USTADH SHAFI AWASISIMUA WAISLAM MASJID MTOROJIJINI DAR NA HOAJA ZAKE TATA KWA WAKRISTO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 234

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 года назад +9

    Shafi mwanangu nakupenda sana kwa ajli ya ALLAH na hio duaa ulioiomba ni haswaa....nawaombea IKHLASW na wepesi kwa kila munalolidhamiria...mwenye enzi mungu awafanyie wepesi hp duniani na kesho akhira...amiin

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 года назад +25

    Allah awape afya na maisha marefu wahadhiri wetu. Muwe live basi sisi wa mbali tuone.

  • @SsAa-by2ty
    @SsAa-by2ty 3 года назад +13

    Masha allah nawapenda sana kwa kazi ya mmiliki wa viumbe
    Allah awape muongozo mwema imsha allah

  • @omanbarka2053
    @omanbarka2053 3 года назад +4

    Waallah leo patakua hapatoshi Allah awasimamie katika kazi zenu mnazo fanya tena hata mimi imefurahi sana kwenda kufanya dibeti shafi,mazinge,nawakubali wahadhili wetu kapungua doctor sulle

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 года назад +2

    Mashaalllah ALLAH awalinde mashekh wetuu kwa kazi nzuri ya kuitangaza dini ya ALLAH

    • @sikandarsuleimanTV
      @sikandarsuleimanTV 2 года назад

      Amiin

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 17 дней назад

      Mkiona hivyo mjue dini yenu imekosa kibali kwa Mwenyezi Mungu ndio maana mioyo ya Waislamu haiwafungukii wahadhiri wao: sisi Wakristo tunajua fedha na dhahabu ni Mali ya Bwana na kwake twamrudishia zikafanye kazi yake:

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 3 года назад +8

    ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🕋🕋🕋🇸🇦🇸🇦

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 3 года назад +3

    Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Maneno yenye tamu nyingi na msisimko sanjari na burudani ya kutosha toka kwa Ostadh Shaffi. Wallah huwa napata raha na ilmu ya aina yake kila nikimsikiliza Shaffi na Mazinge. Allah Awalipe pepo,In Shaa Allah!

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 9 месяцев назад +2

    Mashegh hawa hawana majungu kwa waislamu wenzao..kazi yao dawa kusonga mbele…ila wengine kazi yao kubwa kuwaradi wenzao tu!! Kama wao ndio dini wameishusha 😢

  • @user-ud1rb5ck1d
    @user-ud1rb5ck1d Год назад

    Mashaallah MASHEKHE, zetu ALLAAH,awahifadhi AMIN🙏🙏✨🌙

  • @MakataWaMakatani
    @MakataWaMakatani 4 месяца назад

    Yaani mashAllah tabarakallah nafurahi sana kuona hawa magwiji wako pamoja ❤ alhamdulilah ALLAHU AKBAR

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 4 месяца назад

    Shekhe Shafi uko vizuri sana. porojo zako zina amsha amsha ya kutosha.

  • @AziziRajabu-mv8jz
    @AziziRajabu-mv8jz 2 месяца назад

    Mashaallah mashekhe zetu Allah awape umri mrefu

  • @mosesliboston5437
    @mosesliboston5437 3 года назад +4

    Mashaallah mungu amtilie wepesi amiin amiin amiin

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 3 года назад +2

    Allaah Allah... wallah inabidi tubadilikeeee sisi waislam... kutoa ndy dini....

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 года назад +2

    Mashallah Allah 💕

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai5063 2 года назад +1

    Allah Awape kherinyingi duniani nakesho akhera inshallah

  • @nijimbereasia6381
    @nijimbereasia6381 3 года назад +3

    Naam sheikh shafi wambie ukwelikabsa na Allah akupe kiralakher shafiwetu upewe umlimulefu na Allah subhanahu wataallah

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z 3 года назад +2

    walaikum msalam warahatullahi wabarakatuh. MashaAllah MashaAllah. Jazzakh Allahukum mashehe mungu awaongoze

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed837 2 года назад

    Mashallah shekh shafi Allah Barik

  • @kingilazaro344
    @kingilazaro344 3 года назад +1

    Hahahaa mash Allah ma sheikh zetu,Allah awalinde na awajaalie umri in shaa Allah

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 года назад +2

    Mashallah shekh Shafii

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +2

    Shukraan Sana jazaka Allah khaira

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 3 года назад +7

    Kwa kweli Shekh Shafi unatuvunja mbavu kwa kicheko : lakini ndiyo hali halisi ilivyo.

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 2 года назад

    Jazaka Allah khaira shekh Shafii

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 3 года назад +2

    MA SHA ALLAH

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +1

    Amina Yarab alamin

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад

    MashaAllah tabarakallah huyo ndie SHAFIH...

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +1

    Allahu maswali alaalih MUHMAD walaalih Muhamed kamaswa atayta alaalih ibrahmu

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari5402 2 года назад

    MashaAllah Allah.awalipe.kwakujitolea.kwenu.na.awavushe.kutokana.na mitihani

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад +4

    penda sana wahadhiri wetu maashaallah maashaallah

  • @MisangaNassoro
    @MisangaNassoro 5 месяцев назад

    Nimeipenda hiyo inshallah kura ilimladi kushiba

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 3 года назад +1

    Insha allah allah atufanyie wepess hio Siku kanisa loote liingie ktk uislam

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад +3

    Swallallahu alayhi wasallam

    • @kailaniddi2984
      @kailaniddi2984 Год назад

      ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲dini yakweri uyisiramu1√

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 3 года назад +1

    Mashaallah tabarak allah

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Год назад

    Mshaallah tabarika allah

  • @rubenijhonisamelo5796
    @rubenijhonisamelo5796 3 года назад +4

    Nawapenda sana ,dini ya haki

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 3 года назад +1

    Incha allah

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 3 года назад +2

    Wallahi mpaka nalia kwa maneno ya Sheikh Shafiiy Wallahi nalia maneno makali. Wallahi Waislamu laiti wangeyasikiliza maneno na kuyatia akilini wangelia Msikiti mzima.

  • @abdoulamisi6104
    @abdoulamisi6104 2 года назад

    Barakallahu fiykum

  • @alhabshyhautah408
    @alhabshyhautah408 Месяц назад

    Aamin

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana1383 2 года назад

    Nimimi Hassani Burundi Bujumbura USTA DH mwenyezimungu pekeyake

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed2805 2 года назад

    Tuwashuru Sana wahaziri na tuwaombea duwa kwa mwenzi mungu hawaongoze katika dini ya haki

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 года назад

    Alhamdulillah kwakuwa mimi muislam

  • @khatibjuma9455
    @khatibjuma9455 2 года назад

    Allah akuokoeni na madhalala ya safari zenu wapiganiaji dini yakweli

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm 2 года назад

    Shafi mashallah

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 3 года назад

    Ustadhi bwana pesa shetanii wee Allah atufanyie wepesi

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana1383 2 года назад

    USTA DH SHAFI Hatunacakukuripa mwenyezimungu pekeyake

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 3 года назад +1

    Ukampa pepo 😍😍😍😍😍

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy6562 3 года назад +1

    Mashallah

  • @ramamambosupesupa3724
    @ramamambosupesupa3724 3 года назад

    Amin

  • @SaidiLubuvadu
    @SaidiLubuvadu 2 года назад

    mashaalah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 3 года назад

    Alhamdulillah

  • @UstadhiRai
    @UstadhiRai 9 дней назад

    Taybu taybu 🎉🎉❤

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 3 года назад +3

    Toa japo ni kidogo, wallahi weww ukitoa waona ni kidogo lakini mbele ya ALLAH ni kikubwa

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 3 года назад

      Swadakta maneno yako

    • @gharibislam1586
      @gharibislam1586 3 года назад

      @@sabraabdilnasir8826 sasa mbona wajibu hivyo?kuna kitu kimekuudhi kwa comment?

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 3 года назад +6

    Jamani mlete cd ya iyo siku uku kenya penda nyinyi sanah

  • @ramadhanimasudi6904
    @ramadhanimasudi6904 Год назад

    Al'hamdul'LLAH...

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 2 года назад

    Subuanah allah

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 года назад

    Amiin Amiin🙏

  • @dullahdimba8423
    @dullahdimba8423 2 года назад

    Shafe unajua sana

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 года назад

    Twasbri hio kazi sana masheikh wetu

  • @daudetjaymaoneo989
    @daudetjaymaoneo989 2 года назад

    Allah Akbar

  • @ElkanoTadicha-pw1cj
    @ElkanoTadicha-pw1cj Год назад

    Shekh shafi tembea Kenya tafadhali

  • @onikagabriel5451
    @onikagabriel5451 3 года назад

    Allahu Akbar

  • @hamishemed6663
    @hamishemed6663 3 года назад

    Allah awape nguvu

  • @chambalemuddy6406
    @chambalemuddy6406 Год назад

    Amen

  • @saidisudi8668
    @saidisudi8668 2 года назад

    حياك الله

  • @jumamussa9413
    @jumamussa9413 2 года назад

    Kweli

  • @rehemakei8155
    @rehemakei8155 3 года назад +1

    Mashaallah sauti inanikimbusha kipindi cha ngaliba na kawemba jamani mpe huyoooo

  • @kamalmukaddam1297
    @kamalmukaddam1297 3 года назад

    MashaaAllah

  • @maryamawadhawadh182
    @maryamawadhawadh182 3 года назад

    Shekh unakubalika

  • @hafidhothman4588
    @hafidhothman4588 2 года назад

    Walllah nimecheka kuanzia usiku mpaka asubuhi

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 года назад +1

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. We have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.

  • @aliyunusu6629
    @aliyunusu6629 3 года назад

    Jamini isije ikawa mpango yakutumalizia ma sheikh's wetu

    • @khaliphamajid270
      @khaliphamajid270 3 года назад

      Ukimuamini MwenyeEzMungu kwa dhati humuogopi binadam ,Majini,mashetani na yeyeto isipokuwa Allah tu

  • @issajuma3346
    @issajuma3346 3 года назад +1

    subhnllh

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 3 года назад +1

    Shafffiiiiii acha tu

  • @mahmudumsuya3831
    @mahmudumsuya3831 Год назад

    MWENYEZIMUNGU awajaalie wahathiri awakinge na Kila baya

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 3 года назад +2

    Kwa team hiii makafili hawachomoki nakwambia uislam dio dini.

  • @mymussept3662
    @mymussept3662 3 года назад

    Baada ya kufuatilia watoa mada wa pande zote mbili naona kila upande unaposoma aya za mwingine husoma nusu na kuifanya maana ionekane tofauti na mbaya zaidi wengi wanakoment hawafuatili jambo hili katika yote kila mtu aamini anachokiamini
    Na hapa mm nasema Yesu kristo ndie njia kweli na uzima inatosha

    • @sephania8085
      @sephania8085 2 года назад

      Subir Moto ukakuchome

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 2 дня назад

      Yesu alizaliwa na Mariam yesu kiumbe Cha Mungu Hana sifa ya uungu Mungu ametuumba Kwa mfanano wake hakuzaa Wala hakuzaliwa yesu mnamuuita mwana wa Mungu Kwa kuwa alizaliwa Kwa miujiza yake Mungu pasipo kukutana gameti x na y Mungu ameonyeesha utukufu wake

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 года назад +1

    Tatizo matajiri wengi utajiri wao si wa halali ndy maana wanakua wazito kuchangi maana pesa ya haramu kidini haina faida mbele ya ALLAH imani zao za uongo

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 3 года назад

    Wewe shafii unahoja.zaifu za kizamani Sana ,na unawadanganya waislamu

  • @aliyunusu6629
    @aliyunusu6629 3 года назад

    Tusije tukachomwa kanisani kama museveni alivio choma wafasi wakanisani Mmoja kule Uganda

  • @abdillaahirichardkasisi8691
    @abdillaahirichardkasisi8691 3 года назад +1

    Waislam atujielewi kabisa nawambiwa live waislam wengi awajui thaman ya uislam uwa nawashangaa Sanaa kama mtu anaslimu kama hana Imam basi anaeza Rudi alipo toka waislam ni kichwa cha mwenda wazimu

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 года назад +1

    Jamani Sulle hayupo! Kaogopa atasanifika,

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm 3 года назад

    Sheikh shaffi tosha

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 3 года назад +1

    Itakuwa live ???

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 года назад

    Ucunguuu wa Islam

  • @aminahajiahh298
    @aminahajiahh298 3 года назад

    Mai zumo

  • @olisecharo6128
    @olisecharo6128 3 года назад

    pure comedy

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад +1

    😂😂😂 unayoyaongeya nikweli kabisa

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 3 года назад +1

    Leo inapeperushwa wapi jamani nataka kuitazama lakini

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад

    Sawa unamuiga dr sule

  • @sadyrajabu9318
    @sadyrajabu9318 3 года назад

    Asalam alaikum minilikua nauliza muislamu akiritadi hakuna atua zinazo takiwa kufatwa kabla yakumuua

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +1

    "Eti vichwa vya wahadhiri hawa ndio wamebeba uislam wa Tanzania" hapo kidooogo sheikh umeteleza!!

    • @cholomsury1548
      @cholomsury1548 3 года назад

      Mtihani kweli kweli

    • @saidswalehe2807
      @saidswalehe2807 3 года назад +2

      We juma kateleza wap shekhe kusema wahadhir ndio wamebeba uislamu Tanzania,kama ww juma muislam uislam wako umeufanya nn kwa watanzania,hao mashekhe wanafanya kaz kubwa Sana kulko unavyowafikiria

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      @@saidswalehe2807 acha ujinga wewe walikuwepo kina Abubakary, Umar,At human, Ally (R.A) na wengineo wengi ,pamoja na mchango wao mkubwa wa hali na Mali katika kuupeleka mbele uislam lakini hatujawahi kuona kumbukumbu zikionyesha kuwa walidai kuwa wao ndio waliubeba uislam wa madina\makka au wa dunia kwa ujumla,,,,,,kwahiyo uache ujinga wewe!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      @@saidswalehe2807 uislam si sawa na dini nyingine, ambazo mtu anaamua kuanzisha kanisa lake , kwa juhudi zake na mpaka anaweza kujiita nabii na watu wakamuamini , mifano hiyo ipo, kina T.B Joshua, kina mzee wa upako DSM, na wengineo wengi wakiwa na makanisa yao, hao wakidai kuwa ndio wanayabeba makanisa yao hatushangai,,,,,lakini sio kwa uislam ni dini ya Mungu na yeye ndio anaoulinda, wengine wote wanafanya jitihada tu lakini wasijivune kuwa eti wao ndio wanaoubeba .NB: ikumbukwe kuwa sio kwamba napinga juhudi zao , la hasha! ninachopinga Mimi ni kule kudai kwao eti wao ndio wameubeba uislam wa Tanzania, hapo ameteleza!

    • @mtupeacetz2589
      @mtupeacetz2589 3 года назад

      Aujaelewa!. Uliza kwanz kwann kasema vile

  • @jamesdavid4977
    @jamesdavid4977 3 года назад

    Mikwara hatutaki kaka majibu ya sabato mwanzo 2:1-3 hapo kuna EGW

    • @husseinkiruta1712
      @husseinkiruta1712 3 года назад

      5:15 kumbukumbu la torat
      Musa anapewa asali sabato atakumbuka alikuwa mtumwa nnchini misir .Sasa wew ulikuwa mtumwa wapi ?

  • @hamisimfaumenamwewe193
    @hamisimfaumenamwewe193 3 года назад

    UISLAMU UMEBEBWA NA MASALAFI

    • @jumashabani8474
      @jumashabani8474 3 года назад

      Salafy yupi ?

    • @abilugome7461
      @abilugome7461 3 года назад

      Nikwer din wamebeba masalaf ila wale walio pita sio nyinyi wa sasa

    • @jumashabani8474
      @jumashabani8474 3 года назад +1

      @@abilugome7461
      umenena kweli

    • @hamisimfaumenamwewe193
      @hamisimfaumenamwewe193 3 года назад

      @@abilugome7461 Sisi hatushiriki kwenye mikusanyiko ya watu wa Bid'aah, Maulidi Hitima 40.

    • @abilugome7461
      @abilugome7461 3 года назад

      @@hamisimfaumenamwewe193 na ndio Mana nimesema Masalaf ni wale walio pita sio nyinyi wazee wa matusi na maneno ya shombo na kujiingiza peponi na wenzenu kuwaingiza moton na kulifanya dhehebu kuwa na nguvu kuliko dini yenyewe na ukimuona muislam ana jinasibisha na dhehebu lolote lile tambua huyo bado ajajua uislam ni kitu gan?

  • @allylwanda7872
    @allylwanda7872 Год назад

    Masheik wapiga dili hawa

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +3

    Mmeboa Kama nn mshidwa kua live

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 3 года назад

      live ipo shekh

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 3 года назад

      @@alimbarouk9353 chaneli gani Jamanii wako live Mie ni Ukhty mwanaisha pls nitajie chaneki

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 3 года назад

      @@mwanahamis5487 kishki tv

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 3 года назад

      @@alimbarouk9353 hakuna mhadhara live kwenye Chanel ya kishik

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 3 года назад

      @@mwanahamis5487 wametangaza wenyewe na mm nilikuwepo mskitini jana wamesema kishki katoa msaada wa gari nzima la kishki tv na litaonesha live kongamano lote sasa kama wewe ulikuwepo mskitini na hikuskia ivo basi mi sina maneno

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 года назад

    Siku wislam tukiacha majungu mbona tuta fika mbali sana, maana kinacho tuponza wislam ni uchunguzi yaani tunakuwaga na uchunguzi sana panapo tokea swala la kuchangisha mchango 😃😃😃😃🙌🏃

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 2 года назад

    Sisi hatutembei na mapepo