وَيَقُولُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْتَ مُرْسَلًا ۚ قُلْ كَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِندَهُ عِلْمُ الْكِتَابِ Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu. Ndacha "SOMA LUGHA NDIO UKOSOE QURAN" Kwasasa BADO SANAAAAAAA Aya haisemi WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD HUMO Bali aliye tafsiri ametoa sababu ya kwanini waulizwe wenye elimu ya kitabu ndio kwenye tafsir mfasiri akasema hao wenye elimu ya kitabu LAZIMA WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD KWENYE HIVYO VITABU. Lakini asili ya aya katika kiarabu chake HAISEMI kuwa wameona habari za MUHAMMAD HUMO "neno ambalo unapata nalo shida wewe" Muhimu ili uwe mkosoaji wa Quran soma/jifunze kiarabu kwanza maana hapa usinge pata tabu.
وَيَقُولُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْتَ مُرْسَلًا ۚ قُلْ كَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِندَهُ عِلْمُ الْكِتَابِ Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu. Ndacha "SOMA LUGHA NDIO UKOSOE QURAN" Kwasasa BADO SANAAAAAAA Aya haisemi WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD HUMO Bali aliye tafsiri ametoa sababu ya kwanini waulizwe wenye elimu ya kitabu ndio kwenye tafsir mfasiri akasema hao wenye elimu ya kitabu LAZIMA WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD KWENYE HIVYO VITABU. Lakini asili ya aya katika kiarabu chake HAISEMI kuwa wameona habari za MUHAMMAD HUMO "neno ambalo unapata nalo shida wewe" Muhimu ili uwe mkosoaji wa Quran soma/jifunze kiarabu kwanza maana hapa usinge pata tabu.
Wewe unaye mhoji ndacha inaonekana n mwislam na huelewi hata unacho ambiwa lakin musikilze ndacha n mwelewa na amekujbu kwa ufasaha. Ndacha Mungu akubariki
Mungu hana msamaha na maiti maana mungu si wa wafu hizo ni adithi tu maana na ndo maana yesu anatwambia tuishi kikamilivu kuwa watiifu kwa mungu kila siku kwa kutii amri za sheria
Ndacha unapotosha, katika uislamu Mungu ameweka fursa hiyo ya kutoa sadaka ili thawabu unazozipata kwa kutoa sadaka hiyo zimfikie marehemu. Mungu wetu ni mwingi wa huruma husamehe muda wote.
@@ChandeDaudi Tena ni kilaza katika lugha ya kiswahili ila sijawahi kuona mtu mkaidi kama Ndacha. Kiswahili hajui ila hajui kama hajui badala yake analazimisha anavyotaka yeye ili afanye upotoshaji.
@@mobutu3884 Katika sahihi ya Bukhari kuwa, “Sa’ad bin ‘Ubada alifiliwa na mama yake wakati hayupo, akasema, ‘Ee, Mtume wa Allah, mama yangu amefariki nami sipo, je, itamfaa lau nikimtolea sadaka? Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) akajibu, “Ndio (atanufaika kwa sadaka hiyo)” kisha Sa’ad akasema kama ni hivyo, ‘Basi nakushuhudia kuwa ukuta wenye mitende mingi ni sadaka yake.’
@@mobutu3884 Imeandikwa katika sahihi ya Bukhari kuwa, “Sa’ad bin ‘Ubada alifiliwa na mama yake wakati hayupo, akasema, ‘Ee, Mtume wa Allah, mama yangu amefariki nami sipo, je, itamfaa lau nikimtolea sadaka? Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) akajibu, “Ndio (atanufaika kwa sadaka hiyo)” kisha Sa’ad akasema kama ni hivyo, ‘Basi nakushuhudia kuwa ukuta wenye mitende mingi ni sadaka yake.’
Mimi km ataisom meseji yangu nasaha zangu kasoro ninayoiyon kwa Mr ndacha ni ufahamu wa uislamu na Quruani atafut waalimu aulize na kuusom uislamu kwa nia y kutaka kujua.... nimeona mapunguf makubwa
Sometimes watu wanapoteza muda kubishana na majinuni huyu wanajichosha tu. Sasa mungu hata kanisani si wanasema mtolee sadaka mungu ina maana mungu anapokea hela yeye si anapokea tendo jema lililofanywa. Jinga sana hili hata wanavyobishana naye nashangaa manake hoja zake za kijinga sana.
Simulizi Mimi nadhani Ndacha hajajifunza lugha Mana kwa mtu aliejifunza fasihi mbona Haina shida simulizi wewe unalijuwa hilo kuwa anachokifanya Ndacha ni kuwababaisha tu. Simulizi chukuwa Qur'an uisome halafu ishi kwenye maeneo yenye waislamu wengi uangalie maisha yao.
Waislamu wanatumia akili ndio mana huwezi kuwasikia wakimtuna Yahweh, Yehova wala yule ambae Yesu kamwita Baba sababu wao si wakujifurahisha na wanajuwa kwa sifa zilizotajwa ndani ya biblia zinamstahiki mungu wa kweli lakini wakristo mhh hawajali kumtukana Allah ilimradi tu wapinge
🎉Huyu nae sasa hapo nini hujaelewa hikobnikiswahlili simpo tu tatizo la ndacha ni hajui kiswahili Sasa sijui munampa airtime ya nn huyu mpuuzi Haya hapa kosa lipo wapi soma hapa Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
Ndacha umuongo, Kitu Cha kwanza Mtume MUHAMMAD s.a.w kupewa utume ni kupiga vita ushirikina, na njia ya kwanza ni kuyavunja Masanamu yaliyoko ktk Alkaba. Alkaba ilikengwa Kwa ajili ya kufanya ibada ya Allah lakini washirikina wakavamia na kuweka Masanamu na ndio MUHAMMAD akaanza kuyavunja.
@@filexbenefits5612 si kusema kwangu tatizo Kiswahili ujui lakini ingelikuwa unaufahamu WA neno nusura na kusaidia..hata uungeliniuliza hivyo..ila kaa wataka nikwambie kubali ujui hapo ndio nikufunze but kaa nikubishana tuwachie hapo.
Ukiinusuru dini ya Allah ya Uislamu naye atakunusuru. Mazinge na jopo lake wanainusuru dini ya Allah dhidi ya wapotoshaji kama ndacha. Ndacha Kiswahili Hujui
Ujue ukisikilizaa kichwa chako kijitahidi kuondoka na kitu chochotee kutokana na mahojiano hayo yaliyofanyikaa. Kumbe waarabu walikuwa na miungu yao ya masanamu yalikuwa 360 Muhammad akayaondoa na kuliacha kubwaa moja hapo ALKAHAB NA NDIO MAANA KATAJA AYA MUHAMMAD ANASEMA NAMUHABUDU MUNGU WA ALKAHAB NDIOMAANA NDACHA ANASEMA ALLAH SIO MUNGU WA KWELI
Mwarabu na Quran ni vitu viwili tofauti.. Hata kama umuarabu ni lazima Quran uisomeshwe mwanzo ndio uweze kutafsiri Quran. Ndacha huna jambo Kazi yako kupindisha ulimi.
Haha😂 Wacha tu ni cheke na mtatumia hio Quran kutetea yesu na sabato kwa Quran... Bibilia ishasema ni Musa peke yake , alipewa uwezo wa kuongea na MUNGU wengine wote , ni maono
@@SheeMaryam.M Allah wa Muhammad ni Al hajar Al aswad Jiwe jeusi lililoko kwenye Kaaba kule Makka na ndiyo maana Waislamu wote duniani wanaosujudia kulieleke jiwe hilo wakidhani wanaosujudia MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI 😢
@@SheeMaryam.MSasa mohamad alipewa maono gani wakati yaliyopo kwenye quran yalikuwepo katika vitabu hata kabla hajazaliwa? Semeni alikopi na kupaste sio maono, mbona haya yapo wazi ni nn hamuelewi
Simulizi bro ungewaeka wao wawili hapo ingekua Bora zaidi ndacha ukimuacha pekeake hua anadanganya ,sadaqa hapewi Maiti kufa unatoa chakula masikini wanakula Nia unatia imfikie Maiti thawabu hio ndio maana yake
Muanzilishi wa dini ya kiislamu ni Muhamadi na ndiye aliyepewa kitabu mnaosema Adamu alikuwa muislam je alitumia kitabu gani wakati huo ? Na Je? Uislam ulianza bila ya kitabu
Shika adabu yako, uislamu haukuanzishwa na Muhammad..uislamu umeanzishwa na Mwenyezi Mungu (Allah)...Adamu alikuwa muislamu nae alipewa utaratibu wake unaoendana na uislamu wa leo, Mussa alikuwa Muislamu na alipewa torati kwa lugha yao, Daudi alipewa Zaburi kwa lugha yao na utaratibu wao, yesu alikuwa muislamu na alipewa injili kwa kiebrania na utaratibu wao unaoendana na uislam na Muhammad ni muislam (hakuanzisha uislam) na alipewa kitabu quran kwa kiarabu na utaratibu unaoendana na uislam....sasa biblia ni kitabu cha nani na kilikuwa katika lugha gani ya asili na wakati wa yesu kulikuwa hakuna biblia na wakati wa adam walitumia kitabu gani?????
Simulizi kuna k2 hua nakihisi kwako hua una bakiwa na kiu kubwa sana pndi unapotaka kujitosheleza kwa majibu kutka kwa ndacha ata ni miuslamu lakn majbu ya ndacha hua yananiacha njia panda hlg hua ctosheki kabsa.
Kwanza ndacha kiswahili hajui hata kidogo, anajizonga mwenyewe. Ndacha kama sehemu huielewi katika quran tafuta mwalimu akusomeshe.....ikisha uislamu sio wa waarabu ni wa watu wote.....kwani ukristo wa waisraeli tu kwa kuwa yesu ni muesraeli...ikisha anakubali kuwa kila mtu atabeba mzigo wake na atalipwa na Mungu kwa matendo yake wala yesu hajabeba dhambi za mtu..
MSIKILIZE MWENYEZI MUNGU ذَا الَّذِي يُقْرِضُ اللَّهَ قَرْضًا حَسَنًا فَيُضَاعِفَهُ لَهُ أَضْعَافًا كَثِيرَةً ۚ وَاللَّهُ يَقْبِضُ وَيَبْسُطُ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ Ni nani atakaye mkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mwema ili amzidishie mzidisho mwingi, na Mwenyezi Mungu hukunja na hukunjua. Na Kwake Yeye mtarejea. NA HAPO NAPO NDACHA KWA AKILI ZAKO PIA KUWA MUNGU ANA SHIDA NA ELA ANATAKA TUMKOPESHE???? Lugha Soma LUGHA KWANZA NA UELEWA MUKTADHA W MAANDIKO KABLA HUJA YAKOSOA.
Ndacha huelewi kitu kabisa wewe ni mbumbumbu, na simulizi mbona shafii alikueleza vyema kabisa kuhusu ishu ya sadaka na ukaelewa, mbona kumueleza huyo ndacha huwezi? Kuielezea biblia yenu tu huwezi sasa Quran unaiwezaje kuichambua? Sio unampa mungu pesa mpuuzi wewe, kwa mfano nikajenga msikiti kwa ajili ya ndugu yako aliyekufa, means watu wakifanya ibada maita anapata thawabu.
Kwanza usijadili neno la Allah bila kusoma qurani ni miujiza mikubwa ambayo wamethitisha mpaka wanasayansi zama zetu waloyaona ndani qur ani rejea ktk uthibisho wao vitabu tele
Hata uko ni mbali utume wake peke yake na maneno yake Mungu hana mwana io tosha, Ndacha tosha hata wamalize miaka mamia hatawahi tosha kiakili labda mtu mbumbumbu
Eti ameunganisha masanamu yooooote likawa sanamu moja kubwa😂😂😂 Ndacha wewe bwege ee😂😂😂 Haya maneno umeyatoa wapi wewe😂😂😂😂 Hatari sana Ndugu mtangazaji kama hujui Quran huyo anakudanganya mwambie akupe hilo andiko HANA HALIPO NA HALITAKUWEPO MILELE
Ndacha Hapa unapotea means you're ignoring your lord the one who created everything. Whatever you are urging is totally wrong according to Islam and know that Islam is the only true religion. Bible and any other religions is fake and whoever disbelief the wholy Qura'an like Ndacha will be punished. Allah says about disbelievers "Ulaika kal an'aami " means those disbelievers they're like animals "
Na waislamu muandike mada nzuri katika video zenu so kuandika vitu vya ajabu eti mkristo kasimu katikati ya mhadhara kutazama video hamna kitu sijui ndo kufurahisha wasislamu kutazama🤔
Uislamu ulianzishwa na Muhamani muhamadi ni mwafrika au mwalabu . Tatizo lenu waislamu mnakalili tu bila kuchunguza maandiko . Muhamadi ndiye aliyeshushiwa kitabu au uislamu ulianza bila kitabu?
@@joachimluhamo3042Mohamed hajaleta uislam wala kuwazisha uislam wewe ndio usomi kaa umesoma ungesema Sisi tunakaririshwa...ila nakujulisha kiaSi mtume Muhammed yuasema uislam uliidhiika Kwa watu kaa kitu kipya na utarudi kuwa hivyo...so kaa waelewa Kiswahili utajuwa uislam ulikuwepo kabla yeye japo watu waliona kaa kitu kipya... ndiposa yakob aliwambia watoto wake wasife ila wakiwa waislamu.. yakob na mohamad nani katangulia mwenzake.
Na huyu mtangazaji pia ata hajielewi ssa una enda kuhiji mtu na uko ba ushabik uwanahabari gani huu 😂😂😂 kama wee n Muslim baki na uisalm wako bro wacha ushabik wa kijinga ili kufaidisha waislam
jina la yesu litukunzwe milele na milele amen 🙏 🙌
وَيَقُولُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْتَ مُرْسَلًا ۚ قُلْ كَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِندَهُ عِلْمُ الْكِتَابِ
Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
Ndacha "SOMA LUGHA NDIO UKOSOE QURAN"
Kwasasa BADO SANAAAAAAA
Aya haisemi WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD HUMO
Bali aliye tafsiri ametoa sababu ya kwanini waulizwe wenye elimu ya kitabu ndio kwenye tafsir mfasiri akasema hao wenye elimu ya kitabu LAZIMA WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD KWENYE HIVYO VITABU.
Lakini asili ya aya katika kiarabu chake HAISEMI
kuwa wameona habari za MUHAMMAD HUMO
"neno ambalo unapata nalo shida wewe"
Muhimu ili uwe mkosoaji wa Quran soma/jifunze kiarabu kwanza maana hapa usinge pata tabu.
Ndacha uko sawa,Mungu akuzidishie maisha
وَيَقُولُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْتَ مُرْسَلًا ۚ قُلْ كَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِندَهُ عِلْمُ الْكِتَابِ
Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
Ndacha "SOMA LUGHA NDIO UKOSOE QURAN"
Kwasasa BADO SANAAAAAAA
Aya haisemi WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD HUMO
Bali aliye tafsiri ametoa sababu ya kwanini waulizwe wenye elimu ya kitabu ndio kwenye tafsir mfasiri akasema hao wenye elimu ya kitabu LAZIMA WAMEONA HABARI ZA MUHAMMAD KWENYE HIVYO VITABU.
Lakini asili ya aya katika kiarabu chake HAISEMI
kuwa wameona habari za MUHAMMAD HUMO
"neno ambalo unapata nalo shida wewe"
Muhimu ili uwe mkosoaji wa Quran soma/jifunze kiarabu kwanza maana hapa usinge pata tabu.
Wallah ndacha usipo silim utajuta siku ya mwisho unaupingwa ukweli kwa makusud ya moyo wako sio kwa hoja
Wewe unaye mhoji ndacha inaonekana n mwislam na huelewi hata unacho ambiwa lakin musikilze ndacha n mwelewa na amekujbu kwa ufasaha. Ndacha Mungu akubariki
WAISLAMU TUNAWAPENDA ILA MMEPOTEA KWA KUFUATA NABII WA MCHONGO NA KITABU CHA WAANDISHI AKINA WARAQA.
Acha chuki toa maandiko kuthibitisha madai yako.
Ndacha barikiwa Sana .
Hatuwezi ongea na maiti.
Watu wengi ni ushabiki wa kidini ila Ndacha yupo sahihi na kama mnakataa leteni hoja,na kiswahili anafahamu vizuri
😂😂😂ndacha kichaa kweliii....yani lugha haijui kabisaa..na kichwa cha habari kweli kimeendana😅😅
Kuna ujanja mwingi
Leo ndio nimeona kuwa Ndacha anazungumza kwa matamanio yake sio kwamba haelewi shida ipo kwa wasiosoma wanatumia akili zao.
Mungu hana msamaha na maiti maana mungu si wa wafu hizo ni adithi tu maana na ndo maana yesu anatwambia tuishi kikamilivu kuwa watiifu kwa mungu kila siku kwa kutii amri za sheria
Ndacha unapotosha, katika uislamu Mungu ameweka fursa hiyo ya kutoa sadaka ili thawabu unazozipata kwa kutoa sadaka hiyo zimfikie marehemu.
Mungu wetu ni mwingi wa huruma husamehe muda wote.
Tatizo la ndacha hajui kiswahili
@@ChandeDaudi Tena ni kilaza katika lugha ya kiswahili ila sijawahi kuona mtu mkaidi kama Ndacha.
Kiswahili hajui ila hajui kama hajui badala yake analazimisha anavyotaka yeye ili afanye upotoshaji.
Sasa siuweke hilo andiko kutoka katika quran ili ndacha na sisi tulione, mbona maneno tu bila andiko linalosema hivyo
@@mobutu3884
Katika sahihi ya Bukhari kuwa, “Sa’ad bin ‘Ubada alifiliwa na mama yake wakati hayupo, akasema, ‘Ee, Mtume wa Allah, mama yangu amefariki nami sipo, je, itamfaa lau nikimtolea sadaka? Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) akajibu, “Ndio (atanufaika kwa sadaka hiyo)” kisha Sa’ad akasema kama ni hivyo, ‘Basi nakushuhudia kuwa ukuta wenye mitende mingi ni sadaka yake.’
@@mobutu3884 Imeandikwa katika sahihi ya Bukhari kuwa, “Sa’ad bin ‘Ubada alifiliwa na mama yake wakati hayupo, akasema, ‘Ee, Mtume wa Allah, mama yangu amefariki nami sipo, je, itamfaa lau nikimtolea sadaka? Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa Sallam) akajibu, “Ndio (atanufaika kwa sadaka hiyo)” kisha Sa’ad akasema kama ni hivyo, ‘Basi nakushuhudia kuwa ukuta wenye mitende mingi ni sadaka yake.’
Ndachaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ndacha uwelewa mdogo sana naona kiswahili kidogo
Simulizi uko vizuri na unajua kiswahili hongera
Hakuna Kiswahili yuajuwa hapa kaa kivyo ndivyo anafafanuwa .
Allah anaposema toleeni sadaka maiti zetu ,mungu hachukuii pesa
Mimi km ataisom meseji yangu nasaha zangu kasoro ninayoiyon kwa Mr ndacha ni ufahamu wa uislamu na Quruani atafut waalimu aulize na kuusom uislamu kwa nia y kutaka kujua.... nimeona mapunguf makubwa
Uislam kwisha,wanaonga Mungu ndo amsamehe maiti dhambi..dah maajabu
Sometimes watu wanapoteza muda kubishana na majinuni huyu wanajichosha tu. Sasa mungu hata kanisani si wanasema mtolee sadaka mungu ina maana mungu anapokea hela yeye si anapokea tendo jema lililofanywa. Jinga sana hili hata wanavyobishana naye nashangaa manake hoja zake za kijinga sana.
huna majibu ila umejaa maneno ya dhihaka tu.
Simulizi asanteni sanasana na mungu awabaliki hii channel inenepe.naomba mjiunge na biblia nuru ya dunia tuchape kazi hii ya mungu
Ndacha nakupenda unajitahidi ila soma lugha ya kiarabu nahw swarfa balagha utajua maneno yanapo hama kwa hiyo tafsir ya awali utachoka sana
Simulizi Mimi nadhani Ndacha hajajifunza lugha Mana kwa mtu aliejifunza fasihi mbona Haina shida simulizi wewe unalijuwa hilo kuwa anachokifanya Ndacha ni kuwababaisha tu. Simulizi chukuwa Qur'an uisome halafu ishi kwenye maeneo yenye waislamu wengi uangalie maisha yao.
😂😂 Simulizi mbona unambana sana Ndacha 😂😂 unatisha
mwache amfunze kwasababu kiswahili kinamsubuwa plus ujinga na chuki kumzidi
Ndacha washindwa kujibu hoja za mwenzako je, utaweza kujibu maswali ya waislamu ???
Haina tofaut tatizo kwako ndacha ni kiswahili
Hajasoma lugha huyu haelewi fasihi
Mwamba ndacha yeye anacheza na maandiko tu,huyu jamaa ni mwalimu kweli
Ndacha muogope mungu,mtume akuwa na masanamu ,ila kwenye nyumba ya mungu ndo washirikina waliweka masanamu mtume akaja akatowa.
Waislamu wanatumia akili ndio mana huwezi kuwasikia wakimtuna Yahweh, Yehova wala yule ambae Yesu kamwita Baba sababu wao si wakujifurahisha na wanajuwa kwa sifa zilizotajwa ndani ya biblia zinamstahiki mungu wa kweli lakini wakristo mhh hawajali kumtukana Allah ilimradi tu wapinge
🎉Huyu nae sasa hapo nini hujaelewa hikobnikiswahlili simpo tu tatizo la ndacha ni hajui kiswahili
Sasa sijui munampa airtime ya nn huyu mpuuzi
Haya hapa kosa lipo wapi soma hapa
Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
@@TheAlman usijali sisi wakikuyu sio mdomo yetu mueleweni tu🤣🤣
Allah akuongoze , uislam ni dini ya haki.
Waeza kunusuru bila kusaidia
✌️👊🙏.
Kutoka sadaka Hakuna maana ya Mungu anapokea rushes kumpa maiti, Nani nakubali hayo Ni mameno ya mtu,
Kiswahili ndacha kinampiga chenga sanaa
Sisi wakikuyu sio mdomo yetu muelewe😂😂😂
Haha huyu haelewi kiswahili. hakupata elimu ya msingi!
Ndacha umuongo, Kitu Cha kwanza Mtume MUHAMMAD s.a.w kupewa utume ni kupiga vita ushirikina, na njia ya kwanza ni kuyavunja Masanamu yaliyoko ktk Alkaba. Alkaba ilikengwa Kwa ajili ya kufanya ibada ya Allah lakini washirikina wakavamia na kuweka Masanamu na ndio MUHAMMAD akaanza kuyavunja.
Kunusuru na kusaidia nitofauti mr ndacha
Leta tofauti ya maana, sio kusema labda kwako
@@filexbenefits5612 si kusema kwangu tatizo Kiswahili ujui lakini ingelikuwa unaufahamu WA neno nusura na kusaidia..hata uungeliniuliza hivyo..ila kaa wataka nikwambie kubali ujui hapo ndio nikufunze but kaa nikubishana tuwachie hapo.
@@aooshosho4255 we unaweza kumsaidia MUNGU ?
Simulizi ni Mshensi Kama Washenzi wengine
Kwakweli ndacha kuelewa kwako ngumu Kiswahili yenyewe yakutatiza.
Uislam ni msiba mkubwaaa
NDA cha genius🎉🎉
We ndacha alikaaba ngani ina sanamu wakiristo si ndio mna sanamu la yesu
Ukiinusuru dini ya Allah ya Uislamu naye atakunusuru.
Mazinge na jopo lake wanainusuru dini ya Allah dhidi ya wapotoshaji kama ndacha.
Ndacha Kiswahili Hujui
Ujue ukisikilizaa kichwa chako kijitahidi kuondoka na kitu chochotee kutokana na mahojiano hayo yaliyofanyikaa. Kumbe waarabu walikuwa na miungu yao ya masanamu yalikuwa 360 Muhammad akayaondoa na kuliacha kubwaa moja hapo ALKAHAB NA NDIO MAANA KATAJA AYA MUHAMMAD ANASEMA NAMUHABUDU MUNGU WA ALKAHAB NDIOMAANA NDACHA ANASEMA ALLAH SIO MUNGU WA KWELI
Sadaka anatakiwa kupewa aliye hai ,muwape masikini wasio jiwwza au kujenga misikiti kuchimba visima Kwa ajili ya watu
MUNGU ALIE KUUMBA NA AKA MUUMBA NA MUNGU WAKO YESU AKUPE MWISHO MWEMA....
Lugha ya kiaarabu hawkuchagua wao
Umeanza kulemewa na kudhibiti hoja zakowewe simulizi
Ndacha apo sasa unataka kuleta ubishi wakitoto mkuu
Mwarabu na Quran ni vitu viwili tofauti..
Hata kama umuarabu ni lazima Quran uisomeshwe mwanzo ndio uweze kutafsiri Quran.
Ndacha huna jambo Kazi yako kupindisha ulimi.
Ndacha anajua ukweli kuhusu Quran lakini anageuza maneno TU.
Simulizi mimi napenda maswali yako hayana bias na uko katika utafiti mzuri.
Ndacha tatizo lako lugha tu kiswahili kinakupiga chenga kwelikweli.
Kwa kweli Allah wa Muhammad wa Makka siyo Mungu MUUMBA MBINGU NA ARDHI MUNGU gani anahitaji nusura?
Haha😂 Wacha tu ni cheke na mtatumia hio Quran kutetea yesu na sabato kwa Quran...
Bibilia ishasema ni Musa peke yake , alipewa uwezo wa kuongea na MUNGU wengine wote , ni maono
@@SheeMaryam.M Allah wa Muhammad ni Al hajar Al aswad Jiwe jeusi lililoko kwenye Kaaba kule Makka na ndiyo maana Waislamu wote duniani wanaosujudia kulieleke jiwe hilo wakidhani wanaosujudia MUNGU MUUMBA MBINGU NA ARDHI 😢
@@paulmushi2428 haya basi
Tatizo LA ndacha hajui kiswahili vizur
@@SheeMaryam.MSasa mohamad alipewa maono gani wakati yaliyopo kwenye quran yalikuwepo katika vitabu hata kabla hajazaliwa? Semeni alikopi na kupaste sio maono, mbona haya yapo wazi ni nn hamuelewi
Hayuko sawa umepigwa chenga
Mmh huyu ndacha kashaishiwa pointless kabisa ata mm nammudu
Kwana Yesu aliposema wakujue wewe ni Mungu wa pekee kwa nini asiseme mwenyewe kuwa wanijue mimi???
ndacha hana ujuz wa elim ya kumjua Mungu
Mungu wa pekee ni baba yake yesu na ndiye anamshuhudia
Simulizi bro ungewaeka wao wawili hapo ingekua Bora zaidi ndacha ukimuacha pekeake hua anadanganya ,sadaqa hapewi Maiti kufa unatoa chakula masikini wanakula Nia unatia imfikie Maiti thawabu hio ndio maana yake
Alishajibiwa huyu
ndacha anaujua ukwel bali ameamua kuwapotosha makafiri wenzie
Mwendo wa hawa makafiri wa umma wako nabii mhamadi hao akina Nani?
Muanzilishi wa dini ya kiislamu ni Muhamadi na ndiye aliyepewa kitabu mnaosema Adamu alikuwa muislam je alitumia kitabu gani wakati huo ? Na Je? Uislam ulianza bila ya kitabu
Shika adabu yako, uislamu haukuanzishwa na Muhammad..uislamu umeanzishwa na Mwenyezi Mungu (Allah)...Adamu alikuwa muislamu nae alipewa utaratibu wake unaoendana na uislamu wa leo, Mussa alikuwa Muislamu na alipewa torati kwa lugha yao, Daudi alipewa Zaburi kwa lugha yao na utaratibu wao, yesu alikuwa muislamu na alipewa injili kwa kiebrania na utaratibu wao unaoendana na uislam na Muhammad ni muislam (hakuanzisha uislam) na alipewa kitabu quran kwa kiarabu na utaratibu unaoendana na uislam....sasa biblia ni kitabu cha nani na kilikuwa katika lugha gani ya asili na wakati wa yesu kulikuwa hakuna biblia na wakati wa adam walitumia kitabu gani?????
Aliyekuwa akimtokea Mohamad ni adui wa malaika Gabriel, na malaika Mikael na malaika wengine wote, na hata adui wa Mungu mwenyewe Bakharah 97 na 98.
Ndacha anavyo piga mkwara sasa utajua mtu wamaana kwel😁izo hoja hata mim namjibu mbona mchawi kiswahil tu hapo
@@user-sl8hf3cq4f wakenya sisi kiswahili ni wapi na wapi especially sisi wakikuyu sio mdomo yetu mueleweni tu 🤣🤣
Ndo maana huwa mwalimu ndacha huwa yuasema hii qurani nkianzana nayo hamtafurahia kumbe ndo hii kweli mwalimu aisee
Sadaka si pesa pekee yake inaeza kua chakula mavazi sadaka ni vitu vingi
Sasa huyu ndacha vipi si ndio mana tunasoma madrasa ili tuweze kutasfiri quran mwarabu kama hajasoma hajui quran mpaka asomeshwe
Simulizi kuna k2 hua nakihisi kwako hua una bakiwa na kiu kubwa sana pndi unapotaka kujitosheleza kwa majibu kutka kwa ndacha ata ni miuslamu lakn majbu ya ndacha hua yananiacha njia panda hlg hua ctosheki kabsa.
kama kitu gani ukielewi kuhusu ndacha?
Kwanza ndacha kiswahili hajui hata kidogo, anajizonga mwenyewe. Ndacha kama sehemu huielewi katika quran tafuta mwalimu akusomeshe.....ikisha uislamu sio wa waarabu ni wa watu wote.....kwani ukristo wa waisraeli tu kwa kuwa yesu ni muesraeli...ikisha anakubali kuwa kila mtu atabeba mzigo wake na atalipwa na Mungu kwa matendo yake wala yesu hajabeba dhambi za mtu..
MSIKILIZE MWENYEZI MUNGU
ذَا الَّذِي يُقْرِضُ اللَّهَ قَرْضًا حَسَنًا فَيُضَاعِفَهُ لَهُ أَضْعَافًا كَثِيرَةً ۚ وَاللَّهُ يَقْبِضُ وَيَبْسُطُ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ
Ni nani atakaye mkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mwema ili amzidishie mzidisho mwingi, na Mwenyezi Mungu hukunja na hukunjua. Na Kwake Yeye mtarejea.
NA HAPO NAPO NDACHA KWA AKILI ZAKO PIA KUWA MUNGU ANA SHIDA NA ELA ANATAKA TUMKOPESHE????
Lugha
Soma LUGHA KWANZA NA UELEWA MUKTADHA W MAANDIKO KABLA HUJA YAKOSOA.
Ndacha huelewi kitu kabisa wewe ni mbumbumbu, na simulizi mbona shafii alikueleza vyema kabisa kuhusu ishu ya sadaka na ukaelewa, mbona kumueleza huyo ndacha huwezi? Kuielezea biblia yenu tu huwezi sasa Quran unaiwezaje kuichambua? Sio unampa mungu pesa mpuuzi wewe, kwa mfano nikajenga msikiti kwa ajili ya ndugu yako aliyekufa, means watu wakifanya ibada maita anapata thawabu.
Hio imetokea wp
Samulizi kesho mtafute shafi atuokowe
Kama inawezekana tuonesheeni mdahalo LIVE tuone
Muhammad hajasema km habari zake
Warabu dini yao, kwa io wajua hiyao
Ndacha wacha kuwachanga wakiristo
Na waeza kusaidia bila kunusuru
Kwanza usijadili neno la Allah bila kusoma qurani ni miujiza mikubwa ambayo wamethitisha mpaka wanasayansi zama zetu waloyaona ndani qur ani rejea ktk uthibisho wao vitabu tele
Hata uko ni mbali utume wake peke yake na maneno yake Mungu hana mwana io tosha, Ndacha tosha hata wamalize miaka mamia hatawahi tosha kiakili labda mtu mbumbumbu
Alafu huyo anaekuoji sidhani kaa ni muislam juu hata kuna mambo yuajibu bila kuelewa yuajibu nini
Ndacha zile Sadaka unazo chukua Kanisani za Nini?
Eti ameunganisha masanamu yooooote likawa sanamu moja kubwa😂😂😂
Ndacha wewe bwege ee😂😂😂
Haya maneno umeyatoa wapi wewe😂😂😂😂
Hatari sana
Ndugu mtangazaji kama hujui Quran huyo anakudanganya mwambie akupe hilo andiko HANA HALIPO NA HALITAKUWEPO MILELE
Aliyetumwa Ibrahim kujenga alkaba ni nani?
Yaan mm ktk mt ambae sijawah kumuelewi ni huyu ndacha.Akajifunde kwanza kiswahili maana ata mwenyewe nina uhakika hakijui anachokisema
Huwezi kumwelewa Ndacha Kwa sababu ulishapofushwa na majin😢
@@paulmushi2428 hakuna majini hakuna nn huyo ndacha anachokiongea hazieleweki.Aingie darasan asome tena mpk lugha
@@AbdulhamiduKanula-hq4lx Ndacha alishasoma wewe ndiyo unatakiwa ukasome Qur'an yako ndiyo utamwelewa Ndacha
@@AbdulhamiduKanula-hq4lxfatilia jini zam zam kazi yake ni nini katika uislam kisha tafakari
@@mobutu3884umemsoma kwenye Aya gani ya Qur'an
Kumbe kweli mdacha hanaga hoja sasa iko kiswahili kidogo umeshindwa kukielewa unataka tukusaidieje?😂😂😢
Ndacha ww unasema hakuna mungu ww ulijiumba mwenyewe mbingu na ardhi zilijileta wenyewe ,Adamu kajiumba mwenyewe,huyo unaye sema mungu wako issa kajiumba mwenyewe wacha kupotosha watu ww
Ndacha Hapa unapotea means you're ignoring your lord the one who created everything. Whatever you are urging is totally wrong according to Islam and know that Islam is the only true religion. Bible and any other religions is fake and whoever disbelief the wholy Qura'an like Ndacha will be punished. Allah says about disbelievers "Ulaika kal an'aami " means those disbelievers they're like animals "
Allah is not the living GOD we know.
Acha ukafiri Ndacha ww huezi kufasiri kor'ani bibilia yenyewe huijuwi vizuri itakua kor'ani kor'ani ningumu sana ww kafiri huwezi kuifasiri waachie waislam bwana kwanza ww mkenya hujuwi kiswahili
Na waislamu muandike mada nzuri katika video zenu so kuandika vitu vya ajabu eti mkristo kasimu katikati ya mhadhara kutazama video hamna kitu sijui ndo kufurahisha wasislamu kutazama🤔
Simulizi uislamu haujaanzishwa na warabu
Uislamu ni Dini ya Waarabu Maqureishi wa Makka siyo dini ya mungu
Uislamu ulianzishwa na Muhamani muhamadi ni mwafrika au mwalabu . Tatizo lenu waislamu mnakalili tu bila kuchunguza maandiko . Muhamadi ndiye aliyeshushiwa kitabu au uislamu ulianza bila kitabu?
@@joachimluhamo3042Mohamed hajaleta uislam wala kuwazisha uislam wewe ndio usomi kaa umesoma ungesema Sisi tunakaririshwa...ila nakujulisha kiaSi mtume Muhammed yuasema uislam uliidhiika Kwa watu kaa kitu kipya na utarudi kuwa hivyo...so kaa waelewa Kiswahili utajuwa uislam ulikuwepo kabla yeye japo watu waliona kaa kitu kipya... ndiposa yakob aliwambia watoto wake wasife ila wakiwa waislamu.. yakob na mohamad nani katangulia mwenzake.
kwani huyo anaonga maiti,? maiti hana ijara bwana awezi tumia hiyo pesa😭
Hhhhhhh ndacha kasha Tupu
Sasa hapa amebanwa vipi na hoja za ustadhi shafi sasa?
Ni suala la lugha tu.
Kozi nikauli sahihi lakini wewe ndacha kisw hujui vzr.
Hapo pana kauli ya kunuu
Handiko lina sema mtoleeni sadaka , sasa wewe ndacha apo apo unasema ni kumpa maiti sadaka , alafu wa fuwazi wako wanaona umeongea kitu ya maana saana
Km ww ni mjumbe bc muhamadi ni mjumbe Kwa Allah
Nyama ya ngurue imemnusuru Mwisilamu 😂😂 wewe Ndacha wewe 🤣🤣🤣
ee mola wangu tusaidie wewe ndacha ni mwalimu wa uongo!
Na huyu mtangazaji pia ata hajielewi ssa una enda kuhiji mtu na uko ba ushabik uwanahabari gani huu 😂😂😂 kama wee n Muslim baki na uisalm wako bro wacha ushabik wa kijinga ili kufaidisha waislam
Kumbe ndacha ni bogas halielewi kiswahili hata kidogo duh
Ndacha nenda shule kajifunze lugha
Simulizi wewe jifikilie kuna mwanadamu anaweza kumsaidia,kumnusuru mungu kitu chochote?
Na wewe sawa na Ndacha akili finyu
@@nassorsharifu9837 sio wewe mungu unaweza kumnusuru kwamba kakwama au anaitaji msaada wako inangia kwa akili