SHEIK YUSUF DIWANI AUNGANA NA DR SULLE KUHUSU WAISLAMU KUWATUMIA MAJINI, APINGANA NA USTADHI SHAFII

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • TUMEONGEA NA SHEIK YUSUF DIWANI KUHUSU WAISLAM KUJIHUSISHA NA MAJINI NA HAPA ALIKUWA ANAFUNGUKA JINSI WANAVYOTUMIKA KUWASAIDIA

Комментарии • 26

  • @nassoroyahaya821
    @nassoroyahaya821 Месяц назад

    Hello,Ustadh katika Umma wa kijini ulioishi hapa Duniani zaidi ya miaka 2000 kabla ya kuwepo kwa Mwanadamu,na hao majini walifanya dhambi na kufanya uasi na siku zote chanzo cha uasi ni Shetani je,hao majini Shetani wao ni nani ...anaitwaje na dini inatwamhia nini juu ya hilo

    • @SIMULIZIZONE
      @SIMULIZIZONE  Месяц назад

      Nashukuru kwa hili swali, inshallah tutapata majibu

    • @Khmediy3241
      @Khmediy3241 Месяц назад

      Chanson cha uasi cha kwanza ni nafsi shetan wapili nafsi pekee inaweza peleka mtu motoni

    • @Khmediy3241
      @Khmediy3241 Месяц назад

      Nafsi imeumbiwa kupenda rakhaa n'a kwenye Raha ndo Zambi ilipo

  • @safinamaridhawa
    @safinamaridhawa Месяц назад +1

    Nimekuelewa sana sheikh kwa ufafanuzi uliokuwa bora na ufasaha wa hali ya juu

  • @HamisAbdallah-cj2sc
    @HamisAbdallah-cj2sc Месяц назад +2

    HUYU SHEIKH DIWANI SIJAWAHI KUMUELEWA HATA SIKU MOJA UNAKUMBUKA ULIWAHI KUMTETE SHEIKH ALHADI MUSA KUHUSU ALELUYA KUWA NI SHAHADA ILA AHEIKH MUHAMEDI BACHU AKAKUKOSOA MWISHO WA SIKI USTAZI SHAFI AKAMALIZA MJADALA KUWA HALELUYA SIO SHAHADA DIWANI NI MFATA UPEPO MBONA WEWE HUWATUMII MAJINI UWE TAJIRI ACHENI UONGO .ALLAH ATAWADHALILISHA.MIAKA YOTE MLIKUWA ANAPINGA KUHUSU KUWATUMIA MAJINI MKIWA MKIWAJIBU WAKIRISTO LEO MNASEMA NI HALALI WAISILAMU TUMEINGILIWA ALLAH TUNUSURU NA HAWA MASHEIKH WAPOTOSHAJI

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m Месяц назад +1

    Duh kweli naamini sasa dunia imefika ukingoni kabisa 😂😂😂😂
    Tunahalalisha kuishi na waasi wa mwenyezi mungu

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Месяц назад

    Kunabaadhi yamaswali hayaja jibiwa muandishi ameomba aya au hadithi ya mtume muhammadi ilio sahihi inayo thibitisha kunanguvu inafaa kuliko ya Allah

  • @savinosalamba9174
    @savinosalamba9174 Месяц назад

    ASANTE KWA KUWAELEZA UKWELI WAISLAMU KWAMBA UISLAM NI DINI YA MAJINI, WAKRISTO SISI MAJIN NI MALAIKA WALIOMUASI MUNGU NA WANASUBIRI MOTO WA JEHANAM

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 Месяц назад

    Mashekhe wa mchongo

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 Месяц назад

    Waisilam watabisha na kubisha lkn ukweli ni kwamba uisilamu bila majini ni ngumu na bila ya shaka yoyote ndugu wa muisilamu ni muisilamu

  • @austorb.nyondo2708
    @austorb.nyondo2708 Месяц назад +1

    Acha uongo mkubwa huo, hatuna majini yanamuabudu Yesu. Kwanza yalikimbia mbio yakaomba asiyaangamize bali ayaruhusu yawaingie nguruwe tu

    • @berry4726
      @berry4726 Месяц назад +1

      Wakristo ndio wanaokula nguruwe hehehehe mtihani kweli watakuwa na majini wengi wachafu.

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 Месяц назад

    Wenye masikio hawaambiwi sikiza..majini ni mashetani.,ndio mapepo wabaya woooooooote!Hakuna mwema katika mashetani

  • @baqirmkilindi9369
    @baqirmkilindi9369 Месяц назад

    Hata wakristo wanayo soma biblia

  • @TheAlman
    @TheAlman Месяц назад

    Huyunae mjinga kwer sasa huyo alieandika hicho kitabu si mwanadamu sisi tunataka ushahidi wa qurani sio mananeno ya upuuzi

  • @shaakirahmussa9291
    @shaakirahmussa9291 Месяц назад +1

    Ma sheikh awa hawana muelekezo isipokuwa wanatizama kwenye Kuna maslaha yawo.
    Hatuna mausiliyano sisi namajini nukta

    • @StanleyMadinda
      @StanleyMadinda Месяц назад

      Bado huna elimu ya dini 😅😅😅

    • @sulekhan7119
      @sulekhan7119 Месяц назад

      @@shaakirahmussa9291 Haujui chochote kuhusu majin

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 Месяц назад

    We diwani Unakwepa hoja habari ya nyoka unaleta story za uongo

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 Месяц назад

    Ahsanta sana simulizi ingawa wewe sio muislamu, unasisitiza sana aya itoke kwenye Qurani, pia sisi hapa waislamu tunataka dalili kutoka kwenye Qurani, lakini hawatatoa kwa sababu hamna.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Месяц назад

    Wewe mwandishi wa habari huna jipya unatafuta content tu huna lingine ..mana maswali ni hayohayo Kila wakati unajibiwa maswali vizuli kabisa lakin huelewi kutwa kuuliza maswali ambayo ushapewa majibu Sasa sijui Nia yako ni nini...

  • @abdallahcharif8252
    @abdallahcharif8252 Месяц назад

    Tuna mpata dje mzee diwani wa pale kigoma?

  • @TheAlman
    @TheAlman Месяц назад

    Hili nalo jinga tu

  • @IdrissaMoussa-tx7jy
    @IdrissaMoussa-tx7jy Месяц назад

    Uyu jama ni muongo kweli