#PART4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024
  • #PART4: DR SULLE ASIMULIA JINI ALIVYOFIA MWILINI -MTU AKAZIMIKA MBELE YAKE AKASOMA DUA AKAWA MZIMA..
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 211

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +9

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @RamadhanLunda
    @RamadhanLunda 13 дней назад +3

    Iyoni doctor mzuri lakini anatamaa Sana na nimshilikina😢 mungu atusaidie Sana na tamaa za pesa atunusuru yallab

  • @omigrodrasnet7638
    @omigrodrasnet7638 15 дней назад +3

    Yesu alishasema wasiokili kuwa yy ndiye bwana hawatarithi ufalme wa mbinguni

  • @JumaMhafigwa-ic8ff
    @JumaMhafigwa-ic8ff Месяц назад +5

    Dokta sule unayosema ni kweli mm nawajua majini vizuri sana na nna uwezo wa kumuadhibu jini nitakavyo kwa idhini ya Allah

  • @nuhukenny7183
    @nuhukenny7183 Месяц назад +8

    Dr Sule, asanti sana. Na kukubali

  • @haroubsalim779
    @haroubsalim779 28 дней назад +3

    Huyu jamaa Yuko vizuri kiasi, muongeaji na mwenye akili kiasi chake,
    So kuna mambo anapatia na mengine anakosea kama mashehe wengine,
    Sasa tusimhukumu Kwa makosa tu na anapopatia tumpongeze.

  • @AssumaneAndane
    @AssumaneAndane 18 дней назад +1

    Masheikh,linganieni Dini,sio hela😢😢😢😢😢

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga Месяц назад +4

    Usipotoshe umma muongope allah

  • @HakizimanaJeandieu-dy7cx
    @HakizimanaJeandieu-dy7cx Месяц назад +1

    Shukran

  • @vicmosessande
    @vicmosessande 6 дней назад

    Tumia Muizi Ushike Wezi, Dr. Sule Alitumia Shetani Kutoa Shetani. Yesu Kristo Ashinda Mashetani

  • @lilmojr7
    @lilmojr7 Месяц назад +9

    Wallahi huyu anaharibu sifa ya uislamu kwa wenye elimu ndogo wataona waislamu una shida huyu sasa anadhihirisha sio mlinganiaji huyu ni mganga tena anaefanya shirki Allah atulinde nae

    • @Nassir-cl3bt
      @Nassir-cl3bt 18 дней назад +1

      Wewe elimu hauna uyo Dr sule anaelimisha hapo lbda amepandisha ama ameona majini jaman izo akil zenu ziko wap na wenda nyinyi ndio mnatumia majini Dr sule anatoa ukwel kbsa

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi 9 дней назад

      Wewe ndo huijui dini yako

  • @Mohammed-mn2xg
    @Mohammed-mn2xg 5 дней назад +1

    Maelezo yako na ya mgangamchawi hakuna tofauti isipokua kujificha kwa dini lkn hyo ilimu hauko kwa dini na kundi moja ndilo litasalimika cku ya kiama wanaofuata Qur'an na hadith za mtume SAHIHI zaidi ya hyo n motoni

  • @erickashindi2666
    @erickashindi2666 Месяц назад +5

    Uwongo mbaya, Nchi zilizo endelea mgonjwa hua anatibiwa kwanza kisha analipa baadae

    • @cleverommy5706
      @cleverommy5706 Месяц назад +1

      Mwongo weee mara kibao unasikia anataka kwenda kutibiwa india zinahitajika mili 20

  • @SelemanAmir-ze8zz
    @SelemanAmir-ze8zz Месяц назад +8

    Acheni kuendeshwa akili na mitazamo yawatu bila kutumia tafakari za akili zenu someni kwanza na sio kufuata kauli za waajiriwa wa madhehebu walikuja kwa mitaala maalum ya zogo ktk dini

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 Месяц назад

      Jibu hoja pacha porojo.ukiletewa mgonjwa wa majini utamtibu vp.huna elmu

  • @YarmanAljahhdiry
    @YarmanAljahhdiry 16 дней назад

    Doctr salaam alaykum Allah akuhifadhi hi inaitwa kujikanyaga kwasababu yaufikishaji hi njia inahitaji elimu zaidi jamii haiwezi kuelewa ila kunanjia malumu ila kwakukusaidia swali zawali alafu bainisha yote yalokuepo moyonimwako mkabidhi Allah tubia ulipokosea omba kheri kwa allah ndio daraja yako itarudi insha'allah rudi kwa Allah ila ukitaka kufikisha elimu nyengine wafate walio kusomesha nivipi ufikishe kabla kukurupuka

  • @kipchorngwonektiroto457
    @kipchorngwonektiroto457 23 дня назад +2

    Mshirikina wa kiwango cha juu sana

  • @muharramhamisi5140
    @muharramhamisi5140 Месяц назад +1

    Mim nampenda sana uyu sheikh kuna vit ving san najifunz kutok kwake ,kwanz confedence ake,mashaallah ❤

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад +6

    Masha'allah Masha'allah sheikh wetu

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад +1

      Watu?😂😂😂 wako ni mchawiii sio sheikh

    • @Kuminamoja1995
      @Kuminamoja1995 Месяц назад +1

      Ujuwi Lolote Kasome

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 Месяц назад

      @@Kuminamoja1995 anajua jini hutumikishwa na mtu baada ya kukufuru,na hawi jini mwema huwa shayatwiin,na yeye si nabii sureiman

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 Месяц назад

      Usiseme mashaallah kwa mtu mshirikina Allah atulinde na fitna yake

    • @johngeorge4834
      @johngeorge4834 13 дней назад

      😂😂😂😂

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Месяц назад +2

    Taiwan si nchi ya kislam ni pahala wa wachina na hakuna wizi wamazingira hayo uyasemayo nafikiri haukuzunguka ulimwengu mzima , Malaysian nchi ya kidini ya uislam nakuna rushwa na ushenzi kwenda mbele mpka na huko Indonesia kwenye waislam wengi zaidi so mjomba labda uwadanganye hao watu wapo nyumbani

  • @muhammadally393
    @muhammadally393 28 дней назад

    Muhammad Ally Rufungura kutoka Kampala Uganda Dr Sule umenipa moyo na kufanya hofu zangu zitoweke kwa ajili ya elimu ya tiba ya Quran Allah mtukufu akurahisishie kila kitu

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p 24 дня назад

    Dr Tule macho yako yameanza kubadilika

  • @HadinanKimimbi
    @HadinanKimimbi 27 дней назад +1

    Doctor sule story alivyomuelezea nyuki Atari sana

    • @user-xh5vl6eh6i
      @user-xh5vl6eh6i 15 дней назад

      Na ile story ndo ilinifanya Mimi nimpende doctor sule na kuanza kumfatilia mpaka Leo hii masha ALLAH ♥️💞💞 aliweza kweli

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 9 дней назад

    Dini ni jitiada ya mwanadamu kutafuta mungu, ukiristo sio dini,
    Ukiristo ni mungu kutafuta mwanadamu %100

  • @user-sb4fy9fl8k
    @user-sb4fy9fl8k Месяц назад +4

    Nakuamini shekhe

  • @technicalgearboxenginebysc1360
    @technicalgearboxenginebysc1360 Месяц назад +3

    Mpaka hapo de sure tiba zako sio kumtegemea Mungu unaita majini mashariki kusini kwann usimuite Mungu kutumia dua hapo uchawi unatumia

    • @MohamediOmari-nz4vv
      @MohamediOmari-nz4vv Месяц назад

      Unajua majini yaliumbwa kwa ajili gani

    • @Nassir-cl3bt
      @Nassir-cl3bt 18 дней назад

      Majina ni ya nani ni yako c na ya Allah tena majini ya Kher wew tumia akil Mungu yuko hapo asingetaka awangekuja ao majini mfano mtu akipagaliwa na mashetani uwa ywaenda wapi ebu tuambieni vizur msimuhukumu uyu doctor sule

  • @HadinanKimimbi
    @HadinanKimimbi 27 дней назад

    Msikilizeni vizur msimkosoe Sema Shekhe sule anavitu

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb Месяц назад +4

    Mshirikina uso umetoka nuru ya imani umekuwa kama uyo jini wako umekwabuka mchezo na shirki tamaa ya pesa na maisha ya Dunia tafuta kazi za halali Acha uvivu

    • @user-qb4cv7hs1o
      @user-qb4cv7hs1o Месяц назад

      Yani mshirikana hana ata hofu ya mungu Kesho wataulizwa anakera kwa kweli aseme Tu ni mganga wa kiyenyeji asijivije kivuli cha dini

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      Anatuharibia dini yetu kwa maslahi yake binafsi hana hofu na kesho yake, Eee MOLA wetu malezi tunusuru

    • @aljalilatiba9873
      @aljalilatiba9873 Месяц назад

      Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
      Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
      Ayah ni hii
      وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
      Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 Месяц назад

      Allah ameondoa nuru katika paji la uso wake kwa hii shirki anayofanya Allah amuongoe

    • @athumannyungundileki9799
      @athumannyungundileki9799 Месяц назад

      Kweli sule amepoteza nuru katika paji lake la uso kwa ajili ya usirikina

  • @djsma255
    @djsma255 23 дня назад

    Aise napiga hili la pete, na nyota kwanza mtume Muhammad S.A.W alitukataza mambo yakusoma nyota, alafu mbona simple kama unataka baraka na mvuto na ikifika saa 9 usiku amka Allah anashuka mpaka mbingu ya dunia na kunadi, kuna mwenye dua nimjibie, kuna mwenye haja nimtumizie kuna mwenye kutaka msamaha nimsamehe.... Huo ndio muda na njia ya uhakika ya kupata baraka na bahati na mafanikio, haya ya majini na nyota sio mila yetu wafeasi wa mtume Muhammad S.A.W

  • @Dafetty
    @Dafetty Месяц назад

    Part 5 please 😅😅😅❤

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 Месяц назад +1

    Dah kazi kweli kweli

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 26 дней назад

    Dr Sule ni mtaalamu

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 Месяц назад +2

    Mashekhe wa Tanganyika bwana hatar duniya mbele Ahera nyuma😂😂😂😂

  • @mariyammariyam1454
    @mariyammariyam1454 Месяц назад

    Mimi nakukubali Sana unaongea unafafanua kutoka moyoni Asiyekuelewa Analake Jambo mashekhe weeengi sasaivi nikumzungumzia sule selu mungu Akusimamie uzidi kuwaponya watu nakuwaelimisha Asante nakupenda Bule

  • @bosskenya123
    @bosskenya123 22 дня назад +1

    Hapo mnaita majini waje kuwasaidia sisi uwa tunaita roho mtakatifu. Hatuwezi fanana ng'0

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy Месяц назад +1

    Sawa doctor tumekuelewa rkn punguza tumbo hilo utapunguza utyamu😊

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p 24 дня назад

    Dr Tule

  • @abdillahiharuna0029
    @abdillahiharuna0029 Месяц назад +1

    Kitu ambacho nimekigundua nikwamba kuna siri kubwa kwenye elimu watu wengi wanaangamia kwakukosa maariya

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 9 дней назад

    Dr sule ameunganisha jitiada ya kutafuta mungu na uganga= kwa hivo ushirikina kamili.

  • @KelvinMwanzia-hh4rh
    @KelvinMwanzia-hh4rh 18 часов назад

    Naomba namba yako dr sule

  • @wambelahassan1764
    @wambelahassan1764 Месяц назад +1

    Hiv jmn elim tunayo au tunapayuka t ebu tusomen jmn ,,mi nasoma t hata sielew ila najifunza napata uelewa

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga Месяц назад +2

    Jamani huyu jamaa atakupotezeni kueni makini

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaid Месяц назад +1

    Sasa shekhe wa wadudu naona waanza kuwa mchawi, mwanga. Yaani hata sijui wazungumzia dini gani!

  • @KelvinMwanzia-hh4rh
    @KelvinMwanzia-hh4rh 18 часов назад

    Naomba namba yako natoka kenya

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Месяц назад

    Wa kwanzaaa ilaaaa Habari yaifungukiii

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p 24 дня назад

    Nimefahamu kisomo chako cha masaa yote hakikusaidia mpaka ulipotaka msaada wa Majini kwa time ilioiweka mwenyewe

  • @medinaser9712
    @medinaser9712 Месяц назад +1

    Tazama hatari anasema ndigu zake ndio waliyomtia hayo majini ..sifa ya hao washirikina ni kugoganisha ndugu

  • @aliymwanafuno9848
    @aliymwanafuno9848 19 дней назад

    Mmmhhh kote kasema,ila kwa kikwete kapotea,kikwete mwiz2

  • @Mina.15
    @Mina.15 Месяц назад +3

    (CRAMPS)MCHAWIII MKUBWA WEWE NA HIYO CREMPU YAKO😂😂😂 ….

    • @AbubakaryAbdallah
      @AbubakaryAbdallah 26 дней назад

      Sas jaman uchawi hapo umeingiaje ni ukwel tu Kwan imam ghazal anavitab hatar San lakin mbona hamumuiti mchawi

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Месяц назад +4

    Makubwaa! Kumbe waislamu mnatumia mini,badala ya Mungu?? Nilimtukanaga sn Mwaipopo akikuponda.Mwaipopo nisameheee.

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Месяц назад +1

      Wee usiseme waislam mtaje huyu tu anaesema usichanganye waislam wote hapa na hao wanaojiita manabii na wachungaji pia wao washirikina tele

    • @aljalilatiba9873
      @aljalilatiba9873 Месяц назад

      UISLAM HAUTUMII MAJINI KABISA, NI YEYE TUU HUYO
      Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
      Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
      Ayah ni hii
      وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
      Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

    • @user13375
      @user13375 Месяц назад

      ​@@Shuu.Ashehk wenu huyo acha kumkataa

    • @hassansingano1150
      @hassansingano1150 Месяц назад

      Nabii Suleiman alikuwa akiwatumikisha majini atakavyo. Kwa iyo, tukae chini tusome.

    • @user13375
      @user13375 Месяц назад

      @@hassansingano1150 huyo ni seleman wa kwen ,wa bibilia hakuwa ivo

  • @shabanhussein5366
    @shabanhussein5366 17 дней назад

    nakuombea duwa dokta sule saidia watu, wanao kuona ufai wapo wanakuona una faa.

  • @user-ro5yn1uw8v
    @user-ro5yn1uw8v 25 дней назад

    Naomba namba ya Dr sulle

  • @user-xf4qs5ti5m
    @user-xf4qs5ti5m 21 день назад +1

    Kumbe yule mtetezi wa sule ni kuku jogo jina😂

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 25 дней назад

    Mimi hata freemason nilikuwa siamini kumbe vipo na yeye tutamuelewa siku moja acha atoe darsa

  • @Ngendakumana_
    @Ngendakumana_ Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂kwanijini ndiokitugani😅😅😅😅 anakufagaaa😂😂😂😂😂

  • @alexmatheka8771
    @alexmatheka8771 14 дней назад

    Na si mnasema majini n wasaidizi wenu😂😂😂😂😂imekua aje

  • @pascalmgina
    @pascalmgina Месяц назад +1

    Sheikh anatangaza biashara

  • @Nassir-cl3bt
    @Nassir-cl3bt 18 дней назад

    Doctor sule ywatoa elimu watu awajamuelewa kbsa na ni ukosefu wa elimu atuna walahi

  • @rashdabdulazizi4193
    @rashdabdulazizi4193 26 дней назад

    Wa Afrika elimu ndogo ndiomaana kila anaefanikiwa wanasema mshirikina,freemason,mwizi,mchawi,kumbuka njia za mafanikio ni nyingi kuna halali na haram nijukumu lako kuchagua upite na ipi

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 Месяц назад +4

    Wasomi wanajuwa huyu Sure ni muongo taper sana kawadanganya watu kuwauzia pete zauongo pumbavu

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Месяц назад +1

    Kwenye bible,tiba! Vipi kuhusu qur an,Fiqh,hadith au upande huo hauna kitu wewe unajua bible na majini2?

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Месяц назад +9

    Mushrik mkubwa

    • @AbubakaryAbdallah
      @AbubakaryAbdallah 26 дней назад +1

      Sheikh samahan lkn ila kwa hap shirk imeingiaje

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад +1

    NAUNGA MKONO HOJA--.KAMA HUAMINI KAA KUSHOTO HUJAITWA

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 Месяц назад +2

    Sulle ni mganga wa kienyeji anayejificha kwenye kivuli Cha dini fulani

  • @user-hc8fi9lc6t
    @user-hc8fi9lc6t 29 дней назад

    Aswari hawana hayo ila bakwata Mambo yenu

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina6718 Месяц назад +3

    ILA DR SURE MIAKA YOOOOTE HATUKUJUI LEO UNAJIFICHUA,

    • @cryptoboy-5
      @cryptoboy-5 Месяц назад

      wew siuneshika smart phon juzi

    • @hassansingano1150
      @hassansingano1150 Месяц назад +2

      Ni vigumu sana kumuelewa Dr Sule. Sule ni kichwa. Kuhusu majini, mbona Nabii Suleiman alikuwa akiwamiliki na kuwatumikisha, ajabu nini? ,

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 Месяц назад

      @@cryptoboy-5 ndio,sio juzi tu ehe shda nini?

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 Месяц назад

      @@hassansingano1150 hata nabii Muhammad swallallah alayh wasallam,alikua na wake 9,wee unaruhusiwa?
      Nimswadiq kauli yake iliuchawi ufanyike ni razma jni lihusishwe,
      Jini hatumikishwi na mwanadamu ila ni shetani,
      Ima kuna habar mtume katumikisha jn ktk shughli zake?
      NYINYI NDO MNASABABISHA WASOMA QUR ANI WAONEKANE WACHAWI,

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Месяц назад

      @@hassansingano1150 labda Suleiman wa mchongo wa Qur'an lakini yule wa Biblia hakuwai kutumia majini.

  • @seifsaid9905
    @seifsaid9905 Месяц назад

    Umepigaje hapo mkuu mara kufa mala kupooza ahahaha kwer we ni .....

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n Месяц назад

    Njaaa

  • @bosskenya123
    @bosskenya123 22 дня назад

    So huyu n mgaga?

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 Месяц назад

    Miaka 24 huyo mtoto kijana?

  • @GSaleh-xr3vn
    @GSaleh-xr3vn Месяц назад +1

    Kama kweli unatumia majina ya Allah kwann usiyataje au ni kichaka tu chakujifichia tumuogope Allah

    • @allycux1221
      @allycux1221 Месяц назад

      Ayo majina yapo bro shida akiyataja watu wata umizana hata mimi nime yambiwaga kweli ukitaka ndakwambiya ila ndakupa shurti ili usije kumiza watu

    • @GSaleh-xr3vn
      @GSaleh-xr3vn Месяц назад

      @@allycux1221 naomba nami unipe elim.Mtume anasema nifikishieni walau aya moja na Mungu anasema wala msiuze aya zangu kwa thamani ndogo ya kidunia nakuomba unipe elim

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj Месяц назад

    Kumbee juix imeshia 😂😂

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Месяц назад

    Mh! Atari km kwelii

  • @MohamedRashid-ob9nq
    @MohamedRashid-ob9nq Месяц назад +2

    Huyu ni tapeli tahadharini

    • @amosethantheking8815
      @amosethantheking8815 Месяц назад

      Dini yenu ni ya majini, siyo utapeli bali Quran imetoka kwa majini..

    • @IssaAli-wz5jh
      @IssaAli-wz5jh 27 дней назад

      ​@@amosethantheking8815Endelea kujidanganya ipo siku utajuwa wapi ilikotoka Qur an we subiri tu.

    • @adamally8791
      @adamally8791 12 дней назад

      ​@@amosethantheking8815Kuwa na heshima wewe nani alikuambia QURAN imetokea kwa majini😡, Tulia ujifunze wewe

  • @myself4128
    @myself4128 Месяц назад +2

    Dini ya Uislamu inahubiriwa na waganga wa Kienyeji,Uislamu na Mapepo damu damu!ushirkina na uchawi ni sehemu ya uislamu! Mwisho wenu unajulikana endeleeni Kuongopeana!Mbinguni hakiingii kichafu

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Месяц назад +2

    Sule wewe nimganga ushekhe ulishauweka bench zamani sana nakama umeamuwa kufata njiya hiyo sule utakuja kujuta mbele ya mungu

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Месяц назад +3

    Kuna kitu Dr Sule aliwahi ongea, alisema **Nabii Suleiman alipewa uwezo na Mungu kuwatumikisha Majini atakavyo**, kwa iyo, anayo sema Sule kiukweli inahitajika elimu, sio kupinga tuuu.

    • @FarajaMtavangu
      @FarajaMtavangu Месяц назад

      waislam ntaongea mengi lakin dini yenu Haina msimamo inajipingapinga saaaaaaana kiundani inatisha ila kama Allah ndiye MUNGU wenu basi Allah na YAHWEH ni miungu miwili tofauti ila mwisho ndo huu soon Kila mtu atajionea hakutakuwa na wakusimuliwa

  • @sleyumngolo
    @sleyumngolo Месяц назад +3

    Ili kazi ya mungu ifike vzr lazima upingwe na wengi saiv dr sule ameanza kufanikiwa sasa

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Месяц назад

      Kwenye majini kuna kazi ya Mungu acha uongo

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 Месяц назад

      Huyu ameanza kufanikiwa kwenye mambo ya ushetani sio mambo ya mungu chunga kauli yako ndugu yangu usimsifie aliepotea muombee mungu amrudishe kwenye mstari sahihi

  • @Mteule1010
    @Mteule1010 Месяц назад +5

    Aliyesikia KIBIRITI UPELE gonga like hapa.

    • @simonndirangu336
      @simonndirangu336 Месяц назад +1

      Listening from Kenya malindi.. hii sijasikia

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 Месяц назад +4

    Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
    Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
    Ayah ni hii
    وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
    Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

  • @BakariMbega
    @BakariMbega Месяц назад

    Umevunja bendi

  • @JumaMhafigwa-ic8ff
    @JumaMhafigwa-ic8ff Месяц назад +1

    Na anaebisha anitafute mm nakubaliana na Docter Sule ni mkweli mm nipo chanika zingiziwa ila sitaki kujitangaza mm namtoa jini bila mtu kuanguka wala kumfusha dawa mm namuita jini na lazima aje ninayo elimu ya majini

  • @SayakuluAyubu-dy4wy
    @SayakuluAyubu-dy4wy 26 дней назад

    Musikitiwasuleimani wanautaka wakirsto ulijengwa na majini ,we mjinga kasome

  • @mohdali2408
    @mohdali2408 Месяц назад +2

    Sheikh huo sio uisalam tulio jifunza, ila Munaiga wakristo kupata kipato

  • @user13375
    @user13375 Месяц назад +2

    Hayanaga Mungu hayo ,maabudu majini

    • @babajay3445
      @babajay3445 Месяц назад

      Sawa kama sisi waabudu majini nyie mnaabudu ushoga mbona hata papa alisema

    • @hassanmitayo1875
      @hassanmitayo1875 Месяц назад

      Ukiingia Paradiso ufunge mlango na wenye utatu wenzako

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy Месяц назад

      Nyie ndo mna mungu, wafungisha ndoa za jinsia moja na kuutangaza ushoga Duniani na Israeli ndo makao makuu ya ushoga na PAPA ndio shoga mkuu wenu

    • @omigrodrasnet7638
      @omigrodrasnet7638 15 дней назад

      Wasiomwabudu yesu hawana mungu

  • @RashidAbdallah-vo8bi
    @RashidAbdallah-vo8bi Месяц назад

    Sule nakuamini

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk 17 дней назад

    Kumbe bibiria kitabu tukufu

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 Месяц назад

    Hakunaga majini wema

  • @issachina9443
    @issachina9443 Месяц назад +2

    😂huyu mndengereko ni shidah allah amuifadhi

    • @MohammedSaid-tf5qc
      @MohammedSaid-tf5qc Месяц назад

      Wandege 🌟 mashaallaah kusoma raha istikh daamulkuddaam inafaaa njooni Misri huku mutiwe adabu kielimu na madukturu kutumia majini ktk kheri yafaaa

  • @user-eb2fo6xq4t
    @user-eb2fo6xq4t 12 дней назад

    Yani we ni mwehu hujui kitu maji yapo na yanafanya kazi na yanatumwa we Fala wa wapi wewe

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 15 дней назад

    Kingine umesahau mwanasiasa aliyekuwa mwislam anakuwa mwizi na mzururaji 😂

  • @c.e.o_abdiroush
    @c.e.o_abdiroush Месяц назад +2

    Laanatulllahi Alayhi! Kafiri mkubwa huyu mshirikina ! Tena anajinasib ni sheikh! Takataka huyu alaaniwe kudanganya watu na kuaminisha Uislamu unakubali ujinga huu! Ety Dokta ! Dokta gani yupo Hivi!

    • @sleyumngolo
      @sleyumngolo Месяц назад +2

      Pombe ikikutoka njoo ufute comment yako

    • @aljalilatiba9873
      @aljalilatiba9873 Месяц назад

      Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
      Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
      Ayah ni hii
      وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
      Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

    • @wagabwagab-md7rt
      @wagabwagab-md7rt Месяц назад

      Hatujapewa ruhusa ya kumkufurisha mtu ndugu yangu

  • @user-hg5wr2mc7k
    @user-hg5wr2mc7k Месяц назад

    kkkkkkk uyu jamaa bana

  • @medinaser9712
    @medinaser9712 Месяц назад +3

    Tapeli mkubwa

  • @kennedyodhiambo8049
    @kennedyodhiambo8049 27 дней назад

    Jini ni shetani na hakuna shetani mzuri. Ushuhuda huu unaonyesha waziwazi nguvu za Allah iko katika majini. Majina yake yanawaita majini. Nashangaa mbona umebana majina hayo yanayowaita majini?

    • @shamisfahiye9628
      @shamisfahiye9628 18 дней назад

      Wewe nawe! Kajifunze vizuri. Ulimwengu wa majini ili uwekwe . Ni elimu km elimu zingine

  • @abdulazizkassim775
    @abdulazizkassim775 Месяц назад

    Comoro fani ya roukiyat hawayitabouwi vizuri ndiyo mana aliwadaganya

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 Месяц назад

      Wivu huo😮😮

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 Месяц назад

      Kumponda sule ni husda dumu sele ktk nguvu yamungu

    • @abdulazizkassim775
      @abdulazizkassim775 Месяц назад

      @@mariyammariyam1454 mimi nampenda dr sule katika maelezo yake ya sayansi na hoja za bibilia
      Lakini tatizo lake moja tou ; anataka kuingiya katika fani zote nayeye hazi wezi , fani zakusomeya watu roukiyat n'a mambo ya sheria ya dini . Abaki tou katika hoja n'a sayansi (dawa labda,...)
      Machallah napenda sana mdahalo abawo dr sule yupo
      Anajuwa kabissa dini nyingi na kuchambuwa vizuri

  • @MubarakDiis
    @MubarakDiis Месяц назад

    ASalaam aleikum naomba namber ya Dr sulee

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад +3

    Umeshapotea baba

  • @japhetmsafiri
    @japhetmsafiri Месяц назад +1

    Jini ni jini tu .....hamna jini zuri wala baya

  • @saidjelani1566
    @saidjelani1566 Месяц назад +3

    Mrongo mkubwa tapeli tuu

  • @slimshady7180
    @slimshady7180 14 дней назад

    Dokta wewe muongo jini aliyekufa Una uwezo upi wa kumfufua kama unavyodai