MAZINGE AMUUMBUA VIBAYA SANA PASTA ODADA KATIKA MASWALI NA MAJIBU JIJINI MWANZA 2004 MWAKA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 516

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 3 года назад +18

    Mashallah tabarak Rahman sheikh mazinge mungu akuzidishie ilmi yarab ameen 🥰🥰🥰🥰🇴🇲👌

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад +28

    Allah akupe umri mrefu na afya. sheikh wetu mazinge.wakristo yataka mumshukuru sana mazinge ana hamu yakuwaokoa na moto

    • @henryshiyo5374
      @henryshiyo5374 3 года назад

      Mnamdihaki mungu kipuzi tu hapa mnatoa tafusiri zakibinadamu tena za ulimwengu huu hakika moto upo karbu yenu yalio alioandikwa ni mafumbo hivyo ya paswa kufumbuliwa kwa hekima si kushindana kama mpira wa miguu

    • @ellykiupa3696
      @ellykiupa3696 3 года назад

      @@henryshiyo5374 wewe hujielewi pole sana

    • @henryshiyo5374
      @henryshiyo5374 3 года назад

      @@ellykiupa3696 siku zote nyanyi haoni kundule ukweli hauna tabia ya kukubalika mapema hivyo sasa utaona sijielewi kwasababu tu ulishalishwa ya kipuziiii

    • @badruhamisi7289
      @badruhamisi7289 2 года назад

      @@henryshiyo5374

    • @badruhamisi7289
      @badruhamisi7289 2 года назад

      @@henryshiyo5374 *p*
      *pp***

  • @rawchah9920
    @rawchah9920 3 года назад +8

    allh akujaalie maisha marefu pro mazinge kaka

  • @mwitaproduction5380
    @mwitaproduction5380 3 года назад +11

    Mungu akupe umri mrefu uzidi kuisambaza dini ya Allah pia ushinde changamoto zitakazo kukabil katika kazi nzito ya Allah

  • @raziaidd2392
    @raziaidd2392 3 года назад +5

    Ma shaa Allah sheikhe mazinge Allah awalipe kila la kheir

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 3 года назад +9

    Mashallah professor Mazinge DD Allah akuweke. 😍

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 3 года назад +13

    Anord wa mihadhara Ni mazinge maana kwenye anga zake mtu Haruki😀😀😀😀 mazinge na Jopo loote la waisilamu mwenyezimungu Awaweke kwa usalama na Amani Duniani na Akhera 🙏

  • @ashourarashid289
    @ashourarashid289 3 года назад +4

    Uislam ndio dini ya kweli allah atupe mwisho mwema

  • @XhinunaHumoud
    @XhinunaHumoud Месяц назад

    Mashaallah hongera sana mazinge

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 2 года назад +4

    Mazinge unatisha baba Allah azidi kukufunilia hingera sana big up Ma shaa Allah🙏

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 3 года назад +9

    MashaAllah, sheikh mazinge na wenzio. Allah awalipe kila la kheri

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475 Год назад

    Maa Shaa Allaah
    Alhamdulillah
    Kiboko yao Sheikh p

  • @neemainabikorwa5570
    @neemainabikorwa5570 3 года назад +3

    Cheikh Mazinge na muomba Allah akupe umri mrefu wenye kheri na bakara, na wa islam wote .

  • @shakila3982
    @shakila3982 3 года назад +7

    Yaani kwa Mazinge huruki, alafu mwenye kipaza sauti kanimaliza, yaani akiambiwa achukue mike, ni kama radi chwa chwa mike inachukuliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @salumkagame509
      @salumkagame509 3 года назад +1

      Nami nimeona kama upepo

    • @onlyonetztv610
      @onlyonetztv610 3 года назад +1

      Nimecheka mno

    • @shakila3982
      @shakila3982 3 года назад

      @@onlyonetztv610 😂😂😂😂😂mimi ndio kabisaaa

    • @aminaluttu649
      @aminaluttu649 3 года назад

      Ahahahahha nimemuona kwel Ahahahahha dah

  • @suleimanabdull1958
    @suleimanabdull1958 3 года назад +9

    Ahsante Swaim this is Mazinge classic ninayo lkni kwenye video cassette Leo nimefurahi. Thanks.

  • @jumjumsaid3552
    @jumjumsaid3552 3 года назад +5

    Huyu professor kweli

  • @barkyabdallahsuleiman7069
    @barkyabdallahsuleiman7069 2 года назад +1

    Mazinge may Allah guide you mashaallah

  • @ahmedotuman109
    @ahmedotuman109 3 года назад +4

    Mazinge Allah akujaalie pumz ili uzd kufubdsha makafir hawa

  • @user-ty1fq7sw4l
    @user-ty1fq7sw4l 10 месяцев назад

    Anafurahsha can maznge

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 3 года назад +3

    Allah atawalipa nyinyi wote mnatetea Dini ya Allah

  • @user-bu9wq4lp3f
    @user-bu9wq4lp3f 3 года назад +3

    Wakristo ingieni katika dini ya haki ukapate raha za milele

    • @kichenjekichenje2072
      @kichenjekichenje2072 3 года назад

      Dini iloyotolewa kwa mtu acyejua kusoma wala kuandika!Alitokewa na mtu akamwambia soma! Mohammed ,yeye alijibu nini?Huoni kama pale ndio mwanzo wa kupotoka kwenu,mana alimezeshwa maneno ambayo hakuyajua hata tafcr yke.Na alipotoka pale alikuwa na mapepo,sasa jiulizeni mapepo yanatoka kwa nani?

    • @user-bu9wq4lp3f
      @user-bu9wq4lp3f 2 года назад

      @@kichenjekichenje2072 huyo yesu nae alisomea wapi jamani

  • @SodanaMrisho-hu4by
    @SodanaMrisho-hu4by 6 месяцев назад

    Mungu akujaze kheri

  • @baaliyanuun416
    @baaliyanuun416 3 года назад +52

    Kiboko ya wakiristo komando wa uislam prof MAZINGE 🤣🤣🤣

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 3 года назад +1

      Amri wetu

    • @farhatislam6550
      @farhatislam6550 3 года назад +4

      Nampenda kwA ajili ya allah..yaarab mlinde kwA kila shari.

    • @joezeno8
      @joezeno8 3 года назад

      Hana lolote

    • @joezeno8
      @joezeno8 3 года назад

      Mazinge hana lolote

    • @farhatislam6550
      @farhatislam6550 3 года назад

      @@joezeno8 Sasa Kama wewe jiná pekee linaitwa Joe zero umebakisha nini mwenye sufuri 😆😆😆

  • @abdallahbinzayd3464
    @abdallahbinzayd3464 3 года назад +1

    Takbiriii

  • @falidiamiiamii-jz5pf
    @falidiamiiamii-jz5pf Месяц назад

    Huy sh taungia ktamb kibok mpak leo sh mazng allah akuzdishie

  • @rajabomar4505
    @rajabomar4505 3 года назад +5

    Pasta odada ana hasira kweli naona amehamaki kweli hahahahahahahah

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад +4

    Mazinge 😀 Allah akupe umri mrefu

  • @calvinmangwea9249
    @calvinmangwea9249 3 года назад

    Shekh maulana

  • @edikiumbe7391
    @edikiumbe7391 2 года назад

    USTADH MAZINGE TUNAOMBA KABLA KUISHA HUU MWAKA WA 2022 UJE UJE UFANYE MDAHALO ZANZINBAR WAZANZIBARI YANI TUNAKUPENDA SANA NA TUNATAMANI HII MADA IFANYIKE KWETU ZANZIBAR INSHA- ALLAH

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 2 года назад

    Professional.Habib Mazinge

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 года назад +3

    Mazinge Allah will protect you, amin

    • @aminamohammed5373
      @aminamohammed5373 3 года назад

      Profesa mazinge aallaha akuweke akupe afya kila penye uzito allaha akufanyie wepes inshaallah tunakupenda ❤

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 3 года назад +10

    Pro. Mazinge mpaka Sasa duniani basi Allah sw kakupa kipaji cha pekee. Maana huna stori 😂. Mtu akijamba tu unatoa andiko😂. Sichoki kukusikiliza tokea enzi hizo

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 10 месяцев назад +1

    mazinge umefeli muhamadi ajatairiwa toka akiwa hause boy muhadi mpaka kumpata mjane adija

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z 3 года назад +3

    Allahu Akibaru

  • @sumaonemaloko1815
    @sumaonemaloko1815 3 года назад +1

    Hatari sana Mazinge mungu ampe maisha marefu na ya baraka🙏🤝🤲🏼🤲

  • @bmstatic8150
    @bmstatic8150 3 года назад +1

    Mash'Allah

  • @KambaleShabani
    @KambaleShabani Год назад

    A s l m a l km.nashukuru.kwa.mihadharz

  • @latifalatifa2838
    @latifalatifa2838 2 года назад

    Nakupenda sana mazingi

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 3 года назад +2

    ALLAH BARIIK

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 2 года назад

    Quoran kwenye vicwa vyenu .....bible kwenye vicwa vyenu Allah awaingizeni peponi bila isabu mnaifanya kazi kubwa

  • @gideonmwangi3535
    @gideonmwangi3535 8 месяцев назад

    Mazinge kazi yake nikurukaru bado anajidifedi na bibilia kwakiristo sitoki

  • @yahyasalum5634
    @yahyasalum5634 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @costazia6507
    @costazia6507 3 года назад

    Pastor big up sana mtumishi
    MUNGU wetu akubariki sana mtumishi unaongea ukweli
    Ila ata biblia inasema wengine wanaambiwa kwa mafumbo ili ata wakiambiwa wasielewe
    Pambana na kazi ya bwana wetu yesu kristo thawabu yako ipo 🙏🙏

    • @ahmedshaffiq8888
      @ahmedshaffiq8888 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ww kalale

    • @khatibramadhan8740
      @khatibramadhan8740 2 года назад

      Polee

  • @khatibjuma9455
    @khatibjuma9455 3 года назад

    Allah akupe nguvu zakuwashinda makafiri waongoke njia

  • @hajiahmad2328
    @hajiahmad2328 3 года назад +2

    Mazinge kiboko yenu wakiristo

  • @mussaluhizo5693
    @mussaluhizo5693 Год назад

    Doh unanfurahisha sana mazinge

  • @suleimansuleiman1127
    @suleimansuleiman1127 3 года назад +2

    Usihame kwanza Mike 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mswabumhogo1334
    @mswabumhogo1334 3 года назад +1

    ety akili imeingiwa na mafut ya taaaaa

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 5 месяцев назад

    nachokipenda Kwa waislamu ukiwauliza swali la kimaandiko kama kunaandiko atakujibu Kwa kujupa haya lakini wakristo unamuuliza we tarehe 25 mwezi wa kumi na mbili ni suku ya kuzaliwa yesu anaacha kujibu kama aya ipo au haipo ye anaanza kuangaika na vitu ambavyo havipo

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa1842 Год назад

    Mashalah mfundisheeee huyo hajui

  • @zaitunimrisho6377
    @zaitunimrisho6377 3 года назад +1

    Mazinge kiboko

  • @wazoboy1319
    @wazoboy1319 2 года назад

    Mazinge ni mfano wa kuigwa ,,ni mtu ambaye amejariwa ,,kipaji maarum kwajiri ya kuitangaza dini kwa makafiri ,,mora ampe maisha marefu azidi kuipigania dini

  • @thabitimzungu8381
    @thabitimzungu8381 3 года назад +1

    Takbiiiir

  • @salmamwanyiro8348
    @salmamwanyiro8348 3 года назад +2

    Huyu pastor kakurupuka akujui shekh mazinge huyo kwenye sura yake kashindwa

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 11 месяцев назад

    mhadhara mzuri

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад

    Mie shekh mazinge nakuombea duwa tu basi

  • @ramadhaniathumanibatumnwa1842
    @ramadhaniathumanibatumnwa1842 Год назад

    Mueleweshe Shekhe wetu

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 3 года назад +5

    mda wote nimekaa natazama sjaona ata mara moja pastor katoa andiko ata moja

  • @fatahhugan8978
    @fatahhugan8978 3 года назад

    Takbiir allahu akbar

  • @abdallahsultan8528
    @abdallahsultan8528 Год назад

    Huyu mwamba noma

  • @user-im2db1nc9b
    @user-im2db1nc9b 3 года назад

    Ni vizuri mtu akiuliza kwa utulivu basi mnamjibu kwa Busara sio ugomvi uislam ni Salaam hata tukamilishe Uislam wetu kwa usalama

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 3 года назад +2

    Subhanallhaaa

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 2 года назад

    Huyu pastor anaitwa odada au dada😀😀😀

  • @user-bu9wq4lp3f
    @user-bu9wq4lp3f 3 года назад +3

    Wewe ndio mjinga acha kubabaika onyesha injili ww

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 2 года назад

    Sikuja kuitengua torati bali kuitimiliza 😲😳 huyu Odada aitwe Okaka 🇸🇿🇹🇿

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 11 месяцев назад

    Torati Ndio Ndio Kitabu Anacho idai Mazingira Wewe Unasimamia Kitu hukijui , Wewe umedai kolaani imeteremshwa Maneno Hayo kaongea Mtume Torati Ni Musa kaongea Kupitia maongezi Na Mungu Sasa Wewe unachoamini Niujumbe alipokea muhamadi unavuruga Wenzio

  • @Jabaman207-ue6sk
    @Jabaman207-ue6sk 4 месяца назад

    M,a mazinge

  • @victornzai93
    @victornzai93 3 месяца назад

    17:10-14, reading: 'And God spoke to Abraham saying: … This is my covenant which you shall keep between me and you and thy seed after you - every male child among you shall be circumcised. '

  • @abdullahyusufutabu3521
    @abdullahyusufutabu3521 2 года назад

    Thanks

  • @nassoroseif8576
    @nassoroseif8576 3 года назад +3

    Mazinge nimwalim wa walim

  • @MakataWaMakatani
    @MakataWaMakatani 5 месяцев назад

    😂 subhanallah 🤣 ALLAHu swwamaad ❤

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 2 года назад +1

    Aneona mazinge kwamba hana hekima alake hapo.

  • @RtnhunterRenixy-ej3zp
    @RtnhunterRenixy-ej3zp 10 месяцев назад

    Aisee mazinge hatari nakukubali Kwa hoja zako

  • @kinyanyaonline3658
    @kinyanyaonline3658 3 года назад +2

    Allah akupe umri mrefu Aamin

  • @lawrenceomwenga7289
    @lawrenceomwenga7289 3 года назад +2

    Kutahiri katika kitabu kitakativu kina maana yake kinyume na njinzi Mazinge anavyo fikiri.Mazinge anafikiria kibinadamu tu.
    Mbona wasilamu hawana malaika au roho mtakativu ya kuwaongoza but wanaamini marehemu Muhammad SAW.

  • @ummsalyass1096
    @ummsalyass1096 2 года назад +1

    I hate the way mazinge anakuwa so rude anaongelesha mwenzake anampeleka kama mtoto 😢😢😢hatujaambiwa tufunze dini kwa njia hii, lazima tukuwe Wapole na hikma sio kwa design hii sheikh maizinge😢😢😢

    • @analyticalguru5851
      @analyticalguru5851 2 года назад +1

      Wakristo wajanja sana na waongo usiwache waongo waonge

  • @jamilaalfarsi7712
    @jamilaalfarsi7712 3 года назад +6

    Yanimikafiri mm naishangaa mn yanakuja kuuliza maswali nahayajajipanga au yanafkiri yenyewe hatoulizwa? Yani yakiulizwa maswali yenyewe hujubabaisha kanakwamba hayaelewi kiswahili

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 3 года назад

      Tena wanajifanyaga wamekomoa kweli sasa wakijibiwa na kuulizwa wao wamajizunguushaaaa weeeee

    • @jamilaalfarsi7712
      @jamilaalfarsi7712 3 года назад

      @@ummuhkhalfan5542 umeona eeee yani hujakwenye midahalo kwamarefu namapana namiswali yao yakijinga wakijitapa Leo naenda kuwaumbua waislamu yakiuliza na yakajibiwa hujifanya hayaelewi na yakiulizwa yenyewe maswali hujifanya viziwi mikafiri mwana

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 3 года назад

      @@samuelcn9253 Masha'Allah kama ilivyo shule somo hilo hilo akija mwalim huyu humuelew na huyu unamuelewa sana ndo hivyo hivyo ktk dini umpate mueleweshan na mdadavuaji tatizo la mazinge hafundishi yeye anajibu swali tu vipi ushasilim ndugu yangu kabla malakul maut hajakupitia

    • @ummuhkhalfan5542
      @ummuhkhalfan5542 3 года назад

      @@samuelcn9253 Kuna mhadhara wa mitume wa zamani walikuwa dini gani ndo nafatilia wanaonyesha channel mbalimbali

    • @omarykseko9876
      @omarykseko9876 3 года назад

      Usiwatukane wenzio kenge we

  • @omarychipeta3148
    @omarychipeta3148 Год назад

    allah a2pe mwisho mwema

  • @faridalitela8730
    @faridalitela8730 9 месяцев назад

    Mazinge wapeleke darasani hao

  • @mickmonster9140
    @mickmonster9140 3 года назад

    Taqbireeee

  • @marimyussuf3374
    @marimyussuf3374 2 года назад

    😂😂lazima ubabaike 2 odada ukirist cio din jmniiiiiiii

  • @peterpaul6665
    @peterpaul6665 3 года назад +1

    Hakuna pasta apo huyonni muislamu mwenzako ...akili ndogo sana....

  • @user-ty1fq7sw4l
    @user-ty1fq7sw4l 10 месяцев назад

    Waggum sema mazinge kayatimba

  • @abdulismaisma5069
    @abdulismaisma5069 3 года назад +2

    Mash'Allah!

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +4

    Watakuwelewa2 komando wetu lazma watasalut ww ndo kiboko ya o

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f 8 месяцев назад

    Duuh kumbe odada zunga😂😂😂😂

  • @dcharles4647
    @dcharles4647 3 года назад +1

    Haaaah..Huyo mazinge anamtafakari Mungu kibinadamu namnahiyo hakika anawapoteza..MUNGU awarehemu.

    • @sadyrajabu9318
      @sadyrajabu9318 3 года назад +1

      Wewe ndo unamtafakari mungu kibinadumu unasema kaja kapigwa kauliwa

    • @dcharles4647
      @dcharles4647 3 года назад

      Na MUNGU akupe neema ya kuelewa kwanini Kupigwa na kufa kwa Yesu.La sivyo waganga watakulizia kuku ndugu.
      Na bado nasema MUNGU u katika roho hayo wanayojadiri hapo katka Ufalme wa MUNGU ni kituko.Musipotezwe fungekeni akiri hizo.Kama mnasoma quran yale maneno ya Mungu yatafakarini kiupana katka roho na co kiuprofesa mnapotea.

    • @lillykhalayi80
      @lillykhalayi80 3 года назад

      Na nyie wakristo mliposema mungu wenu yesu kafa,kasulubiwa,huo sio kuongelea mungu kibinadamu? Mazinge hajamfananisha Mungu na yeyote au chochote maanake anaelewa maafa ya kufanya hivyo. Mwislamu yeyote hata awe mwenda wazimu huwezi kamwe kumlinganisha Allah na yeyote,hayo ni mambo ya wakristo wasiomjua Mungu wao, wanafiki na makafiri nyie wakristo

    • @lillykhalayi80
      @lillykhalayi80 3 года назад

      @@sadyrajabu9318 kabisa Hawa wakristo hawajiwlewi

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 3 года назад

    Wewe mazinge jibu swali acha kuzunguka mbuyu kwa maneno ya kejeli

  • @user-vy9bl6ei2x
    @user-vy9bl6ei2x 10 месяцев назад

    Atal sana

  • @kulthumhaji6928
    @kulthumhaji6928 3 года назад

    Mdahalo ni mzuri na ni Darasa zuri.

  • @nasramwalami7759
    @nasramwalami7759 3 года назад

    Man ala

  • @jamilaalfarsi7712
    @jamilaalfarsi7712 3 года назад +4

    Limeshidwa majibu ilokafiti linababaisha ss kwann yy kashindwa kutoa andiko baibol nimkusamyiko wavitabu?? Lisikuumize kichwahilo mazinge linakimbia swali kwasababu halinajibu kafiri iloooo

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад +4

    😂😂😂😂Mkono WA sweta mazinge

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Год назад

    John 6-45

  • @zairunyary7023
    @zairunyary7023 3 года назад

    Pole mazinge

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA 11 месяцев назад

    Mazinge Ni Muongo , Vitabu corani Inadai Kitabu Cha Mungu Nani Kakuletea Ni Muhadi Muhadi Alikuwa Nani ? Nimtu na Yeye Ndio alisema kaongea na Mungu ,

  • @kamalmukaddam1297
    @kamalmukaddam1297 3 года назад

    Mashaalah

  • @sabrinakhamis7731
    @sabrinakhamis7731 3 года назад +1

    Pasta wacha uongo...umemuota shuzniger..waenda toa uongo kanisani

  • @sumaiyaabdallah8164
    @sumaiyaabdallah8164 2 года назад

    Nakupebda she wetu

  • @yusufjoseph6094
    @yusufjoseph6094 3 года назад +2

    hoyee 😂😂😂 nmecheka ety maneno ya watu ubwee watumia mdomo mazinge kudanganya watu sii msaafu au vitabu vinene bro , Mbona matusi sasa , muhathara wa mabavu mbona kumpokonya kipaza 😆 sauti # kama wee mwanaume # kafiri hio ni upuzi