Ndacha Ashindwa Kubatiza Professor Mazinge Atapatapa Baada Ya Kushindwa Kujibu Swali.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • XPTV IS NOW ON GOOGLE PLAY STORE Apart from Videos and Live Streaming of Daawa activities other features included in the XPTV Android App include: 1. XPTV LIVE 2. XPTV Lite Version 3. Free Islamic Books 4. #Africa4Islam 5. Twitter Updates 6. Chat with XP 7. XP Daawa Website Plus many more Comparative Da'awa material
    To Download XPTV Click this link: bit.ly/41zgqD6
    ___________________________________________________________________________________
    OTHER APPS BY COMPARATIVE DAAWA APPS BY XPTV:
    1. Abass Online TV - App on Google Play
    bit.ly/3IvUO2V
    2. Ahmed Deedat Books - App on Google Play
    bit.ly/3pQ8grU
    3. Angels and Jinn - App on Google Play
    bit.ly/3Ot9O5v
    4. Comparative Da'awa Books - App on Google Play
    bit.ly/3ML76ae
    5. Judai 001 - App on Google Play
    bit.ly/42Xgsp2
    ___________________________________________________________________________________
    YOUR SUPPORT FISABIILLAH CAN BE A STEPPING STONE TO THE NEXT LEVEL OF DA’AWA IN AFRICA To support daawa Lipa na MPESA Till Number 5266153 (buy goods) or Mpesa Direct. 0724500984 (Name: Lemmy Easter) For more Comparative Daawah Videos and daawa info, visit bit.ly/xpdaawa Africa For Islam Daawa Tour featuring Ex-Pastor Ibrahim (XP) _____________________________________________________________________________________#Whatsapp_254724500984 #Support_Daawa #AhmedDeedat #Mazinge #Muhadhara #IbrahimXP #Islam #Daawa #Reverts #Kusilimu #Jesus_is_not_God #DiniYaHaki
    MAELEZO ZAIDI
    #ibrahimxp #africa4islam #debate #Eastleigh ____________________________________________________________________________________TAFADHALI SOMA HAYA MAELEZO HAPA CHINI __________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________Asalaam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatu Baraka Allahu Fiikum for supporting this work by subscribing and sharing our content. A MUST WATCH; Latest XPTV Live Streams To watch this Playlist click on the link below. ____________________________________________________________________________________ bit.ly/3H6stja ___________________________________________________________________________________
    XPTV IS NOW ON GOOGLE PLAY STORE Apart from Videos and Live Streaming of Daawa activities other features included in the XPTV Android App include: 1. Free Islamic Books 2. #Africa4Islam 3. Twitter Updates Plus many more Comparative Da'awa material To Download XPTV App on Google Play Store Click this link: _____________________________________________________________________________________bit.ly/41zgqD6
    ____________________________________________________________________________________JIUNGE NA KAZI HII FISABILILLAH (Swahili/English) /BE PART OF THIS WORK FISABILILLAH ____________________________________________________________________________________ MSAADA WAKO FISABILILLAHI YAAWEZA KUWA SABABU YA KUFANIKISHA DA'AWA BARANI AFRIKA Kwa mujibu wa kazi inayotukabidhi ya kuendeleza daawa tunahitaji msaada wako (Sadaqatul Jaariya) ili kuendelea kutoa da'awa muhimu kwa watu wanaohitaji ujumbe wa Tawheed ya Kiislamu na kuwafikishia ujumbe wale ambao haijawafikia. Tujuavyo Uislamu ni huru kwa watu wote ila kuupeleka kwa wasio Waislamu ni ghali sana. Simama nasi kuchukua ujumbe wa kutoa wasio kuwa Waislamu kwa giza na kuwafikishia Uislamu (Tawheed) kokote walipo ambao wanasubiri tu mtu awaambie kuhusu Uislamu. NAAMINI SOTE TUNA MALENGO YA PAMOJA KATIKA MAISHA HAYA SASA NA KESHO AKHERA. In Shaa Allah kwa sadaqa yako, bila kujali kiasi, mtu atasikia juu ya Mwenyezi Mungu na dini yake ya kweli ambayo ni Uislamu kwa mara ya kwanza kabisa leo. Mwenyezi Mungu akulipe kikamilifu na akupe Jannah na akulinde dhidi ya fedheha siku ya Qiyama kwa mchango wako wa ukarimu Aamin. _____________________________________________________________________________________ YOUR SUPPORT FISABIILLAH CAN BE A STEPPINGSTONE TO THE NEXT LEVEL OF DA’AWA IN AFRICA In this connection we need your help to continue to provide essential da’awa to people who need the message of Islamic Monotheism (Tawheed) and reach out to the unreached. Islam is free to all, but taking it to the non-Muslims is very expensive. Stand with us to take the life-saving message of Islamic Monotheism (Tawheed) to the lost and unreached souls around the World who are just waiting for someone to tell them about Islam. WE HAVE A COMMON GOAL IN THIS LIFE AND IN THE HERE AFTER. Because of your support, no matter the amount, someone will hear about Allah and His true religion that is Islam for the very first time today. May Allah fully reward you and grant you Jannah and protect you from shame on the day of judgement for your most generous donation. BARAKA ALLAHU FIKUM

Комментарии • 254

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 2 года назад +6

    MashaAllah Tabaraka Allah, Mazinge Allah azid kukuhifadhi na akulipe kila la kher fill Dunia wall akhera

  • @wrongnamemtuwahapa
    @wrongnamemtuwahapa 2 года назад +4

    Mashaallah mazinge upo vizuri

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Год назад +2

    Takbri Allahu Akbar,Maa Shaa Allah, Alhamdhulillah.

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 2 года назад +6

    Shukran habibi mazinge leo umempata huyo anaejivuna na ukafiri wake kwa kupewa kigari ndacha mkorofi

  • @Mr.erick.nails3065
    @Mr.erick.nails3065 2 года назад +2

    Insha'Allah

  • @omarhassan2637
    @omarhassan2637 2 года назад +2

    Allah akuhifadhi proffesor Habib Mazinge

    • @lileoh3893
      @lileoh3893 2 года назад

      Huyu ni mtumish washetani soma ufunuo 2 12 13

  • @margaretmargaret5744
    @margaretmargaret5744 2 года назад +4

    Quite Ex pastor Still Ndacha is eating Mazinge piece 🥧🍰 by🍮piece just wait ✋you will see the next debate to come because I have never understood Mazinge's message in all the podiums

  • @abdiriiabdirii8843
    @abdiriiabdirii8843 2 года назад +4

    Mungu anusuru masheik wetu Allhamdulilah

  • @IsmailKassim-z1m
    @IsmailKassim-z1m 8 дней назад

    Mashalah she mazinge

  • @alphonseziragora5151
    @alphonseziragora5151 2 года назад +2

    Mazinge hakutumia maandiko kisawasawa. Amejibiwa vizuri, shida anayo ni uamzi wa kubatizwa. Amemshtaki Bwana eti ameiba mali yake mwenyewe. Mbone watu wanakufa na bado hawajashtaki Bwana kosa ya uuaji? Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Год назад

    Ndacha is Best

  • @michaelchoaji5874
    @michaelchoaji5874 2 года назад +2

    Ndacha ndacha weee ni hatari

  • @davidkihara9890
    @davidkihara9890 2 года назад

    Muhammad karogwa na pia kafanyiwa upasuaji katolewa mashetani.......alaaaaaaaaaaa!!

  • @gracembuvi4625
    @gracembuvi4625 2 года назад +2

    Hili kafiri mazinge linastahili kubatizwa lakini ni liongo,,,,linafiki,,,,limeshindwa liende kwao tanga

    • @amoury1481
      @amoury1481 2 года назад

      Mazinge Sio Kafiri,Kafiri Ni Mtu Asiye Muislam Na Mazinge Ni Muislam

  • @thomasalchannel1135
    @thomasalchannel1135 2 года назад +1

    Wewe Ex pastor na Mazinge Mpingeni Yeye Ambaye Mungu alimtakasa(Yesu Kristo) na kuikanyagia damu yake.Maadam hamtubu Motoni mnaingia.

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 Год назад

    Mnafiki ukijibiwa kubatizwa hutaki

  • @111dudi
    @111dudi 2 года назад +1

    Huyu Ndacha kama kawaida yake ananukuu kipande cha aya ili ashinde, huu ni ujanja qa kitoto.aya yenyewe.ni hii :"Ewe Nabii! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Mwenyezi Mungu? Unatafuta kuwaridhi wake zako. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu."huyu Ndacha muongo sana. Hamtambui Muhammad, anasema quraan ni uongo,cha ajabu anaitumia.sasa anaiyambua aunhaitambui?

  • @nancybitutu7861
    @nancybitutu7861 2 года назад +2

    waislamu nawahurumia sana na tena sana, koran yenu yenyewe inasema Yesu ni mtakatifu, na nyinyi mnasema Yesu ni mwizi, mbona mnapinga kitabu chenu? Confused people on earth.

  • @advisorhonorables9984
    @advisorhonorables9984 2 года назад

    Siku ingine kuja na huyo msomaji wako huyu hajui

  • @lileoh3893
    @lileoh3893 2 года назад

    Waklisto wamechukua jina la yesu waislam tumechua dini laha sana

    • @ericstephenm.844
      @ericstephenm.844 2 года назад

      Dini ni kiwango cha juu kabisa cha Upumbavu wa binadamu.

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 года назад +1

    mazinge akupe andiko, ni wapi mwenye punda alisema/alilalamika, punda wake kaibiwa? hata yeye alijua kma hakuwa wake.

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад +1

      Very Good!! Huyu Mazinge ni mtu mwenye ujaja wa maandiko kutoka kwa shetani mwenyewe. Ndini la manjini!

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 2 года назад

    sasa kama punda ni wa Bwana na Yessu ndie Bwana sasa mbona alisema atamrudisha swali halijibiki

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Год назад

    Kwani mwenye punda alikua nani,

  • @sheledeshele1048
    @sheledeshele1048 2 года назад

    Alijibiwa vizuri mazinge semeni mnakataa ukweli,kama hakujibiwa basi mazinge aseme punda alikuwa wa nani???? Ikiwa hakubaliani/hamkubaoliani na jibu alilopewa.wapuuzi nyinyi!

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 года назад

      sasa kajibiwa vipi wakati punda hakurejeshwa🤣🤣🤣🤣 mbona nyie wakristo biblia ya kwenu ila hamuijui ivi kweli kabisa

    • @sheledeshele1048
      @sheledeshele1048 2 года назад

      @@salumabdallah2990 kwahiyo kama hakurudishwa wewe ulisoma wapi kwa bibilia kwamba huyo punda alisulubishwa pamoja na kristo???? Au walimchinja wakamla kwa sherehe? Acheni upimbi.sikiliza vizuri"punda ni WA bwana kwakuwa Mali yote ni ya bwana,aliyeitisha punda ni bwana,Ulitaka arudishe wapi? Pili kama punda hakuwa wake jiulize akijuaje Kuna punda mahali amefungwa na mwanapunda?

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 года назад

      @@sheledeshele1048unaona sasa unajichanganya nani kasema punda kasulubiwa hapa nani kasema ivo?

    • @sheledeshele1048
      @sheledeshele1048 2 года назад

      @@salumabdallah2990 wewe hapo ndiye unataka kujua alikoenda au alikopelekwa,usihepe swali nijibu.

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 года назад

      @@sheledeshele1048 tatizo lako husikilizi vizuri na ndio maaana munapotoka

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 2 года назад

    Watu wamepita na punda wa watu du

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +10

    MashaAllah Babu umekuwa tupe raha Allah hakupe afya njema nahakunusuru na vijicho vya dunia

  • @generalchinnah9863
    @generalchinnah9863 2 года назад +6

    😂😂😂😂 konki sheikh othman mazinge, ALLAH akupe umri mrefu in sha ALLAH uweze kuwapa da'awa makafiri

  • @adamissa8307
    @adamissa8307 2 года назад +5

    Watu wanatafuta utajiri kwa udi na uvumba.Yuko tayari kumkufuru Allah (S.W.T) ili mradi mkono uende kinywani!! Mweyeezi Mungu anawaona atawajaza motoni.

  • @rahmaabdalla7643
    @rahmaabdalla7643 2 года назад +21

    Masha'allah , Jazakallah Masheikh wetu kazi ngumu mnafanya ila malipo yenu kwa Allah insha'allah.Allah awaongoze ,awazidishie umri afya na afua .

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад +1

      In shaa ALLAH

    • @meshakinelisoni1176
      @meshakinelisoni1176 2 года назад +1

      .malipo moto wamilele

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад

      @@meshakinelisoni1176 hujakosea kwa makafiri

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 2 года назад +11

    masheikh wetu Allah awape nguvu na afya njema na hekma muzidi kupambana na hawa makafiri

  • @masala8099
    @masala8099 2 года назад +17

    makafiri wote motoni na makafiri wenyewe wanajua wao wanaenda kuungua waislam wenzangu tumshukuru mungu kwa kutupa dini ya haki

    • @issajumamwinyi6191
      @issajumamwinyi6191 2 года назад

      ruclips.net/video/IWAX_VmOdq0/видео.html

    • @gettyjusa3352
      @gettyjusa3352 2 года назад +2

      Ukafiri ulianza mecca..so hata wewe Jehanamu inakungojea

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад +1

      Yesu ni mfalme na pia mwokozi. Nyinyi waislamu mhache upofu wa maandiko. Mhache ujaja wa kusoma mstari mmoja na kupindua pindua maandiko
      Lakini tunanjua mnasukumwa na majini na mnafurahia hayo yote. Mnavyio mshangilia mazinge, hivyio, siku inakuja mtamtusi sana vile kawapeleka kuzimu

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      Yesu pia, ni Mungu na sisi.

    • @tonnyanthonys2159
      @tonnyanthonys2159 2 года назад +1

      😅😅😅 Wajinga na walevi wa dini nyie kweli, wewe ni nani ujue wa kuenda na wasio enda mbinguni. Wewe ni mjinga tu wa kawaida

  • @dullahsantos3184
    @dullahsantos3184 2 года назад +2

    Kafiri nikafiri tu,kwanini yesu aliaidi atamrudisha?

  • @nancybitutu7861
    @nancybitutu7861 2 года назад +3

    wewe ex-pastor ni muongo sana. Hukiwa pastor ulikuwa bado muongo. There is no a true christian anaeza mwacha Yesu aliye hai amufuate marehemu mohammad. shetani ni muislamu na majini pia ni waislamu, hiyo ni dini gani kweli. ole kwako.

  • @nkurukiyesamuel4043
    @nkurukiyesamuel4043 2 года назад +3

    Waisram ni waongo na wabishi tu,sasa utamuitaje mwizi mtume mwizi mbele ya umati wakati unamuita mtume wa mungu alietangilia muhamad? Na BIBLIA inasema sio kila kitu kimeandikwa na haiwezekani

    • @abdullahhassan.6368
      @abdullahhassan.6368 2 года назад

      Mshezi mmoja wewe eboo unasem waislm waongo punda wewe INNADDINA INDA LLAHL ISLAM

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 2 года назад +6

    Nimesikia aya ndacha alivyoivuruga..
    Allah amuongoze

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 2 года назад +5

    Huyo ndo maxinge

  • @gracenjoroge5952
    @gracenjoroge5952 Год назад +1

    Wapi aya yesu kaiba tena kama ww mazinge mkweli si ungesema punda alikuwa wa nani?

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari5402 2 года назад +8

    MashaAllah MwenyeziMungu amewapa ujasiri uislamu raha Allahu akbar

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 2 года назад +14

    Professor Mazinge needless to say won this debate

    • @issajumamwinyi6191
      @issajumamwinyi6191 2 года назад

      ruclips.net/video/IWAX_VmOdq0/видео.html

    • @halinishibakari5402
      @halinishibakari5402 2 года назад +1

      Eric phillip.sio Mazinge. Aliesema.yesu kaiba Punda.ni.bibilia.yenu wacha kupayuka.soma bibilia.bblia wacha kubebwa na.mchungajii

    • @hopedavid1556
      @hopedavid1556 2 года назад

      @@halinishibakari5402 kaandikwa wapi?

    • @mussakhalifah1233
      @mussakhalifah1233 2 года назад +1

      @@hopedavid1556 Je hilo andiko linalohusu punda hujalisikia? Je ikiwa Yesu aliazima,ni wapi amemrejesha yule punda? Hapo inabidi uelewe tofauti ya "kuiba" na "kuazima", je unaijua..?

    • @allyydoctor2797
      @allyydoctor2797 Год назад

      Wewe na mazinge aliye na uwezo wa kusilimisha mpaka padri wako aliyekufundisha vistari vya kulia viela .kwa walokole We na mazinge nani anayeijua bibilia?pumbafuu we!

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 2 года назад +3

    Kwani huyu ndacha aliritadi tena si nilimuona amekua muislamu na mkewake mkisii, akitabiri yeye mwenyewe kwamba wanafanya kununuliwa, na inabidi wapinde ulimi ili pence ukweli katika qur'an wapabadilishe ,ili paonekane pana makosa, ili wapate kupata kulipwa pesa kutoka kwa wale wanaowalipa

    • @hamzagandara5071
      @hamzagandara5071 2 года назад

      Sie yule ni watu wa will tofauti

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      Labda uliona pepo. Hajawahi kuwa mislamu. Pia ukasema wanao mlipa. Kina nani hao? Mazinge nani anamlipa?

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      @@hamzagandara5071 Mazinge! Hilo fikira kanipita kichwa.

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Год назад

      Njaa inamuhangaish 😅😅😅😅

  • @margaretmargaret5744
    @margaretmargaret5744 2 года назад +5

    Hey 👋Mr ex pastor I see you darling..But still we didn't see in the bible the owner was looking for his Donkey # Give Ndacha the verses from the bible..... Who's the owner of the Donkey complain 🤔 Ndacha can't be convinced with such comedy like Mazinge 🤣

  • @paulnyakxx
    @paulnyakxx 2 года назад +3

    Yaani, waisilamu wameshindwa kabisa na hoja hadi wameanza kumwekea Yesu dhambi kwa kutoelewa Bibilia?

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 года назад

      jibu hojaaaa

    • @paulnyakxx
      @paulnyakxx 2 года назад

      @@salumabdallah2990 hapo kuna hoja gani?

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      Waislamu kweli kwa fichwa vyao wanafikiri Yesu ni mwizi kweli? Ufumbafu na upofu ngani huo??

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      @@TUnech7 Basi nipe adiko kutoka kwa mwenye punda akilalamika eti Yesu kaiba punda wake na ajamrudishia. Unaona vile Mazinge ana ujaja? Anajua hii sio kweli mbali anauliza! Tena anaaza kuapa!! Nipe hii jimbu sasa bila kwenda kushauriana na wenzio waislamu ili mlete ujaja wa maandiko! Ni wapi tunaona mwenye punda akilalamika eti Yesu kaiba punda wake? Mwenye punda hakusema punda imeibiwa na mwizi anaitwa Yesu!
      Tena nyinyi mnajua mwizi hatoi taarifa adharani eti anaeda kuiba punda. Anajiadhari kuiba bila kuonekana na yeyote asijulikane ndio ashitakiwe. Hatuoni maala popote Yesu kashitakiwa kwa kuiba punda wa mtu!! Wacheni ujaja wenu wa maandiko. Tena muwe logical mnapo jibu. Pia hapa sio upande gani kashida. Uhuh. Ni kusikiza na kutafuna yanayosemwa wewe mwenyewe uone kama ina-make sense. Ujisomee wewe mwenyewe maandiko. Omba Mungu na Roho wa Mungu akusaidie uelewefu wa maandiko. At the end of the day, hatutasimama mbele za Mwenyezi Mungu na wenye kujandiliana mada. Kila mtu na mziko wake mwenyewe Mbele za Mungu. Ndio mimi sitengemei akili ya mtu yeyote kuniongoza vile mada zinaenda. Unajisomea wewe mwenyewe!

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      @@TUnech7 Hivo basi Yesu mwizi?? Baada ya Mazige kumwita Yesu mwizi, waislamu wamekwama hapo! TIRex, Biblia inatuonya vikali kwamba, MSITOE CHOCHOTE KWA BIBLIA, NA MSIONGEZEE CHOCHOTE KWA BIBLIA.
      Be silent where the bible is silent. Do NOT add anything or remove ANY!
      Wee pita tu kwa njia ya mazinge na akili zake. Wee na mazinge endeleeni kuita Yesu mwizi. Wale wanaelewa Yesu ni nani, na kaja nduniani kufanyani watakimyia.

  • @abdullahiguyo7547
    @abdullahiguyo7547 2 года назад +1

    Ndacha na huyo murtadh mumedhihirishiwa haki na ustad wetu Mazinge lakini Kwa kuwa mko mbishi mkamkataa,haya mtayaona makaburini punde tu roho zenu mkitolewa ,msifanye masihara mambo na dini ,ulimwengu muiache kabisa si yoyote musilimisheni Nafsi zenu ...muda upo mutubu kwa Allah mkiwa bado muko hai....ni hasara kwenyu mkifa kafiri....huyo murtadh harakisha sababu kila mmoja ameandikiwa siku zake za kuondoka duniani...haujui muda uliobaki.....kaburini maswali yapo....amali muhimu......bado ALLAH anawapenda enyi mnakathibisha kitabu Cha ALLAH.....

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      Unafaa kueleea kitu kimoja, Mungu Hajali NDINI LAKO!! ZINGATIA HIRO SANA! Mwenyezi Mungu katupa Yesu Kristo aje nduniani kutuokoa. Shetani kaletea watu ndini nduniani! Mbinguni hakuna ndini!! Mungu hatakuuliza ulikuwa wa ndini ngani? Tafakari hayo!! Utaukumiwa, kwa kutokuwa na imani kwa MBWANA Yesu kama Mwana wa Mungu na mwokozi na pia matendo yako nduniani! Eti nyinyi mnaita Yesu mwana wa mariamu! Hamjui...ama mnakataa kifofu fofu tu kuwa Yesu ni mzee kuliko mariamu! Yesu ni Mfalme wa wafalme! Mohamadi atahukumiwa na Yesu! Think about that my friend. Jisomee Biblia mwenyewe. Na mhache kusema eti it's been corrupted. By who? Tushaa jua, hivyo ndivyio mnafundishwa kusema. Omba Mungu akufafanulie uelewaji. Wacha kutengemea AKILI za Mzee Mazinge, mjaja wa maandiko kama wapharizayo. Yesu mwenyeee kapingana nao pia. Roho wa Mungu akufundishe na akuzaindie!

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 2 года назад +5

    ALIMJIBU VIZURI SANA NYINYI NDIO HUWA HAMUELEWI MAMBO

  • @chrisnashon1523
    @chrisnashon1523 2 года назад +1

    Sio dini itakupeleka mbinguni ama motoni ni matendo yako pekee. Ole wenu nyinyi mafarisayo mnajifanya mnajua dini sana.

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 2 года назад +3

    Wislamu neema, raha, dini ya haki mbele ya Allah. Waislamu peponi makafiri makristo motoni.

    • @lugwerasta3083
      @lugwerasta3083 2 года назад

      Sawa acha tuone,,,huu wenu n ufuasi tu maana ata dunia ikaisha leo hutaenda peponi ww maana hufanyi pia inavotaka quran

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад +1

      Hahaha!

    • @ericstephenm.844
      @ericstephenm.844 2 года назад

      Mwamedi aliwaweza sana aisee! Mmepigwa!

    • @ericstephenm.844
      @ericstephenm.844 2 года назад

      Hujitambui mwanamke wewe. Unashabikia dini inayotweza uanamke wako, ambayo mtoto wa kike anaweza kuolewa akiwa na miaka 9 na ni sunna. Dini ambayo sheria zake zinamkandamiza mwanamke na kutukuza tamaa za ngono za mwanaume kwa kumpa haki ya kuoa wake 4. Na imeona haitoshi mwanaume huyu na huko peponi atapewa hadi mabikira 72 wa kufanya nao ngono. Yaani duniani mnaolewa wake wenza hadi wanne na huko peponi wanaume wenu wanaenda kuongezewa na mabikira 72, yaani wanawake ni viumbe wa kutumika kingono tu kuanzia duniani hadi peponi. Mnaacha kumfuata nabii Issa ambaye mimba yake ilitungwa kwa mbegu isiyokuwa ya kibinadamu, aliyezungumza kama mtu mzima akiwa kitoto kidogo, akaishi maisha akifanya miujiza kama kuumba ndege, kufufua wafu, kuponya n.k., ambaye hakuwahi kuoa wala kufanya uzinzi ktk maisha yake aliyoishi, ambaye hakufa bali Allah alimchukua kimiujiza na kumuweka mbingu ya pili, ambaye atarudi mara ya pili kama ishara ya kukaribia kiama. Mmekuwa vipofu wa akili kwa kumpuuza Issa na kumuamini Mwamedi aliyezaliwa kama sisi, aliyekuwa mzinzi mzinzi tu kwa tamaa za kuoa wanawake 12 ukimuacha Hadija, aliyekufa kibinadamu kama tunavyokufa sisi. Mnashindwa kuona tofauti kubwa ya Issa na Mwamedi. Mnasema aliteremshiwa Kurani, nani alikuwa karibu yake wakati muujiza huo ukitokea anayeweza kuthibitisha? Mmepigwa nyinyi, ni bora kutokuamini kabisa kuliko kuamini Ujinga na kuuona ni ukweli. Kwanza wewe Muafrika Uislamu umepandikiziwa na Waarabu tu. Hao wenyewe waliokuleteeni dini wanalipuana wenyewe kwa wenyewe kwa jina la dini mnayosema eti ya Haki.

    • @sirajiatibu3232
      @sirajiatibu3232 Год назад

      Jesus is not God Mark 13:32 John 5:30

  • @DawaUnityGroup
    @DawaUnityGroup 2 года назад +2

    Niatari kweli, wakristo hoja zao zaifu

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 2 года назад +2

    Uyu Mzee Mazinge akili zishakua z kijitu kizima kazi awaachie wakina Kinyogoli, Bakoz, Shafi n.k. alafu kitu ambacho namshauri huyu mzee Mazinge n kua aache mnn haya ya kusema "ntauacha uislamu" hayafai kabisa yan..

    • @isayamathias3855
      @isayamathias3855 2 года назад

      Wewe inaonekana ni mchawi tena wa wazi wazi kbs haiwezekani kazi anayifanya huyu mzee ww unaichklia kihivyo sms yako imejaa negativity, mungu akulipe

    • @isayamathias3855
      @isayamathias3855 2 года назад

      Yani kweli ww ni mpumbavu

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 2 года назад +3

    Ndacha na wafuasi wake motoni.

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Год назад

      😂😂😂 Allah awaongoz insha Allah

  • @Ramadhan-s9u
    @Ramadhan-s9u 3 месяца назад +1

    asalaam aleikuum sheikh mazinge acha hasira wakati wa mazungumzo asalaam aleikuum

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +2

    Ndacha kasome kwanza lugha ya kiswahili bwana 😀😀 ni MTU SIO MUTU MUTU .

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 2 года назад +1

      Mkenya uyo mutu kwenyu ndo wanavoongea

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Год назад

    Kweli Ndacha ni MWENDAWAZI,MWEHU.A na ongea MATAPISHI.

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 2 года назад +3

    Poleni nyinyi wafuasi wa marehemu Muhammad. Hadi mnapinga korohani! Korohani inasema Yesu ni mtakatifu. Nyinyi mnasema korohani inasema uongo? Kukuwa mfuasi wa marehemu Muhammad ni balaa kabisa

    • @alsamali6964
      @alsamali6964 2 года назад

      Inaitwa qur an sio korohani

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 2 года назад

      @@alsamali6964 inaonekana kwamba umeelewa maandiko yangu.

    • @amoury1481
      @amoury1481 2 года назад

      Yesu si Mtakatifu,Nabii Issa Ndo Mtakatifu.Na Kama Kufuata Maiti Mbona Mitume Wengi Wamekufa Kwa Hiyo Hamuwafat Mnawapuuza

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 2 года назад

      @@amoury1481 Hiyo ni maneno yako. Nyinyi mnafuata marehemu Muhammad, sisi tunafuata Yesu Kristo aliye hai. Sisi ni wafuasi wa Yesu, apana wafuasi wa mitume.

    • @nih-lantsalum7104
      @nih-lantsalum7104 2 года назад

      Kasome kwanza hata kiswahili hujui sio korohani ni QUR-AN MUHAMMAD MAREHEM YESU NI NANI NA MUNGU KAFA WEWE UNAPEWA UHAI NA NANI MUOGOPE MUNGU ALIE KUUMBA WEWE ADHABU HUZIWEZI

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 3 месяца назад

    Nyinyi ndungu zangu shida zenu amutaki jina la yesu iyo jina uwamisa sana nyinyi kube nyinyi muliomua yesu

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa1842 Год назад +1

    Mashalah wafundishe shekhe wetu mwenyeezimungu akufanyie wepes wakilakitu unachokifanya

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 2 года назад +4

    Allah akuhifadhi🤲🤲🤲sheikh wetu mazinge na ma sheikh wote wenzako unafanya kazi nzuri sana

  • @shamimnassor6192
    @shamimnassor6192 2 года назад +4

    💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕kuishi na kufa katika uislam

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      Upofu! Dini linao unganishwa na majini? Ukae na ufe hapo kweli? Unafikiri nini??

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Год назад

      Kbs mpnz lazm na me nif kwajil ya Lahillah ilallah insha Allah

  • @michaelchoaji5874
    @michaelchoaji5874 2 года назад +1

    Kamateni na mleteni Tena hapa. Na watu wakiwauliza mumjibu Mimi ndie nimemtuma.
    Unajua maana ya mwizi..!? Hahahahhaa mwizi asemi nendeni mkamkamateni. Mwizi huchukua bila ruhusa Tena kwa Siri sana. Tatizo ni elimu Sana elimu ndugu zangu waislam hamna. Em pateni Kwanza elimu

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 года назад +1

      sasa hoja iko hapaa unaaazimaje kitu cha kwako🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shokashara1511
    @shokashara1511 2 года назад +2

    Mazinge noma wacheni masihara

  • @bictonykeraryo3900
    @bictonykeraryo3900 2 года назад +3

    Masinge!!
    Masinge!!
    Uliisha shindwa na ndacha hoja nyingi.
    Wewe Yesu huwezi kumweelewa kwamba ninani, uombewe duwa usije kuwa mkristo, ukristo utaningia tu kwa sababu hoja za ndacha ni kali kwako.
    Mpaka kufikia kuombewa duwa na waislaam, umeshindwa hoja.

  • @teddclive1506
    @teddclive1506 Год назад

    Mazinge ni fala aki.., yaani anakuwa this petty na kuuliza maswali kama hizi

  • @dominicofabian2245
    @dominicofabian2245 2 года назад +1

    MashaAllah Mazinge, Ama kweli we ni profesa.

  • @basilejuma
    @basilejuma 5 месяцев назад

    Wacha uongo mligaragazwa na ndacha mwanzo mwisho

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 года назад +4

    Allah Akbar

  • @faridbashuu
    @faridbashuu 2 года назад

    Maashallah ❤️ Wakristo hoja hawana... Sarakasi tupu Tu... Aliye waambie wakuwe Wakristo ni Nani ? 😂😂😂 Uislamu Raha.

  • @aliissack7907
    @aliissack7907 11 месяцев назад

    Huku inakaa Mombasa ama ni wapi ustadh ibrahim xp

  • @AkinRodrigue
    @AkinRodrigue 13 дней назад

    Mazinge likolo💗💗💗💗💗💗💗💗💗

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt 8 месяцев назад

    Ndacha wewe nimuongo hufai kuwa mwalimu

  • @isayamathias3855
    @isayamathias3855 2 года назад +1

    Hahahaha kweli apa mazinge unabishana nawatu ambao sielewi ata wanachosema, yani ni wapumbavu

    • @gagablue3489
      @gagablue3489 2 года назад

      Mbona matusi mze

    • @isayamathias3855
      @isayamathias3855 2 года назад

      @@gagablue3489 its true mze ila ww tu hujui, anasthili kuitwa hivyo

  • @issajumamwinyi6191
    @issajumamwinyi6191 2 года назад

    EX PASTA IBRAHIM WEWE NI MUONGO KAMA MAZINGE TU......HEBU SIKILIZA JIBU SAFI KUTPKA KWA NDACHA .......CHUMA CHAKO NA MAZINGE KIMO MOTONI >>>>>> ruclips.net/video/IWAX_VmOdq0/видео.html

  • @minhajsahal4467
    @minhajsahal4467 3 месяца назад +1

    Allahumabarik sh mazinge

  • @eliasfesto4604
    @eliasfesto4604 2 года назад

    Sasa kumbe alisema atamrudisha,hajaiba,sas apo swala la wizi linatokea wap au ndo kujimwambafayi

  • @joshuamfizi4816
    @joshuamfizi4816 2 года назад +1

    Dhambi ya kuapa uongo.Kajibiwa Mazinge abatizwe

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 года назад

      kajibiwa vipi sasa hapo wakati punda hakumrejesha

  • @lileoh3893
    @lileoh3893 2 года назад

    Kwani shida yenu nini majini kiumbe binadam viumbe mungu anachotaka niwatu na majini wamuabudu 2 basi wewe unae muona jini hafai siku ya mwisho ataingia peponi wewe motoni

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад +1

    Mashaallah

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 14 дней назад

    Hakuulizwa punda wa nani. Ameulizwa aya lini yesu alirudisha punda. Aulizwa mbahazi ajibu ushuzi 😂

  • @jacksonmutunga4894
    @jacksonmutunga4894 2 года назад +4

    Tena alijibiwa vizuri sana.

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +2

    Chezea Mashekhe wetu uislam ni Dini ya Mungu bwana .

    • @thomasalchannel1135
      @thomasalchannel1135 2 года назад

      Dini ya Majini Waisema kuwa Ni Ya Mungu.Huu Ni Msiba

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 года назад

      @@thomasalchannel1135 lete andiko la hayo uliyo andika sio propaganda na uongo . Kafiri wa mkubwa wewe .

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 года назад

      @@thomasalchannel1135 kutuzushia uzushi tu nahayo Majini wakati nyie mna mapepo na mna abudu nayo na kulewa nayo kanisani na kucheza nayo Ndombolo.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 года назад

      @@thomasalchannel1135 Bora Jini hajakufuru kulikoni nyie mna Mapepo ambayo ni makafiri wenzenu . Pepo tokaaaa watoke waende wapi Kwa mfano na kiti cha Enzi cha Shetani kipo kanisani? 😀😀.

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 2 года назад

      @@thomasalchannel1135 Hamuoni ushirikina wenu wa kumshirikisha Mwenyezi Mungu nyie mmeona Majini Kwani Majini kayaumba nani Kwa mfano? Kuna kiumbe kimejiumba chenyewe hapa Duniani??Washirikina wakubwa nyie na kila mshirika makao yake ni Jehanam.

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 14 дней назад

    Lohhh ndacha ameingia mtegoni 😂 kweli mazinge ni professor

  • @iddysimba9723
    @iddysimba9723 2 года назад +1

    Ndacha Ajui kitu

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Год назад

      Anajua kul sadak😂😂😂😂 astakafilullah

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Год назад

      Anajua kul sadak😂😂😂😂 astakafilullah

  • @saimonlion6173
    @saimonlion6173 2 года назад

    WAISLAM NIAKILI NDOGO TU NYIE SASA MNASEMA YESU AMEIBA PUNDA JE UYO PUNDA NIWANANI?

  • @franciswakazambiatanzaia
    @franciswakazambiatanzaia 2 года назад

    My brother Ex pastor,Ndacha is Great teacher my brother

  • @halimahashim9891
    @halimahashim9891 Год назад +1

    Allah awajaze mashekhe wetu

  • @yohanakomando4942
    @yohanakomando4942 2 года назад +2

    Mchungaji ndacha uko vizuri

  • @Mohamedomarabdi-l4y
    @Mohamedomarabdi-l4y 2 месяца назад

    mashaaalah shirk wetu

  • @fredodhiambo630
    @fredodhiambo630 2 года назад

    Asie mjua yesu. ndie anaetaka kufanya kua masihi mwizi ole wenu mnae cheza na neno la mungu kuita roo wa mungu kua mwizi. Msifany mchezo na roo wa mungu ambaye ni kristo yesu.

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 2 года назад +1

    huyu ndie mazinge haumuezi ndacha washa kubabaika

  • @mwanamkemwebrania9530
    @mwanamkemwebrania9530 2 года назад

    Wewe Ibrahim, itakusaidia nini ukiupata ulimwengu wote na kupata hasara ya nafsi yako???

  • @nadinemunezero227
    @nadinemunezero227 Год назад

    Ndacha mungu akupe mwisho mwema mimi Murundi

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 2 года назад

    Nyinyi waislamu?? Yesu alisema nendeni mahali Fulani....Yani yesu anajua ni wapi alikua anawatuma... kumanisha Kila kitu ya hii Dunia anajua...kumanisha ni yake.....kwani wewe uwezi ukajua Mali yako duniani?

    • @hanahassan5233
      @hanahassan5233 2 года назад

      Yesu wapi amesema ye ndo mungu how comes en yesu alienda msq pkee wapi alienda kanisa

  • @farahanabdallah
    @farahanabdallah Год назад

    Za

  • @elishajuma179
    @elishajuma179 Год назад

    Ndacha kiboko God bless you uzidi kuwanyoosha

  • @musatv3745
    @musatv3745 2 года назад +2

    Huyu ndacha hawezi jibu swali Kama linavosomwa kwenye vitabu hujibu avojua yeye

  • @amblozambloz8812
    @amblozambloz8812 2 года назад

    Swali limejibiwa vizuri sana .. huyo mazinge ni mnafiki

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 2 года назад

    Mada hizi tamu saana.
    Kumbe NJAA nazo nishidaa!!!

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 2 года назад

    hawa wakristo hawamuamini mtume muhammad lakini qur an kashushiwa mtume muhammad😁😁😁😁😁😁

    • @kimsi682
      @kimsi682 2 года назад

      Muhamadi, amewahi kubaka mtoto wa watu?? Amewahi kuangiza ntu yeyote auawe? AMEWAHI???

  • @aliissack7907
    @aliissack7907 11 месяцев назад

    Wazimu huyu ndacha

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 года назад +1

    Huyo kafiri 2 kazi kurtadisha watu ,ndacha hafui dafu mbele ya ustadh habib othuman mazinge n ustadh wetu mola atuhifadhin pamja n mashekh wetu amiin yaarabaliaalaamiin

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa1842 Год назад

    Sintochoka kukufuatiria shehe wetu

  • @rashidmohamed1903
    @rashidmohamed1903 2 года назад

    Wewe Ndacha humuwezi Mazinge ukristo wenyewe huujuwi kiswahili kinakupiga chenga yaani upo upo tu

    • @thomasalchannel1135
      @thomasalchannel1135 2 года назад

      Leteni Hoja Mazinge hana lolote la kumbabaisha mkristo

    • @henrygitaungigi7793
      @henrygitaungigi7793 2 года назад

      Hoja nikujiazima?????? Hebu tafakari yale maneno ya huyo mzee mazinge, hivi nikuuliza nani aliyeziumba mbingu na dunia na vyote vilivyomo!!!?¿?

    • @thomasalchannel1135
      @thomasalchannel1135 2 года назад

      @@henrygitaungigi7793 Yesu ndiye aliyeumba (Ni NENO La Mungu) Anamiliki vyote