MUHUBIRI SHAFII AWATIKISA WAISLAM MBAGALA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2021
  • #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
    Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.
    MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906
    ..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

Комментарии • 278

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 года назад +12

    Mwaipopo mungu akupe afya njema kwakazi Unafanya
    Nakupenda kwajili Allah 💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙

  • @omarmadzumba1632
    @omarmadzumba1632 2 года назад +13

    MAASHAALLAH..ALLAH awape umri mrefu wahadhiri wetu

  • @chriswasonga1782
    @chriswasonga1782 Год назад +1

    Yesu ni Mungu aliyekuja kushinda kifo wala hilo kama hamna imani hamiwezi kuelewa

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 2 года назад +7

    Ma sheikh Allah awape nguvu na umri mrefu mihadhara irudi kama zamani inshaallah

    • @maimunampole9894
      @maimunampole9894 2 года назад

      👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
      ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      inshaallah

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 2 года назад +18

    Wallah cjutii kutoka kwenye ukristo na kuwa Muislam

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 2 года назад +7

    MashaAllah Allah akubarik sheikhe Shafii kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +4

    SSP uyo Mashallah Shekhe Shafi nakupenda sanaa Kwa ajili ya Allah na Allah akuweke.

  • @ibrahimhamza832
    @ibrahimhamza832 Год назад +1

    Mungu ana waona kwa kazi kubwa mzazofana mashaalla

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi7585 2 года назад +1

    Hostazi shaffii mungu akupe umrii mrefu uendelee kuupgania uislamu nakupnda sana kwa ajili ya allah

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 2 года назад +4

    tusemen alhamdulillah kwa kuzaliwa muislamu na pia kwa wale walioiona njia ya haki na kuifata Allah awalipe kila la kher

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 2 года назад +3

    Shekhe Mwaipopo Allah akuweke wewe na Mashekhe wenzako wote Ameen.

  • @khaliddaud5352
    @khaliddaud5352 2 года назад +14

    Shafii,wewe ni noma ,unatisha! Tunamshukuru Allah kwa kumuumba mtu muhimu kama wewe

  • @tunudimandogreek9683
    @tunudimandogreek9683 2 года назад

    Mwenyezi Mungu awape wesi zaidi ili na sisi maamuma tufaidike na kuelewa dini ya kweri ni ipi (uislam)

  • @SakinaMuhsin-nc4zq
    @SakinaMuhsin-nc4zq 10 месяцев назад

    Mungu akupe kila la kheri hapa duniani na kesho akhera

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 2 года назад +9

    Masha allah shekh shafii🙏🙏

    • @evahenry7798
      @evahenry7798 Год назад

      Du nimegudua kuwa bado sana watu kumuelewa Yesu Kristo....mbona maandiko mengine hamsomi mfano Yoh.1:1-5, 14 ukielewa hayo maandiko utajua kuwa Yesu ni nani....
      Yesu alikufa na akafufuka mwenyewe, je ni mwanadamu yupi alifufuka mwenyewe?....

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +6

    MashaAllah Shelkh Shafii shukrani

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi9313 2 года назад +4

    Maashallah mwenyezi mungu awalipe Kheir

  • @Khmediy3241
    @Khmediy3241 2 года назад +17

    Uyu mtu geniuz kuliko maprofesa wanaonifundisha mashaaallah!

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 2 года назад +5

    Shukran sana mashekhe wetu

  • @hamoodalrawahy2026
    @hamoodalrawahy2026 2 года назад +5

    ASALAAM ALAIKUM. MAASHAA ALLAH. MAASHAA ALLAH. MAASHAA ALLAH. TABARAKA RAHMAN ALLAH AZIDI WA IBAREEK

    • @user-os9ul5iu5y
      @user-os9ul5iu5y 2 года назад

      Walaykum Salam warahmatullah wabarakatuh amiin

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 2 года назад +23

    Ndo shaffi huyo Masha"Allah

    • @barakamwekwa1413
      @barakamwekwa1413 2 года назад

      Wewe hujui unalo sem wewe nimshabikitu wadini umeamua kuwafurahisha watu kwa ucheshi tu

    • @saideomarnaimo8350
      @saideomarnaimo8350 2 года назад +1

      Assalamu ãlaykum yaa akhey, vipi hali yako?

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 2 года назад

      🤝

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 2 года назад

      🤝

    • @anwarambar6141
      @anwarambar6141 2 года назад +1

      MashaAllah Sheikh Shafi Allah akuzidishie ilimu , uzidi kutoa watu kutoka kwa Giza kuwaleta katika Nuru kwa idhini ya Allah Subhanahu wataala

  • @jumamakamba2212
    @jumamakamba2212 2 года назад +1

    Mungu awabariki sana naomba muje na huku tegeta salasala kawe tunajifunza mengi mno

  • @lovenessitiku6293
    @lovenessitiku6293 2 года назад +1

    Shafiii mtoto wa kwa Aziza Ally hongera sana juhudi zako naziona na umri umeshakimbia duuuh

  • @husseinismail5972
    @husseinismail5972 Год назад

    Alhamdulillahi niko mwisilalu na nife katika haki

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 2 года назад +8

    MASHAA ALLAH!

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 2 года назад +3

    Mashaallah masheikh wetu Allah awazidishi afyanjema

  • @dicksonluena3266
    @dicksonluena3266 Год назад

    Wakristu Tunakutakiakheri,,Kuhusu Dini Sote Tumezikuta,,Tuombeanekheri,,Tusikebehi,, Kifo Akichagui Sote Wamoja

  • @alrashdi2710
    @alrashdi2710 2 года назад +3

    Mashaallah shekh, Shafii, nakupenda sana

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 2 года назад +3

    Mashallhaaa shafii khatalisana

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 2 года назад +1

    Mkristo akisimama kumzungumzia Muhammad basi pia mue mnavumilia pia

  • @mwashambamakame4435
    @mwashambamakame4435 Год назад

    Maashaallah, jazaakallah lkheir

  • @maryambintukhadija1604
    @maryambintukhadija1604 2 года назад +3

    Maa shaa Allah tabarakaah Allah allah akuweke sana mashekh wetu

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 2 года назад

    Jazaka Allah khaira shekh shafi

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 года назад +2

    Shafi mashaallah tabarakaallah
    Mungu akupe afya njema kwakazi Unafanya

    • @maimunampole9894
      @maimunampole9894 2 года назад

      👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
      ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 2 года назад +3

    Shafii km Shafii Mmafia og❤️

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 2 года назад +6

    Ma Shaa Allah

    • @maimunampole9894
      @maimunampole9894 2 года назад

      👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
      ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html

    • @duniawadunia4824
      @duniawadunia4824 2 года назад

      Tubonyeze nini acha ujinga

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 года назад +1

    Mashaallah kakangu shafi ww ni transformer ya Allah 💪💪💪watuzidisha imani na kututia nguvu

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 2 года назад

    ALLAH AWAJAZE KHERI, BARAKA NA HEKIMA NYINGI SHK MWAIPOPO NA USTAADH SHAFI.. AAAAMEEEEIN

  • @faridayendayenda7664
    @faridayendayenda7664 2 года назад +3

    Shafii umenenepa mashallah

  • @ahmedabdirustu2193
    @ahmedabdirustu2193 2 года назад +2

    MashaAllah sheikh shafii, good job

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 2 года назад +1

    She shafi kipaji kingne ich another talented

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 2 года назад

    Mungu alionekana kwa Ibrahim kitabo ca mwanzo 18

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 2 года назад +1

    Takibirr allahuakibarro.mashalla

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 2 года назад

    Poleni sana msilolijua ni sawa na usiku wa giza mnajifurahisha tu hapo bila kusema Yesu hamnaga raha Mungu awasamehe siku ya kiama ndo mtajua Yesu ni nani tena mtaingia motoni jinsi mlivyo

  • @AminaAmina-on3yf
    @AminaAmina-on3yf 2 года назад +2

    Mashaallah Allah kareem

  • @user-hk9sg1vf5w
    @user-hk9sg1vf5w 2 года назад

    Asalam alekum:Mashallah,Mashallah Mimi ni mkenya nimefurahi sana kwahiyo mawaitha

  • @hamissuche6576
    @hamissuche6576 2 года назад +1

    Masha Allah,.. Sheikh wangu MUNGU akueke,.. Wallah chakushangaza kwani hawa wakristo hizi aya huwa hawazionii ama tatizo huwa liko wp,.. Biblia hujaijua wakimbilia Quran utaiwezaa ?

  • @yashoopatrickpatrick2286
    @yashoopatrickpatrick2286 Год назад

    Masha Allah

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 2 года назад +2

    MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏 Sheikh Shaafi

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 2 года назад

    Shafiiiii...nakupenda kwa sababu ya ALLAH...na inshaAllah upate mapenzi ya ALLAH

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 2 года назад +2

    Inshaa allah

  • @shabanirukundo4272
    @shabanirukundo4272 2 года назад +2

    Napendasana kufatiliamiazarayenu

  • @elishasaiti
    @elishasaiti Год назад

    HAKUNA NABII HAKUNA MTUME HAKUNA MUNGU NNJE YA YESU KRISTO KILA GOTI LITAPIGWA KILA ULIMI UTAMKIRI

  • @nextleveltalent1576
    @nextleveltalent1576 Год назад

    subhanah alahh akbar

  • @jimmyajmi8501
    @jimmyajmi8501 Год назад

    Mashalah

  • @safiunamugen2523
    @safiunamugen2523 2 года назад

    Masha Allah napenda kumsikiza Shafii

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau8697 2 года назад

    mungu. akuli. Sheik

  • @nasirahmed3295
    @nasirahmed3295 2 года назад +2

    Tunaomba Sana yule muhuni ndacha mutukamatie

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 года назад +2

    Mashallah Allah

  • @shakilaabdallaherio5617
    @shakilaabdallaherio5617 2 года назад

    Mashaallaah mashekhe wangu

  • @khalfansharji9790
    @khalfansharji9790 2 года назад +1

    Mashaallah lugha fasaha tafsiri sahihi wakati muhimu ila tu ni kwa watu wenye akili Shafi asie kuelewa ni ambaye alishahukumiwa ukweli uko wazi hakuna kupindisha ukweli sifa za mungu ni hizi na sifa za mwana adam ni hizi sasa wee pinga kwa kuwa ulishamezeshwa clip ya YESU MUNGU na hilo mpaka kufa mpaka.........ALLAH Awape umri mrefu wenye manfaa kwa uma wa mtume Muhammad.

  • @hashim8130
    @hashim8130 2 года назад +2

    ماشاء الله شيخ شافي شماري الله يحفظه ويطول عمره

  • @maryambintukhadija1604
    @maryambintukhadija1604 2 года назад +1

    Maa shaa allaj

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y 2 года назад +1

    Nema ya Allah jamani shafi amenenepa vizuli Allah akuwekeye wepesi kwakazi unayoyafany

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад

    Waislamu elimu ya Roho hamuna, na kamwe hamtokuja kuijua kweli mpaka Yesu atakaporudi mara ya pili kama alivyosema na mtaishia motoni.
    ULIOKUFA NI MWILI, LAKINI ROHO YAKE HAIKUFA. NI MWILI ALIOUVAA NENO(Yesu ni Neno Yohana 1:1) NDIYO ULIOKUFA LAKINI ROHO YAKE HAIKUFA ILIENDELEA KUWEPO KAMA KAWAID.
    👇👇
    1Petro 3:18
    18 Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; MWILI WAKE AKAUAWA, bali👉 ROHO YAKE AKAHUISHWA
    Tunaposema Yesu alikufa ni Mwili ule aliouvaa ndiyo uliokufa, Lakini ROHO yake iliendelea kuwa hai kama kawaida, sio kama binadamu sisi, tunapokufa, tunakufa mwili na roho.

  • @fadhilinalinga6604
    @fadhilinalinga6604 Год назад

    Safi

  • @mohammedmzee6546
    @mohammedmzee6546 2 года назад +1

    Ma Shaa ALLAH

    • @maimunampole9894
      @maimunampole9894 2 года назад

      👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
      ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html

  • @adammasunga5363
    @adammasunga5363 2 года назад

    Kwa kweli kuelewa ni kazi ngumu
    Waislamu munashangilia kitu msichokijua

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 2 года назад +1

    Aamiin

  • @braysonyakuza5959
    @braysonyakuza5959 2 года назад

    MASHALLA aah🕌

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад +1

    Amiin

  • @nasirahmed3295
    @nasirahmed3295 2 года назад +1

    Asalamu Waislamu tunaomba tuwachangie taa za camera na maiki za ziada (kama navyo ona kigiza kikianza picha hazionekani)Mashekhe zetu kwani kila kiltu sio waombeombe tujiongeze

  • @alinuribrahim4216
    @alinuribrahim4216 2 года назад

    MashaAllah

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm 2 года назад

    Sheikh shaffi Allah akufungulia kila palipo fungika

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 2 года назад +2

    Masjallah: Shekh shafii unapoongea lazima tu watu wacheke

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад

    Amina

  • @theheraldbroadcastingnetwo4836

    Porojo tupu
    Allah wa dhahiri,vipi

  • @t.v.a.i.s.s6842
    @t.v.a.i.s.s6842 2 года назад

    Ameen yaa a rabb

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 Год назад

    Ndio maana mnakula lakini mmechakaa .kwa kugusa mambo msioyajua undani . wake.tatizo mko kimwili zaidi. Kuna siri hamjaijua kuhusu yesu kristo

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 2 года назад +3

    Twakupenda shafii😘

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 2 года назад

    Maa Shaa Allah

    • @pasiansiay9480
      @pasiansiay9480 2 года назад

      Hawa wanaojadili haya wawe wakristo au waislam wamejaa upofu wa kifikra ama hawana kazi ya kufanya.
      Serikali yapaswa kukemea haya

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 2 года назад +1

    Mbona wakristo hawamtaji Muhammad kwenye mihadhara Yao?
    Lakini waislamu wanakereka sana na jina kuu juu ya majina yote alilopewa Kristo,hapa duniani na huko mbinguni?
    Atakaporudi tena itakuwaje?

  • @hajikabugahamis3149
    @hajikabugahamis3149 2 года назад

    Tam Sana

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 2 года назад

    Kweli ni mtihani kuna makabila fulani hawaja tahiliwa lakini mungu wao yesu katahiliwa duu kweli ni vaisi vesa eti mpaka uwe na roho mtakatifu ndio maana zumaridi nae kawa ambia watu wake yeye ni mungu subhanallah Allahu Akbar hii ndio shida kukubali kila unacho ambiwa kisingizio roho mtakatifu mmm

  • @idriskinye1190
    @idriskinye1190 2 года назад

    Jaman waisalam mspige makofinyinyi

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад

    Ndivyo ilivyo kwa Yesu,, Mungu alijifunua kupitia umbo la kibinadamu, tunachoona ni mwili wa kibinadamu ambao Mungu yupo ndani yake;
    👇👇
    Waebrania 1:1-2
    1 Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi,
    2 mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.

    • @shabamuhidin634
      @shabamuhidin634 2 года назад +1

      wakati Mungu yupo ndani ya Yesu,na yesu anaomba Baba yetu uliye mbinguni sasa ni mungu gani tena aliekua mbinguni anaomba wakati yupo ndani kamvaa yesu..ebu jaribu kuitumia akili ata kidogo basi

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад

      @@shabamuhidin634 Swali zuri umeuliza. Mungu wetu ni Mmoja, lakini hujifunua katika Wingi,, Katika Baba na Neno na Roho Mtakatifu na kubaki hivyo hivyo mmoja, Mathayo 28:19.
      Neno(Yesu) alipofanyika mwili akiwa duniani alikuwa akiongea na Baba aliyekuwa mbinguni.

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад

      @@shabamuhidin634 Waislamu elimu ya Roho hamuna

    • @pamoles1303
      @pamoles1303 2 года назад

      @@frankmpembu2505 Paulo kakuingizeni mkenge mwenyezimungu ni mmoja tu na SI watatu Wala wanne

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад

      @@pamoles1303 Aliyekua mbia Mungu watatu nani? Soma Vizuri comments zangu

  • @crescentvscross1132
    @crescentvscross1132 2 года назад

    Uislamu ni Nuru uvaticani ni kupoteza muda

  • @user-rr2gl2zc5k
    @user-rr2gl2zc5k 5 месяцев назад

    Jembe

  • @kwaleboy6064
    @kwaleboy6064 2 года назад +1

    Shafi kiboko

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣rahaaaa mpk ndani ya nafsi nakupenda bure kakangu kwa ajili ya Allah

  • @hoseapatel8005
    @hoseapatel8005 2 года назад

    Tunza ulimi shehhhh

  • @benjaminlintari762
    @benjaminlintari762 2 года назад

    Lack of spiritual leading

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 2 года назад +1

    Sheikh Shafii huwa namkubali sana?

    • @maimunampole9894
      @maimunampole9894 2 года назад

      👇 *NAKUOMBA BONYEZA HAPA* 👇....
      ruclips.net/video/jpnUT3uMd-k/видео.html

  • @castormayolera
    @castormayolera 2 года назад

    Acha kukashifu Dini ya wengine, nchi hii kila mtu ana uhuru wa kuabudu bila kukashifu dini ya mwingine

  • @louiskhan7372
    @louiskhan7372 2 года назад +1

    Sio thimotheo ya kwanza....ni ya pili

  • @jacksonnzai1593
    @jacksonnzai1593 2 года назад

    Jamani amna ufahamu wakujua uungu wa yesu ju nyie mlimjua Yesu bada ya yeye kuzaliwa, wakristo kumemfahamu tangu misingi ya dunia haijawekwa. amtaelewa ata mwisho unless muokoke.

    • @salehabdulaziz9218
      @salehabdulaziz9218 2 года назад

      Okokaa ww mwanzo kwenye kaburi utaliaa utatamani ungekua mwislamu tuhh

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 Год назад

    Shekhe sauti yake kama Dr Sule

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад

    Qur'an 29:47
    47. Na namna hivi tumekuteremshia Kitabu (cha Qur'ani). Basi wale tulio wapa Kitabu CHA BIBLIA wataiamini (Qur'ani), na miongoni mwa hawa (washirikina) wapo watakao iamini. Na hawazikatai ishara zetu isipo kuwa makafiri.

    • @burhanimahmoud8985
      @burhanimahmoud8985 2 года назад

      Frank kuwa tu muislam mashallah unapendezea sana kaka

  • @jacksonnzai1593
    @jacksonnzai1593 2 года назад +1

    Eti mswalieni mtume, kwani wakati wake wauhai kashindwa nini kuswali mwamswalia nyie, amna

  • @frankmpembu2505
    @frankmpembu2505 2 года назад +1

    Hilo swali Waislamu mmelikwepa kujibu, "hii ni Qur'an bwana, kunavitu unatakiwa uwenavyo ndiyo uweze kuielewa" Kisha akakimbilia kwenye Biblia, na kuacha swali aliloulizwa, na hii clip mmeiweka nusu

    • @pamoles1303
      @pamoles1303 2 года назад

      Klip mbona zipo nyingi

    • @frankmpembu2505
      @frankmpembu2505 2 года назад +1

      @@pamoles1303 Hilo swali Mmeshindwa kujibu,,mmekimbilia kwenye Biblia, Biblia yenyewe hamuiwezi,Mnaisoma kama gazeti lenu Qur'an