BISHOP NGONYANI ATOAA ELIMU JUU YA SABATO NA KUJADILI ANAYOYASEMA MCH. NDACHA JUU YA AMRI ZA MUNGU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • SIKU YA SABATO IMEKUWA NA MJADALA MREFU NA HAPA TULIPATA WASAA KUJADILIANA NA BISHOP NGONYANI KUHUSU SABATO NA KWA BAHATI ALIWEZA KUTUFUNGULIA MAMBO MUHIMU YANAYOIBUA HAMASA YA KUJIFUNZA ZAIDI

Комментарии • 543

  • @IbrahimCaptain-v6b
    @IbrahimCaptain-v6b 7 дней назад +1

    Je Mungu anabadilika Kwa Kila kipindi,au Mungu ni yule tangu mwanzo,hata mwisho?Leo Jana aseme hivi na leo aseme mengine JE Mungu ni kigeugeu,soma 5:17-19.

  • @maximilianswitbert2826
    @maximilianswitbert2826 6 месяцев назад +6

    Yohana 5:15-18Yesu anaponya mtu siku ya sabato ila Wayahudi wanataka kumuua lakini Yesu anajibu"Baba yangu anatenda kazi hata sasa(yaani ktk sabato) kwahyo wote wanaomwamini Yesu Kristo hawashiki siku wala amri kumi bali katika upendo iliyo amri mpya na kuu n sheria ya kifalme kwa watoto wa ufalme Mungu wa mbinguni.Yakobo 2:8.Yahweh Elohim awabariki sana

    • @jjtm164
      @jjtm164 6 месяцев назад

      Kweli

    • @williamjamanda8892
      @williamjamanda8892 6 месяцев назад

      @@maximilianswitbert2826 kutenda kazi ya kuokoa nafsi siku ya sabato mm naona sio makosa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

      Na Haina maana tuabudu siku
      Kuslai ni Kila Wakati,Kila siku
      Hakuna siku maalumu kwenye agano jipya

  • @KisotuKareesi
    @KisotuKareesi 3 месяца назад +3

    Congratulation Bishop NGONYANI kwa fundisho nsuri sana

  • @MichaelNgusa-fl5xv
    @MichaelNgusa-fl5xv 3 месяца назад +4

    Aminaa kubwa,huu ni ukweli mtupu lakin Kwa mtu ambaye hayuko rohon ni ngumu kuelewa kabisa asomaye naafahamu.

    • @RAZAROCHUMA-h9g
      @RAZAROCHUMA-h9g 3 месяца назад

      Mh jamanii

    • @petrofabian4523
      @petrofabian4523 Месяц назад

      Ukimsikiliza utadhani ni ukweli kumbe hamna kitu kama huyu ndio mwalimu basi hapa Kuna shida

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 6 месяцев назад +5

    Duh Bishop ubarikiwe sana kwa ufafanuzi uliotoa. Mtu wa kawaida tu ambaye hajafika hata darasa la saba amekuelewa ambao hawajakuelewa ni wale wenye hofu ya mnyama wamekula sumu ya fundisho la mnyama kiasi cha kushindwa kuelewa maandiko mengine. . Tuombeane mungu azidi kutufungua.

    • @StellahGirgis
      @StellahGirgis 6 месяцев назад

      Hakuna kitu hapo hajui chochote huyo

    • @Last403
      @Last403 6 месяцев назад

      Hujui lolote huyu anapotosha watu ameegemea kwenye dhehebu la sabato kuliko maandiko,

    • @Last403
      @Last403 6 месяцев назад

      Muulize akwambie andiko lipi linalosema siku ya sabato ni jumamos uone kama hajaanza kuleta adithi kuliko kukuonesha hilo andiko, halipo hilo andiko yeye katoa wapi

  • @ReginaChristopher-f5b
    @ReginaChristopher-f5b 17 дней назад

    Efahamu yesu ni mungu hakuna tofauti ya mungu na mungu ni kweli ishi ndani ya neema barikiwa b shop

  • @PascasMathew
    @PascasMathew 6 месяцев назад +3

    Asante sama leo umeliweka sawa , mwenye kuelew atakuwa ameelewa

  • @Moses-t7t
    @Moses-t7t 6 месяцев назад +4

    1 Yohana 5:3
    [3]Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.
    For this is the love of God, that we keep his commandments: and his commandments are not grievous.

  • @IbrahimCaptain-v6b
    @IbrahimCaptain-v6b 7 дней назад +1

    Kwa hiyo yesu alivunja amri za Mungu,Kwa hiyo kafara ya yesu haikuwa na maana ,basi bado tupo dhambini hata yesu basi hakustahili kurudi mbinguni kwa baba yake.

  • @JoshuaMutesa
    @JoshuaMutesa 5 месяцев назад +3

    Bishop hakosei wanaokosea walio shika amli moja tu wakati zko 10 Kama kweli watu washike amri zote 10 watu wanatenda zambi mno halafu wanajificha kwenye sabato mungu anataka roho Safi ukiwa na roho safii hutotenda zambi na mungu atakupenda hatokuuliza kuhusu sabato

    • @vincentnyabuto4605
      @vincentnyabuto4605 3 месяца назад

      Andiko gani hiyo inasema hivo😅

    • @enochonsomu1924
      @enochonsomu1924 Месяц назад

      Bali pia huwezi kutoa hata Moja ama hata herufi ile mdogo kabisa

  • @MikaMika-ve1ip
    @MikaMika-ve1ip 5 месяцев назад +4

    Sabato ni ya Mungu siyo ya wayahudi wayahadi walipewa tu. Usimwingilie Mungu au Yesu.

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад +1

      Huelewi kitu
      Yesu alipowajibu kuwa ,'mimi ndie Bwana wa sabato ' unaelewa nn?

    • @adamsonkyando-l4i
      @adamsonkyando-l4i 3 месяца назад

      Yesu ndo sabato , mbona Yesu ndo Neno amri,Yesu ni Mungu ,kwo ukimwamin yeye Umepata vyoote

  • @mussaamani4468
    @mussaamani4468 6 месяцев назад +7

    Ukinipenda utazishika amri zangu... Hili nimojawapo ya fundisho alilolifindisha Yesu...acha kupotosha watu... Kwa kutumia uongo ukichanganya na ukweli kidogo....hata shetani alotumia tu neno "eti". Kua na hofu na Mungu 😊

  • @DenisEliya_4
    @DenisEliya_4 6 месяцев назад +4

    Huyu bishop CV nyingi maarifa zero ,YESU mwenyewe anasema Yohana 14:15 ,mkinipenda mtazishika amri zangu,pia YESU alifundisha kuhusu amri soma Mathayo 19:16-17.Anajikinga katika kivuli Cha neema ,pasipo kujua neema yenyewe inatukataza kataa ubaya ,ubaya unatokana na nini kama sio amri😀😀.Huyu anawelewa mdogo katika maandiko.Pia Mathayo 20:24 Yesu mwenyewe anasema "Ombeni kukimbia kwenu kusiwe siku za baridi au SIKU YA SABATO."Hiyo hapo sabato sasa YESU ameitaja.

    • @AbbahCostaabbahCostaabbah
      @AbbahCostaabbahCostaabbah 6 месяцев назад

      Huyu jamaa anapotosha

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 5 месяцев назад

      Kama unajiamini nenda kafanye nae hoja, au mdaharo kama ajakunyoa sharubu

    • @Masotastv1389
      @Masotastv1389 3 месяца назад

      ​@@francisjoseph1074
      Naomba namba yake ya cm nahitaji kuongea na mtu huyu ambaye anapotosha ukweli.

    • @Masotastv1389
      @Masotastv1389 3 месяца назад

      Naomba namba ya huyu mtu wapendwa

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 3 месяца назад

      @@DenisEliya_4 wewe ndo unaakili finyu , kama unajiamini nendambezi bich jogoo wapo TV, ukafanye nae mjadara , kama ujakimbia, hayo maandiko yote uliyotoa ni ya kipindi cha sheria , kabla Yesu ajafa , na neema NI baada ya Yesu kufa na kwenye agano jipya hakuna Fundisho la Amri kumi, then unakuja kusema eti wanaoambiwa waombe kukimbia kwao kusiwe wakt WA sabato, kwani kwa akili zako wanaoambiwa hapo ni wayahudi ?au watu wamataifa? au kanisa? , jibu jibu ni kwamba NI wayahudi na ndo wenye sabato ya

  • @amedesamki425
    @amedesamki425 6 месяцев назад +4

    Bishop ngonyani anapotosha watu Yesu alishuhudia kwamba hakuja kubadilisha amri za Mungu bali kutimiliza na wakatoliki ndiyo walipiga maarufu sabato kwenye a.d. 364 halafu Yesu alikufa Jumatano saa 9 siyo Ijumaa na kufufuka jumamosi saa 9 na sabato siyo ya wayahudi ni ya Mungu mwenyewe

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 6 месяцев назад

      @@amedesamki425 hapo hakuna mchungaji wa Bishop ni mnafiki tu

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 6 месяцев назад

      Acha bangi wewe

    • @adamsonkyando-l4i
      @adamsonkyando-l4i 6 месяцев назад

      ​@@msemakweli243 Unahitaji msaada wa kiroho Huyo mtumishi ni mlokole anacho kijibu ndo sahihi Kunavitu vingine Kama hujaokoka Huwezi kujuwa ,mfano Nikuulize hili swali wewe!! soma andiko hili na unipe jibu unalielewaje hili hili andiko Matendo 8:14-16 Matendo 19:1-6 Kwanza muulize baba yako wa kiroho halafu waulize Walokole uone majibu yake !!! Baba yako wa kiroho hawezi kukupa jibu fasaha ni Walokole TU watakupa jibu sahihi

    • @adamsonkyando-l4i
      @adamsonkyando-l4i 3 месяца назад

      Wewe ndo unapotea Bado hukafunguliwa ,aYesu ndo sabato au Amri za Mungu Yeye ndo Mwenye Sheria,UkimpatavYeye Umepata vyote,umepokea mafubdisho na umeyaanini,lakin Bado Unahitaji msaada kwa Walokole wakusaidie,Achana uko nyumba sana

  • @BrianBayaMusic
    @BrianBayaMusic Месяц назад

    Huyu bishop Yuko na ufahamu mzuri.ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @PeterMurahai
    @PeterMurahai 3 месяца назад +1

    Bishop Ako sawa kabisa, ni kweli sabato ilivunjwa na sasa hatuabudu siku Wala tarehe sasa bwana yesu ndiye wa sabato ni pst peter kutoka Kenya mombasa

  • @MashakaSimon-e6h
    @MashakaSimon-e6h 5 месяцев назад +1

    Yohana 14:15 mkinipenda mtazishika amri zangu sasa kama hakuna amri Yesu anasema tukimpenda tutazishika amri zipi km hakuna amri

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 5 месяцев назад

      Amri za YESU ni mbili nazo ni upendo

    • @adamsonkyando-l4i
      @adamsonkyando-l4i 3 месяца назад

      Amri ni Kumwanini Yesu ,ukimkataa Yesu huna Mungu,ukimwamin Yesu Sheria zote zinazo husu utakatifu zinakuwa moyon mwako

  • @GeorgeMbwambo-m1e
    @GeorgeMbwambo-m1e 2 месяца назад +1

    Sabato inawahusu watu wa Mungu Ebr4:9 siyo Wayahudi peke Yao , someni maandiko wapendwa . Mruhusuni Roho wa Mungu awafundishe. Siyo kukubali tu maneno ya wanadamu

    • @rockymanson3774
      @rockymanson3774 2 месяца назад

      Wee hujui kitu hpo kinaongelewa ktka ebr 9:4 hebu anzia mstari wa Kwanza Kwa utulivu ndio utaelewa, usome mpaka huo wa 9 na kuendelea

  • @chachatimasinyakega2201
    @chachatimasinyakega2201 6 месяцев назад +3

    Pia katika Ufunuo 14:12 tunaambiwa kwamba "hapo ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu na iman ya Yesu." Je, ni amri zipi zinazorejewa hapa? Je, imani ya Yesu ni ipi?

    • @jjtm164
      @jjtm164 6 месяцев назад

      Amri mbili za yesu

  • @khalidmyaule6187
    @khalidmyaule6187 Месяц назад

    Mungu anavunja vipi tena amri za Mungu!!!

  • @costantineevarist5110
    @costantineevarist5110 6 месяцев назад +8

    Wanaompongeza wengi Awasomi Bblia wanasomewa tu:

  • @frankmock4928
    @frankmock4928 6 месяцев назад +3

    Na mwazilishiwa sabato ni mungu sio elen g

  • @WelldanneSiwatu
    @WelldanneSiwatu 3 месяца назад

    Mungu akubariki saaaaana Bishop

  • @DavidMatata
    @DavidMatata 6 месяцев назад

    Nimekuelewa vizuri sana mtumishi wa Lord Jesus Christ.. Blessed.

    • @kakamulwa5980
      @kakamulwa5980 6 месяцев назад

      Mubiri WA uwogo wewe

    • @msemakweli243
      @msemakweli243 6 месяцев назад +2

      Kama umemuelewa huyo basi uwezo wako wa kufikiri ni mdogo

    • @DavidMatata
      @DavidMatata 6 месяцев назад +1

      @@msemakweli243 Thanks!God bless you!

    • @tacysage
      @tacysage 6 месяцев назад

      Huyo anaeleweka kwa watu wasio na mahalifa ya kumjua Mungu

    • @IsackIsaya-bi2hj
      @IsackIsaya-bi2hj 3 месяца назад

      Yaan jmn swali moja tu huwa napenda nijibiwe na wasabato kama mungu angelikuwa haitambui siku ya jumapili iweje tunaposali uwepo wa mungu huwa unajizihilisha na kama angelikuwa hapendezwi na hiyo cku asingekuwa anaonekana kabsa au ibaada za jumapili na za jumamosi za jumamosi ndo mungu huonekana tu maana je waty wakijazwa na roho mtakatifu j pili huwa sio roho wa mungu ,na wengine wakiponywa magonjwa kanisani j pili huwa sio mungu anaponya

  • @DennisWaweru-ml4lf
    @DennisWaweru-ml4lf 6 месяцев назад +2

    Amesema yesu hakufunza amri kumu .ebu someni (marko10:19)muone muongo wa mchana

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 6 месяцев назад

      @@DennisWaweru-ml4lf hayo maneno Yesu alizungumza kipindi cha sheria , au kipindi cha neema

    • @jjtm164
      @jjtm164 6 месяцев назад

      Yesu hakufundisha amri kumi Bali aliuliza swali kuonyesha upungufu wa Sheria na vile isingeweza kumkamilisha mwanadamu. Marko 10:19 soma uone ni nini kilochotokea licha ya kwamba alikuwa ameshika sheria (usisome kipengele kimoja)

  • @elishasilas723
    @elishasilas723 6 месяцев назад +4

    We bi shop kumbe we ni kiongozi wa vipofu utakuja juta siku ya hasira yake Mungu Ukweli unaeleza wazi halafu baadae unazipinga umejitam ulisha kwa elimu nyingiii za kidini kumbe we ni wakala wa shetani

    • @Emmatz26
      @Emmatz26 4 месяца назад

      nime cheka kwer et we bi shop😆😆😆😆

    • @mikewamwati117
      @mikewamwati117 3 месяца назад +1

      Wewe na matusi ndio utaingia kwenye ufalme

    • @GSELgodoni
      @GSELgodoni Месяц назад

      Ndugu wakristo wenzangu.Sisi ni ndugu katika Kristo bila kujali madhehebu yetu.Tufundishane kwa upendo siyo matusi.

  • @RobertNdurya
    @RobertNdurya 2 месяца назад

    Nduguzangu dini nikitu cha kuheshimiwa sana nawaomba msilete ugombi juu yaa neno la mungu someni vzuri bibilia na muelewe sio mufanye siasa

  • @AlphonceLugutu
    @AlphonceLugutu 3 месяца назад

    Mbao. Zilikuwa mbili mojaa ilihusu kumheshimu mungu mbao yapili ilihusu shheria za kuheshimianna binadamu

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 5 месяцев назад +1

    Mwanadamu mwenye akili ndogo hawezi kuzijua siri za Mungu,mpaka Roho wa kristo amfunulie, ndiomana walimu wengi wa neno la Mungu watapata hukumu kubwa mno kwasababu walitafrisi neno la Mungu kwa akili zao ndogo sio Roho mtakatifu,Neno la Mungu ni siri za Mungu, ni Roho wa kristo ndie anaweza kukufunulia siri za Mungu ,katika neno lake,msikulupuke kuwa walimu wengi wa Neno la Mungu,kama huna nguvu za Mungu,niatari mno kwa walimu wa uongo ,mwisho wao,waliopewa thamana ya kufundisha neno la Mungu ,niwale tu waliokolewa na Yesu kristo na wakapokea nguvu za Roho mtakatifu,
    Hambae hajaokolewa na Yesu kristo,alifu anafundisha neno la Mungu huyo ni Muongo,anapotosha watu,maana wao wanatafrili Ukristo kama Dini , Ukristo sio Dini bali niuweza unaomfanya mwamini aishi Hapa Duniani kama Mungu,ukristo unamfanya mwamini kuwa mtawala kuwa mmiliki katika ulimwengu wa roho ,hata katika mwili, mkristo halisi kapewa nguvu ya kutisha na kutawala ,falume zilizokinyume na utawala wa Mungu katika ulimwengu wa roho,

  • @tacysage
    @tacysage 6 месяцев назад

    Ezekieli 20:19-20
    [19]Mimi ni BWANA, Mungu wenu; endeni katika amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzitenda;
    [20]zitakaseni sabato zangu; zitakuwa ishara kati ya mimi na ninyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy 5 месяцев назад +1

    Mungu habadiliki akiswma amesema je unaandiko lolote kuhusu kuabudu j pili plz lete andikoo

  • @leonardlameck7486
    @leonardlameck7486 5 месяцев назад

    Mimi niseme hivi,siku zote ni sabato kwa mcha Mungu nikiwa na maana ya mtu kuwa ktk pumziko la kutolewa ktk maisha ya dhambi ktk maisha yake,kung'ang'ania siku na kuitukuza kama ilivyo huku unaishi ktk maisha ya dhambi sidhani kama kunamsaidia mtu.Halafu kuponda wengine kwamba hawasomi Biblia kwa sababu tu ya kuwa kinyume na sabato ya J,mosi Biblia ni bahari utasoma unachokijengea hoja sehemu zingine hutasoma,msomaji mzuri ni yule anayesoma yote Ebu someni Walawi 23:7 na Kutoka 12:16 halafu mseme hiyo siku ya kwanza ambayo Mungu anasema kuwe na kusanyiko takatifu na kazi yoyote isifanyike ni siku gani?

  • @EvansonOnyiego
    @EvansonOnyiego 6 месяцев назад +2

    Huyu Bishop haelewi maandiko kabisa, amri ni za Mungu Wala sio za wayaudi anavyo dai . Amri ya sabato ilikuwepo kabla ya wayaudi. Je Cain alipomwua nduguye alivunja amri Gani? Yusufu alipojizuia kuzini na make wa mfalme alipojizuia kuvunja amri ipi? Wewe bishop ruhusu Kristo akufundishe Wala sio thiologia za wanadamu!

  • @olweyokennedy266
    @olweyokennedy266 6 месяцев назад +1

    Revelation 14:14; here is the patience of saints; here are those who keep the commandments of God and the faith of Jesus

    • @AdiemoFrenardB
      @AdiemoFrenardB 6 месяцев назад

      hapo ni wakati wa dhiki kuu ndugu soma sura yote uielewe.

  • @Moses-t7t
    @Moses-t7t 6 месяцев назад

    Mathayo 19:17
    [17]Akamwambia Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.
    And he said unto him, Why callest thou me good? there is none good but one, that is, God: but if thou wilt enter into life, keep the commandments.

  • @JacksonSimbwye
    @JacksonSimbwye 6 месяцев назад +1

    Mkate utatupeleka wengi jehanam,unasema ukweli halafu unaukana,yakobo2:10

  • @steverotali
    @steverotali 2 месяца назад

    Wote wanao sisitiza juu ya siku hao hawana Roho mtakatifu.
    Mungu amechagua siku mbili za kupumzika. KUTOKA 12:16
    Aliye kuwa gwiji wa sheria Mtume Paulo anakataza watu wasifungwe na siku wala sabato. Colosai 2:16-

    • @ernestbensonmwamengo1642
      @ernestbensonmwamengo1642 2 месяца назад

      muongo wewe siku ni Moja tu warima wamefoji jumapili .... Israel wapo Hadi Leo Hana siku mbili...kifupi jumapili ni Mungu ya Roma , sabato ya Jehova MUNGU WA YAKOBO, Ibrahim na Isaac na Allah MUNGU WA WAARABU anaabudiwa ijumaa

    • @MuunganoChrisanth
      @MuunganoChrisanth 25 дней назад

      Nawewe ni miongoni hata huyaelewi maandiko hueleweki ni mswalia mtume au BWANA Yesu upo katikati kama ulimi

  • @jobnyanaro5425
    @jobnyanaro5425 20 дней назад

    "For truly I say to you, until heaven and earth pass away, not the smallest letter or stroke shall pass from the Law until all is accomplished" (Matthew 5:18)

  • @frankmock4928
    @frankmock4928 6 месяцев назад +2

    😢nilikuwa sijawajuwa mabalozi wa shetani niliposoma bibilia ndonikawajuwa mabalozi wa shetani na hawa wanaojiita maaskofu

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 3 месяца назад

      Ukweli ndio huo ndio maan wana makanisa yao😂

  • @constantinnicoiconoppa587
    @constantinnicoiconoppa587 2 месяца назад

    Mkutanishe huyu na Ndaca , huyu Bishop amenivuruga kichwani ila kuna sehemu anaeleweka . Akikutana na Ndaca mwanga unaweza kuonekana vizuri

  • @PeterMulwa-s1q
    @PeterMulwa-s1q 5 месяцев назад +1

    Yesu alisema yeye ndiye Bwana wa sabato

  • @ManasséMzaliwa
    @ManasséMzaliwa 6 месяцев назад +3

    Hakuna andiko hata moja inayosema kuwa mitume wali abudu siku ya kwanza ya juma ahipo.

    • @DrN.DJ_Master
      @DrN.DJ_Master 6 месяцев назад

      @@ManasséMzaliwa siku ya 49 baada ya kufufuka kristo ni siku gani ?

    • @KambaleEboma
      @KambaleEboma 3 месяца назад

      Soma Act 16:13,Act 17:1-2,Act 18:1-4,Act 13 :42-44 ww soma Biblia

    • @KambaleEboma
      @KambaleEboma 3 месяца назад

      Soma Biblia ,Act 13:13-14

    • @KambaleEboma
      @KambaleEboma 3 месяца назад

      Huyo PST ni muongo,omba Roho takatifu akufundishe

  • @zakazakazi-fn6zy
    @zakazakazi-fn6zy 5 месяцев назад

    Kwahiyo amri aliandikiwa nan na sheria za Mungu aliletewa nan duuuuuuh

  • @maximilianswitbert2826
    @maximilianswitbert2826 6 месяцев назад

    Kutoka 12:16"Siku ya kwanza(jumapili) kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu,na siku ya saba(jumamosi)kutakuwa kusanyiko takatifu haitafanywa kazi yoyote katika siku hizo,Kumbe hata Musa ktk Torati Yahweh Elohim alimuamuru Musa awambie Israeli wapumzike siku hizo ambapo Mungu aliziwekwa kwa wakati wake.

    • @maximilianswitbert2826
      @maximilianswitbert2826 6 месяцев назад

      Kwahyo hizi siku Mungu aliziweka kwa makusudi yake yote

    • @maximilianswitbert2826
      @maximilianswitbert2826 6 месяцев назад

      Kuhusu amri katika agano jipya..Yohana 15:12-15,.Yesu Kristo alituachia amri mpya nayo ni hii Yohana 13:34-35,Pia watu wafahamu kuwa Pendo halimfanyii jirani neno baya,basi Pendo ndilo utimilifu wa sheria.Warumi 13:10,Kwahyo Sheria na amri zote z Torati zimefingwa ndani ya Pendo katika Kristo Yesu hivyo tunapoishi ndani ya upendo wa Kristo tunakuwa tunatimiza Sheria na amri zote.

    • @raphaelsiumbu9439
      @raphaelsiumbu9439 5 месяцев назад

      HIYO SIO JUMAPILI
      Hiyo ni siku ya kwanxa kati ya siku saba za kula mikate isiyotiwa chachu

  • @peteronjenga9954
    @peteronjenga9954 6 месяцев назад +2

    Huyu mchungaji hajielewi kamwe. Yesu hajawahi vunja sabato. Wayahundi walishutumu yesu bure. hata pia walimshutumu alijitoshanisha na mungu kwa kujita mwana wa Mungu, ina maana kwa hilo yesu sio mwana wa Mungu??...Mungu aliweka pumuziko iwe siku ya Saba, Nae nwanadamu akaweke siku ya kwanza ya juma...sasa ni ju yako uti Mungu au uti mwanadamu..

    • @cosmasmwaitete5004
      @cosmasmwaitete5004 6 месяцев назад

      Usilmaumu huyu askofu Kama una hoja lete hapa hoja sio kumlaumu wasabato acheni uzushi, sikiliza maelezo sio kulaumu wakatoliki ,costantino hakubadlisha siku Ila kutokana na wakristo waliokuwa wanasali jumapili naye akaokoka na kutoa agizo la kupimzika siku ya jumapili

    • @BartolomeuHenrique-mx1fn
      @BartolomeuHenrique-mx1fn 6 месяцев назад

      @@peteronjenga9954 YESU ndie sábado,sio siku úkimpata YESU umepata kupumuzika

    • @AyubuIkaku
      @AyubuIkaku 6 месяцев назад

      Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyezimungu ni Uislam. Muendelee kufarakana na kitabu chenu kilichochakachuliwa. Mara sabato ni amri ya 4 mara ni ya 3, tumuelewe nani?

  • @IbrahimCaptain-v6b
    @IbrahimCaptain-v6b 7 дней назад

    Sabato siyo ya wayahudi sabato ni ya Mungu wayahudi hawakuwepo tangu mwanzo,ulieleza vzr mwanzoni lkn umetumia mawazo yako mwishoni,

  • @eliasharun3273
    @eliasharun3273 6 месяцев назад

    Katika Ufunuo 14:12 tunaambiwa kwamba "hapo ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu na iman ya Yesu." Je, ni amri zipi zinazorejewa hapa? Je, imani ya Yesu ni ipi? Yesu alifundisha kwamba sikuja kutangua torati au manabii.Bishop anafundisha mafundisho ya wanadamu lkn siyo kama MUNGU alivyoamuru

  • @ongalahudson3
    @ongalahudson3 3 месяца назад

    Huyu Mwalimu tukutanishe naye tupinge kwa hoja hapa hamna kitu soma { ufunuo 12:17 } walio wa Mungu ni lazima wazishike amri zake na ndio wale shetani anaofanya vita kwao

    • @MuunganoChrisanth
      @MuunganoChrisanth 25 дней назад

      Huyo anaongea asichokijua kama wale wanaofundisha kwamba wakristo oweni wake wengi yaan hata hawajui mifano inalenga nini na ina maana gani ndo kama huyu kwani yamkini hata wateule watadanganywa na utabili wa BWANA Yesu umeshatimia

  • @GeorgeMbwambo-m1e
    @GeorgeMbwambo-m1e 2 месяца назад

    Inasikitisha sana BISHOP anasema hatuna Sheria wakati Sheria inakamilishwa ikiwa na Sheria zote 10 ,pia Sheria ilikuwepo,Yesu hakuvunja 7to,na Sheria Bado ipo,Soma Rumi 7:7

  • @djskadi7355
    @djskadi7355 6 месяцев назад +1

    Kama Bishop ndu yuko iviii basi ni bora kuwa chizi kuliko kumsikiliza uyuuu jamaaa ajui kitu kabisaa dah 🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️

    • @AdiemoFrenardB
      @AdiemoFrenardB 6 месяцев назад

      hebu lete hoja ya kuthibitisha hilo.

  • @ngerejaboniface2596
    @ngerejaboniface2596 3 месяца назад

    Sabato sio ya wayahudi sema hujui! Lkn sabato ni agano la mungu na wanadam! Pia yesu hakuja kutengua chochote bali alikuja kutimiliza! Ww ugolo unasumbua mkuu!

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

      Akasome biblia vzr bila kushikiwa akili
      Muulize Roho Mtakatifu achana na doctrine za kukaririshwa

    • @adamsonkyando-l4i
      @adamsonkyando-l4i 3 месяца назад

      Kutimiliza nini Bado hujuwi,kutimiliza Yesu ndo ukamilifu wa sheria Yeye ndo Neno ndo Mwenye Sheria UkimpatavYeye Umepata vyote,Yeye ndo sabato mana yake ukimwamin yeye Sheria Yote inakuwa moyon mwako,Huwezi kushinda dhambi kwa Kusali jumamosi!! Unashinda dhambi kwa kuzaliwa mara ya pili,Yani kumkubsli Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako

  • @onkobawesley3477
    @onkobawesley3477 6 месяцев назад +1

    Kwa kumpenda ni kwa kusishika amri za Mungu

  • @gilbertmahembasise1011
    @gilbertmahembasise1011 6 месяцев назад

    Bi shop usipotoshe watu wa Mungu,,juma pili haikuwahi kuwa siku ya ibadani kwa wakristo isipokuwa ilikuwa Ni siku ya mungu jua

  • @Shindikahelmani
    @Shindikahelmani 6 месяцев назад

    Umejitahidi sana ngonyani kumkana YESU na haki yake ya kulipia dai la dhambi

  • @ngerejaboniface2596
    @ngerejaboniface2596 3 месяца назад

    Soma kutoka20:10-11 na Matayo 22.19 na 2petro2.2 pia mathayo15.14
    utakutana na hukumu ya huyu mbweha:

  • @musalalakambale1689
    @musalalakambale1689 3 месяца назад

    Acsante nimeona kweli ni kweli,kusema sheriya imeisha pâle ndiyo umeanguka kabisa,kwa sababu magereza zinafungua mulango kwa wale wanao vuja sheriya

  • @samuelmweipongwe140
    @samuelmweipongwe140 5 месяцев назад

    Pendo ndio utimilifu wa sheria, Anajinadi amesomea sijui nini na nini huko ila ameshinda kujua utimilifu wa sheria unakamilika katika Pendo au je hakusoma kitabu cha warumi 13:9?
    Warumi 13:9
    [9]Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
    Ikiwa kama amri hizo zimeingia katika kumpenda jirani je zile nne hazipo katika kumpenda Mungu? Mafundishe watu Neno la Mungu kwa matakwa yenu ili muonekane mna uhodari wa neno hilo, mtachomwa moto kwa kupotosha maandiko, na tena niwaambie mtaingia sana ka ajili ya mliowapotosha. Badilikeni acheni mihemko ya kiitikadi

  • @BrianBayaMusic
    @BrianBayaMusic Месяц назад

    Wassabato kumbukeni haya maneno "sassa basi, hakuna hukumu juu Yao walio katika Kristo"

  • @bravesilubonde4350
    @bravesilubonde4350 6 месяцев назад

    Yesu alimwambia kijana tajiri je wazijua amri usiue , usizini kamtajia pale bishop bible iache inene usitafute knowledge yako kupotosha watu haya nenda waraka wa yakobo yeye aliyesema usizini ndiye aliyesema usiue ijapokuwa hukuzini ila umeua wewe umekuwa mvunja sheria nenda ufunuo anasema hapa ndipo penye subira ya watakatifu hao wazishikao amri za MUNGU na imani ya yesu

  • @chachatimasinyakega2201
    @chachatimasinyakega2201 6 месяцев назад

    Je, Yesu anaposem mkinipenda mtazishika amri zangu katika Yohana 14:15 anamaanisha amri gani?

    • @user-ee8dr9iw4k
      @user-ee8dr9iw4k 6 месяцев назад

      Ukimpenda inamanisha unawesa sika amri laki umpendi yesu wala mungu, nisawa na mtu anaogopa kuiba ju akisikwa atastakiwa ama anawesa uliwa, amri kubwa ni upendo

  • @ongalahudson3
    @ongalahudson3 3 месяца назад

    Wayahudi hawana haki ya kuijua sabato kwa sababu wao walikabidhiwa hizo amri na Yesu Mwenyewe kwaivyo hao walizibeba kimwili wakati Sheria Asili yake ni kiroho Soma { Warumi 7:14-25 } kwa kusudi hili hata wewe mwenyewe hauijui torati.

  • @jjtm164
    @jjtm164 6 месяцев назад +1

    Bishop anaongea kweli

  • @dennismasira8992
    @dennismasira8992 Месяц назад

    Huyo amekunywa kwa kikombe cha kaaba hadi anaona bibilia kama gazeti Huyo na shetani wanashirikiana kudanganya watu wa Mungu. Pepo ushindwe kabisa dhambi pila sheria sio dhambi ndio maana ufunuo wa yohana 11:19 sanduku la agano liko mbinguni izo amri ndizo zinatuhukumu tunapozivunja.

  • @OscarSifuna-x8k
    @OscarSifuna-x8k 4 месяца назад +1

    Siku ya sabato ni ya mungu, na haifai kubadilishwa, yesu kristo hakuibadilisha bali alihubiri acha uongo ata shetani ameamsha wasomi wake wanao hubiri uongo kuhusu biblia, usijichanganye

  • @RaphaelTimoth
    @RaphaelTimoth 3 месяца назад

    Swali lime ulizwa directly lakinii mbona jibu inakuwa ni siasa au mnarinda masrahi binafsi ilikurudisha gharama za masomo.....❤

  • @Moses-t7t
    @Moses-t7t 6 месяцев назад

    1 Yohana 5:3
    [3]Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.

  • @ibrahimj.kanyata3518
    @ibrahimj.kanyata3518 5 месяцев назад

    Sabato iliwekwa kwa ajili ya faida yetu wenyewe.
    Marko 2:27
    [27]Akawaambia, Sabato ilifanyika kwa ajili ya mwanadamu, si mwanadamu kwa ajili ya sabato.
    And he said unto them, The sabbath was made for man, and not man for the sabbath:

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Amri kuu ni upendo ni sahihi,kwa sbb ukiwa na upendo huwezi kumchukia mtu, huwezi kumuibia, huwezi kumfanyia vby , kwahiyo amri hii ndio kuu , zile 10 zinaingia zote kwenye upendo

  • @DodomaTanzania-r5z
    @DodomaTanzania-r5z 6 месяцев назад +4

    Big up ngonyani upo vzur sana ndg yangu

  • @BanyangaMohammed
    @BanyangaMohammed 3 месяца назад

    Amin

  • @ackimackim1880
    @ackimackim1880 6 месяцев назад +2

    UPENDO NDIO AMRI KUU, UMEBEBA AMRI ZOTE KUMI

    • @filexbenefits5612
      @filexbenefits5612 6 месяцев назад

      Go back and read again bro they are two greatest laws to depend all ten and what are this two, read Matthew 22:36:39 love your God and Your neighbor, now if you love God you will do His will like first four laws tells you 4th been keep sabbath.

  • @GeorgeMbwambo-m1e
    @GeorgeMbwambo-m1e 2 месяца назад

    Inatosha sana kujua nani alianzisha j2 na nani alianzisha j1 inakupa uamuzi wa nani wa kumfuata Yani Constantine au Mungu .

  • @solomonrwabose7600
    @solomonrwabose7600 6 месяцев назад +1

    I need debate with this bishop on this topic, we can do it on zoom because I'm in America, interviewer can you connect us please.

    • @clewis520
      @clewis520 6 месяцев назад


      Americans know nothing….ahahahah

  • @AbigaelSaini-gr7pm
    @AbigaelSaini-gr7pm Месяц назад

    Bas nafurahi kusikia wokovu watoka kwa wayahud maana yesu ni muyahud bishop lundi kwa mafundisho

  • @samsonpopat1474
    @samsonpopat1474 5 месяцев назад +2

    Pole sana ngonyani kwa uelewa wako huo naamini ipo siku utadaiwa kupotosha biblia sabato itakuwepo hata baada ya watu wa Mungu kukombolewa ktk inchi mpya soma isaya66:22_23

  • @yohanaMarco-e4j
    @yohanaMarco-e4j 5 месяцев назад

    Ulianza vizuri kweli mkuu huku mwisho ndo umeongea pumba kabisa someni aise hawatu msipo soma hamtatoboa

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 6 месяцев назад

    Yupo sahihi, Wasabato siyo Wakristo.

  • @bravesilubonde4350
    @bravesilubonde4350 6 месяцев назад

    YESU alihubiri amri ndugu

  • @simonbundala6382
    @simonbundala6382 6 месяцев назад +1

    Kusoma maandiko ni jambo la kwanza na kuelewa ni jambo lingine na ndiyo muhimu sana.

  • @mthiaspaul
    @mthiaspaul 6 месяцев назад

    YESU HAKUFUNDISHA AMRI KUMI!???? AU NIMESIKIA VIBAYA! KUTOKA KWA BISHOP MWENYE ELIMU ZA KUTOSHA!!PALE MARKO 10:19-21.YULE ALIKUWA YESU AU NI MUSA!?? Au kufundisha ni kupi kwa Yesu Kristo? naomba msada kwenye hili.

  • @BanyangaMohammed
    @BanyangaMohammed 3 месяца назад

    Ongera mwalimu nakufwatiliyakasana Niko Congo mjini goma

  • @EzekielZacharia-yl4eg
    @EzekielZacharia-yl4eg 4 месяца назад

    Digrii 3 na Biblia ni vitu viwili tofauti hii inatia huruma sana MUNGU amsaidie sana huyu baba.

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 6 месяцев назад

    Asante sana

  • @paulmutuajustus5277
    @paulmutuajustus5277 4 месяца назад

    Yesu alihubiri amri ,yohana 14:15

  • @hassanmbojelah934
    @hassanmbojelah934 5 месяцев назад

    Yesu anasema ukinipenda utazishika amri zangu, kama amri ziliondolewa kwa nini Yesu aseme hivyo, nadhani Bishop unajipotosha kwa Yesu aliyetoa amri, pia tutahukumiwa kupitia amri sasa ikiwa amri hazipo basi hakuna hukumu. Waambie watu wa ukweli, kuna ukweli umesema wazi kuwa ibadan ni jumamosi, unajichanganya unaposema kuwa Yesu alivunja sabato, Yesu ndiye Bwana wa sabato alikuwa anawaonyesha wayahudi kuwa siku ya jumamosi ni siku ya kutenda mema, aliuliza swali having ng'ombe wako akitumbukia ktk shimo utamuacha, jibu ni kwamba haiwezekani, Yesu alikuwa sahihi kuponya siku ya sabato, sabato ya millennium kama Nabii Isaya 66 alivyosema, wewe kiongozi dini wafundishe watu ukweli wa Kristo, Yesu alisema hajaja kutangua torati, Mungu akusaidie mtumishi.

  • @mussaamani4468
    @mussaamani4468 6 месяцев назад

    Mungu mwenyewe amesema "mimi ndio Bwana wa sabato" kwahiyo achakupotosha watu kuwa wayahidi ndio wenue sabato..

  • @emanuelmollel7316
    @emanuelmollel7316 6 месяцев назад

    Shalom!
    Mimi naomba kuuliza mchakato wa ukombozi wetu(mwanadamu) ulianza lini kwa mujibu wa maandiko?
    Tukipata jibu hilo,hilo la Jumamosi na Jumapili tutakuwa tumelipata jibu lake!
    Naomba majibu kulingana na maandiko(Biblia) na si historia mbalimbali.

  • @Moses-t7t
    @Moses-t7t 6 месяцев назад +1

    Maneno ya mwisho ya kutangaza kitabu ati Yesu atakuja kutawala dunia kwa miaka 1000 si kweli maana iyo siku walio na dhambi watakufa na wasiyo na dhambi wataenda mbinguni. kwahy duniani hakutakuwa mtu yeyote labda mizoga pekee. Huyu askof hajui n

  • @MarthaTosh
    @MarthaTosh 4 месяца назад

    Wale wananipenda wanasishika amri zangu John 14:15

  • @raphaelsiumbu9439
    @raphaelsiumbu9439 5 месяцев назад

    1:07
    YESU HAKUVUNJA SABATO
    Wazo kama hilo ni kauli ya shetani

  • @stanleymutwiiwambua1131
    @stanleymutwiiwambua1131 26 дней назад

    Tafsiri ya Bishop kuhusu amri 10 za Mungu sio sahihi. Yesu Kristo hakuvunja sabato wala hakufanya dhambi. hio ilikua tuhuma ya Wayahudi. Ukifanya utafiti utapata kua Makuhani na Mafarisayo walifanya tafsiri tafauti na asilia ya sheria za sabato. Kwa mfano, sheria ilisema Iweke sabato takatifu ... usifanye kazi. swali ni tafisri ya kazi ni nini ka mkutadha wa sheria za sabato (contextual definition of work)?
    Makuhani na Mafarisayo waliingiza ufisadi na unafiki kwa tafsiri. Yesu Kristo alikashfu hizi tabia zao si mara moja mbali mara kadha. Mfano wa pili, hivi kwa mjibu wa Bishop, Je Yesu vile aliukumiwa unaamini shitaka la wayahudi lilikua la kweli? La asha. Hata Judge alisema haoni makosa na Yesu Kristo, akanawa mikono, ila wayahudi wakajitwika jukumu na kutoa kauli asulubiwe.
    Amri Kumi za Mungu zi kamili vile vile zilivyokua mpaka sasa. Lililo tafauti tu, ni wakati wa kutoa hukumu au tuseme adhabu. Wakati wa Musa aliamrishwa adhabu iwe papo kwa papo na itekelezwe na wanadamu mbali kwa mda huu wa neema twapewa mda kutubu mpaka dakika ya mwisho wa uhai, baada ya hapo Mungu mwenyewe ndo atatoa adhabu. with time na sababu ya ufisadi ushahidi wa uongo ukawa mara kwa mara unakithiri na kupelekea watu wasio na hatia kuhukumiwa na kuuwawa. Mfano ni Yesu Kristo na Stefano. Kwa ufisadi walisingiziwa kukufuru. Kila Mkristo mwenye elimu anajua ilikua singizio. Kwa hio Wakristo tusome Biblia polepole na tuombe Mungu atusaidia kuelewa neno lako.

  • @MaryNjeri-d6y
    @MaryNjeri-d6y 6 месяцев назад

    Yan ww kusoma kote halafu yan hujui Yesu alifundisha amri 10?😭😭😭 Fee mm nalilia😭😭 fee ilienda bure😭😭Luka 18:18 isome uone km hakufundisha. Qualifications za kumpanda Mungu nikuzishika amri zake. Yesu hakuvunja Sabato bali alimfanyia kazi Mungu kwa kuponya watu.Hata ww ukimjengea Yatima nyumba ya bure siku ya sabato utakuwa huja vunja Bunga lolo ww rudi darasan fee yako imeenda bure

  • @marcbiryanguze7364
    @marcbiryanguze7364 Месяц назад

    Siku YA Saba ilianzishwa na Mungu akapumuzika pamoja na Adam na Hawa.Mwanzo 2:1-3.

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 4 месяца назад

    Kwenye Amri hapo ndg, sijakuelewa! Unaulizwa maswali ya msingi lkn unarukaruka na kujihami sana!

  • @ayengobenjamin8014
    @ayengobenjamin8014 6 месяцев назад +2

    Unamsingizia Yesu kuvunja Amir ya Mungu. Umekufuru kuliko!!

  • @paulmutuajustus5277
    @paulmutuajustus5277 4 месяца назад

    Yesu ni mtakatifu ,harafu unasema apunja amri. Ndio maana ,Isaya 56
    10 Walinzi

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Umeeleweka kabisa
    Wasio elewa ni wale wenye doctrine ya kuabudu siku
    Lkn km upo rohoni na uakaelewa maana ya maana ya ibada hutahangaika na siku

  • @JoelMulashani
    @JoelMulashani 5 месяцев назад

    MIMI NAULIZA MBONA HAMUONGELEI NABII ELEN G. WHITE ALIEANZISHA SABATO BABA ASKOFU.....SASAHIV SIO MUDA WA KUTAFUTA WATU NI MUDA WA KUONGOKA UKWELI KWAHIO.......UONGO WA ELEN G. WHITE TUNAUJUA SANAA KWAHIO HATUJIIII

  • @khammadjeffa515
    @khammadjeffa515 6 месяцев назад +1

    Sasa huku ndo kuchanganyikiwa kwa viongozi wa dini ya Kirkliston!!

    • @bibletv9818
      @bibletv9818 6 месяцев назад

      @@khammadjeffa515 ndiyo dini gani hiyo?

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 5 месяцев назад

    Bisho na wewe na wasabato wote mupo kwenye andiko sio Roho, ,wote mumetoka nje na Neno la Jehovah,kuna msabato wa mwilini na msabato wa kiroho,musa aliongoza wasabato wa mwilini,Yesu kristo yeye anawaongoza wasabato wa kiroho, wasabato wa kiroho ndio waliopata,pumziko la Haki, kwasababu ,Mungu amewafanya kuwa wafalume na makuhani, Hawawezi tena kuwa watumwa, wa sheria,kwasababu kuhani na mfalume hao ndio wanaotunga sheria,kwajili ya watumwa,wanaofwata sheria Ya kuitunza sabato ya jumamosi au jumapili Hao ni watumwa, wapo chini ya sheria,mtumwa wa sheria anatembea na Hukumu ya mfalume na kuhani asipo shika sheria, kwa mujibu ya mandiko matakatifu ,yamewakata wale wanaojiesabia haki kwa matendo ya sheria ,maana katika sheria mwanadamu wa asili ya mwilini alianguka katika bustani ya Edeni,sasa katika agano jipya tunae adamu wa pili alietunga sheria na kuishinda sheria ambae ni Yesu kristo aliezaliwa kwa Roho, mtakatifu,Ambae ni kuhani Mkuu na mfalume wa wafalume, nikimanisha kuwa ni mfalume wa wafalume kwa wale waliopata ufalume kwake kwa kuzaliwa kwa Roho mtakatifu,sisi tuliozaliwa kwa njia ya Roho mtakatifu sio viumbe ,kama waliovyo viumbe wanadamu wa kawaida,kwasababu kwa muonekano wa nje tunaonekana kama wanadamu wakawaida lakini kwa muonekano wa ndani yetu sisi tunaonekana kama ,miungu ambao sio wa kawaida katika ulimwengu huu,wanadamu waliozaliwa na kwa mwili,hao nisawa na viumbe vingine alivyo viumba Mungu ,nguluwi sugura mbuzi, Hawawezi kufanana na kiumbe kilichozaliwa kwa Roho mtakatifu,nikodemu alitamani sana viumbe vilivyo zaliwa kwa Roho ndomaana alimwendea Yesu kristo usiku akimwambia nifanyeje ili ningie katika ufalume wa Mungu,Yesu akamwambia mtu asipozaliwa kwa Roho,hawezi kuingia katika ufalume wa Mungu,
    Sikia mpendwa,niviumbe tu vilivyozaliwa kwa Roho vitakao weza kuingia katika ufalume wa Mungu,wanadamu wanao amini Dini zao ,Kuliko kuamini nguvu ya Mungu iliyotuzaa sisi na tumefanyika kuwa wana wa Mungu ,Hawo Nivigumu kuingia kwenye ufalume wa Mungu, maana wao neno la Mungu wanalitafri kwa kili za kibinadamu ,sio kwanjia ya kufunuliwa Roho mtakatifu,