Hakuna mkristo yaani mwana wa mungu anayeweza kubishania Imani yake na wasio amini, sisi wakristo wa kweli tunajitambua Kama yesu alivyoulizwa na shetani ya kuwa ikiwa wewe ni mwana wa mungu geuza hili jiwe liwe mukate, lakini kwakuwa yesu alikuwa anajitambua kuwa ni mwana wa mungu hakuhangaika kugeuza like jiwe kuwa mkate. Hata sisi ni Wana wa mungu kwa kumwamini yesu alieye mwana wa mungu, Amina.
mwaipopo ulio sema ni kwel waislam sie hatuta ushirikiano wala umoja laiti tungekuwa na umoja basi Allaah angetuzidishia baraka ila tunapo elekea Allaah atunusuru na pia wazidishie mnae tupa somo Amiina
Allahu akbar Wallah maneno aliongea Mwaipopo yatupasa kuyazingatia Kwan umoja wetu ndio nguvu yetu tuache ubinafsi, tumeshindwa na makafiri kwa umoja wao
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad Asaalam aleykum, upo sahihi kinachotukwamisha ni kukosa umoja mfano mzuri kwenye kutoa zakka huu ni moja wa mtihani mkubwa mno! hapa nyumbani kuna kanisa lilikuwa la bait ila Sasa wamejenga na sio kama una waumini wengi hapana sababu wanaumoja, ila kwetu imekuwa mtihani mkubwa hata Imani petro aliongea point pia, unakuta ndo chanzo cha kutosonga Mbele zakka ina nafasi kubwa mno kwenye dini yetu ndo maana wenzetu wanapija hatua sana, walleykum Asalaam warahmatullahi wabarakatuh
Hawa wakristo kazi yao wanapenda ku fadhiliwa nawazungu ndio maana wanava uti na wana kuwa ovyo kama wazungu hawana haya kama mahaba wanipenda wazungu anawatumia kutimiza uchumi wao moto unawangoja kesho kiama
Yesu hana shida hata ukimkana yeye ana watu wengi tu. Ni wewe tu mwenyewe utaenda huku na huko yeye yuko palepale. Kila goti litapigwa mbele ya yesu believe me
MTEI TV Dini hizi hazitatupeleka mbinguni, Bali tutaenda mbinguni kutokana na mahusiano yetu mazuri na Mungu. Hakuna mbinguni mbili, mbingu ni moja peke yake. Na njia ya kuelekea huko no moja tu, Mimi ndimi njia kweli na hukumu mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Asema Yesu Kristo tuwe tunataka tuwe hatutaki ndvyo ilivyo.
Mungu kaweka dini mbili kwa ajili yaku poteza wabaya wasijuwe kwaku wapotosha waliyo hamini mana vitabu vyote ni vyamungu Nani kweli apingalo hilo basi yeye ana Pinga Mungu.
Huwezi kumbadilisha mtu imani aliyo nayo kwa kuisema imani yake vibaya, tuendelee kuombea taifa letu AMANI, hawa si waislamu wa dini in\wezekana wameahidiwa kuboreshewa maisha na familia zao, wengine wanashangilia tu, bandera hufuata upepo mtazolewa na wapigaji wa fedha.kama umezaliwa ndani ya uislamu TULIA na kama umezaliwa ndani ya pia TULIA kama ulivyojikuta umezaliwa mwanaume au mwanamke, sote tumejikuta kwenye tawala za kiarabu au za wazungu watanzania tuache hizo tunahitaji kuishi.
Mimi na furahi kwamana wasio mjuwa Yehova au Allah wana changanikia Wawa poteze VIP waliyo mjuwa Mungu na mjuwa nyinyi nyote ukiamini kwahaki n'a kweli namatendo Yako yakawa yahaki basi utaenda peponi kwaiyo Ama na ku Rejea utakapo Helewa apingalo hilo na apinge ahamini na ahamini.
Ila ole wake atakae kataa kitabu kimojawapo yahivi vitabu akashidwa kuamini akasema Mimi siamini atakimoja ole Wake mana Siku ilekuu imewadia, indeleheni kuweka ubishi wa vitabu ili mpagani ahamini ewe Mwana wayakobo na Esmail nyote yeye aliye juu mkuu aliwahidi nyinyi nyote Muna shikana mikono kusimamishana kusiye atakaye anguka yule Alie andaliwa kuja wapotosha kipindi hichi kama maandiko yalivyo sema Mungu wenu amewaruusu zidini kuweka mahojiano.
Mwaipopo kafiri mukubwa motoni Sasa roho mtakatifu ni mwamendi kutafuta mwamendi kwa biblia ni Kama kutafuta guruwe kwa musikiti Soma waifilipi 2;1-16 wewe uyui jesu kristo wewe ni muongo
Yohana 5:37 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 37 Na Baba aliyenituma naye amenishuhudia. Hamjapata kamwe kuisikia sauti yake wala kuiona sura yake. Yesu kasema sauti ya Mungu hakuna aliesikia wakati wowote wala kuiona sura yake.
Yaani ukiwa mkristo sawasawa na maiti. Kwanza kabisa ukipata andiko linalosema ukristo ni dini ya Mungu nipo tayali kubatizwa hata sasa hivi.. Yaani ktk kitabu chochote unachokijua wewe..!
IBRAHIM ABDUL Dini hizi hazitusaidia chochote. Mahusiano yetu mazuri na Mungu ndyo yatakayotufanya tumuone Mungu. Mbingu ni moja tu wala hakuna mbingu ya pili. Njia ya kwenda huko ni moja wala hakuna njia nyingine. Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Tuwe tunataka tuwe hatutaki ndivyo ilivyo!!
BWANA YESU akusamehe hujui unachokiongea biblia haisomwi Kama vitabu vvyenu ili uielewe mpaka uongozwe na ROHO mt. Muhamadi sio roho maana ameshazikwa acheni ujinga mpokeeni YESU ambae alipokufa alifufuka nae hata Sasa yu hai
HUYO MCHUNGAJI NI MNAFIKI. NI WA UONGO. KAMA AMEHAMA UKRISTO, KWA NINI BASI AMEVAA VAZI LA KICHUNGAJI, ILI AWAAMINISHE WATU KUWA YEYE NI MCHUNGAJI, NA ASIVAE VAZI LA KICHUNGAJI BASI. HUYO NI MCHUNGAJI WA UONGO NA MKRISTO WA UONGO. BIBLIA ILISHA ONYA MBELENI.
Makanikia Msanga Mchungaji wa kondoo wa Mungu, aliyeitwa kuwa mchungaji hawezi kufanya haya. Yeyote yule anaweza akajiita kuwa ni mchungaji na asiwe mchungaji. Hawa waliojiita wenyewe ndiyo leo hii tunashuhudia wakifanya vituko.
Kwisha kabisa wewe, Ulikua Unafuata pesa kwenye injili. Pole Sana, jehanum Ina kungoja. Yesu ameshinda kifo na mauti wewe mwa ipopo imekupele tamaa ya kuowa wake wengi
Nyie wakristu munapendaga kufanya uzinzi nje ya ndoa Kwa madai eti munabiriki ndoa hamuoni ya kuwa vizazi vyenu miaka ya badae vitakua vyote vya haramu pengine hata na wewe pia
Mwenyezi Mungu akujalie kazi njema na akuweke ktk watu wa peponi
Allah akupe umry mrefu na akujalie mambo mema mpaka kaburini upate muangaza na akulinde maneno yako yamenitoa machozi
Hakuna mkristo yaani mwana wa mungu anayeweza kubishania Imani yake na wasio amini, sisi wakristo wa kweli tunajitambua Kama yesu alivyoulizwa na shetani ya kuwa ikiwa wewe ni mwana wa mungu geuza hili jiwe liwe mukate, lakini kwakuwa yesu alikuwa anajitambua kuwa ni mwana wa mungu hakuhangaika kugeuza like jiwe kuwa mkate. Hata sisi ni Wana wa mungu kwa kumwamini yesu alieye mwana wa mungu, Amina.
mwaipopo Ma shaa Allah kwakujitoa katka ukristo Allah akujaalie kher.
good
Kher kwake.. In Shaa Allah..
Uislamu Ni Uongo Na Hapa Ndio Ushahidi
@@emmanuelyngabani2079 jingaaa sana ww nyie din yenu inaletwa n binadamuu wenzetuu
Ajitoe sana tu .nani angewezana nae huyo makanisani hakuna uchawi
Maa Shaa Allah, Allah awatangulie awape umri elmu mzidi kutuelimisha ln shaa Allah.
Mungu akulinde kupambania njia yake ya hakk
Mwaipopo Allah akulipe pepo kwa kutoka ukristo
Huyo kapotea njia!
mwaipopo ulio sema ni kwel waislam sie hatuta ushirikiano wala umoja laiti tungekuwa na umoja basi Allaah angetuzidishia baraka ila tunapo elekea Allaah atunusuru na pia wazidishie mnae tupa somo Amiina
nadya juma Ameen
Umoja wa kuleta vita ama mashetani nyinyi
Allah amlipe kila la kheir sheikh Mwaipopo kwa kuitangaza dini inshallah🙏
Allahu akbar
Wallah maneno aliongea Mwaipopo yatupasa kuyazingatia Kwan umoja wetu ndio nguvu yetu tuache ubinafsi, tumeshindwa na makafiri kwa umoja wao
Kibibi Mwanamvua Mohammad Mohammad Asaalam aleykum, upo sahihi kinachotukwamisha ni kukosa umoja mfano mzuri kwenye kutoa zakka huu ni moja wa mtihani mkubwa mno! hapa nyumbani kuna kanisa lilikuwa la bait ila Sasa wamejenga na sio kama una waumini wengi hapana sababu wanaumoja, ila kwetu imekuwa mtihani mkubwa hata Imani petro aliongea point pia, unakuta ndo chanzo cha kutosonga Mbele zakka ina nafasi kubwa mno kwenye dini yetu ndo maana wenzetu wanapija hatua sana, walleykum Asalaam warahmatullahi wabarakatuh
Allah awape umuri
Allhah atujalie ote tunao fwatilia mpaka hi leo
Najivunia kuzaliwa muislam na n namuomba Allah anifishe nikiwa muislam. Allah atawalip kher kw kaz njema mnayoifany. Inshaallah
Jazakalah kheiran....for good words for good speech for good words for good story...and May Allah guide us all to the right path...
Ll58
Alhah Akbar uislam ndo habar ya mjini makafir hawAna jipyaaaaa
Hawa wakristo kazi yao wanapenda ku fadhiliwa nawazungu ndio maana wanava uti na wana kuwa ovyo kama wazungu hawana haya kama mahaba wanipenda wazungu anawatumia kutimiza uchumi wao moto unawangoja kesho kiama
@@asmaabdallah4055 unaujua uislamu lakn
Subhanaallah MUNGU amekusamehe mwaipopo kuichoma Qur AN
Mungu atusaid zotee
Mwaipopo umeongea vzr Sana
Alhamdulilah mzaliwa wa zanzibr hakuna mkristo wahamizi ndowanatuharibia
Yesu hana shida hata ukimkana yeye ana watu wengi tu. Ni wewe tu mwenyewe utaenda huku na huko yeye yuko palepale. Kila goti litapigwa mbele ya yesu believe me
M/mungu anajua mh kumbe wenzetu upande was kushoto watembea na Quran Subhan'Allah
Mashallah Mazinge
Hakika mwenzi mungu humuokoa amtakae, hakika uislamu in dini ya haki anayepinga apinga kwa kiburi chake tuuu
Mwaipopo Allah akuhifadhi
amin ya Rabby
Subhana allah, Alhamdhulilah, Allah akbar, Mwaipoipo umewabainishia wakirsto kuwa dini ya haki ni uislam mola akulipe inshaalh
IPO njie ionekanayo ni sawa machoni pa, Mtu lakini Mwisho wake ni njia Maya za maiuti
Aki mwaipopo umenifanya machozi yakanidondoka, Allha akujaze kheri in sha Allah🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼😭😭😭
Kaji zuri cheikh wangu
walah umependeza kua muisilm mashaalah MUNGU akuzidishie
amin ya Rabby
hakika uisilamu nodini ya hakki Allahu ujaalie uislamu mbele
MTEI TV Dini hizi hazitatupeleka mbinguni, Bali tutaenda mbinguni kutokana na mahusiano yetu mazuri na Mungu. Hakuna mbinguni mbili, mbingu ni moja peke yake. Na njia ya kuelekea huko no moja tu, Mimi ndimi njia kweli na hukumu mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Asema Yesu Kristo tuwe tunataka tuwe hatutaki ndvyo ilivyo.
@William Kavaya wenye chuki na uislamu poleni
Daah Mungu awalipe Mashekh natamannijifunze hio kazi
Allha.akulipe.mema.mwaipopo.hakika.nafs.yako.imeshaiokowa.allhandulih.leo.nakesho.peponi.sadaka.nimuhimu
allahu Akbar walahi nabado watu wanachezea uislamu tu ishikeni uislamu kwa makini
huyu ALLAH amembainisha alokuwa akifanya kwa ukristo sasa wengine wanajenga chuki kwa kusema kweli ukristo sio dini
Mashaallah
ASALAM ALEIKUM PROFESA MAZINGE A MWAIPOPO ALLWAAA AWAPE UMRI MREFU KUTUELIMISHAA JAMIÌII NIKWELI WASHEKHE HAWAELIMISHI JAMI NAKUITOWQ MIHADHARA NIWAO WENYEWE TUU ILIMU WANAKAA NAZO MAJUMBANI
So touching story sheikh mwaipopo ❤❤❤😊
Wewe huujui ukristo ulikuwa umeenda kusomea kupiga hera, lakini siku ukimjua yesu kristo Kama muumba wako na muumba wa ulimwengu utamwinua juu.
kwakwel umat Islam tumejaariwa neema na Allah(s.w)
Swadakt
Najivunia kuzaliwa Mwislam
wakristo hata aje Yesu mwenyewe watampnga lakn wanakuja ona wakifika kwa Mungu
Watamuua 😅
Masha llah mungu atuafikishe halikua waislamu ameen
Wakristo makafiri hawana dini wakifa kwa imani hiyo ni motoni
hahaaa waislam bhnaaa ubishi mwingi ukwel mnaujua
Allahu Akbar, Allahumma sturu ummata Muhammad (S. A. W)
Mungu msaidimwaipopo
Mungu kaweka dini mbili kwa ajili yaku poteza wabaya wasijuwe kwaku wapotosha waliyo hamini mana vitabu vyote ni vyamungu Nani kweli apingalo hilo basi yeye ana Pinga Mungu.
Mungu kaumba dini moja tu Uislamu,Hizi dini Nyingine ni matokea ya mwanadamu
Alhamdulillah kwakuwa muislam
hakika umeongea ukweli uislamu ndio dini sahihi mbele ya mungu
Hapa unajidanganya ndugu sisi wote watoto wa Ibrahim kumbuka YESU CHRISTO ndo njia pekee ya MUNGU siasa haina mahali itatupekeka
Na vip ktk uislamu kusoma uchawi wa kitabu (faraki)
ukiwa mwiislamu wakweli unarahasa duniani na akhera.
Ooooooooo the way out ok I'll get back
mwenyezimungu akupe mazur
nakubali sana ukristo uchafu watu hawafanyi kazi eti pesa zawaumini zitafanya kazi duuu
Mjinga kila kinato lewesha ni haramu kwa waislamu labda kwenu ni halali kwa maana nyinyi kazi yenu kulewa tu
Yaani watu wazima kama watoto ndo maana siangaliagi midahalo ya waafrika bora hata marehemu Ahmed deedat
Yeah na zaik naik Yusuf esteem napenda mada zao juu SI kubishana n kupelekana sawasawa
Akati wenzenu wanatafuta uzima Nyie mnatafuta ujinga haaas
hadiith=kulu muskirin haraam
"Chochote ki lewasho ni haramu"
Miraa ni haramu
alitoka katika ukristo kwa maana haku chaguliwa na mungu angelichaguliwa na mungu asingee rudi nyuma angechapa injili
Kaiona haki coz ukristo sio dini na Kama unabisha nipe andiko kua ukristo ni dini
Mungu wenu mbaguzi kwahiyo anawachagua chagua
umepata hasara ndugu kiroho
😂😂😋😂😂😂
Mazingi ni kafiri mukubwa wa motoni wapinga kristo
Muislamu aokoka
mwaipopo mwenyez mungu atakulipa Akher inshallah
Huwezi kumbadilisha mtu imani aliyo nayo kwa kuisema imani yake vibaya, tuendelee kuombea taifa letu AMANI, hawa si waislamu wa dini in\wezekana wameahidiwa kuboreshewa maisha na familia zao, wengine wanashangilia tu, bandera hufuata upepo mtazolewa na wapigaji wa fedha.kama umezaliwa ndani ya uislamu TULIA na kama umezaliwa ndani ya pia TULIA kama ulivyojikuta umezaliwa mwanaume au mwanamke, sote tumejikuta kwenye tawala za kiarabu au za wazungu watanzania tuache hizo tunahitaji kuishi.
Mwenyezi mungu halipi mtu kwa kumuombea analipwa kwa matendo yake mema ila kwahuyo MWAIPOPO ni moto wa JEHANNAM
KWANZA HUYO MWAIPOPO LAANA YA MUNGU INAMTAFUNA WALA HAYUKO SAWA KAWEHUKA HANA JIPYA KILA SIKU UCHOCHEZI SIKUPENDAGI HATARI
Allah walipe kheir kwa kazi yenu inshallah
Mashallah jazakallah kheir
Mazinge kapatikana
uislamu ni dini ya khaki
dhibitisha
tafuta video za imani petro na imani akili yako itafunguka na uache weu wa kubuluzwa na neno kristo
haki iko WAPI?
mungu awalehem maaana hamjui mlitendalo maaana lisilo wezekanakwamwanadam kwamungu yawezekana
Mwenzimung atkakusaidia ktk kufkisha dini y MW/mung
Nyinyi makafiri mujue kua huyo yesu munaemfuata hakuwahi kuingia kanisani wala hakua mkiristo mutachomwa moto nabii Issa (as)ataingia peponi na waislam
Kama mbinguni nikwenu bs hatutaingia lkn kama ni mbinguni ni kwa Mungu bs huna mamlaka huko
Nonsense, fikiria mara mbili kabla ya kucoment
Huna tofauti na shetani,maana ungejua tabia ya mungu usingeropoka upuuzi.eleza uzuri wa dini yako na njia ya kumfikia mungu.
Waislamu ni watu wamechanganyikiwa kama mtume wao wa kuzimu..
maasha Allah masheikh wet Allah awape umri mref
Jahilia ni Nini?
Mungu pekee ndio anajua, watu wamejaa makanisani na wanaponea huko
Mashaalah
allla akuhifadhi na fitna mwaipopo
yakupendeza daima
Mazinge wacha kuaribu sigara hapa uarabuni sigara inaasha nyingine wa maanisha waarabu ni makafiri?
Kweli kabisa uislamu tunajiangusha ss wenyewe heri inshaallah
Njoo kwa Yesu,hatakuangusha
kumbu nilikuepo kwa baba mazinge zamani 😀😀😀
unatisha baba mazinge tupo pamoja sana
Alhamdulillah 2023
Tusibaguane kwa dini na rangi kila mmoja afate anapoamini vibaya hivyo kuweni
Mimi na furahi kwamana wasio mjuwa Yehova au Allah wana changanikia Wawa poteze VIP waliyo mjuwa Mungu na mjuwa nyinyi nyote ukiamini kwahaki n'a kweli namatendo Yako yakawa yahaki basi utaenda peponi kwaiyo Ama na ku Rejea utakapo Helewa apingalo hilo na apinge ahamini na ahamini.
Ila ole wake atakae kataa kitabu kimojawapo yahivi vitabu akashidwa kuamini akasema Mimi siamini atakimoja ole Wake mana Siku ilekuu imewadia, indeleheni kuweka ubishi wa vitabu ili mpagani ahamini ewe Mwana wayakobo na Esmail nyote yeye aliye juu mkuu aliwahidi nyinyi nyote Muna shikana mikono kusimamishana kusiye atakaye anguka yule Alie andaliwa kuja wapotosha kipindi hichi kama maandiko yalivyo sema Mungu wenu amewaruusu zidini kuweka mahojiano.
Allah atupe mwisho mwema waislam otè Jamani uwislam Raha
Na Muhammad kuoa mtoto mwenye miaka 6,nayo niraha
Kwakweli shetani ni mjinga sana coz anajua kufunga watu macho iliwaingie gizani wasijue ukweli
Mazinge umepatikana
Uislam ni dini ya haki na ya kweli mbele ya MwenyezMungu.
Mwaipopo kafiri mukubwa motoni Sasa roho mtakatifu ni mwamendi kutafuta mwamendi kwa biblia ni Kama kutafuta guruwe kwa musikiti Soma waifilipi 2;1-16 wewe uyui jesu kristo wewe ni muongo
Takbir Allah Akbar
ukiijua kweli itakuweka huru,siku moja sauti ilisikika ikitoka mawinguni ikisema huyu ndiye mwanangu ninayependezwa naye hivyo msikilizeni yeye.
We mkristo kafiri nini
Tupe andiko sio unatupa porojo tu
Mungu Hana mwana ila Ana mitume 25 na itabak hv
Yohana 5:37 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
37 Na Baba aliyenituma naye amenishuhudia. Hamjapata kamwe kuisikia sauti yake wala kuiona sura yake. Yesu kasema sauti ya Mungu hakuna aliesikia wakati wowote wala kuiona sura yake.
@@jumajaffary9698 umempiga vizuri sana kondoo huyo 🤣😂😅
ALLAH jazakallah kheri Mwaipopo
Yaani ukiwa mkristo sawasawa na maiti.
Kwanza kabisa ukipata andiko linalosema ukristo ni dini ya Mungu nipo tayali kubatizwa hata sasa hivi..
Yaani ktk kitabu chochote unachokijua wewe..!
acaha matusi kaka,tangaza uislamu vyema.
yesu ni nani?????
marayn
kuma ww nyie ndio mizoga kabxa
IBRAHIM ABDUL Dini hizi hazitusaidia chochote. Mahusiano yetu mazuri na Mungu ndyo yatakayotufanya tumuone Mungu. Mbingu ni moja tu wala hakuna mbingu ya pili. Njia ya kwenda huko ni moja wala hakuna njia nyingine. Mimi ndimi njia kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila kwa njia yangu. Tuwe tunataka tuwe hatutaki ndivyo ilivyo!!
Ibrahimu ww ujitambui ukitoa neno kwenye qurn linalokuonesha wapi ulipo haidiwa ufalume wa milele nitakuwa mwisilamu
Ila usituponde sisi wakristo maana utarudi tu maana MUNGU c mwanadamu
BWANA YESU akusamehe hujui unachokiongea biblia haisomwi Kama vitabu vvyenu ili uielewe mpaka uongozwe na ROHO mt. Muhamadi sio roho maana ameshazikwa acheni ujinga mpokeeni YESU ambae alipokufa alifufuka nae hata Sasa yu hai
Pumbavu mmoja
ALLAHu AKBAR
Waislam ndio makafiri kama hawajasoma Qur'an yao
True
kwa Allah aliyenufanya muslamu
48:33 ni moja ya sababu inayoingia akilini ni kwanin uislamu ni dini ya haki. Maashallah Allah akuandalie pepo ya darja ya juu Ustadh Mwaipopo.
Ila pepo iko chini ya miguu ya mwanamke,pambana ukapewe wanawake wazur(hururaini)akazini nao.amina!!!.
najivunia kuwa msilm
Nipo Leo,, 16/12/2021
Hongera
Uislam hasa raha bana eee
Wamekaa kbsaaa busy kubishana upuuzi.
HUYO MCHUNGAJI NI MNAFIKI. NI WA UONGO. KAMA AMEHAMA UKRISTO, KWA NINI BASI AMEVAA VAZI LA KICHUNGAJI, ILI AWAAMINISHE WATU KUWA YEYE NI MCHUNGAJI, NA ASIVAE VAZI LA KICHUNGAJI BASI. HUYO NI MCHUNGAJI WA UONGO NA MKRISTO WA UONGO. BIBLIA ILISHA ONYA MBELENI.
Makanikia Msanga Mchungaji wa kondoo wa Mungu, aliyeitwa kuwa mchungaji hawezi kufanya haya. Yeyote yule anaweza akajiita kuwa ni mchungaji na asiwe mchungaji. Hawa waliojiita wenyewe ndiyo leo hii tunashuhudia wakifanya vituko.
Anawakejeli wale mafala wanaojiita wakristo
Peter kumkata MTU maskio,,yesu akakiokota akairudisha,ambapo so kawaida kwa binadamu yeyote
ILO MOJA yesu kafanya maajabu MENGI kupita hayo....lakini bado HAWATAKI KUAMINI NI MUNGU. hehehe ata wao wanamjua
Ss Tomas yes mungu kipind alipokua tumbon dunia ilikua yaendeshwa na nan
Maryam angekufa kwa kifafa cha uzaz kwahy kusingekua na mungu??
ukristo dini ya feeza hilo tunalitambua lkn makazi Yao fin nari jahanam motono
ndiyooo
Imejipiga
bimu maulid wew kabla ya waarabu babu yako hakua na dini
Sasa kumbe Hawa wanaunga mkono magaidi nimejuwa leo kumbe Hawa ndio allishababu
Ukimuona mtu kamuacha Yesu ujue uyo hana Roho mtakatifu
Hhhh anaroh yake 🤣🤣🤣🤣🤣
Ata mimi nina nia ya kuwa mwislam ili nijuwe tu kila aina ya uchawi ni wakomeshe wanawo nisumbuwa, mana wislam wamejaliwa tu neema ya uchawi
Yesu ni nani?
Kwisha kabisa wewe, Ulikua Unafuata pesa kwenye injili. Pole Sana, jehanum Ina kungoja. Yesu ameshinda kifo na mauti wewe mwa ipopo imekupele tamaa ya kuowa wake wengi
Nyie wakristu munapendaga kufanya uzinzi nje ya ndoa Kwa madai eti munabiriki ndoa hamuoni ya kuwa vizazi vyenu miaka ya badae vitakua vyote vya haramu pengine hata na wewe pia