Mkihitilafiana katika dini rudini kwenye qurani na sunna za mtume Hatukuambiwa turudi kwenye vitabu vya wanachuoni Shafii anajua sana Hoja zinaeleweka We unaruka ruka shekhe mbogo Hata iyo ya kumjua jini mwema Mtume hakusema mkiwajua wema shirikianeni nao Acheni kupotosha umma wa kiislamu 💪💪💪
Sheikh unachokisema ni kuidharirisha dini ya Allah,unafanya waislam tutukanwe na wasio kuwa waislam na kuwakatisha tamaa walio taka kuslim kwa kusema sisi ni washirikina
Kwahiyo unataka aongee uongo Ili akuridhishe? Yeye anaongea ukweli kulingana na kitabu chenu cha dini(Quran).Yeye si wa kwanza kusema haya na wala hatakua mtu wa mwisho. Shida nyie waumini wa kawaida hiyo elimu ya ushirikina mmefichwa. Hata misikitini hamfundishwi hii ni Siri ya Mashekhe tu. We endelea kupiga Taqbiri.
Sheikh mbogo ana maarifa mengi sana mashaallaa
Asante shehe kwa kukubaliana na ndacha,
Aaafu anatokea mtu anaamkana Yesu Kristo anahamia dini za ajabu ajabu. Asante sana Shekhe.
😂😂😂😂😂
Dini zote duniani ni miyeyusho tu
Poleeeeni sana waislaaaaam
C kila biblia ni biblia....tunataka original Bible c zilizochakachuliwa
@@QWARIDAMassay Kwani Torati original ya kwenu mliipeleka wapi? Tuanzie hapo kwanza
Mkihitilafiana katika dini rudini kwenye qurani na sunna za mtume
Hatukuambiwa turudi kwenye vitabu vya wanachuoni
Shafii anajua sana
Hoja zinaeleweka
We unaruka ruka shekhe mbogo
Hata iyo ya kumjua jini mwema
Mtume hakusema mkiwajua wema shirikianeni nao
Acheni kupotosha umma wa kiislamu 💪💪💪
Nendeni mkaulize kwa watu wa kitabu
Biblia inakubali mungu wao kamtuma pepo 2maMbo ya nyakati 18- 20 1wafalme22-21
We unamjua njoka vzr? Black mamba anasemeshwa
Msitumie vitabu za mawahabi kila mkitaka kudhibitisha mambo, kwani masufi hamna vitabu zenu na wanazuoni wenu
Yani huyu mweupe sana! Elim yake ndogo naskini, eti nae shee!
Umeulizwa unatafautishaje jini na michawi unababaisha babisha tu
Samahani Shekhe ni Siku tatu au Mara tatu???
Tunachoitaji ni aya au hadithi ya mtume inayo thibitisha tunasali na majini
Kasome acha kubabaisha na unajiupa ushkhe
Hakuna takbira wakati wa kuzika, ni kizushi tu
Mmh kwani kuna takbira za kwenda kuzikia??? Sijaziskia mmi hebu nipeni elimu juu ya hili jambo
Yaaani mbogo ktk watu vibaraka na waongo ww una ongoza loo
Mbogo na sule washirikina wakubwa kasomeeni dini kutumia majini ni ushirikina
Uislamu unachekesha sana...hahahaa, jamani!!!
Mbogo atupishe hata kusoma kwa lugha ya kiarabu hujuii na ume tafsiri sivyo nenda kujifunza bado sana ww
Kama kosa lako liko mtandaoni lazima hata wewe ukosikowe mtandaoni
Sule amefichua siri ambayo waisilamu walikua hawakubali kukiri hapo awali.
Yaaani huyu mtu una soma kwa tabu sana hiyo tu yaonyesha bado huna elimu
Mbogo punguza sifaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mbogo ugakosea sana.
Hi nja mbaya jamani.huyu ananjaa sana
Njaa ya chakula au😅
Sheikh unachokisema ni kuidharirisha dini ya Allah,unafanya waislam tutukanwe na wasio kuwa waislam na kuwakatisha tamaa walio taka kuslim kwa kusema sisi ni washirikina
Kwahiyo unataka aongee uongo Ili akuridhishe? Yeye anaongea ukweli kulingana na kitabu chenu cha dini(Quran).Yeye si wa kwanza kusema haya na wala hatakua mtu wa mwisho. Shida nyie waumini wa kawaida hiyo elimu ya ushirikina mmefichwa. Hata misikitini hamfundishwi hii ni Siri ya Mashekhe tu. We endelea kupiga Taqbiri.
Kama una video onyesha acha unafki
wanatia kiyatu wenyewe!
Mbogo acha uongo yatosha tu una ongea kwa nguvu ili uaminishe watu na punguza kuwa kibaraka
Ndacha hamuwezi shafii hata ndotoni kama hoja ni mapepo wasafi na wachafu wapo vitabu vyote qurani na biblia
Mbogo iyo ninja,acha nja dini ya Islam siyo kushilikiana na majini.acha nja.