Wakenya HONGERENI Sana Sana Sana. Maana Hii Mijadala Mnayoifanya Ya Kuwaleta Viongozi Wa Makanisa Mezani Ni Jambo LA Kipekee Sana. Na Tunapata Elimu Kubwa Sana Ma Sha Allah.
Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.
Hhhhhh aww ma sheikh wetu wapendwa nawapongeza sana kwa vipindi vyote mnatuandalia na nimefurahia sana hii mada hongera sana.na huu pastor nampenda sana anacangamsha mada insha Allah siku moja ataelewa na atasilimu.Allah awasidishie elimu na awap maisha mepesi sana na janatul fildawus kwa upendo wa Allah
Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.
Shukran kwa viongozi wa Uislamu Bishop amekiri kwamba kazi yenu ya kuwakutanisha inaelimisha. Kwa hivyo ni muhimu sote tujue kwamba kuna Dini ya haki (njia sahihi ya kuishi maisha haya ya Dunia) Mila ya Ibrahimu, alayhi salaam. ile ambayo Mitume wote walikuwa wanaifundisha. Kama kunae anapinga kwamba Dini ya Allah aliofundisha sio Uislamu alete andiko Ukristo ndio Dini sahihi.
JazakumAllah khair for your efforts may Allah reward you abundantly, Suleiman mazinge if you haven’t then you need to do a lecture by itself about Paulo/ Saul InshaAllah!
Subhanallah kweli huu ni msba ya mtu bada ya kujifunza wana tukana na kutukana nidhambi kweli kuna watu wakilala motto wakiamka moto matusi ndio dini yao
Subhanallah kumbe church ama kanisa niya watu waliokuwa wakiabudu nguruwe ambayo mungu wao ni nguruwe maskini wakristo mumepotea nyote na hakuna atakaeuona ufalme wa Mungu,inasikitisha sana jameni njooni kwa ALLAH mpate uzima.
Sheikh Yahya na wengine musichoke InshaAllah jazaa yenu iko kwa Allah(S.W)..hawa washaona ukweli uko wapi na washajua ukweli ni upi na karibuni kama alivyosema Ustadh Mazinge Bi3izzatillah wataukubali ukweli na kuwa sababu kubwa ya watu wengi kuingia katika uislamu InshaAllah.......Innaa nahnu nazzalna ddhikra wa inaa lahu lahafidhun.
alhamdulillaah nimeelewa kuwa UKRISTO SIO DINI na YESU sio muokozi na hajaleta UKRISTO na kwamba kwe biblia kuna maneno yameongezwa na majambazi kwakuwa walikua wakitaka posho ..... yaani wachungaji wamevurugwa mpaka hawajui jina la dini yao .........nashkuru mimi kuwa. ....... MUISLAMU.....
kulingana pastor gerison ikiwa yesu na shaul ama paulo kama ilivyoandikwa kwa biblia hawajaleta ukristo ni nani alieleta ukristo na hao watu walikua dini gani enzi hizo?
Nimesahau jina but yuko ustadhi ulaya who can speak Hebrew. I wish he comes to Kenya and debate this black Israel of ours here in Kenya. That's my wish that Allah fulfills one day.
Mchungaji hawezi kujitegemea ila kijificha na kutegemea nguvu za MUISRAEL MJALUO,japo yuwaona wazi kwamba yuwampinga na kumdhalilisha. WOTE HAWA WANAFANYA KILA JUHUDI KURUKARUKA ILI WATUNZE MASLAHI YAO YA SADAKA KUTOKA KWA WAUMINI WAO WALIO POTEA.
Huu ni uongo mkuuu. Lakini maana nimeshajua kuwa uislam umekuja miaka ya 600 na.. Msidanganye watu kwa makusudi. Maana wenyewe mnajua kuwa tulichoshika kina nguvu.. Yesu Kristo wa Nazareth.
Haaa hata wewe muislam unaongea hivo umeritadi nn umepotea ndugu kumuamini binaadam mwenzio aliyezaliwa na mwanamke kama wewe kumuita mungu Innalilah wsinna illah rajiuni Yesu katahiriwa,yesu Alliingia msikitini kuswali masinagogi,Tena rakaa mbili kila kabla sabato na kumaluza sabato jamani nyie kumbukeni Yesu hakufa wala hakusulubiwa,Yesu aliwakimbia mayahud kutak kumuuwa na alisema yeyote anaetundingw mtini basi hyo ni dhamb ya shetani sasa leo hii angalia wewe mwajuma wajina wa make wangu mpendw na bibiangu mpendw wote sala tano nakushangaa wewe leo unaungam jam tesu ni mungu upo hasaraaaani
Vipofu kweli. Mtajua ukweli utawaweka huru. Jesus will remain the truth the way and the life. No salvation without the blood of Jesus. He is the only way to enter in to heaven.
Lol : Jesus is the only way?. Why then Jesus said that the spirit of truth will come after him who will guide you to the truth. (John 16:12-14) “I have yet many things to say to you, but you cannot bear them now. 13 When the SPIRIT OF TRUTH comes, HE will guide you into all the truth; for HE will not speak on his own authority, but whatever HE hears HE will speak, and HE will declare to you the things that are to come. 14 HE will glorify me, for he will take what is mine and declare it to you. WHO IS THIS SPIRIT OF TRUTH.
@@Wambuiwakori : which Holy Spirit. Will come?. Wasn't the Holy Spirit, the father of Jesus according to the Bible?. Who exists first?. The farther or the Son?. (METTHEW 1:18) "Now the birth of JESUS Christ took place in this way. When his mother Mary had been betrothed to Joseph, before they came together she was found to be with CHILD OF THE HOLY SPIRIT;
Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.
Pia hao wakristo mliotuletea ni wawap!? Mbona huko kenya wapo wakristo walio wazur katkamidahalo!! Yaan mnawachota akil kuwatukanisha wakristo wenzao SO SAD, kama mazinge ni mwalim mzuri why asimwite Ndasha!! Kwann awaite wakristo wa dheheb fulan anayepingana na wakristo wa wenzao, mdahalo wa Kipumbav obvious
Aca kubisha ukweli kitukinaonekana nakusikika vizuri ata pape anasema hutopata cakujibu mbele ya waisilamu nanjo bababayako sasa wamekufa wakaaca siri bila kufuta wamewauzisha wakorisuhamunalakujibu munabisha kweli
@@suleymanally4729 gwajima ndiye baba yangu na namwaminia sana,,,,na namtambua sana. Maarifa anayo na ndo manake Mungu amempandisha na cheo,,,na bado anamtumikia. Mimi ni m🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nya but gwajima namwaminia asilimi mia
ماشاءاللہ ماشاءاللہ
SHEKH SULEYMAN ALLAH AKUHIFADHII
Wakenya HONGERENI Sana Sana Sana. Maana Hii Mijadala Mnayoifanya Ya Kuwaleta Viongozi Wa Makanisa Mezani Ni Jambo LA Kipekee Sana. Na Tunapata Elimu Kubwa Sana Ma Sha Allah.
MashAllah. Wallah unaongea kwa yakini. Na ukweli kabisa.
M'MUNGU akuzidishie uongofu na akulinde na maadui ishaAllah
Shukran kwa mdahalo huu masheikh wetu,endeleni hivo tu kuwapa darsa wakiristo Allah huenda akafungua nyoyo zao wakaifahamu haki na kuiepuka batil
Mazinge Suleiman Unanikosha Sana USTAADH Wangu. Nakupenda Kwa Ajili Ya Allah.
Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html
MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.
Yaaani mimi binafsi anapo simama mazinge sinaga, shida uyu jamaaa kasoma na anajua nini anacho kifanya, nyinyi wenyewe mashaidi katika ili
Nakupenda Bishop Bwana akuwezeshe zaidi uwafundishe Wokovu wa Kristo Yesu
Asichokiongoza mungu binadamu hawezi
Thanks for your teaching well organised and it's understandable very clear speech.
Mashaa Allah. Nawapenda mashehe wetu kwa ajili ya mungu. Haki nawapenda Sana sheikh Suleiman and Sheikh yahye. Great you from Garissa
Hhhhhh aww ma sheikh wetu wapendwa nawapongeza sana kwa vipindi vyote mnatuandalia na nimefurahia sana hii mada hongera sana.na huu pastor nampenda sana anacangamsha mada insha Allah siku moja ataelewa na atasilimu.Allah awasidishie elimu na awap maisha mepesi sana na janatul fildawus kwa upendo wa Allah
MaashaaAllah jamani nawapenda wote masheikh na wachungaji sababu mnatufundisha huku mkiwa nyote na furaha Alhamdulillah
Masha Allah tabaarakallah! Allah awalinde na awabariki mashekh wetu kwa kazi nzuri mnaifanya
Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html
MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.
The discussion was well organized, great job, well done.
Sheikh mazinge Jazaakallahu khaira
Sheikh Suleiman a.k.a mazinge he is on another level. Moto wakuotea mbali. MashaAllah
Shukran kwa viongozi wa Uislamu Bishop amekiri kwamba kazi yenu ya kuwakutanisha inaelimisha. Kwa hivyo ni muhimu sote tujue kwamba kuna Dini ya haki (njia sahihi ya kuishi maisha haya ya Dunia) Mila ya Ibrahimu, alayhi salaam. ile ambayo Mitume wote walikuwa wanaifundisha. Kama kunae anapinga kwamba Dini ya Allah aliofundisha sio Uislamu alete andiko Ukristo ndio Dini sahihi.
Mashekhe wetu allah awape mwisho mwema takbiiiiiiiir kazi mzuri saana
Ukristu niupumbavu
JazakumAllah khair for your efforts may Allah reward you abundantly, Suleiman mazinge if you haven’t then you need to do a lecture by itself about Paulo/ Saul InshaAllah!
جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
Subhanallah kweli huu ni msba ya mtu bada ya kujifunza wana tukana na kutukana nidhambi kweli kuna watu wakilala motto wakiamka moto matusi ndio dini yao
Subhanallah kumbe church ama kanisa niya watu waliokuwa wakiabudu nguruwe ambayo mungu wao ni nguruwe maskini wakristo mumepotea nyote na hakuna atakaeuona ufalme wa Mungu,inasikitisha sana jameni njooni kwa ALLAH mpate uzima.
Kabisa Jazaakallahu
Waislam wote pepon inshaala
Peponi bila Yesu Kristo utaisikia tu.
Acheni hayo mambo ya ku gombana hatu yataki sisi wegine
Mungu ndie anae jua yote
Yani nakuonea huruma
Mansha’Allah shekha Sulaman Allah akulinde na mahasidi yaarab 🤲🤲 Allah akuhifadhi yaarab 🤲🤲
Mashallah
Maashaa Allah al habibu mazinge na time yako
Allah awahifadhwi mashehe wetu
Mashaallah nawakubali sana masheikh Allah azidi kuwapa umri mrefu
Masha Allah mungu awazidishie shekh wote
Keep the spirit.....the truth will always prevail" Islam" is the way
Sheikh mung akuzidishie unajua Sana Sana Sana naunafasah mnoo
Allah amfanyie wepsi maustadh wetu na bwana eskof Allah amuongoze inshallah uyu askof ni muislam
Allah akuzidishie upeo na kuhifadhi yaliyo mema brother sulle big up broo Allah akujaalie kheri
Safi sana. Open minded brothers in action.
Takbiiir
Mdahalo mzuri sana hasa sisi tunaowatazama na kuwasikiliza tunajifunza na kutufumbua vitu.
Wallah najivunia kuwa muislam maana ndy dini ya haqi Na isiyokuwa na mashaka.
Alhambdulilah
Sheikhs mazinge uko juu bro
Fantastic sheh Suleiman Mazinge.
sheikh Yusuf pia yuko
Mungu awaongoze waione khaki InshaAllah
Allahuma Amin
Rahaa tu
Sheikh Yahya na wengine musichoke InshaAllah jazaa yenu iko kwa Allah(S.W)..hawa washaona ukweli uko wapi na washajua ukweli ni upi na karibuni kama alivyosema Ustadh Mazinge Bi3izzatillah wataukubali ukweli na kuwa sababu kubwa ya watu wengi kuingia katika uislamu InshaAllah.......Innaa nahnu nazzalna ddhikra wa inaa lahu lahafidhun.
Asalam aleikum, Gerison nae naenda wapi kuabudu kwa sinagogi ama wapi?
MashaAllah,, good work on progress brothers
Somo uko juu
Sheikh Mazinge Nimekuongeza Nyota.
Wataelewa Tu Kwa Mwendo Huu Mnaokwenda Nao!!!!!!!!! Allah Awalipeni Kheri In Sha Allah.
Wataelewa tu hao
alhamdulillaah nimeelewa kuwa UKRISTO SIO DINI na YESU sio muokozi na hajaleta UKRISTO na kwamba kwe biblia kuna maneno yameongezwa na majambazi kwakuwa walikua wakitaka posho ..... yaani wachungaji wamevurugwa mpaka hawajui jina la dini yao .........nashkuru mimi kuwa. ....... MUISLAMU.....
Ma pasta wanavurugana! Hahahaaa uislamu raha
Afu jua uisilam uliletwa na waarabuu ko din tumeletewa wa Africa,,,
Assalam alleykum. Twaiyib Sheykh Suleiman
Nataka mfanye midaharo na mapadri wa Roman catholic Mashekh wangu
Kwenye ukweli uwongo unajitenga
Yaani hawa watoto sana tuakili twao tote wamefika hapa kujifanya kuna anae tetea ukristo hapo
Mazinge anazungumzia Bible tunayoijuwa Girson anazungumziya Bible haijulikane Afrika mpaka Girson atakapo ionyesha Afrika
Jina haiwezi kubadilika...paulo ni nani na shaul ni nani?
Naomba kuuuliza, iv. Prof. OTHUMAN HABIBU MAZINGE, mwenyekiti wa mihadhara tz yuko wapi
Professor mazinge yupo tena Alhamdhulillah mzima wa afya
Mazinge kiboko yao 🇹🇿🇹🇿
Mazinge Allah azidi kuwapa Afya mnafanya kazi kubwa saana
Eti hawezi munyonga🤣🤣🤣🤣
Atakutana na babangu wa kiroho Josephat gwanjima
Ni kiboko ya wasioongozwa na Roho mtakatifu...Ni kiboko ya waislam nanaofuata dini ila hawamfuati Kristo Yesu.Amina
Moto wakuotea mbali
PR. mazinge ni balaa lingne kaa mbali naeee usicheze nae karibu kabisaaaaa
Naomba Huyo Gerishon aje na Tanzania kuwaumbua watumiaji Wa maganda yaliyochakachuliwa
Watakuja makiristo ya uongo 😭😭😭😭😭😭😭jamaniiiii
Ushirikiano na amani imetawala congratulations
kulingana pastor gerison ikiwa yesu na shaul ama paulo kama ilivyoandikwa kwa biblia hawajaleta ukristo ni nani alieleta ukristo na hao watu walikua dini gani enzi hizo?
Walikuwa waislamu
Ni waislaamu na maana unawaona wanavurugana, bibilia imetiwa mkono na wanazuoni wakiyahudi, mkubali nabii wa mwisho tu utakaa kwa amaani kabisa
Mbona mwavuana nguo wenyewe kwa wenyewe
@jumakoga Bible wameiyalibu Warumi watie Mambo yao yakidhalimu ndio Wakiristo makao makuu roma
Nimesahau jina but yuko ustadhi ulaya who can speak Hebrew. I wish he comes to Kenya and debate this black Israel of ours here in Kenya. That's my wish that Allah fulfills one day.
Mchungaji hawezi kujitegemea ila kijificha na kutegemea nguvu za MUISRAEL MJALUO,japo yuwaona wazi kwamba yuwampinga na kumdhalilisha. WOTE HAWA WANAFANYA KILA JUHUDI KURUKARUKA ILI WATUNZE MASLAHI YAO YA SADAKA KUTOKA KWA WAUMINI WAO WALIO POTEA.
Wanakuja wenyewe
Mashalah shikh yetu
Naam
Paulo ameharibu vzaz na vzaxi hadi kufikia kw gerson
Wakristo hawaichokonoi Quruan kwa sababu wanajua haina makosa yoyote iko kamili na tukufu.
Kazi ipooo mungu ndie anae jua yote
Yaani nyinyi nawapa pole sana , sasa kwa nini munawadanganya watu wakristo mmeshuhudia uwongo wa viongozi wenu
Masheikh Mashaallah
mazinge umewavuruga tangu mwanzo ndo maana hawajui walisemalo hawo wachungaji hahahaha mazinge ww kiboko umewavuruga kisaikolojia mwanzo
Mazinge mashallah Allah akulipe, ni mwalimu bora
Nkama timu ipijwe bao 3 dakika kumi za mwanzo😂😂😂
Hajawavurugwa wamepewa ukweli wamekosa kujipinzua
Askofu mungu akujariye uyione haki ya wislam kama gisi nasisi tumeyiona uwepukane na moto wa jahanama
Huu ni uongo mkuuu. Lakini maana nimeshajua kuwa uislam umekuja miaka ya 600 na.. Msidanganye watu kwa makusudi. Maana wenyewe mnajua kuwa tulichoshika kina nguvu.. Yesu Kristo wa Nazareth.
Ati anafuta extra verse
Inastikisha wapo gizani mungu awaoneshe njia Inshallah😢
Tumsifu yesu mtumishi,ikiwa hawamuamini yesu,wako gizani kwelikweli..Amuaminiye yesu,hayuko kamwe gizani bali anaouzima wa milele ..yesu ndiye nuru...Acts9:3-5////john12:46/////isaya9:1-6
Mimi nafwatalia Sana hii midahalo mchungaji kaanza kuelewa sasahivi atabadilika
Jamani msidanganyane njoni kwa yesu hapo mnavurugana akili
Sisi twaenda kwa mungu kama alivoamrisha yesu
😂😂mashekhe munachanganya wachungaji mpaka wanarukana wenyewe kwa wenyewe😂😂
Wamenichekesha sana
😂😂😂😂
Mjadala safi sana mwenye kuelewa ataelewa na atachagua yy mwenyew moyon sehemu ya kujikita
Wow ! What an interesting debate. Wachungaji wanajichanganya balaa sipati picha hali ya hao kondoo 🐑 😅🤣😂
Yesu ni Mungu Mwokozi mwenye nguvu
Wewe ni chiz akili zako saw n paul
@@jumaalhamid5242 😂😂😂😂
Eloi eloi Lima sabaktani.yesu anamlilia mungu .nguvu zilienda wapi hapa????
Haaa hata wewe muislam unaongea hivo umeritadi nn umepotea ndugu kumuamini binaadam mwenzio aliyezaliwa na mwanamke kama wewe kumuita mungu Innalilah wsinna illah rajiuni Yesu katahiriwa,yesu Alliingia msikitini kuswali masinagogi,Tena rakaa mbili kila kabla sabato na kumaluza sabato jamani nyie kumbukeni Yesu hakufa wala hakusulubiwa,Yesu aliwakimbia mayahud kutak kumuuwa na alisema yeyote anaetundingw mtini basi hyo ni dhamb ya shetani sasa leo hii angalia wewe mwajuma wajina wa make wangu mpendw na bibiangu mpendw wote sala tano nakushangaa wewe leo unaungam jam tesu ni mungu upo hasaraaaani
@@jumaalhamid5242 jina lisikuskume kuwa huyu ni muislamu. Si muislamu nijina tu na wako wengi kama huyu
Mashallah
Sichoki kutizama kila nikiwa na mda na'angalia .
hahaaaaa wataelewa tuuu🙏🙏 🕋
Mume kuwa elimu dunia kuna ishu ya kutohoa msamiati kutoka lugha moja kwenda luga nyingine
Alivyokua akieleza mtu wa kwanza,mwenye ndevu hakua na maswali ya kumkatiza katiza ila wa pili anavyoanza hatoi nafasi kabisa. Mbona??
Sasa kama hakuna swali mbona aulize?
Muulize kwann wanamuabudu yesu kuliko maryam alomzaa huyo yesu
Vipofu kweli. Mtajua ukweli utawaweka huru. Jesus will remain the truth the way and the life. No salvation without the blood of Jesus. He is the only way to enter in to heaven.
Lol : Jesus is the only way?.
Why then Jesus said that the spirit of truth will come after him who will guide you to the truth.
(John 16:12-14) “I have yet many things to say to you, but you cannot bear them now. 13 When the SPIRIT OF TRUTH comes, HE will guide you into all the truth; for HE will not speak on his own authority, but whatever HE hears HE will speak, and HE will declare to you the things that are to come. 14 HE will glorify me, for he will take what is mine and declare it to you.
WHO IS THIS SPIRIT OF TRUTH.
@@Truth771 The Holy Spirit.
@@Truth771 tumsifu yesu mtumishi,,the name of that spirit to come,,,is Jesus himself...john14:26///Mathew 28;20...Amina barikiwa Sana..
@@davismwamachi1145 : Tumsifu Yesu mtumishi!.
Swali : Yesu mtumishi wa Nani?.
Unazungumza kwa akili au unabwabwaja kama alielewa?.
@@Wambuiwakori : which Holy Spirit. Will come?.
Wasn't the Holy Spirit, the father of Jesus according to the Bible?.
Who exists first?.
The farther or the Son?.
(METTHEW 1:18) "Now the birth of JESUS Christ took place in this way. When his mother Mary had been betrothed to Joseph, before they came together she was found to be with CHILD OF THE HOLY SPIRIT;
Walm wote peponi😁
Huyu mchungaji ana float and no having notion... translation in Hebrew and Greece. Jesus has many names, or God has many names.
Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html
MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.
@@kabhikachambala3392 usislimu kwa ajili ya hoja za binadamu, simama imara tu ukristo. Utafsiri potovu kutoka kwa bibilia kusikubabaishe
Masha Allah Muslims, mbona hao wenzenu Hawaii AYA?
Watoe AYA
Wanayo n'a maneno mazima yamekaa sehemu yake
Pia hao wakristo mliotuletea ni wawap!? Mbona huko kenya wapo wakristo walio wazur katkamidahalo!! Yaan mnawachota akil kuwatukanisha wakristo wenzao SO SAD, kama mazinge ni mwalim mzuri why asimwite Ndasha!! Kwann awaite wakristo wa dheheb fulan anayepingana na wakristo wa wenzao, mdahalo wa Kipumbav obvious
Wakristo Kwa mtizamo huu mnatakuwa mjiongeze sana!!!!!!
Mpaka hapo nafikir mmepata picha halisi
Paul anajulikana hata yeye mwenyewe amejitapa kuwa ana mwiba wa Shetan
hakuna lugha ya kiibrania inayofunzwa mashuleni hapa kenya so huyu Gerison anadanganya watu yeye ni kati ya wale mayahudi walio mkataa yesu abadani
Hapana sivyo.Kusoma kwanza si lazima uende shuleni,kunayo mitandao.Kisha,Mwalimu Gerisson na mtu ametembea duniani Sana.
Wakristo huwa hawana point
Ukweli ukidhihirika uongo hujitenga
hehe gerrison ako na umbwedede hehe
Aca kubisha ukweli kitukinaonekana nakusikika vizuri ata pape anasema hutopata cakujibu mbele ya waisilamu nanjo bababayako sasa wamekufa wakaaca siri bila kufuta wamewauzisha wakorisuhamunalakujibu munabisha kweli
Wakristo ni wababaishaji unaona wanamkataa paulo sasa wanasema jina bandia lakin si ndo huyo huyo sauli hawana lolote hao
Mazinge nataka ukutane na Josephat gwanjima
Gwajima hamn kitu akae bungeni t
@@suleymanally4729 gwajima ndiye baba yangu na namwaminia sana,,,,na namtambua sana. Maarifa anayo na ndo manake Mungu amempandisha na cheo,,,na bado anamtumikia. Mimi ni m🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nya but gwajima namwaminia asilimi mia
@@japhethmbusya1479 alosema nani mungu amempandisha cheo? Na ni cheo gani kapandishwa?
Gwajima Hana Elimu ya kukutana na mazinge. Wakristo wote wamepotezwa n'a akili zishatapakaa matope zimezingirwa hamuioni haki
yaani hdi aibu huyo bishop bora awe comedian tu
hhhhhh
😁😁😁😁
wakirsto mungu awaogoze muone haki na muifate kabila yakufa kwenu uislam peke ndio dini ya haki na insha llah mutakuja2 kwa makundi makundi
Kwenye majini,kweli haki yapatikana?haki yapatikana kwa Yesu pekee(John14:6)
Nimecheka san😁😁😁😁
Wanapingana wao kwa wao😂😂😂
Gerishon anajichocha ati sasa ni kuongea kiibrania..ati mashekeshua😂