HABIB MAZINGE MITIHANI WAHUBIRI TUNAYO PATANA NAYO bondeni mombasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 сен 2024
  • AKASHA DAAWAH TRADERS +254 721310082

Комментарии • 217

  • @alee4252
    @alee4252 4 года назад +8

    Hio tukio lililokukuta ilikua mungu alitaka uweneze uislam jela na sio mateso.. allahu akbar pole sana

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 4 года назад +4

    Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi masheikh wetu katika kupigania dini ya Allah inshaallah na mtalipwa yaliyo mema Inshallah Mazinge nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @zuberiismail6713
    @zuberiismail6713 6 лет назад +11

    Jazakllah khayra sheikh mazinge,,,, Allah awe nasi mpaka siku ya mwisho na Allah Atujalie mwisho mwema

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe9649 3 года назад +2

    Allah akulinde na Shari na mashekhe wwnzako..kazi ya daawa iko na mitihani.. lakini insha'Allah Allah atafanya wepesi Kwa wanaotoa daawa

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 6 лет назад +38

    Long life Ustadh Mazinge

  • @omarhakizimanakishikbongo2186
    @omarhakizimanakishikbongo2186 5 лет назад +16

    Mazinge nampenda sanasasa Allah amrinde ampe shifa na ushindi

  • @zainabmsuya7022
    @zainabmsuya7022 5 лет назад +15

    Nakupenda ostaz Mazinge kwa ajili ya Allah na mwenyez Mungu akupe nguvu na akujaze ujasiri uendee kutupa daawa.

    • @mohdabdallah0127
      @mohdabdallah0127 3 года назад

      alhabb a, alaykm namuomba allah akufanyie wepsi katka kaz ya kufanya daawa.

    • @mohdabdallah0127
      @mohdabdallah0127 3 года назад

      na ss allah atupe limi zenye kufahamika.

    • @mohdabdallah0127
      @mohdabdallah0127 3 года назад

      katka kaz ya kufanya daawa.

  • @issaally9806
    @issaally9806 8 лет назад +16

    inshaallah allah atatujaalia kheir na atafanya wepesi katika kulingania dini na inshaallah tutapata manufaa hapa duniani na kesho yaumul kiama

  • @alisharif570
    @alisharif570 4 года назад +3

    Aaaaaa mazinge unanimaliza uko vizuri Allah akulipe kila la kheri

  • @ummuabdillahi5195
    @ummuabdillahi5195 8 лет назад +33

    nakupenda ustadh Mazinge kwa ajili.ya Allah...Allah awazidishie masheikh wetu na atuongoze sote ndugu katika imani...ameen

    • @unknownuser-ek5id
      @unknownuser-ek5id 8 лет назад +1

      Amin

    • @othmanabdallah1948
      @othmanabdallah1948 7 лет назад +3

      ummu abdillahi aaamin

    • @othmanabdallah1948
      @othmanabdallah1948 7 лет назад +1

      unknown user pindi nilivyokuwa primary school huu msamiati UNKNOWN kaka yangu aliandika kwenye mkanda wake basi nilijaribu kumuambia ili anipe maana yake hakunipa nami kipindi hicho nilikuwa na shauku ya kujua hii lugha ya English japo nilikuwa primary school nilihuzunika sana , nimeliona hili jina nimekumbuka hiki kisa

  • @mstafahassan3989
    @mstafahassan3989 5 лет назад +29

    mungu atujalie Sana tufe tukiwa waislam

  • @ismaeldaprince4797
    @ismaeldaprince4797 5 лет назад +3

    kazi ya daawa ni ngumu sana Allah akujaalie afya fildunia wal akhera na akujaalie mwisho mwema

  • @smartlady7172
    @smartlady7172 8 лет назад +12

    Masha Allah beautifull qiira'a allahu akbar MA shehe wetu may Allah bless you all of you. Ustad habib mazinge walahi i love you for the sake of Allah mungu akozidhisheye cumri na ciibada nzuri

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 3 года назад +1

    Mashallah sheikh Mazinge hiki ni kipaji chake Mungu amemjaalia hikma ya kuongea sana hasa na makafiri.

  • @kudramzee1475
    @kudramzee1475 5 лет назад +6

    Mwenyezi Mungu akupe Maisha marefu Inshaallah

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 лет назад +13

    Mazinge Allah subuana wA tahala akubaliki Sana huzidi kuwepo na kuwaongoa wanna wA adamu wamjue mungu wA kweli

  • @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653
    @zulfaalnabhanzulfaalnabhan8653 8 лет назад +17

    mashaa ALLAH Mungu awajaze kheyr sheikh mazinge na ndugu akasha

  • @masssjasscard9147
    @masssjasscard9147 5 лет назад +7

    Mwenyezi mungu akusaidie Sana sheikh wangu

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 лет назад +12

    Mungu we2 akufanyie wepesi katika kila Jambo la duniani na haera amiiiiiiiii

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz7211 4 года назад +3

    Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh .ninamuomba Allah akupe pepo yake (janatu filidaus)alafu nami pia tupakutanie tucangiye wote zaituni zahuko peponi, Allahum Amin ya Rabb

  • @adankabaye8918
    @adankabaye8918 4 года назад +2

    Masha allah prof mazinge mungu ampelke Jana na wenzake mashake wengine

  • @kudramzee4638
    @kudramzee4638 3 года назад +10

    Wangapi wanaangalia hii mpaka leo mawaidha

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe4274 4 года назад +2

    Asante kazi long life sheikh love u big

  • @aishaaisha9636
    @aishaaisha9636 2 года назад

    sheikh mazinge Mungu akupe uzima n afya njema n akupe muongozo mwema inshallah

  • @khamisbakari5772
    @khamisbakari5772 4 года назад +3

    Mashaalah msomaji qur-an yaani mpk machozi yananitoka

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Jazakallahu kher shekhe Othman Mazinge, Allah akulipe Jannah inshallah 🙏

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 лет назад +3

    Mashallah mungu awabaliki san kwa ku2pa mawaidha ya Allah subuana wA tahala

  • @meymunaabdi4437
    @meymunaabdi4437 5 лет назад +4

    Mash Allah Allah akujali afya sheikh

  • @husseinmongolare1661
    @husseinmongolare1661 4 года назад +2

    Allah atufishe tukiwa waislamu insha allah

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo2451 4 года назад +2

    IshaAllah Allah Yuko na wewe Shekh Mazinge...

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 3 года назад +1

    Allah akulipe mazinge na wenzako kwa kuipigania dini ya Allah

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq 3 года назад +1

    MUNGU AKUPE MWISHO MWEMA USTADH MAZINGE AKUZIDISHIE IMANI NA AFYA NJEMA UZIDI KUPIGANIA NIDI

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid248 6 лет назад +33

    mazinge mimi mkrsto ila nakupenda sana napenda mafundish yako sana sanaaa

    • @SalumAAbeid
      @SalumAAbeid 6 лет назад +3

      Glory David "bila shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko wakati uliotangulia" Allah ukujaliee

    • @happyarooun6037
      @happyarooun6037 6 лет назад +3

      Alla akuongoze inshaalah uujue ukweli

    • @stevenngunzi419
      @stevenngunzi419 6 лет назад +6

      Pia mimi ni mkristo lkni na mpenda mazinge sanaaaa

    • @stevenngunzi419
      @stevenngunzi419 6 лет назад +6

      Mazingeeee,MUNGU na akuongeze ufahamu

    • @salehehassan1330
      @salehehassan1330 6 лет назад +6

      Karibu kwenye uislam hata usisite wala kua Na shaka

  • @omarmchoya9285
    @omarmchoya9285 4 года назад +5

    Allah Akupe nguvu

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 года назад +6

    Allah wakibar...kabisa mazinge nimusaidizi wa yesu we wafunga makanisa yesu atarudi angushamisalaba watu wasali kiisilamukama gisi inatufundisha coroan wallahi siku ikiisha bila kumusikiya mazinge wala masheikh sipatagi raha kabisa njo kanipa Allah iyo Alhamdulillah

  • @salmaathman1973
    @salmaathman1973 8 лет назад +8

    subhanallah !!! if u keep Allah first, u will always rise higher. may Allah protect u my beloved sheikh.

    • @mimah2543
      @mimah2543 3 года назад

      MashaAllah.. Shkh nakupenda kwa ajili ya Allah.. Allah akupe ilmu zaidi na umri uzidi kuwazindua wasomjua Allah..

    • @shabanimohamedi2280
      @shabanimohamedi2280 2 года назад

      Inshaala

  • @mathewsodiambo5761
    @mathewsodiambo5761 4 года назад +2

    Inshallah Allah atujalie waislamu duniani

  • @eeg5485
    @eeg5485 8 лет назад +5

    Mashaallah Allah Akuzindishie mri Ameen

  • @TanzaniOman
    @TanzaniOman 4 года назад +4

    Mazinge ww kiboko 👍

  • @khadijakibwana5278
    @khadijakibwana5278 9 лет назад +6

    Ishaallah mwenyenzi mungu atakuzidishia kila la kheli amin

    • @omarhakizimanakishikbongo2186
      @omarhakizimanakishikbongo2186 5 лет назад +1

      khadija kibwana amin

    • @mombasarahasa6814
      @mombasarahasa6814 5 лет назад

      @@omarhakizimanakishikbongo2186 kxkxkckcmvmcmzllllqppppppkvmvkkkk
      Llsvkrlgvkkkpwrimskw
      A
      Fkjfjkfsjhkgkf😮😈😐😈(/)/=/$/&(

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 3 года назад +3

    Laana ya Allah iwe juu yake mobutu

  • @sayleewaprocesse217
    @sayleewaprocesse217 3 года назад

    Mashallah mashallah mungu akulinde daima uishi miakaa mingi yenye fulaha maisha mwako

  • @kudramzee4638
    @kudramzee4638 3 года назад

    Nakukubali sana Habibu mazinge MWENYEZI MUNGU AKUPE maisha marefu

  • @yusufukasereka1082
    @yusufukasereka1082 Год назад

    Sheh mazinge Allah mwenyewe najua garama ya malipoyako peponi🤲🤲🤲

  • @aboubakarsalym131
    @aboubakarsalym131 8 лет назад +12

    mashallah Allah awalipe

  • @queenramadhan2293
    @queenramadhan2293 7 лет назад +15

    duuh naikumbuka hiyo tulipigwa mabom ya machozi balaa taqbiriiiii

  • @ramahdanndayishimiye4706
    @ramahdanndayishimiye4706 3 года назад

    Mugu akupe afia akupe phepu maisha Niah mungu atupe mwichomwema tu

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 3 года назад

    mi namuomba allah usife kabla ajanleta kama wewe inshallah..from mozambique nakupenda bule kw a ajili ya allah

  • @nattysuleimani3783
    @nattysuleimani3783 5 лет назад +4

    Mashallah kila la kher shekhe mazinge

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад

    Inshaallah Waislamu tuisome sana dini yetu tupate kuilewa na kumuabudu Allah kwa usahihi.

  • @haaigood
    @haaigood Год назад

    Mashallah mungu akuzidishie in shaalla

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 лет назад +11

    Takibiiiiiiiiiiiii

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 6 лет назад +7

    Allah atupe mwisho mwema

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 лет назад +5

    Swalala nabii

  • @ayanaamri3584
    @ayanaamri3584 5 лет назад +1

    Sheikh mazinge baraka lwahu fii, allah akulipe kila lilo jema walahi, unaongea maneno mazito tena kwa hisia kubwa kama kuna binadamu mwenye akili zake timamu haelewi maneno haya kwa kweli ni mtihani mzito allah atuhifadhi waja wake, hakuna kwa kukumbilia zaidi ya kwake allah, yailahi nakuomba wahifadhi mashekhe wetu hawa zidi kuwajaalia afya ya mwili na akili, yaani mpaka naishiwa na maneno zaidi ya kuhisi simanzi na majonzi mwilini dunia si kitu jamani tutende mema tuondoke duniani salama tuendako ni kuzito sana ya ummat muhammad s.a.w

  • @razansalim532
    @razansalim532 5 лет назад +3

    MashaAllah jadha ka Allah kheir shuq-ran

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 лет назад +5

    Allah wakbar

  • @kassimukuambiana3724
    @kassimukuambiana3724 5 лет назад +3

    subuhanna Allah uko bandundu ni hatar Allah wanusuru waijuwe haki

  • @zulekhasaidi8496
    @zulekhasaidi8496 5 лет назад +3

    Mungu akupe umri kakagu mazige

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 года назад +1

    Allah Akulind Ulip Nakupend Kwaajil Ya Allah

  • @supereagletv2881
    @supereagletv2881 3 года назад

    Mazinge Kila Siku Namsikiliza Kupata Maneno Ya Kujidai Na Uislamu Wangu dhidi ya maqafili

  • @abdiali224
    @abdiali224 5 лет назад +2

    Jamani nitawezaje kuisaidia daawa na kiongea na ustadh mazinge

  • @abuukhan2127
    @abuukhan2127 3 года назад

    Hatar sana shekhe wangu kazi nzur

  • @mwanaidihassan665
    @mwanaidihassan665 4 года назад

    Daaa mungu yupo na waislamu wote

  • @user-bi4um8cn2u
    @user-bi4um8cn2u 3 года назад

    Twakuombea. Kila Kheeri. Na. Akupe. Afya. Njema. Na. Akulinde. Na. Kila. La. Shari. Ww. Na. Ndugu. Zetu. Wanao Kwenda. Kusema. Neno. La. ALLAH. AMIN

  • @fatmabakari545
    @fatmabakari545 8 лет назад +4

    mashallah mola awazidishie

    • @abu_AZOZ
      @abu_AZOZ 7 лет назад

      nimekuelewa mazinge

  • @salmajuma4015
    @salmajuma4015 5 лет назад +3

    Mashaaalaaah

  • @mbarukrashid3338
    @mbarukrashid3338 6 лет назад +5

    Safi sana

  • @elizabethfares4650
    @elizabethfares4650 6 лет назад +4

    Subuana Allah

  • @nurudinamchome6852
    @nurudinamchome6852 5 лет назад +2

    Amani iwe kwetu, prof Mazinge,, mbona sielewi unavoweka vidole vyako?? .Allah akujalie kheri wewe na waislaam waumin.Aaamiin

  • @husseinmongolare1661
    @husseinmongolare1661 4 года назад +1

    Shukrani

  • @aminamukantabana8241
    @aminamukantabana8241 4 года назад +2

    Asalaama alikum w w! Chekh Mazinge naomba number yako plz!

    • @1nesoch
      @1nesoch 3 года назад

      +255 689 570278
      +255 713 279980
      +255 767 279980
      Hizo numbers nimezitowa kunanako RUclips.

  • @nzeyimanashukrani3425
    @nzeyimanashukrani3425 4 года назад +1

    Maanshaallah

  • @saidyhasshim2373
    @saidyhasshim2373 8 лет назад +3

    Mungu atakulipa

  • @mzeesalum4432
    @mzeesalum4432 5 лет назад +2

    MASHA'ALLAH

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz7211 4 года назад

    Mnafanya kazi nzito kabisa malipo nikwa Allah inshaallah

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад

    Allah akupe umri mrefu

  • @teflonloya228
    @teflonloya228 4 года назад +1

    Allah huakbar.

  • @naimasharif294
    @naimasharif294 8 лет назад +3

    amiin

  • @alikapashi6650
    @alikapashi6650 3 года назад

    Long life sheik

  • @mordally
    @mordally 8 лет назад +4

    Mashallah

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 7 лет назад +3

    mashaAllah

  • @hossenim.athumani7090
    @hossenim.athumani7090 9 лет назад +1

    Dawa safi kwanini huwezi kudowload

  • @nadimmebu4575
    @nadimmebu4575 7 лет назад +1

    nakupenda sana

  • @MrManchoso
    @MrManchoso 8 лет назад +1

    Asante kwa shekhe

  • @sabrinakhamis7731
    @sabrinakhamis7731 3 года назад

    Haya wakristo swali hhilo mbona mwaowa na yesu hakuowa???🤨🤔

  • @alicesamson6316
    @alicesamson6316 3 года назад

    Maisha marefu sheikh

  • @hassammohammed5046
    @hassammohammed5046 3 года назад

    Shekhe mazinge hupenda sauti yake

  • @sabrinakhamis7731
    @sabrinakhamis7731 3 года назад

    Mbona mkifa mwazikwa hampai mbinguni...😁🥵🥵yesu alipaa..kazi mnayo😳🤐

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад

    Allahu akbar

  • @mamaaaishamamaaaisha7505
    @mamaaaishamamaaaisha7505 7 лет назад +1

    Mashaallah

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 4 года назад

    Alhamndulillah, jamani naomba mwenye namba ya huyu Shekhe wetu kipenzi anisaidie

    • @1nesoch
      @1nesoch 3 года назад

      +255 689 570278
      +255 713 279980
      +255 767 279980
      Hizo numbers nimezitowa kunanako RUclips.

  • @suleymansele9291
    @suleymansele9291 3 года назад

    God sana

  • @hassansalum8496
    @hassansalum8496 7 лет назад

    mabela oyeeeeh ningejua kweli

  • @asilclub
    @asilclub 3 года назад

    MWANZA NA SUMBAWANGA NA WARABU KAMA MCHANGA

  • @aishahamissi3775
    @aishahamissi3775 3 года назад

    Natami usimalizi mawaiza

  • @fahadsaid1418
    @fahadsaid1418 3 года назад

    26

  • @asilclub
    @asilclub 3 года назад

    FFU FANYA FUJO UONE

  • @klcozgur5715
    @klcozgur5715 6 лет назад +1

    Shekh iyooo bayat ( nimekubali) nirushie nyingne kama unazote mwalimu wasap+905445405920

    • @abdulazizmwipi9750
      @abdulazizmwipi9750 3 года назад

      Kapita njia ya mustafa Ismail na Ahmad mustafa kamil

  • @beatricezacharia4313
    @beatricezacharia4313 5 лет назад

    Sikupendi mazinge kwa ajili ya kuwapotosha watu ukwel wewe unaujia ila kiburi tu chakutaka kuangamiza roho za watu