Shelkh Yahaya Mungu hakuifadhi na hakulipe kila raheri na hakupe kitabu chako kwa mkono wa kulia tutakukumbuka daima shelkh wetu umefanya kazi zuri sana duniani
Hawa wakristo wananin maan mwenye akili atajua haki uko wapi ila walivokua wabishi ngoja mfe mtajua kwa Allah kunann maan looo.uislam ni Nuru alaf nurii👍
Murtad Yohana Omar Tatizo alilonalo ni kwamba anasimamia misimamo Kwa Ubishi na wala si kwa Haki... hilo ndio tatizo lake na pili anawachukia waarabu hv chuki zake zimemtoa ktk ukwl
Kwani udungu nn acha ujingat wewemusa myahud wap ISSA myahud wap au wwnd unambatiza mwehuww tuachie mtume wetu kipenz Muhammad(sw) we kaan ubishi wako atapokuja malakul maut utautaman uislam ila wp fanya mzahat wazungu wanakuzingueniee polen wapenz Allah yupo ngoja muone wenyew hioni nusu yastori sisi tunaami na tusha kabidhiwa Pepo umat muhamad asietaka haingii anaetak njia nyeupe mfuatetu bas jiulize gunguo ya peponi ni ipi masheh Allah awalipe jannatl
Mashaallah tabarakarahman Hakuna mbele ya uislamu huezi kitu chochote mbele ya waislamu hapo hapo majibu tena majibu safi yalio wazi wazi haitaki fundi mkubwa kujua mtoto mdgo mchanga ataelewa,hawa ni sumun bukmun umiyun watabaki hivihivi
Waisramu wataendelea kuwa nyuma tu, ya wakristo kuanzia uelewa, uchumi, na nguvu ni kwasasababu dini hio ni yauongo, maana mtume wao ni kituko, ati alipewa utume kwa kukabwa,, hafu hajui atakalo fanywa, tena yeye sio kioja kipya ktk mitume,, hivi waweza kumwamini mtu kama huyo? Jifunzeni kwa omari yahya alivyo ukataa uongo akaenda kwenye kweli, mola amubaliki
@@bencarson1306 wewe na huyo omar ni sumun bukmun umiyun nyinyi mumeshapigwa mihuri hata mukafundishwa itakua shida kuelewa ilobaki nikumuomba mungu awaongoze njia ilonyoka
Nifundishe ili nielewe,, maana mm naijua historia ya dini zote kuanzia uyahudi, uktisto , uisramu, ndio maana mm nikachagua ukristo , ila uislamu nikauona ni uongo
@@bencarson1306 wewe ni hutaki ukweli mafundisho yote hayo hukushika kitu basi ni hutaki ukweli ulioko wazi Ndio kakuambia ninyinyi wale walioambiwa sumun bukmun umiun mushapigwa mihuri nyoyo zenu
Mbona, ukweli sijauona ila nilichoona ni kuunganisha hoja za uongo tu,, na kwakua yuko huru ksema vya uongo,, niandiko lipi lilimutabili mhamadi ktk biblia?
*wakristo mnakataa kwa matashi yenu mtume Muhammad katajankny bibilia kwa jina lake angalieni " song of Solomon **5:16**" katika lugha ya kihebrew katajwa kabisa Muhammad mnataka Nini Tena*
Wakristo tuna huakika maana tunaemfata alienda mbinguni Yesu na akasema mtu awezikuja mbinguni bila kumuamini yeye kuwa ni mwokozi wako kwaiyo Kama Muhammad hakumuamini kuwa Yesu ni mwokozi wake mbinguni hakwenda maana Yesu amesema kila mtu na Muhammad akiwemo na wewe
*Wakristo mnakataa kwa matashi yenu mtume Muhammad katajankny bibilia kwa jina lake angalieni " song of Solomon **5:16**" katika lugha ya kihebrew katajwa kabisa Muhammad mnataka Nini Tena*
@@mohammedsuleiman5066 yani kuhusu kutajwa kwa mtume wenu kwenye BIBLIA ni kama kutaja nguruwe kwenye msikiti..hiyo haki unayoizungumza unaona mahojiano yote hapo..usisikilize wanaoweza kukata vipande vya video kwani ni dhahiri zipo hoja nzito na za muhimu zimefichwa..ukiambiwa fuatilia usiishie kuunga mkono bila kufuatilia uvivu wa kusoma na kufuatiliaunaweza kukusababishia usiione MBINGU..MUNGU AKUSAIDIE UMJUE NA UMFAHAMU kwani hata clip yenyewe tu inakatwa vingapi vitakatwa hapo kwenye huo muhadhara na ilhali wapo wataotaka kujua vilizungumzwa nini...
@@aishaarusha894 nisubiri moto juu ya uhalisia nilioeleza..labda moto wako ila siyo wa MUNGU ila kaa ukijua huyo YESU anayehubiriwa kwenye kitabu chenu kaonyeshwa ndiye atakayekuja kusimamisha hukumu na ulimwengu kuisha...sasa wewe fata mtu tu ambaye amekwisha kuondoka duniani ila yupo aliye hai endelea kumkataa siku atakaporudi MASIHI YESU ndipo utakapojua kuwa ulimfata mwanadamu tu na hakuna mahali amekukomboa na moto YAANI UACHE KILICHO HAI UFUATE KILICHOLALA jifikirie vizuri wewe..na ukitaka kuelewa angalia mafundisho ya mtume wenu hadi anaamuru mtu auliwe aliyetoka uislamu ndani ya siku tatu sasa hujiulizi anayemuua na yeye hana dhambi kama wote wana dhambi sasa nani anastahili kukatisha maisha ya mwingine na je huyo atakaye muua inamaana hatotenda dhambi na akitenda kitafata nini juu yake acha kujidanganya wote ni waovu na hayupo mwenye mamlaka juu ya mwingine kila mtu atabeba mzigo wake..yani mtu anahubiriwa aingie uislamu na anaingia mwenyewe eti akihitaji kutoka auwawe sasa ni nini hicho kinafichwa mtu asitoke...MUNGU AKUSAIDIE AISHA NA NAJUA ATAKUSAIDIA UTAMJUA MUNGU VEMA NINI ANATAKA LAZIMA UMFAHAMU KWANI IPO SABABU NDANI YAKO JUU YAKE
@@abrahamsnoopdog5929 🤣🤣🤣......dini ya walevi hiyo niende nayo wapi !!! mjinga tu ndio anaweza kuukubali uislam. We dini gani waaandishi wa kiarabu chake walikuwa walevi na mwingine alikuwa na shetani , 😂🏃♂️🏃♂️dini ya Jehanamu hiyooo
@@profs.a5412 Walevii ni wakristo hata ukiangalia Dunia nzimaa Walevii ni wakristo, hata walioandika bibilia walikuwa Walevii kamaa ww, halafu ni watu wauwaji kama pauloo aliyekuwa gay, hakuna dinii yaitwa ukristo
@@profs.a5412 😂😂😂😂 hakuna yeyote alie na akil timam anaweza kuwa mkristo,mm nimezaliwa huko nimekulia huko nimesomea ktk mising ya kanisa na mpk sasa wazaz wng wote ni viongoz wa juu wa kanisa lkn mm nimefuatilia kwa kina niliujua ukwel nikaslim,sasa ww kipofu wadanganye vipofu wenzio, hakuna walev km wakristo,hakuna watu wasio na maadil km wakristo,hta ukiangalia mipito ya mavaz ya ibada kati ya waislam na nyie makafir utapata majibu
@@huseinshedrack6180 halali umeslim , kuzaliwa kwenye ukristo sio kumjua Kristi🤣🤣🤣 na kuslimu haimanishi umeujua uislamu , wengi mnaslimu kwasababu ya kushawishiwa na mashehe .... Yani wewe hapo nikikwambia unipe Aya moja tu ya Quran ambayo Mungu anasema kamtuma Muhammad utabaki unalalamika badala ya kutoa hoja🤣 hiyo hata shehe wako hawezi kukupa ..........na nihoja ndogo saana sijataka nikupe hoja nzito utaanza kusema nautukana uislam🤣🤣
Wainjilisti wetu nyie hamna camera za kurecord maana waislamu wanaweka wahadhiri wao wakipinga yaliyoongelewa Na wahadhiri wa kikristo hawasikiki, mhadhara gani unasikaka upande mmoja Na wasikilizaji wanajifunza nini kama upande mmoja wa maelezo hausikik? Eti dini ya haki wakati midahalo yenyewe haina haki!!!
Yesu anasema yafaa mimi niondoke na nikiondoka nitampeleka msaidizi kwenu, huyo atawaambia yote yaliyo kweli. Je Yesu anampelekaje msaidizi, kwahiyo wanakubali kwamba Yesu ni Mungu maana alimleta mtume wao.
Yesu anasema yafaa mimi niondoke na nikiondoka nitampeleka msaidizi kwenu, huyo atawaambia yote yaliyo kweli. Je Yesu anampelekaje msaidizi, kwahiyo wanakubali kwamba Yesu ni Mungu maana alimleta mtume wao.
Musa na Mohamad wako sawa sababu wote wako na baba na mama lkn yesu yuko na mama baba mzazi hana.Musa alipewa sheria na Mohammed alipewa sheria pia Yesu alipewa habari nyema (injili) Yesu hajapewa bible lkn alipewa injili.Torati na Quran zote ni sheria.Musa alikufa na Mohammed alikufa Yesu bado hajakufa.Mohammed ako na watoto maana alikua na mke pia nabii Mohammed pia ako na watoto.
Mungu akulaze mahali pema peponi Amin.
Allah awalipe pepo pamoja nasi Amin. Allah akurehemu shekh yahya
Amin Inshallah
AAMEEN YARRABI ALLAMEEN AND
Yahaya Mungu akulipe pepo ya juu
Mashaa Allah Allah akulipe pepo ya firdaus .Amin
Mashallah sheikh YAHYA ALLAH akubali Shahada yako
اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه وأكرم نزله ووسع مدخله
Shelkh Yahaya Mungu hakuifadhi na hakulipe kila raheri na hakupe kitabu chako kwa mkono wa kulia tutakukumbuka daima shelkh wetu umefanya kazi zuri sana duniani
Amiin
U
6u
M
U
M
mungu akuweke pema
Hawa wakristo wananin maan mwenye akili atajua haki uko wapi ila walivokua wabishi ngoja mfe mtajua kwa Allah kunann maan looo.uislam ni Nuru alaf nurii👍
Mashaalah nilikua sijamuona yahaya
Allah amrehem
Mashallah Allah
Takbiiir,,,,kwa kipofu kusema yesu ni nabii,,,,,je mungu kasema nini kuhusu huyo yesu,,,,,,
Wwe ATA hujielewi kakojoe ukalale
Daaaaaaa.... innalillah wainna ilaih raajiun..!! #Muendelezo_muweke yote
This is very beautiful
Swali nzuri Yohana 16:7.....
Murtad Yohana Omar Tatizo alilonalo ni kwamba anasimamia misimamo Kwa Ubishi na wala si kwa Haki... hilo ndio tatizo lake na pili anawachukia waarabu hv chuki zake zimemtoa ktk ukwl
Pumnzika pema shekh Yahya
اللهم اغفر له وارحمه وعافه واعف عنه
Kiukweli dini mbele ya Mungu ni Uislam hizo dini nyengine ni mtihani t hapoo. Pia Mungu ampe kauli njema Sheikh Yahya hukoo alipo
Kwani udungu nn acha ujingat wewemusa myahud wap ISSA myahud wap au wwnd unambatiza mwehuww tuachie mtume wetu kipenz Muhammad(sw) we kaan ubishi wako atapokuja malakul maut utautaman uislam ila wp fanya mzahat wazungu wanakuzingueniee polen wapenz Allah yupo ngoja muone wenyew hioni nusu yastori sisi tunaami na tusha kabidhiwa Pepo umat muhamad asietaka haingii anaetak njia nyeupe mfuatetu bas jiulize gunguo ya peponi ni ipi masheh Allah awalipe jannatl
Mungu amlipe maripo yariyo mema mjawake huyu
(Inna rilah wainna ilah rajiun)
Mashaallah tabarakarahman
Hakuna mbele ya uislamu huezi kitu chochote mbele ya waislamu hapo hapo majibu tena majibu safi yalio wazi wazi haitaki fundi mkubwa kujua mtoto mdgo mchanga ataelewa,hawa ni sumun bukmun umiyun watabaki hivihivi
Waisramu wataendelea kuwa nyuma tu, ya wakristo kuanzia uelewa, uchumi, na nguvu ni kwasasababu dini hio ni yauongo, maana mtume wao ni kituko, ati alipewa utume kwa kukabwa,, hafu hajui atakalo fanywa, tena yeye sio kioja kipya ktk mitume,, hivi waweza kumwamini mtu kama huyo? Jifunzeni kwa omari yahya alivyo ukataa uongo akaenda kwenye kweli, mola amubaliki
@@bencarson1306 wewe na huyo omar ni sumun bukmun umiyun nyinyi mumeshapigwa mihuri hata mukafundishwa itakua shida kuelewa ilobaki nikumuomba mungu awaongoze njia ilonyoka
Nifundishe ili nielewe,, maana mm naijua historia ya dini zote kuanzia uyahudi, uktisto , uisramu, ndio maana mm nikachagua ukristo , ila uislamu nikauona ni uongo
@@bencarson1306 wewe ni hutaki ukweli mafundisho yote hayo hukushika kitu basi ni hutaki ukweli ulioko wazi
Ndio kakuambia ninyinyi wale walioambiwa sumun bukmun umiun mushapigwa mihuri nyoyo zenu
Mbona, ukweli sijauona ila nilichoona ni kuunganisha hoja za uongo tu,, na kwakua yuko huru ksema vya uongo,, niandiko lipi lilimutabili mhamadi ktk biblia?
Kafa rin jaman 😢
Please kaka nataka Full Debate tafadhali
Safi
Hiii kaaaaaziii ni nguuuuuuma
Waislam bwanaa hatarriiii
Allah akupunguzie Adhabu ya kaburi
Allah AMUONDOLEE adhabu ya kaburi. (Edit)
Sio ampunguzie sema amuondolee adhabu ya kaburi ,,ameen
Lete vitu ndugu yangu
Huyo Murtad alikuja kwet, alikimbia mdahalo kwa Mhadhiri; Mwarobain. Mhadhara ulikuwa siku tano, alipiga sik tat. Halafu huwa hamalz aya ktk QURA'AN.
Wape hao Bega kwa bega mpaka Firdaus
*wakristo mnakataa kwa matashi yenu mtume Muhammad katajankny bibilia kwa jina lake angalieni " song of Solomon **5:16**" katika lugha ya kihebrew katajwa kabisa Muhammad mnataka Nini Tena*
Cheki kitu icho agano la kaleee
Unajua kukisoma kiiburania??????
Usilazimishe Biblia kumjua muhamadi hiyo haipo
Yaaan nyie wakristo mnapewa yale ya haki msipokuwa makini mtaenda motoni
Wakristo tuna huakika maana tunaemfata alienda mbinguni Yesu na akasema mtu awezikuja mbinguni bila kumuamini yeye kuwa ni mwokozi wako kwaiyo Kama Muhammad hakumuamini kuwa Yesu ni mwokozi wake mbinguni hakwenda maana Yesu amesema kila mtu na Muhammad akiwemo na wewe
*Wakristo mnakataa kwa matashi yenu mtume Muhammad katajankny bibilia kwa jina lake angalieni " song of Solomon **5:16**" katika lugha ya kihebrew katajwa kabisa Muhammad mnataka Nini Tena*
@@mohammedsuleiman5066 yani kuhusu kutajwa kwa mtume wenu kwenye BIBLIA ni kama kutaja nguruwe kwenye msikiti..hiyo haki unayoizungumza unaona mahojiano yote hapo..usisikilize wanaoweza kukata vipande vya video kwani ni dhahiri zipo hoja nzito na za muhimu zimefichwa..ukiambiwa fuatilia usiishie kuunga mkono bila kufuatilia uvivu wa kusoma na kufuatiliaunaweza kukusababishia usiione MBINGU..MUNGU AKUSAIDIE UMJUE NA UMFAHAMU kwani hata clip yenyewe tu inakatwa vingapi vitakatwa hapo kwenye huo muhadhara na ilhali wapo wataotaka kujua vilizungumzwa nini...
@@francismhilu2936 wewe subiri moto inalilah wainailah rajiuni
@@aishaarusha894 nisubiri moto juu ya uhalisia nilioeleza..labda moto wako ila siyo wa MUNGU ila kaa ukijua huyo YESU anayehubiriwa kwenye kitabu chenu kaonyeshwa ndiye atakayekuja kusimamisha hukumu na ulimwengu kuisha...sasa wewe fata mtu tu ambaye amekwisha kuondoka duniani ila yupo aliye hai endelea kumkataa siku atakaporudi MASIHI YESU ndipo utakapojua kuwa ulimfata mwanadamu tu na hakuna mahali amekukomboa na moto YAANI UACHE KILICHO HAI UFUATE KILICHOLALA jifikirie vizuri wewe..na ukitaka kuelewa angalia mafundisho ya mtume wenu hadi anaamuru mtu auliwe aliyetoka uislamu ndani ya siku tatu sasa hujiulizi anayemuua na yeye hana dhambi kama wote wana dhambi sasa nani anastahili kukatisha maisha ya mwingine na je huyo atakaye muua inamaana hatotenda dhambi na akitenda kitafata nini juu yake acha kujidanganya wote ni waovu na hayupo mwenye mamlaka juu ya mwingine kila mtu atabeba mzigo wake..yani mtu anahubiriwa aingie uislamu na anaingia mwenyewe eti akihitaji kutoka auwawe sasa ni nini hicho kinafichwa mtu asitoke...MUNGU AKUSAIDIE AISHA NA NAJUA ATAKUSAIDIA UTAMJUA MUNGU VEMA NINI ANATAKA LAZIMA UMFAHAMU KWANI IPO SABABU NDANI YAKO JUU YAKE
Hiiii wekee yoooootee
Hapo mlikuwa mnaminyana kweli kweli sasahvi mmeshba sadaka matumbo yametokelezea baraa
mtu kafa lakina kwa roho mbaya yako bado wamsema vibaya hata aibu huoni
Muhammad alilogwa Mussa alilogwa?
Musa aliowa mke mumoja Mohammed aliiwa wake wangapi?
kwaio biblia imedanganya sio??
na yesu alioa wake wangapi??
waefoso 1:13,,,,,mwasoma biblia ipi???
murtad..ni wamuda mrefuu kumbe ila mbishi xana inshaallah atakufa akiwa ameslimu
Mjinga tu ndio anaweza kuukubali uislam🤣🤣🤣🤣🤣
Mpumbavu kama ww auwezi ukaukubali uislam kwa sababu ni mpungufu WA akili aujui ulisemalo akili yako ni fupi 😀😀😀 chizi wwe
@@abrahamsnoopdog5929 🤣🤣🤣......dini ya walevi hiyo niende nayo wapi !!! mjinga tu ndio anaweza kuukubali uislam. We dini gani waaandishi wa kiarabu chake walikuwa walevi na mwingine alikuwa na shetani , 😂🏃♂️🏃♂️dini ya Jehanamu hiyooo
@@profs.a5412 Walevii ni wakristo hata ukiangalia Dunia nzimaa Walevii ni wakristo, hata walioandika bibilia walikuwa Walevii kamaa ww, halafu ni watu wauwaji kama pauloo aliyekuwa gay, hakuna dinii yaitwa ukristo
@@profs.a5412 😂😂😂😂 hakuna yeyote alie na akil timam anaweza kuwa mkristo,mm nimezaliwa huko nimekulia huko nimesomea ktk mising ya kanisa na mpk sasa wazaz wng wote ni viongoz wa juu wa kanisa lkn mm nimefuatilia kwa kina niliujua ukwel nikaslim,sasa ww kipofu wadanganye vipofu wenzio, hakuna walev km wakristo,hakuna watu wasio na maadil km wakristo,hta ukiangalia mipito ya mavaz ya ibada kati ya waislam na nyie makafir utapata majibu
@@huseinshedrack6180 halali umeslim , kuzaliwa kwenye ukristo sio kumjua Kristi🤣🤣🤣 na kuslimu haimanishi umeujua uislamu , wengi mnaslimu kwasababu ya kushawishiwa na mashehe .... Yani wewe hapo nikikwambia unipe Aya moja tu ya Quran ambayo Mungu anasema kamtuma Muhammad utabaki unalalamika badala ya kutoa hoja🤣 hiyo hata shehe wako hawezi kukupa ..........na nihoja ndogo saana sijataka nikupe hoja nzito utaanza kusema nautukana uislam🤣🤣
Wainjilisti wetu nyie hamna camera za kurecord maana waislamu wanaweka wahadhiri wao wakipinga yaliyoongelewa Na wahadhiri wa kikristo hawasikiki, mhadhara gani unasikaka upande mmoja Na wasikilizaji wanajifunza nini kama upande mmoja wa maelezo hausikik? Eti dini ya haki wakati midahalo yenyewe haina haki!!!
Waislam Biblia iachen haisomwi hivo mnainajis tu
Inasomwaje
Inasomwaje
Leo waislamu wamemwamini mtume Paul Na wanasoma vitabu vyake, huwa nashindwa kuwaelewa
Yesu anasema yafaa mimi niondoke na nikiondoka nitampeleka msaidizi kwenu, huyo atawaambia yote yaliyo kweli. Je Yesu anampelekaje msaidizi, kwahiyo wanakubali kwamba Yesu ni Mungu maana alimleta mtume wao.
Yesu anasema yafaa mimi niondoke na nikiondoka nitampeleka msaidizi kwenu, huyo atawaambia yote yaliyo kweli. Je Yesu anampelekaje msaidizi, kwahiyo wanakubali kwamba Yesu ni Mungu maana alimleta mtume wao.
SEXI
Kwani Muhammad anakuwaje kuwa nduyake Mussa je Muhammad ni myahudi ? Musa na Yesu ndo wayahudi Muhammad ni muharabu Hana undugu na Musa
Musa na Mohamad wako sawa sababu wote wako na baba na mama lkn yesu yuko na mama baba mzazi hana.Musa alipewa sheria na Mohammed alipewa sheria pia Yesu alipewa habari nyema (injili) Yesu hajapewa bible lkn alipewa injili.Torati na Quran zote ni sheria.Musa alikufa na Mohammed alikufa Yesu bado hajakufa.Mohammed ako na watoto maana alikua na mke pia nabii Mohammed pia ako na watoto.
Mussa na Muhammad ni ndugu kwasababu wote wametokana na nabii Ibrahim baba wa imani
@@ustadhfarouq7729 doo umemjibu kimataifa
@@mohdkhatib223 duu mbona umekwama ebu nipe mtililiko wa ukoho wa Muhammad Kama haingia kwa Musa nikusaidie huone hukoo wa Yesu utampata Ibrahim
Soma kitabu Cha mathayo moja utapata hokoo wa Yesu