MUHUBIRI SHAFII AWATIKISA WAISLAM MBAGALA
HTML-код
- Опубликовано: 22 окт 2021
- #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.
Mwaipopo mungu akupe afya njema kwakazi Unafanya
Nakupenda kwajili Allah 💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙
AAMIIN
MAASHAALLAH..ALLAH awape umri mrefu wahadhiri wetu
Amiin
Yesu ni Mungu aliyekuja kushinda kifo wala hilo kama hamna imani hamiwezi kuelewa
Ma sheikh Allah awape nguvu na umri mrefu mihadhara irudi kama zamani inshaallah
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
inshaallah
Wallah cjutii kutoka kwenye ukristo na kuwa Muislam
ALLAH Akufanyie wepesi kaka
Allah qzidish iman yak kaka
@@saddybrezzy9777 Ameeeeeeen ndg yng
@@omarmohd181 Ameeeeeeen ndg yng
Ongera sana kwakuingia kwenye din ya haakki.
MashaAllah Allah akubarik sheikhe Shafii kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
SSP uyo Mashallah Shekhe Shafi nakupenda sanaa Kwa ajili ya Allah na Allah akuweke.
Amiin
Mungu ana waona kwa kazi kubwa mzazofana mashaalla
Hostazi shaffii mungu akupe umrii mrefu uendelee kuupgania uislamu nakupnda sana kwa ajili ya allah
tusemen alhamdulillah kwa kuzaliwa muislamu na pia kwa wale walioiona njia ya haki na kuifata Allah awalipe kila la kher
Alhamdulilah
Shekhe Mwaipopo Allah akuweke wewe na Mashekhe wenzako wote Ameen.
Shafii,wewe ni noma ,unatisha! Tunamshukuru Allah kwa kumuumba mtu muhimu kama wewe
Amiin
@@nuswemwaipopo9558 anatisha kwako la c kwa wakristo, atishe ye jini?.
@@jacksonnzai1593 he nimesema nini?
Mwenyezi Mungu awape wesi zaidi ili na sisi maamuma tufaidike na kuelewa dini ya kweri ni ipi (uislam)
Mungu akupe kila la kheri hapa duniani na kesho akhera
Masha allah shekh shafii🙏🙏
Du nimegudua kuwa bado sana watu kumuelewa Yesu Kristo....mbona maandiko mengine hamsomi mfano Yoh.1:1-5, 14 ukielewa hayo maandiko utajua kuwa Yesu ni nani....
Yesu alikufa na akafufuka mwenyewe, je ni mwanadamu yupi alifufuka mwenyewe?....
MashaAllah Shelkh Shafii shukrani
Maa shaa Allah Tabarak Allah
Maashallah mwenyezi mungu awalipe Kheir
Uyu mtu geniuz kuliko maprofesa wanaonifundisha mashaaallah!
Masha'Allah
Shukran sana mashekhe wetu
ASALAAM ALAIKUM. MAASHAA ALLAH. MAASHAA ALLAH. MAASHAA ALLAH. TABARAKA RAHMAN ALLAH AZIDI WA IBAREEK
Walaykum Salam warahmatullah wabarakatuh amiin
Ndo shaffi huyo Masha"Allah
Wewe hujui unalo sem wewe nimshabikitu wadini umeamua kuwafurahisha watu kwa ucheshi tu
Assalamu ãlaykum yaa akhey, vipi hali yako?
🤝
🤝
MashaAllah Sheikh Shafi Allah akuzidishie ilimu , uzidi kutoa watu kutoka kwa Giza kuwaleta katika Nuru kwa idhini ya Allah Subhanahu wataala
Mungu awabariki sana naomba muje na huku tegeta salasala kawe tunajifunza mengi mno
Shafiii mtoto wa kwa Aziza Ally hongera sana juhudi zako naziona na umri umeshakimbia duuuh
Alhamdulillahi niko mwisilalu na nife katika haki
MASHAA ALLAH!
Mashaallah masheikh wetu Allah awazidishi afyanjema
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Amiiin
Wakristu Tunakutakiakheri,,Kuhusu Dini Sote Tumezikuta,,Tuombeanekheri,,Tusikebehi,, Kifo Akichagui Sote Wamoja
Mashaallah shekh, Shafii, nakupenda sana
Mashallhaaa shafii khatalisana
Mkristo akisimama kumzungumzia Muhammad basi pia mue mnavumilia pia
We nini bwana
Maashaallah, jazaakallah lkheir
Maa shaa Allah tabarakaah Allah allah akuweke sana mashekh wetu
Jazaka Allah khaira shekh shafi
Shafi mashaallah tabarakaallah
Mungu akupe afya njema kwakazi Unafanya
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Shafii km Shafii Mmafia og❤️
Ma Shaa Allah
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Tubonyeze nini acha ujinga
Mashaallah kakangu shafi ww ni transformer ya Allah 💪💪💪watuzidisha imani na kututia nguvu
ALLAH AWAJAZE KHERI, BARAKA NA HEKIMA NYINGI SHK MWAIPOPO NA USTAADH SHAFI.. AAAAMEEEEIN
Shafii umenenepa mashallah
MashaAllah sheikh shafii, good job
She shafi kipaji kingne ich another talented
Mungu alionekana kwa Ibrahim kitabo ca mwanzo 18
Takibirr allahuakibarro.mashalla
Poleni sana msilolijua ni sawa na usiku wa giza mnajifurahisha tu hapo bila kusema Yesu hamnaga raha Mungu awasamehe siku ya kiama ndo mtajua Yesu ni nani tena mtaingia motoni jinsi mlivyo
Mashaallah Allah kareem
Asalam alekum:Mashallah,Mashallah Mimi ni mkenya nimefurahi sana kwahiyo mawaitha
Masha Allah,.. Sheikh wangu MUNGU akueke,.. Wallah chakushangaza kwani hawa wakristo hizi aya huwa hawazionii ama tatizo huwa liko wp,.. Biblia hujaijua wakimbilia Quran utaiwezaa ?
Masha Allah
MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏 Sheikh Shaafi
Shafiiiii...nakupenda kwa sababu ya ALLAH...na inshaAllah upate mapenzi ya ALLAH
Inshaa allah
Napendasana kufatiliamiazarayenu
HAKUNA NABII HAKUNA MTUME HAKUNA MUNGU NNJE YA YESU KRISTO KILA GOTI LITAPIGWA KILA ULIMI UTAMKIRI
subhanah alahh akbar
Mashalah
Masha Allah napenda kumsikiza Shafii
mungu. akuli. Sheik
Tunaomba Sana yule muhuni ndacha mutukamatie
Mashallah Allah
Mashaallaah mashekhe wangu
Mashaallah lugha fasaha tafsiri sahihi wakati muhimu ila tu ni kwa watu wenye akili Shafi asie kuelewa ni ambaye alishahukumiwa ukweli uko wazi hakuna kupindisha ukweli sifa za mungu ni hizi na sifa za mwana adam ni hizi sasa wee pinga kwa kuwa ulishamezeshwa clip ya YESU MUNGU na hilo mpaka kufa mpaka.........ALLAH Awape umri mrefu wenye manfaa kwa uma wa mtume Muhammad.
ماشاء الله شيخ شافي شماري الله يحفظه ويطول عمره
Ameen
Maa shaa allaj
Nema ya Allah jamani shafi amenenepa vizuli Allah akuwekeye wepesi kwakazi unayoyafany
Waislamu elimu ya Roho hamuna, na kamwe hamtokuja kuijua kweli mpaka Yesu atakaporudi mara ya pili kama alivyosema na mtaishia motoni.
ULIOKUFA NI MWILI, LAKINI ROHO YAKE HAIKUFA. NI MWILI ALIOUVAA NENO(Yesu ni Neno Yohana 1:1) NDIYO ULIOKUFA LAKINI ROHO YAKE HAIKUFA ILIENDELEA KUWEPO KAMA KAWAID.
👇👇
1Petro 3:18
18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; MWILI WAKE AKAUAWA, bali👉 ROHO YAKE AKAHUISHWA
Tunaposema Yesu alikufa ni Mwili ule aliouvaa ndiyo uliokufa, Lakini ROHO yake iliendelea kuwa hai kama kawaida, sio kama binadamu sisi, tunapokufa, tunakufa mwili na roho.
Safi
Ma Shaa ALLAH
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Kwa kweli kuelewa ni kazi ngumu
Waislamu munashangilia kitu msichokijua
Aamiin
MASHALLA aah🕌
Amiin
Asalamu Waislamu tunaomba tuwachangie taa za camera na maiki za ziada (kama navyo ona kigiza kikianza picha hazionekani)Mashekhe zetu kwani kila kiltu sio waombeombe tujiongeze
MashaAllah
Sheikh shaffi Allah akufungulia kila palipo fungika
Masjallah: Shekh shafii unapoongea lazima tu watu wacheke
Amina
Porojo tupu
Allah wa dhahiri,vipi
Ameen yaa a rabb
Ndio maana mnakula lakini mmechakaa .kwa kugusa mambo msioyajua undani . wake.tatizo mko kimwili zaidi. Kuna siri hamjaijua kuhusu yesu kristo
Twakupenda shafii😘
Na mi naeapenda
Maa Shaa Allah
Hawa wanaojadili haya wawe wakristo au waislam wamejaa upofu wa kifikra ama hawana kazi ya kufanya.
Serikali yapaswa kukemea haya
Mbona wakristo hawamtaji Muhammad kwenye mihadhara Yao?
Lakini waislamu wanakereka sana na jina kuu juu ya majina yote alilopewa Kristo,hapa duniani na huko mbinguni?
Atakaporudi tena itakuwaje?
Tam Sana
Kweli ni mtihani kuna makabila fulani hawaja tahiliwa lakini mungu wao yesu katahiliwa duu kweli ni vaisi vesa eti mpaka uwe na roho mtakatifu ndio maana zumaridi nae kawa ambia watu wake yeye ni mungu subhanallah Allahu Akbar hii ndio shida kukubali kila unacho ambiwa kisingizio roho mtakatifu mmm
Jaman waisalam mspige makofinyinyi
Ndivyo ilivyo kwa Yesu,, Mungu alijifunua kupitia umbo la kibinadamu, tunachoona ni mwili wa kibinadamu ambao Mungu yupo ndani yake;
👇👇
Waebrania 1:1-2
1 Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.
wakati Mungu yupo ndani ya Yesu,na yesu anaomba Baba yetu uliye mbinguni sasa ni mungu gani tena aliekua mbinguni anaomba wakati yupo ndani kamvaa yesu..ebu jaribu kuitumia akili ata kidogo basi
@@shabamuhidin634 Swali zuri umeuliza. Mungu wetu ni Mmoja, lakini hujifunua katika Wingi,, Katika Baba na Neno na Roho Mtakatifu na kubaki hivyo hivyo mmoja, Mathayo 28:19.
Neno(Yesu) alipofanyika mwili akiwa duniani alikuwa akiongea na Baba aliyekuwa mbinguni.
@@shabamuhidin634 Waislamu elimu ya Roho hamuna
@@frankmpembu2505 Paulo kakuingizeni mkenge mwenyezimungu ni mmoja tu na SI watatu Wala wanne
@@pamoles1303 Aliyekua mbia Mungu watatu nani? Soma Vizuri comments zangu
Uislamu ni Nuru uvaticani ni kupoteza muda
Jembe
Shafi kiboko
🤣🤣🤣🤣rahaaaa mpk ndani ya nafsi nakupenda bure kakangu kwa ajili ya Allah
Tunza ulimi shehhhh
Lack of spiritual leading
Sheikh Shafii huwa namkubali sana?
👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html
Acha kukashifu Dini ya wengine, nchi hii kila mtu ana uhuru wa kuabudu bila kukashifu dini ya mwingine
Sio thimotheo ya kwanza....ni ya pili
Jamani amna ufahamu wakujua uungu wa yesu ju nyie mlimjua Yesu bada ya yeye kuzaliwa, wakristo kumemfahamu tangu misingi ya dunia haijawekwa. amtaelewa ata mwisho unless muokoke.
Okokaa ww mwanzo kwenye kaburi utaliaa utatamani ungekua mwislamu tuhh
Shekhe sauti yake kama Dr Sule
Qur'an 29:47
47. Na namna hivi tumekuteremshia Kitabu (cha Qur'ani). Basi wale tulio wapa Kitabu CHA BIBLIA wataiamini (Qur'ani), na miongoni mwa hawa (washirikina) wapo watakao iamini. Na hawazikatai ishara zetu isipo kuwa makafiri.
Frank kuwa tu muislam mashallah unapendezea sana kaka
Eti mswalieni mtume, kwani wakati wake wauhai kashindwa nini kuswali mwamswalia nyie, amna
Hilo swali Waislamu mmelikwepa kujibu, "hii ni Qur'an bwana, kunavitu unatakiwa uwenavyo ndiyo uweze kuielewa" Kisha akakimbilia kwenye Biblia, na kuacha swali aliloulizwa, na hii clip mmeiweka nusu
Klip mbona zipo nyingi
@@pamoles1303 Hilo swali Mmeshindwa kujibu,,mmekimbilia kwenye Biblia, Biblia yenyewe hamuiwezi,Mnaisoma kama gazeti lenu Qur'an