MCH. NDACHA ABANWA NA HOJA ZA USTADH SHAFII KUHUSU MUNGU ALIYENDIKWA KWENYE QURAN NA YULE WA BIBLE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 170

  • @DepenseWisdom91-yc5ne
    @DepenseWisdom91-yc5ne 27 дней назад +5

    jina la yesu litukunzwe milele na milele amen 🙏 🙌

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 27 дней назад

      وَيَقُولُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْتَ مُرْسَلًا ۚ قُلْ كَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِندَهُ عِلْمُ الْكِتَابِ
      Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
      Ndacha "SOMA LUGHA NDIO UKOSOE QURAN"
      Kwasasa BADO SANAAAAAAA
      Aya haisemi WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD HUMO
      Bali aliye tafsiri ametoa sababu ya kwanini waulizwe wenye elimu ya kitabu ndio kwenye tafsir mfasiri akasema hao wenye elimu ya kitabu LAZIMA WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD KWENYE HIVYO VITABU.
      Lakini asili ya aya katika kiarabu chake HAISEMI
      kuwa wameona habari za MUHAMMAD HUMO
      "neno ambalo unapata nalo shida wewe"
      Muhimu ili uwe mkosoaji wa Quran soma/jifunze kiarabu kwanza maana hapa usinge pata tabu.

  • @AlsonBayah
    @AlsonBayah 27 дней назад +4

    Ndacha uko sawa,Mungu akuzidishie maisha

    • @sama-_8368
      @sama-_8368 27 дней назад

      وَيَقُولُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْتَ مُرْسَلًا ۚ قُلْ كَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِندَهُ عِلْمُ الْكِتَابِ
      Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
      Ndacha "SOMA LUGHA NDIO UKOSOE QURAN"
      Kwasasa BADO SANAAAAAAA
      Aya haisemi WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD HUMO
      Bali aliye tafsiri ametoa sababu ya kwanini waulizwe wenye elimu ya kitabu ndio kwenye tafsir mfasiri akasema hao wenye elimu ya kitabu LAZIMA WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD KWENYE HIVYO VITABU.
      Lakini asili ya aya katika kiarabu chake HAISEMI
      kuwa wameona habari za MUHAMMAD HUMO
      "neno ambalo unapata nalo shida wewe"
      Muhimu ili uwe mkosoaji wa Quran soma/jifunze kiarabu kwanza maana hapa usinge pata tabu.

  • @SaidIsmail-f1j
    @SaidIsmail-f1j 27 дней назад +10

    Wallah ndacha usipo silim utajuta siku ya mwisho unaupingwa ukweli kwa makusud ya moyo wako sio kwa hoja

  • @user-cf3fe3cu8v
    @user-cf3fe3cu8v 26 дней назад +1

    Wewe unaye mhoji ndacha inaonekana n mwislam na huelewi hata unacho ambiwa lakin musikilze ndacha n mwelewa na amekujbu kwa ufasaha. Ndacha Mungu akubariki

  • @edinahbonareri2251
    @edinahbonareri2251 27 дней назад +2

    WAISLAMU TUNAWAPENDA ILA MMEPOTEA KWA KUFUATA NABII WA MCHONGO NA KITABU CHA WAANDISHI AKINA WARAQA.

    • @salimchimwaga8384
      @salimchimwaga8384 27 дней назад

      Acha chuki toa maandiko kuthibitisha madai yako.

  • @paulmutuajustus5277
    @paulmutuajustus5277 26 дней назад

    Ndacha barikiwa Sana .
    Hatuwezi ongea na maiti.

  • @BOAZIMPITANYE
    @BOAZIMPITANYE 27 дней назад +3

    Watu wengi ni ushabiki wa kidini ila Ndacha yupo sahihi na kama mnakataa leteni hoja,na kiswahili anafahamu vizuri

  • @salimbahatisha3003
    @salimbahatisha3003 27 дней назад +5

    😂😂😂ndacha kichaa kweliii....yani lugha haijui kabisaa..na kichwa cha habari kweli kimeendana😅😅

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 27 дней назад +3

    Leo ndio nimeona kuwa Ndacha anazungumza kwa matamanio yake sio kwamba haelewi shida ipo kwa wasiosoma wanatumia akili zao.

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 27 дней назад +2

    Mungu hana msamaha na maiti maana mungu si wa wafu hizo ni adithi tu maana na ndo maana yesu anatwambia tuishi kikamilivu kuwa watiifu kwa mungu kila siku kwa kutii amri za sheria

  • @omaryjumas6327
    @omaryjumas6327 27 дней назад +2

    Ndacha unapotosha, katika uislamu Mungu ameweka fursa hiyo ya kutoa sadaka ili thawabu unazozipata kwa kutoa sadaka hiyo zimfikie marehemu.
    Mungu wetu ni mwingi wa huruma husamehe muda wote.

    • @ChandeDaudi
      @ChandeDaudi 27 дней назад +1

      Tatizo la ndacha hajui kiswahili

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 27 дней назад

      @@ChandeDaudi Tena ni kilaza katika lugha ya kiswahili ila sijawahi kuona mtu mkaidi kama Ndacha.
      Kiswahili hajui ila hajui kama hajui badala yake analazimisha anavyotaka yeye ili afanye upotoshaji.

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 27 дней назад +1

      Sasa siuweke hilo andiko kutoka katika quran ili ndacha na sisi tulione, mbona maneno tu bila andiko linalosema hivyo

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 27 дней назад

      @@mobutu3884
      Katika sahihi ya Bukhari kuwa, “Sa’ad bin ‘Ubada alifiliwa na mama yake wakati hayupo, akasema, ‘Ee, Mtume wa Allah, mama yangu amefariki nami sipo, je, itamfaa lau nikimtolea sadaka? Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) akajibu, “Ndio (atanufaika kwa sadaka hiyo)” kisha Sa’ad akasema kama ni hivyo, ‘Basi nakushuhudia kuwa ukuta wenye mitende mingi ni sadaka yake.’

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 27 дней назад

      @@mobutu3884 Imeandikwa katika sahihi ya Bukhari kuwa, “Sa’ad bin ‘Ubada alifiliwa na mama yake wakati hayupo, akasema, ‘Ee, Mtume wa Allah, mama yangu amefariki nami sipo, je, itamfaa lau nikimtolea sadaka? Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) akajibu, “Ndio (atanufaika kwa sadaka hiyo)” kisha Sa’ad akasema kama ni hivyo, ‘Basi nakushuhudia kuwa ukuta wenye mitende mingi ni sadaka yake.’

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 27 дней назад +3

    Ndachaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NTUNZWENAYOABDOUL
    @NTUNZWENAYOABDOUL 26 дней назад

    Ndacha uwelewa mdogo sana naona kiswahili kidogo

  • @ChandeDaudi
    @ChandeDaudi 27 дней назад +1

    Simulizi uko vizuri na unajua kiswahili hongera

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 27 дней назад

      Hakuna Kiswahili yuajuwa hapa kaa kivyo ndivyo anafafanuwa .

  • @IddiKhamis-cp2ge
    @IddiKhamis-cp2ge 23 дня назад

    Allah anaposema toleeni sadaka maiti zetu ,mungu hachukuii pesa

  • @AmourAmour-ux3nm
    @AmourAmour-ux3nm 27 дней назад +1

    Mimi km ataisom meseji yangu nasaha zangu kasoro ninayoiyon kwa Mr ndacha ni ufahamu wa uislamu na Quruani atafut waalimu aulize na kuusom uislamu kwa nia y kutaka kujua.... nimeona mapunguf makubwa

  • @basilejuma
    @basilejuma 26 дней назад

    Uislam kwisha,wanaonga Mungu ndo amsamehe maiti dhambi..dah maajabu

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy 27 дней назад +4

    Sometimes watu wanapoteza muda kubishana na majinuni huyu wanajichosha tu. Sasa mungu hata kanisani si wanasema mtolee sadaka mungu ina maana mungu anapokea hela yeye si anapokea tendo jema lililofanywa. Jinga sana hili hata wanavyobishana naye nashangaa manake hoja zake za kijinga sana.

  • @dicksonkimanthi5242
    @dicksonkimanthi5242 27 дней назад

    Simulizi asanteni sanasana na mungu awabaliki hii channel inenepe.naomba mjiunge na biblia nuru ya dunia tuchape kazi hii ya mungu

  • @hassanrangambo8007
    @hassanrangambo8007 27 дней назад +2

    Ndacha nakupenda unajitahidi ila soma lugha ya kiarabu nahw swarfa balagha utajua maneno yanapo hama kwa hiyo tafsir ya awali utachoka sana

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 27 дней назад +1

    Simulizi Mimi nadhani Ndacha hajajifunza lugha Mana kwa mtu aliejifunza fasihi mbona Haina shida simulizi wewe unalijuwa hilo kuwa anachokifanya Ndacha ni kuwababaisha tu. Simulizi chukuwa Qur'an uisome halafu ishi kwenye maeneo yenye waislamu wengi uangalie maisha yao.

  • @mbetenijumanne9576
    @mbetenijumanne9576 27 дней назад +4

    😂😂 Simulizi mbona unambana sana Ndacha 😂😂 unatisha

    • @Ahmed-g2b
      @Ahmed-g2b 27 дней назад

      mwache amfunze kwasababu kiswahili kinamsubuwa plus ujinga na chuki kumzidi

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 27 дней назад +2

    Ndacha washindwa kujibu hoja za mwenzako je, utaweza kujibu maswali ya waislamu ???

  • @yusufmunisi4796
    @yusufmunisi4796 27 дней назад +2

    Haina tofaut tatizo kwako ndacha ni kiswahili

  • @davidedward6053
    @davidedward6053 24 дня назад +1

    Mwamba ndacha yeye anacheza na maandiko tu,huyu jamaa ni mwalimu kweli

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 26 дней назад

    Ndacha muogope mungu,mtume akuwa na masanamu ,ila kwenye nyumba ya mungu ndo washirikina waliweka masanamu mtume akaja akatowa.

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 27 дней назад +1

    Waislamu wanatumia akili ndio mana huwezi kuwasikia wakimtuna Yahweh, Yehova wala yule ambae Yesu kamwita Baba sababu wao si wakujifurahisha na wanajuwa kwa sifa zilizotajwa ndani ya biblia zinamstahiki mungu wa kweli lakini wakristo mhh hawajali kumtukana Allah ilimradi tu wapinge

  • @TheAlman
    @TheAlman 27 дней назад +2

    🎉Huyu nae sasa hapo nini hujaelewa hikobnikiswahlili simpo tu tatizo la ndacha ni hajui kiswahili
    Sasa sijui munampa airtime ya nn huyu mpuuzi
    Haya hapa kosa lipo wapi soma hapa
    Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 27 дней назад +1

      @@TheAlman usijali sisi wakikuyu sio mdomo yetu mueleweni tu🤣🤣

  • @NxhfiNtjfif
    @NxhfiNtjfif 27 дней назад

    Allah akuongoze , uislam ni dini ya haki.

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 27 дней назад +1

    Waeza kunusuru bila kusaidia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 27 дней назад

    ✌️👊🙏.

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 27 дней назад +1

    Kutoka sadaka Hakuna maana ya Mungu anapokea rushes kumpa maiti, Nani nakubali hayo Ni mameno ya mtu,

  • @mbetenijumanne9576
    @mbetenijumanne9576 27 дней назад +1

    Kiswahili ndacha kinampiga chenga sanaa

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 27 дней назад

      Sisi wakikuyu sio mdomo yetu muelewe😂😂😂

  • @inamxmdsheekh1978
    @inamxmdsheekh1978 27 дней назад +1

    Haha huyu haelewi kiswahili. hakupata elimu ya msingi!

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 27 дней назад

    Ndacha umuongo, Kitu Cha kwanza Mtume MUHAMMAD s.a.w kupewa utume ni kupiga vita ushirikina, na njia ya kwanza ni kuyavunja Masanamu yaliyoko ktk Alkaba. Alkaba ilikengwa Kwa ajili ya kufanya ibada ya Allah lakini washirikina wakavamia na kuweka Masanamu na ndio MUHAMMAD akaanza kuyavunja.

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 27 дней назад +1

    Kunusuru na kusaidia nitofauti mr ndacha

    • @filexbenefits5612
      @filexbenefits5612 27 дней назад

      Leta tofauti ya maana, sio kusema labda kwako

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 27 дней назад

      @@filexbenefits5612 si kusema kwangu tatizo Kiswahili ujui lakini ingelikuwa unaufahamu WA neno nusura na kusaidia..hata uungeliniuliza hivyo..ila kaa wataka nikwambie kubali ujui hapo ndio nikufunze but kaa nikubishana tuwachie hapo.

    • @MujuniKamugisha
      @MujuniKamugisha 25 дней назад

      @@aooshosho4255 we unaweza kumsaidia MUNGU ?

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 27 дней назад +2

    Simulizi ni Mshensi Kama Washenzi wengine

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 27 дней назад +1

    Kwakweli ndacha kuelewa kwako ngumu Kiswahili yenyewe yakutatiza.

  • @costantineevarist5110
    @costantineevarist5110 23 дня назад

    Uislam ni msiba mkubwaaa

  • @POVELSPORTS
    @POVELSPORTS 27 дней назад

    NDA cha genius🎉🎉

  • @salisali3738
    @salisali3738 27 дней назад +1

    We ndacha alikaaba ngani ina sanamu wakiristo si ndio mna sanamu la yesu

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 27 дней назад

    Ukiinusuru dini ya Allah ya Uislamu naye atakunusuru.
    Mazinge na jopo lake wanainusuru dini ya Allah dhidi ya wapotoshaji kama ndacha.
    Ndacha Kiswahili Hujui

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 27 дней назад

    Ujue ukisikilizaa kichwa chako kijitahidi kuondoka na kitu chochotee kutokana na mahojiano hayo yaliyofanyikaa. Kumbe waarabu walikuwa na miungu yao ya masanamu yalikuwa 360 Muhammad akayaondoa na kuliacha kubwaa moja hapo ALKAHAB NA NDIO MAANA KATAJA AYA MUHAMMAD ANASEMA NAMUHABUDU MUNGU WA ALKAHAB NDIOMAANA NDACHA ANASEMA ALLAH SIO MUNGU WA KWELI

  • @IddiKhamis-cp2ge
    @IddiKhamis-cp2ge 23 дня назад

    Sadaka anatakiwa kupewa aliye hai ,muwape masikini wasio jiwwza au kujenga misikiti kuchimba visima Kwa ajili ya watu

  • @hamisimwagarashi9501
    @hamisimwagarashi9501 26 дней назад

    MUNGU ALIE KUUMBA NA AKA MUUMBA NA MUNGU WAKO YESU AKUPE MWISHO MWEMA....

  • @IddiKhamis-cp2ge
    @IddiKhamis-cp2ge 23 дня назад

    Lugha ya kiaarabu hawkuchagua wao

  • @moshantoj
    @moshantoj 27 дней назад +1

    Umeanza kulemewa na kudhibiti hoja zakowewe simulizi

  • @yusufmunisi4796
    @yusufmunisi4796 27 дней назад +1

    Ndacha apo sasa unataka kuleta ubishi wakitoto mkuu

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 27 дней назад

    Mwarabu na Quran ni vitu viwili tofauti..
    Hata kama umuarabu ni lazima Quran uisomeshwe mwanzo ndio uweze kutafsiri Quran.
    Ndacha huna jambo Kazi yako kupindisha ulimi.

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 27 дней назад

    Ndacha anajua ukweli kuhusu Quran lakini anageuza maneno TU.

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 27 дней назад +1

    Simulizi mimi napenda maswali yako hayana bias na uko katika utafiti mzuri.

  • @OmariAbdi-c9k
    @OmariAbdi-c9k 27 дней назад

    Ndacha tatizo lako lugha tu kiswahili kinakupiga chenga kwelikweli.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 27 дней назад +1

    Kwa kweli Allah wa Muhammad wa Makka siyo Mungu MUUMBA MBINGU NA ARDHI MUNGU gani anahitaji nusura?

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 27 дней назад

      Haha😂 Wacha tu ni cheke na mtatumia hio Quran kutetea yesu na sabato kwa Quran...
      Bibilia ishasema ni Musa peke yake , alipewa uwezo wa kuongea na MUNGU wengine wote , ni maono

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 27 дней назад

      ​@@SheeMaryam.M Allah wa Muhammad ni Al hajar Al aswad Jiwe jeusi lililoko kwenye Kaaba kule Makka na ndiyo maana Waislamu wote duniani wanaosujudia kulieleke jiwe hilo wakidhani wanaosujudia MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI 😢

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 27 дней назад

      @@paulmushi2428 haya basi

    • @ramsostopthisbullshitmanal4002
      @ramsostopthisbullshitmanal4002 27 дней назад

      Tatizo LA ndacha hajui kiswahili vizur

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 27 дней назад

      ​@@SheeMaryam.MSasa mohamad alipewa maono gani wakati yaliyopo kwenye quran yalikuwepo katika vitabu hata kabla hajazaliwa? Semeni alikopi na kupaste sio maono, mbona haya yapo wazi ni nn hamuelewi

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 27 дней назад +1

    Hayuko sawa umepigwa chenga

  • @kautharBihaki-wv7kd
    @kautharBihaki-wv7kd 27 дней назад +1

    Mmh huyu ndacha kashaishiwa pointless kabisa ata mm nammudu

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 27 дней назад

    Kwana Yesu aliposema wakujue wewe ni Mungu wa pekee kwa nini asiseme mwenyewe kuwa wanijue mimi???
    ndacha hana ujuz wa elim ya kumjua Mungu

    • @BarakaZabron-py2fz
      @BarakaZabron-py2fz 24 дня назад

      Mungu wa pekee ni baba yake yesu na ndiye anamshuhudia

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 27 дней назад

    Simulizi bro ungewaeka wao wawili hapo ingekua Bora zaidi ndacha ukimuacha pekeake hua anadanganya ,sadaqa hapewi Maiti kufa unatoa chakula masikini wanakula Nia unatia imfikie Maiti thawabu hio ndio maana yake

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 27 дней назад +4

    ndacha anaujua ukwel bali ameamua kuwapotosha makafiri wenzie

  • @joachimluhamo3042
    @joachimluhamo3042 27 дней назад +1

    Muanzilishi wa dini ya kiislamu ni Muhamadi na ndiye aliyepewa kitabu mnaosema Adamu alikuwa muislam je alitumia kitabu gani wakati huo ? Na Je? Uislam ulianza bila ya kitabu

    • @samxx411
      @samxx411 27 дней назад

      Shika adabu yako, uislamu haukuanzishwa na Muhammad..uislamu umeanzishwa na Mwenyezi Mungu (Allah)...Adamu alikuwa muislamu nae alipewa utaratibu wake unaoendana na uislamu wa leo, Mussa alikuwa Muislamu na alipewa torati kwa lugha yao, Daudi alipewa Zaburi kwa lugha yao na utaratibu wao, yesu alikuwa muislamu na alipewa injili kwa kiebrania na utaratibu wao unaoendana na uislam na Muhammad ni muislam (hakuanzisha uislam) na alipewa kitabu quran kwa kiarabu na utaratibu unaoendana na uislam....sasa biblia ni kitabu cha nani na kilikuwa katika lugha gani ya asili na wakati wa yesu kulikuwa hakuna biblia na wakati wa adam walitumia kitabu gani?????

  • @chrispinkagaruki4170
    @chrispinkagaruki4170 26 дней назад

    Aliyekuwa akimtokea Mohamad ni adui wa malaika Gabriel, na malaika Mikael na malaika wengine wote, na hata adui wa Mungu mwenyewe Bakharah 97 na 98.

  • @user-sl8hf3cq4f
    @user-sl8hf3cq4f 27 дней назад +1

    Ndacha anavyo piga mkwara sasa utajua mtu wamaana kwel😁izo hoja hata mim namjibu mbona mchawi kiswahil tu hapo

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 27 дней назад

      @@user-sl8hf3cq4f wakenya sisi kiswahili ni wapi na wapi especially sisi wakikuyu sio mdomo yetu mueleweni tu 🤣🤣

  • @LovelyComputerChip-cj4wz
    @LovelyComputerChip-cj4wz 16 дней назад

    Ndo maana huwa mwalimu ndacha huwa yuasema hii qurani nkianzana nayo hamtafurahia kumbe ndo hii kweli mwalimu aisee

  • @254trends
    @254trends 24 дня назад

    Sadaka si pesa pekee yake inaeza kua chakula mavazi sadaka ni vitu vingi

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 27 дней назад +1

    Sasa huyu ndacha vipi si ndio mana tunasoma madrasa ili tuweze kutasfiri quran mwarabu kama hajasoma hajui quran mpaka asomeshwe

  • @allymalengwe1098
    @allymalengwe1098 26 дней назад

    Simulizi kuna k2 hua nakihisi kwako hua una bakiwa na kiu kubwa sana pndi unapotaka kujitosheleza kwa majibu kutka kwa ndacha ata ni miuslamu lakn majbu ya ndacha hua yananiacha njia panda hlg hua ctosheki kabsa.

  • @samxx411
    @samxx411 27 дней назад

    Kwanza ndacha kiswahili hajui hata kidogo, anajizonga mwenyewe. Ndacha kama sehemu huielewi katika quran tafuta mwalimu akusomeshe.....ikisha uislamu sio wa waarabu ni wa watu wote.....kwani ukristo wa waisraeli tu kwa kuwa yesu ni muesraeli...ikisha anakubali kuwa kila mtu atabeba mzigo wake na atalipwa na Mungu kwa matendo yake wala yesu hajabeba dhambi za mtu..

  • @sama-_8368
    @sama-_8368 27 дней назад

    MSIKILIZE MWENYEZI MUNGU
    ذَا الَّذِي يُقْرِضُ اللَّهَ قَرْضًا حَسَنًا فَيُضَاعِفَهُ لَهُ أَضْعَافًا كَثِيرَةً ۚ وَاللَّهُ يَقْبِضُ وَيَبْسُطُ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ
    Ni nani atakaye mkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mwema ili amzidishie mzidisho mwingi, na Mwenyezi Mungu hukunja na hukunjua. Na Kwake Yeye mtarejea.
    NA HAPO NAPO NDACHA KWA AKILI ZAKO PIA KUWA MUNGU ANA SHIDA NA ELA ANATAKA TUMKOPESHE????
    Lugha
    Soma LUGHA KWANZA NA UELEWA MUKTADHA W MAANDIKO KABLA HUJA YAKOSOA.

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana3598 27 дней назад +1

    Ndacha huelewi kitu kabisa wewe ni mbumbumbu, na simulizi mbona shafii alikueleza vyema kabisa kuhusu ishu ya sadaka na ukaelewa, mbona kumueleza huyo ndacha huwezi? Kuielezea biblia yenu tu huwezi sasa Quran unaiwezaje kuichambua? Sio unampa mungu pesa mpuuzi wewe, kwa mfano nikajenga msikiti kwa ajili ya ndugu yako aliyekufa, means watu wakifanya ibada maita anapata thawabu.

  • @IddiKhamis-cp2ge
    @IddiKhamis-cp2ge 23 дня назад

    Hio imetokea wp

  • @MaryamMaryam-n1v2e
    @MaryamMaryam-n1v2e 27 дней назад +1

    Samulizi kesho mtafute shafi atuokowe

  • @innocentmathias8668
    @innocentmathias8668 27 дней назад

    Kama inawezekana tuonesheeni mdahalo LIVE tuone

  • @IddiKhamis-cp2ge
    @IddiKhamis-cp2ge 23 дня назад

    Muhammad hajasema km habari zake

  • @filexbenefits5612
    @filexbenefits5612 27 дней назад

    Warabu dini yao, kwa io wajua hiyao

  • @IddiKhamis-cp2ge
    @IddiKhamis-cp2ge 23 дня назад

    Ndacha wacha kuwachanga wakiristo

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 27 дней назад

    Na waeza kusaidia bila kunusuru

  • @AbdulkadirAbdullah-y4z
    @AbdulkadirAbdullah-y4z 27 дней назад

    Kwanza usijadili neno la Allah bila kusoma qurani ni miujiza mikubwa ambayo wamethitisha mpaka wanasayansi zama zetu waloyaona ndani qur ani rejea ktk uthibisho wao vitabu tele

  • @filexbenefits5612
    @filexbenefits5612 27 дней назад

    Hata uko ni mbali utume wake peke yake na maneno yake Mungu hana mwana io tosha, Ndacha tosha hata wamalize miaka mamia hatawahi tosha kiakili labda mtu mbumbumbu

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 27 дней назад

    Alafu huyo anaekuoji sidhani kaa ni muislam juu hata kuna mambo yuajibu bila kuelewa yuajibu nini

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 27 дней назад

    Ndacha zile Sadaka unazo chukua Kanisani za Nini?

  • @sama-_8368
    @sama-_8368 27 дней назад

    Eti ameunganisha masanamu yooooote likawa sanamu moja kubwa😂😂😂
    Ndacha wewe bwege ee😂😂😂
    Haya maneno umeyatoa wapi wewe😂😂😂😂
    Hatari sana
    Ndugu mtangazaji kama hujui Quran huyo anakudanganya mwambie akupe hilo andiko HANA HALIPO NA HALITAKUWEPO MILELE

  • @kombomakame9541
    @kombomakame9541 27 дней назад

    Aliyetumwa Ibrahim kujenga alkaba ni nani?

  • @AbdulhamiduKanula-hq4lx
    @AbdulhamiduKanula-hq4lx 27 дней назад +1

    Yaan mm ktk mt ambae sijawah kumuelewi ni huyu ndacha.Akajifunde kwanza kiswahili maana ata mwenyewe nina uhakika hakijui anachokisema

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 27 дней назад +1

      Huwezi kumwelewa Ndacha Kwa sababu ulishapofushwa na majin😢

    • @AbdulhamiduKanula-hq4lx
      @AbdulhamiduKanula-hq4lx 27 дней назад

      @@paulmushi2428 hakuna majini hakuna nn huyo ndacha anachokiongea hazieleweki.Aingie darasan asome tena mpk lugha

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 27 дней назад

      ​@@AbdulhamiduKanula-hq4lx Ndacha alishasoma wewe ndiyo unatakiwa ukasome Qur'an yako ndiyo utamwelewa Ndacha

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 27 дней назад

      ​@@AbdulhamiduKanula-hq4lxfatilia jini zam zam kazi yake ni nini katika uislam kisha tafakari

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 27 дней назад

      ​@@mobutu3884umemsoma kwenye Aya gani ya Qur'an

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola 27 дней назад

    Kumbe kweli mdacha hanaga hoja sasa iko kiswahili kidogo umeshindwa kukielewa unataka tukusaidieje?😂😂😢

  • @IddiKhamis-cp2ge
    @IddiKhamis-cp2ge 23 дня назад

    Ndacha ww unasema hakuna mungu ww ulijiumba mwenyewe mbingu na ardhi zilijileta wenyewe ,Adamu kajiumba mwenyewe,huyo unaye sema mungu wako issa kajiumba mwenyewe wacha kupotosha watu ww

  • @ibrahimadab9151
    @ibrahimadab9151 27 дней назад +1

    Ndacha Hapa unapotea means you're ignoring your lord the one who created everything. Whatever you are urging is totally wrong according to Islam and know that Islam is the only true religion. Bible and any other religions is fake and whoever disbelief the wholy Qura'an like Ndacha will be punished. Allah says about disbelievers "Ulaika kal an'aami " means those disbelievers they're like animals "

  • @AbasHabimana
    @AbasHabimana 23 дня назад

    Acha ukafiri Ndacha ww huezi kufasiri kor'ani bibilia yenyewe huijuwi vizuri itakua kor'ani kor'ani ningumu sana ww kafiri huwezi kuifasiri waachie waislam bwana kwanza ww mkenya hujuwi kiswahili

  • @LovelyComputerChip-cj4wz
    @LovelyComputerChip-cj4wz 16 дней назад

    Na waislamu muandike mada nzuri katika video zenu so kuandika vitu vya ajabu eti mkristo kasimu katikati ya mhadhara kutazama video hamna kitu sijui ndo kufurahisha wasislamu kutazama🤔

  • @MohamedMohamed-u3t1n
    @MohamedMohamed-u3t1n 27 дней назад

    Simulizi uislamu haujaanzishwa na warabu

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 27 дней назад +1

      Uislamu ni Dini ya Waarabu Maqureishi wa Makka siyo dini ya mungu

    • @joachimluhamo3042
      @joachimluhamo3042 27 дней назад

      Uislamu ulianzishwa na Muhamani muhamadi ni mwafrika au mwalabu . Tatizo lenu waislamu mnakalili tu bila kuchunguza maandiko . Muhamadi ndiye aliyeshushiwa kitabu au uislamu ulianza bila kitabu?

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 27 дней назад

      ​@@joachimluhamo3042Mohamed hajaleta uislam wala kuwazisha uislam wewe ndio usomi kaa umesoma ungesema Sisi tunakaririshwa...ila nakujulisha kiaSi mtume Muhammed yuasema uislam uliidhiika Kwa watu kaa kitu kipya na utarudi kuwa hivyo...so kaa waelewa Kiswahili utajuwa uislam ulikuwepo kabla yeye japo watu waliona kaa kitu kipya... ndiposa yakob aliwambia watoto wake wasife ila wakiwa waislamu.. yakob na mohamad nani katangulia mwenzake.

  • @AgnesKasayaMigiro
    @AgnesKasayaMigiro 27 дней назад

    kwani huyo anaonga maiti,? maiti hana ijara bwana awezi tumia hiyo pesa😭

  • @Dulajuma-q1c
    @Dulajuma-q1c 27 дней назад

    Hhhhhhh ndacha kasha Tupu

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 26 дней назад

    Sasa hapa amebanwa vipi na hoja za ustadhi shafi sasa?

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali1697 27 дней назад

    Ni suala la lugha tu.
    Kozi nikauli sahihi lakini wewe ndacha kisw hujui vzr.
    Hapo pana kauli ya kunuu

  • @khitamcaptainveca5045
    @khitamcaptainveca5045 16 дней назад

    Handiko lina sema mtoleeni sadaka , sasa wewe ndacha apo apo unasema ni kumpa maiti sadaka , alafu wa fuwazi wako wanaona umeongea kitu ya maana saana

  • @IddiKhamis-cp2ge
    @IddiKhamis-cp2ge 23 дня назад

    Km ww ni mjumbe bc muhamadi ni mjumbe Kwa Allah

  • @johnnandemu5605
    @johnnandemu5605 27 дней назад

    Nyama ya ngurue imemnusuru Mwisilamu 😂😂 wewe Ndacha wewe 🤣🤣🤣

  • @ShaziliShaibu-gq3zc
    @ShaziliShaibu-gq3zc 26 дней назад

    ee mola wangu tusaidie wewe ndacha ni mwalimu wa uongo!

  • @LaughKey-f8x
    @LaughKey-f8x 27 дней назад

    Na huyu mtangazaji pia ata hajielewi ssa una enda kuhiji mtu na uko ba ushabik uwanahabari gani huu 😂😂😂 kama wee n Muslim baki na uisalm wako bro wacha ushabik wa kijinga ili kufaidisha waislam

  • @ashrafnuru6402
    @ashrafnuru6402 27 дней назад

    Kumbe ndacha ni bogas halielewi kiswahili hata kidogo duh

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 27 дней назад +1

    Ndacha nenda shule kajifunze lugha

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 27 дней назад

    Simulizi wewe jifikilie kuna mwanadamu anaweza kumsaidia,kumnusuru mungu kitu chochote?

    • @nassorsharifu9837
      @nassorsharifu9837 27 дней назад

      Na wewe sawa na Ndacha akili finyu

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 27 дней назад

      @@nassorsharifu9837 sio wewe mungu unaweza kumnusuru kwamba kakwama au anaitaji msaada wako inangia kwa akili