#PART4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 май 2024
  • #PART4: DR SULLE ASIMULIA JINI ALIVYOFIA MWILINI -MTU AKAZIMIKA MBELE YAKE AKASOMA DUA AKAWA MZIMA..
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 207

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +9

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @omigrodrasnet7638
    @omigrodrasnet7638 6 дней назад +3

    Yesu alishasema wasiokili kuwa yy ndiye bwana hawatarithi ufalme wa mbinguni

  • @nuhukenny7183
    @nuhukenny7183 Месяц назад +8

    Dr Sule, asanti sana. Na kukubali

  • @AssumaneAndane
    @AssumaneAndane 10 дней назад +1

    Masheikh,linganieni Dini,sio hela😢😢😢😢😢

  • @RamadhanLunda
    @RamadhanLunda 4 дня назад +1

    Iyoni doctor mzuri lakini anatamaa Sana na nimshilikina😢 mungu atusaidie Sana na tamaa za pesa atunusuru yallab

  • @HakizimanaJeandieu-dy7cx
    @HakizimanaJeandieu-dy7cx Месяц назад +1

    Shukran

  • @JumaMhafigwa-ic8ff
    @JumaMhafigwa-ic8ff 22 дня назад +3

    Dokta sule unayosema ni kweli mm nawajua majini vizuri sana na nna uwezo wa kumuadhibu jini nitakavyo kwa idhini ya Allah

  • @YarmanAljahhdiry
    @YarmanAljahhdiry 7 дней назад

    Doctr salaam alaykum Allah akuhifadhi hi inaitwa kujikanyaga kwasababu yaufikishaji hi njia inahitaji elimu zaidi jamii haiwezi kuelewa ila kunanjia malumu ila kwakukusaidia swali zawali alafu bainisha yote yalokuepo moyonimwako mkabidhi Allah tubia ulipokosea omba kheri kwa allah ndio daraja yako itarudi insha'allah rudi kwa Allah ila ukitaka kufikisha elimu nyengine wafate walio kusomesha nivipi ufikishe kabla kukurupuka

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga 25 дней назад +4

    Usipotoshe umma muongope allah

  • @erickashindi2666
    @erickashindi2666 Месяц назад +5

    Uwongo mbaya, Nchi zilizo endelea mgonjwa hua anatibiwa kwanza kisha analipa baadae

    • @cleverommy5706
      @cleverommy5706 29 дней назад +1

      Mwongo weee mara kibao unasikia anataka kwenda kutibiwa india zinahitajika mili 20

  • @haroubsalim779
    @haroubsalim779 19 дней назад +3

    Huyu jamaa Yuko vizuri kiasi, muongeaji na mwenye akili kiasi chake,
    So kuna mambo anapatia na mengine anakosea kama mashehe wengine,
    Sasa tusimhukumu Kwa makosa tu na anapopatia tumpongeze.

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Месяц назад +6

    Masha'allah Masha'allah sheikh wetu

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад +1

      Watu?😂😂😂 wako ni mchawiii sio sheikh

    • @Kuminamoja1995
      @Kuminamoja1995 Месяц назад +1

      Ujuwi Lolote Kasome

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 Месяц назад

      @@Kuminamoja1995 anajua jini hutumikishwa na mtu baada ya kukufuru,na hawi jini mwema huwa shayatwiin,na yeye si nabii sureiman

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 Месяц назад

      Usiseme mashaallah kwa mtu mshirikina Allah atulinde na fitna yake

    • @johngeorge4834
      @johngeorge4834 4 дня назад

      😂😂😂😂

  • @kipchorngwonektiroto457
    @kipchorngwonektiroto457 14 дней назад +2

    Mshirikina wa kiwango cha juu sana

  • @Dafetty
    @Dafetty Месяц назад

    Part 5 please 😅😅😅❤

  • @muharramhamisi5140
    @muharramhamisi5140 25 дней назад +1

    Mim nampenda sana uyu sheikh kuna vit ving san najifunz kutok kwake ,kwanz confedence ake,mashaallah ❤

  • @HadinanKimimbi
    @HadinanKimimbi 19 дней назад +1

    Doctor sule story alivyomuelezea nyuki Atari sana

    • @user-xh5vl6eh6i
      @user-xh5vl6eh6i 7 дней назад

      Na ile story ndo ilinifanya Mimi nimpende doctor sule na kuanza kumfatilia mpaka Leo hii masha ALLAH ♥️💞💞 aliweza kweli

  • @user-sb4fy9fl8k
    @user-sb4fy9fl8k Месяц назад +4

    Nakuamini shekhe

  • @SelemanAmir-ze8zz
    @SelemanAmir-ze8zz Месяц назад +8

    Acheni kuendeshwa akili na mitazamo yawatu bila kutumia tafakari za akili zenu someni kwanza na sio kufuata kauli za waajiriwa wa madhehebu walikuja kwa mitaala maalum ya zogo ktk dini

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 24 дня назад

      Jibu hoja pacha porojo.ukiletewa mgonjwa wa majini utamtibu vp.huna elmu

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p 15 дней назад

    Dr Tule macho yako yameanza kubadilika

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p 15 дней назад

    Dr Tule

  • @technicalgearboxenginebysc1360
    @technicalgearboxenginebysc1360 Месяц назад +3

    Mpaka hapo de sure tiba zako sio kumtegemea Mungu unaita majini mashariki kusini kwann usimuite Mungu kutumia dua hapo uchawi unatumia

    • @MohamediOmari-nz4vv
      @MohamediOmari-nz4vv Месяц назад

      Unajua majini yaliumbwa kwa ajili gani

    • @Nassir-cl3bt
      @Nassir-cl3bt 9 дней назад

      Majina ni ya nani ni yako c na ya Allah tena majini ya Kher wew tumia akil Mungu yuko hapo asingetaka awangekuja ao majini mfano mtu akipagaliwa na mashetani uwa ywaenda wapi ebu tuambieni vizur msimuhukumu uyu doctor sule

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 Месяц назад +1

    Dah kazi kweli kweli

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 День назад

    Dini ni jitiada ya mwanadamu kutafuta mungu, ukiristo sio dini,
    Ukiristo ni mungu kutafuta mwanadamu %100

  • @bosskenya123
    @bosskenya123 13 дней назад +1

    Hapo mnaita majini waje kuwasaidia sisi uwa tunaita roho mtakatifu. Hatuwezi fanana ng'0

  • @lilmojr7
    @lilmojr7 Месяц назад +8

    Wallahi huyu anaharibu sifa ya uislamu kwa wenye elimu ndogo wataona waislamu una shida huyu sasa anadhihirisha sio mlinganiaji huyu ni mganga tena anaefanya shirki Allah atulinde nae

    • @Nassir-cl3bt
      @Nassir-cl3bt 9 дней назад +1

      Wewe elimu hauna uyo Dr sule anaelimisha hapo lbda amepandisha ama ameona majini jaman izo akil zenu ziko wap na wenda nyinyi ndio mnatumia majini Dr sule anatoa ukwel kbsa

    • @LugomeRisasi
      @LugomeRisasi 12 часов назад

      Wewe ndo huijui dini yako

  • @HadinanKimimbi
    @HadinanKimimbi 19 дней назад

    Msikilizeni vizur msimkosoe Sema Shekhe sule anavitu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Месяц назад +2

    Taiwan si nchi ya kislam ni pahala wa wachina na hakuna wizi wamazingira hayo uyasemayo nafikiri haukuzunguka ulimwengu mzima , Malaysian nchi ya kidini ya uislam nakuna rushwa na ushenzi kwenda mbele mpka na huko Indonesia kwenye waislam wengi zaidi so mjomba labda uwadanganye hao watu wapo nyumbani

  • @mariyammariyam1454
    @mariyammariyam1454 27 дней назад

    Mimi nakukubali Sana unaongea unafafanua kutoka moyoni Asiyekuelewa Analake Jambo mashekhe weeengi sasaivi nikumzungumzia sule selu mungu Akusimamie uzidi kuwaponya watu nakuwaelimisha Asante nakupenda Bule

  • @muhammadally393
    @muhammadally393 20 дней назад

    Muhammad Ally Rufungura kutoka Kampala Uganda Dr Sule umenipa moyo na kufanya hofu zangu zitoweke kwa ajili ya elimu ya tiba ya Quran Allah mtukufu akurahisishie kila kitu

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 Месяц назад +2

    Mashekhe wa Tanganyika bwana hatar duniya mbele Ahera nyuma😂😂😂😂

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 17 дней назад

    Dr Sule ni mtaalamu

  • @wambelahassan1764
    @wambelahassan1764 28 дней назад +1

    Hiv jmn elim tunayo au tunapayuka t ebu tusomen jmn ,,mi nasoma t hata sielew ila najifunza napata uelewa

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb Месяц назад +3

    Mshirikina uso umetoka nuru ya imani umekuwa kama uyo jini wako umekwabuka mchezo na shirki tamaa ya pesa na maisha ya Dunia tafuta kazi za halali Acha uvivu

    • @user-qb4cv7hs1o
      @user-qb4cv7hs1o Месяц назад

      Yani mshirikana hana ata hofu ya mungu Kesho wataulizwa anakera kwa kweli aseme Tu ni mganga wa kiyenyeji asijivije kivuli cha dini

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      Anatuharibia dini yetu kwa maslahi yake binafsi hana hofu na kesho yake, Eee MOLA wetu malezi tunusuru

    • @aljalilatiba9873
      @aljalilatiba9873 Месяц назад

      Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
      Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
      Ayah ni hii
      وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
      Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 Месяц назад

      Allah ameondoa nuru katika paji la uso wake kwa hii shirki anayofanya Allah amuongoe

    • @athumannyungundileki9799
      @athumannyungundileki9799 Месяц назад

      Kweli sule amepoteza nuru katika paji lake la uso kwa ajili ya usirikina

  • @sawebenjamin4015
    @sawebenjamin4015 День назад

    Dr sule ameunganisha jitiada ya kutafuta mungu na uganga= kwa hivo ushirikina kamili.

  • @user-xf4qs5ti5m
    @user-xf4qs5ti5m 12 дней назад +1

    Kumbe yule mtetezi wa sule ni kuku jogo jina😂

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy Месяц назад +1

    Sawa doctor tumekuelewa rkn punguza tumbo hilo utapunguza utyamu😊

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m Месяц назад

    Wa kwanzaaa ilaaaa Habari yaifungukiii

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga 25 дней назад +2

    Jamani huyu jamaa atakupotezeni kueni makini

  • @user-ro5yn1uw8v
    @user-ro5yn1uw8v 16 дней назад

    Naomba namba ya Dr sulle

  • @djsma255
    @djsma255 14 дней назад

    Aise napiga hili la pete, na nyota kwanza mtume Muhammad S.A.W alitukataza mambo yakusoma nyota, alafu mbona simple kama unataka baraka na mvuto na ikifika saa 9 usiku amka Allah anashuka mpaka mbingu ya dunia na kunadi, kuna mwenye dua nimjibie, kuna mwenye haja nimtumizie kuna mwenye kutaka msamaha nimsamehe.... Huo ndio muda na njia ya uhakika ya kupata baraka na bahati na mafanikio, haya ya majini na nyota sio mila yetu wafeasi wa mtume Muhammad S.A.W

  • @abdillahiharuna0029
    @abdillahiharuna0029 29 дней назад +1

    Kitu ambacho nimekigundua nikwamba kuna siri kubwa kwenye elimu watu wengi wanaangamia kwakukosa maariya

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Месяц назад +4

    Makubwaa! Kumbe waislamu mnatumia mini,badala ya Mungu?? Nilimtukanaga sn Mwaipopo akikuponda.Mwaipopo nisameheee.

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Месяц назад +1

      Wee usiseme waislam mtaje huyu tu anaesema usichanganye waislam wote hapa na hao wanaojiita manabii na wachungaji pia wao washirikina tele

    • @aljalilatiba9873
      @aljalilatiba9873 Месяц назад

      UISLAM HAUTUMII MAJINI KABISA, NI YEYE TUU HUYO
      Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
      Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
      Ayah ni hii
      وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
      Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

    • @user13375
      @user13375 Месяц назад

      ​@@Shuu.Ashehk wenu huyo acha kumkataa

    • @hassansingano1150
      @hassansingano1150 Месяц назад

      Nabii Suleiman alikuwa akiwatumikisha majini atakavyo. Kwa iyo, tukae chini tusome.

    • @user13375
      @user13375 Месяц назад

      @@hassansingano1150 huyo ni seleman wa kwen ,wa bibilia hakuwa ivo

  • @Mina.15
    @Mina.15 Месяц назад +3

    (CRAMPS)MCHAWIII MKUBWA WEWE NA HIYO CREMPU YAKO😂😂😂 ….

    • @AbubakaryAbdallah
      @AbubakaryAbdallah 17 дней назад

      Sas jaman uchawi hapo umeingiaje ni ukwel tu Kwan imam ghazal anavitab hatar San lakin mbona hamumuiti mchawi

  • @medinaser9712
    @medinaser9712 Месяц назад +1

    Tazama hatari anasema ndigu zake ndio waliyomtia hayo majini ..sifa ya hao washirikina ni kugoganisha ndugu

  • @aliymwanafuno9848
    @aliymwanafuno9848 10 дней назад

    Mmmhhh kote kasema,ila kwa kikwete kapotea,kikwete mwiz2

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaid Месяц назад +1

    Sasa shekhe wa wadudu naona waanza kuwa mchawi, mwanga. Yaani hata sijui wazungumzia dini gani!

  • @shabanhussein5366
    @shabanhussein5366 9 дней назад

    nakuombea duwa dokta sule saidia watu, wanao kuona ufai wapo wanakuona una faa.

  • @user-ts1kz1lw9p
    @user-ts1kz1lw9p 15 дней назад

    Nimefahamu kisomo chako cha masaa yote hakikusaidia mpaka ulipotaka msaada wa Majini kwa time ilioiweka mwenyewe

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 Месяц назад +2

    Sulle ni mganga wa kienyeji anayejificha kwenye kivuli Cha dini fulani

  • @pascalmgina
    @pascalmgina Месяц назад +1

    Sheikh anatangaza biashara

  • @alexmatheka8771
    @alexmatheka8771 6 дней назад

    Na si mnasema majini n wasaidizi wenu😂😂😂😂😂imekua aje

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina6718 Месяц назад +3

    ILA DR SURE MIAKA YOOOOTE HATUKUJUI LEO UNAJIFICHUA,

    • @cryptoboy-5
      @cryptoboy-5 Месяц назад

      wew siuneshika smart phon juzi

    • @hassansingano1150
      @hassansingano1150 Месяц назад +2

      Ni vigumu sana kumuelewa Dr Sule. Sule ni kichwa. Kuhusu majini, mbona Nabii Suleiman alikuwa akiwamiliki na kuwatumikisha, ajabu nini? ,

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 Месяц назад

      @@cryptoboy-5 ndio,sio juzi tu ehe shda nini?

    • @hafidhwajina6718
      @hafidhwajina6718 Месяц назад

      @@hassansingano1150 hata nabii Muhammad swallallah alayh wasallam,alikua na wake 9,wee unaruhusiwa?
      Nimswadiq kauli yake iliuchawi ufanyike ni razma jni lihusishwe,
      Jini hatumikishwi na mwanadamu ila ni shetani,
      Ima kuna habar mtume katumikisha jn ktk shughli zake?
      NYINYI NDO MNASABABISHA WASOMA QUR ANI WAONEKANE WACHAWI,

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 28 дней назад

      @@hassansingano1150 labda Suleiman wa mchongo wa Qur'an lakini yule wa Biblia hakuwai kutumia majini.

  • @fatumatandika6220
    @fatumatandika6220 16 дней назад

    Mimi hata freemason nilikuwa siamini kumbe vipo na yeye tutamuelewa siku moja acha atoe darsa

  • @57_VANIBO
    @57_VANIBO Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂kwanijini ndiokitugani😅😅😅😅 anakufagaaa😂😂😂😂😂

  • @user-vr6lu8tq1n
    @user-vr6lu8tq1n Месяц назад

    Njaaa

  • @Nassir-cl3bt
    @Nassir-cl3bt 9 дней назад

    Doctor sule ywatoa elimu watu awajamuelewa kbsa na ni ukosefu wa elimu atuna walahi

  • @GSaleh-xr3vn
    @GSaleh-xr3vn Месяц назад +1

    Kama kweli unatumia majina ya Allah kwann usiyataje au ni kichaka tu chakujifichia tumuogope Allah

    • @allycux1221
      @allycux1221 29 дней назад

      Ayo majina yapo bro shida akiyataja watu wata umizana hata mimi nime yambiwaga kweli ukitaka ndakwambiya ila ndakupa shurti ili usije kumiza watu

    • @GSaleh-xr3vn
      @GSaleh-xr3vn 29 дней назад

      @@allycux1221 naomba nami unipe elim.Mtume anasema nifikishieni walau aya moja na Mungu anasema wala msiuze aya zangu kwa thamani ndogo ya kidunia nakuomba unipe elim

  • @rashdabdulazizi4193
    @rashdabdulazizi4193 17 дней назад

    Wa Afrika elimu ndogo ndiomaana kila anaefanikiwa wanasema mshirikina,freemason,mwizi,mchawi,kumbuka njia za mafanikio ni nyingi kuna halali na haram nijukumu lako kuchagua upite na ipi

  • @bosskenya123
    @bosskenya123 13 дней назад

    So huyu n mgaga?

  • @MohamedRashid-ob9nq
    @MohamedRashid-ob9nq 25 дней назад +2

    Huyu ni tapeli tahadharini

    • @amosethantheking8815
      @amosethantheking8815 23 дня назад

      Dini yenu ni ya majini, siyo utapeli bali Quran imetoka kwa majini..

    • @IssaAli-wz5jh
      @IssaAli-wz5jh 18 дней назад

      ​@@amosethantheking8815Endelea kujidanganya ipo siku utajuwa wapi ilikotoka Qur an we subiri tu.

    • @adamally8791
      @adamally8791 4 дня назад

      ​@@amosethantheking8815Kuwa na heshima wewe nani alikuambia QURAN imetokea kwa majini😡, Tulia ujifunze wewe

  • @binwasiumbanga9256
    @binwasiumbanga9256 24 дня назад

    Miaka 24 huyo mtoto kijana?

  • @SayakuluAyubu-dy4wy
    @SayakuluAyubu-dy4wy 18 дней назад

    Musikitiwasuleimani wanautaka wakirsto ulijengwa na majini ,we mjinga kasome

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Месяц назад +1

    Kwenye bible,tiba! Vipi kuhusu qur an,Fiqh,hadith au upande huo hauna kitu wewe unajua bible na majini2?

  • @MubarakDiis
    @MubarakDiis 25 дней назад

    ASalaam aleikum naomba namber ya Dr sulee

  • @japhetmsafiri
    @japhetmsafiri Месяц назад +1

    Jini ni jini tu .....hamna jini zuri wala baya

  • @seifsaid9905
    @seifsaid9905 Месяц назад

    Umepigaje hapo mkuu mara kufa mala kupooza ahahaha kwer we ni .....

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Месяц назад

    Mh! Atari km kwelii

  • @issachina9443
    @issachina9443 Месяц назад +2

    😂huyu mndengereko ni shidah allah amuifadhi

    • @MohammedSaid-tf5qc
      @MohammedSaid-tf5qc Месяц назад

      Wandege 🌟 mashaallaah kusoma raha istikh daamulkuddaam inafaaa njooni Misri huku mutiwe adabu kielimu na madukturu kutumia majini ktk kheri yafaaa

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 Месяц назад +8

    Mushrik mkubwa

    • @AbubakaryAbdallah
      @AbubakaryAbdallah 17 дней назад +1

      Sheikh samahan lkn ila kwa hap shirk imeingiaje

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад +1

    NAUNGA MKONO HOJA--.KAMA HUAMINI KAA KUSHOTO HUJAITWA

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 Месяц назад +4

    Wasomi wanajuwa huyu Sure ni muongo taper sana kawadanganya watu kuwauzia pete zauongo pumbavu

  • @user-hc8fi9lc6t
    @user-hc8fi9lc6t 20 дней назад

    Aswari hawana hayo ila bakwata Mambo yenu

  • @sleyumngolo
    @sleyumngolo Месяц назад +3

    Ili kazi ya mungu ifike vzr lazima upingwe na wengi saiv dr sule ameanza kufanikiwa sasa

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb Месяц назад

      Kwenye majini kuna kazi ya Mungu acha uongo

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 29 дней назад

      Huyu ameanza kufanikiwa kwenye mambo ya ushetani sio mambo ya mungu chunga kauli yako ndugu yangu usimsifie aliepotea muombee mungu amrudishe kwenye mstari sahihi

  • @abdulazizkassim775
    @abdulazizkassim775 27 дней назад

    Comoro fani ya roukiyat hawayitabouwi vizuri ndiyo mana aliwadaganya

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 27 дней назад

      Wivu huo😮😮

    • @mariyammariyam1454
      @mariyammariyam1454 27 дней назад

      Kumponda sule ni husda dumu sele ktk nguvu yamungu

    • @abdulazizkassim775
      @abdulazizkassim775 27 дней назад

      @@mariyammariyam1454 mimi nampenda dr sule katika maelezo yake ya sayansi na hoja za bibilia
      Lakini tatizo lake moja tou ; anataka kuingiya katika fani zote nayeye hazi wezi , fani zakusomeya watu roukiyat n'a mambo ya sheria ya dini . Abaki tou katika hoja n'a sayansi (dawa labda,...)
      Machallah napenda sana mdahalo abawo dr sule yupo
      Anajuwa kabissa dini nyingi na kuchambuwa vizuri

  • @OmanOman-vb4uj
    @OmanOman-vb4uj Месяц назад

    Kumbee juix imeshia 😂😂

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 7 дней назад

    Kingine umesahau mwanasiasa aliyekuwa mwislam anakuwa mwizi na mzururaji 😂

  • @RashidAbdallah-vo8bi
    @RashidAbdallah-vo8bi 24 дня назад

    Sule nakuamini

  • @myself4128
    @myself4128 26 дней назад +2

    Dini ya Uislamu inahubiriwa na waganga wa Kienyeji,Uislamu na Mapepo damu damu!ushirkina na uchawi ni sehemu ya uislamu! Mwisho wenu unajulikana endeleeni Kuongopeana!Mbinguni hakiingii kichafu

  • @Mteule1010
    @Mteule1010 Месяц назад +5

    Aliyesikia KIBIRITI UPELE gonga like hapa.

    • @simonndirangu336
      @simonndirangu336 25 дней назад +1

      Listening from Kenya malindi.. hii sijasikia

  • @BakariMbega
    @BakariMbega 21 день назад

    Umevunja bendi

  • @RichardHenjewele-gs8rk
    @RichardHenjewele-gs8rk 8 дней назад

    Kumbe bibiria kitabu tukufu

  • @user13375
    @user13375 Месяц назад +2

    Hayanaga Mungu hayo ,maabudu majini

    • @babajay3445
      @babajay3445 Месяц назад

      Sawa kama sisi waabudu majini nyie mnaabudu ushoga mbona hata papa alisema

    • @hassanmitayo1875
      @hassanmitayo1875 Месяц назад

      Ukiingia Paradiso ufunge mlango na wenye utatu wenzako

    • @HassanJaphari-rx7jy
      @HassanJaphari-rx7jy Месяц назад

      Nyie ndo mna mungu, wafungisha ndoa za jinsia moja na kuutangaza ushoga Duniani na Israeli ndo makao makuu ya ushoga na PAPA ndio shoga mkuu wenu

    • @omigrodrasnet7638
      @omigrodrasnet7638 6 дней назад

      Wasiomwabudu yesu hawana mungu

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 Месяц назад +4

    Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
    Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
    Ayah ni hii
    وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
    Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

  • @JumaMhafigwa-ic8ff
    @JumaMhafigwa-ic8ff 22 дня назад +1

    Na anaebisha anitafute mm nakubaliana na Docter Sule ni mkweli mm nipo chanika zingiziwa ila sitaki kujitangaza mm namtoa jini bila mtu kuanguka wala kumfusha dawa mm namuita jini na lazima aje ninayo elimu ya majini

  • @mohdali2408
    @mohdali2408 Месяц назад +2

    Sheikh huo sio uisalam tulio jifunza, ila Munaiga wakristo kupata kipato

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 Месяц назад +2

    Sule wewe nimganga ushekhe ulishauweka bench zamani sana nakama umeamuwa kufata njiya hiyo sule utakuja kujuta mbele ya mungu

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад +3

    Umeshapotea baba

  • @user-eb2fo6xq4t
    @user-eb2fo6xq4t 3 дня назад

    Yani we ni mwehu hujui kitu maji yapo na yanafanya kazi na yanatumwa we Fala wa wapi wewe

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 Месяц назад

    Hakunaga majini wema

  • @slimshady7180
    @slimshady7180 5 дней назад

    Dokta wewe muongo jini aliyekufa Una uwezo upi wa kumfufua kama unavyodai

  • @kennedyodhiambo8049
    @kennedyodhiambo8049 19 дней назад

    Jini ni shetani na hakuna shetani mzuri. Ushuhuda huu unaonyesha waziwazi nguvu za Allah iko katika majini. Majina yake yanawaita majini. Nashangaa mbona umebana majina hayo yanayowaita majini?

    • @shamisfahiye9628
      @shamisfahiye9628 10 дней назад

      Wewe nawe! Kajifunze vizuri. Ulimwengu wa majini ili uwekwe . Ni elimu km elimu zingine

  • @medinaser9712
    @medinaser9712 Месяц назад +3

    Tapeli mkubwa

  • @saidjelani1566
    @saidjelani1566 Месяц назад +3

    Mrongo mkubwa tapeli tuu

  • @user-hg5wr2mc7k
    @user-hg5wr2mc7k Месяц назад

    kkkkkkk uyu jamaa bana

  • @sheikhamansoor3522
    @sheikhamansoor3522 19 дней назад

    Huyu ni mganga anavutia uganga

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 26 дней назад

    Ngoja nijikusanye aisee nitakuja uko manake naona nina matatizo kibao😢😢

  • @israelmkaka2807
    @israelmkaka2807 Месяц назад +2

    Wachawi mmekutana

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 Месяц назад +2

    Kuna kitu Dr Sule aliwahi ongea, alisema **Nabii Suleiman alipewa uwezo na Mungu kuwatumikisha Majini atakavyo**, kwa iyo, anayo sema Sule kiukweli inahitajika elimu, sio kupinga tuuu.

    • @FarajaMtavangu
      @FarajaMtavangu 21 день назад

      waislam ntaongea mengi lakin dini yenu Haina msimamo inajipingapinga saaaaaaana kiundani inatisha ila kama Allah ndiye MUNGU wenu basi Allah na YAHWEH ni miungu miwili tofauti ila mwisho ndo huu soon Kila mtu atajionea hakutakuwa na wakusimuliwa

  • @c.e.o_abdiroush
    @c.e.o_abdiroush Месяц назад +2

    Laanatulllahi Alayhi! Kafiri mkubwa huyu mshirikina ! Tena anajinasib ni sheikh! Takataka huyu alaaniwe kudanganya watu na kuaminisha Uislamu unakubali ujinga huu! Ety Dokta ! Dokta gani yupo Hivi!

    • @sleyumngolo
      @sleyumngolo Месяц назад +2

      Pombe ikikutoka njoo ufute comment yako

    • @aljalilatiba9873
      @aljalilatiba9873 Месяц назад

      Nikweli huyu amepotea kabisa mungu amrudishe ktk njia ya haki. Jini hawezi kukulinda wakati yemwenyewe ni kiumbe dhaifu. Allah anasema ktk quran
      Akiwaambia wanaume wa kibinadamu walivyotafuta ulinzi kwa wanaume wa kijini allaha akasema wamewazidishia madhambi hii ni hatari sana
      Ayah ni hii
      وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِّنَ الْإِنسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِّنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقًا
      Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi

    • @wagabwagab-md7rt
      @wagabwagab-md7rt Месяц назад

      Hatujapewa ruhusa ya kumkufurisha mtu ndugu yangu

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka2697 25 дней назад

    Dini ya majini , majini ndugu zenu waislam

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 24 дня назад

      Sana.nd unajua leo? Nyie marafiki went mashetani