MAZINGE vs GERISHON ODARE..JE PAULO NI MTUME?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Hii Mdahalo ilionyeshwa live kwa Roninga ya LTN TV.

Комментарии •

  • @abuujureyjkhaniy.5520
    @abuujureyjkhaniy.5520 3 года назад +4

    ماشاءاللہ ماشاءاللہ
    SHEKH SULEYMAN ALLAH AKUHIFADHII

  • @ramadhankiponza6730
    @ramadhankiponza6730 5 лет назад +11

    Wakenya HONGERENI Sana Sana Sana. Maana Hii Mijadala Mnayoifanya Ya Kuwaleta Viongozi Wa Makanisa Mezani Ni Jambo LA Kipekee Sana. Na Tunapata Elimu Kubwa Sana Ma Sha Allah.

  • @mwawekomiuda5777
    @mwawekomiuda5777 4 года назад +12

    MashAllah. Wallah unaongea kwa yakini. Na ukweli kabisa.
    M'MUNGU akuzidishie uongofu na akulinde na maadui ishaAllah

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +1

    Shukran kwa mdahalo huu masheikh wetu,endeleni hivo tu kuwapa darsa wakiristo Allah huenda akafungua nyoyo zao wakaifahamu haki na kuiepuka batil

  • @ramadhankiponza6730
    @ramadhankiponza6730 5 лет назад +19

    Mazinge Suleiman Unanikosha Sana USTAADH Wangu. Nakupenda Kwa Ajili Ya Allah.

    • @kabhikachambala3392
      @kabhikachambala3392 3 года назад +1

      Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html
      MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.

    • @abduliashiru9394
      @abduliashiru9394 4 месяца назад

      Yaaani mimi binafsi anapo simama mazinge sinaga, shida uyu jamaaa kasoma na anajua nini anacho kifanya, nyinyi wenyewe mashaidi katika ili

  • @mwajumamasumbuko2170
    @mwajumamasumbuko2170 3 года назад +1

    Nakupenda Bishop Bwana akuwezeshe zaidi uwafundishe Wokovu wa Kristo Yesu

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад +1

      Asichokiongoza mungu binadamu hawezi

  • @mohammedidoo5663
    @mohammedidoo5663 4 года назад +3

    Thanks for your teaching well organised and it's understandable very clear speech.

  • @abdiwahabhusseinhud5854
    @abdiwahabhusseinhud5854 Год назад

    Mashaa Allah. Nawapenda mashehe wetu kwa ajili ya mungu. Haki nawapenda Sana sheikh Suleiman and Sheikh yahye. Great you from Garissa

  • @nyc5595
    @nyc5595 4 года назад +4

    Hhhhhh aww ma sheikh wetu wapendwa nawapongeza sana kwa vipindi vyote mnatuandalia na nimefurahia sana hii mada hongera sana.na huu pastor nampenda sana anacangamsha mada insha Allah siku moja ataelewa na atasilimu.Allah awasidishie elimu na awap maisha mepesi sana na janatul fildawus kwa upendo wa Allah

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 3 года назад +3

    MaashaaAllah jamani nawapenda wote masheikh na wachungaji sababu mnatufundisha huku mkiwa nyote na furaha Alhamdulillah

  • @daudb2609
    @daudb2609 3 года назад +1

    Masha Allah tabaarakallah! Allah awalinde na awabariki mashekh wetu kwa kazi nzuri mnaifanya

    • @kabhikachambala3392
      @kabhikachambala3392 3 года назад

      Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html
      MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.

  • @rashiddzambo7789
    @rashiddzambo7789 5 лет назад +7

    The discussion was well organized, great job, well done.

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 3 года назад +3

    Sheikh mazinge Jazaakallahu khaira

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад +1

    Sheikh Suleiman a.k.a mazinge he is on another level. Moto wakuotea mbali. MashaAllah

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 4 года назад +1

    Shukran kwa viongozi wa Uislamu Bishop amekiri kwamba kazi yenu ya kuwakutanisha inaelimisha. Kwa hivyo ni muhimu sote tujue kwamba kuna Dini ya haki (njia sahihi ya kuishi maisha haya ya Dunia) Mila ya Ibrahimu, alayhi salaam. ile ambayo Mitume wote walikuwa wanaifundisha. Kama kunae anapinga kwamba Dini ya Allah aliofundisha sio Uislamu alete andiko Ukristo ndio Dini sahihi.

  • @jumakoga2179
    @jumakoga2179 4 года назад +3

    Mashekhe wetu allah awape mwisho mwema takbiiiiiiiir kazi mzuri saana

  • @nubianqueen6700
    @nubianqueen6700 2 года назад +1

    JazakumAllah khair for your efforts may Allah reward you abundantly, Suleiman mazinge if you haven’t then you need to do a lecture by itself about Paulo/ Saul InshaAllah!

  • @abuujureyjkhaniy.5520
    @abuujureyjkhaniy.5520 3 года назад +1

    جزاكم الله خيرا و احسن الجزء

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 года назад +4

    Subhanallah kweli huu ni msba ya mtu bada ya kujifunza wana tukana na kutukana nidhambi kweli kuna watu wakilala motto wakiamka moto matusi ndio dini yao

  • @richardsineno6720
    @richardsineno6720 4 года назад +4

    Subhanallah kumbe church ama kanisa niya watu waliokuwa wakiabudu nguruwe ambayo mungu wao ni nguruwe maskini wakristo mumepotea nyote na hakuna atakaeuona ufalme wa Mungu,inasikitisha sana jameni njooni kwa ALLAH mpate uzima.

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 4 года назад +21

    Waislam wote pepon inshaala

  • @salmaalnaamani8504
    @salmaalnaamani8504 3 года назад +2

    Mansha’Allah shekha Sulaman Allah akulinde na mahasidi yaarab 🤲🤲 Allah akuhifadhi yaarab 🤲🤲

    • @20155
      @20155 Год назад

      Mashallah

  • @hassanjuamchipua9384
    @hassanjuamchipua9384 3 года назад +3

    Maashaa Allah al habibu mazinge na time yako

  • @zeidomar-f7g
    @zeidomar-f7g Год назад

    Allah awahifadhwi mashehe wetu

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 3 года назад

    Mashaallah nawakubali sana masheikh Allah azidi kuwapa umri mrefu

  • @yahyakiomy1735
    @yahyakiomy1735 3 года назад +2

    Masha Allah mungu awazidishie shekh wote

  • @fatmamudathir3038
    @fatmamudathir3038 5 лет назад +2

    Keep the spirit.....the truth will always prevail" Islam" is the way

  • @يحيىاحمد-ت9ض
    @يحيىاحمد-ت9ض 3 года назад +2

    Sheikh mung akuzidishie unajua Sana Sana Sana naunafasah mnoo

  • @KudraRashid
    @KudraRashid 6 месяцев назад

    Allah amfanyie wepsi maustadh wetu na bwana eskof Allah amuongoze inshallah uyu askof ni muislam

  • @jumaalhamid5242
    @jumaalhamid5242 3 года назад

    Allah akuzidishie upeo na kuhifadhi yaliyo mema brother sulle big up broo Allah akujaalie kheri

  • @Heroes122
    @Heroes122 3 года назад +4

    Safi sana. Open minded brothers in action.

  • @munyarubugaismailally111
    @munyarubugaismailally111 3 года назад +2

    Takbiiir

  • @yahayaj7846
    @yahayaj7846 4 года назад +2

    Mdahalo mzuri sana hasa sisi tunaowatazama na kuwasikiliza tunajifunza na kutufumbua vitu.

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 3 года назад +1

    Wallah najivunia kuwa muislam maana ndy dini ya haqi Na isiyokuwa na mashaka.
    Alhambdulilah

  • @suleimantsanje8904
    @suleimantsanje8904 3 года назад

    Sheikhs mazinge uko juu bro

  • @jumaadremane7756
    @jumaadremane7756 5 лет назад +3

    Fantastic sheh Suleiman Mazinge.

  • @maryamidd4315
    @maryamidd4315 3 года назад +1

    sheikh Yusuf pia yuko

  • @bahatijabri1420
    @bahatijabri1420 5 лет назад +6

    Mungu awaongoze waione khaki InshaAllah

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki2716 3 года назад +3

    Rahaa tu

  • @hassananwar7327
    @hassananwar7327 4 года назад +1

    Sheikh Yahya na wengine musichoke InshaAllah jazaa yenu iko kwa Allah(S.W)..hawa washaona ukweli uko wapi na washajua ukweli ni upi na karibuni kama alivyosema Ustadh Mazinge Bi3izzatillah wataukubali ukweli na kuwa sababu kubwa ya watu wengi kuingia katika uislamu InshaAllah.......Innaa nahnu nazzalna ddhikra wa inaa lahu lahafidhun.

  • @Chychy.w
    @Chychy.w 3 года назад

    Asalam aleikum, Gerison nae naenda wapi kuabudu kwa sinagogi ama wapi?

  • @adanwoshe8828
    @adanwoshe8828 3 года назад +2

    MashaAllah,, good work on progress brothers

  • @سلطانسليمانبنجمعة
    @سلطانسليمانبنجمعة 4 года назад +3

    Somo uko juu

  • @ramadhankiponza6730
    @ramadhankiponza6730 5 лет назад +5

    Sheikh Mazinge Nimekuongeza Nyota.

  • @ramadhankiponza6730
    @ramadhankiponza6730 5 лет назад +4

    Wataelewa Tu Kwa Mwendo Huu Mnaokwenda Nao!!!!!!!!! Allah Awalipeni Kheri In Sha Allah.

  • @mathiasbpaskali1145
    @mathiasbpaskali1145 5 лет назад +3

    alhamdulillaah nimeelewa kuwa UKRISTO SIO DINI na YESU sio muokozi na hajaleta UKRISTO na kwamba kwe biblia kuna maneno yameongezwa na majambazi kwakuwa walikua wakitaka posho ..... yaani wachungaji wamevurugwa mpaka hawajui jina la dini yao .........nashkuru mimi kuwa. ....... MUISLAMU.....

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 года назад +1

    Assalam alleykum. Twaiyib Sheykh Suleiman

  • @ramadhanwilbard4685
    @ramadhanwilbard4685 4 года назад +2

    Nataka mfanye midaharo na mapadri wa Roman catholic Mashekh wangu

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 года назад +1

    Kwenye ukweli uwongo unajitenga

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo1605 3 года назад +2

    Yaani hawa watoto sana tuakili twao tote wamefika hapa kujifanya kuna anae tetea ukristo hapo

  • @sh.issagisesa6271
    @sh.issagisesa6271 3 года назад +1

    Mazinge anazungumzia Bible tunayoijuwa Girson anazungumziya Bible haijulikane Afrika mpaka Girson atakapo ionyesha Afrika

  • @franciskatana8723
    @franciskatana8723 3 года назад +2

    Jina haiwezi kubadilika...paulo ni nani na shaul ni nani?

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 4 года назад +2

    Naomba kuuuliza, iv. Prof. OTHUMAN HABIBU MAZINGE, mwenyekiti wa mihadhara tz yuko wapi

    • @ramadhanomar360
      @ramadhanomar360 3 года назад

      Professor mazinge yupo tena Alhamdhulillah mzima wa afya

  • @uwesusaid9764
    @uwesusaid9764 4 года назад +6

    Mazinge kiboko yao 🇹🇿🇹🇿

    • @wewe3394
      @wewe3394 4 года назад

      Mazinge Allah azidi kuwapa Afya mnafanya kazi kubwa saana

    • @wewe3394
      @wewe3394 4 года назад

      Eti hawezi munyonga🤣🤣🤣🤣

    • @japhethmbusya1479
      @japhethmbusya1479 3 года назад

      Atakutana na babangu wa kiroho Josephat gwanjima

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 года назад

      Ni kiboko ya wasioongozwa na Roho mtakatifu...Ni kiboko ya waislam nanaofuata dini ila hawamfuati Kristo Yesu.Amina

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Moto wakuotea mbali

  • @adamjumaa808
    @adamjumaa808 5 лет назад +3

    PR. mazinge ni balaa lingne kaa mbali naeee usicheze nae karibu kabisaaaaa

  • @hamisihassan3634
    @hamisihassan3634 4 года назад +2

    Naomba Huyo Gerishon aje na Tanzania kuwaumbua watumiaji Wa maganda yaliyochakachuliwa

  • @ayunramadhan3104
    @ayunramadhan3104 5 лет назад +5

    Watakuja makiristo ya uongo 😭😭😭😭😭😭😭jamaniiiii

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад

    Ushirikiano na amani imetawala congratulations

  • @richardsineno6720
    @richardsineno6720 4 года назад +5

    kulingana pastor gerison ikiwa yesu na shaul ama paulo kama ilivyoandikwa kwa biblia hawajaleta ukristo ni nani alieleta ukristo na hao watu walikua dini gani enzi hizo?

    • @muslihmohd9420
      @muslihmohd9420 4 года назад +1

      Walikuwa waislamu

    • @jumakoga2179
      @jumakoga2179 4 года назад +1

      Ni waislaamu na maana unawaona wanavurugana, bibilia imetiwa mkono na wanazuoni wakiyahudi, mkubali nabii wa mwisho tu utakaa kwa amaani kabisa

    • @jumakoga2179
      @jumakoga2179 4 года назад +1

      Mbona mwavuana nguo wenyewe kwa wenyewe

    • @kibeginiblue7188
      @kibeginiblue7188 3 года назад

      @jumakoga Bible wameiyalibu Warumi watie Mambo yao yakidhalimu ndio Wakiristo makao makuu roma

  • @mariamomar1572
    @mariamomar1572 Год назад

    Nimesahau jina but yuko ustadhi ulaya who can speak Hebrew. I wish he comes to Kenya and debate this black Israel of ours here in Kenya. That's my wish that Allah fulfills one day.

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 года назад +2

    Mchungaji hawezi kujitegemea ila kijificha na kutegemea nguvu za MUISRAEL MJALUO,japo yuwaona wazi kwamba yuwampinga na kumdhalilisha. WOTE HAWA WANAFANYA KILA JUHUDI KURUKARUKA ILI WATUNZE MASLAHI YAO YA SADAKA KUTOKA KWA WAUMINI WAO WALIO POTEA.

  • @faizasaid8262
    @faizasaid8262 5 лет назад +6

    Wanakuja wenyewe

  • @jumaalhamid5242
    @jumaalhamid5242 3 года назад

    Paulo ameharibu vzaz na vzaxi hadi kufikia kw gerson

  • @ramadhanwilbard4685
    @ramadhanwilbard4685 4 года назад +3

    Wakristo hawaichokonoi Quruan kwa sababu wanajua haina makosa yoyote iko kamili na tukufu.

  • @jumakoga2179
    @jumakoga2179 4 года назад +1

    Yaani nyinyi nawapa pole sana , sasa kwa nini munawadanganya watu wakristo mmeshuhudia uwongo wa viongozi wenu

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 года назад

    Masheikh Mashaallah

  • @saumuharoun633
    @saumuharoun633 5 лет назад +6

    mazinge umewavuruga tangu mwanzo ndo maana hawajui walisemalo hawo wachungaji hahahaha mazinge ww kiboko umewavuruga kisaikolojia mwanzo

    • @nasraally4588
      @nasraally4588 4 года назад

      Mazinge mashallah Allah akulipe, ni mwalimu bora

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Nkama timu ipijwe bao 3 dakika kumi za mwanzo😂😂😂

    • @khairatsuleiman4606
      @khairatsuleiman4606 Год назад

      Hajawavurugwa wamepewa ukweli wamekosa kujipinzua

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 3 года назад

    Askofu mungu akujariye uyione haki ya wislam kama gisi nasisi tumeyiona uwepukane na moto wa jahanama

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 3 года назад

    Huu ni uongo mkuuu. Lakini maana nimeshajua kuwa uislam umekuja miaka ya 600 na.. Msidanganye watu kwa makusudi. Maana wenyewe mnajua kuwa tulichoshika kina nguvu.. Yesu Kristo wa Nazareth.

  • @amirsuleiman7205
    @amirsuleiman7205 3 года назад

    Ati anafuta extra verse

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 года назад

    Inastikisha wapo gizani mungu awaoneshe njia Inshallah😢

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 года назад

      Tumsifu yesu mtumishi,ikiwa hawamuamini yesu,wako gizani kwelikweli..Amuaminiye yesu,hayuko kamwe gizani bali anaouzima wa milele ..yesu ndiye nuru...Acts9:3-5////john12:46/////isaya9:1-6

  • @alphanisuleman6979
    @alphanisuleman6979 4 года назад +2

    Mimi nafwatalia Sana hii midahalo mchungaji kaanza kuelewa sasahivi atabadilika

  • @michaelmbezi7927
    @michaelmbezi7927 3 года назад +2

    Jamani msidanganyane njoni kwa yesu hapo mnavurugana akili

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Sisi twaenda kwa mungu kama alivoamrisha yesu

  • @swiddiqabubakar2993
    @swiddiqabubakar2993 4 года назад +4

    😂😂mashekhe munachanganya wachungaji mpaka wanarukana wenyewe kwa wenyewe😂😂

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 4 года назад +1

    Mjadala safi sana mwenye kuelewa ataelewa na atachagua yy mwenyew moyon sehemu ya kujikita

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 3 года назад +1

    Wow ! What an interesting debate. Wachungaji wanajichanganya balaa sipati picha hali ya hao kondoo 🐑 😅🤣😂

  • @mwajumamasumbuko2170
    @mwajumamasumbuko2170 3 года назад +1

    Yesu ni Mungu Mwokozi mwenye nguvu

    • @jumaalhamid5242
      @jumaalhamid5242 3 года назад +1

      Wewe ni chiz akili zako saw n paul

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      @@jumaalhamid5242 😂😂😂😂

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад +1

      Eloi eloi Lima sabaktani.yesu anamlilia mungu .nguvu zilienda wapi hapa????

    • @jumaalhamid5242
      @jumaalhamid5242 3 года назад

      Haaa hata wewe muislam unaongea hivo umeritadi nn umepotea ndugu kumuamini binaadam mwenzio aliyezaliwa na mwanamke kama wewe kumuita mungu Innalilah wsinna illah rajiuni Yesu katahiriwa,yesu Alliingia msikitini kuswali masinagogi,Tena rakaa mbili kila kabla sabato na kumaluza sabato jamani nyie kumbukeni Yesu hakufa wala hakusulubiwa,Yesu aliwakimbia mayahud kutak kumuuwa na alisema yeyote anaetundingw mtini basi hyo ni dhamb ya shetani sasa leo hii angalia wewe mwajuma wajina wa make wangu mpendw na bibiangu mpendw wote sala tano nakushangaa wewe leo unaungam jam tesu ni mungu upo hasaraaaani

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      @@jumaalhamid5242 jina lisikuskume kuwa huyu ni muislamu. Si muislamu nijina tu na wako wengi kama huyu

  • @nasramohammed5483
    @nasramohammed5483 3 года назад

    Mashallah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад +1

    Sichoki kutizama kila nikiwa na mda na'angalia .

  • @jumaalhamid5242
    @jumaalhamid5242 3 года назад

    hahaaaaa wataelewa tuuu🙏🙏 🕋

  • @batholomeomwaya6232
    @batholomeomwaya6232 3 года назад +1

    Mume kuwa elimu dunia kuna ishu ya kutohoa msamiati kutoka lugha moja kwenda luga nyingine

  • @franciskatana8723
    @franciskatana8723 3 года назад +2

    Alivyokua akieleza mtu wa kwanza,mwenye ndevu hakua na maswali ya kumkatiza katiza ila wa pili anavyoanza hatoi nafasi kabisa. Mbona??

    • @Sandra39823
      @Sandra39823 3 года назад

      Sasa kama hakuna swali mbona aulize?

  • @فاطمهنزوى
    @فاطمهنزوى 3 года назад +1

    Muulize kwann wanamuabudu yesu kuliko maryam alomzaa huyo yesu

  • @Wambuiwakori
    @Wambuiwakori 4 года назад +2

    Vipofu kweli. Mtajua ukweli utawaweka huru. Jesus will remain the truth the way and the life. No salvation without the blood of Jesus. He is the only way to enter in to heaven.

    • @Truth771
      @Truth771 3 года назад

      Lol : Jesus is the only way?.
      Why then Jesus said that the spirit of truth will come after him who will guide you to the truth.
      (John 16:12-14) “I have yet many things to say to you, but you cannot bear them now. 13 When the SPIRIT OF TRUTH comes, HE will guide you into all the truth; for HE will not speak on his own authority, but whatever HE hears HE will speak, and HE will declare to you the things that are to come. 14 HE will glorify me, for he will take what is mine and declare it to you.
      WHO IS THIS SPIRIT OF TRUTH.

    • @Wambuiwakori
      @Wambuiwakori 3 года назад

      @@Truth771 The Holy Spirit.

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 года назад

      @@Truth771 tumsifu yesu mtumishi,,the name of that spirit to come,,,is Jesus himself...john14:26///Mathew 28;20...Amina barikiwa Sana..

    • @Truth771
      @Truth771 3 года назад

      @@davismwamachi1145 : Tumsifu Yesu mtumishi!.
      Swali : Yesu mtumishi wa Nani?.
      Unazungumza kwa akili au unabwabwaja kama alielewa?.

    • @Truth771
      @Truth771 3 года назад

      @@Wambuiwakori : which Holy Spirit. Will come?.
      Wasn't the Holy Spirit, the father of Jesus according to the Bible?.
      Who exists first?.
      The farther or the Son?.
      (METTHEW 1:18) "Now the birth of JESUS Christ took place in this way. When his mother Mary had been betrothed to Joseph, before they came together she was found to be with CHILD OF THE HOLY SPIRIT;

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 года назад +2

    Walm wote peponi😁

  • @stanstano6064
    @stanstano6064 3 года назад +1

    Huyu mchungaji ana float and no having notion... translation in Hebrew and Greece. Jesus has many names, or God has many names.

    • @kabhikachambala3392
      @kabhikachambala3392 3 года назад

      Kama kuna Muislam awezaye kupangua hoja hizi -> ruclips.net/video/Tubz3qXYMAk/видео.html
      MIMI NIKO TAYARI KUSILIMU. NILISITA KUWA MUISILAMU KWA SABABU YA HOJA HIZO.

    • @stanstano6064
      @stanstano6064 3 года назад

      @@kabhikachambala3392 usislimu kwa ajili ya hoja za binadamu, simama imara tu ukristo. Utafsiri potovu kutoka kwa bibilia kusikubabaishe

  • @halimamasudi7221
    @halimamasudi7221 4 года назад

    Masha Allah Muslims, mbona hao wenzenu Hawaii AYA?

  • @Izikiel55
    @Izikiel55 3 года назад

    Pia hao wakristo mliotuletea ni wawap!? Mbona huko kenya wapo wakristo walio wazur katkamidahalo!! Yaan mnawachota akil kuwatukanisha wakristo wenzao SO SAD, kama mazinge ni mwalim mzuri why asimwite Ndasha!! Kwann awaite wakristo wa dheheb fulan anayepingana na wakristo wa wenzao, mdahalo wa Kipumbav obvious

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 3 года назад

    Wakristo Kwa mtizamo huu mnatakuwa mjiongeze sana!!!!!!
    Mpaka hapo nafikir mmepata picha halisi

  • @sh.issagisesa6271
    @sh.issagisesa6271 3 года назад +1

    Paul anajulikana hata yeye mwenyewe amejitapa kuwa ana mwiba wa Shetan

  • @richardsineno6720
    @richardsineno6720 4 года назад +2

    hakuna lugha ya kiibrania inayofunzwa mashuleni hapa kenya so huyu Gerison anadanganya watu yeye ni kati ya wale mayahudi walio mkataa yesu abadani

    • @thetruewordt.v6525
      @thetruewordt.v6525 3 года назад

      Hapana sivyo.Kusoma kwanza si lazima uende shuleni,kunayo mitandao.Kisha,Mwalimu Gerisson na mtu ametembea duniani Sana.

  • @balloondecorationtz3190
    @balloondecorationtz3190 3 года назад +1

    Wakristo huwa hawana point

  • @ibrahimetale9999
    @ibrahimetale9999 Год назад

    hehe gerrison ako na umbwedede hehe

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 года назад +1

    Aca kubisha ukweli kitukinaonekana nakusikika vizuri ata pape anasema hutopata cakujibu mbele ya waisilamu nanjo bababayako sasa wamekufa wakaaca siri bila kufuta wamewauzisha wakorisuhamunalakujibu munabisha kweli

  • @abassimakamechademakubwala5580
    @abassimakamechademakubwala5580 3 года назад +1

    Wakristo ni wababaishaji unaona wanamkataa paulo sasa wanasema jina bandia lakin si ndo huyo huyo sauli hawana lolote hao

  • @japhethmbusya1479
    @japhethmbusya1479 3 года назад +2

    Mazinge nataka ukutane na Josephat gwanjima

    • @suleymanally4729
      @suleymanally4729 3 года назад

      Gwajima hamn kitu akae bungeni t

    • @japhethmbusya1479
      @japhethmbusya1479 3 года назад

      @@suleymanally4729 gwajima ndiye baba yangu na namwaminia sana,,,,na namtambua sana. Maarifa anayo na ndo manake Mungu amempandisha na cheo,,,na bado anamtumikia. Mimi ni m🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nya but gwajima namwaminia asilimi mia

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      @@japhethmbusya1479 alosema nani mungu amempandisha cheo? Na ni cheo gani kapandishwa?

    • @khairatsuleiman4606
      @khairatsuleiman4606 Год назад

      Gwajima Hana Elimu ya kukutana na mazinge. Wakristo wote wamepotezwa n'a akili zishatapakaa matope zimezingirwa hamuioni haki

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 5 лет назад +3

    yaani hdi aibu huyo bishop bora awe comedian tu

  • @محمدعبدالله-غ1ق8ظ
    @محمدعبدالله-غ1ق8ظ 4 года назад +1

    wakirsto mungu awaogoze muone haki na muifate kabila yakufa kwenu uislam peke ndio dini ya haki na insha llah mutakuja2 kwa makundi makundi

    • @davismwamachi1145
      @davismwamachi1145 3 года назад

      Kwenye majini,kweli haki yapatikana?haki yapatikana kwa Yesu pekee(John14:6)

  • @wahidawahida6675
    @wahidawahida6675 5 лет назад +4

    Nimecheka san😁😁😁😁

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 года назад

      Wanapingana wao kwa wao😂😂😂

  • @AmosM7
    @AmosM7 Год назад

    Gerishon anajichocha ati sasa ni kuongea kiibrania..ati mashekeshua😂