Alhamdhulillah kuwa muislam tu ni neema kabla kitu chochote kwanza, tuseme Alhamdhulillah kwa kuipata neema kma hii.... Replacement ya mazinge naiona sasa
proud is sin ...proud ni kiburi kwa kiswahili .....so hapo tu unapokuwa na kiburi ndipo unaangukia ......kama kweli unadhani utafika mbinguni kwa kutambua kuwa uislamu ndio dini ya kikweli ? umeboronga ? hakuna jina kubwa kama jina la Yesu ....Mungu wetu ametubebea dhambi zilizopita zilizoko na zijazo ....hakuna matendo utafanya mema kamwe yakufikishe mbinguni ....mwisho wa kunukuu
@@zouzou2849 nani kakupa hyo haki ya kunihukumu ety mm kafiri ...wewe umeketi kwa kiti cha enzi kwani ama uko katika mkono wa kuume wa Mungu .....acha kiburi mkubsli yesu ...ama shikilia dini ww ikufikishe kwa Mungu
Wallah kujuwa dini rahaaa ona sheikh anavyoringa ma shaa Allah
Sheikh shafi Alla akupe afia njema, maisha marefu na subra. Amin ya rab aalamin
ManshaAllah ona vle masheikh n waislamu wanavyofurahia thanks to Almighty Allah for choosing us to be all muslims
Sichoki kutizama hii video Mashaallah sheikh shafi
Wallah wallah wallah I proud to be Muslim thanks Allah for making me among of them Alhamndullah
Takbir ALLAHU AKBAR
Kiukweli Hawakubali sana masheikh zetu nyinyi hakika munafanya kazi kubwa mwenyezi MUNGU Awatunze Ktk Dunia na Akhera Amiin
Hingera sana shekh wetu maaim snafi kwa kuiwakikisha vyema sana. Dini ya kiuslamu allah akupe nguvu na imani zaidi kulingania dini yetu ya haki
I am proud to be a Muslim.
I am proud too
Me too
Me too❤
Nlivoskia shafi nmelengwa machozi yafraha, shafiiiiii mungu awajalie ziada katika umri
Mm pia namwombea heri nyingi mno
Mashaallah masheik wetu, vipenz vya waja, Allah awalinde n husda za waliokando yenu. Inshallah
Alhamdulilah iam proud of Muslim around the world
MaashallaaH naampenda imamu shaff kwajili ya Allaah
MashAllah mungu awaongoze wote wasio waslamu awape imani ya kuingiya kwenye dini ya haki …Ameen na masheikh wetu waendele kueneza dini ya haki
Mashallah proud to be Muslim
Mash Allah Shekh Allah Barik walai
Mashaalah I'm proud to be muslim
Alhamdhulillah kuwa muislam tu ni neema kabla kitu chochote kwanza, tuseme Alhamdhulillah kwa kuipata neema kma hii.... Replacement ya mazinge naiona sasa
Shukrni sna ustadh shaffi kwa ufafanuzi mzuri ,,,,wakuelewa wameelewa bila shka tuko pamja kutoka Kenya inshaallah
Mashaa Allah
MashaAllah Allah awaifadh mashekh wetu 🤲🤲🤲
Mashaallah mashaallah mashaallah jamani uisilamu Raha alhamdulilah namsukuru Allah kunipa neema yakuzaliwa nawaislamu na Mimi mwenyewe kuamuislamu alhamdulilah rabila alamiin namuomba alifishe nikiwa muisilamu yaniraha kwakweli
Ya Allah tuuwe na shahada mbili waja wako ameen
Manshaallah shafi nakupenda kwajili Y'Allah
Sharfi mashaala Allah awazidishie ilmu na afya tuzidi kunufaika
Amin
Mashallah raha tupu namshukuru allah kunijaalia kua muislamu
SaanaHaduRaha
Mazingee njooo ❤️😂😂😂 anatikisaa kichwaaa tuu Alhmdulillah Niko proud to be a MUSLIM
Mashaalah ustadhi shafi nakupenda Sana kwa ajili ya Allah
Me too i am proud to be Muslim
proud is sin ...proud ni kiburi kwa kiswahili .....so hapo tu unapokuwa na kiburi ndipo unaangukia ......kama kweli unadhani utafika mbinguni kwa kutambua kuwa uislamu ndio dini ya kikweli ? umeboronga ? hakuna jina kubwa kama jina la Yesu ....Mungu wetu ametubebea dhambi zilizopita zilizoko na zijazo ....hakuna matendo utafanya mema kamwe yakufikishe mbinguni ....mwisho wa kunukuu
@@unclejonah7350 hatuna haja yakukupa mana madam wewe ni kafiri huwezi elewa😃😃😃😃
@@zouzou2849 nani kakupa hyo haki ya kunihukumu ety mm kafiri ...wewe umeketi kwa kiti cha enzi kwani ama uko katika mkono wa kuume wa Mungu .....acha kiburi mkubsli yesu ...ama shikilia dini ww ikufikishe kwa Mungu
Alhamdulillah yaraby kwa kuwa muislam 👏👏najiskia raha wallah 👏👏
Allah nakuomb mola Wang ya rabby nifishe ktk uislam najivunia kuwa muislam Allah awalinde masheikh wetu hongereni. Na kz mzr sana
Alhamdulillah aala neema l'islam
Yani wislam ndio dini...AL HAMDULILLAH..proud to a Muslim
+254 mashAllh ustadh shafi...
Mashallah nimependa sana pia mm nasilimisha mtu tu kwa hizi debate
Shekh shafiii allah akuzidishie umri mrefu wenye manufaaaa amiin tunawapenda ..wahadhiriii woteeee...
CoordInator.MUHAMADU TUFE.WAUMI.WAKIISLAN INSHAALHA
Innshallah kwa baraka zake allah
May Allah continue protecting you sheiks .thx for the great work. MashaAllah tabarakallah.great muhadharah.Allahu Akbr
Wallah hadi nimetokwa na machozi kwa furaha kweli hii ndo dini 😢😢
Kama mm pia nmetokwa na machozi nashukuru kuzaliwa muislam
Mashallah Allah
Mashallah Tabarakallah Sheikh Shafii
Waallaah naipenda dini yangu nashukuru kuwa muislamu yaarab nifishe nikiwa muislamu na familia yangu nawapenda wahadhili wetu munatuongezea imman yaarab nifishe najina langu hilihili Maryam
Inshallah
MashaAllah
MashaAllah Allah akbar
Jazaka Allah khaira shekh Shomari
Dah mwenyezi mungu kwa nini aliumba kifo, masheikh wetu wahadhiri awape umri mrefu Amiin inshaAllah
Kubwa omba kheiri maana hata wakawaje awa masheikh hawato mshinda mtume na yeye amekufa
Mashallah ALLAH BARIIK always
AlhahuAkbaru😭😭😭😭rahaUISLAM
Hebu pangeni kongamano jengine wallahi raha anaitwa shafi kiboko yao
Shafii allaah akupe umrimref Isha allaah
Masha Allah 😘
Mashaallah 💕
ALLAH AKBAR
ALHAMDULILLAH
We Shafii ww, Umeua aisee
جزاكم الله خيرا على هذه الجهود لتبين الحق
sahihi ndugu yangu
Uu77uk
MASHAALLAH
Tuwe tunamshukuru Mungu usiku na mchana kuakutupa neema yakua muislamu
Takbir Allahu Akbar
Alhamnduliahu mungu kunijalia neema ya uicilamu namuomba mungu anifishe nikiwa muicilamu🤲🤲🤲
Kiukweli huyo msomaji wa kiislamu anajua kusoma vizuri yaani narudi rudi kumsikiliza Mashallah.
Wallahi, UKIWA *MWISLAMU* NA UKAMUABUDU ALLAH IPASAVYO, UKAJIEPUSHA NA MAOVU, UKATIMIZA NA IBADA AZITAJAZO ALLAH.*PEPONI HAPATAKUPIGA CHENGA*
Dah hakuna dini kama hiiii dini yetu ya Kiislam ewe MUNGU nifishe hassan mm nikiwa muislam
amiini hata mie naomba dua hii
Hata mm
Sote amiin
Amyn
inshaallah
Maa sha ALLAH
Namshukuru allah kuzaliwa ktk uislamu din yahak ktk dunia na akhera
Na pia umuombe akufishe ukiw muislam inshallah.
Masha Allah
Allah awape jaza kwa kulingania hakki na ufafanuzi ulio wazi
Mashaallah mashaallah
ماشاء الله
Alhamdullillah kwa kunijaalia kuwa katika dini ya haki
Takbirrrrrr
Poleni sana fateni ukweli wacheni roho ngumu
Ya Allah bihusnill hatma 🤲
MaShaAllah
Shafiii mbonaunatisha eeeee nakupendaaaaa
Mashallah ustadh shafi ako na kipawa
Hebu vyivyi makafir someni msipotezwe na mapadri wenu mmeambiwa kama mapadri wenu wamekupotezeni pia hamuamini
Wallahi ALLAH atawalipa kwa kheri mnazozifanya
ALLAH AKUJAALIE UMRI MREFU
Allah akbar 🥺
Akbar min kuli shay i
AMIIN KWETU SOTE INSHA ALLAH
najivunia kua muaislaam l am from kenya
Mashaallah tupo pamoja.. from Tanzania
Alhamdulillah kwakuwa mimi muislam yani raha sana kwakongamano
Mashaallah msomaji ananakshi huyo hahahaha 😂🤣🤣🤣🤣🤣
Allah atupe khery nyingi waislam 😍
Allah Akbar
ما شاء الله
Mashaallaah
Asante shafi shomari kwa Majibu Safi kwenye mdahalo kanisani
MashaAllah mjadala iko poa lkn fupi jamani
Na mshukuru Allah kunifanyia wepesi ni kasilim toka 1995
Allah akujaalie mwisho mwema na akufishe Hali ya kuwa muislamu.
Mashaallah Allah akueke Imani zaid mpaka akufishe ukiwa muislam.
Mashaallah mlitamba kanisani hadi raha mlifundisha haswa wenye akili wameelewa
Masha allah tabarakaaallah..Allah awaongoze masheikh wetu.yaani raha mpaka basi😂❤
Allah akulipe
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah
Awesome 🇰🇪
Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar!
Niii Niiiii Niiiii .......... Uislamuuuuuuuuuuu tkabir ❤️🤲🤣🤣🤣🤣🤣
Mashallhaaa sichoki kiangalia
Hamidu akiwa msomaji napenda sana sauti na mbwembwe zake zanikosha sana
❤
Mashaa Allah lakini mbona Dr Sule hayuko
Suspension yeye na mwaipopo waache wamalize kesi yao ya utapeli
Shafii uko vzur
Kina shafii nyie mnatuenea mnaijua Qur-an Kama maswahaba DAAAH kua muislaamu raha Sana jaman tujengen uislaam wetu Wala tusi farakane
Walwahi tena
Sahihi
Najivunia uislam wangu ALHAMDULILLAH
Mnajifunia dini yenye giza😂😂😂
Takbirrrrrrrrrrrrrrrrr
Allahu akbarr
allah akbar
Shekh shafi wape mistari wapate kukuelewa.. Allah akupe umri mrefu maana unatupa mafunzo