MDAHALO WA SONGEA...HABIB MAZINGE, IBRAHIM BAKONZI & SAID KINYOGOLI (2)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Akasha Daawah Channel

Комментарии • 150

  • @khadijasayeed3381
    @khadijasayeed3381 3 года назад +5

    Uislam ni dini ya Haki wallah najivunia kuwa Muislam ...Yaa Rabi tyujaalie mwisho mwema na tufe tukiw waislam inshaAllah🙏😍

  • @nak3477
    @nak3477 4 года назад +5

    Huzun kwa waisalam..shekhe mazjnge kashazeeka...allah amlipe kheri kwa kaz ngumu anayofanya...

    • @Awatee
      @Awatee 3 года назад

      Amiin

  • @bosslady1772
    @bosslady1772 4 года назад +19

    Gonga like hapa kama unapenda midahalo kama mimi

  • @chidistar1944
    @chidistar1944 4 года назад +5

    Hudhuni kwa waislam kumuona sheikh Mazinge anazeeka inshaallah mwenyezi mungu amjaalie pepoo.

  • @vimkhamis2794
    @vimkhamis2794 Год назад

    Allah awape ulizi wake wa kutosha Mashekhe wetu na Awabariki sana.

  • @khuwailatnassor8521
    @khuwailatnassor8521 7 лет назад +54

    mm naona raha sana kuona hii midahalo ya dini,wallahi uislamu ni dini ya kweli

    • @sulemanabbas9955
      @sulemanabbas9955 5 лет назад +2

      Mashallah

    • @abdulihafidhali5379
      @abdulihafidhali5379 4 года назад +1

      Masha Allah

    • @jeanmjimmy
      @jeanmjimmy 4 года назад +1

      Endelea kujidanganya.

    • @athumanibakary6029
      @athumanibakary6029 3 года назад +1

      Namshukulumungu kwakuniumba mwisilam uisilam ndio din ya mungu

    • @fineboyAfrica
      @fineboyAfrica 3 года назад

      @@jeanmjimmy ww ndy unajidanganya mbwa ww na moto ni wenu kabisa Uislamu ndy Dini ya Haki uo Ukiristo ni ubabaishaji na ujinga tu hamn kitu

  • @zeenathabdulaziz5971
    @zeenathabdulaziz5971 7 лет назад +5

    ALLAH,awazidishie mashekhe wangu!ni neema kua ktk dini hii,maana kila kitu kipo wazi nashangaa kwanini makafiri si waelewa

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani3194 6 лет назад +8

    WaLLAH naupend uislam nampend ALLAH ndomung pekee ukristo niukafir nabiashar tu

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +2

    Mashallah shukran masheikh wetu kwa kazi hii ngumu ya da'waa allah awalipe kila mazuri, uisilamu raha na nidini ya haki najivunia kuzaliwa muisilamu

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 года назад +2

    Nashukulu mungu kuwa islam

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 6 лет назад +2

    Mashallah mashallah mabrook wallahi masheikh Allah atawalipeni kwakuitanza dini InshaAllah ameen kwasote wote waje Dini na imani yakiislam inshallah ameen 1000x

  • @mansoorsadiq5721
    @mansoorsadiq5721 7 лет назад +9

    Allah akuhifathi habib mazinge nakupenda kwaajili ya allah Allah akujalieufekwenye kazihio yakueneza dini ya allah

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 лет назад +11

    wallah mi nampenda sana huyu sheikh kinyogoli ivi ana wake wangapi Akasha plz nijibu

    • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823
      @kibibimwanamvuamohammadmoh9823 7 лет назад +1

      Ma shaa Allah

    • @mansoorsadiq5721
      @mansoorsadiq5721 7 лет назад +2

      Viliunanyopingwa na jua uanjani basi namuomba allah siku ya kiama akakufinike na kivulichake siku ambayo hakutakua nakivuli ispokua cha allah amiin yaraby na pamoja na waislam wakweli

    • @Awatee
      @Awatee 3 года назад

      @@mansoorsadiq5721 Amiin

  • @ashamasudi9441
    @ashamasudi9441 7 лет назад +7

    MashaAllah Allah awape umri zaidi mashekhe wetu tuko mbali lakini nyoyo zetu zafurahika MashaAllah

  • @AliAli-kg9ki
    @AliAli-kg9ki 6 лет назад +5

    Masha allah habib mazinge kiboko wa makafir baraka allahu fiq

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari545 7 лет назад +6

    mashallah mola awazidishie mzidi kuwalingania watu dini ya ALLAH subhana wataalah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад +3

    Mazinge umekua babu Masha"Allah nakupenda sheikh wangu

  • @kibibimwanamvuamohammadmoh9823
    @kibibimwanamvuamohammadmoh9823 7 лет назад +10

    Ma shaa Allah....masheikh wangu nawapenda kwa ajili ya Allah subhaanahu wataa'alaa ,naye akulipeni khery kwa kazi mnayo ifanya

  • @maryammakhumo2149
    @maryammakhumo2149 7 лет назад +6

    mwenyezi mungu awajalie kila kheri na awaepushe na shari na awape umri mrefu wenye sheri na baraka mzidi kuekimisha watu katika njia sahihi

    • @Awatee
      @Awatee 3 года назад

      Amiin

  • @najmakhamis8052
    @najmakhamis8052 3 года назад +1

    Najikuta namaliza mb naingiza tena kwa maneno matam ya uwislam najijunia kua muislm na asio kua muislm akaribu katika din ya kwly ambayo itaenda kumtetea isha allah

  • @user-vy8jt2pd2e
    @user-vy8jt2pd2e 6 месяцев назад

    Mazing pole sana unazan mungu anapenda okoka ubatizw

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 года назад +1

    Alhamdullah najivunia kua muislam

  • @princeomar3492
    @princeomar3492 7 лет назад +10

    mashaallha Allhla awajaalie mashkhe wetu wa kislam

  • @mussamahmouud8944
    @mussamahmouud8944 4 года назад +8

    Allah sisi waislaam tumekuamin tusamehe makosayetu ya Allah

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 3 года назад

      Mashallah sheikh mazinge na wenzio kwa kazi ya kheir munayoifanya(dawah),Allah atakujalieni firdous inshallah.

    • @Awatee
      @Awatee 3 года назад

      Amiin

  • @ramadhanidillu9664
    @ramadhanidillu9664 4 года назад +1

    Masha Allah Allah awazidishie maarifa ya kutufundisha

  • @zaharanituwano6615
    @zaharanituwano6615 7 лет назад +4

    maasha Allah shkh mazinge Allah akuingize peponi

    • @Awatee
      @Awatee 3 года назад

      Amiin

  • @swaleheharuna7451
    @swaleheharuna7451 4 года назад +4

    Allah awalipe kila lakher

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe4274 4 года назад +1

    Nawashangaaa wakristo jaamani kubishana namungu basi Allah mkubwa mno

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y 4 года назад +2

    Najivunia kuwa mwislam

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 года назад +1

    Masha Allah Mazinge nakupenda buree

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 3 года назад +2

    Hiki kifaa kipya kimetengenezeka vizuri: Shekh mazinge salamu zako.

  • @abdishakurmohamed9394
    @abdishakurmohamed9394 4 года назад +3

    masha Allah mashekhe wetu

  • @ashababy1814
    @ashababy1814 7 лет назад +6

    Asalamwalakum awa ma shiekh wanafundish koroani.tunaomba watufundish dini yetu.kwamasimu.

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 7 лет назад +6

    masha allah ...wallah naipenda sana dini yetu

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe4274 4 года назад +1

    Shukuran baba mazinge basi sana tunapata somo kabisa

  • @kimwagarajabu2891
    @kimwagarajabu2891 7 лет назад +11

    Hakika wakristo wote mmepotea, km mnabisha nyie endelea kubisha afu mtaona siku ya mwsho nn kinawakuta

  • @swadaqtr1027
    @swadaqtr1027 2 года назад

    Mungu awalinde na hasad

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha7505 7 лет назад +5

    Masha Allah

  • @fatumamohammed6130
    @fatumamohammed6130 3 года назад +1

    Mashaĺah

  • @ummyhawaaweis3867
    @ummyhawaaweis3867 6 лет назад +16

    Waislam wallah tushukuru alhamdulillah

  • @simbadume4318
    @simbadume4318 7 лет назад +4

    Shukran masheikh

  • @omargbabagbaba4231
    @omargbabagbaba4231 7 лет назад +5

    masha Allah

  • @nasraalobaidani3194
    @nasraalobaidani3194 6 лет назад +2

    mbarikiw sana mashekh wetu

  • @habibhabiba.saleh.5590
    @habibhabiba.saleh.5590 4 года назад +1

    Mungu.awape.umri.mrefu

  • @thethreekingstheawadh7979
    @thethreekingstheawadh7979 6 лет назад +3

    Alhamdilillah we are Muslims

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 5 лет назад

      Wakristo hawana kitu

    • @asmaabdallah4055
      @asmaabdallah4055 5 лет назад

      Yeso anasema sivyema kutukuwa cha kulala cha watoto kuwatupia mbwa haaaha hamna nafaasi kwa yeso

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 2 года назад

    mdahalo mzuri

  • @ashababy1814
    @ashababy1814 7 лет назад +4

    Sabab tuko mbal.ishallah

  • @msalabanreko7001
    @msalabanreko7001 4 года назад +1

    Dah yan mbon mnateseka mno kwann

  • @faridaali6850
    @faridaali6850 5 лет назад +4

    Mashaallah

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 2 года назад

    mdahalo mzufi

  • @halimanassor7309
    @halimanassor7309 3 года назад +2

    Mashallah

  • @mirajishentembo4962
    @mirajishentembo4962 5 лет назад +2

    Safii mno

  • @alisengi4012
    @alisengi4012 4 года назад +2

    Maashallah

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 2 года назад

    ALLAH BARIIK always my brothers

  • @majaliwamaheru5368
    @majaliwamaheru5368 4 года назад +2

    Yani Kaz ya waislam ni kuwanyoosha wakrsto na makfr katka njia saih lakn Hawa wakrsto na makafr weng wao wamekua na myoyo migumu Sana Sana kuelewa cjui kwann!? Na wale viongoz wao wanajua ukweli lakn Hawatak kusema ila mungu Alisha watambua kwa uroho wao viongoz wa makafr na wakrsto 50:6 yeremia

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 4 года назад +1

    Mashaallah tabarak allah

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman8519 2 года назад

    Takbiiir

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 3 года назад +1

    HUO SIONMDAHALO MNAONGEA NA WASUKUMA MIKOKOTENI

  • @khalfanhamisi4218
    @khalfanhamisi4218 5 лет назад +2

    aslmalkm ndugu waislam? Yastarkafiru' Allahu,Ystrkfrr'Allahu,Ystfr'Allahu !!!.......

  • @allymnimbo4304
    @allymnimbo4304 3 года назад +1

    Ninashida na namba ya yeyote anaefanya hiz kazi za daawa

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 3 года назад +1

    ametorokea swali,eti mazinge mbaya kwa maswali.

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 6 лет назад +5

    Muhammad mwenyewe anadai hajui atakalo fanywa yeye siku mwisho wala hajui watalo fanywa wanaomfwata alafu muingie peponi izo ndoto za hadithi za uongo za mtume wenu.....

    • @ramadhanmussa6318
      @ramadhanmussa6318 5 лет назад

      Toa andiko

    • @alwattanihaji9838
      @alwattanihaji9838 4 года назад

      Wee kasome wewe mwenyewe biblia ya 'mwanzo', sio kusomewa na mchungaji anavotaka yeye..

    • @maryamsalim1303
      @maryamsalim1303 4 года назад

      Nan kakwambia hajui soma vzr then ndo utoe hoja

    • @zuhulas1036
      @zuhulas1036 3 года назад

      Pole.sana.na.upotofu.mlionao.wazahili

    • @yusfakhamis9243
      @yusfakhamis9243 3 года назад

      Mtume Muhammad ataingia peponi na kila anayemuamini Allah na Mtume Muhammad

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 3 года назад +1

    muhuli wa mungu ni nini,mazinge usindanganye????

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 4 года назад +1

    Allahu Akbar

  • @tabumpate9762
    @tabumpate9762 3 года назад +1

    Kaumeme nimekuona M/MUNGU nakuomba mlipe mema shekhe wetu

  • @hamisiramadhan104
    @hamisiramadhan104 7 лет назад +2

    mashaa allah

  • @myself4128
    @myself4128 6 лет назад +2

    Waislamu watabakia kukariri sababu ndio maana ya quraan(kisomo cha kukariri) hawataielewa biblia mpaka mwisho wa dunia!!! Sababu hawana roho mtakatifu!! Na majini hayawezi kuwasaidia kumuelewa Mungu!!!

    • @AKASHA.P
      @AKASHA.P  6 лет назад +1

      Bibilia ipi?

    • @khalfanhamisi4218
      @khalfanhamisi4218 5 лет назад

      C waulizwa na Sheikh wetu bblia IPI?

    • @halimasssomar8793
      @halimasssomar8793 5 лет назад

      @@AKASHA.P amuongoze uyo ..ashapotea

    • @maryamsalim1303
      @maryamsalim1303 4 года назад

      Nyinyi wakristo ndo hamuijui biblia yenu hyo mnayoijua nyiny ni manen ya watu mnaowaita viongoz wenu

    • @maidahmusa1866
      @maidahmusa1866 3 года назад

      Anatakiwa kukombolewa huyu , anatia huruma

  • @janek9103
    @janek9103 6 лет назад +2

    Nifuata Yesu hadi mwisho

  • @JumOnyancha
    @JumOnyancha 5 месяцев назад

    Uisilamu ni huwongo mtupu

  • @stevenmanyotax3330
    @stevenmanyotax3330 4 года назад

    Mwaacha kusali uko mwaja bishana mungu c wakuekew vikao kama ivo wte mlioko apo mmepotea polen

  • @bashitemakonda1540
    @bashitemakonda1540 7 лет назад +3

    yakwanza ikowapi

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 лет назад +4

    mwendelezo plz

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 года назад

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. Wwe have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven. Peace! Ray from Canada

  • @Millidady
    @Millidady 4 года назад

    Editor unanini wew

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 3 года назад

    jibu swali, hoja nyiiiiingi,kwani jibu linakaaaje????

  • @melithanyati1735
    @melithanyati1735 4 года назад +1

    Mazinge kazidishisha usanii hawezi kusimama katika hoja

    • @thaniabas5114
      @thaniabas5114 3 года назад

      Azinge na mwamposa nan msanii???! jib nimwamposa wachen kupotea

  • @samuelngogo5572
    @samuelngogo5572 2 года назад

    Wacha uongo Mazinge wakati Mohamed anasema anaiweka roho yake mikononi mwana wa Mariam kiama ikisimama

  • @user-vy8jt2pd2e
    @user-vy8jt2pd2e 6 месяцев назад

    Apana naupinga uislam mm Wala haitatokea kuuamin upotevu wenu wislm nyie

  • @fatumakirowa4507
    @fatumakirowa4507 3 года назад

    Wacheni kupotea uache uislam urodi kwa ukafri mola akunusuru kaka

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy 4 года назад

    Wakristo sikilizeni!!!
    Yesu alisema siku za mwisho kutakuwa na manabii wauongo na Wapinga Kristo. sikiliza sasa kwa umakini baada ya Yesu kuondoka ikaja Roman Catholic nabii wauongo na Ueslamu mpinga Kristo.

    • @tatukhatibu317
      @tatukhatibu317 4 года назад

      nenda uko wakristo waongo kama nini

    • @saidmgalula8471
      @saidmgalula8471 4 года назад +1

      @@tatukhatibu317 watapata taabu hao siku ya mwisho Allah atujaalie mwisho ulio mwema waislam wote duniani.

    • @maryamsalim1303
      @maryamsalim1303 4 года назад

      Hata nabii issa mnaemuita yesu alisema juu ya ujio wa mtume muhammad (s.a.w) na ndo mtume wa mwisho

    • @maryamsalim1303
      @maryamsalim1303 4 года назад

      Waislam tunamuamin nabii issa kma mtume lakn si kma mungu mungu ni mmoja tu ambae ni Allah (s.w) ambae hakuzaaa wala hakuzaliwa

    • @jeanmjimmy
      @jeanmjimmy 4 года назад

      @@maryamsalim1303 Endelea kujidanganya.

  • @mgenisaid6544
    @mgenisaid6544 3 года назад

    Mzeeyusfuhoi

  • @frankdarwiny9707
    @frankdarwiny9707 6 лет назад +1

    mnabishana na majini wakristo mnakazi shitukeni

  • @kimanimuikamba4714
    @kimanimuikamba4714 4 года назад

    Mazinge ameshindwa na hoja ...anapigisha takbir badala ya kuangazia hoja

    • @hadijamsangi8230
      @hadijamsangi8230 3 года назад

      Mashaallah,m/mungu awape umri mrefu waweze kuendelea kutoa elimu

  • @user-os9ul5iu5y
    @user-os9ul5iu5y 4 года назад +3

    Mashaallah

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 4 года назад +2

    Mashallah

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 6 лет назад +4

    Muhammad mwenyewe anadai hajui atakalo fanywa yeye siku mwisho wala hajui watalo fanywa wanaomfwata alafu muingie peponi izo ndoto za hadithi za uongo za mtume wenu.....

    • @halimasssomar8793
      @halimasssomar8793 5 лет назад

      Umepotea ww

    • @tamiah-zm4io
      @tamiah-zm4io 4 года назад

      Unauthubitisho n unayoyasema??

    • @shemsiasalumu9200
      @shemsiasalumu9200 4 года назад

      Umepotea kwa kweli

    • @Awatee
      @Awatee 3 года назад

      Allah akuongoze ktk njia ya haki na Mtume muhammad hakuwa muongo na ahad zake si za uongo zinatoka kwa Allah mfalme wa wafalme na Yesu tunamjua kua ni mtume wa Allah au mayahud na manaswara wanaelekua kua mtume hakua muongo tafakar sasa

  • @muharamimataula6978
    @muharamimataula6978 7 лет назад +4

    Mashaallah