USTADHI MBOGO ATOA SOMO KWA USTADHI SHAFII KUHUSU KUTUMIA MAJINI, AMPAMBA DR SULLE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • SULEIMAN MBOGO AWAELIMISHA WATU KUHUSU MAJINI WEMA NA MAJINI WABAYA NA KUAMUA KUMUONYESHA USTADHI SHAFII KWAMBA ANACHOKOSA NI ELIMU

Комментарии • 39

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 11 дней назад

    Sheikh mbogo ana maarifa mengi sana mashaallaa

  • @user-ix2iv4wb6m
    @user-ix2iv4wb6m 18 дней назад

    Asante shehe kwa kukubaliana na ndacha,

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu 19 дней назад +2

    Aaafu anatokea mtu anaamkana Yesu Kristo anahamia dini za ajabu ajabu. Asante sana Shekhe.

    • @otaibonny8835
      @otaibonny8835 19 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @jotafungo4622
      @jotafungo4622 19 дней назад +1

      Dini zote duniani ni miyeyusho tu

    • @QWARIDAMassay
      @QWARIDAMassay 19 дней назад

      Poleeeeni sana waislaaaaam

    • @QWARIDAMassay
      @QWARIDAMassay 19 дней назад

      C kila biblia ni biblia....tunataka original Bible c zilizochakachuliwa

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu 18 дней назад

      @@QWARIDAMassay Kwani Torati original ya kwenu mliipeleka wapi? Tuanzie hapo kwanza

  • @SaxidyMud-gd4bq
    @SaxidyMud-gd4bq 19 дней назад

    Mkihitilafiana katika dini rudini kwenye qurani na sunna za mtume
    Hatukuambiwa turudi kwenye vitabu vya wanachuoni
    Shafii anajua sana
    Hoja zinaeleweka
    We unaruka ruka shekhe mbogo
    Hata iyo ya kumjua jini mwema
    Mtume hakusema mkiwajua wema shirikianeni nao
    Acheni kupotosha umma wa kiislamu 💪💪💪

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 17 дней назад

      Nendeni mkaulize kwa watu wa kitabu

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 18 дней назад

    Biblia inakubali mungu wao kamtuma pepo 2maMbo ya nyakati 18- 20 1wafalme22-21

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd 19 дней назад +1

    We unamjua njoka vzr? Black mamba anasemeshwa

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 19 дней назад

    Msitumie vitabu za mawahabi kila mkitaka kudhibitisha mambo, kwani masufi hamna vitabu zenu na wanazuoni wenu

  • @athumanimashingo6306
    @athumanimashingo6306 19 дней назад

    Yani huyu mweupe sana! Elim yake ndogo naskini, eti nae shee!

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani 19 дней назад

    Umeulizwa unatafautishaje jini na michawi unababaisha babisha tu

  • @muhiddinmlawa6418
    @muhiddinmlawa6418 2 дня назад

    Samahani Shekhe ni Siku tatu au Mara tatu???

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 18 дней назад

    Tunachoitaji ni aya au hadithi ya mtume inayo thibitisha tunasali na majini

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani 19 дней назад

    Kasome acha kubabaisha na unajiupa ushkhe

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 19 дней назад

    Hakuna takbira wakati wa kuzika, ni kizushi tu

  • @mwinyidullailovetheprogram7404
    @mwinyidullailovetheprogram7404 19 дней назад

    Mmh kwani kuna takbira za kwenda kuzikia??? Sijaziskia mmi hebu nipeni elimu juu ya hili jambo

  • @salisali3738
    @salisali3738 19 дней назад

    Yaaani mbogo ktk watu vibaraka na waongo ww una ongoza loo

  • @abdulkarimfarah2336
    @abdulkarimfarah2336 15 дней назад

    Mbogo na sule washirikina wakubwa kasomeeni dini kutumia majini ni ushirikina

  • @mbalilax162
    @mbalilax162 19 дней назад

    Uislamu unachekesha sana...hahahaa, jamani!!!

  • @salisali3738
    @salisali3738 19 дней назад

    Mbogo atupishe hata kusoma kwa lugha ya kiarabu hujuii na ume tafsiri sivyo nenda kujifunza bado sana ww

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 18 дней назад

    Kama kosa lako liko mtandaoni lazima hata wewe ukosikowe mtandaoni

  • @mwoso
    @mwoso 19 дней назад

    Sule amefichua siri ambayo waisilamu walikua hawakubali kukiri hapo awali.

  • @salisali3738
    @salisali3738 19 дней назад

    Yaaani huyu mtu una soma kwa tabu sana hiyo tu yaonyesha bado huna elimu

  • @salisali3738
    @salisali3738 19 дней назад

    Mbogo punguza sifaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy 19 дней назад

    Mbogo ugakosea sana.

  • @Mukhtar-cs6bd
    @Mukhtar-cs6bd 19 дней назад

    Hi nja mbaya jamani.huyu ananjaa sana

  • @Ismailmusa-y6b
    @Ismailmusa-y6b 19 дней назад +1

    Sheikh unachokisema ni kuidharirisha dini ya Allah,unafanya waislam tutukanwe na wasio kuwa waislam na kuwakatisha tamaa walio taka kuslim kwa kusema sisi ni washirikina

    • @osmundmtavangu
      @osmundmtavangu 19 дней назад +1

      Kwahiyo unataka aongee uongo Ili akuridhishe? Yeye anaongea ukweli kulingana na kitabu chenu cha dini(Quran).Yeye si wa kwanza kusema haya na wala hatakua mtu wa mwisho. Shida nyie waumini wa kawaida hiyo elimu ya ushirikina mmefichwa. Hata misikitini hamfundishwi hii ni Siri ya Mashekhe tu. We endelea kupiga Taqbiri.

  • @dullahmwamba9352
    @dullahmwamba9352 19 дней назад

    Kama una video onyesha acha unafki

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh 19 дней назад

    wanatia kiyatu wenyewe!

  • @salisali3738
    @salisali3738 19 дней назад

    Mbogo acha uongo yatosha tu una ongea kwa nguvu ili uaminishe watu na punguza kuwa kibaraka

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 18 дней назад

    Ndacha hamuwezi shafii hata ndotoni kama hoja ni mapepo wasafi na wachafu wapo vitabu vyote qurani na biblia

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy 19 дней назад

    Mbogo iyo ninja,acha nja dini ya Islam siyo kushilikiana na majini.acha nja.