WEWE NDACHA NITAKUUA MIMI NATISHA //Prof MAZINGE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 762

  • @kimanidatch6096
    @kimanidatch6096 Год назад +16

    Mazinge Hana lengo la KUFUNDISHA,,Bali ana lengo la kukashfu....,Hawezi KUSAIDIA wale wasiojua...Ndacha ni Mwalimu wa kweli wa Neno la Mungu.,,Mazinge mpokee Yesu,vinginevyo utasaga meno jehunum.

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 месяца назад +1

      Nyinyi ndie mwasaidia watu kwakumwabudu binadamu mwenzenu

  • @stephenkiboeaungo
    @stephenkiboeaungo 6 месяцев назад +13

    Ndacha umemzidi sana Mazinge.Ndacha ni profesa wa Injili

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Год назад +43

    Najivunia Saana kuwa Mkristo... tuendelee sn kumuomba Mungu Baba,,,Mungu Mwana na Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏 aendelee kutubariki Milele Daima

    • @111dudi
      @111dudi Год назад +7

      Mpaka sasa hamjui nani mungu. Kuna mungu aliyefia msalabani,kuna mungu roho hata haijulilani yuko vipi,kuna mungu baba, hamjui kama alikuwa baba vipi, nani mkewe.

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 Год назад +4

      @@111dudi Pia Kuna Mungu Roho Mtakatifu yeye alikuja Duniani baada ya Yesu Kristo Wakati alivyokuwa akipaa Mbinguni alisema "Nitawaachieni Mrithi Wangu ambaye ni Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu nafsi ya 3...lolote zuri mtakalomuomba hakika mtaokolewa

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 Год назад +3

      @@111dudi Soma sn Biblia Kisha anza kwenda Kanisani hususani dhehebu la Roman Catholic ndipo utajua kuwa Mwenyezi Mungu ni Mmoja ila amegawanyika nafsi 3....Mungu Baba,,, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏

    • @111dudi
      @111dudi Год назад

      @@yohanakiyumbi4795 Dhehebu hili linajulikama kwa kuruhusu watu wa jinsia moja kuoana na kuna mapasta mashoga. Astaghfiru Llah

    • @akibaali1450
      @akibaali1450 Год назад +1

      Umepotea njoo kwenye dini ya haki na ukweli

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Год назад +36

    Ndacha wewe ni Mwalimu mzuri sana God bless you

    • @adarashidi8178
      @adarashidi8178 Год назад +1

      Amen

    • @damianopetro5872
      @damianopetro5872 Год назад

      Thanks ur one who made me embrace Islam

    • @fahadbabuy
      @fahadbabuy Год назад +2

      Mwalimu muongo😂

    • @luluamin1388
      @luluamin1388 Год назад +2

      Mungejua maandiko basi musingeli msikiliza huyu ndacha conman wa maandiko

    • @martoo539
      @martoo539 9 месяцев назад

      ​@@ARUWAAHMADA-jz9msmumeshdwa 😁😁kila saaa nkisema mohammand who Did nothing

  • @AntonyManeno
    @AntonyManeno 10 дней назад

    Wew Mazinge Ndio Utatangulia Hatakama Wew Ni Rafiki Ya Majini Hauwezi Kumuwa Pastor Ndacha Kwa Jina La YESU❤ Milele Daima❤❤❤

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 27 дней назад

    Prof. Mazinge anafaa kwa maendeleo ya Taifa. Mungu Mkubwa. Mbariki Prof. Mazinge na Mwalimu Ndacha.

  • @franknzegenuka2335
    @franknzegenuka2335 Год назад +19

    Sheikh Mazinge unapoteza point, jibu swali kwanza. Ndacha ni fireee 🔥🔥🔥

    • @111dudi
      @111dudi Год назад +3

      Ndacha ni muongo anabadili aya apate kushinda

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 Год назад +2

      Shida yao hawa wanajibu bila hoja.

    • @yohanakiyumbi4795
      @yohanakiyumbi4795 Год назад +3

      Ni kwl kbs ndugu...Mazinge hana Point za Msingi ila anataka kubishana na Imani ya Ukweli ya Kikristo

  • @countercheck887
    @countercheck887 Год назад +26

    Mwalimu Ndacha Mungu akubariki na akulinde wewe ni dawa ya mazinge 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @adarashidi8178
      @adarashidi8178 Год назад +2

      AMEN 🙏🔥🙌

    • @111dudi
      @111dudi Год назад +1

      Soma jibu langu.huyo Ndacha mpiga viraka wa aya.muongo

    • @legend9805
      @legend9805 Год назад +3

      Hakuna duniani ana elimu ya kuwashinda waislamu. Mungu amewapa elimu

    • @orotancnelly3047
      @orotancnelly3047 Год назад

      AMEN 🙏

    • @NicksonLekatoo
      @NicksonLekatoo 5 месяцев назад

      Kabxa

  • @Obama-q4h
    @Obama-q4h 7 месяцев назад +14

    Mzinge pongezi katika dini ya kiisilam mngu akulipe inshallah na akujalie maisha mrefu pia

  • @phenomenalsam.5722
    @phenomenalsam.5722 9 месяцев назад +6

    Paul umefunzwa na mungu kusoma ,, 😂😂God bless you dacha and paul

  • @hellen9056
    @hellen9056 3 месяца назад +5

    Ndacha Mungu akubariki.
    Sisi tulio soma biblia tunajua unasoma kweli
    Waislamu wanadangwanywa kweli kweli na walimu wao wachukua kakipengele wanasoma hawanalizi point
    Mimi siyo mfuatiliaji saaana lakini kwa point za Yesu ni Mungu Dah umesoma zile point muhimu sana Usisahau ile Mungu alisema huyu ni mwanangu mpendwa wangu nimependezwa nae

  • @naiknaik2816
    @naiknaik2816 Год назад +34

    MashaAllah Sheikh mazinge Allah akupe umri refu enye ibada na baraka inshaAllah

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 Год назад +1

      Bado kidogo tu Mazinge atakua mchungaji Mazinge

    • @mansooralaisri5200
      @mansooralaisri5200 Год назад +1

      @@saulidongo1865 Ndoto za Mchana Mazinge kuingia ukafiri wa Kikristo.

    • @saulidongo1865
      @saulidongo1865 Год назад

      @@mansooralaisri5200 Allah akufundishe hutaambia wakristo kafir tena.

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 3 месяца назад +4

    😂😂😂Ila wesilamu wanahitaji neema ya Kristo ndo mahana wakipata neema yakuwa wakrsto wanaitumia vyema karibu Kwa YESU aiseeee wote waisilamu ❤

  • @maulidimanzi9964
    @maulidimanzi9964 Год назад +24

    Mashallah tabarakallah nakupenda Sana shekhe wangu mazinge upo vizur ndacha unamgalagaza tu Ila haelew

    • @111dudi
      @111dudi Год назад

      Tena yuko vizuri sana.kiboko ya wahubiri wa kikristo kama Ndacha wanaotimia ujaja ili washinde

    • @janenjeri9750
      @janenjeri9750 Год назад +1

      Ngoja hukumu,utamtafa umkosee
      Unaskiza ukweli ila bado unakataa,ole wako
      U

    • @111dudi
      @111dudi Год назад

      @@janenjeri9750 Biblia yenu imebadilishwa mara chungu nzima. Pope wenu anahalalisha ushoga. Na anataka aibadilishe biblia.na bado mnadai no neno la mungu. Wachungaji wenu na mapadri wanadai wanahubiri neno la mungu, ni wafanyakazi tuu wanalipwa mshahara na watu, siku mshahara ukisimama na kuhubiri wanaacha,kama Ndacha.sio kama waislam ambao mshahara wao unatoka kwa mungu. Mbona ham fungua akili zenu

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 8 месяцев назад +6

    ALHAMDULILLAH and im proud to be a Muslim. Kitabu chetu Quran hakijawahi na hakitowahi kutiwa mkono, Wakristo kuna maagano kibao,

    • @researchcorner.
      @researchcorner. 7 месяцев назад

      Mazinge Hana hoja

    • @JohnJoseph-qq7ow
      @JohnJoseph-qq7ow 3 месяца назад

      Mnaabudu shetani waisilamu

    • @RoseMuniss-y5q
      @RoseMuniss-y5q 2 месяца назад

      Kishabadilishwa sana tuu kilichokua halisi kilikua na page 7 na pombe ilihalalishwa lakini izo Aya zilifutwa na kubadilishwaa😊😊😊😊 familia au waulize waliokuzid

    • @ZabronMagufwa
      @ZabronMagufwa 5 дней назад

      Sasa kweny Quran unatia mkono mwingine wa Nini wakati imeandikwa Kwa mkono?

  • @RajabuKiedu
    @RajabuKiedu 2 месяца назад +1

    Nashukuru mungu kwa kumpa maarifa mwalim ndacha na kuwafindisha hao waijue kweli ya mungu

  • @kayeesbelewa4819
    @kayeesbelewa4819 Год назад +6

    Mazinge comedian kweli,neno hana ila anamaneno

  • @juliuslangat3970
    @juliuslangat3970 Год назад +13

    Ndacha Mungu akuongoze my brother

    • @ismailkarani7972
      @ismailkarani7972 Год назад +1

      Aongozwe au amepotea

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 Год назад

      Bora umuombee maana anajithidi kupoteza watu.

    • @OmanOman-yk8kl
      @OmanOman-yk8kl Год назад +1

      ​@@mzeerajab9154 ninyi ndo mmepotea

    • @philbertkabengo7905
      @philbertkabengo7905 6 месяцев назад

      NDACHA UNAUJUZ NA MARIFA YA MAANDIKO MUNGU AKUONGEZEEE MEMA YA NCHI NA UKUPE UFULME WAKE🙏🏿

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado 3 месяца назад +1

    Uyu Mzee ajui et yesu ni muisilm au ni mkrsto yesu ni kristo ni cheo isilam ni unyenyekevu kwaio mkisema yesu ni muislamu pia mposawa au waislm amjui tafisl

  • @franckilunga2086
    @franckilunga2086 Год назад +5

    Mazinge huyo ni comedian kabisa. Mungu hawezi kuwa mjinga, huyo mwalimu anakufuru neno lamungu.
    Nawaonea huruma atawale kina mama wapikao kelele na mkutano wote.😢

  • @philimaroa8021
    @philimaroa8021 Год назад +4

    Namshukuru yesu juu nimewaona hao waislamu wakikimbilia iyo damu ya yesu nakuinywa

    • @estersindano3485
      @estersindano3485 Год назад +1

      Wewe muislam wewe unaedanganywa unashabikia unamdhihaki yesu nakuhurumia sana

  • @byakomasoka988
    @byakomasoka988 3 месяца назад +1

    Kwa yesu kristo nimeshika kabisa siwezi mwacha kamwe❤❤❤❤❤❤yesu kristo namba moja 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Год назад +22

    Yesu Kristo ni kweli na tena njia ya kweli na uzima.

  • @adlainekamonya-ic2kq
    @adlainekamonya-ic2kq Год назад +10

    mm Huwa sisikizi COMEDIAN MAZINGE😂😂😂... Huwa nazongeza tu mbele kumsikiza Ndacha ... Mungu akubariki Ndacha🙏🙏🙏

  • @thomasoloka3550
    @thomasoloka3550 Год назад +19

    Shehk mazige pigania dini ya uislamu Allah akuwake tebeza kalima ya lailahailala muhamad rasululahi

  • @faridashabanifaridashabani5950
    @faridashabanifaridashabani5950 3 месяца назад +3

    Najivunia jina la YESU sina mashaka wala sitishiki ❤❤❤

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz Год назад +25

    Broo mazinge mungu akujalie umrimrefu utujuze tusio yajua katika uisilamu inshaAllah

  • @abdallahmindika1641
    @abdallahmindika1641 6 месяцев назад +2

    Mazinge unaakil mingi sanaaa,kumbe yes at kanisa halijui hhhhhhhhhhhhh'😂😂😂

  • @issabella1455
    @issabella1455 Год назад +2

    Mazinge acha kudanganya watu yesu siyo mweslamu kwanini unapoteza watu🇹🇿🇿🇲

  • @AthumaniMganga-v7j
    @AthumaniMganga-v7j 3 месяца назад +2

    Najivunia kua Muslim hao makafir Hawana jipya mazinge mungu akulipe insha allah

    • @PhilipobonifacSado
      @PhilipobonifacSado 3 месяца назад

      Kafil nimpinga kristo ndacha namazinge Nan kafil

  • @nicholaskimathi-z8k
    @nicholaskimathi-z8k 8 месяцев назад +4

    Pastor Dacha you are a great teacher,,God bless you alot,,

  • @JosephineNyokabi-r6s
    @JosephineNyokabi-r6s 9 месяцев назад +2

    Kazi nzuri ndacha mungu akubariki

  • @everlynenanjala9747
    @everlynenanjala9747 Год назад +7

    Ubarikiwe Sana mchungaji ndacha MUNGU baba akuinue kwa kazi nzuri unayo fanya,, tunaamini mungu atawafugua macho,,

  • @RamadhanAdam-up6qv
    @RamadhanAdam-up6qv Год назад +4

    Ama kwer Dunia inafika mwisho Hawa makafiri wanapotosha sana watu mungu wasaidie viongozo wetu waweze kutoa erimu ishaaallah mungu tujalie mwisho mwema

    • @SugowFarah-up3db
      @SugowFarah-up3db Год назад

      Hawatoshi mboga. Makafiri ni watu wasio na dini ila sisi twaenda na muongozo wa Qur'aan

    • @v_simon2677
      @v_simon2677 Год назад

      Umefumbwa na ibilisi kaka Mungu akutoe gizan

    • @saumodzumbo9671
      @saumodzumbo9671 11 месяцев назад

      Amiiiiiiiiin yaraabiiilaalamini

    • @FainesMrwale
      @FainesMrwale 8 месяцев назад

      Kafiri wewe unaeabudu na majini msikitini

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Год назад +2

    Hongera Saana Mwl. Ndacha... hakika Wewe ni genius,,, unaakili Sana unasoma sn Biblia Ubarikiwe Saana 🔥🔥🔥🔥🔥 Tumsifu Yesu Kristo 🙏🙏🙏🙏

  • @abdilatifhashi9659
    @abdilatifhashi9659 Год назад +15

    Masha Allah mashehe wetu wote Mola awalipe na Janatul Firdaus

  • @ghyslainmulume8301
    @ghyslainmulume8301 6 месяцев назад

    Ndacha,Mungu akupe maisha marefu,ili uzidi ku tuelimisha,yesu Cristo akufiche kwa damu yake.

  • @peteronjenga9954
    @peteronjenga9954 Год назад +5

    Ndacha ndie dawa ya Mazinge...Mungu ambariki Ndacha na amuongeze maisha marefu🙏🙏

    • @111dudi
      @111dudi Год назад

      Mazinge kiboko ya Ndacha, janja yake ya uongo inapigwa nyundo na Mazinge

    • @luqmanjabal9573
      @luqmanjabal9573 Год назад

      Hakuna ubaya kueleza mawazo na matamanio yenu.Mawazo dufu.

  • @wizdannymoshi3132
    @wizdannymoshi3132 Год назад +3

    Ndacha unafundisha kwel ila mazinge unapoteza waisilamu maznge unamkoxea mungu hufai kuw mwalimu

  • @sayaribrand538
    @sayaribrand538 Год назад +11

    Ah ya uyu sheih mazinge ni hatari yan Legend

  • @gabinoamanaka3444
    @gabinoamanaka3444 Год назад +4

    We ndacha chunga sanaa hawa watu wanaweza waka kuuwa ulisema kwa jenga ulivamiwa wakapasua vioo vya gari yako hawa watu hawana imani mioyoni mwao hivi unavyo wapea dose chunga sana

    • @abuuhassani497
      @abuuhassani497 4 месяца назад

      Acha woga ndacha Elimu hana

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 месяца назад

      Auliwe kisa anini cha maana sana huyo Ndacha ywawapoteza kabisaa mungu alitairiwa wapi kwa wapi

    • @RoseMuniss-y5q
      @RoseMuniss-y5q 2 месяца назад

      ​@@abuuhassani497 uyo mazinge ndo kilaza kabsa anajichekesha hana ata fact...ndacha anakupatia adi andiko

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Год назад +4

    Mazinge na huyo msomaji wKo, mwajua wasema uongo

  • @princejuma-vx1zk
    @princejuma-vx1zk Год назад +11

    Makafiri huwa wanatetema kwa hofu wakimuona mazinge 🔥 🔥 🔥

    • @akibaali1450
      @akibaali1450 Год назад

      Kabsaaa tena sanaaa

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Год назад +2

      .wewe una wazimu tusimuogope Muhamadi tukamogope mazinge?kumbe hujamjua mkristo vizuriNdani ya kristo kuna nguvu za ajabu.

    • @pungopungo411
      @pungopungo411 Год назад +1

      Huyo mazinge yuko kimwili zaidi .mazinge kashashidwa haongozwi na roho wa Mungu

    • @FainesMrwale
      @FainesMrwale 8 месяцев назад

      Sis c makafiri na pia hatuwezi tetemeka Kwa majini maana tunae kristo ambae na fire ya kuwalipua ninyi majini ndo maana hamna neno la mungu mna maneno ya walimwengu

    • @abiyafocus6992
      @abiyafocus6992 6 месяцев назад

      YANI NYINYI MNALALA NA MAJINI NDIYO MAANA AKILI HAMANA KABISA HAKUNA WAKUMUOGOPA HUYO NDACHA TUNAISHI KWA KUHESHIMIANA TO

  • @patrickodhiambo9341
    @patrickodhiambo9341 7 месяцев назад +4

    Ndacha 🎉🎉

  • @KhairunRashid
    @KhairunRashid 6 месяцев назад

    Wallah I'm proud to get a professor like you who knows the right of his religion

  • @HarrisonTsuma-r2k
    @HarrisonTsuma-r2k 8 месяцев назад +6

    Mimi ukristo sitoki mazinge huyu Jamaa sio rikalako maswaliyako kajibu vilivyo wewe haujajibu hadi mmoja porojo tu zako

  • @eliasemanuel2710
    @eliasemanuel2710 Год назад +4

    Anaigiza cyo kama haelewi anasimamia anacho kuamini na siyo kilicho kweli... Mungu atamleta kwake one day

  • @MaryNjeri-ox1ry
    @MaryNjeri-ox1ry 4 месяца назад +1

    Ndacha Mungu akusaidie

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw Год назад +8

    Mashallah mwalimu Mazinge ...Sisi hapa tulislimu alhamdulilah.❤❤❤

  • @peterraphael7132
    @peterraphael7132 Год назад +6

    Nakuamini sana mwalimu wa kisabato jina ngumu kuandika

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад +15

    Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umri 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @manasa2449
    @manasa2449 Год назад +5

    Mazinge Allah akulinde na shari Amiin

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Год назад +12

    Pro Mazinge Safi Sana Masha Allah

  • @AhmadijumaJuma-fq2td
    @AhmadijumaJuma-fq2td 8 месяцев назад +1

    Namshukulu Allah kwakunijalia kua muislamu halmadulillah wakiristo tokeni uko mnapotea uislamu ndodini ya aki akuna dini inayoitwa ukiristo

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 8 месяцев назад

      Mnatembea uchi siku ya Ijumaa na wakati wa kwenda msikitini hsmvai chupi😂😂😂😂

  • @marwasamwel5668
    @marwasamwel5668 8 месяцев назад +1

    Amen pastor Ndacha mungu akubariki kwa ukweli wako

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 Год назад +8

    Subhana Allah, maskini waimani,nawanajua

  • @janenjeri9750
    @janenjeri9750 Год назад +3

    Ndacha mambo yote,ila naomba Mungu wetu mwenye nguvu awafungue waislamu macho,maana ni vipofu kabla MDA haujaisha

  • @zaudaislam2120
    @zaudaislam2120 Год назад +5

    Alhamdulillah kuzaliwa muislam n inshaallah mungu awaongoze hawa makafiri

  • @MarthaJoy-lx2qk
    @MarthaJoy-lx2qk 6 месяцев назад +2

    Kwa kweli Ndacha wewe ndani kwako muna nguvuza Mungu aline hayi

  • @kisosekatere6282
    @kisosekatere6282 Год назад +1

    Huyu Sheik Mazinge yuko mbali sana na maandiko na mbona Ndacha alioneaha neno liko wazi Majina yameandikwa mbinguni Biblia ilioesha wanao hubiri Injili majina yao Yameandikwa Mbinguni, pili unakataa hutaki tafsiri ya Kanisa sasa uelezwe namna gani wakati maandiko yako wazi, Bila Ushabiki Elim na uelewa wa vitabu Ndacha yupo juu sana kuko S. Mazinge

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 Год назад +3

    Ndacha juu sana God bless you

  • @PhilipobonifacSado
    @PhilipobonifacSado 3 месяца назад +1

    We mazinge aujui zaidi yaushabiki

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 Год назад +1

    Mazinge mbabaishaji tu anajibu tofauti na swali aliloulizwa.

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 Год назад +6

    Mimi nakuombea pepo ya daraja la juu shekh Mazinge ,tuseme inshallah 🙏

  • @japhethmbusya
    @japhethmbusya Год назад +12

    Huyu Mazinge ana argue kama mjinga hata akijibiwa haelewi😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣

  • @SamuelmuneneMuthoni
    @SamuelmuneneMuthoni 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi. Ndacha

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime 2 месяца назад

    Ndasha nakupenda sana,unasoma mazuli

  • @abdallaheji1269
    @abdallaheji1269 Год назад +10

    Mazinge uko vizuri sana

  • @RamadhanKarim-el6tv
    @RamadhanKarim-el6tv 7 месяцев назад +1

    Professor mazege mweyezimuku akuweke tupe ndawa nya Allah salamwalekum warahmatullah wabarakatu

  • @NtirenganyaEric-bg3ye
    @NtirenganyaEric-bg3ye 3 месяца назад

    Mwarimu muzor ndaca!! wambie mungu agipenda wataokoka!!! Jili Yesu wet muwezayote

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 3 месяца назад

    Mungu hana chaprofesa kwakuwa profess auelimu nibahari naniyaMungupia.

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 Год назад

    Ndacha MUNGU akubariki kwa ujasiri ulionaoo.iuko pekeyako lkn uko na ujasiri lkn najua YESU yuko ndani yako ndo huo ujasiri. Barikiwa sana

    • @mbwaralali5049
      @mbwaralali5049 Год назад

      Ndacha yuwa poteza watu fatilia vizuri vitabu yye yuwaunga unga ili apate ugali wake

  • @petermwelesa1749
    @petermwelesa1749 6 месяцев назад +2

    ❤ndacha barikiwa mkuu

  • @KelvinAlex-x2i
    @KelvinAlex-x2i 5 месяцев назад +1

    Najivunia kuwa mkristo mimi jina la yesu libalikiwe sana

  • @ShamimMsofe
    @ShamimMsofe 8 месяцев назад

    Mazinge unatisha sana Allah akupe maisha marefu . Unapoteza pumzi kubwa kwa faida yao lakin ipo siku watakir

    • @mitchy2219
      @mitchy2219 8 месяцев назад

      Kwa kweli mmdahalo huu una maana kubwa kwani kila mshirki wa dini yake anafahamu undani wa mafunzo yanayo zungumziwa hata hivyo una dhibitisha majibu yalio na ufasaha na dhihaka jibu linapotelewa sisawa kujibu swali ukijua unawapotosha wasikilizaji fursa ya kuto ona kweli la mjadala je kuna maana gani kua na mjadal kama huu uwe funzo kwa mumini si kila dini ifunze inayo wahusu washirika wao badala ya kushutumiana uzuri wa dini yao

  • @FrancisPius-e5p
    @FrancisPius-e5p 5 месяцев назад

    Yesu ni njia ya kweli

  • @thureyazuheir293
    @thureyazuheir293 Год назад +8

    ya allah ya maliki tupe mwisho mwema ya matini

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Год назад

      Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Год назад +4

    Masha Allah Ustaz.Ndacha comedian.afanya kazı ya İblees mkubwa WA mashetani.

  • @shadrackjacob800
    @shadrackjacob800 Год назад +1

    Ushauri wangu , mijadala hii inapaswa kufanywa na watu wenye hekima sana sana kwa hiyo Mazinge ni mpotoshaji sababu hata biblia haijui na kuruani pia haijui so mtahangaika sana.

    • @FatmaNash-nd5kz
      @FatmaNash-nd5kz 4 месяца назад

      Mpoteshaji ni wew na huyo Ndacha wako

    • @ImaniTinda-h6x
      @ImaniTinda-h6x 2 месяца назад

      @@FatmaNash-nd5kz na wew na mhamad wako wote waongo

  • @frankmpembu
    @frankmpembu Год назад +5

    Waislamu tokeni huko muje kwa Yesu. Yesu ndiye Njia ya Kweli na Uzima

  • @frankkaipa8925
    @frankkaipa8925 Год назад +3

    Ndacha Mungu nimukubwa utabatizwa wote waislam

  • @datiusludovick8469
    @datiusludovick8469 7 месяцев назад

    Ndacha mungu akuweke

  • @mwoso
    @mwoso 3 месяца назад

    Hapo Mazinge alilemewa na hoja.

  • @djumanjike3256
    @djumanjike3256 Год назад +11

    Mazinge Mungu akulipe kheri

  • @ValaryMusimbi-n8h
    @ValaryMusimbi-n8h 8 месяцев назад +3

    Ndacha wewe ni kiboko cha waislamu

  • @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj
    @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj 6 месяцев назад +1

    Na huyu yesu ni mungu, ni nabii au mtoto wa mungu

  • @adnanel-islam3291
    @adnanel-islam3291 Год назад +8

    Mazinge Mungu akulinde .
    Nazani Waliokufuru pia wanakukubali

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Год назад +9

    Mazinge ni comedian anajua namna ya kuwachekesha waislamu wenzie naona waislamu wanakenua meno tu hapo🤣😂🤣😂🤣😂

    • @ibrahimkarwani5478
      @ibrahimkarwani5478 Год назад

      Mkosa point kichwani. Kawaida yake matusi. Kichwa empty

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      @@ibrahimkarwani5478 sasa kwani uongo si mnakenua meno akiongea comedian wenu?

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 Год назад +1

      Mazinge hamumuwezi ndio sasa unampa jina baya.Nacha kawaingiza waislamu wangapi katika ukristo halafuta kazi aliyoifanya Mazinge.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад

      @@mzeerajab9154waislamu wengi tu wamebatizwa kupitia mwalimu Ndacha

    • @shahidumaulidi9721
      @shahidumaulidi9721 Год назад +1

      huyu jamaa anatumia jina ramadhan jina la kiislamu " alafu anandika upuuzi .

  • @amourworldbeats
    @amourworldbeats Год назад +1

    Nimemuelewa Sana mazinge Wallah.Yaan Wachungaji Kama watoto Hawaelewi. 9:25 Mchungaji Sijui Haelewi Nini,Ulevi Ulikuwepo Kabla. Alivokuja Mtume Muhammad Akautakaza,Sio ulivokuja Uislamu Ukakataza ulevi,Alivokuja mtume wa 25 Muhammad(S.A.W) Akakataza Ulevi

  • @Elesciahmdugo
    @Elesciahmdugo Месяц назад

    Yesu aliingia msikitini, na ukiristo ulianza baada ya yesu kuanza kuwa na wanafunzi kumi na mbili na baada kuondoka duniani ukiristo uliendelea na makanisa yakaendelea . Ila mdahalo unazidi kutuimarisha sote katika imani iwe uislam au ukiristo.

  • @setcoonlinetv6655
    @setcoonlinetv6655 6 месяцев назад +1

    Maa shaa Allah...
    Sheikh mazinge kama kuna mkristo yoyote hakuelewi basi hatokuja kuelewa maisha yake yote.
    Barrakallah fikuh
    Allah akupe umri mrefuu sheikh wetu

  • @sheheemsikit-bw5vx
    @sheheemsikit-bw5vx Год назад +4

    Mazinge mashaallah wafundishe hao

  • @AdamMnyambwa
    @AdamMnyambwa 5 месяцев назад

    Mungu akubali mwalimu ndacha akupe maisha marefu akulinde naloo mbaya

  • @faridarahma4050
    @faridarahma4050 Год назад +4

    Pro Mashaallah

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Год назад +1

    Pole sana Sh.Mazinge jumbe bado mdahalo unaendelea

  • @AmzaAmadeAmisse-p9o
    @AmzaAmadeAmisse-p9o 8 месяцев назад +2

    Teacher Mazinge ❤❤❤❤❤

  • @muvurwanezaanitha742
    @muvurwanezaanitha742 Год назад +1

    Ayo mamboyenu yatutosha mkristo abaki mkristo mwisilamu abaki mwisilamu ila ukweli wote mashee munajuwa kuwa Kristo ndiye njiya yapeke ya kwenda mbinguni

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha8605 Год назад +1

    Mazinge ni mbwembwe na sarakasi kuwadanganya hao waisilamu

  • @MeshackTanui-w2j
    @MeshackTanui-w2j 2 месяца назад

    Ndacha kept up❤

  • @mwilaben193
    @mwilaben193 Год назад +9

    May our heavenly father bless you pastor Ndacha

    • @lizndunchez720
      @lizndunchez720 8 месяцев назад

      ​@@ARUWAAHMADA-jz9msww ndie utakufa ujinga yko mnaswli z kitoto sna