Mwalimu Francis Ndacha, nilikuwa nimepotea njia ni mwezi mmoja sasa tangu nikujue katika mitandao ya kijamii, hakika umebadili mwenendo wa maisha yangu, karibu sana Bamburi msa
Ndacha is very genius he can be compared to none 🔥🔥 nyinyi mnaadika maandiko kwa vijikaratasi bali yeye anapewa maandiko direct from heaven 🔥 hakuna mahali ameadika
Ni kweli yesu alitembea dunia namiujiza nyingi hadi wengine wakadai miujiza ili waamini But ata na hayo yote bado mioyo ikawa ngumu kwasababu ya miili yao!..YESU ni bwana bila hata ufunuo...na amebarikiwa zaidi yule anaamini bila kuona!!
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Hakika kipofu wa macho na Roho niule anae ona na hafahamu. Unapo mufananisha ao Unafikiriya Mwenyezi Mungu kwa sura ao maumbile yoyote hakikisha wewe kipofu
Wewe mpinga kristo ni wakristo kwa sababu yesu alisema kutakuja makristo na nabii wa uongo Matayo.24;24) mbali na hyo aya ukisoma Matayo.7;21;22;23) yesu anasema atakuja kumikataa nyie mnao muita bwana bwana kwa sababu yesu aliwakataza sana wanafunzi wake wasiwaambie watu yeye ndiye kristo 😂 muache kutafuta Kiki mitandaon somen maandiko
Isaya 9 : 6 Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Hiyo mandiko haikua inapinga yesu si mwana wa mungu. kusoma andiko na kutafusiri vile unataka waislamu wako na iyo upotovu ilikubishana na bibilia. Bibilia imeweka utaratibu kutoka mwanzo hadi mwisho hata yohana alisema yesu ni mwana wa mungu ambaye ni nabii kwa uislamu. Mohammed hakua na elimu vile quran inasema kama hamwezi amini wenye hawana elimu mbona mnaamini Mohammed juu pia hakua na elimu
Mohammed hakua na elimu hivo pia yeye anapotea kumbuka wenye waliona hawana elimu ni wale walio kuwa wanapinga iyo inamanisha waislamu wanapinga wao juu hawa kuwa na elimu kama Mohammed but mnakubali Mohammed pia nyny mnapotea
Kila alie zaliwa hapa chini ya jua aitwae binadamu kibayologia ili uzaliwe lazima mume n mke wakutane ndio kupatikane kitakachopatikana baada ya mke n mume kukutana, sasa basi hawa wanaopiga kelele apa wanitafutie baba yake Yesu ili basi nipate kujua kuwa Yesu sio mwana wa Mungu
Kwa bahati mbaya sana ukweli kuhusu kristo huja kwa mtu mwenyewe moyoni mwake. Neno la Mungu linafundisha yeyote atakaye mwamini Yesu atakombolewa. Sasa mnapofundisha kinyume na hapo mwawapotosha watu. Biblia inaeleza wazi, ombi langu ni moja tu. Someni Biblia hasa agano jipya huku mkimwomba Mungu na ukweli utakuja...
Mohammed hakua na elimu basi mbona mnafuata Mohammed. Haona wenye waliona hawakua na elimu ni wale walikua wanawapinga sasa mnachanganya mandishi kujinufahisha uislam hata Mohammed hakua na elimu but mnafuata yeye
They have eyes but they do not see. The pharisees saw Jesus and His mighty works. Their sick were healed yet they crucified HIM. The last day hamtasema hamukuambiwa.
Muslims are blind...wanasema yesu ni mwana wa yusufu wala si Mungu...Quran yao inasema maryamu alipata mimba pasipo uhusiano wa binadamu 😂...halafu hao ndo wanarud wanasema yesu ni mwana wa yusufu...ata sisi wakristo tunaambin kwamba ni mwana wa yusuf lakin si babake wakumzaa kama mimi na wewe tulivyozaliwa..ni babake tu wakumlea...❤
Sasa ndio ndacha anasema ukweli kabisa nampa pongezi huyo ndio mwalimu ,,sasa wakristo hawana tena mungu kweupe yesu sio mungu tena wakristo sasa hamuna tena mungu kama mulivyokua kilasiku Jesus is god yesu ni mungu ,,leo ndacha amewafundisha ,,waislamu bahari kubwa hamuwawezi waislamu kabisa ,,wakristo ikiwa huyo ndacha ndio mwalimu mushapotea yesu sio mungu ni mtoto wa mungu sio mungu
@@michelshemikalamo2537 ndio nyinyi walewale deaf dumb and blind people Christians,,mimi NAWACHEKA hivo leo ni mungu kesho mwana wa mungu kesho kutwa ni spirit yani hamujielewi ni contradiction tupu alafu kitabu chenyewe ni translation of translation of translation of translation,,wafrika niwatu wakuchezewa tu munachezewa kama mpira ,,mascholar wakikristo wenywe wamekubali kitabu kina macontradiction na error kibao ,,translation of translation of translation of translation of translation kuna usalama hapo bure watu nyinyi
Sasa waislam wanakubali yesu kuwa manabii walikubali yesu ni mwana wa joseph na quran inakataa hana baba ni mwana wa maria iyo inamanisha quran haikubali manabii wa bibilia basi wawache kusoma bibilia juu manabii wanajua yesu ako na baba
Msome Bibilia na mwende msome Quran, Mtajua ukweli ni WA kutoka wpi! Wakiristo Msome Quran ndio Mtajua ukweli, Wasomali wanajua Bibilia yote na Kila mwislamu, Lo Kristo mko in the WRONG direction, Msome Quran Mtajua ukweli
@@davidochieng2644 ukitumia hiyo akili Hadi ukufe utajipata motoni, Islam teaches us to Respect others and to show them the Truth, Bibilia ikona Contradiction na Corruption mingi, ikona pornography and many things but I always read them and I have never insult or saying anything of it! Hizo akili za utoto itawapeleka pahali papaya! Penda usipende dini ya Haki na Ukweli mbele ya Mwenyezi Mungu ni Islam
Mwalimu Francis Ndacha, nilikuwa nimepotea njia ni mwezi mmoja sasa tangu nikujue katika mitandao ya kijamii, hakika umebadili mwenendo wa maisha yangu, karibu sana Bamburi msa
Karbu sda tufanye kazi ya Mungu
@@isacmaningo5618
Si SDA, ila akuje kwa Yesu. Mambo ya SDA ni kudunisha wokovu maana ni kama unajaribu kukweza SDA kwa kiburi cha kimwili.
Ushapata hasara kubwa
17.3.
Ubarikiwe kwa kutambua ukweli .
Ndacha anasaidia watu wengi kuwaumbua waislamu na hoja zao dhaifu
Ndacha is very genius he can be compared to none 🔥🔥 nyinyi mnaadika maandiko kwa vijikaratasi bali yeye anapewa maandiko direct from heaven 🔥 hakuna mahali ameadika
That's what they call perfection and spirit led
Hakika ndatcha anajuwa kufundisha saana, Mwenyezi Mungu Akubariki
Mungu wa mbinguni akupee longlife Mr ndacha kwa kutetea ukweli longlife sir am shemaih from USA
❤❤❤❤❤
Ndacha Mungu akupe maisha narefu ya baraka
❤Ansante mwalimu God bless you wafundishe njia ya kweli
Asante Sana mr Ndacha waombee toba wote hao.
Ukweli huo waruke juu au chini..Yesu ni Mwana wa Mungu
Soma matendo 7:55 hdi 56 insemaje yesu ako mbiguni kma nani?
Ubarikiwe mchungaji
Umeeleweka mtumishi,Barikiwa sana
Ndacha, Mungu akupe hekima, najua wewe nimwalimu kweli.....
Safi sana. Freedom of expression and worship
Mungu akubariki mwalimu
Ndacha ni Jembe la Yesu hata wapinge Yesu ni njia na kweli na uzima siku ya mwisho Ndacha kaza buti Hadi wanyooke vizur wamwamini Yesu
Ndacha ebu wafungue Mungu akuongezee nguvu
Muchungaji ndacha kazi umeifanya waisilamu watakufa kwa ujinga wao ila somo limeeleweka sana wewe ni ni mwalimu wakimataifa umefundisha sana baba.
Ni kweli yesu alitembea dunia namiujiza nyingi hadi wengine wakadai miujiza ili waamini But ata na hayo yote bado mioyo ikawa ngumu kwasababu ya miili yao!..YESU ni bwana bila hata ufunuo...na amebarikiwa zaidi yule anaamini bila kuona!!
😂😂huyu anaweza kuwa shehe....ni mjanja kuliko shehe mwenyewe
Mwalimu Ndacha, wewe umeeleweka kuliko Hawa ndugu zangu WA kiislam, ubarikiwe kwani umenibadilisha.
Barikiwa sana pia kwa sababu ya kukubali Mungu. Rehema zake ziwe juu yako
Ata wanashaangaa
Safi sanaaa mwalimu wangu ndacha
Yesuuuuu nimeana wa mungu
Ndacha God bless
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Amina
Kiswahili sio hoja numeelewa hujaelewa mbona ubishi mwingi mjueni yesu
Ubarikiwe sana
Hakika kipofu wa macho na Roho niule anae ona na hafahamu. Unapo mufananisha ao Unafikiriya Mwenyezi Mungu kwa sura ao maumbile yoyote hakikisha wewe kipofu
Tangu nimekusikiliza Rev Ndacha Leo Roho mtakatifu kakufunulia kuwa mpinga Kristo ni Mohammed, kwani alikataa hata kifo cha Yesu.
Wewe mpinga kristo ni wakristo kwa sababu yesu alisema kutakuja makristo na nabii wa uongo Matayo.24;24) mbali na hyo aya ukisoma Matayo.7;21;22;23) yesu anasema atakuja kumikataa nyie mnao muita bwana bwana kwa sababu yesu aliwakataza sana wanafunzi wake wasiwaambie watu yeye ndiye kristo 😂 muache kutafuta Kiki mitandaon somen maandiko
My dear Muslim brothers in Eastleigh, believe in Christ jesus and be saved
We believe In God and Jesus is a prophet
@@faizG254 quran ina ujio wa Masih dajal,mpiga kristo,we unajua uislamu ni mpiga kristo
Mariamu alizaa Kwa uwezo wa mwenyezi mungu mkubali mkatae
Quran 4:171
Na huyo Mwenyezi mungu ni Nani, Ni uyu Mwana anazaliwa ama ni Baba mwenye uwezo
Soma.matayo.27.45
Nyinyi mmechanganyikiwa.Sasa kama Mariamu Elizabeth kwa uwezo wa mwenyezi huyo .ungu ni yesu?
😂😂😂😂😂😂@@faizG254
Ndacha congrats
Bwana akubariki kwa ukweli uliowapa leo hao jamaa
Isaya 7 : 14
Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli.
Isaya 9 : 6
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Hakika Ndacha wayasema yaliyo haki
Mashine ya kazi ndacha
Ndacha hawezi 😅😅 ona nahayo mandiko wako ya viraka 😅😅
Hiyo mandiko haikua inapinga yesu si mwana wa mungu. kusoma andiko na kutafusiri vile unataka waislamu wako na iyo upotovu ilikubishana na bibilia. Bibilia imeweka utaratibu kutoka mwanzo hadi mwisho hata yohana alisema yesu ni mwana wa mungu ambaye ni nabii kwa uislamu. Mohammed hakua na elimu vile quran inasema kama hamwezi amini wenye hawana elimu mbona mnaamini Mohammed juu pia hakua na elimu
Quran ni neno la Mungu lililo geuzwa.
Mtumisi ndacha umesema ukweli
Nimerudia hii clip mara tano na sijaskia Ndacha akisema "na" huyu amekuja kujifanya anajua fasihi ndio ajifiche kujibu hoja! 😅😅😅
Damu ya yesu ikufinike kwa kuweza Mushuhudia azarani.
Yesu alikwa ata kabla Dunia na binguni kuumbwa nyinyi kataeni eti yesu sio mwana wa mungu sauri yenu
Wewemweu kajibu kama umesoma kuliko ndacha
Daaah hawa jamaa hawana kitu kabisa duuhh
Huna lolote Ndacha kasome
Muslims can be very good people if they BELIEVE in JESUS
Ndachaaa hoyeee
Hamna maarifa nyny wakristo mnapotea😂
Mohammed hakua na elimu hivo pia yeye anapotea kumbuka wenye waliona hawana elimu ni wale walio kuwa wanapinga iyo inamanisha waislamu wanapinga wao juu hawa kuwa na elimu kama Mohammed but mnakubali Mohammed pia nyny mnapotea
Kila alie zaliwa hapa chini ya jua aitwae binadamu kibayologia ili uzaliwe lazima mume n mke wakutane ndio kupatikane kitakachopatikana baada ya mke n mume kukutana, sasa basi hawa wanaopiga kelele apa wanitafutie baba yake Yesu ili basi nipate kujua kuwa Yesu sio mwana wa Mungu
Nyie wasenge tu,waita watu Alshaab wakati nyie Mungiki😂
Sinilifikiri al-Shabaab ni jina nzuri ama ni mbaya tena😂😂
Mtume waambia ukweli zaburi 110 na yohana 1 na Marko 16.15
Waislamu lazima mtaokoka.....na kujua yesu ni mwana wa Mungu
Ushindwe pepo mbay mujue mwenyew yes km mwan wa mung😂😂😂
Wakipata jibu mtoto anayezaliwa ni wa baba au mama? Watapata jibu yesu ni mwana wa mungu siyo kufru neno hili wala hakuna hatia ya dhambi
Yaani wakristo kuweni makini na hilijambo la yesu kuwa mwana wa Mungu,labda huo uwana unakusudi a kivipi?je Mungu ni mzazi?
Fundi mitambo, unaaribu na iyo piano yako
Kwa bahati mbaya sana ukweli kuhusu kristo huja kwa mtu mwenyewe moyoni mwake. Neno la Mungu linafundisha yeyote atakaye mwamini Yesu atakombolewa. Sasa mnapofundisha kinyume na hapo mwawapotosha watu. Biblia inaeleza wazi, ombi langu ni moja tu. Someni Biblia hasa agano jipya huku mkimwomba Mungu na ukweli utakuja...
Wachane ndacha tatizo wanaabudu majini.
Ajui kiswahili vip kati tumemuelewa nyinyi tulieni yesu akiludi akimfufua muhamadi wenu ndo mtajua yesu nan
Sasa Alshababu katoka wapi? Wakristo wengine ni mafala haki😂
Ufala ni kufuata Mohamed
@danielanyanga6339 Ufala ni kutosoma 💔
Alisabab wafanye nini....paster dancha analidwa na mungu amuwezi mfanya kitu...we unafikilia iyo ujasili ni mwiri wake
Waislamu wote hawana ufahamu wa bible hata wakisoma kuelewa ni ngumu sana, lakin matusi ndio wanajua,ila YESU kristo BWANA ni mwana wa MUNGU
Wameisha hapo waisilam kiukweli wameumbwa 2 nikwa ajili ya jehannm2 la wammkubali yesu ndo wataona uzima wa mile le2
This people will never let themselves to know the truth because they are so preoccupied by the spirit of religion
Huyu aliye ANDIKA ndacha kahubiria alshabu mama Yake naisi alishika mimbq kwakusagana pumbavu
Ndacha hakusema hivyo eti Jesu alikuja na jina hapana ilisomwa eti alikuja kwa jina please
Mohammed hakua na elimu basi mbona mnafuata Mohammed. Haona wenye waliona hawakua na elimu ni wale walikua wanawapinga sasa mnachanganya mandishi kujinufahisha uislam hata Mohammed hakua na elimu but mnafuata yeye
Iyo background sound music ina boa, inaondoa focus, ulietengeneza hii video, nenda darasani tena unatuharibia mahubiri...😬
Uisram hata siyo din
Hii ni dini ya kishetani kabisa. Hadithi tu
Ndacha uok poa
Mmelaaniwa nyinyi.Eti Al shabab. NYINYI WAJINGA SANA
They have eyes but they do not see. The pharisees saw Jesus and His mighty works. Their sick were healed yet they crucified HIM.
The last day hamtasema hamukuambiwa.
❤
Luga njo inabasumbuwa
Ndacha mungu akubariki
Barikiwa sanaaaaaaàa
Background music inaondoa usikivu usiweke
Wewe ndacha ndio unaropokwa
Yaani ktk watu upeo wao mdogo ni huyu ndacha
Kipofu wewe,endelea na msimamo wako,utalia siku moja,Shauri yako,Yesu anakufanya unakuwa mtakatifu laki Muhammad wenu hawezi
Muslims are blind...wanasema yesu ni mwana wa yusufu wala si Mungu...Quran yao inasema maryamu alipata mimba pasipo uhusiano wa binadamu 😂...halafu hao ndo wanarud wanasema yesu ni mwana wa yusufu...ata sisi wakristo tunaambin kwamba ni mwana wa yusuf lakin si babake wakumzaa kama mimi na wewe tulivyozaliwa..ni babake tu wakumlea...❤
Maneno mengi yasiyo na masingi,unajichanganya huku ukijiona una hoja kumbe ni kujidanganya,ndacha umepotea omba mungu akuongoze kwa haki
Toka gizani ukuje Yesu kwa maana ndiye nuru
Kwahy Mariamu alilala na mungu mahayawani nyieeeeeee kuwa muelewa Kaz kutembea na majanaba yenu wachafu wa mwili mpk Roho nyie
Sasa ndio ndacha anasema ukweli kabisa nampa pongezi huyo ndio mwalimu ,,sasa wakristo hawana tena mungu kweupe yesu sio mungu tena wakristo sasa hamuna tena mungu kama mulivyokua kilasiku Jesus is god yesu ni mungu ,,leo ndacha amewafundisha ,,waislamu bahari kubwa hamuwawezi waislamu kabisa ,,wakristo ikiwa huyo ndacha ndio mwalimu mushapotea yesu sio mungu ni mtoto wa mungu sio mungu
Soma Waebrania 2: 8-9 uone Hilo jina la Mungu liki tumika ndio ujue Kiswahili kina tumikaje. Kuenda Kwa jina na kuenda Kwa basi ni tofauti
Jitahidi kuele ndg yangu sio kutuma coment ndeefu isiyo na maana yoyote
Morning, nimeshangaa muislam akubali kwamba Yesu ni mwana WA Mungu 😂😂😂 inachekesha
@@michelshemikalamo2537 ndio nyinyi walewale deaf dumb and blind people Christians,,mimi NAWACHEKA hivo leo ni mungu kesho mwana wa mungu kesho kutwa ni spirit yani hamujielewi ni contradiction tupu alafu kitabu chenyewe ni translation of translation of translation of translation,,wafrika niwatu wakuchezewa tu munachezewa kama mpira ,,mascholar wakikristo wenywe wamekubali kitabu kina macontradiction na error kibao ,,translation of translation of translation of translation of translation kuna usalama hapo bure watu nyinyi
Usipomkubli yesu kristo moyoni mwako ww n jehanam
Kwani koruani iliandikwa na nani?
Iliandikwa na mashetani
Wwaahh unaita watu al-Shabaab, kweli ww Mkristo gani una matusi kiasi hichi...
munganga wenyu mkuku wa majini sulle ako nairobi nedeni awauzie majini mufuge
Takibriiiiiii
Ndacha wape dozi kaka wafunguke
Ndacha huna lolote rudi shule ujue tafauti ya mwana na mtoto
Ajabu hakuna andiko kwa bibilia inayosema ukristo ni dini.
Ila lipo neno lililosemwa mm ni njia kweli na uzima mtu yeyote haji kwa baba ila kwa mm , yaani njia maana yake dini ndugu.
Ndacha wwe n baraka maasakofunwakubali wakupee honary degree PhD in theology wd an office u deserve
Ndacha nakuombea uishi maisha marefu ufundishe mpaka kieleweke
Alshabab wako wapi?
Ndacha Hana ufahamu Na anakaribishwa asome amtambue mwenyezi mungu
Mpinge kwa Hoja siyo Maneno tu
Mmeshikw masikio mnaabud majin wajing kwel
Kumbe majini pia ni waislamu 😢
Ndacha analipwa kwa kazi ya kuposha tu ndio maana hajafunguwa kanisa
analipwa nanani
Umemlipa wewe mtume alipobaka alilipwa
Waklisto wakweli huwa hawafungui kanisa matapeli nawaongo ndohua wanafunga kanisa
Analipwa na nani?
Nikweli uislamu na ulongo ni kitu Moja. Lakini ulongo wenu unampangilio ila wewe wasema ulongo ulio nje ya mpangilio wenu
Mtume Muhammad mama yake ninani na baba yake
Na kwa, hahaha
Aiseee waliofumbwa wamefumbwa tu mbona jambo liko wazi yesu alitokana na neno la nani? la Mungu
Kila kilichopo ulimwenguni kilitokana na neno la Mungu wakristo hajuwi hilo
Aisee Mungu alitoa amri kuwa Yesu azaliwe na ikawa hivyo.Alimtuma Malaika Kwa Mariamu na amri hiyo
Sasa unafikiri analingana na mwanao aliyezaliwa na mwajuma Kwa kuingiliwa na kosmas akazaliwa moto akaitwa shabani
Sasa waislam wanakubali yesu kuwa manabii walikubali yesu ni mwana wa joseph na quran inakataa hana baba ni mwana wa maria iyo inamanisha quran haikubali manabii wa bibilia basi wawache kusoma bibilia juu manabii wanajua yesu ako na baba
Ndacha kakimbia Tanzania amemuogopa kinyogori
Wote kafyeka huku. Jopo zima LA waislam zidi ya mtu momja wote kacharaza bakora za matako
Hajakimbia tulimwita juu waislamu walikuwa wanataka wabatizwe
Ndacha alinyorosha kinyogoli kitambo sana 😂😂
Ndacha mbabe wake nikinyogori
Kinyongori alishindwa hakuweza jbu nyinyi waislamu wabishi
Please wanao tumia matushi kwa mutumishi wa mungu poleni sana na mwokolewe mungu.
Nimegundua hawa mikristo lugha ndio shida
Msome Bibilia na mwende msome Quran, Mtajua ukweli ni WA kutoka wpi! Wakiristo Msome Quran ndio Mtajua ukweli, Wasomali wanajua Bibilia yote na Kila mwislamu, Lo Kristo mko in the WRONG direction, Msome Quran Mtajua ukweli
Sasa wewe nawe unaambia nani asome hicho kitabu chenu cha majini?
@davidochieng2644 Asante Sana, Na Mungu akulinde kwa Ukweli
@@davidochieng2644 ukitumia hiyo akili Hadi ukufe utajipata motoni, Islam teaches us to Respect others and to show them the Truth, Bibilia ikona Contradiction na Corruption mingi, ikona pornography and many things but I always read them and I have never insult or saying anything of it! Hizo akili za utoto itawapeleka pahali papaya! Penda usipende dini ya Haki na Ukweli mbele ya Mwenyezi Mungu ni Islam