🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
    Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Airtel Money +255782466586
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    RUclips @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    RUclips @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv

Комментарии • 214

  • @antfungal
    @antfungal Месяц назад +4

    mimi napenda sana njinsi tunavyopendana dini zote iziii mbili,,, eee mwenyezi mungu tusaidie upendo kudumu milele na milele Amina,,,, hii aman ni nzuri sanaaa ndungubzanguni

  • @robertotieno5443
    @robertotieno5443 3 месяца назад +15

    May the Lord Jesus Christ bless you more evangelist Ndacha Francis. you're a warrior of Christ 2024.

  • @elkairosway1895
    @elkairosway1895 3 месяца назад +8

    Ndugu Waislam, someni Biblia kwa kujua Mungu, sio kumpinga Yeye!

  • @Fedrick-jb8xb
    @Fedrick-jb8xb 2 месяца назад +12

    Ndacha mungu akubariki

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela Месяц назад

      nabii yesu toshekeni na hayo mumuani mungu wapekee

  • @MakameSilima-j3s
    @MakameSilima-j3s 10 дней назад

    Fantastic Dr sule Allah akulipe mema (Duniani na Akhera)

  • @changomajuma9841
    @changomajuma9841 Месяц назад +1

    Ndacha wenu siku hizi alikubali katika huu mjadali, anaamani sasa kuna Mungu na Kuna Yesu. Siku hizi hataki habari za utatu tena

  • @ahmadbelier3160
    @ahmadbelier3160 3 месяца назад +8

    Dr Sule Mungu akupe maisha marefu tena mazuri na akupe mwisho mwema 🤲

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola 3 месяца назад +2

    Before Abraham was I'm MAANA YAKE "Kabla ya ibrahimu kulikuwako na mungu" maana I'm lilikua ni jina la mungu. Mbona wakristo mnadanganyana sana

  • @DanielErnest-nn2zj
    @DanielErnest-nn2zj 3 месяца назад +8

    Ndacha ubarikiwe kwa kusema kwe waislam wamezidiwa tena kwa kiwango kikubwa sana, injili na isonge mbele

  • @Ax-xpress
    @Ax-xpress 24 дня назад +1

    Kuwafanya Waislam wamuamini Yesu kuwa ni Mungu ni ngumu saan.. Maana ata Wakristo wenyewe kumjua Yesu kwa ufunuo kuwa yeye ni nan bado hamna..!

  • @augustinemagesa5743
    @augustinemagesa5743 3 месяца назад +17

    Daah m naona waisilamu kuna kitu wanakikosa kwenye maisha ya KIROHO. Yani wapo mwilini sana

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 3 месяца назад +1

      Hawana roho wa Mungu ila Yesu atakuja ipo siku sule atashangaa sana

    • @tubanefrancine
      @tubanefrancine 3 месяца назад +2

      mimi ni muisilamu swari ndogo
      Yesu kafa amamungu
      au. kafa mutu
      Jibu kwa Roho soma 1timoteo 6.16 AllAH hawezi kufa mupe eshima naumuogope

    • @edisonpeter3894
      @edisonpeter3894 3 месяца назад

      Huu ndiyo ukweli

    • @saibathmwani7126
      @saibathmwani7126 2 месяца назад

      🎉1​@@dennisezakiel3380

  • @mussalucas8452
    @mussalucas8452 11 дней назад

    Ndacha Mungu akubariki sana

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk 3 месяца назад +5

    Waislamu sijui huelewaje maandiko

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 3 месяца назад +3

    Ndacha ana maslahi mapana sana na Ukristo hatokuja kuslimu kamwe, kuslimu kwake kutauangusha pakubwa sana Ukristo. Ndiomaana anacheza na vipengele vya ujanja ujanja kuuweka Ukristo kwenye ramani. Lakini moyoni mwake anaujua ukweli

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 3 месяца назад

      Aache njia ya kwelii aende kwenye majinii😂😂

    • @mhandoonthebeats8581
      @mhandoonthebeats8581 3 месяца назад

      Ndacha ni mwalimu mzuri sana

    • @mrbadae
      @mrbadae 3 месяца назад

      Hakuna uhusiano wowote baina ya Muislamu na Majini,mwenye anasema Majini ni kwa ajili yake mwenyewe na maslahi yake ya kidunia, soma Quran 6:128

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 3 месяца назад

      😢

  • @BroibraEvanston
    @BroibraEvanston Месяц назад +1

    Ndacha mungu akubaliki sana

  • @MichaelAbel-s4r
    @MichaelAbel-s4r 3 месяца назад +2

    Kila kitu Kiko sawa ktk maandiko ya BIBLIA ,tatizo la kwanza ,kutokuokoka( kuzaliwa mara ya pili),jambo la pili BIBLIA (Neno ni Roho),waabuduo ni ktk Roho na kweli,huwezi kuelewa ni budi ujazwe Roho, kuyajua mambo ya Roho yatafasiriwa Kwa jinsi ya roho na mtu wa rohoni hutambua yote Wala yeye hatambuliwi,tangu midahalo hayupo anayetubu ila kufanya mioyo kuwa migumu,hatima ya mdahalo (lnjili ihubiriwe) mtaona matokeo .Amen

  • @JeanBaptisteViseke-d4t
    @JeanBaptisteViseke-d4t 4 дня назад

    Dr seule ni misongo anapo sema mungu alisema n'a haruni kwamba apige fimbo yake mavumbi iwe chawa. Mungu hakusema n'a yesu aumbe Nadège hâta kama aliiumba kwa izini ya mungu.

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 3 месяца назад +4

    Mashallah sheikh Dr Sule waoneshe haki waace kufuru wajuwe mungu afanani nacocote azayi awo azariwi afanani nacocote uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @johnkisubi8974
    @johnkisubi8974 3 месяца назад +2

    Ndacha wow barikiwa

  • @RichardAkili-w6d
    @RichardAkili-w6d 2 месяца назад

    Mwambiyeni docta sule ati yesu mwenye alikwambiya shetani asimujaribu bwana mungu wake,,,,,,,,,,,, Amina

  • @kinglastbornmedia1474
    @kinglastbornmedia1474 3 месяца назад +3

    Hii ngoma ya Imani nikumuachia mungu ndio atupe uongofu

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela Месяц назад

      hakuna kumuachia mungu sikliza hoja za msingi inamana wewe huelewi we silimu tu ndugu usiufanye moyo mgumu

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela Месяц назад

      we mtu kazaliwa na mwanamke kama mm na wewe half unamwita mungu et kwa sababu ya miujiza na hyo miujiza wa kuifanya ni mungu Sasa uungu wa yesu unatoka wp

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela Месяц назад

      mungu ashatupa miongozo ya vitabu ni akili yko tu Sasa

  • @MakameSilima-j3s
    @MakameSilima-j3s 10 дней назад

    PIYA ALLAH AKUONGEZE ELIMU AMBAYO UTAITUMIA KWA AAJILI YA KUPELEKA UISLAM MBELE

  • @Fedrick-jb8xb
    @Fedrick-jb8xb 2 месяца назад +3

    Ndacha kaeleza vzr bila xhida lkn nyinyi waislamu hamuelewi

  • @FednardJohn-lx3gx
    @FednardJohn-lx3gx 9 дней назад

    Ndacha kaelewa maandishi ya kibibilia na koroani vizuri sana. Kwa hivyo yeye kajua ukweli na kweli mtupu na ndio uo anatuambia. Mungu na asidi kumbariki.

  • @ibrahimjob4343
    @ibrahimjob4343 Месяц назад

    Amen 🙏🙏🙏 atakuwa mchungaji kwajina la Yesu

  • @JeanbaptisteJAWOTO
    @JeanbaptisteJAWOTO 24 дня назад

    Bwana yesu.asifiwe

  • @nominetjacob8137
    @nominetjacob8137 3 месяца назад +1

    Hiyo ilikuwa miujiza ya MUNGU tofautisha miujiza na kuumba

  • @muqbulmuqbul7589
    @muqbulmuqbul7589 3 месяца назад +1

    ماشاء الله تبارك الله

  • @MakameSilima-j3s
    @MakameSilima-j3s 10 дней назад

    Verya fantastic debate!!!!

  • @jerrylamy6297
    @jerrylamy6297 2 месяца назад +1

    Kwa kweli Sule haelewi ndo maana ni bure kumpa ukweli.maana Mungu alivaa mwili na akawa mtuu.kama fimbo imegeuza chawa iyo sio kuumba.maana ata wachawi sasa wana umba.Duhh Sule kuwa muelewa usirudiliyi mambo na umepewa jibu

  • @meshackmadegwa5316
    @meshackmadegwa5316 2 месяца назад +1

    Amina

  • @SACCHARUM-t3q
    @SACCHARUM-t3q 3 месяца назад +1

    Kwa YESU kuna shuhuda mbili [ushuhuda wa mbinguni, Baba Neno na Roho (YESU huyo mmoja hao wa 3,wanashuhudia Uungu wake) , ushuhuda wa duniani,Roho damu na maji (hayo matatu pia yanashuhudia Utu wake)1yoh5:6-9 {Yote ni ndani ya YESU MUNGU mukubwa Tito 2:13

  • @tamimBasha-e6p
    @tamimBasha-e6p Месяц назад +1

    Samshanini wahadhiri katika midahalo .
    Kwanza ndacha hajuwi kiswahili .pili anazungusha maada .Hana Majibu ya kielimu.

  • @MjMohammed-nt6fq
    @MjMohammed-nt6fq 2 месяца назад +1

    Yaan tes kasema mm ni wa mwanzo na ni wa mwisho nacha kauunganisha kwamba yeye mungu duu inawezekana alimaanisha mtume wa mwanzo na wa mwisho

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 3 месяца назад +2

    Sio upendeleo ila Ndacha nikuelewa unasema kweli ya Mungu

  • @harithkheri
    @harithkheri 3 месяца назад +1

    mashallah doctor sule

  • @nikusekelakajumba7697
    @nikusekelakajumba7697 3 месяца назад

    Mch, Munguakubariki sana

  • @vincentnyabuto5647
    @vincentnyabuto5647 3 месяца назад +4

    Spiritual matters don't ask Muslims. Ask them juu ya ndevu

  • @damarisnjerichege100
    @damarisnjerichege100 3 месяца назад

    Yesu ni Mungu.ndio njia ya kweli na uzima

    • @tubanefrancine
      @tubanefrancine 3 месяца назад

      matendo yamitume 7.55 yesu anasimama mbinguni ushoto kwake na AllAH
      wewe huwoni kamakuna mungu na yesu kweri dadayangu eshimu allah

  • @yohanaswalo4716
    @yohanaswalo4716 Месяц назад +1

    YESU Aukumbuke Uzao wako

  • @joshuajohn8533
    @joshuajohn8533 3 месяца назад +4

    Mambo ya Yesu Kristo hakuna mtu anaweza kuelewa mpaka Mungu mwenyewe akujalie

    • @sadiqkivunjor5698
      @sadiqkivunjor5698 3 месяца назад

      Yesu ni mtu acha kudanganya watu ,ukristo ni ukafiri

    • @tubanefrancine
      @tubanefrancine 3 месяца назад

      Kwanini huwezi kuerewa mambo ya yesu MATAYO 6.9-13 soma yakwake mazuri sana kwa wanao sari amayeye siwengine waisilamu maashallah

    • @joshuajohn8533
      @joshuajohn8533 3 месяца назад

      @@sadiqkivunjor5698 Siko hapa kumtete Yesu Kristo Bali yeye anajitetea mwenyewe kila aliyemwamini na kumkubali katika Roho na kweli Ana uhakika wa kuishinda dhambi ya Ufiraji, ulawiti, usagaji, uasherati, uzinzi, choyo, uchawi, ushirikina, matukano,wizi, ubinafsi na mengine yanayofanana na hayo. Nakuuliza swali wewe hujawahi kumfira mwanamke ?

    • @mohamedamin7458
      @mohamedamin7458 Месяц назад

      Mungu hawezi tumia binadamu kitu hawezi fahamu ama kwa kimombo beyond human comprehension.

    • @AnnoyedCobra-lq7fb
      @AnnoyedCobra-lq7fb Месяц назад

      ​@@sadiqkivunjor5698😢😢😢😢

  • @meshackmadegwa5316
    @meshackmadegwa5316 2 месяца назад

    Amina Amin

  • @mrbadae
    @mrbadae 3 месяца назад

    Kama na Yesu pia ni Mungu kwa kuwa ni Mwana wa Mungu basi Mungu watakuwa ni wangapi?

  • @tubanefrancine
    @tubanefrancine 3 месяца назад +1

    A.S.W.W mimi ni mutu wa Rwanda nataka niurize Pastor Ndaca anakubari waungu wangapi Sababu mungu akizaa niweri anazaa mungu ndomana AllAH Azar
    YOHANA 20.17 yesu kasema baba yangu ndie baba yenu
    Ndaca nikurize mbone yesu kishasema nasisi niwatoto wamungu kamayeye nawewe nimungu ?

  • @daurdwambuto1877
    @daurdwambuto1877 2 месяца назад +1

    Mwislamu hawezi kukuelewa labda mungu mwenyewe aingilie kati

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 2 месяца назад

    Kwa ufasaha waislamu tunasoma elimu kwa wakristo ndio maana kubwa, Ndacha Ni mwalimu

  • @dantodebrown7525
    @dantodebrown7525 3 месяца назад +3

    mm ni mkristu lkn mujibu wa bibilia yesu si mungu nmeshika bibilia apa ndacha unababaisha maneno hyu sule ni mwalimu

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088 2 месяца назад +1

    Cha ajabu ukimuuliza ndacha Kuna mungu ni wangapi atasema ni mmoja

    • @egdiusbuberwa1109
      @egdiusbuberwa1109 Месяц назад

      N mungu mmoja mwenye nafs 3 baba ,mwana na roho mtakatifu

  • @katerelomkuyati6764
    @katerelomkuyati6764 24 дня назад

    MAKAFIRI KWISHA HABARI YAO

  • @danibboy6831
    @danibboy6831 26 дней назад

    Uusilamu nisawa mana nisawa kumpenda mtu kuliko kiroho mana mgeni akikukujia huwezi jua kakujia kivipi vipi💪

  • @MichaelMesso-q5m
    @MichaelMesso-q5m 27 дней назад

    ❤❤❤

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p Месяц назад +1

    Yani kazaliwa na mama yake halafu nimwite mungu haingii akilini hata. Mtoto mchanga naungana na waislam

  • @zuenahassan8882
    @zuenahassan8882 Месяц назад +1

    Wakristo aki mnakufuru ati mungu amemtumia yesu kuumba ulimwengu duuh hata huyo yesu mwenyewe anashtuka wallahi wakati yye ameumbwa na mungu

    • @CaltonMallya-zj6cp
      @CaltonMallya-zj6cp Месяц назад

      Mithali 8
      23 Nalitukuka tokea milele, tangu awali, Kabla haijawako dunia.
      26 Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde Wala chanzo cha mavumbi ya dunia;
      27 Alipozithibitisha mbingu nalikuwako; Alipopiga duara katika uso wa bahari;
      29 Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;
      30 Ndipo nilipokuwa pamoja naye, kama stadi wa kazi; Nikawa furaha yake kila siku; Nikifurahi daima mbele zake;
      31 Nikiifurahia dunia inayokaliwa na watu; Na furaha yangu ilikuwa pamoja na wanadamu.

  • @rachelkamaze
    @rachelkamaze 2 месяца назад

    Ndacha barikiwe sana

  • @NdumeKabwe
    @NdumeKabwe Месяц назад +1

    Dr sule utakufa mubaya sana ndugu yangu

  • @Fibicant-pu6xg
    @Fibicant-pu6xg Месяц назад

    Hallelujah❤❤

  • @GeraldSichula
    @GeraldSichula 12 дней назад

    Good debates

  • @exsavermateus2670
    @exsavermateus2670 Месяц назад

    Salut nchungaji

  • @JesseYesemen
    @JesseYesemen 16 дней назад

    Ongera sana kwa mudaholo huyo.

  • @omarysadiki9923
    @omarysadiki9923 17 дней назад

    Mungu kavaa mwili akatoka kwenye uchi wa kiumbe alichoumba mwenyewe..Mariam mwanamke bora asee. Mungu huyu anayegeuka geuka huyuuu mutamuabudu nyinyi kwakweli

  • @edwinmahonga4063
    @edwinmahonga4063 2 месяца назад

    Kufanya na kuumba kuna tofauti,,haruni alitumia fimbo,ila yesu alitumia pumzi

  • @henchkidd
    @henchkidd Месяц назад

    Ndacha 🎉🎉

  • @SACCHARUM-t3q
    @SACCHARUM-t3q 3 месяца назад +1

    Injili ya mwalimu Ndacha ni ushuhuda mukubwa,wale watakao potea ni kwa kutaka kwao wenyewe

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo 12 дней назад

    Nawaambien sule hakuna cha maana alichosema.ila mnaharibiwa ufahamu bure ,,poleni sana jamani duh

  • @issapetro4960
    @issapetro4960 13 дней назад

    Waislamu ukiwaamba shetani ana faida watakubali

  • @damarisnjerichege100
    @damarisnjerichege100 3 месяца назад

    Yesu ndio njia ya kweli tu

    • @tubanefrancine
      @tubanefrancine 3 месяца назад

      YOHANA 17.3 ukitaka uzima wa mirere kubari yesu ariye kwambieni usimuone kama AllAH arikukataza

  • @eddyworldwide
    @eddyworldwide 27 дней назад

    Dr sule umempiga jamaa KO😂😂 ukiangalia video mpaka mwisho utaelewa nasema nini🙌🏽

  • @Mbonimpaolenga
    @Mbonimpaolenga Месяц назад

    Pasta ndacha mungu akubaliki

  • @kayeesbelewa4819
    @kayeesbelewa4819 2 месяца назад +1

    uyo Sulle hamna kitu kabisa,anang,ang,nia Yesu kimuwili hamjui Yesu kiroho.

  • @JamilaKambanga
    @JamilaKambanga Месяц назад

    Bado sana ndacha tunataka mimi ni mungu

  • @KwasaNgondo-y1k
    @KwasaNgondo-y1k 13 дней назад

    Dr sile na ndschs

  • @richardchimba3800
    @richardchimba3800 3 месяца назад +1

    Sule ameshindwa kwenye hii debate

    • @IssaMsalama-k6x
      @IssaMsalama-k6x 3 месяца назад

      Ndacha anaongeza maneno yake yeye,sule anacheza na mahandiko ndio utifauti mnao uwona hapo

  • @issackmakanga5603
    @issackmakanga5603 3 месяца назад +1

    Dr Sule ameshindwa na mada, mada ni ngumu kwake,anajirudia kila apandapo jukwaani,aachwe aende aisomee kwanza halafu akirudi ni upatizo tu.

  • @AlHassan-en6gl
    @AlHassan-en6gl 3 месяца назад

    You will never get away from it unless you open your inner ears and heart to understand. Perhaps it doesn't make sense that Jesus is God

  • @FrankNzombo-k3j
    @FrankNzombo-k3j Месяц назад +1

    Nguruwe anaongea aliyesema wamasai si watanzania Leo raisi mwenyewe amekuona nguruwe

  • @Mbonimpaolenga
    @Mbonimpaolenga Месяц назад

    Sele itika ndacha mungu akubaliki

  • @NeroForte_
    @NeroForte_ Месяц назад

    Hata kama wewe ni uislamu Ukikutana na mchawi au uchawi sema KWA JINA LA YESU. Ndipo utajua Yesu ni Kristo na Yesu ni nani. Acha hizi mizaha.

  • @ezymkal7134
    @ezymkal7134 3 месяца назад +2

    DR SULE MUNGU AKUPE LONG LIFE
    👋

  • @mathewlive77
    @mathewlive77 Месяц назад

    We watch and slide on the comments section

  • @mwambiretv165
    @mwambiretv165 2 месяца назад

    Hizi dini n fasihi lkn waislamu kuelewa story ya ukristo n ngumu sana coz yao iko very direct kwa sababu aliyeandika hakua na content

  • @ndayishimiyejaphet4927
    @ndayishimiyejaphet4927 26 дней назад

    Huyu sule siyo dr hajuwi bitabu kbs

  • @DavlenDavid-m4f
    @DavlenDavid-m4f Месяц назад

    Waislam someni aya na kuelewa muktadha wa aya

  • @MarcellinMitamo-jx6qu
    @MarcellinMitamo-jx6qu Месяц назад

    Nawapenda wenye viti wote

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 20 часов назад

    Basi ata yesu wa tongaren anajiita yesu mm naona akiwa sahihi isiwe tu ni muzungu pekee ndio yesu yesu wa tongaren Uko sahihi baki kua yesu wala usiogope

  • @jubiercib3074
    @jubiercib3074 Месяц назад

    Ndacha kichwa kibovu hana alijualo jt moja

  • @MirriamWamuyu-gy6of
    @MirriamWamuyu-gy6of 20 дней назад

    mm hapa nauliza ikawezekana Jesu akaje na Muhammad akaje utafuata nani

  • @MbappeHeritie-rx1hq
    @MbappeHeritie-rx1hq Месяц назад

    Ndasha unatisha aposafi

  • @Mutua-h9r
    @Mutua-h9r 3 дня назад

    Ndachaa😂😂 hogereaah

  • @zuenahassan8882
    @zuenahassan8882 Месяц назад +1

    Wakristo cjui mtafunguka macho lini huyo yesu akirudi aje akatae aseme mimi cwezi kuwa mungu mnakufuru mi ni kiumbe wa mungu mtajitia wapi takuwa mmechelewa motoni nyote

    • @CaltonMallya-zj6cp
      @CaltonMallya-zj6cp Месяц назад

      Isaya 25
      9 Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.

    • @CaltonMallya-zj6cp
      @CaltonMallya-zj6cp Месяц назад

      Matendo ya Mitume 1
      11 wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona mmesimama mkitazama mbinguni? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake mbinguni.

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 3 месяца назад +1

    😂😂🤣🤣🤣 sule acha hizo Yesu kristo atakuja kuhukumu walio hai na waliokufa atakuja na kila jicho litamuona,

  • @Idi-y3u
    @Idi-y3u 17 дней назад

    Vc

  • @JuniorSancho-l2r
    @JuniorSancho-l2r 4 дня назад

    Uyu sule anajibu vitu kulingana na hakili yake c kuligana na vitambu

  • @danibboy6831
    @danibboy6831 26 дней назад

    Na Ina mana kwa ulimwengu wa ki dini pia Kuna siasa😂😂😂

  • @Nkwimb
    @Nkwimb 2 месяца назад

    Please naiomba jii.

  • @RoseRashidi-p9b
    @RoseRashidi-p9b Месяц назад

    Ndacha uyo asikuumize kichwa nenda naakilizake mwambie hata alipo fufuka aienda kuandaa makao mbinguni mana mwanadamu anafufuka siku tatu nakukaa mbinguni milele yote

  • @katerelomkuyati6764
    @katerelomkuyati6764 24 дня назад

    😂😂😂😂😂😂
    NDACHA AMEUMBUKA SANA

  • @BahoAsuman
    @BahoAsuman Месяц назад

    Waisilam nimacomedi hawajuwi wanacokifanya

  • @joshuajohn8533
    @joshuajohn8533 3 месяца назад

    Juzi tumefanya mkutano wa injili waislamu wangu pepo wachafu zimewatoka na wameokoka na tumetumia Jina la Yesu kukemea pepo wachafu wakapiga kelele wakawatoka watu

    • @sadiqkivunjor5698
      @sadiqkivunjor5698 3 месяца назад

      Acha kuwaongopea watu wakati mkristo wa kwanza ni shetani

  • @ImanNjogolo
    @ImanNjogolo 12 дней назад

    Duh sitaki kumsikiliza sule.acha utani wako.wa kiaina

  • @elkairosway1895
    @elkairosway1895 3 месяца назад

    Isaiah 7:14