Ndacha Ashindwa Kubatiza Professor Mazinge Atapatapa Baada Ya Kushindwa Kujibu Swali.
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- XPTV IS NOW ON GOOGLE PLAY STORE Apart from Videos and Live Streaming of Daawa activities other features included in the XPTV Android App include: 1. XPTV LIVE 2. XPTV Lite Version 3. Free Islamic Books 4. #Africa4Islam 5. Twitter Updates 6. Chat with XP 7. XP Daawa Website Plus many more Comparative Da'awa material
To Download XPTV Click this link: bit.ly/41zgqD6
___________________________________________________________________________________
OTHER APPS BY COMPARATIVE DAAWA APPS BY XPTV:
1. Abass Online TV - App on Google Play
bit.ly/3IvUO2V
2. Ahmed Deedat Books - App on Google Play
bit.ly/3pQ8grU
3. Angels and Jinn - App on Google Play
bit.ly/3Ot9O5v
4. Comparative Da'awa Books - App on Google Play
bit.ly/3ML76ae
5. Judai 001 - App on Google Play
bit.ly/42Xgsp2
___________________________________________________________________________________
YOUR SUPPORT FISABIILLAH CAN BE A STEPPING STONE TO THE NEXT LEVEL OF DA’AWA IN AFRICA To support daawa Lipa na MPESA Till Number 5266153 (buy goods) or Mpesa Direct. 0724500984 (Name: Lemmy Easter) For more Comparative Daawah Videos and daawa info, visit bit.ly/xpdaawa Africa For Islam Daawa Tour featuring Ex-Pastor Ibrahim (XP) _____________________________________________________________________________________#Whatsapp_254724500984 #Support_Daawa #AhmedDeedat #Mazinge #Muhadhara #IbrahimXP #Islam #Daawa #Reverts #Kusilimu #Jesus_is_not_God #DiniYaHaki
MAELEZO ZAIDI
#ibrahimxp #africa4islam #debate #Eastleigh ____________________________________________________________________________________TAFADHALI SOMA HAYA MAELEZO HAPA CHINI __________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________________Asalaam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatu Baraka Allahu Fiikum for supporting this work by subscribing and sharing our content. A MUST WATCH; Latest XPTV Live Streams To watch this Playlist click on the link below. ____________________________________________________________________________________ bit.ly/3H6stja ___________________________________________________________________________________
XPTV IS NOW ON GOOGLE PLAY STORE Apart from Videos and Live Streaming of Daawa activities other features included in the XPTV Android App include: 1. Free Islamic Books 2. #Africa4Islam 3. Twitter Updates Plus many more Comparative Da'awa material To Download XPTV App on Google Play Store Click this link: _____________________________________________________________________________________bit.ly/41zgqD6
____________________________________________________________________________________JIUNGE NA KAZI HII FISABILILLAH (Swahili/English) /BE PART OF THIS WORK FISABILILLAH ____________________________________________________________________________________ MSAADA WAKO FISABILILLAHI YAAWEZA KUWA SABABU YA KUFANIKISHA DA'AWA BARANI AFRIKA Kwa mujibu wa kazi inayotukabidhi ya kuendeleza daawa tunahitaji msaada wako (Sadaqatul Jaariya) ili kuendelea kutoa da'awa muhimu kwa watu wanaohitaji ujumbe wa Tawheed ya Kiislamu na kuwafikishia ujumbe wale ambao haijawafikia. Tujuavyo Uislamu ni huru kwa watu wote ila kuupeleka kwa wasio Waislamu ni ghali sana. Simama nasi kuchukua ujumbe wa kutoa wasio kuwa Waislamu kwa giza na kuwafikishia Uislamu (Tawheed) kokote walipo ambao wanasubiri tu mtu awaambie kuhusu Uislamu. NAAMINI SOTE TUNA MALENGO YA PAMOJA KATIKA MAISHA HAYA SASA NA KESHO AKHERA. In Shaa Allah kwa sadaqa yako, bila kujali kiasi, mtu atasikia juu ya Mwenyezi Mungu na dini yake ya kweli ambayo ni Uislamu kwa mara ya kwanza kabisa leo. Mwenyezi Mungu akulipe kikamilifu na akupe Jannah na akulinde dhidi ya fedheha siku ya Qiyama kwa mchango wako wa ukarimu Aamin. _____________________________________________________________________________________ YOUR SUPPORT FISABIILLAH CAN BE A STEPPINGSTONE TO THE NEXT LEVEL OF DA’AWA IN AFRICA In this connection we need your help to continue to provide essential da’awa to people who need the message of Islamic Monotheism (Tawheed) and reach out to the unreached. Islam is free to all, but taking it to the non-Muslims is very expensive. Stand with us to take the life-saving message of Islamic Monotheism (Tawheed) to the lost and unreached souls around the World who are just waiting for someone to tell them about Islam. WE HAVE A COMMON GOAL IN THIS LIFE AND IN THE HERE AFTER. Because of your support, no matter the amount, someone will hear about Allah and His true religion that is Islam for the very first time today. May Allah fully reward you and grant you Jannah and protect you from shame on the day of judgement for your most generous donation. BARAKA ALLAHU FIKUM
MashaAllah Tabaraka Allah, Mazinge Allah azid kukuhifadhi na akulipe kila la kher fill Dunia wall akhera
Mashaallah mazinge upo vizuri
Takbri Allahu Akbar,Maa Shaa Allah, Alhamdhulillah.
Shukran habibi mazinge leo umempata huyo anaejivuna na ukafiri wake kwa kupewa kigari ndacha mkorofi
Insha'Allah
Allah akuhifadhi proffesor Habib Mazinge
Huyu ni mtumish washetani soma ufunuo 2 12 13
Quite Ex pastor Still Ndacha is eating Mazinge piece 🥧🍰 by🍮piece just wait ✋you will see the next debate to come because I have never understood Mazinge's message in all the podiums
Mungu anusuru masheik wetu Allhamdulilah
Mashalah she mazinge
Mazinge hakutumia maandiko kisawasawa. Amejibiwa vizuri, shida anayo ni uamzi wa kubatizwa. Amemshtaki Bwana eti ameiba mali yake mwenyewe. Mbone watu wanakufa na bado hawajashtaki Bwana kosa ya uuaji? Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana
Ndacha is Best
Ndacha ndacha weee ni hatari
Muhammad karogwa na pia kafanyiwa upasuaji katolewa mashetani.......alaaaaaaaaaaa!!
Hili kafiri mazinge linastahili kubatizwa lakini ni liongo,,,,linafiki,,,,limeshindwa liende kwao tanga
Mazinge Sio Kafiri,Kafiri Ni Mtu Asiye Muislam Na Mazinge Ni Muislam
Wewe Ex pastor na Mazinge Mpingeni Yeye Ambaye Mungu alimtakasa(Yesu Kristo) na kuikanyagia damu yake.Maadam hamtubu Motoni mnaingia.
Mnafiki ukijibiwa kubatizwa hutaki
Huyu Ndacha kama kawaida yake ananukuu kipande cha aya ili ashinde, huu ni ujanja qa kitoto.aya yenyewe.ni hii :"Ewe Nabii! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Mwenyezi Mungu? Unatafuta kuwaridhi wake zako. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu."huyu Ndacha muongo sana. Hamtambui Muhammad, anasema quraan ni uongo,cha ajabu anaitumia.sasa anaiyambua aunhaitambui?
waislamu nawahurumia sana na tena sana, koran yenu yenyewe inasema Yesu ni mtakatifu, na nyinyi mnasema Yesu ni mwizi, mbona mnapinga kitabu chenu? Confused people on earth.
Leta aya shem
Siku ingine kuja na huyo msomaji wako huyu hajui
Waklisto wamechukua jina la yesu waislam tumechua dini laha sana
Dini ni kiwango cha juu kabisa cha Upumbavu wa binadamu.
mazinge akupe andiko, ni wapi mwenye punda alisema/alilalamika, punda wake kaibiwa? hata yeye alijua kma hakuwa wake.
Very Good!! Huyu Mazinge ni mtu mwenye ujaja wa maandiko kutoka kwa shetani mwenyewe. Ndini la manjini!
sasa kama punda ni wa Bwana na Yessu ndie Bwana sasa mbona alisema atamrudisha swali halijibiki
Kwani mwenye punda alikua nani,
Alijibiwa vizuri mazinge semeni mnakataa ukweli,kama hakujibiwa basi mazinge aseme punda alikuwa wa nani???? Ikiwa hakubaliani/hamkubaoliani na jibu alilopewa.wapuuzi nyinyi!
sasa kajibiwa vipi wakati punda hakurejeshwa🤣🤣🤣🤣 mbona nyie wakristo biblia ya kwenu ila hamuijui ivi kweli kabisa
@@salumabdallah2990 kwahiyo kama hakurudishwa wewe ulisoma wapi kwa bibilia kwamba huyo punda alisulubishwa pamoja na kristo???? Au walimchinja wakamla kwa sherehe? Acheni upimbi.sikiliza vizuri"punda ni WA bwana kwakuwa Mali yote ni ya bwana,aliyeitisha punda ni bwana,Ulitaka arudishe wapi? Pili kama punda hakuwa wake jiulize akijuaje Kuna punda mahali amefungwa na mwanapunda?
@@sheledeshele1048unaona sasa unajichanganya nani kasema punda kasulubiwa hapa nani kasema ivo?
@@salumabdallah2990 wewe hapo ndiye unataka kujua alikoenda au alikopelekwa,usihepe swali nijibu.
@@sheledeshele1048 tatizo lako husikilizi vizuri na ndio maaana munapotoka
Watu wamepita na punda wa watu du
MashaAllah Babu umekuwa tupe raha Allah hakupe afya njema nahakunusuru na vijicho vya dunia
😂😂😂😂 konki sheikh othman mazinge, ALLAH akupe umri mrefu in sha ALLAH uweze kuwapa da'awa makafiri
Watu wanatafuta utajiri kwa udi na uvumba.Yuko tayari kumkufuru Allah (S.W.T) ili mradi mkono uende kinywani!! Mweyeezi Mungu anawaona atawajaza motoni.
Masha'allah , Jazakallah Masheikh wetu kazi ngumu mnafanya ila malipo yenu kwa Allah insha'allah.Allah awaongoze ,awazidishie umri afya na afua .
In shaa ALLAH
.malipo moto wamilele
@@meshakinelisoni1176 hujakosea kwa makafiri
masheikh wetu Allah awape nguvu na afya njema na hekma muzidi kupambana na hawa makafiri
ruclips.net/video/IWAX_VmOdq0/видео.html
@@husseinguyo4379 kafiri tena
makafiri wote motoni na makafiri wenyewe wanajua wao wanaenda kuungua waislam wenzangu tumshukuru mungu kwa kutupa dini ya haki
ruclips.net/video/IWAX_VmOdq0/видео.html
Ukafiri ulianza mecca..so hata wewe Jehanamu inakungojea
Yesu ni mfalme na pia mwokozi. Nyinyi waislamu mhache upofu wa maandiko. Mhache ujaja wa kusoma mstari mmoja na kupindua pindua maandiko
Lakini tunanjua mnasukumwa na majini na mnafurahia hayo yote. Mnavyio mshangilia mazinge, hivyio, siku inakuja mtamtusi sana vile kawapeleka kuzimu
Yesu pia, ni Mungu na sisi.
😅😅😅 Wajinga na walevi wa dini nyie kweli, wewe ni nani ujue wa kuenda na wasio enda mbinguni. Wewe ni mjinga tu wa kawaida
Kafiri nikafiri tu,kwanini yesu aliaidi atamrudisha?
wewe ex-pastor ni muongo sana. Hukiwa pastor ulikuwa bado muongo. There is no a true christian anaeza mwacha Yesu aliye hai amufuate marehemu mohammad. shetani ni muislamu na majini pia ni waislamu, hiyo ni dini gani kweli. ole kwako.
Waisram ni waongo na wabishi tu,sasa utamuitaje mwizi mtume mwizi mbele ya umati wakati unamuita mtume wa mungu alietangilia muhamad? Na BIBLIA inasema sio kila kitu kimeandikwa na haiwezekani
Mshezi mmoja wewe eboo unasem waislm waongo punda wewe INNADDINA INDA LLAHL ISLAM
Nimesikia aya ndacha alivyoivuruga..
Allah amuongoze
ruclips.net/video/IWAX_VmOdq0/видео.html
Ameen jmn sikwakuivuruga vile
Huyo ndo maxinge
Wapi aya yesu kaiba tena kama ww mazinge mkweli si ungesema punda alikuwa wa nani?
MashaAllah MwenyeziMungu amewapa ujasiri uislamu raha Allahu akbar
Professor Mazinge needless to say won this debate
ruclips.net/video/IWAX_VmOdq0/видео.html
Eric phillip.sio Mazinge. Aliesema.yesu kaiba Punda.ni.bibilia.yenu wacha kupayuka.soma bibilia.bblia wacha kubebwa na.mchungajii
@@halinishibakari5402 kaandikwa wapi?
@@hopedavid1556 Je hilo andiko linalohusu punda hujalisikia? Je ikiwa Yesu aliazima,ni wapi amemrejesha yule punda? Hapo inabidi uelewe tofauti ya "kuiba" na "kuazima", je unaijua..?
Wewe na mazinge aliye na uwezo wa kusilimisha mpaka padri wako aliyekufundisha vistari vya kulia viela .kwa walokole We na mazinge nani anayeijua bibilia?pumbafuu we!
Kwani huyu ndacha aliritadi tena si nilimuona amekua muislamu na mkewake mkisii, akitabiri yeye mwenyewe kwamba wanafanya kununuliwa, na inabidi wapinde ulimi ili pence ukweli katika qur'an wapabadilishe ,ili paonekane pana makosa, ili wapate kupata kulipwa pesa kutoka kwa wale wanaowalipa
Sie yule ni watu wa will tofauti
Labda uliona pepo. Hajawahi kuwa mislamu. Pia ukasema wanao mlipa. Kina nani hao? Mazinge nani anamlipa?
@@hamzagandara5071 Mazinge! Hilo fikira kanipita kichwa.
Njaa inamuhangaish 😅😅😅😅
Hey 👋Mr ex pastor I see you darling..But still we didn't see in the bible the owner was looking for his Donkey # Give Ndacha the verses from the bible..... Who's the owner of the Donkey complain 🤔 Ndacha can't be convinced with such comedy like Mazinge 🤣
Yaani, waisilamu wameshindwa kabisa na hoja hadi wameanza kumwekea Yesu dhambi kwa kutoelewa Bibilia?
jibu hojaaaa
@@salumabdallah2990 hapo kuna hoja gani?
Waislamu kweli kwa fichwa vyao wanafikiri Yesu ni mwizi kweli? Ufumbafu na upofu ngani huo??
@@TUnech7 Basi nipe adiko kutoka kwa mwenye punda akilalamika eti Yesu kaiba punda wake na ajamrudishia. Unaona vile Mazinge ana ujaja? Anajua hii sio kweli mbali anauliza! Tena anaaza kuapa!! Nipe hii jimbu sasa bila kwenda kushauriana na wenzio waislamu ili mlete ujaja wa maandiko! Ni wapi tunaona mwenye punda akilalamika eti Yesu kaiba punda wake? Mwenye punda hakusema punda imeibiwa na mwizi anaitwa Yesu!
Tena nyinyi mnajua mwizi hatoi taarifa adharani eti anaeda kuiba punda. Anajiadhari kuiba bila kuonekana na yeyote asijulikane ndio ashitakiwe. Hatuoni maala popote Yesu kashitakiwa kwa kuiba punda wa mtu!! Wacheni ujaja wenu wa maandiko. Tena muwe logical mnapo jibu. Pia hapa sio upande gani kashida. Uhuh. Ni kusikiza na kutafuna yanayosemwa wewe mwenyewe uone kama ina-make sense. Ujisomee wewe mwenyewe maandiko. Omba Mungu na Roho wa Mungu akusaidie uelewefu wa maandiko. At the end of the day, hatutasimama mbele za Mwenyezi Mungu na wenye kujandiliana mada. Kila mtu na mziko wake mwenyewe Mbele za Mungu. Ndio mimi sitengemei akili ya mtu yeyote kuniongoza vile mada zinaenda. Unajisomea wewe mwenyewe!
@@TUnech7 Hivo basi Yesu mwizi?? Baada ya Mazige kumwita Yesu mwizi, waislamu wamekwama hapo! TIRex, Biblia inatuonya vikali kwamba, MSITOE CHOCHOTE KWA BIBLIA, NA MSIONGEZEE CHOCHOTE KWA BIBLIA.
Be silent where the bible is silent. Do NOT add anything or remove ANY!
Wee pita tu kwa njia ya mazinge na akili zake. Wee na mazinge endeleeni kuita Yesu mwizi. Wale wanaelewa Yesu ni nani, na kaja nduniani kufanyani watakimyia.
Ndacha na huyo murtadh mumedhihirishiwa haki na ustad wetu Mazinge lakini Kwa kuwa mko mbishi mkamkataa,haya mtayaona makaburini punde tu roho zenu mkitolewa ,msifanye masihara mambo na dini ,ulimwengu muiache kabisa si yoyote musilimisheni Nafsi zenu ...muda upo mutubu kwa Allah mkiwa bado muko hai....ni hasara kwenyu mkifa kafiri....huyo murtadh harakisha sababu kila mmoja ameandikiwa siku zake za kuondoka duniani...haujui muda uliobaki.....kaburini maswali yapo....amali muhimu......bado ALLAH anawapenda enyi mnakathibisha kitabu Cha ALLAH.....
Unafaa kueleea kitu kimoja, Mungu Hajali NDINI LAKO!! ZINGATIA HIRO SANA! Mwenyezi Mungu katupa Yesu Kristo aje nduniani kutuokoa. Shetani kaletea watu ndini nduniani! Mbinguni hakuna ndini!! Mungu hatakuuliza ulikuwa wa ndini ngani? Tafakari hayo!! Utaukumiwa, kwa kutokuwa na imani kwa MBWANA Yesu kama Mwana wa Mungu na mwokozi na pia matendo yako nduniani! Eti nyinyi mnaita Yesu mwana wa mariamu! Hamjui...ama mnakataa kifofu fofu tu kuwa Yesu ni mzee kuliko mariamu! Yesu ni Mfalme wa wafalme! Mohamadi atahukumiwa na Yesu! Think about that my friend. Jisomee Biblia mwenyewe. Na mhache kusema eti it's been corrupted. By who? Tushaa jua, hivyo ndivyio mnafundishwa kusema. Omba Mungu akufafanulie uelewaji. Wacha kutengemea AKILI za Mzee Mazinge, mjaja wa maandiko kama wapharizayo. Yesu mwenyeee kapingana nao pia. Roho wa Mungu akufundishe na akuzaindie!
ALIMJIBU VIZURI SANA NYINYI NDIO HUWA HAMUELEWI MAMBO
Kafiri siku zote Hana Elim kaa kimy
Sio dini itakupeleka mbinguni ama motoni ni matendo yako pekee. Ole wenu nyinyi mafarisayo mnajifanya mnajua dini sana.
Wislamu neema, raha, dini ya haki mbele ya Allah. Waislamu peponi makafiri makristo motoni.
Sawa acha tuone,,,huu wenu n ufuasi tu maana ata dunia ikaisha leo hutaenda peponi ww maana hufanyi pia inavotaka quran
Hahaha!
Mwamedi aliwaweza sana aisee! Mmepigwa!
Hujitambui mwanamke wewe. Unashabikia dini inayotweza uanamke wako, ambayo mtoto wa kike anaweza kuolewa akiwa na miaka 9 na ni sunna. Dini ambayo sheria zake zinamkandamiza mwanamke na kutukuza tamaa za ngono za mwanaume kwa kumpa haki ya kuoa wake 4. Na imeona haitoshi mwanaume huyu na huko peponi atapewa hadi mabikira 72 wa kufanya nao ngono. Yaani duniani mnaolewa wake wenza hadi wanne na huko peponi wanaume wenu wanaenda kuongezewa na mabikira 72, yaani wanawake ni viumbe wa kutumika kingono tu kuanzia duniani hadi peponi. Mnaacha kumfuata nabii Issa ambaye mimba yake ilitungwa kwa mbegu isiyokuwa ya kibinadamu, aliyezungumza kama mtu mzima akiwa kitoto kidogo, akaishi maisha akifanya miujiza kama kuumba ndege, kufufua wafu, kuponya n.k., ambaye hakuwahi kuoa wala kufanya uzinzi ktk maisha yake aliyoishi, ambaye hakufa bali Allah alimchukua kimiujiza na kumuweka mbingu ya pili, ambaye atarudi mara ya pili kama ishara ya kukaribia kiama. Mmekuwa vipofu wa akili kwa kumpuuza Issa na kumuamini Mwamedi aliyezaliwa kama sisi, aliyekuwa mzinzi mzinzi tu kwa tamaa za kuoa wanawake 12 ukimuacha Hadija, aliyekufa kibinadamu kama tunavyokufa sisi. Mnashindwa kuona tofauti kubwa ya Issa na Mwamedi. Mnasema aliteremshiwa Kurani, nani alikuwa karibu yake wakati muujiza huo ukitokea anayeweza kuthibitisha? Mmepigwa nyinyi, ni bora kutokuamini kabisa kuliko kuamini Ujinga na kuuona ni ukweli. Kwanza wewe Muafrika Uislamu umepandikiziwa na Waarabu tu. Hao wenyewe waliokuleteeni dini wanalipuana wenyewe kwa wenyewe kwa jina la dini mnayosema eti ya Haki.
Jesus is not God Mark 13:32 John 5:30
Niatari kweli, wakristo hoja zao zaifu
Uyu Mzee Mazinge akili zishakua z kijitu kizima kazi awaachie wakina Kinyogoli, Bakoz, Shafi n.k. alafu kitu ambacho namshauri huyu mzee Mazinge n kua aache mnn haya ya kusema "ntauacha uislamu" hayafai kabisa yan..
Wewe inaonekana ni mchawi tena wa wazi wazi kbs haiwezekani kazi anayifanya huyu mzee ww unaichklia kihivyo sms yako imejaa negativity, mungu akulipe
Yani kweli ww ni mpumbavu
Ndacha na wafuasi wake motoni.
😂😂😂 Allah awaongoz insha Allah
asalaam aleikuum sheikh mazinge acha hasira wakati wa mazungumzo asalaam aleikuum
Ndacha kasome kwanza lugha ya kiswahili bwana 😀😀 ni MTU SIO MUTU MUTU .
Mkenya uyo mutu kwenyu ndo wanavoongea
Kweli Ndacha ni MWENDAWAZI,MWEHU.A na ongea MATAPISHI.
Poleni nyinyi wafuasi wa marehemu Muhammad. Hadi mnapinga korohani! Korohani inasema Yesu ni mtakatifu. Nyinyi mnasema korohani inasema uongo? Kukuwa mfuasi wa marehemu Muhammad ni balaa kabisa
Inaitwa qur an sio korohani
@@alsamali6964 inaonekana kwamba umeelewa maandiko yangu.
Yesu si Mtakatifu,Nabii Issa Ndo Mtakatifu.Na Kama Kufuata Maiti Mbona Mitume Wengi Wamekufa Kwa Hiyo Hamuwafat Mnawapuuza
@@amoury1481 Hiyo ni maneno yako. Nyinyi mnafuata marehemu Muhammad, sisi tunafuata Yesu Kristo aliye hai. Sisi ni wafuasi wa Yesu, apana wafuasi wa mitume.
Kasome kwanza hata kiswahili hujui sio korohani ni QUR-AN MUHAMMAD MAREHEM YESU NI NANI NA MUNGU KAFA WEWE UNAPEWA UHAI NA NANI MUOGOPE MUNGU ALIE KUUMBA WEWE ADHABU HUZIWEZI
Nyinyi ndungu zangu shida zenu amutaki jina la yesu iyo jina uwamisa sana nyinyi kube nyinyi muliomua yesu
Mashalah wafundishe shekhe wetu mwenyeezimungu akufanyie wepes wakilakitu unachokifanya
Allah akuhifadhi🤲🤲🤲sheikh wetu mazinge na ma sheikh wote wenzako unafanya kazi nzuri sana
💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕kuishi na kufa katika uislam
Upofu! Dini linao unganishwa na majini? Ukae na ufe hapo kweli? Unafikiri nini??
Kbs mpnz lazm na me nif kwajil ya Lahillah ilallah insha Allah
Kamateni na mleteni Tena hapa. Na watu wakiwauliza mumjibu Mimi ndie nimemtuma.
Unajua maana ya mwizi..!? Hahahahhaa mwizi asemi nendeni mkamkamateni. Mwizi huchukua bila ruhusa Tena kwa Siri sana. Tatizo ni elimu Sana elimu ndugu zangu waislam hamna. Em pateni Kwanza elimu
sasa hoja iko hapaa unaaazimaje kitu cha kwako🤣🤣🤣🤣🤣
Mazinge noma wacheni masihara
Masinge!!
Masinge!!
Uliisha shindwa na ndacha hoja nyingi.
Wewe Yesu huwezi kumweelewa kwamba ninani, uombewe duwa usije kuwa mkristo, ukristo utaningia tu kwa sababu hoja za ndacha ni kali kwako.
Mpaka kufikia kuombewa duwa na waislaam, umeshindwa hoja.
Ww hunaakili kama ndacha
Mazinge ni fala aki.., yaani anakuwa this petty na kuuliza maswali kama hizi
MashaAllah Mazinge, Ama kweli we ni profesa.
Wacha uongo mligaragazwa na ndacha mwanzo mwisho
Allah Akbar
Maashallah ❤️ Wakristo hoja hawana... Sarakasi tupu Tu... Aliye waambie wakuwe Wakristo ni Nani ? 😂😂😂 Uislamu Raha.
Huku inakaa Mombasa ama ni wapi ustadh ibrahim xp
Mazinge likolo💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Ndacha wewe nimuongo hufai kuwa mwalimu
Hahahaha kweli apa mazinge unabishana nawatu ambao sielewi ata wanachosema, yani ni wapumbavu
Mbona matusi mze
@@gagablue3489 its true mze ila ww tu hujui, anasthili kuitwa hivyo
EX PASTA IBRAHIM WEWE NI MUONGO KAMA MAZINGE TU......HEBU SIKILIZA JIBU SAFI KUTPKA KWA NDACHA .......CHUMA CHAKO NA MAZINGE KIMO MOTONI >>>>>> ruclips.net/video/IWAX_VmOdq0/видео.html
Allahumabarik sh mazinge
Sasa kumbe alisema atamrudisha,hajaiba,sas apo swala la wizi linatokea wap au ndo kujimwambafayi
Dhambi ya kuapa uongo.Kajibiwa Mazinge abatizwe
kajibiwa vipi sasa hapo wakati punda hakumrejesha
Kwani shida yenu nini majini kiumbe binadam viumbe mungu anachotaka niwatu na majini wamuabudu 2 basi wewe unae muona jini hafai siku ya mwisho ataingia peponi wewe motoni
Mashaallah
Hakuulizwa punda wa nani. Ameulizwa aya lini yesu alirudisha punda. Aulizwa mbahazi ajibu ushuzi 😂
Tena alijibiwa vizuri sana.
Chezea Mashekhe wetu uislam ni Dini ya Mungu bwana .
Dini ya Majini Waisema kuwa Ni Ya Mungu.Huu Ni Msiba
@@thomasalchannel1135 lete andiko la hayo uliyo andika sio propaganda na uongo . Kafiri wa mkubwa wewe .
@@thomasalchannel1135 kutuzushia uzushi tu nahayo Majini wakati nyie mna mapepo na mna abudu nayo na kulewa nayo kanisani na kucheza nayo Ndombolo.
@@thomasalchannel1135 Bora Jini hajakufuru kulikoni nyie mna Mapepo ambayo ni makafiri wenzenu . Pepo tokaaaa watoke waende wapi Kwa mfano na kiti cha Enzi cha Shetani kipo kanisani? 😀😀.
@@thomasalchannel1135 Hamuoni ushirikina wenu wa kumshirikisha Mwenyezi Mungu nyie mmeona Majini Kwani Majini kayaumba nani Kwa mfano? Kuna kiumbe kimejiumba chenyewe hapa Duniani??Washirikina wakubwa nyie na kila mshirika makao yake ni Jehanam.
Lohhh ndacha ameingia mtegoni 😂 kweli mazinge ni professor
Ndacha Ajui kitu
Anajua kul sadak😂😂😂😂 astakafilullah
Anajua kul sadak😂😂😂😂 astakafilullah
WAISLAM NIAKILI NDOGO TU NYIE SASA MNASEMA YESU AMEIBA PUNDA JE UYO PUNDA NIWANANI?
My brother Ex pastor,Ndacha is Great teacher my brother
Allah awajaze mashekhe wetu
Mchungaji ndacha uko vizuri
Uzur wake uko WAP?
Ndacha ni mrongo
mashaaalah shirk wetu
Asie mjua yesu. ndie anaetaka kufanya kua masihi mwizi ole wenu mnae cheza na neno la mungu kuita roo wa mungu kua mwizi. Msifany mchezo na roo wa mungu ambaye ni kristo yesu.
Kwan yes alikuw mung
huyu ndie mazinge haumuezi ndacha washa kubabaika
kazi safi mazinge mashaallah
Wewe Ibrahim, itakusaidia nini ukiupata ulimwengu wote na kupata hasara ya nafsi yako???
Soma 11:34 wakorinto
Ndacha mungu akupe mwisho mwema mimi Murundi
Nyinyi waislamu?? Yesu alisema nendeni mahali Fulani....Yani yesu anajua ni wapi alikua anawatuma... kumanisha Kila kitu ya hii Dunia anajua...kumanisha ni yake.....kwani wewe uwezi ukajua Mali yako duniani?
Yesu wapi amesema ye ndo mungu how comes en yesu alienda msq pkee wapi alienda kanisa
Za
Ndacha kiboko God bless you uzidi kuwanyoosha
Huyu ndacha hawezi jibu swali Kama linavosomwa kwenye vitabu hujibu avojua yeye
.unataka ajibu unavyotaka wewe
Swali limejibiwa vizuri sana .. huyo mazinge ni mnafiki
Wazazi wako ndio wanafiq
Mada hizi tamu saana.
Kumbe NJAA nazo nishidaa!!!
hawa wakristo hawamuamini mtume muhammad lakini qur an kashushiwa mtume muhammad😁😁😁😁😁😁
Muhamadi, amewahi kubaka mtoto wa watu?? Amewahi kuangiza ntu yeyote auawe? AMEWAHI???
Wazimu huyu ndacha
Huyo kafiri 2 kazi kurtadisha watu ,ndacha hafui dafu mbele ya ustadh habib othuman mazinge n ustadh wetu mola atuhifadhin pamja n mashekh wetu amiin yaarabaliaalaamiin
Sintochoka kukufuatiria shehe wetu
Wewe Ndacha humuwezi Mazinge ukristo wenyewe huujuwi kiswahili kinakupiga chenga yaani upo upo tu
Leteni Hoja Mazinge hana lolote la kumbabaisha mkristo
Hoja nikujiazima?????? Hebu tafakari yale maneno ya huyo mzee mazinge, hivi nikuuliza nani aliyeziumba mbingu na dunia na vyote vilivyomo!!!?¿?
@@henrygitaungigi7793 Yesu ndiye aliyeumba (Ni NENO La Mungu) Anamiliki vyote