#PART4
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- #PART4: DR SULLE ASIMULIA JINI ALIVYOFIA MWILINI -MTU AKAZIMIKA MBELE YAKE AKASOMA DUA AKAWA MZIMA..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
vip zawadi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Can i get the doctors no.
Yesu alishasema wasiokili kuwa yy ndiye bwana hawatarithi ufalme wa mbinguni
Dr Sule, asanti sana. Na kukubali
Masheikh,linganieni Dini,sio hela😢😢😢😢😢
Iyoni doctor mzuri lakini anatamaa Sana na nimshilikina😢 mungu atusaidie Sana na tamaa za pesa atunusuru yallab
Shukran
Dokta sule unayosema ni kweli mm nawajua majini vizuri sana na nna uwezo wa kumuadhibu jini nitakavyo kwa idhini ya Allah
Msibaa
Doctr salaam alaykum Allah akuhifadhi hi inaitwa kujikanyaga kwasababu yaufikishaji hi njia inahitaji elimu zaidi jamii haiwezi kuelewa ila kunanjia malumu ila kwakukusaidia swali zawali alafu bainisha yote yalokuepo moyonimwako mkabidhi Allah tubia ulipokosea omba kheri kwa allah ndio daraja yako itarudi insha'allah rudi kwa Allah ila ukitaka kufikisha elimu nyengine wafate walio kusomesha nivipi ufikishe kabla kukurupuka
Usipotoshe umma muongope allah
Uwongo mbaya, Nchi zilizo endelea mgonjwa hua anatibiwa kwanza kisha analipa baadae
Mwongo weee mara kibao unasikia anataka kwenda kutibiwa india zinahitajika mili 20
Huyu jamaa Yuko vizuri kiasi, muongeaji na mwenye akili kiasi chake,
So kuna mambo anapatia na mengine anakosea kama mashehe wengine,
Sasa tusimhukumu Kwa makosa tu na anapopatia tumpongeze.
Masha'allah Masha'allah sheikh wetu
Watu?😂😂😂 wako ni mchawiii sio sheikh
Ujuwi Lolote Kasome
@@Kuminamoja1995 anajua jini hutumikishwa na mtu baada ya kukufuru,na hawi jini mwema huwa shayatwiin,na yeye si nabii sureiman
Usiseme mashaallah kwa mtu mshirikina Allah atulinde na fitna yake
😂😂😂😂
Mshirikina wa kiwango cha juu sana
😂😂
Part 5 please 😅😅😅❤
Mim nampenda sana uyu sheikh kuna vit ving san najifunz kutok kwake ,kwanz confedence ake,mashaallah ❤
Doctor sule story alivyomuelezea nyuki Atari sana
Na ile story ndo ilinifanya Mimi nimpende doctor sule na kuanza kumfatilia mpaka Leo hii masha ALLAH ♥️💞💞 aliweza kweli
Nakuamini shekhe
Acheni kuendeshwa akili na mitazamo yawatu bila kutumia tafakari za akili zenu someni kwanza na sio kufuata kauli za waajiriwa wa madhehebu walikuja kwa mitaala maalum ya zogo ktk dini
Jibu hoja pacha porojo.ukiletewa mgonjwa wa majini utamtibu vp.huna elmu
Dr Tule macho yako yameanza kubadilika
Dr Tule
Mpaka hapo de sure tiba zako sio kumtegemea Mungu unaita majini mashariki kusini kwann usimuite Mungu kutumia dua hapo uchawi unatumia
Unajua majini yaliumbwa kwa ajili gani
Majina ni ya nani ni yako c na ya Allah tena majini ya Kher wew tumia akil Mungu yuko hapo asingetaka awangekuja ao majini mfano mtu akipagaliwa na mashetani uwa ywaenda wapi ebu tuambieni vizur msimuhukumu uyu doctor sule
Dah kazi kweli kweli
Dini ni jitiada ya mwanadamu kutafuta mungu, ukiristo sio dini,
Ukiristo ni mungu kutafuta mwanadamu %100
Hapo mnaita majini waje kuwasaidia sisi uwa tunaita roho mtakatifu. Hatuwezi fanana ng'0
Wallahi huyu anaharibu sifa ya uislamu kwa wenye elimu ndogo wataona waislamu una shida huyu sasa anadhihirisha sio mlinganiaji huyu ni mganga tena anaefanya shirki Allah atulinde nae
Wewe elimu hauna uyo Dr sule anaelimisha hapo lbda amepandisha ama ameona majini jaman izo akil zenu ziko wap na wenda nyinyi ndio mnatumia majini Dr sule anatoa ukwel kbsa
Wewe ndo huijui dini yako
Msikilizeni vizur msimkosoe Sema Shekhe sule anavitu
Taiwan si nchi ya kislam ni pahala wa wachina na hakuna wizi wamazingira hayo uyasemayo nafikiri haukuzunguka ulimwengu mzima , Malaysian nchi ya kidini ya uislam nakuna rushwa na ushenzi kwenda mbele mpka na huko Indonesia kwenye waislam wengi zaidi so mjomba labda uwadanganye hao watu wapo nyumbani
Mimi nakukubali Sana unaongea unafafanua kutoka moyoni Asiyekuelewa Analake Jambo mashekhe weeengi sasaivi nikumzungumzia sule selu mungu Akusimamie uzidi kuwaponya watu nakuwaelimisha Asante nakupenda Bule
Muhammad Ally Rufungura kutoka Kampala Uganda Dr Sule umenipa moyo na kufanya hofu zangu zitoweke kwa ajili ya elimu ya tiba ya Quran Allah mtukufu akurahisishie kila kitu
Mashekhe wa Tanganyika bwana hatar duniya mbele Ahera nyuma😂😂😂😂
Dr Sule ni mtaalamu
Hiv jmn elim tunayo au tunapayuka t ebu tusomen jmn ,,mi nasoma t hata sielew ila najifunza napata uelewa
Mshirikina uso umetoka nuru ya imani umekuwa kama uyo jini wako umekwabuka mchezo na shirki tamaa ya pesa na maisha ya Dunia tafuta kazi za halali Acha uvivu
Yani mshirikana hana ata hofu ya mungu Kesho wataulizwa anakera kwa kweli aseme Tu ni mganga wa kiyenyeji asijivije kivuli cha dini
Anatuharibia dini yetu kwa maslahi yake binafsi hana hofu na kesho yake, Eee MOLA wetu malezi tunusuru
Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
Ayah ni hii
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Allah ameondoa nuru katika paji la uso wake kwa hii shirki anayofanya Allah amuongoe
Kweli sule amepoteza nuru katika paji lake la uso kwa ajili ya usirikina
Dr sule ameunganisha jitiada ya kutafuta mungu na uganga= kwa hivo ushirikina kamili.
Kumbe yule mtetezi wa sule ni kuku jogo jina😂
Sawa doctor tumekuelewa rkn punguza tumbo hilo utapunguza utyamu😊
Wa kwanzaaa ilaaaa Habari yaifungukiii
😂😂😂😂😂😂😂
Jamani huyu jamaa atakupotezeni kueni makini
Jifunze hautopotea
Naomba namba ya Dr sulle
Aise napiga hili la pete, na nyota kwanza mtume Muhammad S.A.W alitukataza mambo yakusoma nyota, alafu mbona simple kama unataka baraka na mvuto na ikifika saa 9 usiku amka Allah anashuka mpaka mbingu ya dunia na kunadi, kuna mwenye dua nimjibie, kuna mwenye haja nimtumizie kuna mwenye kutaka msamaha nimsamehe.... Huo ndio muda na njia ya uhakika ya kupata baraka na bahati na mafanikio, haya ya majini na nyota sio mila yetu wafeasi wa mtume Muhammad S.A.W
Kitu ambacho nimekigundua nikwamba kuna siri kubwa kwenye elimu watu wengi wanaangamia kwakukosa maariya
Makubwaa! Kumbe waislamu mnatumia mini,badala ya Mungu?? Nilimtukanaga sn Mwaipopo akikuponda.Mwaipopo nisameheee.
Wee usiseme waislam mtaje huyu tu anaesema usichanganye waislam wote hapa na hao wanaojiita manabii na wachungaji pia wao washirikina tele
UISLAM HAUTUMII MAJINI KABISA, NI YEYE TUU HUYO
Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
Ayah ni hii
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
@@Shuu.Ashehk wenu huyo acha kumkataa
Nabii Suleiman alikuwa akiwatumikisha majini atakavyo. Kwa iyo, tukae chini tusome.
@@hassansingano1150 huyo ni seleman wa kwen ,wa bibilia hakuwa ivo
(CRAMPS)MCHAWIII MKUBWA WEWE NA HIYO CREMPU YAKO😂😂😂 ….
Sas jaman uchawi hapo umeingiaje ni ukwel tu Kwan imam ghazal anavitab hatar San lakin mbona hamumuiti mchawi
Tazama hatari anasema ndigu zake ndio waliyomtia hayo majini ..sifa ya hao washirikina ni kugoganisha ndugu
Lakini Haku mention jina
Mmmhhh kote kasema,ila kwa kikwete kapotea,kikwete mwiz2
Sasa shekhe wa wadudu naona waanza kuwa mchawi, mwanga. Yaani hata sijui wazungumzia dini gani!
nakuombea duwa dokta sule saidia watu, wanao kuona ufai wapo wanakuona una faa.
Nimefahamu kisomo chako cha masaa yote hakikusaidia mpaka ulipotaka msaada wa Majini kwa time ilioiweka mwenyewe
Sulle ni mganga wa kienyeji anayejificha kwenye kivuli Cha dini fulani
Hili ni tapeli kubwa
Sheikh anatangaza biashara
Huyu mganga sio shekhe
Na si mnasema majini n wasaidizi wenu😂😂😂😂😂imekua aje
ILA DR SURE MIAKA YOOOOTE HATUKUJUI LEO UNAJIFICHUA,
wew siuneshika smart phon juzi
Ni vigumu sana kumuelewa Dr Sule. Sule ni kichwa. Kuhusu majini, mbona Nabii Suleiman alikuwa akiwamiliki na kuwatumikisha, ajabu nini? ,
@@cryptoboy-5 ndio,sio juzi tu ehe shda nini?
@@hassansingano1150 hata nabii Muhammad swallallah alayh wasallam,alikua na wake 9,wee unaruhusiwa?
Nimswadiq kauli yake iliuchawi ufanyike ni razma jni lihusishwe,
Jini hatumikishwi na mwanadamu ila ni shetani,
Ima kuna habar mtume katumikisha jn ktk shughli zake?
NYINYI NDO MNASABABISHA WASOMA QUR ANI WAONEKANE WACHAWI,
@@hassansingano1150 labda Suleiman wa mchongo wa Qur'an lakini yule wa Biblia hakuwai kutumia majini.
Mimi hata freemason nilikuwa siamini kumbe vipo na yeye tutamuelewa siku moja acha atoe darsa
😂😂😂😂😂😂kwanijini ndiokitugani😅😅😅😅 anakufagaaa😂😂😂😂😂
Njaaa
Doctor sule ywatoa elimu watu awajamuelewa kbsa na ni ukosefu wa elimu atuna walahi
Kama kweli unatumia majina ya Allah kwann usiyataje au ni kichaka tu chakujifichia tumuogope Allah
Ayo majina yapo bro shida akiyataja watu wata umizana hata mimi nime yambiwaga kweli ukitaka ndakwambiya ila ndakupa shurti ili usije kumiza watu
@@allycux1221 naomba nami unipe elim.Mtume anasema nifikishieni walau aya moja na Mungu anasema wala msiuze aya zangu kwa thamani ndogo ya kidunia nakuomba unipe elim
Wa Afrika elimu ndogo ndiomaana kila anaefanikiwa wanasema mshirikina,freemason,mwizi,mchawi,kumbuka njia za mafanikio ni nyingi kuna halali na haram nijukumu lako kuchagua upite na ipi
So huyu n mgaga?
Huyu ni tapeli tahadharini
Dini yenu ni ya majini, siyo utapeli bali Quran imetoka kwa majini..
@@amosethantheking8815Endelea kujidanganya ipo siku utajuwa wapi ilikotoka Qur an we subiri tu.
@@amosethantheking8815Kuwa na heshima wewe nani alikuambia QURAN imetokea kwa majini😡, Tulia ujifunze wewe
Miaka 24 huyo mtoto kijana?
Musikitiwasuleimani wanautaka wakirsto ulijengwa na majini ,we mjinga kasome
Ndio kwa quoran sio kwa bibilia.
Kwenye bible,tiba! Vipi kuhusu qur an,Fiqh,hadith au upande huo hauna kitu wewe unajua bible na majini2?
ASalaam aleikum naomba namber ya Dr sulee
Jini ni jini tu .....hamna jini zuri wala baya
Umepigaje hapo mkuu mara kufa mala kupooza ahahaha kwer we ni .....
Mh! Atari km kwelii
😂huyu mndengereko ni shidah allah amuifadhi
Wandege 🌟 mashaallaah kusoma raha istikh daamulkuddaam inafaaa njooni Misri huku mutiwe adabu kielimu na madukturu kutumia majini ktk kheri yafaaa
Mushrik mkubwa
Sheikh samahan lkn ila kwa hap shirk imeingiaje
NAUNGA MKONO HOJA--.KAMA HUAMINI KAA KUSHOTO HUJAITWA
Wasomi wanajuwa huyu Sure ni muongo taper sana kawadanganya watu kuwauzia pete zauongo pumbavu
Aswari hawana hayo ila bakwata Mambo yenu
Ili kazi ya mungu ifike vzr lazima upingwe na wengi saiv dr sule ameanza kufanikiwa sasa
Kwenye majini kuna kazi ya Mungu acha uongo
Huyu ameanza kufanikiwa kwenye mambo ya ushetani sio mambo ya mungu chunga kauli yako ndugu yangu usimsifie aliepotea muombee mungu amrudishe kwenye mstari sahihi
Comoro fani ya roukiyat hawayitabouwi vizuri ndiyo mana aliwadaganya
Wivu huo😮😮
Kumponda sule ni husda dumu sele ktk nguvu yamungu
@@mariyammariyam1454 mimi nampenda dr sule katika maelezo yake ya sayansi na hoja za bibilia
Lakini tatizo lake moja tou ; anataka kuingiya katika fani zote nayeye hazi wezi , fani zakusomeya watu roukiyat n'a mambo ya sheria ya dini . Abaki tou katika hoja n'a sayansi (dawa labda,...)
Machallah napenda sana mdahalo abawo dr sule yupo
Anajuwa kabissa dini nyingi na kuchambuwa vizuri
Kumbee juix imeshia 😂😂
Kingine umesahau mwanasiasa aliyekuwa mwislam anakuwa mwizi na mzururaji 😂
Sule nakuamini
Dini ya Uislamu inahubiriwa na waganga wa Kienyeji,Uislamu na Mapepo damu damu!ushirkina na uchawi ni sehemu ya uislamu! Mwisho wenu unajulikana endeleeni Kuongopeana!Mbinguni hakiingii kichafu
Wewe hujui usemalo
Aliyesikia KIBIRITI UPELE gonga like hapa.
Listening from Kenya malindi.. hii sijasikia
Umevunja bendi
Kumbe bibiria kitabu tukufu
Hayanaga Mungu hayo ,maabudu majini
Sawa kama sisi waabudu majini nyie mnaabudu ushoga mbona hata papa alisema
Ukiingia Paradiso ufunge mlango na wenye utatu wenzako
Nyie ndo mna mungu, wafungisha ndoa za jinsia moja na kuutangaza ushoga Duniani na Israeli ndo makao makuu ya ushoga na PAPA ndio shoga mkuu wenu
Wasiomwabudu yesu hawana mungu
Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
Ayah ni hii
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Na anaebisha anitafute mm nakubaliana na Docter Sule ni mkweli mm nipo chanika zingiziwa ila sitaki kujitangaza mm namtoa jini bila mtu kuanguka wala kumfusha dawa mm namuita jini na lazima aje ninayo elimu ya majini
Sheikh huo sio uisalam tulio jifunza, ila Munaiga wakristo kupata kipato
Sule wewe nimganga ushekhe ulishauweka bench zamani sana nakama umeamuwa kufata njiya hiyo sule utakuja kujuta mbele ya mungu
Umeshapotea baba
Soma muelewe sio kuongea vitu amuelewi
Yani we ni mwehu hujui kitu maji yapo na yanafanya kazi na yanatumwa we Fala wa wapi wewe
Hakunaga majini wema
Dokta wewe muongo jini aliyekufa Una uwezo upi wa kumfufua kama unavyodai
Jini ni shetani na hakuna shetani mzuri. Ushuhuda huu unaonyesha waziwazi nguvu za Allah iko katika majini. Majina yake yanawaita majini. Nashangaa mbona umebana majina hayo yanayowaita majini?
Wewe nawe! Kajifunze vizuri. Ulimwengu wa majini ili uwekwe . Ni elimu km elimu zingine
Tapeli mkubwa
Mrongo mkubwa tapeli tuu
kkkkkkk uyu jamaa bana
Huyu ni mganga anavutia uganga
Ngoja nijikusanye aisee nitakuja uko manake naona nina matatizo kibao😢😢
Wachawi mmekutana
Kuna kitu Dr Sule aliwahi ongea, alisema **Nabii Suleiman alipewa uwezo na Mungu kuwatumikisha Majini atakavyo**, kwa iyo, anayo sema Sule kiukweli inahitajika elimu, sio kupinga tuuu.
waislam ntaongea mengi lakin dini yenu Haina msimamo inajipingapinga saaaaaaana kiundani inatisha ila kama Allah ndiye MUNGU wenu basi Allah na YAHWEH ni miungu miwili tofauti ila mwisho ndo huu soon Kila mtu atajionea hakutakuwa na wakusimuliwa
Laanatulllahi Alayhi! Kafiri mkubwa huyu mshirikina ! Tena anajinasib ni sheikh! Takataka huyu alaaniwe kudanganya watu na kuaminisha Uislamu unakubali ujinga huu! Ety Dokta ! Dokta gani yupo Hivi!
Pombe ikikutoka njoo ufute comment yako
Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
Ayah ni hii
وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi
Hatujapewa ruhusa ya kumkufurisha mtu ndugu yangu
Dini ya majini , majini ndugu zenu waislam
Sana.nd unajua leo? Nyie marafiki went mashetani