🔴
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- 🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RUclips @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RUclips @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
mimi napenda sana njinsi tunavyopendana dini zote iziii mbili,,, eee mwenyezi mungu tusaidie upendo kudumu milele na milele Amina,,,, hii aman ni nzuri sanaaa ndungubzanguni
May the Lord Jesus Christ bless you more evangelist Ndacha Francis. you're a warrior of Christ 2024.
Ndugu Waislam, someni Biblia kwa kujua Mungu, sio kumpinga Yeye!
Yesu sio mungu
Yesu ni nabii jamani!!!
Mungu hatoki njia za mkojo
@@abuuhassani497😂😂
Ndacha mungu akubariki
nabii yesu toshekeni na hayo mumuani mungu wapekee
Fantastic Dr sule Allah akulipe mema (Duniani na Akhera)
Ndacha wenu siku hizi alikubali katika huu mjadali, anaamani sasa kuna Mungu na Kuna Yesu. Siku hizi hataki habari za utatu tena
Dr Sule Mungu akupe maisha marefu tena mazuri na akupe mwisho mwema 🤲
Before Abraham was I'm MAANA YAKE "Kabla ya ibrahimu kulikuwako na mungu" maana I'm lilikua ni jina la mungu. Mbona wakristo mnadanganyana sana
Ndacha ubarikiwe kwa kusema kwe waislam wamezidiwa tena kwa kiwango kikubwa sana, injili na isonge mbele
Kuwafanya Waislam wamuamini Yesu kuwa ni Mungu ni ngumu saan.. Maana ata Wakristo wenyewe kumjua Yesu kwa ufunuo kuwa yeye ni nan bado hamna..!
Daah m naona waisilamu kuna kitu wanakikosa kwenye maisha ya KIROHO. Yani wapo mwilini sana
Hawana roho wa Mungu ila Yesu atakuja ipo siku sule atashangaa sana
mimi ni muisilamu swari ndogo
Yesu kafa amamungu
au. kafa mutu
Jibu kwa Roho soma 1timoteo 6.16 AllAH hawezi kufa mupe eshima naumuogope
Huu ndiyo ukweli
🎉1@@dennisezakiel3380
Ndacha Mungu akubariki sana
Waislamu sijui huelewaje maandiko
Ndacha ana maslahi mapana sana na Ukristo hatokuja kuslimu kamwe, kuslimu kwake kutauangusha pakubwa sana Ukristo. Ndiomaana anacheza na vipengele vya ujanja ujanja kuuweka Ukristo kwenye ramani. Lakini moyoni mwake anaujua ukweli
Aache njia ya kwelii aende kwenye majinii😂😂
Ndacha ni mwalimu mzuri sana
Hakuna uhusiano wowote baina ya Muislamu na Majini,mwenye anasema Majini ni kwa ajili yake mwenyewe na maslahi yake ya kidunia, soma Quran 6:128
😢
Ndacha mungu akubaliki sana
Kila kitu Kiko sawa ktk maandiko ya BIBLIA ,tatizo la kwanza ,kutokuokoka( kuzaliwa mara ya pili),jambo la pili BIBLIA (Neno ni Roho),waabuduo ni ktk Roho na kweli,huwezi kuelewa ni budi ujazwe Roho, kuyajua mambo ya Roho yatafasiriwa Kwa jinsi ya roho na mtu wa rohoni hutambua yote Wala yeye hatambuliwi,tangu midahalo hayupo anayetubu ila kufanya mioyo kuwa migumu,hatima ya mdahalo (lnjili ihubiriwe) mtaona matokeo .Amen
Dr seule ni misongo anapo sema mungu alisema n'a haruni kwamba apige fimbo yake mavumbi iwe chawa. Mungu hakusema n'a yesu aumbe Nadège hâta kama aliiumba kwa izini ya mungu.
Mashallah sheikh Dr Sule waoneshe haki waace kufuru wajuwe mungu afanani nacocote azayi awo azariwi afanani nacocote uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Sule hajagusa hata hoja moja hapo amekwama
Hata mafarisayo hivo hivo😅😅😅😅
Ndacha wow barikiwa
Mwambiyeni docta sule ati yesu mwenye alikwambiya shetani asimujaribu bwana mungu wake,,,,,,,,,,,, Amina
Hii ngoma ya Imani nikumuachia mungu ndio atupe uongofu
hakuna kumuachia mungu sikliza hoja za msingi inamana wewe huelewi we silimu tu ndugu usiufanye moyo mgumu
we mtu kazaliwa na mwanamke kama mm na wewe half unamwita mungu et kwa sababu ya miujiza na hyo miujiza wa kuifanya ni mungu Sasa uungu wa yesu unatoka wp
mungu ashatupa miongozo ya vitabu ni akili yko tu Sasa
PIYA ALLAH AKUONGEZE ELIMU AMBAYO UTAITUMIA KWA AAJILI YA KUPELEKA UISLAM MBELE
Ndacha kaeleza vzr bila xhida lkn nyinyi waislamu hamuelewi
Ndacha kaelewa maandishi ya kibibilia na koroani vizuri sana. Kwa hivyo yeye kajua ukweli na kweli mtupu na ndio uo anatuambia. Mungu na asidi kumbariki.
Amen 🙏🙏🙏 atakuwa mchungaji kwajina la Yesu
Bwana yesu.asifiwe
Hiyo ilikuwa miujiza ya MUNGU tofautisha miujiza na kuumba
ماشاء الله تبارك الله
Verya fantastic debate!!!!
Kwa kweli Sule haelewi ndo maana ni bure kumpa ukweli.maana Mungu alivaa mwili na akawa mtuu.kama fimbo imegeuza chawa iyo sio kuumba.maana ata wachawi sasa wana umba.Duhh Sule kuwa muelewa usirudiliyi mambo na umepewa jibu
Amina
Kwa YESU kuna shuhuda mbili [ushuhuda wa mbinguni, Baba Neno na Roho (YESU huyo mmoja hao wa 3,wanashuhudia Uungu wake) , ushuhuda wa duniani,Roho damu na maji (hayo matatu pia yanashuhudia Utu wake)1yoh5:6-9 {Yote ni ndani ya YESU MUNGU mukubwa Tito 2:13
Samshanini wahadhiri katika midahalo .
Kwanza ndacha hajuwi kiswahili .pili anazungusha maada .Hana Majibu ya kielimu.
Yaan tes kasema mm ni wa mwanzo na ni wa mwisho nacha kauunganisha kwamba yeye mungu duu inawezekana alimaanisha mtume wa mwanzo na wa mwisho
Sio upendeleo ila Ndacha nikuelewa unasema kweli ya Mungu
mashallah doctor sule
Mch, Munguakubariki sana
Spiritual matters don't ask Muslims. Ask them juu ya ndevu
Wewe nyoa ndevu upake make up😂
Yesu ni Mungu.ndio njia ya kweli na uzima
matendo yamitume 7.55 yesu anasimama mbinguni ushoto kwake na AllAH
wewe huwoni kamakuna mungu na yesu kweri dadayangu eshimu allah
YESU Aukumbuke Uzao wako
Mambo ya Yesu Kristo hakuna mtu anaweza kuelewa mpaka Mungu mwenyewe akujalie
Yesu ni mtu acha kudanganya watu ,ukristo ni ukafiri
Kwanini huwezi kuerewa mambo ya yesu MATAYO 6.9-13 soma yakwake mazuri sana kwa wanao sari amayeye siwengine waisilamu maashallah
@@sadiqkivunjor5698 Siko hapa kumtete Yesu Kristo Bali yeye anajitetea mwenyewe kila aliyemwamini na kumkubali katika Roho na kweli Ana uhakika wa kuishinda dhambi ya Ufiraji, ulawiti, usagaji, uasherati, uzinzi, choyo, uchawi, ushirikina, matukano,wizi, ubinafsi na mengine yanayofanana na hayo. Nakuuliza swali wewe hujawahi kumfira mwanamke ?
Mungu hawezi tumia binadamu kitu hawezi fahamu ama kwa kimombo beyond human comprehension.
@@sadiqkivunjor5698😢😢😢😢
Amina Amin
Kama na Yesu pia ni Mungu kwa kuwa ni Mwana wa Mungu basi Mungu watakuwa ni wangapi?
A.S.W.W mimi ni mutu wa Rwanda nataka niurize Pastor Ndaca anakubari waungu wangapi Sababu mungu akizaa niweri anazaa mungu ndomana AllAH Azar
YOHANA 20.17 yesu kasema baba yangu ndie baba yenu
Ndaca nikurize mbone yesu kishasema nasisi niwatoto wamungu kamayeye nawewe nimungu ?
Mwislamu hawezi kukuelewa labda mungu mwenyewe aingilie kati
Kwa ufasaha waislamu tunasoma elimu kwa wakristo ndio maana kubwa, Ndacha Ni mwalimu
mm ni mkristu lkn mujibu wa bibilia yesu si mungu nmeshika bibilia apa ndacha unababaisha maneno hyu sule ni mwalimu
Wewe ni mnafiki
@@benjaminwekesawamalwa2854 endelea kuwa na dogma za mababa wa kanisa soma bibilia
Cha ajabu ukimuuliza ndacha Kuna mungu ni wangapi atasema ni mmoja
N mungu mmoja mwenye nafs 3 baba ,mwana na roho mtakatifu
MAKAFIRI KWISHA HABARI YAO
Uusilamu nisawa mana nisawa kumpenda mtu kuliko kiroho mana mgeni akikukujia huwezi jua kakujia kivipi vipi💪
❤❤❤
Yani kazaliwa na mama yake halafu nimwite mungu haingii akilini hata. Mtoto mchanga naungana na waislam
Wakristo aki mnakufuru ati mungu amemtumia yesu kuumba ulimwengu duuh hata huyo yesu mwenyewe anashtuka wallahi wakati yye ameumbwa na mungu
Mithali 8
23 Nalitukuka tokea milele, tangu awali, Kabla haijawako dunia.
26 Alipokuwa hajaiumba dunia, wala makonde Wala chanzo cha mavumbi ya dunia;
27 Alipozithibitisha mbingu nalikuwako; Alipopiga duara katika uso wa bahari;
29 Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;
30 Ndipo nilipokuwa pamoja naye, kama stadi wa kazi; Nikawa furaha yake kila siku; Nikifurahi daima mbele zake;
31 Nikiifurahia dunia inayokaliwa na watu; Na furaha yangu ilikuwa pamoja na wanadamu.
Ndacha barikiwe sana
Dr sule utakufa mubaya sana ndugu yangu
Hallelujah❤❤
Good debates
Salut nchungaji
Ongera sana kwa mudaholo huyo.
Mungu kavaa mwili akatoka kwenye uchi wa kiumbe alichoumba mwenyewe..Mariam mwanamke bora asee. Mungu huyu anayegeuka geuka huyuuu mutamuabudu nyinyi kwakweli
Kufanya na kuumba kuna tofauti,,haruni alitumia fimbo,ila yesu alitumia pumzi
Ndacha 🎉🎉
Injili ya mwalimu Ndacha ni ushuhuda mukubwa,wale watakao potea ni kwa kutaka kwao wenyewe
Nawaambien sule hakuna cha maana alichosema.ila mnaharibiwa ufahamu bure ,,poleni sana jamani duh
Waislamu ukiwaamba shetani ana faida watakubali
Yesu ndio njia ya kweli tu
YOHANA 17.3 ukitaka uzima wa mirere kubari yesu ariye kwambieni usimuone kama AllAH arikukataza
Dr sule umempiga jamaa KO😂😂 ukiangalia video mpaka mwisho utaelewa nasema nini🙌🏽
Pasta ndacha mungu akubaliki
uyo Sulle hamna kitu kabisa,anang,ang,nia Yesu kimuwili hamjui Yesu kiroho.
Bado sana ndacha tunataka mimi ni mungu
Dr sile na ndschs
Sule ameshindwa kwenye hii debate
Ndacha anaongeza maneno yake yeye,sule anacheza na mahandiko ndio utifauti mnao uwona hapo
Dr Sule ameshindwa na mada, mada ni ngumu kwake,anajirudia kila apandapo jukwaani,aachwe aende aisomee kwanza halafu akirudi ni upatizo tu.
You will never get away from it unless you open your inner ears and heart to understand. Perhaps it doesn't make sense that Jesus is God
Nguruwe anaongea aliyesema wamasai si watanzania Leo raisi mwenyewe amekuona nguruwe
Sele itika ndacha mungu akubaliki
Hata kama wewe ni uislamu Ukikutana na mchawi au uchawi sema KWA JINA LA YESU. Ndipo utajua Yesu ni Kristo na Yesu ni nani. Acha hizi mizaha.
DR SULE MUNGU AKUPE LONG LIFE
👋
We watch and slide on the comments section
Hizi dini n fasihi lkn waislamu kuelewa story ya ukristo n ngumu sana coz yao iko very direct kwa sababu aliyeandika hakua na content
Huyu sule siyo dr hajuwi bitabu kbs
Waislam someni aya na kuelewa muktadha wa aya
Nawapenda wenye viti wote
Basi ata yesu wa tongaren anajiita yesu mm naona akiwa sahihi isiwe tu ni muzungu pekee ndio yesu yesu wa tongaren Uko sahihi baki kua yesu wala usiogope
Ndacha kichwa kibovu hana alijualo jt moja
mm hapa nauliza ikawezekana Jesu akaje na Muhammad akaje utafuata nani
Ndasha unatisha aposafi
Ndachaa😂😂 hogereaah
Wakristo cjui mtafunguka macho lini huyo yesu akirudi aje akatae aseme mimi cwezi kuwa mungu mnakufuru mi ni kiumbe wa mungu mtajitia wapi takuwa mmechelewa motoni nyote
Isaya 25
9 Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.
Matendo ya Mitume 1
11 wakasema, Enyi watu wa Galilaya, mbona mmesimama mkitazama mbinguni? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake mbinguni.
😂😂🤣🤣🤣 sule acha hizo Yesu kristo atakuja kuhukumu walio hai na waliokufa atakuja na kila jicho litamuona,
Vc
Uyu sule anajibu vitu kulingana na hakili yake c kuligana na vitambu
Na Ina mana kwa ulimwengu wa ki dini pia Kuna siasa😂😂😂
Please naiomba jii.
Ndacha uyo asikuumize kichwa nenda naakilizake mwambie hata alipo fufuka aienda kuandaa makao mbinguni mana mwanadamu anafufuka siku tatu nakukaa mbinguni milele yote
😂😂😂😂😂😂
NDACHA AMEUMBUKA SANA
Waisilam nimacomedi hawajuwi wanacokifanya
Juzi tumefanya mkutano wa injili waislamu wangu pepo wachafu zimewatoka na wameokoka na tumetumia Jina la Yesu kukemea pepo wachafu wakapiga kelele wakawatoka watu
Acha kuwaongopea watu wakati mkristo wa kwanza ni shetani
Duh sitaki kumsikiliza sule.acha utani wako.wa kiaina
Isaiah 7:14