Watutukane,,watupige mawe,,watudharau na kutucheka ila kwa Yesu ndo hatuondoki ngo'!!!! Jesus is the way,true and life forever!!,,,,,thank you so much our pastors for the good job of preaching the gospel to the lost ones 🙏🙏🙏🙏
Ameelewa ndio maana aka comment sasa km ww hujaelewa in shaa Allah Mungu akuongoze.. hakika viongoz wetu wa dini wanafanya kazi nzur sanaa alhamdulillah Allah awalipe kheir pale aliporidhia amiyn
Brother Mazinge yangu kwako ni Du'a tu nakuombea na wote wahadhiri Allah awape nguvu,afya,awakinge nakila Bala Shari, NK..na awape Jan'ah Firdaus bighairi hisaab. #Nawapenda mno kwa ilmu na ukakamavu mlo nayo
Proud to be muslim...dini ya uislam unakuw free kuuliza na kujua sio mpaka mchungaji aseme,,maana wanaongeza porojo zao ambazo ndizo wakristo wanazifuata
Hizo ni porojo zako ndo munaamini yesu alikufa sababu ya madhambi yenu ebu wacha kumkejeli yesu kama ww ulifanya zina au ukaiba utajibu ww siku ya kiyama yesu hawezi ekewa madhambi ambayo sio yake😂😂
Wacha kukufuru wewe mucrito yote hayafahamiki hata kwa mtoto alozaliwa lewo atajuwa ni uwongo uko wazi unayo yasema ili usikose mkate wako baba subhanallah
Hi Mijadala Mizuli Sana Nazani Hata Ali Shababu Na Makundi Ya Kigaidi Wangetumia Njia Izi Wasingekua Wanamuuzi Mungu Kwa Kuuwa Watu Wezao Mtu Aingie Kwa Kukosa Cha Kusema Hi Mijadala Mizuli Sana Sana
Bado bado Sana kijana rudi Kenya mazinge wetu tuachie Allah mpe umri daidi aitete dini yako wakenya wamekushida utaweza mazinge wetu wee mazinge babalao Mashallah
Allah amzidishie Uhai na nguvu Ma sheikh wote wanao pambana
Pro. Mazinge Allah akuzidishie maisha marefu ili uzidi kutupea elimu inshaAllah
Professor mazinge Allah atakuhifadhi na atakulipa ajra Yako,from🇰🇪
Professor pastor ndacha sio mazinge bado mko chini kbsa
Hongera shekhe mazinge kiukweli mungu akulipe pepo inshaallah wakristo wanajaribu kupambana lakini hawakuwezi kuhoja
Rwandan na Burundi tunakupende sana sana P mazing Mungu akubarikiye
Mashaallah Prf Mazinge Mungu akubarik akuzitishie uzima na Afya uzidi kuelimisha watu wote
Mungu akupe maisha marefu shekhe mazinge
Allah akubariki na ww
Professor Mazinge, you are leaving us wordless, you are making us prove that Islam is a true religion,be blessed Mazinge
Allah akuhifafhi SHEIKH MAZING, from USA
Mazingeeeeeeee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Yaallah tujalie mazinge jannatul furdaus 🤲🤲🤲🤲🥺
Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲 🤲
😂😂😂😂 naskia tu kucheka ju y nyinyi
amiin
@@AAA-zu1vypppp
Aamiin Yaa Raaab 🤲🏻❤️
Allah akubariki sheikh
Mungu akubariki sana Ndacha KAZI nzuri yenye utajiri wa Mungu na team yote
Hongereni mashekh wetu kwa kazi mzuri
Nina neno kwenye utupiaji video hizi mungetuma video ilio kamili hii ya vipande inasumbua
Watutukane,,watupige mawe,,watudharau na kutucheka ila kwa Yesu ndo hatuondoki ngo'!!!! Jesus is the way,true and life forever!!,,,,,thank you so much our pastors for the good job of preaching the gospel to the lost ones 🙏🙏🙏🙏
lost soul ....may God guide you
Jesus Christ name above other names😇 👍🙏
Hujalazimishwa ww ulishapotea ukiwa tumboni
Na Moto nao unahitaji watu usitoke baki huko huko
We respect your opinion
Sheikh mazinge Allah akupe maisha marefu ili uzidi kutufunza dini ya Allah Insha'Allah 🤲🙏
Alllaah awape kila lakher kwa elimu wanayotoa ya kuwaelimisha wakristo na kufru yao ya mungu ana mtoto
Aamiin
Shekh Mashallah Allah akuweke akupe Afya na umri Shekh Mazinge.
Hatuna la kukulipa sheikh wetu mazinge nawenzake Allah ndiye atawalipeni inshaallah
Hongera ndacha
Mwalimu Mazinge, le professeur ✊✊ nimekunja ngumi
Ndacha kashindwa nyumbani kenya eti kavuka kwenda TZ, huko napo wembe ni ule ule. Shukran Bw Mazinge.
Yap cku hz amegundua tz🤣🤣🤣
Nani kamvukisha kma sio huyo mazinge wenu na ubishi mwingi na kumbe quran yenyewe hajui na hoja zake duni na bored!!!🙄😏
Kazi.mzur.mashekhe.Allah. awalinde
Hivi huwa unaangalia na kusikiliza kwa makini mambo haya au upokishabiki?.
@@taifaletutanzanialisingeku8123 Hata nashngaa sana naona wanakomenti kwa ushabiki tu.
Ameelewa ndio maana aka comment sasa km ww hujaelewa in shaa Allah Mungu akuongoze.. hakika viongoz wetu wa dini wanafanya kazi nzur sanaa alhamdulillah Allah awalipe kheir pale aliporidhia amiyn
mazingeee is a genius Allah akupe umri mrefu ameen
Kongole sana mwalimu Ndacha. Kongole sana Ustadhi
Mazinge wewe sio mwalimu, Bali wewe unaonyesha njiaaa ya kwenda peponi mashallah ❤❤❤❤ mazinge
Ndacha fundisha Hawa watu waijue kweli Na mungu awasaidie
Mashaallah. Mwenyezimungu mmoja akuzidishie elimu Sheikh Mazinge.
Takbir Allahu Akbar, Maa Shaa Allah, Shukran Sana Ma Sheikh, Allah Awabariki. Muzidi Kutuelemisha.
Ndacha anajua sana kujieleza mpaka unaelewa safi sana Mtumishi Ndacha
Wafundishe sheikh Mazinge watakuelewa 2 inshaallah na watasalimu inshaallah
Subbhana manta waahada bil mulki...Ametakasika mola wa viumbe vyote..inshallah allah awalipe nyote mnaoenda fiisabihillah 💪🕌📿
Maanshaallah tabarakallah Mazinge.
Hakika mungu awadhidishie kher nyingi kwakazi nzur yakuitangaza dini
Allah atujalie mwisho mwema
Wachungaji ukweli wanaujua hawausemi subhanallah
Wa naogopa ili wa silipwe sunajua wa past mwisho wa mwenz wa na pewa mushahara
Ndacha yupo vizuri sana safi sana
Mwenyezi mungu ajalie mazinge jannatul firdaus
Dr Mazinge Allahu Akbar Allahu akbar Allahu akbar 💪💪💪💪💪
Takbir zitakuchoma Sana,
Mashallah shekh mazinge
Masha Allah shekh mazinge napenda sana unavopambania dini yako Allah akupe pepo ya firdows.
Kazi nzuri mashekhe Allah.awalinde
Aaamiin
Ndacha huna hoja jibu ulichouliza.Qora'n ni Bahari huwezi kuichambua.
Ndacha Mchungaji uko sahihi hakika Yesu kristo ndiye Mungu na hakika Waislamu hamuwezi kujipanga na kristo Yesu.
YAA ALLAH,MUEZESHE SHK.MAZINGE AWASILIMISHE MAKAFIRI HAO.
mazinge hanalolote. vitabuvyakuluanivinginevikowapi. .nikuluanitu
Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲
Kweli kabisaa mazinge Allah akulipe
Mashaallah mazinge wafunze
Mashallah Sheikh Mazinge Mungu akujalie leo na kesho uwaelimishe walioghafilika
Mazinge daaaaa hatari
Mashaallah prof mazing-- jazaka llah khayra
Mchungaji watezea wembe......... Mazinge moto wa kuotea mbali Sanaaaaaa........ Sana
Congratulations Dacha for standing with the truth about Jesus Christ 🙏
Mashallah shekh wewe kiboko wa Ndacha nimekubali kweli wamueza juu yeye apenda kuweka viraka Sana natoka KENYA
Mashaallah
Petro nenda nyuma yangu, shetani wewe 😂😂😂 mashallah Allah akuwekee sheikhe
Kongole mwalimu ndacha ❤❤❤ wambie wasikie😢
Ndacha humjui Mazinge kiboko wa makafiri
Mm mkenya huyo ndacha naona mkikuyuu maana Kiswahili yke haieleweki
Aty nani kiboko ya ndacha,?!!!! Na venye anawapiga nyundo za vichwa hadi mizinge yenyewe inachanganyikiwa kma sokwe mtu mzee mmmmh!!!😂😂😂😂
Ata mujua tuuu😂
Ww ujui nn unasema ndacha moto wakuotea mbli tulia bdo tunasonga uyu mazinge akna ktu anajua
@@najmaawadh1359ww unaelewa nn unaskia wpi akisoma kma mkikuyu wacha story z jaba kma ww unjua verse gani kma ujui enda ukalale
Daaaa ndacha yuko vzuri sana
Brother Mazinge yangu kwako ni Du'a tu nakuombea na wote wahadhiri Allah awape nguvu,afya,awakinge nakila Bala Shari, NK..na awape Jan'ah Firdaus bighairi hisaab.
#Nawapenda mno kwa ilmu na ukakamavu mlo nayo
Wallah Raha xna..Allah hwaifadh mashekh wetu jannat iwe makaaz yenu.Amin
Allah nakuomba mazinge umzdishie maisha marefu azd kutupa raa!
Allahuma barik
ALLAH akuongezee siku ya kuishi ndo ueneze ukweli
Proud to be muslim...dini ya uislam unakuw free kuuliza na kujua sio mpaka mchungaji aseme,,maana wanaongeza porojo zao ambazo ndizo wakristo wanazifuata
Mazinge ni 🔥🔥🔥🔥🔥
YESU NI NJIA YA KWELI NA UZIMA
Hizo ni porojo zako ndo munaamini yesu alikufa sababu ya madhambi yenu ebu wacha kumkejeli yesu kama ww ulifanya zina au ukaiba utajibu ww siku ya kiyama yesu hawezi ekewa madhambi ambayo sio yake😂😂
Lailah hailahlah
Title mnaiweka nzuli lkn ujumbe waislumu hawana
Allow me to introduce chrislum
Mchungaji ndacha ubarikiwe sana mtumishi
Amin
Yesu ni Bwana... Mukatae mkubali shauri yenyu
Hata mkimbinga pole nyinyi
Wacha kukufuru wewe mucrito yote hayafahamiki hata kwa mtoto alozaliwa lewo atajuwa ni uwongo uko wazi unayo yasema ili usikose mkate wako baba subhanallah
Mazinge unapotosha watu wa mungu
Mathayo 26:62-63
Luka 9:27 maandiko yote yesu anapinga kuwa si mwana wa mungu
Masha allah
ALLAH azd kutuongoza na mafunzo mema 🙏🤲
Allahu akbar
Inshaallah
Kinyogoli anamwogopa ndacha ndacha is Geneous
Mmhhh hakun sik hata moj mwislam agop mukristo
Mazinge ata ajielewi mungu ni spirit na sisi ni wanadamu mazinge ana lolote ni uwongo mtupu
Hapo tunaona mipasho,na mafundisho.❤️❤️❤️ Jesus.
Kazi safi Ndacha
Allah akuongoe
Muogopeni.Allah wacheni.kupotosha wasiojielewa
Hiyo pasta mungu akulahani .....penda usipend Islam is truth religion
Kiufupi hakuna mkristo anajua Yesu ni nani Mara mungu, mwana wa mungu mara mungu
Allahawalipekilalkherimashekhezangu
Mazinge unastaili kuitwa profesa gd
Naam
Umeonaeeee gd
Kuna pepo ndani ya mazinge
Shekhe mazinge mwenyezi mungu akurinde
Aamiin
Mungu Hana mtoto wewe kichwa maji Kama yesu Ni mt9to wa mungu kwanini baba amuuw3 mtoto wake?
Marko 1:11
Na sauti ikatoka mbunguni, wewe ndiwe mwanangu, mpendwa wangu, nimependezwa nawe.
Yesu ni mwana was Mungu aliye hai.
Too
Toa andiko
Yesu ndio njia sahihi 🙏
Hakika Yesu ndo njia ya uzima . Mm nilimkemea mtu kwa jina la Yesu kakaa siku mbili aendi shule .
Waislam mkitaja jina la Yesu awapendi . Hata sijui kwann
Kwa makafir
Ya kuelekea buza au morogoro 🤣🤣🤣
Ya kwenda Kwa mpalange
Huyu hamjui mazinge
Hi Mijadala Mizuli Sana Nazani Hata Ali Shababu Na Makundi Ya Kigaidi Wangetumia Njia Izi Wasingekua Wanamuuzi Mungu Kwa Kuuwa Watu Wezao Mtu Aingie Kwa Kukosa Cha Kusema Hi Mijadala Mizuli Sana Sana
Laanatullahi kwa huyo mkristo Allah akulani
😀😀😀 Mazinge bana
Unapaswa kuokoka kwa jina la jesu usitafute kuipotosha haki ya mungu
Kwa hivyo yesu ni mwana wa mungu sio mungu mwalimu ndacha hujielewi
Bado bado Sana kijana rudi Kenya mazinge wetu tuachie Allah mpe umri daidi aitete dini yako wakenya wamekushida utaweza mazinge wetu wee mazinge babalao Mashallah
Nawewe nimiongoni mwa watu wasiojua kusoma yaani wale walio danganywa na majini na wanafiki kuwa muhamadi ni mtume?.
Mashallah 😘❤️🙏
Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲
😢 cjui kwann wakristo wanakaza vichwa mimi nishawakimbia mda😂
Allah akbar
Kip up Ndacha