Sheikh Kutoka Burundi Awashushia Nyundo Masheikh Wanaotangaza Pete Za Majini Kuwapotosha Waislam

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM RUclips @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 profile.php?...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center

Комментарии • 166

  • @Assiya39
    @Assiya39 10 дней назад +7

    Barakallahu fiyqih Sheikh shakuru umeongea maneno mazito yenye mazingatio 😊

  • @Zanha582
    @Zanha582 11 дней назад +6

    Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka na atusamehe makosa yetu yoote

  • @azamomar9920
    @azamomar9920 11 дней назад +5

    Allah akuhifadhi shekh akujalie umri mrefu wenye manufaa. Hakika umefikisha

  • @malikmasoud3190
    @malikmasoud3190 12 дней назад +3

    Sheikh umeongea maneno mazuri sana , ma sha allah

  • @aishamumy8402
    @aishamumy8402 4 дня назад

    MashaAllah sheikh wetu,Allah akujalie afya njema na umri wenye kher uweze kutujuza🙏🙏🙏

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 15 дней назад +11

    Mambo ya pete za majini ni ushirikina Allah atunusuru

  • @kisaujibabou9436
    @kisaujibabou9436 7 дней назад +1

    Burudani nchi nambar moja kwa umaskini nambar moja kwa upendo mansha Allah tunarizika nakila Hali ushirikina upo ila hatuuamini hongera sana sheh wetu Abdul shakur imamu mku mskiti 17 nambar 11 buyenzi anatuhelimishaga kweli kweli Allah atujaaliye tuwe wene kuyafwata nakuyatekeleza

  • @user-um8lt3vx3u
    @user-um8lt3vx3u 10 дней назад +2

    Masha'Allah Allah akuhifadh na akujalie mwisho mwema inshaaAllah

  • @user-tt4yv9zl7i
    @user-tt4yv9zl7i 12 дней назад +3

    Allah akulipe heri sheikh wetu. Kua madha mazuri sana❤❤kaka yangu.Allah atupe muisho muema

  • @user-xb3nf9dq8k
    @user-xb3nf9dq8k 13 дней назад +4

    Binafsi nimekuelewa sana Allah atufanyie wepesi sote kwa jumla

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 10 дней назад +2

    maashaallah shekh kemea wazushi hao wanaozuka kila kukicha

  • @imamumohamedmalina6995
    @imamumohamedmalina6995 15 дней назад +7

    Allah akulipe kwa elimu hii

  • @lilmojr7
    @lilmojr7 12 дней назад +2

    Allah sheikh akulipe kheri nyingi sana umesema ukweli mashekhe njaa na washirikina wanapotosha sana watu Allah atuongoze

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 23 часа назад

    Mungu akupe maisha marefu na ufunuo zaidi sheikh

  • @hassanmchengwa2950
    @hassanmchengwa2950 11 дней назад +3

    Allahu Akbar, Allah atunusuru inshallah

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 12 дней назад +2

    Mungu azirehemu roho ambazo haziwezi kubadilishwa au kuzaliwa mara ya pili
    Ee Mungu, wasamehe wale ambao tuliishi nao miaka ya kupendeza zaidi na ambao tulihisi tamaa kwao.
    Ee Mungu, tukusanye pamoja nao katika bustani za neema, Ee Mungu, uwasamehe walio wa thamani zaidi waliotoweka machoni pangu sikia sauti yao. Mungu airehemu kila nafsi inayopendwa na moyo wangu chini ya ardhi Nakula kiapo? idhini ya Mola wangu Mlezi, Ametakasika, na ulitukuze jina Lako, Uso wa Mtukufu, Mungu wangu, namaanisha, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ee Mungu, Ewe Uliye hai, Ewe Uliye hai , Ewe Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu, Mwenye kurehemu, katika kutimiza na kuamini kwa kiapo na maagano kwa hakika, agano ni la kuwajibika Mwenyezi Mungu mkiiamini, na mkataba wake mnapofanya mkataba nayo, na mmejifaradhishia nafsi zenu kuwa ni haki kwa yule mliyefunga naye mkataba na mkamuamini, wala msivunje viapo baada ya kuvithibitisha. Basi mkavunja viapo vyenu, na mkavivunjia uwongo, na mkavivunja Wallahi, Hakuvunja ahadi, na kiapo, ni wajibu kutoka kwa Mwenyezi Mungu .Enyi mlioamini, kwa nini mnasema msiyo yatenda? Ishara za mnafiki ni tatu: Na anapoahidi huvunja amana yake, na anapoaminiwa humfanyia khiyana walifanya ahadi na Mwenyezi Mungu, kwani miongoni mwao wapo walio kufa, na waliopoteza maisha yao. Hao ndio wanaongoja, na hawakufanya mabadiliko yoyote, ili Mwenyezi Mungu awalipe.

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 12 дней назад +4

    Huyo shékh mshirikina laana za zimshukie ametudhalilisha waislamu

    • @Ibrahim-om2lu
      @Ibrahim-om2lu 3 дня назад

      Haifai mtu kumlaani muislamu mwenzake

  • @user-qv8uo3bc6o
    @user-qv8uo3bc6o 5 дней назад

    MashaAllah MashaAllah ALLAH HUAKBAR 💯

  • @NdikumanaAmisdi
    @NdikumanaAmisdi 13 дней назад +2

    Allaah akujaze kheri Sheikh wetu.

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw 15 дней назад +6

    Swadacta sheh nimekuelewa

  • @sakinahassani1455
    @sakinahassani1455 День назад

    MashaAllah MashaAllah shekh

  • @hamisisaid-zz2ye
    @hamisisaid-zz2ye 12 дней назад +2

    Mashallah JazzakAllah kheir sheikh

  • @user-nk3dp9cv9c
    @user-nk3dp9cv9c 15 дней назад +23

    Upo sahihi sekhe, ila Kuna wengii watakupinga na kuyadharau maneno yako, hii kwasababu watu wengi hua tunajali nani kasema. Na sio nini kinasemwa, hii ndo shida ya Waislaam wa zama hizi tunajali watu sio maneno yanayotoka kinywan kwa mtuu

    • @the-homeboyztv2689
      @the-homeboyztv2689 15 дней назад +1

      Shida imeingia katika uisilam, mashehe wasababisha kwaku sema wau wanagawa utajiri, baraka kuja ufanyewe dua

    • @user-nk3dp9cv9c
      @user-nk3dp9cv9c 15 дней назад +1

      @@the-homeboyztv2689 🤣 Kama ni hivyo umaskin ingekua hakuna ,lkn ni upotoshaji ulotujaa viumbee, mtu hataki aende motion mwenyewe laazim awe na wafuasi

    • @ismailsoud3634
      @ismailsoud3634 14 дней назад +1

      Watanzania huwa wanaangalia MTU siyo NENO.

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 10 дней назад

      Mbona mahubiri. Ya kikristo??? C ubatizwe?
      Usiwe na miunnngu mingine iila mimi Kutoka 20:1...
      ..

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 9 дней назад


      NIKWELIIIII KBSAAAAAA

  • @maulideabdala3832
    @maulideabdala3832 13 дней назад +1

    Masha Allah
    Safi sana allah atunusuru wote. Kwa mambo ayo

  • @Jigflou
    @Jigflou 7 дней назад

    Masha Allah, Allah azidi kukupa ujasiri waku kemeya Ayo mambo sheikh 🎉🎉❤

  • @HassanGessan
    @HassanGessan 14 дней назад +1

    maashallah sheikh ALLAH atuhifadhi

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 12 дней назад +1

    Sheikh unasema kweli na hawa masheke wanao jiita waumni wanafiq hawa waupotoa uislam mpaka wasio waislamu wana tukejeli Allah awaongoze hawa wanaojiita mashekh

  • @salehbahovu9303
    @salehbahovu9303 4 дня назад

    Sheikh yupo sahihi saana, Allah akuihifadhi in shaa Allah… ila naona sheikh na yeye ana pete zake 2 mikono yote miwili 😊

  • @NassorNassor-p1i
    @NassorNassor-p1i 11 дней назад +2

    Sahihi sheikh

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 8 дней назад

    Allah Akbar ujumbe mzitoooo

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 14 дней назад +2

    Hawa wanafiki wameficha kufuru katika miyoo yao ndio mana wanamtangaza sheitwan baada ya kumtangaza allah subhana wataalah

  • @AsdASD-xc3sw
    @AsdASD-xc3sw 12 дней назад +2

    Kabisa 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤

  • @KheyriHassani
    @KheyriHassani 15 дней назад +2

    Sera moja tuu mashekhe wote akuna mabadiriko

  • @hemedyusuf8835
    @hemedyusuf8835 11 дней назад +1

    Mtihani wallah Allah atunusuru

  • @MunezeroIsmail
    @MunezeroIsmail 11 дней назад +1

    Allah atulinde na mitihani hiyo

  • @ayubumasudi8380
    @ayubumasudi8380 12 дней назад +1

    Maashallah❤😂😂😂 Tabaraqallah imeenda iyoo😂

  • @brianaugust9737
    @brianaugust9737 6 дней назад

    Sheikh, nimekuelewa sana, umenifungua vizur kuhusu pete na uislam, kumbe masheikh wengine wanaupotesha uislam na watu wanakaa kimya, mimi ni mkristo ila nimefurahia sana darasa lako leo

  • @ZainabuIrakoze
    @ZainabuIrakoze 12 дней назад +1

    Allah Akulipe Kwa mawaidha mazuri

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 7 дней назад +1

    Mimi na shangaa sana mnajua mtu anajinasibisha naushekh hamumuiti na kumnasihi akiendelea kukaidi mnamuwajibisha kwanini mashekhe wetu mnashindwa kumuonya kwani anababaisha mara mhadhir , muomba dua, mganga na kujifakhalisha kwa vijimali kufanya mambo ya lia. tumejifunza kutoka kwa Allah kupitia kwa Mtume wetu Muhammad na wema walio tangulia kumtegemea Allah lakini akuja mtu mpuuzi hana dalili ilio thibit ya kusemea uislam kama ana hati miliki ya kubadilisha uislamu namnamuangalia tu anaeneza ushirikina kwa kuwapaka mafuta wasio elewa tauhid pete haina jambo lingine zaidi ya pambo tu hamna bahati wala ulinzi vyote hivyo vinatoka kwa Allah Subhanallah Wataala tuamke tumtegemee Allah tuache matapeli wanao jinasibisha na dini yakimchongo mchongo. Allah atuongoze ktk dini yake Shekhe nakumshukulu kwa kuliongelea hilo ila naomba muliongezee kulisema zaidi na zaidi kwani wanaleta uenyeji ktk dini na UISLAM ni SUNNA na SUNNA ndio UISLAM

  • @ZainabHassan-hz4no
    @ZainabHassan-hz4no 11 дней назад +1

    Alhamdullah wafundishe hap wanao tupotosha

  • @user-ds1cy3dc7z
    @user-ds1cy3dc7z 7 дней назад

    Naam 😊Allah akuifadh Shkh Shkrn sana Kwa Dawa 👏🏼

  • @destineluna5768
    @destineluna5768 12 дней назад +1

    Mashaallah shekhe

  • @NoraKedir
    @NoraKedir 3 дня назад

    Barakallah fiki

  • @ShemsaKeza-mo8wf
    @ShemsaKeza-mo8wf 12 дней назад +1

    Allah akulipe kwakufunguwa watu masho

  • @Abdoulnibigira
    @Abdoulnibigira 10 дней назад +1

    Jazzakaallah kher

  • @AmadHassanRashid
    @AmadHassanRashid 9 дней назад

    Allah hatie kherry kwenye helimu na kuwaongoza mashekhe kama haw lnshaalla

  • @SultanSaid-js9yj
    @SultanSaid-js9yj 15 дней назад +3

    Shukrani

  • @AthuuSainga
    @AthuuSainga 12 дней назад +1

    Baaraqallahu fiiqa

  • @latifanyari8912
    @latifanyari8912 10 дней назад

    Allah akuhifadhi inshaallah na akujazie kwenye mizani yako siku ya hesabu

  • @user-ej2hj4zr9y
    @user-ej2hj4zr9y 12 дней назад +1

    Jazzakaallahu kheri 😂❤

  • @NahimanaMariamu
    @NahimanaMariamu 5 дней назад

    Mansha Allah 🇧🇮

  • @GamingLimbe
    @GamingLimbe 13 дней назад +2

    Mashaallah❤

  • @AmadeChafimBacar
    @AmadeChafimBacar 12 дней назад +1

    Allah te abençoar shekh

  • @LabiloWabikongo
    @LabiloWabikongo 12 дней назад +1

    allah sw akupekher

  • @omarynguhwe3961
    @omarynguhwe3961 6 дней назад

    Sheikh umenigusa sana alhamdu li LLAH Rabil Ghalamiiyn

  • @nelson-cd7fr
    @nelson-cd7fr 13 дней назад +1

    Jazakumllahu kheiran

  • @user-dv4md3vi5u
    @user-dv4md3vi5u 15 дней назад +3

    Shukran

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 14 дней назад +2

    Diwani Mbogo Sulyman mnaaasikia hayaaaaa
    Acheni ushirikina someni dini

  • @user-ih4zi8ss9y
    @user-ih4zi8ss9y 9 дней назад

    Masha Allah
    Tabaraka Allah
    Jazaka Allah hkeir 🤲

  • @ShamiraMbululo
    @ShamiraMbululo 13 дней назад +1

    Allah akulipe

  • @DjumaIssa-w8v
    @DjumaIssa-w8v 5 часов назад

    Kuna watu hawa elewi kabisaa sikilizeni vizuri
    Haifaï kumushirikisha Allah nachochote
    Harizie hilo

  • @the-homeboyztv2689
    @the-homeboyztv2689 15 дней назад +3

    Hio ndio shida kubwa limekumba uisilam kwasasa watu waamin mashehe kuliko Allah, mashehe wagawa utajiri, baraka, huu ni ugojwa wakumbwa uisilam ( tafuteni dawa

  • @balkissMuhammad-sk1ic
    @balkissMuhammad-sk1ic 15 дней назад +2

    Bismillah ❤

  • @RévérienDusabe-w8z
    @RévérienDusabe-w8z 10 дней назад

    Allah akulipe kila laheri

  • @ButoyiRukiya
    @ButoyiRukiya 10 дней назад

    Allahu Akbar mawaidha mazuri saana.

  • @hashiru_bayona
    @hashiru_bayona 10 дней назад +1

    Jazaaka llahu khaira sheikh, Allah akuhifadhi

  • @husseinkudra-gp6gp
    @husseinkudra-gp6gp 9 дней назад

    Allah akuhifadhi❤

  • @Gaddafi-knight
    @Gaddafi-knight 11 дней назад +1

    Allahu Akbar

  • @RamadhaniMsukuma
    @RamadhaniMsukuma 11 дней назад +1

    Nitaipataje namba ya sheikh huyu

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 12 дней назад +1

    Dr Sule anatutia aibu sana waislam ...... mungu ktk quran anasema tumuombe yeye na tumtegemee yeye , na yeye ndio anatulinda . Lkn Bro Sule anataka tutegemee pete . Quran haijasema tutegemee pete . Fuckin Sule . Mungu amuongoze aongoke .😢😢

    • @malikmasoud3190
      @malikmasoud3190 12 дней назад

      Usihukumu kabla ujaukumiwa unaweza kuonyesha mahari ambapo sule amesema tutegemee Pete sio allah

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 11 дней назад

      @@malikmasoud3190 mfuatilie.

    • @FaridaHamadi-p9d
      @FaridaHamadi-p9d 9 дней назад

      We na we in Amana ujui au unajizima data, ​@@malikmasoud3190

  • @harerimanaaisha7613
    @harerimanaaisha7613 9 дней назад

    Mansha'Allah Mansha'Allah

  • @FaridaHamadi-p9d
    @FaridaHamadi-p9d 9 дней назад

    Ni kweli, majisifu anawakashifu mashekh wasio na kipato yani daa sio yule wazamini ambae akiingia mskitini itoki saa iz akiingia mskitini watu waondoka aibu sana

  • @AliMsellem
    @AliMsellem 14 дней назад +2

    Pete km Pete sio haramu wala shiriki ila pete Sasa watu wadanganywa tuu pete haina uwezo wowote

  • @omaar5693
    @omaar5693 14 дней назад +1

    jibuni kama mwaweza

  • @user-yy2rk4wi3p
    @user-yy2rk4wi3p 14 дней назад +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
    Wambie kbs

  • @sulekhan7119
    @sulekhan7119 14 дней назад +1

    Hapa duniani kama kuna watu niwanafki sana

  • @keidykudrat2533
    @keidykudrat2533 14 дней назад +1

    Kweli

  • @ShukranSaidi
    @ShukranSaidi 10 дней назад

    Asant Abdl Shakur Wetu Wape vidongi vyao wa TZ😂😂😂😂

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 14 дней назад +2

    Soma hiyo
    ان الله ابى ان يجري الأمور الا باسبابها

    • @Faharizuckerberg
      @Faharizuckerberg 14 дней назад +1

      نعم، صحيح أن الله لا يهتم بالمصالح الشخصية

    • @sirlimomari2633
      @sirlimomari2633 11 дней назад

      نعم، وما قصدك في ذلك

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 Час назад

    SASA WW SHEIKH NA WW PIA UNAYO PETE TUELEZE PETE ULIOVAA NA YANINI

  • @aishamukandanga6892
    @aishamukandanga6892 2 дня назад

    Naaam

  • @user-xl3cd6iq2u
    @user-xl3cd6iq2u 12 дней назад +1

    Maisha yaharaka matokeo nihayo

  • @amimwinni4829
    @amimwinni4829 10 дней назад

    ALLAH AKBAR

  • @wiseman7133
    @wiseman7133 14 дней назад +1

    Naam

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 14 дней назад +1

    Khaswah

  • @SangoAbdallah-cf2ld
    @SangoAbdallah-cf2ld 7 дней назад

    Sheik pete haina matatizo,na kama inamatatizo? Mbona wewe unavaa? Tena istoshe kama kweeli tupe aya moja tu, Mungu kamkataza nabii suleiman kuvaa, kwa sababu pale ndo palokuwa nguvu fulani na uwezo alowezeshwa na Mungu, sasa kama elimu yako ndogo kaa kimya tu

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 14 дней назад +1

    Swadaktana. Umesema kweli.

  • @drsaeedherbs
    @drsaeedherbs 14 дней назад +1

    Usiyoyajua wachananayo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 14 дней назад +1

    Kwanza nchekee maana sio kwa dongo hilo

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 11 дней назад +1

    Dr sule yupo sawa majini na uislamu ni ndugu kwaiyo ndugu razima mshirikiane

  • @alphalungele-479
    @alphalungele-479 7 дней назад

    Sasa Dini aikubali?

  • @hurulaainmalkiaaisha1508
    @hurulaainmalkiaaisha1508 7 дней назад

    Naa mbona ww umevaa pete?

  • @iradukundaideale2673
    @iradukundaideale2673 День назад

    Rakini chehe naizo Pete munavara siy o nzuri uzo

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 Час назад

    KUMBE NA HUYU ANA PETE 2 TUELEZE PETE ZAKO HIZO ZA NN

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 15 дней назад +2

    Ukatorick huo tuna wafaham endeleeni kuwa pambania Kwa kuyasoma manene ya Allah na mtume wake wakati mna ahenda ilio nyumba ya paxia

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 6 дней назад

    ila nyie wanadamu wanapenda kudanganya

  • @zaydamos874
    @zaydamos874 14 дней назад +2

    Kuna mjinga anajiita Dr sule nawala yakuwa si doctor jitu moja jinga liongo pumbavu kafir kabisa ndio linalopotosha waislam na ujinga wake

    • @AmourAmour-ux3nm
      @AmourAmour-ux3nm 14 дней назад

      @@zaydamos874 kumuita kafiri hapo umekosea

    • @user-fg8mu3nl2d
      @user-fg8mu3nl2d 14 дней назад

      ​@@AmourAmour-ux3nmMshirikina ni mtuuu mbaya kuliko kafiri !

    • @SmadMohamed-fc5fn
      @SmadMohamed-fc5fn 13 дней назад

      Wewe ni mjinga tu akuna unalolijua soma dini usikulupuke na porojo za kijinga

  • @drsaeedherbs
    @drsaeedherbs 14 дней назад +1

    Kuwa msomi wa dini sikwamba ndokuwa na elimu ya tiba

    • @negaboy497
      @negaboy497 13 дней назад

      Watu hawajui kutofautisha kati ya tiba na shirki ndio shida

    • @nibiziasiya-gh3qd
      @nibiziasiya-gh3qd 12 дней назад +1

      Tiba ipi ambao mwenyezimungu amesema mtumieni pete ili mtu apate kutibika ? Acheni ushirikina wa majini ,

    • @nibiziasiya-gh3qd
      @nibiziasiya-gh3qd 12 дней назад

      Tiba kila mtu anaweza kutibu kutokana na karama uliopewa na mugu tiba, haiombi ushirikiano wa majini , hauna jini unaweza kutibu mtu bila usaidizi wa majini na akapona , mimi naweza kumsomea tu mtu maji nikatiya niya nimpa akanywa na akaja akanambia wewe ungeendeleatu kusomey watu , na unawez kuwa unajuwa dawa fulani ile ukimpa mtu anapona, bila jini wala pete , sasa hayo mambo huyo baba anataka kuja kujifananisha na ufalme wa nabii suleiman , apo amepotea , yule alipewa ufleme wakumiliki majini na pete na utajiri mkubwa , kutoka kwa Allah, basi tamaa zakidunia ndio zinawafanya waingie kutafuta pesa za majini, ipo siku mungu atawaaibisha wenye kumshiriikisha Allah na vingine kinyume na yy.

    • @negaboy497
      @negaboy497 12 дней назад

      @@nibiziasiya-gh3qd Kutumia majini si sawa ila kuna vitu vingi mwenyezimungu ameviumba ni dawa na vinatibu, nachofahamu mimi jini msaada wake unakuwa na maagano ambayo inabidi ukufuru yeye ndio atoe msaada.

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 14 дней назад +2

    musiwe wajinga ushilikina aupo katka uislam tu ilo nipigo laulimwengu kama akina mwamposa pia ata walewanao sema yesu mungu iyoniushilikina

  • @eagtkibangu124
    @eagtkibangu124 9 дней назад

    Na wewe una Pete ngapi hapo mkononi