Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

ANGALIA MWINJILISTI WA KISABATO ALIVYOTAPATA TOKA KWA MWALIMU MAULANA ..WAPI AYA UKRISTO NI DINI??

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 июн 2021

Комментарии • 221

  • @michaelmarco8353
    @michaelmarco8353 3 года назад +6

    Mwijilisti, Mungu akubaliki sana piaakulinde.umejibu vena sana. Kristo ni dini.

    • @waltershayo1339
      @waltershayo1339 2 года назад

      Nyie ni wapingaji tu lkn kristo sio dini ni aliyepakwa mafuta

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 3 года назад +2

    Thakbirrrr shekh maulana hangera nduguyangu hongereni sana

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 3 года назад +1

    Wallahi hongereni sana ma shekh wangu Allah awahifadhi sana sana Wallahi nashukuru sana sisi kuwa waislamu ni neema kubwa sana hatuna budi kushukuru kwa neema kubwa hii Alhamdulillah
    Thumma Alhamdulillah
    Thumma Alhamdulillah

  • @user-qr7et3vl5z
    @user-qr7et3vl5z 3 месяца назад

    Dah wallah uislamu kweli nimtamu na nimzuli yaani mashallah

  • @kimsi682
    @kimsi682 Год назад

    Hapana, hapana, hapana! Yeye ni mnafiki tena legent...lakini kwa hakili yake haswa nyie nyote. You are all legends in you brains only.kwa akili tu lakini sio kwa ukweli!! Mnauliza kitu mnajua vizuri kabisa hakiko ndani ya biblia directly, lakini cha kweli kabisa kimaandiko, hila hakiko directly.. Just hilarious! Unafiki mtaacha lini?

  • @shillingihamisi635
    @shillingihamisi635 3 года назад +1

    Takbir ALLAH AKBAR

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 года назад

    This Sheikh MAZINGE is Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, wants you to do. So you too can be SAVED!

  • @shahdujamada578
    @shahdujamada578 3 года назад +5

    Alhamdu lillah allah awajalie kher

  • @r.w94
    @r.w94 2 года назад +2

    Assalamualaikum warahmatullahi wabarokatu greetings to one Lord Allah SWT says indeed Allah is great and Allah never exists but before words there is takbir 😊

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад +1

    Takbir takbir takbir takbir Allah akbar Allah akbar Allah akbar

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 3 года назад

    Shukrani sana mwl Maulana Habshi

  • @kimewakamoviesproducts609
    @kimewakamoviesproducts609 3 года назад +1

    Wakristo juu tuu

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 3 года назад +2

    Alhamdulillah kwakuwa Mimi uislam

  • @epimackoscar25
    @epimackoscar25 2 года назад

    Hawa mashekh wanatakiwa wasome haya nzima ya biblia waelewe ilikuwa inalenga nini sio kudakia neno moja na kulitumia kama fimbo na mihemko mingi , kamwe hawataelewa injili ambayo wameelekezwa wawatafute waliopewa hiyo injili ili waelewe ,watoke gizani , Mungu akubaliki muinjilist hakika roho ya Mungu ingali nawe ktk kujibu maswali vizuri

  • @ashasuleiman2084
    @ashasuleiman2084 3 года назад +4

    Allhamdulillah to be a muslim🙏

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 года назад +2

    Kwa kweli tuna penda kuangalia na kusikiliza debet, lakini kwa nini mna foka? Zungumzeni kwa taratibu ili tufahamu vizuri

  • @aquilinerichard7226
    @aquilinerichard7226 3 года назад +2

    Nnawasiwasi na hao wanaojiita wa kristo hapo kwny mdahalo uwezo wao wakujib maswal ni mdogo sn alafu unaambiwa ni wainjilisti soma 1wakorintho 3:23 naona kama wanafanya vibwagizo kweli ya dini ni ukristo pekee neema ya wokovu ikiwafikia mtaelewa nnachoandika

    • @marymfugwa847
      @marymfugwa847 3 года назад

      Hao ni waislamu wanao jiita wakristo! Hata kiswahili chao tu kinaonyesha siyo wakristo.

  • @mohameddyzubeir2326
    @mohameddyzubeir2326 3 года назад +2

    Wakristo bana wanacheka lkni wanaelewa Dah hawa jamaa wamepotea

  • @myamwezmyamwez8669
    @myamwezmyamwez8669 3 года назад +2

    Kwahiyo mchungaji kakubali kitabu cha Allah! Takbeer! Kweli Allah hakosei!

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 3 года назад +8

    Msiba huu wakristo Allah awaonyeshe njia yaki kwani mko katika hasara kubwa sana

    • @AliIbrahim-lv5cq
      @AliIbrahim-lv5cq 3 года назад

      Ukuphi mwenehu 🤣😂

    • @georgeikinya2779
      @georgeikinya2779 3 года назад +1

      The problem in this world matters religion every body thinks he / she is better than everyone else’s. So laughable Africans trying to out do each other comically on foreign religions.

  • @naftalmonda1353
    @naftalmonda1353 3 года назад +1

    ALLAHU AKBAR

  • @jumannekingu526
    @jumannekingu526 2 года назад +1

    Yesu alikuja kuokoa ulimwengu ,hakuleta dini ,wala mtu haingii mbinguni kwa sababu ya dini.maana zilikuwepo na hazikuwasaidia wanadamu.

  • @medardissa6253
    @medardissa6253 3 года назад +1

    Allah anatambua ukristo

  • @mwanakombaabbas93
    @mwanakombaabbas93 3 года назад +2

    Kumbe unamjuwa Allah pia thakbirrrrr

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 3 года назад

    Huyo jamaa wakikristo kashindwa kujibu kabsa. Kaulizwa aya gani ktk bibilia ukristo ni dini sijui kajibu nn yan. Kajibu tofauti kabsa. Ni neema kubwa sana kuwa ktk uislamu

  • @user-bu9wq4lp3f
    @user-bu9wq4lp3f 3 года назад +1

    Hajielewi huyo pastor

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 3 года назад +4

    Kweli wwe Myahudi wa kiTanzania hauna lolote.Tokazamani ungesilimu,lakini JURI YAKO TUU.MSKINI NYIE WAKRISTO.

  • @waltershayo1339
    @waltershayo1339 2 года назад

    Wajibu swali

  • @josephkiswili1955
    @josephkiswili1955 3 года назад +2

    Waislamu huwa wanaulizaga maswali kinyume ya maandiko wapi katika BIBLIA imeandikwa ukristo ndani ya BIBLIA hakuna neno ukristo lenye lipo ni wakristo.

    • @wezhc3013
      @wezhc3013 3 года назад

      Wewe ndio uwaaelewi kwanza nyinyi mumepotea hakuna kitu mtapata duniani wala akhera

    • @simonkaggwanjala9597
      @simonkaggwanjala9597 3 года назад

      Kaka Qur'an inasema wazi uislam ndio dini ya haki, sasa apo pastar kasema christo ni wa mungu nyny ni "wa christo" yaani akimaanisha nyny ni wake yeye christo au huelewi kiswahilii haijasema ukiristo ni deni aliokuja nayo yesu.Soma Uislam na ukiristo wako ndio utajia wapi ipo dini ya kwelii

  • @waltershayo1339
    @waltershayo1339 2 года назад

    Toa Aya yaani ujanja ujanja kwenye dini haukubalili

  • @gerrymimi9387
    @gerrymimi9387 2 года назад

    Wakristo wanaamini kuwa hakuna dining impelekayo kwa Mungu isipokuwa amepita kwa Kristo. WEWE NG'ANG'ANA
    SOMA Yohana 14:6

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +1

    Mungu haangalii dini bali swala ni majina kuandikwa Mbinguni. Jaza waumini pata maswalu shinda ubishi lakini jina lako liko mbinguni?
    Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.
    Luka 10:20

  • @rahimuomari3280
    @rahimuomari3280 2 года назад

    Downloads

  • @waltershayo1339
    @waltershayo1339 2 года назад

    Hivi shetani katajwa ktk vitabu je ni mzuri to a Aya ukristo ni dini

  • @raheemarahman1435
    @raheemarahman1435 3 года назад +1

    Maisha yke mkirsto kumsilimisha nipagumu mno walahi subhanallah nishida man anaambiwa atowe aya inayosema ukoristo nidin anababaisha tu aiseee

  • @mylifemyhistory3609
    @mylifemyhistory3609 3 года назад

    Allah akbar

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus4040 3 года назад +1

    Doctor kaacha swali kataja masanamu

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +2

    Yote tisa upate wafuasi usipate
    Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.
    Luka 10:20

  • @ashuranurudin1120
    @ashuranurudin1120 2 года назад

    Taqbiiiiiiir

  • @hassnakhamis3489
    @hassnakhamis3489 3 года назад +1

    Wakirsto wagumu kuelewaaa duh

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusoma na kuandika gusa picha yangu hapo

  • @waltershayo1339
    @waltershayo1339 2 года назад

    Toa aya ukristo ni dini

  • @waltershayo1339
    @waltershayo1339 2 года назад

    Hujajibu swali

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 3 года назад +2

    Ni viZuLi kuwePo nA miJaDaLa kaMA hii

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus4040 3 года назад

    Hahaha anapata hamu jmn tuiulize hamu yenyewe inasemaje

  • @DuliBrillant-mr8er
    @DuliBrillant-mr8er 2 месяца назад

    Lete aya uctuvurugeee wap bible imesema ukristo ni dini ya haki uctuletee mambo ya kiama halaf mbona nyiny wakristo mnapotea

  • @saadkobelski8705
    @saadkobelski8705 Год назад

    Ww jibu swali wapi ukiristo dini

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 года назад +1

    Ukristo ni dini wagalatia 3:26-29. Qoran 5:68. Achani ushoga mbugila nyie. 1 wakorintho 3:23

    • @saidimwampombe4976
      @saidimwampombe4976 3 года назад

      kaka mbona povu linakutoka yann utukane ju ya mambo ya mungu

    • @ibnismail8831
      @ibnismail8831 3 года назад

      Ungelienda kuwasaidia makafiri wenzio naon unapaniki 2

    • @kibatofinest8840
      @kibatofinest8840 3 года назад

      Ibn Ismail imeandikwa wapi wakristo ni makafiri

    • @ibnismail8831
      @ibnismail8831 3 года назад

      @@kibatofinest8840 pmbn na hy kwnza usiwe mfa maji wwee

    • @kibatofinest8840
      @kibatofinest8840 3 года назад

      @@ibnismail8831 so we uko sahihi na wakristo wamepotea?

  • @katalatechniques534
    @katalatechniques534 3 года назад +1

    TAQBIIR!!!!!

  • @monalisalebasoto2538
    @monalisalebasoto2538 3 года назад +1

    Kwa uwo mjadala nimeamini ukristo ndo Kila kitu na yesu n Mungu hakika

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 2 года назад

    Wasilamu wamekawuka kbsa

  • @harshimissah-wn3cc
    @harshimissah-wn3cc 2 месяца назад

    Mbn umejibu kama mtoto asiefaham

  • @mamaabaraka393
    @mamaabaraka393 3 года назад

    Mwenzeni nimeelewa swali Ila jbu cjalielewa

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 года назад +1

    Mbona yupo straight na kaeleweka. .Allah anashusjaje kitabu kwa wakristo na wayahudi halafu hatambui dini zao inaingia akilini kweli? Acheni ushamba. Waislamu wote wanaoshangilia Ni vilaza

    • @alisonso4194
      @alisonso4194 3 года назад

      Dhhh ndg yang pole sana endelea tu ivo ivo kuamin kma ukiristo ndy dini ya haki iko siku utakuja kuelewa na itakua umesha chelewa

    • @simonkaggwanjala9597
      @simonkaggwanjala9597 3 года назад

      Kaka Allah kawataja hao kama watu wa kitabu (Ahlu al kitab) kwamba wamepotea kwasababu wamebadilisha na kuwakataa mitume walioletewa

    • @husnaaliy6158
      @husnaaliy6158 3 года назад

      daaaah chunga cna maneno yko

    • @latifachepa4435
      @latifachepa4435 2 года назад

      Chunga sana ulimi wako ndugu yangu

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi2854 3 года назад

    😂😂😂😂😂mchungaj kapata ilham

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus4040 3 года назад

    Hahaha udoctor wakujibu wa kisabato inasemaje

  • @justinesteven1036
    @justinesteven1036 3 года назад +1

    mbona amuoneshi vipande vyote kwann mnakata kata kwa nini mnaficha ukweli bali mnatuonesha vipande vyenu tu.

    • @justinesteven1036
      @justinesteven1036 3 года назад

      waislamu siku zote ni watu wa mwilini hawana elimu ya roho.tangu lini mtu ambaye hana roho mtakatifu na ajamkili Bwana Yesu akawa na elimu ya roho ndomaana wanasumbuliwa na majini every day.ni wajuzi wa mdomoni kupotosha watu kwa mambo wasiyoyajua point zao ni za kitoto sana polojo nyingi sana kama madalali wa dini

    • @abdulkareemamry2043
      @abdulkareemamry2043 3 года назад

      @@justinesteven1036 Kati ya wakristo na waislam wapi wanaongoza kwa kuondolewa mashetan na mapepo

    • @justinesteven1036
      @justinesteven1036 3 года назад

      @@abdulkareemamry2043 :nakuuliza je waislam awajagi kanisani kutolewa mapepo au majini?mbona unaongea kitu ambacho akina logic

    • @justinesteven1036
      @justinesteven1036 3 года назад

      @@abdulkareemamry2043 pia nimefurai sana kwa kusema wakristo wanauwezo wakutoa watu majini kuonesha kwamba ukristo ni imani yenye nguvu kuliko nguvu za majini.ufalme mmoja uwezi ukajifitini wenyewe.jina la Yesu lina uwezo na nguvu kubwa sana hata majini yanakimbia yenyewe.

    • @simonkaggwanjala9597
      @simonkaggwanjala9597 3 года назад

      @@justinesteven1036 Kaka naomba unieleweshe imani yako adi leo sijawahi kuielewaa. Ivi mungu ni Yashua au Yesu

  • @kisiwaonlinetv
    @kisiwaonlinetv 3 года назад

    NINGEOMBA MTUWEKEE FULL MDAHALO MAANA HIVI VIPANDE VIFUP VINACHANGANYA KUFUATILIA

  • @wezhc3013
    @wezhc3013 3 года назад

    Hawa wakristo hawajielewi wala hawajui kusoma kitabu vizuri

    • @minahadi2190
      @minahadi2190 3 года назад

      Yan jibu hana kaz kuropokatu 😄😄

  • @aminahassan7698
    @aminahassan7698 3 года назад

    Tatizo hawaelewi wakristo

  • @khamismcha9294
    @khamismcha9294 3 года назад

    Jib swali wew mbona una garagara tu jibu

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 3 года назад

    Waislamu sindano imewaingia Allaha anasema Kristo ndio Dini halafu waislamu mwampinga Allah.

    • @asminnassor6832
      @asminnassor6832 2 года назад

      Sasa Kama unamwamini Allah kwann usiwe muislam

  • @aminahariri2058
    @aminahariri2058 3 года назад

    Njooni kwetu Kwani uislam ndio dini ya haq

    • @lizzymbatia1925
      @lizzymbatia1925 3 года назад

      Yaaaan hakuna tiketi inayoitwa dini ambayo itamfikisha mwanadamu peponi,Ila je matendo yako yanampendeza Mungu sio dini,tutakuja kuhukumiwa pasipo kujua ,wakati tumeshika dini matendo yakaja tuangusha

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 3 года назад

    Yani raha Sana

    • @bensonlangat640
      @bensonlangat640 3 года назад

      Kabisa kaka Kanisani kuna raha zaidi.

    • @kutailadifi2854
      @kutailadifi2854 3 года назад

      @@bensonlangat640 raha ipi mnashindwa kujibu maswali

    • @bensonlangat640
      @bensonlangat640 3 года назад

      @@kutailadifi2854 Lakini Nabii Elyaas alitambua hii maneno mapema.

  • @sirdioncornel2875
    @sirdioncornel2875 3 года назад

    na hakuna msabato anaweza fanya huo ujinga kujadili ujinga wenu

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 3 года назад

    Naona mnafarakana wenyewe

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 2 года назад

    Wucristo sio dini , dani ni nafundisho ya watu wa Galatiya 3:16

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад

    Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.
    Luka 10:20

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 3 года назад +3

    Tatizo ni mmoja wakristo tunaingia kwny mtego wa Dini ukimuhuliza mwislamu Dini ni nini? Kila mtu anajibu la kwake ila jmn ukristo sio Dini ni njia ya kwenda kwa Mungu ila Dini ni kifaa cha kumtafuta Mungu ukristo hauwezi kuwa Dini kwa sababu tiari unamungu wakristo wengi tunaingia kwenye huu mtego sijui kwa nini

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 3 года назад

      unajua maana ya ukristo?

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 года назад

      @@mohamedimohamedi8933 Ukristo ni ile hali ya mkristo jinsi anavyoendenda kama Yesu kristo

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 3 года назад

      @@charlesjoseph2092 how Jesus was prayed like Muslims by prostrates, Jesus never ate pork like Muslims, Jesus mother wore hijab like Muslims, Jesus salaam like Muslims amaani iwe pamoja nanyi the same like Muslims Jesus not for u

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 года назад

      @@mohamedimohamedi8933 Wewe muongo Yesu alisema Sharom maana yake amani iwe kwenu

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 3 года назад

      @@charlesjoseph2092 sharom in Jews in Arabic the same thing what about u Christians?

  • @mwalimameir4305
    @mwalimameir4305 3 года назад +3

    Ilo swali halijibiki milele wache wasisilimu Allah akawachome

    • @rahimaan6481
      @rahimaan6481 3 года назад

      🤣🤣🤣jibu hakuna hapo

    • @kutailadifi2854
      @kutailadifi2854 3 года назад

      😂😂😂yoka nianzage kuskizaga midahalo Sijawah kupatapo hilo jibu

    • @kibatofinest8840
      @kibatofinest8840 3 года назад

      Kuelewa kazi za Mungu zingine ni beyond human knowledge

  • @khamishaji9508
    @khamishaji9508 2 года назад

    ilham 😂😂😂

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus4040 3 года назад

    Sasa kiyama kinakujaje hpo

  • @unclejonah7350
    @unclejonah7350 3 года назад

    wasabato waislamu hii mijadala Ina nia ya kujitengezea makundi ama kupeleka watu mbinguni

  • @shabanimlisho2163
    @shabanimlisho2163 3 года назад +2

    Kweli wakristo mmepotea

    • @kibatofinest8840
      @kibatofinest8840 3 года назад

      Angalia maisha yako na uhusianio wako na Mungu wako kesho kiama sote tutakuwa sawa mbele ya Mungu na tutahukumiwa sawa hakutakuwa na upendeleo

    • @nicholauszephania3000
      @nicholauszephania3000 3 года назад

      Ww ndo umepotea tn snaa kutaf dini za watu weupe ususan miarab ambayo haiwatak kabisa watu weus ata kidogo

  • @geraldstanslaus2796
    @geraldstanslaus2796 3 года назад

    Acheni ujinga

  • @harunaalli3401
    @harunaalli3401 3 года назад

    mwenye akili atatambua ukwelu???

  • @vivanimajogoo3462
    @vivanimajogoo3462 2 года назад

    Majamaa wabishii tyu

  • @sirdioncornel2875
    @sirdioncornel2875 3 года назад +1

    mnapoteza muda nyie hapo hamna kazi za kufanya

  • @majutojohn1968
    @majutojohn1968 3 года назад +2

    Uislamu ni Dini ya Haki

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani2983 3 года назад +2

    Kumbe mnamjuwa ALLAH lakini mnajifanyisha kumtaja taja yesu kuwa yeye ndie Mungu nawakati sio kweli 😄😄😄😄

    • @yousupjabri7304
      @yousupjabri7304 3 года назад +1

      Wew huja wajua hawa...wakishondwa mada kwakukosa ushahid ktk kitabu Chao na wakagundua kua ndan ya Quran kuna mahala mungu kawataja ndo hapo wanapo mkubali nakutamka jina lake vzr kwasababu mda huo mtetez wake ni quran.wapuuz sana hawa sasa hapo kakamatika Hana Aya lazima atoe ktk Quran tena sio kwa usahihi ni kwakigeuza maandiko ili kutengeneza anacho kitaka😥😥😥😥
      .

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus4040 3 года назад +1

    Let andiko usabato ni dini wewe

  • @edinahkemuntomainya6551
    @edinahkemuntomainya6551 2 года назад

    Waislaam jueni kwamba dini haitapeleka mtu mbinguni bali imani

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад

      "Na anayetafuta Dini usiyokuwa Uislamu haitakubaliwa kwake naye Akhera atakuwa katika waliokula khasara"(85:3)Qur'an.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад

      "Je wanataka Dini isiyokuwa ya M/Mungu ba hali kila kilichomo mbinguni na ktk ardhi kimesilimu kw kumtii yeye kikipenda kisipende na kwake yeye kitarejeshwa"(83:3)Qur'an.

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад

      "Enyi Mlioamini(Waislam)mcheni M/Mungu kama ipasavyo kumcha Wala Msife ila nanyi ni Waislamu"(102:3)Qur'an.

    • @edinahkemuntomainya6551
      @edinahkemuntomainya6551 Год назад

      @@dulividuli5237 John 3:16 ukimkana YESU Kristo hata Mungu mwenyewe atakukana.Yesu peke yake ndio njia ya kuenda mbinguni.Maana yeye ndio njia, ukweli na uzima.Ukimuamini Yesu na kumkubali rohoni mwako basi wewe hauna budi kuenda mbinguni.

  • @mizzainallahwainailalhiraj8576
    @mizzainallahwainailalhiraj8576 3 года назад +1

    Jmn wenzetu wakaid lkn alokufa ndo anajuwa muda aloupoteza ktk dini isiyo sahihi

  • @brownmwakyusa7954
    @brownmwakyusa7954 3 года назад

    Naomba serikali izue

  • @firdausfofofirdausfirdaus4040
    @firdausfofofirdausfirdaus4040 3 года назад

    Yuko wapi Allah hpo ??

  • @bensonlangat640
    @bensonlangat640 3 года назад

    Tunaangalia Sana Sheikh na waislamu wanaendelea kumsifu Bwana Yesu.

    • @saidiissa4673
      @saidiissa4673 3 года назад +2

      Kumsifu yesu sio kosa, kosa yesu kumuita mungu na kumsingizia uongo

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 3 года назад

      yesu ni mtume wa kwa wanaisreali

    • @bensonlangat640
      @bensonlangat640 3 года назад

      @@mohamedimohamedi8933kumbe umepata Yesu ni mtume,basi,endelea tu kusoma,utapata tena ni mtume kwa ulimwengu,ukienda Sana ufika hata,John 3:16 utasikia maneno mazuri

    • @bensonlangat640
      @bensonlangat640 3 года назад

      @@saidiissa4673 na kwambia unakuja mzuri tu,ukiendelea utajua pia kukuri kama mwokosi ndio vyema zaidi.

    • @mohamedimohamedi8933
      @mohamedimohamedi8933 3 года назад

      @@bensonlangat640 Mathews 15:24 he answered i was sent to lost sheeps of Israelis

  • @shabanrama802
    @shabanrama802 3 года назад +1

    Hakuna katika vitabu vya Mungu kuwa ukristo ni dini Ya Mungu.hakuna hio

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 года назад

      Na hata katika Qurani hakuna Andiko unyenyekevu ni dini ya Mungu kama unaandiko NDAni ya qurani linasema unyenyekevu ni Dini ya Mungu toa

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 года назад

      @@Mchora_tz Ila zinazosema Uislam ni Dini ya Mungu Aya hizo hakuna??

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 года назад

      @@Mchora_tz Ndio sisi ni wafuasi wa Yesu kristo ambae Yeye ndie njia na kweli na Uzima mtu haendi Mbinguni isipokua kwa njia ya Yeye na ndio maana Alisema Mimi ndimi nuru ya ulimwengu Yeye anifuate hatakwenda gizani Bali atakua na Nuru ya Uzima, Yohana 8:12
      Sasa wewe unajiita Umma Wa Muhamadi Yani Mfuasi wa muhamadi akati Muhamdi Mwenyewe ukisoma Qurani 10:102 anasema Hajui atakachofanywa wala nyie mtakavyofanywa Yani hajui,
      Yani nimuache Yesu kristo nifate Muhamadi ambae Hajui mtakavyofanywa???

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 года назад

      @@Mchora_tz hata Mimi nimekuaomba Aya inayosema unyenyekevu ni Dini umesema Aya hiyo hakuna

    • @charlesjoseph2092
      @charlesjoseph2092 3 года назад

      @@Mchora_tz na Yesu ni zaidi ya nabii Soma Qurani 43:61

  • @nurdinsuleimang719
    @nurdinsuleimang719 3 года назад

    Hakika dini mbele ya mwenyezingu ni uisilam

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 года назад

    Wakiristo wanasikitisha sana maskini tuwaonee huruma mashekh msichoke kuwaonesha njia malipo yenu kwa Mungu. Hawa ni binadamu wenzetu

    • @kibatofinest8840
      @kibatofinest8840 3 года назад

      Ionee huruma imani yako kwa maana unaona ya wenzako ya kwako huyaoni

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 3 года назад

      @@kibatofinest8840 sio kuyaona ya kwangu. Nyie muko dini ya upotofu. Sisi tuko ya ukweli. Sisi tukifa tutasamehewa dhambi zetu Lakini nyie ni motoni milele. Hilo ndilo tunawahurumia

    • @kibatofinest8840
      @kibatofinest8840 3 года назад

      @@bigmanfish6346 😂😂ndugu sasa naona imani yako ndio potofu eti ukifa ndo utasamehewa dhambi zako?

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 3 года назад

      @@kibatofinest8840 ndio. Hata kama muislam ataadhibiwa na Mungu kwa makosa ambayo hakusamehewa, Lakini baadae atasamehewa na kuingizwa peponi. Lakini kafiri atakaa motoni milele. Je wajua maana ya milele??

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 3 года назад +1

      @@kibatofinest8840 hivi nikuulize? Bibilia imesema yesu kaingia msikitini. Hio aya huioni? Ikasema watu wamsujudie Mungu. Ikasema yesu alivaa kanzu na watu wazikwe kwa sanda. Hivi wewe kipofu huoni hizo aya?? Yesu Asema yeye ametumwa na Mungu Lakini Paulo Asema yesu ndie Mungu. Hivi utasikiza yesu ama paulo??

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 3 года назад

    Hawa wasabato ni MAKAFIRI
    Kuna vitu vingine havihitaji degree wala uprofesa....wala diploma...haya majamaa mbona hayajielewi????

  • @mchezakamaliog265
    @mchezakamaliog265 3 года назад

    Mnabahati gwajima hayupo mbona mngeyakanyaga😂😂😂😂😂😂😂

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284 3 года назад

    HAHAHAAAA

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 года назад

    Biblia katika 1 wakorintho 15 inasema Kama katika maisha haya TU tumemtumaini kristo sisi ni masikini kuliko watu wote. Na hapo hao waliolala katika KRISTO wamepotea.
    Maana yake mkristo anapaswa kumtumaini kristo katika maisha haya na maisha yajayo baada ya kufa. Usipoamini msaada wa kristo baada ya kufa kufufuliwa basiwaliokufa katika ukristo wamepotea. Lazima muelewe conditional sentences nyie maamuma wa kiislam.

  • @mobutu3884
    @mobutu3884 3 года назад

    Tatizo nililogundua hapa huyu anaepost hizi video anachukua vipande vipande ndio anapost ila ukitafta mdahalo mzima na ukasikiliza kwa makini tena sana bila ushabiki utapata kitu, kuna point za maana sana nimejifunza mengi mno. Believe me kuna dini haipo sawa.

    • @kibatofinest8840
      @kibatofinest8840 3 года назад

      Hamna dini haipo sawa zote ziko sawa kila dini inaamini kuwa kuna Mungu aliye hai wala hafi na ipo siku sote tutahukumiwa kwa matendo yetu hapa duniani

  • @waltershayo1339
    @waltershayo1339 2 года назад

    Wajibu swali

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 3 года назад

    Waislam bhana postn vipande vyote mbona mnavificha vingine mnaficha Nini😂😂😂😂

    • @mathewnemes5469
      @mathewnemes5469 3 года назад

      Kaka hawa waislamu ni wahuni balaa wanaweka vile vipande vinavyowahusu wao tu waweke mdahalo wotee ili tujue mbivu na mbichi.

    • @alawyjr4741
      @alawyjr4741 3 года назад

      Vipande vipo vingi ww angalia utaviona

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад

    Lakini, msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.
    Luka 10:20

    • @lizzymbatia1925
      @lizzymbatia1925 3 года назад

      Wakristo wote Mungu kakataaa kabisa marumbano yasiyo na roho mtakatifuu,acheni kabisa msifikiri mnatetea Mungu, Mungu hakai kwenye Hilo kusanyiko kabisa tokeni huko njoni mhubiri habari njemaaaaaa ya ufalme WA Mungu