JE YESU NI MUNGU? | MAZINGE VS NDACHA +254705602959

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июл 2022
  • MAZINGE VS NDACHA | JE YESU NI MUNGU? +254705602959

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @edwinezawadi2736
    @edwinezawadi2736 6 месяцев назад +9

    Barikiwa saana mtumishi wa Mungu Ndacha hao wamefichwa ya Roho ni naomba Mungu awafunulie ya rohoni

  • @nsubiraphael8514
    @nsubiraphael8514 Год назад +20

    Dacha ubarikiwe ubarikiwe,unalifahamu neno la mungu,wafundishe

  • @mohabro9521
    @mohabro9521 Год назад +27

    Ustaadh mazinge MUNGU akubariki ndugu yangu akujalie kila la kheri

    • @naksphraits4237
      @naksphraits4237 5 месяцев назад +1

      Mungu mgani unazungumzia?

    • @antonyndinga8890
      @antonyndinga8890 3 месяца назад +4

      Hapa nimeelewa,
      Kuna mambo ktk roho na Kuna mambo ktk mwili.
      Inavyoonekana wakristo wanajua katika mwili na roho lakini waislamu wanajua ktk mwili

    • @fimboyamusadavy180
      @fimboyamusadavy180 2 месяца назад +1

      Asanti sana mwalimu Ndacha

  • @user-cp8gq7rx2c
    @user-cp8gq7rx2c 8 месяцев назад +13

    Alhamdoulillah im Muslim
    Ya barriq barik shekh mazinge

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 5 месяцев назад +5

    Shukran Shekh wetu na wote walofanikishakikao hicho ,JAZAKUMULLAH KHAIR JAZAA.

  • @sammagesa8184
    @sammagesa8184 2 года назад +37

    Ndacha kiboko ya mazinge.....
    ....alaf mazinge huna hoja ila unapiga kelele tu....
    Pastor ndacha Mungu akubariki sana....

    • @amaniibrahim4415
      @amaniibrahim4415 Год назад

      Amriyakwanza iliofanya wanawa izraeli wasifike kanan kwawakti nihipi au amri azifahi

    • @carolinekenya1669
      @carolinekenya1669 Год назад +2

      Anashinda akibweka na hana kitu ya kusema,,kupoteza mda tungekua tunasikiza Ndacha

    • @adamsaid-ze1jw
      @adamsaid-ze1jw 10 месяцев назад +1

      Ww ujitambui mungu ana baba unajitambua nyie mungu akufananishwa na ki2 chochote jitambueni nyinyi yaan daah inalilah waina lilahi lajion

    • @user-vg7pp6xp2g
      @user-vg7pp6xp2g 7 месяцев назад +1

      hahahaaa amumuezi Mazinge kiboko yao😅😅

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 6 месяцев назад

      Na unakaa unaamini mungu mfu. Mungu kafa msalabani na unakaa unapoteza mda kuabudu mungu ambae tayari alishakufa

  • @FaithDoha
    @FaithDoha Год назад +10

    Tangu nianze kufwatilia maandiko haya na mafundisho haya akika nimejua ukiwa katika roho mtakatifu ndio utaelewa walakini kaa hauna roho mtakatifu uwezi elewa thanks mr Ndacha

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 9 месяцев назад +15

    Alhamdullillah kwa neemah ya u Islam ......Allah awahifadhi wahadhiri wetu

  • @saphinalutaha9077
    @saphinalutaha9077 11 месяцев назад +14

    Mungu ampe afya njema maznge❤❤❤❤❤

  • @EvMichaelMwaura
    @EvMichaelMwaura Год назад +41

    God bless you Mwalimu Ndacha. I have come to know you lately and I love what you are doing in the body of Christ. You're a great inspiration in and to the body of Christ.

    • @ZenaNekesa-sx7qf
      @ZenaNekesa-sx7qf 10 месяцев назад

      You are the false prophet that God said you will come during the end tyms

    • @user-st7gg3ig5g
      @user-st7gg3ig5g 4 месяца назад

      B4 supporting something read and understand it,cz you call your self born again Christians believing in Jesus,Most of you you're followers of Paulo and not Jesus,read warumi 11,mstari 13,Then tell me 10 countries that yesu alihubiri injili apert from israel

    • @JustinaMalugu-pd6kf
      @JustinaMalugu-pd6kf Месяц назад

      Mwalimu Ndacha Ubarikiwe na Songa mbele

  • @chuugamestz4487
    @chuugamestz4487 Год назад +22

    Akupe maisha marefu shekh wetu mazinge

  • @b.f.cburundifilmscompany3098
    @b.f.cburundifilmscompany3098 Год назад +13

    Mungu akubariki sana katika jina la yesu kristo

  • @user-hj3wj6or8b
    @user-hj3wj6or8b 5 месяцев назад +8

    Alhamdulillah, ustadh Mazinge and your colleagues spread the holy Quran and all books of God which mentioned only one God, I'm proud to be Muslim

  • @shabanindadaye480
    @shabanindadaye480 6 месяцев назад +4

    Alihmundulilahi ya Allah mubark shekhe mazing mupanuliyekifuwacak azid kuwailimisha wadjawako

  • @khermisybonaya3741
    @khermisybonaya3741 2 года назад +34

    Allah ampe Umri Mrefu wenye kheri hyo Mzee wetu *Mazinge* na ajaalie wawe wengi mfano wake🤲 khusuusan katka sisi vijana, ama kwa ndugu zetu ktka ubinadamu Allah awape hidaya ya kumtambua na kumuabudu yy🤲

  • @joelrotich1306
    @joelrotich1306 6 месяцев назад +4

    Wonderful conversations this making me to be achristian indeed, thanks to pastor Ndacha, God leading to inspire and spiritual grew more strong,
    Amen..

  • @samhansie3964
    @samhansie3964 2 года назад +30

    Barikiwa sanaaaa mwalim ndacha Mungu akuweke sanaa kwa ajili yetuu 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @evanskhaoya566
    @evanskhaoya566 Год назад +23

    i love this, may ALLAH BLESS YOU ALL

  • @africanking9004
    @africanking9004 Год назад +12

    may God bless you ndacha for unvailing the gospel to them

  • @xaliimacabdullahi-lb8iz
    @xaliimacabdullahi-lb8iz 8 месяцев назад +6

    MashaAllah ustadh Mazinge,,, wafunze Hawa waliopotea,,,

  • @mohamedyeslam5194
    @mohamedyeslam5194 Год назад +9

    Mashallah sheikh Mazinge

  • @dankonkwibe2032
    @dankonkwibe2032 6 месяцев назад +3

    Ndacha iam a congolese but you are contribute in the body Of Christ. IAM learned more in your teaching may dear Pastor and your Paulo Who read the books, i love you so much

  • @yusuphlule5254
    @yusuphlule5254 Год назад +7

    Daah! Kwakweli uislamu Ni msiba! Hivi haya Ni majibu ya swali aliloulizwa kweli? Asante yeah kwa kutufunulia haya.

    • @legend9805
      @legend9805 Год назад

      Wewe ndio una msiba pole sanaa. Yesu anaomba msaada kwa mungu alafu awe mungu loo

    • @RIO-jf9mo
      @RIO-jf9mo Год назад +1

      @@legend9805
      Aliomba msaada wapi..!?

    • @legend9805
      @legend9805 Год назад

      @@RIO-jf9mo nenda kasome bibilia vizuri yesu aliomba mungu amnyanyuwe juu

    • @RIO-jf9mo
      @RIO-jf9mo Год назад +1

      @@legend9805 hasa si alikuwa binadamu ...hasa ngoja nikuulize MUNGU ana uwezo wa kufanya lolote na anajua mbele kutafanyika nini ...hasa mbona asizuie hicho kitu kufanyika ingali ana uwezo ....jiulize ...wewe ...sababu ni kuwa yesu alifanyika mwili na ilimpasa afanye yote kufundisha watu kama nyinyi ....alikua na uwezo wa kufanya lolote ila alifwata utaratibu tu Kama binadamu ili mumuelwe ...

    • @legend9805
      @legend9805 Год назад

      @@RIO-jf9mo yesu alizaliwa sasa mungu gani yuwazaliwa na binadamu

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 2 года назад +12

    Hivyo Kwa akili ya Mazinge kipofu akisema kuku ni gari kipofu anauwezo kuliko mwenye macho.
    Yaani kipofu akisema Yesu ni nabii na mwenye macho aseme ni Mwana wa Mungu Mazinge ataegemea upande wa kipofu....balaa sana.

    • @benardpaul5971
      @benardpaul5971 2 года назад +1

      you've made my day, nikama mtu akuambie I heard a voice na mwingine aseme i had a dream, utaamini nani...

    • @benedictfabian4209
      @benedictfabian4209 Год назад

      Aah! Tusimlaumu sana. Ni vile upeo wake umeishia.

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 Год назад

      Shida mungu wenu katahiriwa ,hatuwezi abudu mtu aliyetahiriwa kama sisi

    • @daudilangat6123
      @daudilangat6123 6 месяцев назад

      Ndacha mwalimu wa ulimwengu kuelekeza watu wote kwa yesu kristo😅😅😅😅😅

  • @annendegwa2375
    @annendegwa2375 Год назад +32

    I'm happy to see you standing firm ndacha for christ.they want it to look like campaign, but you make them understand in a polite way.God bless you.

    • @Hussayn21
      @Hussayn21 Год назад +1

      Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki! Ndacha hana jipya mungu yupi ywa tahiriwa wewe vipi. Majidiliano kusudi yake ni kuelimishwa chukueni maandiko

    • @mabascorcarpitow1819
      @mabascorcarpitow1819 Год назад

      Do your research from what ndacha said,on both religions....you'll find that on Muslim side is actually not true and he doesn't finish the verses

    • @yesuanikumbukejanuary8363
      @yesuanikumbukejanuary8363 Год назад

      Yupo vizuri saana .

    • @ArcadiusAndove-sp5dy
      @ArcadiusAndove-sp5dy 6 месяцев назад

      My God bless you mtumishi ndacha watoe kwenye upovu huo wajue akuna lisilo wesekana kwa mungu

  • @prosperniyongere7480
    @prosperniyongere7480 Год назад +7

    Bwana muchristo achana na huyu muislamu yeye anamujuwa Yesu kimwili tu. Na ukisema Roho Mtakatifu kwao unakuwa umegonga mwambwa.

    • @adamsaid-ze1jw
      @adamsaid-ze1jw 10 месяцев назад

      Ww ujitambui Amin mungu anakufa na Amin yesu mungu mbwa ww

  • @mwazanialiishehe1784
    @mwazanialiishehe1784 Год назад +3

    Yohane 1
    1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
    2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878 2 года назад +7

    leo nishatambua ww Mazinge,hauna lolote na hujapitia hoja za Ndacha

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Год назад +11

    Hongera Saana,,, Excellent,,, Fantastic,,, glorious Pastor Ndacha hakika Unasoma Mnoo Biblia kisha unajua sn kuelezea kwa kina kbs kuhusu Yesu Kristo Pamoja na Dini yote ya Kikristo.... najivunia Saana kuwa Mkristo naipenda sn Dini yangu Milele Daima 🙏🙏🙏🙏

    • @California9451
      @California9451 Год назад +1

      Umeona eeh, yani ana roho mtakatifu

    • @bullermgana213
      @bullermgana213 11 месяцев назад

      ruclips.net/video/LZo12XUHk-w/видео.html

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 11 месяцев назад

      Hakuna ktu apo

    • @ShabaniSechambo-lk3jb
      @ShabaniSechambo-lk3jb 10 месяцев назад +1

      Pole kama ww nimkristo,imeandikwa amepotea yoyote amtegemeae mtu kama mungu wake.

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 9 месяцев назад

      Bro read bible carefully. You are at wrong

  • @vascoaloycekihwele9724
    @vascoaloycekihwele9724 Год назад +18

    Ndacha unapoteza mda na mazinge... (1 Corinthians 2:11) Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mung.
    (1 Corinthians 2:12) Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na MUNGU.
    So mazinge ni wale wayahudi unategemea aelewe vip ingawaje Iko clear?

  • @elienew3788
    @elienew3788 8 месяцев назад +3

    Kila.goti litapigwa mbele zake Yesu kristo nakila.ulimi utakiri yakua Yesu ni Bwana ameen👏👏

    • @khadijaali1656
      @khadijaali1656 6 месяцев назад +1

      Yesu ni mtume naye ni Nabii Issa sasa kma unamkana Allah ww kana tu ila huo ndo ukwel na utabaki kuwa ukweli acheni uzushi huo

  • @khalidabu5259
    @khalidabu5259 Год назад +16

    Mwalimu ndacha akuna need ya mafundisho na watu kama awa awajui yesu alikuja nduniani kimwili

    • @salimumbonyumukiza7032
      @salimumbonyumukiza7032 Год назад

      Ndacha wewe wacha uwongo tafazari mimi sizani uwongo wako kama wewe nimu somwi kwel dacha wewe muzehe mazinge muna fikiri wewe una jarimbu kweli hawuna elimu

    • @filexbenefits5612
      @filexbenefits5612 Год назад +1

      @@salimumbonyumukiza7032 mambo ya roho ayaitaji Elimu, soma hadi ulaya but you will never find spiritual teaching, it need prayerful and much committed man to God, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu na mengine mtapewa.

    • @filexbenefits5612
      @filexbenefits5612 Год назад

      Soma quran au biblia, not in vein to do this

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 Год назад

      @@filexbenefits5612 hatuwezi abudu mungu aliyetahiriwa

    • @suzanaagustinookelo4953
      @suzanaagustinookelo4953 11 месяцев назад

      ​@@salimumbonyumukiza7032we ndio ujui kusoma (musomwii) ndio nini!!!?

  • @ambeleikenda5054
    @ambeleikenda5054 8 месяцев назад +6

    Mr Mazinge, may God open your eyes

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k 10 месяцев назад +4

    Allha akulinde shehe wetu wewe ndacha kubali yesu sio Mungu

  • @mutulaObedi
    @mutulaObedi 3 месяца назад +1

    Mweshimiwa MZEE ndacha ubarikiwe na Mungu wahubiri hao wa mujuwe Yesu kwamba Neno la Mungu tena alikuwa Mungu nayote imefanyika kwa Neno' ila wa eslamu Wana maneno ila hawana Neno ' njo mana hupuruka puruka tu.

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Год назад +39

    I proud to be a Muslim. God bless every Muslim 🙏

    • @SundayChilango-wg1tp
      @SundayChilango-wg1tp Год назад +2

      Mungu akusadie uweze kupata ufunuo ndio utajuwa ukweli

    • @ahmedalfan8075
      @ahmedalfan8075 Год назад +3

      @@SundayChilango-wg1tp wew ndio upate ufunuo sio mim

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 Год назад +2

      Kwanini unajivunia kuwa Muislamu?.... toa Sababu 20 nzito kutetea hoja yako

    • @FathiaAhmed-px2lm
      @FathiaAhmed-px2lm Год назад +2

      Mazinge amepata kipaji kotka kwa Allah ndiooooooo ndiooooooo ndiooooooo mazinge hooyyyyyye 🙏🙏🙏🕋🕋🕋✋♥️🌹🇰🇪👌👌👌👌👌💪 Islam 🙏🙏🙏 mazinge kiboko yenu mutake musitake Love you mazinge hooyyyyyye

    • @mwanahija968
      @mwanahija968 11 месяцев назад +1

      @@FathiaAhmed-px2lm hoyeeeeeeeeeeeeeeee muslim hoyeeeeeeeeee hoyeeeeee

  • @emmahosoro8764
    @emmahosoro8764 2 года назад +7

    Nashukuru sana pst ndacha mungu akusidizie neema.allready waisilamu wamekubali kuwa yesu ni mwana wangu kutoka kwa kitabu cha yohana 3:16

    • @michaelbaton7711
      @michaelbaton7711 2 года назад +3

      kwa kifupi tu huyu mzee anaonesha jinsi alivyo amua mwenyewe kuhungana na shetani kumpinga yesu

    • @samwelrobeth7763
      @samwelrobeth7763 Год назад +1

      @@michaelbaton7711 Yani Hawa JAMAA Wana roho ya mpinga kristo ndani yao hata na wao bila kujua Kama Wana roho ya mpinga kristo ,na Ile roho huwapofusha fikra wajione Wana elim ya dini na kadharika Ila Ni wapinga kristo,Ila hatuna la kuwalaum maana walitabiriwa na lazima walitimize hilo ili andko litimie,na sisi ni wajib wetu kuwahubilia ili wasije wapoteza wengine

    • @countercheck887
      @countercheck887 Год назад

      God bless you abundantly Pst Ndacha. Hawa makafiri wanamkana Yesu hadharani buy try to misinterpret the Bible verses. Reciting Koran or Reciting the Bible is totally different from reading the Bible and having the Revelation of the Bible.

    • @JamaliZidadu-jd1nl
      @JamaliZidadu-jd1nl 7 месяцев назад

      Ishu ni kwamba yesu ni mtot wa mungu ila sio mungu na kutumia jina la mungu haimaanishi kua ni mungu saw

  • @robertmnyanyika525
    @robertmnyanyika525 Год назад +15

    Ndacha ubarikiwe sana uwanja ni wako na Roho mtakatifu fanyeni yenu hapo Naona hawana jipya hao nikweli lazima tuwafahamishe kwa lazima huyu Yesu

  • @appleman563
    @appleman563 5 месяцев назад +2

    Alhamdulillah sijazaliwa kwenye huo ujinga wa kuabudu watu

  • @user-xm8dn5js9h
    @user-xm8dn5js9h 11 месяцев назад +2

    We ndacha,Safi Sana,kwanza unaroho wa mungu pili unamjua yesu vizr Sana,alafu unajiamini Kama yesu,shetani hakubabaishi hata kidogo wape injili hao Hadi waseme ndioo.wanakubali sema wakaidi tuu.

  • @morriswambugu8292
    @morriswambugu8292 Год назад +4

    Mungu akubariki Ndacha,Hoja zako nzito sana.
    Halafu siri ya kuweka mafungu mingi hivo kwa kichwa ni gani?

    • @sawetito22
      @sawetito22 Год назад

      Kafiri ndacha

    • @walugoivan
      @walugoivan Год назад +1

      Mwalimu ndacha mungu akupe Barack

    • @filexbenefits5612
      @filexbenefits5612 Год назад

      Kafiri utasema tu lakini ukweli ndio mchugu, utameza tu

  • @kharifa-kf7nn
    @kharifa-kf7nn Год назад +3

    Toa Iman yako pendeni sikiliza kwa umakini maandiko ...mada nyingine aiitaj maandiko ni uelewa wako tyu utapata majibu ..jiulize sifa za mungu then fikiria matendo ya uyo issa ibn Mariam utapat jibu kamili

  • @DrNelsonJohnMuhirwe
    @DrNelsonJohnMuhirwe Месяц назад

    Nimeamini Pastor Ndacha Amebarikiwa na MUNGU Amepewa Hakili na Elimu ya kutosha Mungu Akubariki Pastor japokuwa wa islama nivichwangumu hawa sikie

  • @AlainKakudji
    @AlainKakudji 3 месяца назад

    Merci cher Pasteur de Jésus-Christ nous sommes ensemble depuis D.R.Congo.

  • @betteyandrew291
    @betteyandrew291 2 года назад +33

    Yesu ni yeye yule Jana na milele

  • @georgelugaliki1307
    @georgelugaliki1307 Год назад +17

    Blessed be the Name of Jehovah. I have learned alot. Bible explaining its self

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 8 месяцев назад +2

      You’ve not learnt anything. No verse in the whole bible that Jesus was Christian or entered a church or asked you to be Christians. Uongo mtupu kwendeni zenu

    • @omwangegriffins7000
      @omwangegriffins7000 7 месяцев назад

      ​@@bigmanfish6346makasiriko ya nini? Pingana ukitumia hoja 😅

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 7 месяцев назад

      @@ARUWAAHMADA-jz9ms Aruwa uko wapi

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 7 месяцев назад

      @@ARUWAAHMADA-jz9ms aruwa uko wapi? Nipe number yako

    • @fredouma359
      @fredouma359 6 месяцев назад

      Even Quran speaks of Deity of Jesus...But some have refused to listen.Boundless idiocy.

  • @SamuelmuneneMuthoni
    @SamuelmuneneMuthoni 9 часов назад

    May God protect you Ndacha mtumishi wa mungu ambaye n mmoja wa wale pia nami tutamaliza hii huduma

  • @SophiaMsigwa-lc3km
    @SophiaMsigwa-lc3km 6 месяцев назад +1

    Mungu akuzidishe ndacha Kwa kazi nzuri ya Mungu🎉❤

  • @DanielApologeticsSwahili
    @DanielApologeticsSwahili 8 месяцев назад +5

    Yesu ndiye Mfalme mkuu.
    Mbarikiwe wote!!!

  • @eduosamo849
    @eduosamo849 Год назад +8

    mazingee Noma Sanaa Allahamdulliha Allah akupe umri ameen

    • @erickmaisha4773
      @erickmaisha4773 Год назад +1

      Nguvu ya ndugu zenu majini hazitoboi injili ya yesu

    • @erickmaisha4773
      @erickmaisha4773 Год назад +1

      Jini ni mwislamu mbona unamkataa na kasilimu🤣🤣🤣

    • @scofiotdangote7576
      @scofiotdangote7576 Год назад

      Ameen

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад +1

      @@tatujuma8781 waislamu na mashetwani ni baba mmoja na mama mmoja wanasali wote misikitini🤣🤣🤣

    • @omaryissa2562
      @omaryissa2562 Год назад

      @@ramadhanmahongole9293 acha kushadadia vitu usivyo na elimu navyo

  • @francojuma5762
    @francojuma5762 Год назад +2

    Good teaching thumbs up

  • @olengonelson7453
    @olengonelson7453 2 года назад +2

    Yani Mazinge na uzee huu wote na ufahamu wote bado haikubli kweli mradi awadanganye wafwasi vipofu wa uislamu. Hoja potovu hazina msingi. MWONGO SANA HUYU MZEE.

  • @sharonkerubo9030
    @sharonkerubo9030 Год назад +7

    Ubarikiwe Sana mtumishi Wa Mungu Ndacha

    • @milikaekal8623
      @milikaekal8623 Год назад +1

      Ubarikiwe sanaa mtumishi wa mungu helewa hawa watu niwapinga kristo

  • @antonynjenga9351
    @antonynjenga9351 Год назад +32

    Jesus the Lord and king all praises and worship onto him

    • @bigmanfish6346
      @bigmanfish6346 8 месяцев назад

      Jesus told you to worship God. But you worship him instead. Jesus prayed in the mosques but you pray in churches. Jesus took oblution before prayers but you don’t and instead pray with shoes on

  • @AkonkwaProductions
    @AkonkwaProductions 6 месяцев назад

    Pasteur Francis ndacha soit béni abondamment par notre seigneur et Dieu Jésus Christ

  • @MensonSichinga-rs3mg
    @MensonSichinga-rs3mg 3 месяца назад +1

    Habari uko nampenda sana unavyofundisha wa isilamu mungu akuongezee roho ili wa mujue yesu

  • @barakaelias1116
    @barakaelias1116 Год назад +24

    Mtumish NDASHA Mungu akupe nguvu ya kuendelea kuutetea UKRISTO.

    • @Hussayn21
      @Hussayn21 Год назад +1

      Soma kitabu na uchukue Maandiko na Ukajifanyie utafiti wala sio Ushabiki, Ndacha Kaongea nini! Acha ushafiki

    • @nzizajovinpaul4955
      @nzizajovinpaul4955 Год назад +1

      Utukufu na heshima bwana Yesu kristo nizako Milele na Milele Amen.

    • @mohamedyeslam5194
      @mohamedyeslam5194 Год назад

      Hana lolote huyo ndacha,Mazinge ndio kiboko Yao,Allah Ampe sheikh mazinge Umbri mrefu

  • @yassirkhamis-kx1xk
    @yassirkhamis-kx1xk 8 месяцев назад +4

    Laailaaha illallah muhammadurrasuulullah

  • @user-ns1jw3rl3g
    @user-ns1jw3rl3g 8 месяцев назад +2

    Ndugu Ndasha Mungu yu Pamoja nawe Atakupa nguvu.waislam hao, siku zote wako ki mwili.

  • @user-ic5yl7mz4d
    @user-ic5yl7mz4d 3 месяца назад +1

    Ndacha
    Mungu akuzidishie maarifa na hekima

  • @mirajisalehe742
    @mirajisalehe742 Год назад +3

    Ndacha umenyooka sana hukupindapinda nenda na ukweli huohuo ,mijadala hiyo ni njia nzuri sana ya kuihubiri lnjili

  • @liliankagea3318
    @liliankagea3318 Год назад +9

    May God bless you ndacha with more wisdom for transforming Muslim to Christianity, and May God help them to understand the Bible

  • @shanxander4721
    @shanxander4721 Месяц назад

    je suis ravi de joie de pouvoir retrouve cette chaine

  • @jacobmotegi9703
    @jacobmotegi9703 Год назад +2

    Huku ni mjadhala kati ya mwili na roho. Ndacha Yuko kiroho na Mazinge Yu kimwili, hawataelewana hadi Ndacha ajadili naye mambo ya kimwili ambayo Mazinge anaongelea. Mazinge hajui mambo ya kiroho, hiyo ndio shida tu.

  • @Nolithajack12
    @Nolithajack12 2 года назад +16

    Hamuna hoja yoyote mazigi Hana finishing 🤔🤔

  • @johnabamungu5984
    @johnabamungu5984 2 года назад +8

    Samahani sana kwa hili neno ila naomba tu niseme. Kwa sababu nime shangaa huyu anaye itwa mazinge .hajuwi lolote kabisa kwa sababu hoja za ndacha zina heshimu kichwa cha mada. Yeye kaenda inje na kukurupuka bure.tuna fataka walimu wakislamu lakini huyu ni oyvo kabisa. Mada ina ongeleya uungu wa yesu. Ina maana haitakiwi ku zungumziwa kimwili.

    • @benedictfabian4209
      @benedictfabian4209 Год назад +2

      Amezidiwa mada ndio mana anahangaika. Ni wa kumuonea huruma tu kwa kukosa ufahamu. Vile anapotosha umati wa kiislamu.

    • @IbrahimMwinyi
      @IbrahimMwinyi Год назад

      Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh pia

    • @IbrahimMwinyi
      @IbrahimMwinyi Год назад

      Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh

    • @IbrahimMwinyi
      @IbrahimMwinyi Год назад

      Mkishindwa wakiristo mnakimbilia kiroho kwan ss pia tun roh kwaiy si ni Waung pia tun roh

    • @-q127
      @-q127 Год назад

      Nakwambia huyu mazinge hajui kabisa anacho kisema yuko aut na mada 😮😮

  • @byamunguamani6211
    @byamunguamani6211 6 дней назад

    Mazinge ameshindwa kujibu hoja zote. Kiukweli, Ndacha nimwalimu ambaye anaelewa maandiko.❤

  • @IreneNduta-qp6yg
    @IreneNduta-qp6yg Год назад +12

    True man of God Ndacha.

  • @passlinemedia6657
    @passlinemedia6657 Год назад +14

    Ndacha May God bless you,you are making many Muslims to understand about Jesus christ

  • @-q127
    @-q127 Год назад +2

    Ndacha Mungu akusaidie sana maana hawo watu kuelewa nishida ,naukweli unaonekana lkn ushidani ndo kwingi kwao,

  • @SuheilShaffi
    @SuheilShaffi 3 дня назад +1

    Mazinge masha Allah wee una elimu sana ❤

  • @vumiliawambula1716
    @vumiliawambula1716 2 года назад +9

    mtumishi ndacha barikiwa Sana

  • @reginakarambu8902
    @reginakarambu8902 Год назад +12

    Barikiwa mwalimu dacha Ata Mimi ninatamani sana kujua mengi kuhusu bibilia

    • @ahmedysalah2957
      @ahmedysalah2957 10 месяцев назад

      Anawapoteza ndacha hamsikii hamuoni yesu sio mungu,yesu anasema na uzima wamilele ndio huu wakujue mungu wa pekee wa kweli,acheni kupotezwa kuweni waislamu mpate salama

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 5 месяцев назад

      YESU KRISTO ni MUNGU

  • @wizzahgfalme3874
    @wizzahgfalme3874 Год назад +1

    Mazinge kweli huna hoja.... sasa unajadili wakati Yesu alifanyika mwili, ilhali mada niya uungu wa. Yesu kweli waislamu hawamjui Yesu. abadan

  • @user-vg7pp6xp2g
    @user-vg7pp6xp2g 7 месяцев назад +1

    Mashaa Allah Ustadh mazinge Allah akubariki nakuaminia uko vizuri sana wape aya hao.😂

  • @fanuelemanuel3623
    @fanuelemanuel3623 2 года назад +8

    Watu wanapenda vip ambavyo havoko hai yesu Ni mungu ukweli upo kwenye biblia

    • @AnuarMakame-iy2gy
      @AnuarMakame-iy2gy 8 месяцев назад

      Yesu ni mtume ukweli upo katika qurani

    • @jofreykabobe
      @jofreykabobe 8 месяцев назад

      ​@@AnuarMakame-iy2gywakristo hatutumii Quran tunatumia Biblia ndomana sisi hatumjui Issa tunamjua Yesu

  • @ngagishow2614
    @ngagishow2614 8 месяцев назад +3

    YESU nimtume wa Mollah

  • @user-hl3gp6tc6m
    @user-hl3gp6tc6m 4 месяца назад

    Very true Mr. Ndacha. Now I know why JESUS the desiples that better you who understand these revelations, others will just look without understanding. JESUS IS LORD

    • @mustafarashid2484
      @mustafarashid2484 4 месяца назад

      Jesus sio Lord Wacha kupotezwa na ndacha sasa nani alikua Mungu wa Mariam kabla amzae Yesu,munakufuru lakin mtajibiwa inshallah.

  • @user-os3tg5bo6v
    @user-os3tg5bo6v Месяц назад

    Yesu ni Mungu, Yesu ni Mwana wa Mungu Yoh 1:18, Isay 9:6.Amen

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Год назад +4

    Mazinge kachoka hana hoja kabisa ila mgumu wa kuelewa kaweka pamba masikioni🤣🤣🤣🤣

  • @allychengula3511
    @allychengula3511 Год назад +8

    Ndacha kama ndacha, greater mentor

  • @amanicarlumehabel7575
    @amanicarlumehabel7575 8 месяцев назад +2

    Nimependezwa na hiyo kwamba "Tutawanywesha huyu yesu mpaka mmjue" hapa kweli waislamu waislamu ni wazi kuwa Biblia inawachanganya

  • @user-hb8mu6tz5k
    @user-hb8mu6tz5k 6 месяцев назад +2

    Ubarikiwe mazinge fundisha hao waliopotea😢😢😢

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha4773 2 года назад +19

    Heee this a teacher bibilia sikukuwa naijuwa lkn nimeanza kuishika Kwa sababu ya ndacha

  • @leahbaatjes4215
    @leahbaatjes4215 2 года назад +5

    Just imagine anasema. .. mjapani katengeneza gari. .kwa mfano wake inaingia akilini kweli? ? Hawa waislam huwa wanatumia akili kweli? ?

  • @cabrandybebz2468
    @cabrandybebz2468 7 месяцев назад +1

    Mashallah Allah akubarik shekh mazinge

  • @user-zv8hb1zc3j
    @user-zv8hb1zc3j 7 месяцев назад +2

    Mungu akutie nguvu mwalimu mazinge

  • @buyoyafrank8831
    @buyoyafrank8831 Год назад +5

    Neno ni yesu 🎊

  • @jacksonnzai1593
    @jacksonnzai1593 Год назад +4

    mazinge anaelewa alichofundicha Ndacha, shida n uma unaomwamini ndacha utamwonaje atakpkbali uhalali wa Yesu Mungu? kweli awa watu hawana Roho wanaongozwa 'na elmu 'na utashi tu. Ubabe fanyeni ila Yesu Bwana.

    • @bullermgana213
      @bullermgana213 11 месяцев назад

      ruclips.net/video/LZo12XUHk-w/видео.html nani kaelewa zaid hapa

  • @AgustinoKibasa
    @AgustinoKibasa 12 дней назад

    Wapedwa mwenyezi mungu uwa hadhihakiwa ko nyinyi wasato na waislamu mnamzihak muumba kwa midahalu wenu maana kilamtu hajunui ukweli wa mungu ila ni imani

  • @elizabethsidi5574
    @elizabethsidi5574 Год назад +1

    Kwahivo waislamu mungu wenu ,Hana meno,hawezi kutembea kwenda msalani Hadi abebwe, yuko na mvi kichwa chote mwili umenyauka kwasababu tangu aumbe ulimwengu Hadi sas ni kitambo amezeeka sana anasubiri sku zake za kufa ,kwa jinsi mnavyo muangalia mungu kimwili alienda kwa harusi,alitahiriwa ,alikula chakula akaenda choo Yan mnashsngaza sana!!!

    • @maymunamakungu6265
      @maymunamakungu6265 Год назад

      We unachekesha sana huyo mungu aende msalani kwani kaumbwa kajiumba. Sasa ajipe shida ya nini kwani yeye ni kiumbe. Wallahi kumbe nyinyi hamjielewi

    • @maymunamakungu6265
      @maymunamakungu6265 Год назад

      Eti ajiwekee meno kwani anakula hahahaaa

  • @yusuphlule5254
    @yusuphlule5254 Год назад +36

    Poleni Sana ndugu zetu waislamu kwa Hilo giza lililowafunika kwakweli MUNGU AWASAIDIE KWAKWELI MAANA BAADA YA YOTE KUNA HUKUMU MBAYA SANA ,NA KWAKEJELI MLIZONAZO!

    • @cabylake2320
      @cabylake2320 Год назад

      Wewe ndo mungu awaongoze wa kristo wote

    • @rahel6725
      @rahel6725 Год назад

      Niwashindani aki Kama mishipa imgn umesomewa ukweli lkn we bado wakosa kuamini

    • @yasinrock1635
      @yasinrock1635 Год назад +1

      Naww pole sana kwakuwa aujui

    • @naataliagrande2787
      @naataliagrande2787 Год назад

      Ww hujielewii, mungu ni mmoja tu hata mseme vipi

    • @naataliagrande2787
      @naataliagrande2787 Год назад

      Bibilia imeandikwa tu, zengine ni za uongoo oooo 😂

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 2 года назад +8

    Mwalimu Ndacha barikiweni na team yako kwa kazi mzuri mnafanya kufundisha na kuelimisha watu.

    • @akbarbigirimana6280
      @akbarbigirimana6280 Год назад

      Nyinyi ndo hamunaga ubongo kweli yani mungu wenu kazaliwa

    • @akbarbigirimana6280
      @akbarbigirimana6280 Год назад

      Yani mungu wenu anawajombo mashangazi wababu ujinga kweli kisha wewe ninani yake

  • @sarahshamala9093
    @sarahshamala9093 2 месяца назад

    Mazinge kweli hakuelewa kabisaaa. Hakuelewa, the spiritual connection. He is stuck in Jesus, the body.

  • @Emmanuel_Lyimo
    @Emmanuel_Lyimo 20 дней назад

    Yes ni mungu na ndiye aliyepewa ufalme wote mbingun na duniani

  • @alicekatsutsu6345
    @alicekatsutsu6345 Год назад +8

    Pogezi sana mwalimu dacha yaani majibu na mwawali yanatokana na bibilia ,nitabaki kuwa muamini wamwenyezi mungu ambaye ndiye mungu,musabato

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 2 года назад +4

    Aongozwe Sara ya toba huyo Mazinge,hana hoja kabisa,kakutana na upako wa kipekee

    • @benedictfabian4209
      @benedictfabian4209 Год назад +3

      Hahahahahaaaa! Yani anaruka ruka kama mahindi kikaangoni. Hahahahahaaaa!

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx 9 месяцев назад +1

    Unajibu Kwa mwili tu jibu katika uungu waislamu mumeisha,ndacha excellents fantastic mpaka sasa hajajibu ipasavyo

    • @AnuarMakame-iy2gy
      @AnuarMakame-iy2gy 8 месяцев назад

      Wekeni siku nyengine juu ya roho ya yesu Leo mada ni uungu wa yesu😁😁😁😁

  • @Kivukwanza
    @Kivukwanza Год назад +1

    Ni kweli huyu mzee Mazinge hana hoja yoyote ya msingi. Waislam mtafuteni Yesu

  • @theChristshow1
    @theChristshow1 2 года назад +29

    Jesus is king of king and lord of Lords

    • @janewangui6998
      @janewangui6998 Год назад

      Lord of lords**

    • @abdikafarabdullahi603
      @abdikafarabdullahi603 Год назад +2

      If Jesus is lord who is lord of his mother

    • @orotancnelly3047
      @orotancnelly3047 Год назад

      AMEN 🙏

    • @yassirswaleh7127
      @yassirswaleh7127 6 месяцев назад

      If Jesus is lord of lords who was he praying to? Who was the lord of his mother?. Why did the lord died?. Is jesus God or son of God? . Actually lots of confusion in this religion