 дней назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Mchungaji Ndacha

  • @mosesthuranira6553
    @mosesthuranira6553 27 дней назад

    mashalllah tuna subiri sana mr ndancha na mr Shafi kutachimbika tumesubiri sana kwa hamu na ghamu

  • @funakoshtadash6163
    @funakoshtadash6163 28 дней назад

    Bwana awabariki sana na atajitwalia utukufu katika hili

  • @aziziabdulrahman3914
    @aziziabdulrahman3914 28 дней назад +1

    Mwalim shafii me natokea tunduma na lor nimetoka Zambia ila naomba mungu anikirm nifike mapema wallah naomba niwepo hii couple nilitaka sana ndacha kapata recture asiye na papara kwenye maandiko wallah mwalim Allah akuongoze

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 28 дней назад +2

    Hatimaye Shafii ameingia kwenye 18 za Ndacha.

  • @elifasinimpagaritse7902
    @elifasinimpagaritse7902 27 дней назад +2

    Yaani kuoa tumejifunza kwa mudi 😂😂😂 kwani alie Umba mke na msaidizi wake alikuwa mudi 😂😂😂

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 28 дней назад

    INSHA ALLAH tufike salama ❤

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 28 дней назад +8

    Kwakweli Yesu kulinganisha na Muhammad nikufuru tena kufuru kubwa Mungu kumliganisha na mtu tena MTU mpagani kama Muhammad 😢😢 , Muhammad hana uwezo hata chembe ya kuwafikia watu kama kina Martin Luther, John karvin, William miller na wanamatengenezo wengine , Muhammad anatakiwa kufananishwa na kina mwamposa, na kinagwajima

    • @halidimgonza5945
      @halidimgonza5945 28 дней назад +5

      ni UKAFIRI unakusumbua ngoja utapokufa ndo utamjua Muhammad ni nani kwako

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 28 дней назад +2

      @@halidimgonza5945 Muhammad yupo kaburini anasubiri hukumu yakuupotosha waarabu wenzie na hao waarabu wakawaambukiza nyie watanganyika ujinga

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 28 дней назад +3

      ​@@francisjoseph1074 Musa Ibahim na wengineo wapo nyumbani kwako?

    • @samxx411
      @samxx411 28 дней назад +3

      Wewe akili huna ...yesu Mungu??? unamaanisha kuna watu walimuona Mungu yaani yesu??? wakati hata malaika hamjamuona, hivi mbona mnakufuru sana nyie...hivi Mungu ana mama???😅😅😅😅😅

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 28 дней назад

      Eti Muhammad ninani! Kwani sinimarehemu tu Kama marehemu wengine,,​@@halidimgonza5945

  • @AlsonBayah
    @AlsonBayah 27 дней назад

    eagerly waiting for the debate

  • @user-qo2xd3hb8l
    @user-qo2xd3hb8l 27 дней назад

    Bwana yesu aliondoka duniani akawacha wanafunzi sasa mtamjuwaje MUHAMMAD

  • @henrymutabari
    @henrymutabari 28 дней назад +1

    Nimependa venye nyote mnavyo jieleza congratulations 👏 shaffi na ndacha

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 28 дней назад +1

    haya sasa tuone na shafii nae je ataweza moto wa ndacha

  • @henrymutabari
    @henrymutabari 28 дней назад +1

    Tuna msubiri siku ya ijumaa,ndacha ninakukubalia unaenda kuchangamsha uwanja, wacha nione kama nitafika bongo kwa sababu nko 🇰🇪 🇰🇪

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 28 дней назад +2

    Ndacha kitakuramba! 😂

  • @SeifSeif-gw3zc
    @SeifSeif-gw3zc 27 дней назад +1

    Ila shekh shafii nomaaa jamaa anajua kuongea😂😂😂ananifurahisha

  • @hazalioinvester3362
    @hazalioinvester3362 26 дней назад

    Aal-e-Imran 3:7
    هُوَ ٱلَّذِىٓ أَنزَلَ عَلَيْكَ ٱلْكِتَٰبَ مِنْهُ ءَايَٰتٌ مُّحْكَمَٰتٌ هُنَّ أُمُّ ٱلْكِتَٰبِ وَأُخَرُ مُتَشَٰبِهَٰتٌۖ فَأَمَّا ٱلَّذِينَ فِى قُلُوبِهِمْ زَيْغٌ فَيَتَّبِعُونَ مَا تَشَٰبَهَ مِنْهُ ٱبْتِغَآءَ ٱلْفِتْنَةِ وَٱبْتِغَآءَ تَأْوِيلِهِۦۗ وَمَا يَعْلَمُ تَأْوِيلَهُۥٓ إِلَّا ٱللَّهُۗ وَٱلرَّٰسِخُونَ فِى ٱلْعِلْمِ يَقُولُونَ ءَامَنَّا بِهِۦ كُلٌّ مِّنْ عِندِ رَبِّنَاۗ وَمَا يَذَّكَّرُ إِلَّآ أُو۟لُوا۟ ٱلْأَلْبَٰبِ
    English - Sahih International
    It is He who has sent down to you, [O Muḥammad], the Book; in it are verses [that are] precise - they are the foundation of the Book - and others unspecific.[1] As for those in whose hearts is deviation [from truth], they will follow that of it which is unspecific, seeking discord and seeking an interpretation [suitable to them]. And no one knows its [true] interpretation except Allāh. But those firm in knowledge say, "We believe in it. All [of it] is from our Lord." And no one will be reminded except those of understandings.

  • @njokynjuguna
    @njokynjuguna 28 дней назад +1

    Yesu ni neno la Mungu 😂. But sio yesu unafikilia wa wazungu

  • @mush337
    @mush337 28 дней назад

    Watu waache kujiita wakristo,wajiite tu na dini zao maana Imani zetu ni tofauti

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 28 дней назад +2

    ustadh shafii mfundishe huyo ndacha aijue haki

    • @martinmkoba361
      @martinmkoba361 27 дней назад

      Kama wameshindwa kina sule na mazinge shaafii yeye ni nani mbele ya ndacha

  • @haymanobonyo8829
    @haymanobonyo8829 28 дней назад +1

    KESHO KUTWA SIO MBALI ...MBATISHE HUYU USTADHI

    • @moshantoj
      @moshantoj 28 дней назад

      Ni vile tu hataki kuwa ndugu ya majini na sijui ni kwanini

  • @SylvesterAngego
    @SylvesterAngego 22 дня назад

    Nikama kusema mchawi Wacha uchawi Ndacha ni kazi ngumu lakini Mungu akupe nguvu

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 28 дней назад +1

    Habari kwa Mungu na kwa Yesu. Sasa luna mjadala tena apo?

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j 26 дней назад

    Ndacha nakukubari bahati mbaya umelala na linguruwe linalo sema wamasai si watanzania ni Moja ya kuliaibisha taifa kwanza lichunguzwe na mdahalo huu hautanoga kwa kusimama na linguruwe bora angekuwa shekhe mwingine wapo mashekhe wazuri siyo hilo likafili

  • @ibrahimadab9151
    @ibrahimadab9151 27 дней назад

    Huyu NDACHA ATAWASILIMU INSHAA ALLAH

  • @kautharBihaki-wv7kd
    @kautharBihaki-wv7kd 27 дней назад

    Ndacha ata mimi namuweza sjaona hoja yke yoyote ya kuutikisa uislam

  • @mtwaharutwahily4034
    @mtwaharutwahily4034 27 дней назад +1

    Hata mkiujua ukwel hamuwez kuufata ,, uache sadaka.kirahis rah's

  • @SeifSeif-gw3zc
    @SeifSeif-gw3zc 27 дней назад +2

    Huyu ndacha ukweli anaujua vyema🤣🤣

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 27 дней назад +1

    Hivi kupitia kwa mafunzo haya sina shaka kabisa kuhusu ibilisi amejificha wapi ...makao yake makuu imo ndani ya dini fulani

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 27 дней назад

      Wala sio kufichaa Muhammad alipotoka kwenye mapango alisema ametokewa na shetani na vitabu vyao Muhammad aliwasilimishaa majini na shetani wakawa waislamu so hapo unajua kabisaa dini ya shetani ni ipiiiii

  • @basilejuma
    @basilejuma 27 дней назад +1

    Ndacha alianza na mazinge,akagaragaraza dr sulle na wenzake,sasa shaffi ni nani kwa ndacha, wabatizwe wote

    • @AbasHabimana
      @AbasHabimana 27 дней назад

      Ndacha hana lolote nilicho gundua Kwa Ndacha anatafuta umaarufu kupitia waaziri mbalimbali wakiislam akiwemo professa mazinge Docter sule na wengineo alafu huyo Ndacha tafsiri ya kor'ani ajui anapotosha aya za kor'ani kwa maslai yake

    • @AbasHabimana
      @AbasHabimana 27 дней назад

      Haluna mkristo yoyote yule ulimwenguni anaweza kumshinda mwislam kwa hoja kwa sababu mwislam anayo imani sahihi imani ya kikristo imepangua tu na wazungu kwa maslai yao wenyewe

    • @basilejuma
      @basilejuma 27 дней назад

      @@AbasHabimana Imani ya waislam imeletwa na wa arabu

    • @SukariSukari-sq9tf
      @SukariSukari-sq9tf 26 дней назад

      Siku Zote ulimwnguni people convert to Islam...not to christian . Go just randomly to any debate on RUclips you will agree with me.

  • @MusinHamad
    @MusinHamad 27 дней назад +1

    Ww shafii unavijineneo vitami ww

  • @Abdallah-p6i
    @Abdallah-p6i 23 дня назад

    Hapo ndacha kagusa pabaya uyo mtu hafai hata kwa kulumagia anaitwa ostadh shafii.

  • @SwahibuAthuman-yv2mn
    @SwahibuAthuman-yv2mn 28 дней назад

    Shafi yuko vizuri

  • @hazalioinvester3362
    @hazalioinvester3362 26 дней назад

    The belief that Prophet Muhammad is a prophet from God is central to Islam and is strongly supported in the Qur'an and even the bible as Muhammadan
    Qur'an;
    The Qur'an explicitly states that Muhammad is a prophet sent by God:
    - Surah Al-Ahzab 33:40 - "Muhammad is not the father of any of your men, but he is the Messenger of Allah and the Seal of the Prophets. And Allah has full knowledge of all things."
    -Surah Al-A'raf 7:157 - This verse refers to a prophet "whom they find written in what they have of the Torah and the Gospel," interpret as a reference to Muhammad in earlier scriptures.
    Bible Interpretations;
    While some certain passages may directly refer to him:
    - Deuteronomy 18:18 - "I will raise up for them a prophet like you from among their brothers; I will put my words in his mouth, and he will tell them everything I command him."a prophet like you" (referring to Moses) as Muhammad pbuh
    - John 14:16 - And I will ask the Father, and he will give you another advocate to help you and be with you forever." "the advocate" (often translated as the Holy Spirit in Christian theology) refers to Prophet Muhammad

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 27 дней назад +1

    Sasa Shafii mbona unamaliza maandiko yenyewe

  • @abdallahhanafi6963
    @abdallahhanafi6963 28 дней назад +1

    Hiyo mada ya mwisho ni tam saana

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 28 дней назад

    Ndacha mimi ni mcongo mani ,nakwambia ahuna myaka tano lazima utasilim tu,kula ela za Sabato kwanza ,vigogo kuliko weye walisilim subiri tu.

  • @smsharji50
    @smsharji50 28 дней назад +1

    I Luis pia yuko hai mpaka kiyama inamaana ni mtt wa mungu? Huyo ndacha vp?

  • @RajabJr-r6y
    @RajabJr-r6y 28 дней назад +1

    Ndacha kabeba pempas kwnye bag lake

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 27 дней назад

    Muhammad ni mtume wa Mungu je ndo aliwafundisha kuabudu jiwe jeusi pale makka na kufanya Saudi Arabia iwe tajiri kuchukua kina Ronaldo

  • @Dominant97
    @Dominant97 27 дней назад

    Mi niseme tu wote mbarikiwe na mtoa baraka mkuu mmenia vyema wote kwa pa1

  • @basilejuma
    @basilejuma 27 дней назад

    Kama msemaji mkuu dr sulle alishindwa sasa huyu hajui lolote atafanya nini kwa ndacha,jiulize ni nani anaezana na ndacha kwa mada

    • @SukariSukari-sq9tf
      @SukariSukari-sq9tf 26 дней назад

      Ndacha Hana chochote Kila debate wakristo wanasilimu wakiona haki .

  • @user-ps9ml3lb6b
    @user-ps9ml3lb6b 28 дней назад +1

    Mugaatakujaliyashfi

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 27 дней назад

    Ndacha twataka hiyo ya majini

  • @martinmkoba361
    @martinmkoba361 27 дней назад

    Mbona shafii anamawazo sana au ndio haamini kama kaingia kwenye 18 za ndacha😅😅

  • @bobnthia
    @bobnthia 28 дней назад +1

    Amani ya bwana iwe nanyi

  • @UserGooduser-k5u
    @UserGooduser-k5u 28 дней назад +1

    Ndacha ujanjaujanja mwingi huyo ache

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis 27 дней назад

    Ndacha Paulo amekuja?

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 27 дней назад

    Jembe letu ndacha ,lima hayo magugu

  • @FadhiliMagana
    @FadhiliMagana 25 дней назад

    Uyu kafiri kamfunze ukweli awache ubishi ju ya sadaka za wakristo wanyonge, wapo mapastor walisilimu

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis 27 дней назад

    Ndacha usiniyangushu

  • @WazainaKigomaboy
    @WazainaKigomaboy 26 дней назад

    Ndacha umewatimba😂😂

  • @SeifSeif-gw3zc
    @SeifSeif-gw3zc 27 дней назад

    😂😂😂ndacha kaoaa bana kamfata muhammad.

    • @petermabada5628
      @petermabada5628 27 дней назад

      Kwani aliyeumba mtu na msaidizi wake mke ni Mudi?😂😂😂

  • @harrisoncharo-qz3vz
    @harrisoncharo-qz3vz 27 дней назад

    Waslam nimusiba eti muhamad alioa kwani ndie wakwanza kuoa nimusiba

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 27 дней назад

    😂😂😂

  • @andrewnjuguna688
    @andrewnjuguna688 27 дней назад +1

    Kama muhamad ni mtume wa Allah,,je kuna mahali allah alijisema yakwamba muhamad ni mtume wangu?

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 27 дней назад

      Muhammad anajisemea mwenyewe

    • @andrewnjuguna688
      @andrewnjuguna688 27 дней назад

      @@0badiaMwasongwe-rt1wr kama nikujisemea,so ata kesho kwa mfano kama ni ww ukijiita mtume wa allah,watu watkwamini tu?..