MAJANGA KWA WACHUNGAJI JE ALIEKUFA NI YESU WA MATAYO SAA TISA AU WA MARCO SAA TATU. MW/ KINYOGOLI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 223

  • @mohamedkibwana7558
    @mohamedkibwana7558 Год назад +2

    Alhamdulillah Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia kuwa muislamu na nife nikiwa muislamu.

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db Год назад +1

    MashaAllah,Allah Awalinde na Husda,mzd Tupa elmu,na Mzd kuafundsha Wakristo waijue haki

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 года назад +2

    Wew alokwambia tunamkataa Yesu Nani....Sisi tumkubali Ila hatumkubali kama ni Mungu...

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 Год назад +1

    Mdahaloo mzurii sanaa mungu awalipe masheghe zetu ninakesha mdahaloo .

  • @user-oy8go8zs7e
    @user-oy8go8zs7e 3 года назад +2

    Najivunia kuwa muislam namuomba mungu anijaalie nife nikiwe muislam

    • @oscarramazani1289
      @oscarramazani1289 2 года назад

      Nami pia Allah blessing kinyogoli and his members AMIN

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 года назад +4

    Allah awahifadhi. Amin

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Месяц назад +1

    Mashaallah

  • @pusipakanyau1260
    @pusipakanyau1260 2 года назад +2

    Aleluya

  • @NadiaJuma-cp7vr
    @NadiaJuma-cp7vr Год назад +1

    Wislam Raha sanaa jamanii

  • @zairunyary7023
    @zairunyary7023 3 года назад +4

    Yani mashallah uyu juma kinyagoli mm nampenda sana

  • @takdirmahmoud
    @takdirmahmoud 3 года назад +5

    Mashaallah,,,kweli Uislam ni dini ya haki

  • @evangelisteroncempanyaoffi5782
    @evangelisteroncempanyaoffi5782 2 года назад

    Slt les enfants et le serviteur de Dieu ' ce moi EV RONCE MPANYA ' suis a kinshasa rep de mo cratique du congo'. voici quelques versets qui témoigne ou confirmé la mort et la résurrection de Jésus christ' jesus est ais mort et reusiciter ' il est ais aussi prêcher aux esprits en prison ' sous la terre pendant 2 jour et le 3 jour il a réussicité ' 1pierre 3:18'19
    Apocalypse'1:28
    Math 27:50'64'66
    Actes 3:15
    Romain 8:11
    1corit 15:20
    Hébreux 13:20
    Actes 2:24
    Ephesien4:9 merci lire tous ce verset s pour la confirmation' que Dieu vous bénisse'.

    • @allyally1077
      @allyally1077 2 года назад

      Sawa kafufuka lakini kafa saa ngapi jibu swali usikimbie, ndugu tunaelimishana tu

    • @allyally1077
      @allyally1077 2 года назад

      Sawa kafufuka lakini kafa saa ngapi jibu swali usikimbie, ndugu tunaelimishana tu

  • @swadaqtr1027
    @swadaqtr1027 2 года назад +3

    Ongeera masheke wetu mungu awalinde🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 3 года назад +3

    Huwa napenda sana mafundisho kwa style hio ya mdaalo.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 года назад +3

    Mashallah Allah Sheikh Said kinyogoli unawanyorosha wambiye. Badoo kuna ya Ibrahim bado uwanyoroshe👌🏾

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 года назад +2

    Mm sina mengi Ila nampendaga Sana Hamidu anavosoma...hhhh

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +3

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojl

  • @zaitunihassani8509
    @zaitunihassani8509 3 года назад +2

    Mashallaah

  • @abdulmajidhamismlaladtz8341
    @abdulmajidhamismlaladtz8341 2 года назад +1

    Wakristo kiujumla wamefirisika jumla nasio jumla sijui wamefirisika mfilisiko wa aje dah ebu tuwape pole kubwa POLEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!

  • @masamasa2387
    @masamasa2387 3 года назад +1

    🙏🙏 Mashallah Allah Awazidishie Umri Mashekhe wetu Ili Muweze Kutuelimisha zaidi.Jamani Uislamu Una Raha Yake.Waislamu Takbirrrrrrrr

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 года назад +2

      Raha ya uislam ni nini?
      Ugaidi kwa ajili ya pesa?roho chafu na wivu?uchawi na kutisha wengiine?ubinafsi kutaka kutawala hata vya wengine?au ni nini???
      Kuamini kuwa mkiua mkristo ndo mnaiona mbingu???
      Nawashangaa sana.

    • @oscarramazani1289
      @oscarramazani1289 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 una chuki na Uislam bila elim, someni kwa haki. Dini ya haki hapa duniani ni Islam. Neno Kristo ni cheo cha MTU katika dini, usizushe uongo kwa chuki ya uislam na wa Islam. It will be problems here after. Fear God it will be better to you.

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@oscarramazani1289 Chuki mnayo nyinyi kwa Wakristo,mnafikia hata kutuita eti makafiri,hivi hapa kafiri ni nani??kati ya uzao wa Isaka na uzao wa Ishmail nani kafiri??
      Mnafikia hata kusema eti ukiua mkristo unaenda mbinguni!!hivi hiyo mbingu ni ya mjomba wenu??
      Imani ya kweli ni Ukristo tu,maana unahubiri AMANI duniani,ukifuatilia sana,sasa hivi huko midle east waislam wengi wanabadilika,tena wao ndio waanzilishi wa dini yenu wewe nani??😂😎

    • @fatumahassan3205
      @fatumahassan3205 2 года назад

      Allahu akbar

    • @user-gi4ls3bh3l
      @user-gi4ls3bh3l 2 года назад

      Allah akbar

  • @zuusaidibushiri5556
    @zuusaidibushiri5556 3 года назад +2

    Nimependa alivyo apa WALLAH

  • @livefans5914
    @livefans5914 3 года назад

    Mashaallah Mashaallah
    Masheikh wetu ALLAH akufanyie wepesi na Akulipeni mepesi zaidi

  • @joshuanoel4482
    @joshuanoel4482 3 года назад +1

    Hii midahalo ndo sehemu pekee unaweza ukasema uongo na watu wasijue kama wanavyofanya wanazuoni wa kiislamu

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 2 года назад +2

      Ukweli si ndo ujibiwe na Hawa wachungaji Sasa kinashindikana nn

    • @joshuanoel4482
      @joshuanoel4482 2 года назад

      Unahitaji kutumia akili kuelewa kuwa hawa wanazuoni kwa mfano hawawezi kukusomea mlaango mzima bali wanadonoa maandiko ili kuooteza mantiki iliyokusudiwa na mwandishi mf anaweza kukusomea 1wakorinto wa kwanza 15-15-19 na kusema wakristo wamepotea jambo ambalo so kweli na ukimwambia amalizie mstari wa 20 hakubali sasa huo so uongo

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 2 года назад

      @@joshuanoel4482 kwann uutaje ukiristo wkt walimu wako nao wanasoma kwa staili hiyohiyo wote tunasoma maandiko na tunajua

    • @joshuanoel4482
      @joshuanoel4482 2 года назад

      @@ilhamswaleh3428 Hakuna wakristo huwa hawafanyagi huo upuuzi

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 2 года назад

      @@joshuanoel4482 unajisikia unachoongea ?

  • @azizaisihakampembaisihakam6206
    @azizaisihakampembaisihakam6206 3 года назад

    Asanteni sana kwa midaharo hii

  • @angelanikalenga4757
    @angelanikalenga4757 3 года назад +1

    Wakristu wezangu hacheni kuketi barazani kwawenye mizaa msije mkaesabiwa zambi amini Yesu bwana wetu alikufa nakufufuka

    • @oscarramazani1289
      @oscarramazani1289 2 года назад +1

      Kumtumaini Yesu badala ya Mungu ni dhambi kubwa.pia Yesu hakufa wala hakusulubiwa, ni dhana tu hizo. Dini dunian ni Islam kwa haki, Kristo maana yake ni nabii. Somen kwa haki. Jee 6 na 3vyaweza kubwa sawa au 9 na 3 nisawa? Mumekuwajee mnahukum namna gani? Wachungajieeeeh

    • @angelanikalenga4757
      @angelanikalenga4757 2 года назад

      Iyo doimaniyako tukutane sikuyakihama

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 3 года назад +3

    Kkkkk kinyogoli banah aki unawaadhibu kweli kweli,

  • @jamcomeir8503
    @jamcomeir8503 2 года назад

    swali la yesu yupi wa saa sita au saa tatu ni gumu kwakweli niwe tu mkwel muinjilisti kazunguka ila halijibiki

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw Год назад

    Usilamu haki....Takbir Allah

  • @innoipolit5424
    @innoipolit5424 3 года назад +1

    Daaaaa hawa mashehe wanapoteza watu sana

    • @DuliBrillant-mr8er
      @DuliBrillant-mr8er 3 месяца назад

      Nyiny ndio mnaopotelewa manake kanisani hamruhusiwi ata kuhoji

  • @husseinhusein-zj7ez
    @husseinhusein-zj7ez Год назад

    Wachungaj kwa mdahalo huu msipo
    silim basi kweli nyinyi makafili

  • @emanuelmoses3898
    @emanuelmoses3898 3 года назад +1

    Mnajitekenya wenyewe halafu mnacheka wenyewe endeleeni kujifurahisha ila ukweli Yesu ndiye Mwana wa Mungu na huyo ndiye mtakaye mwabudu

    • @theafricanprincevivecongo8632
      @theafricanprincevivecongo8632 3 года назад

      😅😅😅

    • @mariamabdul5405
      @mariamabdul5405 3 года назад +1

      Mbona mamake yesu mwenyewe mbona hakusema ya kwamba kuwa yesu ni mwanawake mungu jamani mbona munaengeza maneno yenu kwenye bibilia 🤔🤔🤔🤔

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 2 года назад

      Unamwambia Nani Sasa maana na ndgu zako wachungaji wapo hapo😁

    • @allyally1077
      @allyally1077 2 года назад

      Bibia unakuagiza usujudu nasikupiga kelele

    • @mchambawimatv3682
      @mchambawimatv3682 Год назад

      Leta andiko yessu kaingia kanisani

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn Год назад

    Eti yesu ni yule yule inamaana alianza KUSULUBIWA saa 3 halafu saa 6 akasomewa mastaka

  • @user-hp5ep5jd2n
    @user-hp5ep5jd2n 11 месяцев назад

    Wasabato wasenge nyaji

  • @ulayamtoni1447
    @ulayamtoni1447 2 года назад

    Ok

  • @AmiirAlwajidiAsomaal
    @AmiirAlwajidiAsomaal 3 года назад +1

    Ma sha Allah

  • @saidisayd7350
    @saidisayd7350 2 года назад

    Hatari

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 года назад +1

    Allah amefanya miujiza mingapi...wew unawazimu ati shikio limerudishwa....Mungu anatoa usiku kuwa mchana mchana kua usiku ..wew Unadhani Yesu anaweza...

  • @selemankadede8332
    @selemankadede8332 2 года назад

    Nyinyi wakristo dini sio ubishani wa simba na yanga mmeshindwa kujibu swali Hilo semeni yesu gani mnae muamini amesulubiwa ni yule wa saa tatu wa saa sita au wa saa Tisa Hilo swali hamuwezi kujibu mpaka palapanda linalia

  • @muhamedissa9477
    @muhamedissa9477 2 года назад +1

    Mjifunze bibilia mbona majibu yenu wasabato atuya elewi

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 3 года назад

    Nimelipenda hilo swali

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 2 года назад

    Huwezi kua musilamu bila kuamini yesu lakini tatizo lenu wakristo mnasema yesu atabeba madhambi yenu na yesu raliallahu annhu habebi dhambi lamtu yoyote kwanza yake haatoyaweza kwasababu nyinyi wakristo mnasema yéyé nimungu nimtoto wamungu hapo mnamuudhi sana hapo alipo

  • @zainabujumma2224
    @zainabujumma2224 3 года назад

    Mashallah kinyogoli

  • @mbaroukmuhamed2156
    @mbaroukmuhamed2156 3 года назад +2

    Yani wakristo wanaongopewa naona hajibu swali la msingi

  • @latifasalumu6083
    @latifasalumu6083 2 года назад

    I will be there at like Kama unitaki katupe mzinga namimi nimesema ivo nikupimetu msimamo wako

  • @chechelawasafi3409
    @chechelawasafi3409 3 года назад +1

    Mchungaji kaapa kwajinaa Allah

    • @kilimbasaid1193
      @kilimbasaid1193 3 года назад

      Allah hakwepeki yani mungu awaongeze tu wabadilike

  • @DuliBrillant-mr8er
    @DuliBrillant-mr8er 3 месяца назад

    Huyu anaeitwa nelson anazunguka tuuuu hajibu maswali

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 3 года назад

    Mashallhaaa shekhe

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 3 года назад +1

    Mashallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @saidizidadukanyida8875
    @saidizidadukanyida8875 3 года назад +1

    Yani apo apo wainjiristi wamevurugana wao kwa wao wa kwanza alisema yasu kasububishwa saa 9 uyu wa mwisho kasema saa 3 uwo mvurugano waislam tukae pembeni tuwaachie wao shekh ashamaliza kaz yake

  • @pusipakanyau1260
    @pusipakanyau1260 2 года назад

    Mwamini yesu

  • @omargbabaomar2004
    @omargbabaomar2004 3 года назад +2

    Masha Allah sheikh kinyogoli

  • @mavumbimavumbi4905
    @mavumbimavumbi4905 3 года назад +1

    Nimekipenda kiapo cha mchungaji hahaha WALLAH

  • @jamilaalfarsi7712
    @jamilaalfarsi7712 3 года назад +2

    Doctor wakujibu maswali mbona swali la ukristo nidini hakulijibu

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 года назад

      I"ll answer your question,Christianity is not Religion Christianity is FAITH.
      Cause Our Almighty Lord God has no Religion,needs FAITH,looking your HEART.
      🙏🙏🙏

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun380 2 года назад

    Yesu kafa maajabu...

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 года назад

    Allah Akbar

  • @pusipakanyau1260
    @pusipakanyau1260 2 года назад

    Jina LA yesu linaponya sio muhamad

    • @allyally1077
      @allyally1077 2 года назад

      Huko nikumezeshwa Soma biliary yako vizur

  • @Mohamedkasim2
    @Mohamedkasim2 3 года назад +2

    Swaim mashallah 🤲🙏🙏

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +1

    Natamaniii huu muhadhara a waurudie tenaaa...

  • @ibrahibakar1167
    @ibrahibakar1167 3 года назад

    Mimi kwa mtazamo wangu wasomi wanatuchanganya ni kheri nibaki na imani yangu

  • @dorbertnsabimana5302
    @dorbertnsabimana5302 2 года назад

    f

  • @hamisimuhammad6225
    @hamisimuhammad6225 2 года назад

    Yani ukristo niukafiri kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @martinsadru220
    @martinsadru220 3 года назад +1

    Nyie wote ni wasanii tena amjui lolote, njooni tuwafundi ufalme WA mungu, mcha mungu hafi Bali anatwaliwa anaekufa ni mwovu.

  • @aidanernest2559
    @aidanernest2559 2 года назад

    Hakika hawa waislam ni wasanii hawaeleweki

  • @IbnuAlly-cg2gn
    @IbnuAlly-cg2gn Год назад

    Ktk maandiko yote limetumika neno KUSULUBIWA sasa ww umetumia kigezo gan kutofautisha ebu tuambie swalaba ya mateso inakuaje na swalana ya kuuwawa inakuaje?

  • @omanbarka2053
    @omanbarka2053 3 года назад +1

    Kweli wakristo hawajielewi sasa swali lingine mtu anajibu utumbo kwani hapo umeulizwa usaliti au umeulizwa kuhusu kusulibiwa,najivunia kuwa muislamu nawala sijutii nipo kwenye dini ambayo kitabu chake hakina shaka

    • @samwelemanuel4994
      @samwelemanuel4994 3 года назад

      mtu wa din sehemu yake ni jehanam tu Bali wa wokovu ni uzima was milele

    • @nicholauszephania3000
      @nicholauszephania3000 3 года назад

      We ujiewewi din sio njia ya kuku pereka mbinguni ata ni iman yako nikuuliz ww ni mtu mweus sasa jalib kuow mwarab kam itawezekan izo din ni za mashetan kwasabab kwann waarab wazung wanatutenga wa afrika Wana tunyanyasa waisram walituperek utumwan wakatuuz kama nyanya kwa wazungu ss uwaral wa din zao upo wap funguka toka utumwani

    • @samwelemanuel4994
      @samwelemanuel4994 3 года назад

      unajivunia ushetani jehanam inakuhusu ndiyo utaamini yesu ni bwana saw ukimkataa yesu umekataa mungu ok

    • @omanbarka2053
      @omanbarka2053 3 года назад

      @@samwelemanuel4994 wewe upelekwe kituo cha wenda wazimu

    • @samwelemanuel4994
      @samwelemanuel4994 3 года назад

      @@omanbarka2053 we ndo upelekwe hujui unachokiabudu yes ni njia yakweli na uzima Alfa na Omega saw sitaacha kusema ukuu wa bwana wetu yesu kirsto siyo mtme

  • @japharymagesa735
    @japharymagesa735 3 года назад +1

    Bado sijaelewa hapo bhana mbona maneno mengi kutoka mdomoni wakati kitabu kipo
    Janja janja

  • @zakayojuma8121
    @zakayojuma8121 2 года назад

    Kizurinikwamba mungu nimmojatu sisisote tutakutana huko hakunachadinihuko walamaswali

  • @musamtalami4575
    @musamtalami4575 3 года назад +1

    Kumbe yesu hajafa na atakuja kufa?.,kumbe you hai.mtume mohamed aliyekuja miaka mia NNE baada ya yesu alikufa lakini yesu hajafa had I Leo aisee!!.

  • @newttechog75
    @newttechog75 3 года назад

    tukiwa na waelewa kama shkh said juma kinyogoli hawa wakristo watanyooka tu

  • @shabanswed6327
    @shabanswed6327 3 года назад

    66 cuz

  • @mohdhusseinbway6493
    @mohdhusseinbway6493 3 года назад +2

    Wakrsto hawanaakili

    • @morrissummertime9160
      @morrissummertime9160 3 года назад

      Nyinyi ndio mmepotea kabisaaaaa

    • @samwelemanuel4994
      @samwelemanuel4994 3 года назад +1

      wewe shika adabu yako wewe nyie mmepotoka

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 3 года назад

      Wote tumesoma shule iv swali alisulubiwa saa tatu au saa sita au saa tisa limejibiwa kweli maana amejibu kukatwa sikio hha 3:19 QUR-AN Nini mbele ya Allah ni Islam tu hakuna din nyingine bwana.kama ipo nyingine jibu kwa aya ili tutafute ktk hiyo Bible.🤲

    • @petromachanga5538
      @petromachanga5538 3 года назад

      Hatunashaka tumesimama kidete

    • @mariamabdul5405
      @mariamabdul5405 3 года назад +1

      @@morrissummertime9160 but still hamuja jibu maswali vile yanavyotakikanika munapeana tu vitu nje ya swali

  • @muslihmohd3685
    @muslihmohd3685 2 года назад

    Yani huu mdahalo kiukwel mtam kweli maana vidume vyote vipo ilikuw tumpumzishe mzee wetu mazinge kwa leo jamani maana hao waliopo kinyogori au shafii anatosha Kwa hao wote

  • @saidimoshi1276
    @saidimoshi1276 3 года назад

    Mbona mnakimbia swali

  • @ruthvilinga7780
    @ruthvilinga7780 3 года назад +1

    Muslim ni dini ya kupinga Mambo yaliyo wazi wanakata Yesu kristo alikufa na kufufuka na Wala harundi kufa mbali anarundi kuhukumu. Na yy ndiye alama ya kiama

    • @katerelomkuyati6764
      @katerelomkuyati6764 3 года назад

      MWANA AKIMUOMBA BABA SAMAKI, BABA ATAMPA MWANAE NYOKA BADALA YA SAMAKI?

    • @mariamabdul5405
      @mariamabdul5405 3 года назад

      But kitabu chenu kimesema ya kwamba kuwa yesu hakufa wala hakusulubiwa 🙄🙄my dear pitia kitabu chenu vizurii ukweli utaupata mwenyewe bila majadiliano 🙂🤗🤗

    • @ruthvilinga7780
      @ruthvilinga7780 3 года назад

      @@mariamabdul5405 😄😂🤣🙉🙈🙊

    • @oscarramazani1289
      @oscarramazani1289 2 года назад

      Tumia Akili, musiwe na chuki bila elim. Hata mtoto wa darasa LA Kwanza hawezi kubali eti 3na9 pia6 ni sawa

    • @allyally1077
      @allyally1077 2 года назад

      Tatizo bibilia mnasomewa na hamsomi

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 3 года назад

    kama Yohana ndio mnayo mtegemea basi Wakristi mumefilisuka jabisaaaa.

  • @katerelomkuyati6764
    @katerelomkuyati6764 3 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
    MAKAFIRI WANASHINDWA KUJIBU MASWALI
    MPAKA AIBU, YAANI SIJUI KWANINI HAWA MAKAFIRI WANAWAPOTEZA KONDOOA ZAO NA MIKANISA YAO

    • @swadaqtr1027
      @swadaqtr1027 2 года назад

      Hapo sasa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 года назад

    Naona wengi hamjui kuhusu ukristo na uislam ndo maana mwabishana.

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 3 года назад +1

      Wewe unae jua tufahamishe

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 3 года назад

      Au ndio uislamu uliletwa na waarabu na ukristo ukaletwa na wazungu uongo???

    • @abokrarshamsan7963
      @abokrarshamsan7963 3 года назад

      Uislamu haujaletwa n warabu mungu kamchagua mtume wke wa dhati n wa mwisho hapa ulimwengun ambae n mwarabu ndio alitumwa kw watu wote. Ila wazungu ndio waliwatengezeeni nyie ukristo ili wawapoteze.

    • @mussachichajr
      @mussachichajr 3 года назад

      Wewe ndio hujui kitu

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 года назад

      @@abokrarshamsan7963 sifa ya anaemjua MUUMBA vizr huwezi kumkuta anabishana😂😂😂

  • @swadaqtr1027
    @swadaqtr1027 2 года назад

    Wakiristo musilimu mada imewashinda

  • @fatumahassan3205
    @fatumahassan3205 2 года назад

    Waislamu Hawako na hawatakueko waislamu ni dini ya haki urongo wa wakristo hawajui wanaongea nn?

  • @johnissango2357
    @johnissango2357 3 года назад

    nyie wakristo waislamu wanawapotezea muda wanajua kabisa biblia inasema yesu kasulubiwa,na kufa na kufufuka,lakini wanaokoteza vimijistari tena kutoka kwenye biblia,kanakwamba biblia inagongana na kwa nini watumie biblia ikiwa wanaamini biblia ni uongo?waislamu kuweni wakweli unapodanganya hudanganyi mwanadamu mnamdanganya mwenyezi Mungu.

  • @ruthvilinga7780
    @ruthvilinga7780 3 года назад +1

    Saa sita ilikuwa siku ya maandalio ya Passover jioni asubui siku ya ijumaa akasulubiswa saa tatu.akakata roho saa tisa.ni Yesu kristo waislamu hamueliwi kabisa.

    • @mariamabdul5405
      @mariamabdul5405 3 года назад

      Karegelee bibilia yenu vizuri dear one 😊😊

    • @ruthvilinga7780
      @ruthvilinga7780 3 года назад

      @@mariamabdul5405pole sana🤣🤣🤣

  • @petrosamweli309
    @petrosamweli309 3 года назад

    Kwan waislamu mnataka mjibiwe kiarabu ndo muelewe sio maana kama kishwahili kinaeleweka mnau uliza swali na mnajibiwa why oooh swali alijajibiwa acheni kujin,gatan,gata jamaniiiii...yesu ndiye njiaa ya uzima wa milelee mtake ndo ivyo msitake ndo ivyo biblia takatifu imesema hivyo shida yenu nyie hamfati makala mnaanzia Aya katikatiaa..achen janjajanjaa...

    • @juliusvicent8247
      @juliusvicent8247 3 года назад

      Kijana sikiliza acha mambow meng

    • @ashanassoro6492
      @ashanassoro6492 2 года назад

      😂😅najua wakristu mki panik masikio yanakuwaga hayasikii viziri

  • @andrewmichaelmwakipole5054
    @andrewmichaelmwakipole5054 3 года назад

    Maisha yana historia Yesu alizaliwa akalelewa akanza kujitegemea katka utumishi kwa kusudi aliloletewa ivyo maisha pia yana njama biblia inasema musa tunaona maisha yake na watu kumkataa lakini ndie alie tumwa kuwaokoa Israel ivyo tujue kuelewa historia na kujua jambo la msngi ndani ya historia

  • @mbwilomkingambwilo186
    @mbwilomkingambwilo186 3 года назад

    Mjadala huu naupa -0.05% maana hakuna dini sahihi nje na asili ya mtu,nenden mkatambike,mnajadili hamna. AFRICAN CULTURE IS THE BEST TO AFRICANAS.

  • @adamtanganyika3530
    @adamtanganyika3530 2 года назад

    Hapo hakuna anae ielewa biblia hata 1 biblia haisomwi hivyo na ikisomwa hivyo hakuna atakae ielewa kwamana biblia inatambulika kiroho

  • @taitaomar6309
    @taitaomar6309 3 года назад

    doh! wanakhasara kubwa! et kasulubiwa sa9 mwingine kasema sa3 asubuhi ,pia anasema sa 3,6na,9 nisahihi hawa mapastor hamana kitu! hta akili ya kuzaliwa hawana!

    • @samwelemanuel4994
      @samwelemanuel4994 3 года назад

      nyie ndiyo Hamna kitu mnamwabudu mwanadamu Muhammad kwakeli mnahitaji maarifa waslam nyie mnaeneza dini mungu hajaleta din ameleta wokovu ole wenu nyinyi walimu was din na mafarisayo

    • @taitaomar6309
      @taitaomar6309 3 года назад +1

      @@samwelemanuel4994 waislamu hatumuamudu mtume muhammad! nikosa kumuabudu binadamu mwenzio! na si kua sisi hatumpendi yesu noo! kosa ni yesu akiitwa mungu au kusema kauwawa na sulubiwa!

    • @samwelemanuel4994
      @samwelemanuel4994 3 года назад

      @@taitaomar6309 soma yohana 3 16 na yoh 1 3 neno Lili badilika kuwa mwili kwahiyo yesu ni mungu ninafsi ya pili ya mungu ndiyo atakaye hukumu ulimwengu alifia msalabani akafufuka siku ya tatu

    • @taitaomar6309
      @taitaomar6309 3 года назад +1

      @@samwelemanuel4994 sawa lakini bblia imekanusha kua mungu wa kweli hana sifa ya kubadilika badilika leo awe mungu kesho awe mtu! na yesu kasema yeye ni mtu!

    • @samwelemanuel4994
      @samwelemanuel4994 3 года назад

      @@taitaomar6309 yesu aliuvaa mwili wa binadamu yesu ni mwana wa mungu na ni mungu mtume Muhammad ni Kama mtume Paulo kwahiyo ni binadamu lakini yesu ni mwana wa mungu na ni mungu

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 3 года назад

    Mnaonaje mkiwa mnahubiri juu ya imani yenu na kutafsiri hicho kitabu chenu mnachosoma kulia kushoto ?
    Acheni wivu nyinyi!#

    • @faidhayassin9807
      @faidhayassin9807 3 года назад +1

      Subilia pumzi itakapo kata ndo Utajua kama wanawaonea wivu

    • @faidhayassin9807
      @faidhayassin9807 3 года назад +1

      Ilanakuombea ujue Ukweri inshaallah

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 года назад

      @@faidhayassin9807 Ni wewe umesema hayo,na pumzi utakata wewe😅😊☺

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 3 года назад

      @@editrudesmbonde9051 hata wewe pia ipo siku uta kata pumzi hakuna atakae ishi milele

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 3 года назад

      @@rayaalhabsi1725 This is not the explanation,everybody will die l know that,but the issue here for you Muslims is that"stop insulting other Religions,it seems Christianity is problem to you guys,STOP that idea and START teaching people who listening to you your quran not Bible.
      Let Christians teach Bible,and you Muslims teach Quran.🙏🙏🙏