Mazinge Hana lengo la KUFUNDISHA,,Bali ana lengo la kukashfu....,Hawezi KUSAIDIA wale wasiojua...Ndacha ni Mwalimu wa kweli wa Neno la Mungu.,,Mazinge mpokee Yesu,vinginevyo utasaga meno jehunum.
Mpaka sasa hamjui nani mungu. Kuna mungu aliyefia msalabani,kuna mungu roho hata haijulilani yuko vipi,kuna mungu baba, hamjui kama alikuwa baba vipi, nani mkewe.
@@111dudi Pia Kuna Mungu Roho Mtakatifu yeye alikuja Duniani baada ya Yesu Kristo Wakati alivyokuwa akipaa Mbinguni alisema "Nitawaachieni Mrithi Wangu ambaye ni Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu nafsi ya 3...lolote zuri mtakalomuomba hakika mtaokolewa
@@111dudi Soma sn Biblia Kisha anza kwenda Kanisani hususani dhehebu la Roman Catholic ndipo utajua kuwa Mwenyezi Mungu ni Mmoja ila amegawanyika nafsi 3....Mungu Baba,,, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏
Ndacha Mungu akubariki. Sisi tulio soma biblia tunajua unasoma kweli Waislamu wanadangwanywa kweli kweli na walimu wao wachukua kakipengele wanasoma hawanalizi point Mimi siyo mfuatiliaji saaana lakini kwa point za Yesu ni Mungu Dah umesoma zile point muhimu sana Usisahau ile Mungu alisema huyu ni mwanangu mpendwa wangu nimependezwa nae
@@janenjeri9750 Biblia yenu imebadilishwa mara chungu nzima. Pope wenu anahalalisha ushoga. Na anataka aibadilishe biblia.na bado mnadai no neno la mungu. Wachungaji wenu na mapadri wanadai wanahubiri neno la mungu, ni wafanyakazi tuu wanalipwa mshahara na watu, siku mshahara ukisimama na kuhubiri wanaacha,kama Ndacha.sio kama waislam ambao mshahara wao unatoka kwa mungu. Mbona ham fungua akili zenu
Kishabadilishwa sana tuu kilichokua halisi kilikua na page 7 na pombe ilihalalishwa lakini izo Aya zilifutwa na kubadilishwaa😊😊😊😊 familia au waulize waliokuzid
Uyu Mzee ajui et yesu ni muisilm au ni mkrsto yesu ni kristo ni cheo isilam ni unyenyekevu kwaio mkisema yesu ni muislamu pia mposawa au waislm amjui tafisl
Mazinge huyo ni comedian kabisa. Mungu hawezi kuwa mjinga, huyo mwalimu anakufuru neno lamungu. Nawaonea huruma atawale kina mama wapikao kelele na mkutano wote.😢
Ama kwer Dunia inafika mwisho Hawa makafiri wanapotosha sana watu mungu wasaidie viongozo wetu waweze kutoa erimu ishaaallah mungu tujalie mwisho mwema
We ndacha chunga sanaa hawa watu wanaweza waka kuuwa ulisema kwa jenga ulivamiwa wakapasua vioo vya gari yako hawa watu hawana imani mioyoni mwao hivi unavyo wapea dose chunga sana
Sis c makafiri na pia hatuwezi tetemeka Kwa majini maana tunae kristo ambae na fire ya kuwalipua ninyi majini ndo maana hamna neno la mungu mna maneno ya walimwengu
Huyu Sheik Mazinge yuko mbali sana na maandiko na mbona Ndacha alioneaha neno liko wazi Majina yameandikwa mbinguni Biblia ilioesha wanao hubiri Injili majina yao Yameandikwa Mbinguni, pili unakataa hutaki tafsiri ya Kanisa sasa uelezwe namna gani wakati maandiko yako wazi, Bila Ushabiki Elim na uelewa wa vitabu Ndacha yupo juu sana kuko S. Mazinge
Kwa kweli mmdahalo huu una maana kubwa kwani kila mshirki wa dini yake anafahamu undani wa mafunzo yanayo zungumziwa hata hivyo una dhibitisha majibu yalio na ufasaha na dhihaka jibu linapotelewa sisawa kujibu swali ukijua unawapotosha wasikilizaji fursa ya kuto ona kweli la mjadala je kuna maana gani kua na mjadal kama huu uwe funzo kwa mumini si kila dini ifunze inayo wahusu washirika wao badala ya kushutumiana uzuri wa dini yao
Ushauri wangu , mijadala hii inapaswa kufanywa na watu wenye hekima sana sana kwa hiyo Mazinge ni mpotoshaji sababu hata biblia haijui na kuruani pia haijui so mtahangaika sana.
Yesu aliingia msikitini, na ukiristo ulianza baada ya yesu kuanza kuwa na wanafunzi kumi na mbili na baada kuondoka duniani ukiristo uliendelea na makanisa yakaendelea . Ila mdahalo unazidi kutuimarisha sote katika imani iwe uislam au ukiristo.
Maa shaa Allah... Sheikh mazinge kama kuna mkristo yoyote hakuelewi basi hatokuja kuelewa maisha yake yote. Barrakallah fikuh Allah akupe umri mrefuu sheikh wetu
Ayo mamboyenu yatutosha mkristo abaki mkristo mwisilamu abaki mwisilamu ila ukweli wote mashee munajuwa kuwa Kristo ndiye njiya yapeke ya kwenda mbinguni
Mazinge Hana lengo la KUFUNDISHA,,Bali ana lengo la kukashfu....,Hawezi KUSAIDIA wale wasiojua...Ndacha ni Mwalimu wa kweli wa Neno la Mungu.,,Mazinge mpokee Yesu,vinginevyo utasaga meno jehunum.
Nyinyi ndie mwasaidia watu kwakumwabudu binadamu mwenzenu
Ndacha umemzidi sana Mazinge.Ndacha ni profesa wa Injili
Najivunia Saana kuwa Mkristo... tuendelee sn kumuomba Mungu Baba,,,Mungu Mwana na Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏 aendelee kutubariki Milele Daima
Mpaka sasa hamjui nani mungu. Kuna mungu aliyefia msalabani,kuna mungu roho hata haijulilani yuko vipi,kuna mungu baba, hamjui kama alikuwa baba vipi, nani mkewe.
@@111dudi Pia Kuna Mungu Roho Mtakatifu yeye alikuja Duniani baada ya Yesu Kristo Wakati alivyokuwa akipaa Mbinguni alisema "Nitawaachieni Mrithi Wangu ambaye ni Roho Mtakatifu ambaye ni Mungu nafsi ya 3...lolote zuri mtakalomuomba hakika mtaokolewa
@@111dudi Soma sn Biblia Kisha anza kwenda Kanisani hususani dhehebu la Roman Catholic ndipo utajua kuwa Mwenyezi Mungu ni Mmoja ila amegawanyika nafsi 3....Mungu Baba,,, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu 🙏🙏🙏🙏
@@yohanakiyumbi4795 Dhehebu hili linajulikama kwa kuruhusu watu wa jinsia moja kuoana na kuna mapasta mashoga. Astaghfiru Llah
Umepotea njoo kwenye dini ya haki na ukweli
Ndacha wewe ni Mwalimu mzuri sana God bless you
Amen
Thanks ur one who made me embrace Islam
Mwalimu muongo😂
Mungejua maandiko basi musingeli msikiliza huyu ndacha conman wa maandiko
@@ARUWAAHMADA-jz9msmumeshdwa 😁😁kila saaa nkisema mohammand who Did nothing
Wew Mazinge Ndio Utatangulia Hatakama Wew Ni Rafiki Ya Majini Hauwezi Kumuwa Pastor Ndacha Kwa Jina La YESU❤ Milele Daima❤❤❤
Prof. Mazinge anafaa kwa maendeleo ya Taifa. Mungu Mkubwa. Mbariki Prof. Mazinge na Mwalimu Ndacha.
Sheikh Mazinge unapoteza point, jibu swali kwanza. Ndacha ni fireee 🔥🔥🔥
Ndacha ni muongo anabadili aya apate kushinda
Shida yao hawa wanajibu bila hoja.
Ni kwl kbs ndugu...Mazinge hana Point za Msingi ila anataka kubishana na Imani ya Ukweli ya Kikristo
Mwalimu Ndacha Mungu akubariki na akulinde wewe ni dawa ya mazinge 🔥🔥🔥🔥🔥
AMEN 🙏🔥🙌
Soma jibu langu.huyo Ndacha mpiga viraka wa aya.muongo
Hakuna duniani ana elimu ya kuwashinda waislamu. Mungu amewapa elimu
AMEN 🙏
Kabxa
Mzinge pongezi katika dini ya kiisilam mngu akulipe inshallah na akujalie maisha mrefu pia
Paul umefunzwa na mungu kusoma ,, 😂😂God bless you dacha and paul
Ndacha Mungu akubariki.
Sisi tulio soma biblia tunajua unasoma kweli
Waislamu wanadangwanywa kweli kweli na walimu wao wachukua kakipengele wanasoma hawanalizi point
Mimi siyo mfuatiliaji saaana lakini kwa point za Yesu ni Mungu Dah umesoma zile point muhimu sana Usisahau ile Mungu alisema huyu ni mwanangu mpendwa wangu nimependezwa nae
MashaAllah Sheikh mazinge Allah akupe umri refu enye ibada na baraka inshaAllah
Bado kidogo tu Mazinge atakua mchungaji Mazinge
@@saulidongo1865 Ndoto za Mchana Mazinge kuingia ukafiri wa Kikristo.
@@mansooralaisri5200 Allah akufundishe hutaambia wakristo kafir tena.
😂😂😂Ila wesilamu wanahitaji neema ya Kristo ndo mahana wakipata neema yakuwa wakrsto wanaitumia vyema karibu Kwa YESU aiseeee wote waisilamu ❤
Umerogwa kagoogle umjue mfalme kristo yesu sio Mungu ni mtu tena binadamu
Mashallah tabarakallah nakupenda Sana shekhe wangu mazinge upo vizur ndacha unamgalagaza tu Ila haelew
Tena yuko vizuri sana.kiboko ya wahubiri wa kikristo kama Ndacha wanaotimia ujaja ili washinde
Ngoja hukumu,utamtafa umkosee
Unaskiza ukweli ila bado unakataa,ole wako
U
@@janenjeri9750 Biblia yenu imebadilishwa mara chungu nzima. Pope wenu anahalalisha ushoga. Na anataka aibadilishe biblia.na bado mnadai no neno la mungu. Wachungaji wenu na mapadri wanadai wanahubiri neno la mungu, ni wafanyakazi tuu wanalipwa mshahara na watu, siku mshahara ukisimama na kuhubiri wanaacha,kama Ndacha.sio kama waislam ambao mshahara wao unatoka kwa mungu. Mbona ham fungua akili zenu
ALHAMDULILLAH and im proud to be a Muslim. Kitabu chetu Quran hakijawahi na hakitowahi kutiwa mkono, Wakristo kuna maagano kibao,
Mazinge Hana hoja
Mnaabudu shetani waisilamu
Kishabadilishwa sana tuu kilichokua halisi kilikua na page 7 na pombe ilihalalishwa lakini izo Aya zilifutwa na kubadilishwaa😊😊😊😊 familia au waulize waliokuzid
Sasa kweny Quran unatia mkono mwingine wa Nini wakati imeandikwa Kwa mkono?
Nashukuru mungu kwa kumpa maarifa mwalim ndacha na kuwafindisha hao waijue kweli ya mungu
Mazinge comedian kweli,neno hana ila anamaneno
Ndacha Mungu akuongoze my brother
Aongozwe au amepotea
Bora umuombee maana anajithidi kupoteza watu.
@@mzeerajab9154 ninyi ndo mmepotea
NDACHA UNAUJUZ NA MARIFA YA MAANDIKO MUNGU AKUONGEZEEE MEMA YA NCHI NA UKUPE UFULME WAKE🙏🏿
Uyu Mzee ajui et yesu ni muisilm au ni mkrsto yesu ni kristo ni cheo isilam ni unyenyekevu kwaio mkisema yesu ni muislamu pia mposawa au waislm amjui tafisl
Mazinge huyo ni comedian kabisa. Mungu hawezi kuwa mjinga, huyo mwalimu anakufuru neno lamungu.
Nawaonea huruma atawale kina mama wapikao kelele na mkutano wote.😢
Namshukuru yesu juu nimewaona hao waislamu wakikimbilia iyo damu ya yesu nakuinywa
Wewe muislam wewe unaedanganywa unashabikia unamdhihaki yesu nakuhurumia sana
Kwa yesu kristo nimeshika kabisa siwezi mwacha kamwe❤❤❤❤❤❤yesu kristo namba moja 🎉🎉🎉🎉🎉
Yesu Kristo ni kweli na tena njia ya kweli na uzima.
Wacha zako..
Amina
Amina
Milele Amina🙏🙏🙏🙏
😂😂😂nyinyi mlioza sana uzima upi ,uzima ni waduniani tu hiyo milele uyaongelea niya duniani tu
mm Huwa sisikizi COMEDIAN MAZINGE😂😂😂... Huwa nazongeza tu mbele kumsikiza Ndacha ... Mungu akubariki Ndacha🙏🙏🙏
Hata mimi😂😂
@@SamuelNgala-iw1gz 🤣🙏🙏
Pia mimi
hamuna point nyinyi tangu lini yesu akawa mungu😂😂😂😂😂
Mazinge haongei chochote uaribu muda
Shehk mazige pigania dini ya uislamu Allah akuwake tebeza kalima ya lailahailala muhamad rasululahi
N kweli anapigania ila ubaya anachekesha baada ya kufundisha
mbona aja jibu swali
Ameen
Please let's find the real thing not islum or christianity
Najivunia jina la YESU sina mashaka wala sitishiki ❤❤❤
Broo mazinge mungu akujalie umrimrefu utujuze tusio yajua katika uisilamu inshaAllah
Mazinge unaakil mingi sanaaa,kumbe yes at kanisa halijui hhhhhhhhhhhhh'😂😂😂
Mko kama mmepumbazwa sana
Mazinge acha kudanganya watu yesu siyo mweslamu kwanini unapoteza watu🇹🇿🇿🇲
Najivunia kua Muslim hao makafir Hawana jipya mazinge mungu akulipe insha allah
Kafil nimpinga kristo ndacha namazinge Nan kafil
Pastor Dacha you are a great teacher,,God bless you alot,,
😂😂😂😂
Kazi nzuri ndacha mungu akubariki
Ubarikiwe Sana mchungaji ndacha MUNGU baba akuinue kwa kazi nzuri unayo fanya,, tunaamini mungu atawafugua macho,,
Mungu awafungue macho nyinyi.... Inshallah
Awafungue nyinyi macho
Ama kwer Dunia inafika mwisho Hawa makafiri wanapotosha sana watu mungu wasaidie viongozo wetu waweze kutoa erimu ishaaallah mungu tujalie mwisho mwema
Hawatoshi mboga. Makafiri ni watu wasio na dini ila sisi twaenda na muongozo wa Qur'aan
Umefumbwa na ibilisi kaka Mungu akutoe gizan
Amiiiiiiiiin yaraabiiilaalamini
Kafiri wewe unaeabudu na majini msikitini
Hongera Saana Mwl. Ndacha... hakika Wewe ni genius,,, unaakili Sana unasoma sn Biblia Ubarikiwe Saana 🔥🔥🔥🔥🔥 Tumsifu Yesu Kristo 🙏🙏🙏🙏
Masha Allah mashehe wetu wote Mola awalipe na Janatul Firdaus
Amiin
Amiin
Amyn
Ndacha,Mungu akupe maisha marefu,ili uzidi ku tuelimisha,yesu Cristo akufiche kwa damu yake.
Ndacha ndie dawa ya Mazinge...Mungu ambariki Ndacha na amuongeze maisha marefu🙏🙏
Mazinge kiboko ya Ndacha, janja yake ya uongo inapigwa nyundo na Mazinge
Hakuna ubaya kueleza mawazo na matamanio yenu.Mawazo dufu.
Ndacha unafundisha kwel ila mazinge unapoteza waisilamu maznge unamkoxea mungu hufai kuw mwalimu
Ah ya uyu sheih mazinge ni hatari yan Legend
We ndacha chunga sanaa hawa watu wanaweza waka kuuwa ulisema kwa jenga ulivamiwa wakapasua vioo vya gari yako hawa watu hawana imani mioyoni mwao hivi unavyo wapea dose chunga sana
Acha woga ndacha Elimu hana
Auliwe kisa anini cha maana sana huyo Ndacha ywawapoteza kabisaa mungu alitairiwa wapi kwa wapi
@@abuuhassani497 uyo mazinge ndo kilaza kabsa anajichekesha hana ata fact...ndacha anakupatia adi andiko
Mazinge na huyo msomaji wKo, mwajua wasema uongo
Makafiri huwa wanatetema kwa hofu wakimuona mazinge 🔥 🔥 🔥
Kabsaaa tena sanaaa
.wewe una wazimu tusimuogope Muhamadi tukamogope mazinge?kumbe hujamjua mkristo vizuriNdani ya kristo kuna nguvu za ajabu.
Huyo mazinge yuko kimwili zaidi .mazinge kashashidwa haongozwi na roho wa Mungu
Sis c makafiri na pia hatuwezi tetemeka Kwa majini maana tunae kristo ambae na fire ya kuwalipua ninyi majini ndo maana hamna neno la mungu mna maneno ya walimwengu
YANI NYINYI MNALALA NA MAJINI NDIYO MAANA AKILI HAMANA KABISA HAKUNA WAKUMUOGOPA HUYO NDACHA TUNAISHI KWA KUHESHIMIANA TO
Ndacha 🎉🎉
Wallah I'm proud to get a professor like you who knows the right of his religion
Mimi ukristo sitoki mazinge huyu Jamaa sio rikalako maswaliyako kajibu vilivyo wewe haujajibu hadi mmoja porojo tu zako
Anaigiza cyo kama haelewi anasimamia anacho kuamini na siyo kilicho kweli... Mungu atamleta kwake one day
Ndacha Mungu akusaidie
Mashallah mwalimu Mazinge ...Sisi hapa tulislimu alhamdulilah.❤❤❤
Mashaallaah
Nakuamini sana mwalimu wa kisabato jina ngumu kuandika
Mashaallah 💓❤️ mazinge Allah akuzidishie umri 🤲🤲🤲🤲🤲
Mazinge Allah akulinde na shari Amiin
Pro Mazinge Safi Sana Masha Allah
Namshukulu Allah kwakunijalia kua muislamu halmadulillah wakiristo tokeni uko mnapotea uislamu ndodini ya aki akuna dini inayoitwa ukiristo
Mnatembea uchi siku ya Ijumaa na wakati wa kwenda msikitini hsmvai chupi😂😂😂😂
Amen pastor Ndacha mungu akubariki kwa ukweli wako
Subhana Allah, maskini waimani,nawanajua
Ndacha mambo yote,ila naomba Mungu wetu mwenye nguvu awafungue waislamu macho,maana ni vipofu kabla MDA haujaisha
Macho mfunge nyinyi macho
Hamna dini inaitwa ukristo hata ndani ya bibli..
Alhamdulillah kuzaliwa muislam n inshaallah mungu awaongoze hawa makafiri
Kwa kweli Ndacha wewe ndani kwako muna nguvuza Mungu aline hayi
Huyu Sheik Mazinge yuko mbali sana na maandiko na mbona Ndacha alioneaha neno liko wazi Majina yameandikwa mbinguni Biblia ilioesha wanao hubiri Injili majina yao Yameandikwa Mbinguni, pili unakataa hutaki tafsiri ya Kanisa sasa uelezwe namna gani wakati maandiko yako wazi, Bila Ushabiki Elim na uelewa wa vitabu Ndacha yupo juu sana kuko S. Mazinge
Alikuonyesha wew usiejielewa
Ndacha juu sana God bless you
We mazinge aujui zaidi yaushabiki
Mazinge mbabaishaji tu anajibu tofauti na swali aliloulizwa.
Mimi nakuombea pepo ya daraja la juu shekh Mazinge ,tuseme inshallah 🙏
In sha Allah
Eeh apandishe elim, Hana kabisaaa
Kwamba umeelewa sana au ndo ushabiki sasa mazinge kafundisha n
Nshallah
Inshaallah
Huyu Mazinge ana argue kama mjinga hata akijibiwa haelewi😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣
😭😭😂😂😂😂🤣🤣😂😂🥵
W Nd hujielewi
Hifathi maneno unayotamka
Ubarikiwe sana mtumishi. Ndacha
Ndasha nakupenda sana,unasoma mazuli
Mazinge uko vizuri sana
Professor mazege mweyezimuku akuweke tupe ndawa nya Allah salamwalekum warahmatullah wabarakatu
Mwarimu muzor ndaca!! wambie mungu agipenda wataokoka!!! Jili Yesu wet muwezayote
Mungu hana chaprofesa kwakuwa profess auelimu nibahari naniyaMungupia.
Ndacha MUNGU akubariki kwa ujasiri ulionaoo.iuko pekeyako lkn uko na ujasiri lkn najua YESU yuko ndani yako ndo huo ujasiri. Barikiwa sana
Ndacha yuwa poteza watu fatilia vizuri vitabu yye yuwaunga unga ili apate ugali wake
❤ndacha barikiwa mkuu
Najivunia kuwa mkristo mimi jina la yesu libalikiwe sana
Mazinge unatisha sana Allah akupe maisha marefu . Unapoteza pumzi kubwa kwa faida yao lakin ipo siku watakir
Kwa kweli mmdahalo huu una maana kubwa kwani kila mshirki wa dini yake anafahamu undani wa mafunzo yanayo zungumziwa hata hivyo una dhibitisha majibu yalio na ufasaha na dhihaka jibu linapotelewa sisawa kujibu swali ukijua unawapotosha wasikilizaji fursa ya kuto ona kweli la mjadala je kuna maana gani kua na mjadal kama huu uwe funzo kwa mumini si kila dini ifunze inayo wahusu washirika wao badala ya kushutumiana uzuri wa dini yao
Yesu ni njia ya kweli
ya allah ya maliki tupe mwisho mwema ya matini
Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲
Masha Allah Ustaz.Ndacha comedian.afanya kazı ya İblees mkubwa WA mashetani.
Ushauri wangu , mijadala hii inapaswa kufanywa na watu wenye hekima sana sana kwa hiyo Mazinge ni mpotoshaji sababu hata biblia haijui na kuruani pia haijui so mtahangaika sana.
Mpoteshaji ni wew na huyo Ndacha wako
@@FatmaNash-nd5kz na wew na mhamad wako wote waongo
Waislamu tokeni huko muje kwa Yesu. Yesu ndiye Njia ya Kweli na Uzima
Ndacha Mungu nimukubwa utabatizwa wote waislam
Amen Mungu ni mkubwa sana soon wote watabatizwa
@@adarashidi8178 amen
Unataka kumuua kwa sababu Gani acha zenu waislam
Ndacha mungu akuweke
Hapo Mazinge alilemewa na hoja.
Mazinge Mungu akulipe kheri
Ndacha wewe ni kiboko cha waislamu
Subutu lbda kiboko yako wew
Na huyu yesu ni mungu, ni nabii au mtoto wa mungu
Ni nabii issa
Uwezi mfahamu till u read the bible properly
Mazinge Mungu akulinde .
Nazani Waliokufuru pia wanakukubali
Ur comedian 😂😊
Mazinge ni comedian anajua namna ya kuwachekesha waislamu wenzie naona waislamu wanakenua meno tu hapo🤣😂🤣😂🤣😂
Mkosa point kichwani. Kawaida yake matusi. Kichwa empty
@@ibrahimkarwani5478 sasa kwani uongo si mnakenua meno akiongea comedian wenu?
Mazinge hamumuwezi ndio sasa unampa jina baya.Nacha kawaingiza waislamu wangapi katika ukristo halafuta kazi aliyoifanya Mazinge.
@@mzeerajab9154waislamu wengi tu wamebatizwa kupitia mwalimu Ndacha
huyu jamaa anatumia jina ramadhan jina la kiislamu " alafu anandika upuuzi .
Nimemuelewa Sana mazinge Wallah.Yaan Wachungaji Kama watoto Hawaelewi. 9:25 Mchungaji Sijui Haelewi Nini,Ulevi Ulikuwepo Kabla. Alivokuja Mtume Muhammad Akautakaza,Sio ulivokuja Uislamu Ukakataza ulevi,Alivokuja mtume wa 25 Muhammad(S.A.W) Akakataza Ulevi
Yesu aliingia msikitini, na ukiristo ulianza baada ya yesu kuanza kuwa na wanafunzi kumi na mbili na baada kuondoka duniani ukiristo uliendelea na makanisa yakaendelea . Ila mdahalo unazidi kutuimarisha sote katika imani iwe uislam au ukiristo.
Maa shaa Allah...
Sheikh mazinge kama kuna mkristo yoyote hakuelewi basi hatokuja kuelewa maisha yake yote.
Barrakallah fikuh
Allah akupe umri mrefuu sheikh wetu
Mazinge mashaallah wafundishe hao
Mungu akubali mwalimu ndacha akupe maisha marefu akulinde naloo mbaya
Pro Mashaallah
Pole sana Sh.Mazinge jumbe bado mdahalo unaendelea
Teacher Mazinge ❤❤❤❤❤
Ayo mamboyenu yatutosha mkristo abaki mkristo mwisilamu abaki mwisilamu ila ukweli wote mashee munajuwa kuwa Kristo ndiye njiya yapeke ya kwenda mbinguni
Mazinge ni mbwembwe na sarakasi kuwadanganya hao waisilamu
Ndacha kept up❤
May our heavenly father bless you pastor Ndacha
@@ARUWAAHMADA-jz9msww ndie utakufa ujinga yko mnaswli z kitoto sna