USTADHI MBOGO AZIDI KUMNYOOSHA USTADHI SHAFII KUHUSU WAISLAMU KUISHI NA MAJINI KAMA DR SULLE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • BAADA YA USTADHI SHAFII KUMLIPUA USTADHI SULEIMAN KUHUSU KUPOTOSHA KUHUSU KUMFUATA NABII SULEIMAN SULEIMAN AMEIBUKIWA NA MBOGO

Комментарии • 93

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 2 месяца назад +2

    shafii hakua anajua hii dini ni yamajini ,shafii njoo kwa yesu ju uisililamu ni mastory za kutafutwa tafutwa na hazipo ndio namuona shafii anapingane na uislamu juu anashangaa kuishi namajini na qurani inadhibitisha hilo

  • @farouqsilvester9918
    @farouqsilvester9918 2 месяца назад

    Mashallah safi sana sheikh 🙏🙏🙏🙏

  • @AllyKipende
    @AllyKipende 2 месяца назад +1

    Allah awalaani wote wanaoleta maswala ya ushirikina katika dini yetu ya uislamu

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 2 месяца назад +5

      Wewe ndo utaanza kulaaniwa maana husomi unangoja usomewe siku ukijua ndo utajua kuwa mwislam lazma uwe mshirikina

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 2 месяца назад

      @@rashidgona1808 ndo kitabu cha pekee unakikutaa msikitini na kwa wagangaa wa kienyejii

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 2 месяца назад +1

      Uislamu niukafiri tupu

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 2 месяца назад

      @@user-dt5wp5qo4n UKRISTO NI UKAFIRI

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 2 месяца назад

    Mashehe zetu acheni ushirikina kutaka kuishi maisha ya kifahari apa duniani tutakwenda kujuta mbele ya Allah❤

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 2 месяца назад

      Kama ni ushirikina ulianza Kwa mtume Muhammad Kwa maana ata yeye alikuwa akiwaita majini soma vitabu Acha kukaa msikitini kama gogo

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 2 месяца назад

      @@rashidgona1808 shidaa hawasomii Quran ukiisoma ni ushirikina mtupuu kwanza walioandika Quran wale wanne mmoja alikuwa na mashetani kichwani pili Quran ndo kitabu pekee unakikutaa msikitini na kwa wagangaa wa kienyejii

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u 2 месяца назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 2 месяца назад +8

    Yaani ukiwasikiliza mashekhe wakweli km huyu unagundua Uislamu ni story za kubuni buni zisizo na kichwa wala miguu. Eti shetani anachongo kutokana na jiwe alilopigwa na Ismail! 😅😅😅😅😅

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 2 месяца назад +1

      Hilo liko wazi kaka! Baadhi ya masheikh ni kama wanaanza kuishtukia hii dini ndo maana wanaquestion vitu.sheik mbogo yupo sahihi ki upande wa uhalisia wa uislam na sheikh shafii yupo sahihi kuquestion vitu ambavyo havimake sense katika uislamu.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 2 месяца назад +1

      Kutunga tunga ole wako kufa kafiri motoni pale utakapo kufa ndio utajua dini ya kweli uisilamu

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu 2 месяца назад +2

      @@saba-gv3mj Yani dini ya majini ndo iwe ya kweli si Bora hata kuwa mpagani au Freemason? Nafahamu si rahisi mtu kuacha kile unachokiamini kwasababu tayari mafundisho hayo yamekukaa kichwani.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 2 месяца назад

      @@osmundmtavangu wacha nikuelimishe kondoo ulio potea wameumbwa majini na binadamu kuja kumuabudu mungu wapekee hata yesu kaongea na majini kuna majini wazuri na waovu wazuri walio muamini mungu waisilamu na kuna majini wabaya ni wale wakiristo wapagani maayahudi sasa hawa ndio wale wanao shawishi watu wawe freemason wanakunywa damu zawatu na kumuasi mungu sasa jini mkiristo na binadamu mkiristo musipo silimu basi mutapatana na adhabu ya milele kiyama yani hautoki motoni ulisikia lini dini kwa week wabudu siku moja

    • @user-tz8zu2gt6u
      @user-tz8zu2gt6u 2 месяца назад +1

      Yaani ndugu yangu nashutukaa sana nakujua hii ni dini ni mastory tu Haina mwelekeo wanaishi namajini😂😂😂😂

  • @wakeshojana
    @wakeshojana 2 месяца назад +1

    NASHURUKURU MWENYEZI MUNGU KWA INTERNET.....IMESABABISHA UISLAMU KUJULIKANA NJE YA MSIKITI KUWA NI DINI YA USHIRIKINA....WAISLAMU NJOONI KWA YESU KRISTO....WACHANENI NA YESU WA MCHONGO KWA JINA ISSA BIN MARYAM!!

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 2 месяца назад +2

    Sijui mwisilam akisikiliza hizi stori za mashekhe alafu abaki kuwa mwisilam

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 2 месяца назад

      Ni kama wamefungwa akili

    • @user-hp6gz6ln4k
      @user-hp6gz6ln4k 2 месяца назад

      Ebu fanyeni mdaalo Na Uyo Shafi Yani muongee live

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 2 месяца назад

      🤣🤣🤣 Hiyo Aya Aliyotoa QURANI 49:29 Haipo 🤣🤣🤣. QURANI 49 ona Aya 18 tu , Yaani 49:1-18 🤣🤣🤣 Huyo ni MGANGA Wa kienyeji hata Dini QURANI Hajui 🤣🤣🤣

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 2 месяца назад

      Pogo ni QURANI 26:29 inasema hivi QURANI 26:29 Na ( Wakumbushe ) Tulipokuletea Kundi Moja La MAJINI ( Kuja kwako ) Kusikiliza QURANI . Basi walipohudhuria Walisema ( KUAMBIANA ) : " Myamazeni ( Msikilize Maneno ya Mwenyezi MUNGU )." Na Ilipokwisha ( SOMWA ) Walirudi kwa Jamaa zao Wakiwaonya . 30 Wakasema : ' Enyi Watu wetu! Hakika Tumesikia KITABU Kilichoteremshwa Baada ya MUSA , Kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake na Kinachoongoza katika haki na Katika Njia Iliyonyooka , 🙏🙏🙏 🤣🤣🤣 Haya Wapi QURANI Imesema tunaishi na MAJINI MAJUMBANI MWETU ???

    • @user-rc2ye4ri6t
      @user-rc2ye4ri6t 2 месяца назад

      Muislamu haskilizi shekeh anafaa kufuata Qur'an na sunaah za mwenyizimungu

  • @Pablolookman
    @Pablolookman 2 месяца назад

    Masheikh wa kibongo wengi wanashindwa kuvumilia njaa kimbilie mkalime hakuna masheikh wanaobishana sana kama masheikh wa kibongo

  • @allyway999
    @allyway999 2 месяца назад

    😢😢

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 2 месяца назад

    inawezekana nikweli shafii Alisha jifunza hayo baada yakuona anamkosea mwenyezi mungu aliamua aachane namambohayo nakurejea kwa mungu wake siokosa kutubu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      Hajui lolote huyo,ni mbumbumbu kama wewe

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 2 месяца назад

    Hujajibu swali Wapi aya au hadithi mtume kasema tunaswali na majini? Muogoeni mungu ❤

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 2 месяца назад

      Kama hamswali na majini msikitini wanaenda Fanya nini

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      Majini hayana mtume zaidi ya Muhammad na hawana kitabu zaidi ya koran

  • @user-gj4wr5cu1q
    @user-gj4wr5cu1q 2 месяца назад

    Suna ya nabii mussa du!!

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj 2 месяца назад

    Alitumwa yemen muadh R a

  • @salisali3738
    @salisali3738 2 месяца назад

    Hovyoo sana ww mbogo upo kama mwanamke umekalia umbea

  • @user-gj4wr5cu1q
    @user-gj4wr5cu1q 2 месяца назад

    Huyu yupo shaloo sanaa

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 2 месяца назад

    Internet imekuja kuufunua uislam

  • @moneybag801
    @moneybag801 2 месяца назад

    Mwache Ukafili Kwenye Dini yetu Mbwa Nyinyi

  • @mussamtimbinya
    @mussamtimbinya 2 месяца назад

    Kaka bado sana hoja zako hazina msingi sana

  • @moneybag801
    @moneybag801 2 месяца назад

    Ukafili Ume Kujya Kbs

  • @haidarimfinanga9755
    @haidarimfinanga9755 2 месяца назад

    Hivi katika kutangaza dawa zenu, hamuwezi kuacha kuchanganya na imani/dini?
    Kutibu kwa kiarabu sio lazima uwe muislam, kwa hiyo bakini na uganga wenu na viongozi wa dini wabaki kuzungumzia dini.
    Mnasoma vitabu vya kiganga halafu mnavihusisha na imani ya dini.

    • @user-dt5wp5qo4n
      @user-dt5wp5qo4n 2 месяца назад

      Ww ndio huwelewi mbogo ako sawa maana majini walisikia qurani na wakaiyamini wakasili,jini na ww mkokitu kimoja,ukisoma bibila majini wanakimbia kwa sababu injili ni moto hata ww ukiichezea unabaki na laana,bas ww funga mdomo,ama uhame umkubali yesu na utaokolewa,toka kwa makafiri haraka,yesu anakuja fanya haraka umpokee akija uwe mmoja wenye tutaenda nayesu paradise,

  • @kassimkipande1858
    @kassimkipande1858 2 месяца назад

    Sasa kama viongozi manatahilifia jesisi WAUMINI ayomambo niyakuelekezana Tu sio kuzalilishana mitandaoni

  • @allyway999
    @allyway999 2 месяца назад

    Tunawaamini mitumie na manabii wote ila tunamfua Bwna mkubwa tu wa umma wetu mbona very easy

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      Kuoa katoto ka miaka 9 nasisi tunaweza kuiga kwake?

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 2 месяца назад

    We mwandishi naww vipi kwn ameuliza fimbo ya kuhutubu au fimbo ya uganga?

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi1895 2 месяца назад

    Hujui dini,nyamaza,shafii hakukataa, majini,aliseme hatuna mashirikiano nayo katika dini,na ishu ya pete iko wazi ni urembo tu, mbona wewe huna kitu pete yako ya bati,mjinga kweli?

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 2 месяца назад

    Kuna badhi ya mambo mengi yapo kwenye dini yenu hata nyie wenyewe mnaona aibu ila kwasababu mmekulia kwenye hayo mafundisho mnabaki kujikaza tu ili muonekane na nyie mnamwamini Mungu

  • @0badiaMwasongwe-rt1wr
    @0badiaMwasongwe-rt1wr 2 месяца назад

    Ushaambiwa Hadithi

  • @AllyKipende
    @AllyKipende 2 месяца назад

    Ndugu yangu hayo unayoongea hayahusiani nasi mche mola wako

  • @allyway999
    @allyway999 2 месяца назад

    Alafu shkhe inaonekana usasoma vizur quran au ujaielewa sawawa kama umeisoma Katika surat hijja 22. Mungu anasema kila umma tumewajaalia ibada zao wanazo zishika na kuzifuata basi msizozani katika hayo.
    Sasa wewe unataka kulaweka yako hapa wakat hui ni umaa mwingine shekhe we namnagani weee

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 месяца назад +1

    Shetani alipigwa jiwe na Ismaili😂😂😂😂

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 2 месяца назад

    Yaani mimi hushangaa jinsi watu wanavyondanganywa..mambo yoote yalioyonemwa ukiyapima vizuri Yana kasoro nyingi mno lakini...potelea mbali!

  • @user-um7kj5kf6p
    @user-um7kj5kf6p 2 месяца назад

    Yaani.mnabishana.tu ndani ya uisram ushirikina nikawaida Tena Kuna mafundisho hupewa. Ni kwa Nini usram ndio unaofunua habari za majini na utendaji wake. Ukweli upo uisram umetoka wapi ninani aliye nyuma ya uisram ninani aliye mpitisha muhamadi awe mtume?

  • @salehemimbi1895
    @salehemimbi1895 2 месяца назад

    Wewe sio Sheik ni muhuni, hujui dini

    • @rashidgona1808
      @rashidgona1808 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂siku zote mnamwita sheikh Leo sio sheikh ju ya kuongea uongo

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 2 месяца назад

      @@rashidgona1808 Nani Aliwagi kumuita huyu Shekhe ??? Huyu ni Mganga wa Kienyeji

  • @jumayusuphu322
    @jumayusuphu322 Месяц назад

    Huyu ni mganga sio shekhe jamani

  • @salisali3738
    @salisali3738 2 месяца назад

    Mbogo nyamaza huna nalo jua ww unavyo Ongee yaonyesha kabisa umetumwa

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u 2 месяца назад

    Eeeeh ndio maana tunatolewa kafara barabarani ajali simejaa ,chakula cha jini ni damu oohh kumbeee heeeh hawa ndugu zangu wamepotea

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 2 месяца назад

    Huyu mbogo unajua Nini bwana huyu SI mweupe TU

  • @saidinsenda954
    @saidinsenda954 2 месяца назад

    Yani uyu jama niatari kweli ata kumswalia mtume anapo tajwa ajui ukimsikiliza vizuri mazungumzo yake ajui 😂 subhanallah 😂

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Месяц назад

    Acha kuruka swali ni jee mtume kafundisha

  • @jumayusuphu322
    @jumayusuphu322 Месяц назад

    Shekhe wewe Acha ushirikina njaa Tu izooo

  • @anafimagoto7139
    @anafimagoto7139 2 месяца назад

    Tupeni maandiko au hadidhi kama tumeluusiwa kutumia majini ? Tunataka ushahidi wa kur ani na suna munatuletea porojo tu

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or 2 месяца назад

    Nyinyi masufi ndiokazi yenu kutetea shirki na bid-aa ndiomaana miji yapwani eatuwengi niwa chawi au washinikina kwasababu ya kusikiliza udajjal wenu wewe waachakuwekandevu utembeena bakora maama yake nini

  • @athumanimashingo6306
    @athumanimashingo6306 2 месяца назад

    Uyu sio shekhe, huyu ni nganga wa kienyeji, anatetea ugali wake!

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 месяца назад

    Mila ya Ibrahim, kwahiyo Mila ni dini?😢

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n 2 месяца назад

    Ww ni muongo kafiri

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 2 месяца назад +1

    Uislamu ni uongo kabisa. Huyu eti marehemu Muhammad ndiye kiongozi ndani ya Islam. Alafu eti Ibrahim alikuwa muislamu... Kiongozi wake ni marehemu Muhammad vipi?

    • @0badiaMwasongwe-rt1wr
      @0badiaMwasongwe-rt1wr 2 месяца назад

      Uislam aliuanzishaa Muhammad cha ajabu wanasema Adamu na manabii ni waislamu😂 cjui walifufuliwa wakaslimishwaa😂😂

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 2 месяца назад

      Unashangaaje kuwa kiongozi wake ni Marehemu Muhammad,si ni sawa tu na wakristo wanavyomuomba Marehemu Bikra Maria?!

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 2 месяца назад

      Yaani wewe unamfwata marehemu kwa sababu kuna wakristo wanao abudu Maria? Hoja gani hiyo?

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 2 месяца назад

      @@bustedislam3578 : mbona unakatisha, sema Marehemu Maria

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 2 месяца назад

      @@hemedbamja3197 Maria ni marehemu kama vile Muhammad ni marehemu

  • @EmmanuelMoses-pb1zh
    @EmmanuelMoses-pb1zh 2 месяца назад

    Hahahaha waislamu bhn yan kumbe ibilisi ana chongo

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 2 месяца назад

      Chizi huyo 🤣🤣🤣

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 2 месяца назад

      Mganga Wa Kienyeji huyo Hana ELIMU Ya DINI Ya UISLAMU

  • @Anza_tz
    @Anza_tz 2 месяца назад

    Uislamu ni story za kubuni nimegundua Kuna watu hawapendi vitu vinavyofanyika katika hii Imani lakini wanakaza fuvu tuu kujifanya hawaoni kitu hahahaha....

    • @mbalilax162
      @mbalilax162 2 месяца назад

      Wanaukubali ukristo kisiri siri..haha

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane 2 месяца назад

      @@mbalilax162 Mh 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️ ??? huyu ni Mganga wa Kienyeji 🤣🤣🤣

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 2 месяца назад

    Eti waislamu wanamfwata Yesu? Mbona wafuasi wa Yesu wanaitwa wakristo... Kwahiyo nyinyi ni wakristo?

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 2 месяца назад

      YESU HAKUTAJA JINA
      LA
      WAFUASI WALA DINI YAO
      Yesu hakutamka neno la Christains (Makiristo) hilo neno limetamkwa mara tatu kwenye Biblia na watu watatu:
      1) Paulo
      2) Mfalme Agrippa
      3) Peter.
      Hata neno CHRISTIANITY haliko kwenye Biblia. Jina la "DINI" haikutajwa. Watu wasio DINI wanaitwa vipi?

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 2 месяца назад

      @@khatibal-zinjibari6956 Quran 5:82 in Kiswahili Kiswahili | al-Ma'idah 82. Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara.
      English: Sahih International
      You will surely find the most intense of the people in animosity toward the believers [to be] the Jews and those who associate others with Allah ; and you will find the nearest of them in affection to the believers those who say, "We are Christians." That is because among them are priests and monks and because they are not arrogant.
      Swali: hivi Quran imetoa hili jina wanaswara (wakristo) ama Christians kwa English wapi? Yaani kitabu chenu hakijielewi?