Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

WACHUNGAJI WAPAGAWA WALIVYOONYESWA YESU ALIVYOSUJUDU NDANI YA BIBLIA YA KINGEREZA . MAZINGE. KENYA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 авг 2021

Комментарии • 384

  • @musakutisha306
    @musakutisha306 3 года назад +11

    Yahaya Allah akupe Jannah 😢😢🙏

  • @yussufbagobago6707
    @yussufbagobago6707 11 месяцев назад +2

    Mwenyezimungu akupe maisha marefu she wetu H O Mazinge na walotangulia mbele ya haki M/mungu awape Nuru kwenye makaburi Yao Amiii

  • @PirfaImanipirfa
    @PirfaImanipirfa 4 месяца назад +2

    Eeh !!! Mwnyz mungu mjalie mjaa wako mwisho mwema na umuingize peponi na si mwengine ila habib mazinge, ameufanya uislamu upendeze zaidi, na si mamlaka yake bali kwa nehema yako ww Allah 🤲🤲😭☝️🕋

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 3 года назад +12

    Uislaam dini ya haki subhanallah allahu akbar

  • @fadhanamunishi6220
    @fadhanamunishi6220 3 года назад +14

    Mashaallah Allah amrehemuShekh Yahya

  • @ismilecheseremkip361
    @ismilecheseremkip361 Год назад +6

    Mazinge you're the best may you live longer ALLAH TO BLESS YOU

    • @user-rs9ws1om8b
      @user-rs9ws1om8b 10 месяцев назад

      Angekuwa best angemfikia pesa Mwampisa

  • @HashilElhamdan
    @HashilElhamdan 2 года назад +11

    Allah amrahamu Yahaya na atukutanishe nae pepo ya Firdaous Insha Allah....

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 3 года назад +8

    MashaaAllah sheikh mazinge Allah akusimamie naakupe umri mrefu

    • @aishadaba7045
      @aishadaba7045 3 года назад

      Aaaamin kwa soote jamian muslimin 🤲

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 2 года назад +8

    Mashallah sheikh mazinge mungu akupe afya na umri mrefu

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 2 года назад +3

    Mashaallah jazzakum kheri mashekhe wetu najivunia sana kuhusu nyie

  • @mbarackkalinge333
    @mbarackkalinge333 2 года назад +4

    Allah nakuonba umuhifazi shekhe wetu yahya

  • @saidkinyogoli6611
    @saidkinyogoli6611 3 года назад +57

    Said Ricco, Yahya Hosea, Mbwana Mohamed, Muhingo Allah awarehemu awasamehe makosa yenu Amin

  • @pambatec
    @pambatec Год назад

    Allah awahifadhi nyote mnaofanya juhudi za kuitangaza dini ya uislamu

  • @saidbrek9817
    @saidbrek9817 2 года назад +3

    Allah awasamehe awarehemu awape pepo Ameen

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 3 года назад +9

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers

  • @rayhanrashid3928
    @rayhanrashid3928 3 года назад +6

    Maashaa Allah Tabarakallah

  • @sabrakhamis4585
    @sabrakhamis4585 2 года назад +6

    Allah ibarik fiikum..Amin ya rabii

  • @faizajingu5933
    @faizajingu5933 2 года назад +2

    MashaAllah wape dawa shehe mazinge Allah akuzidshie mema inshallah 🙏🙏🙏

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад +12

    Yahaya pumzika kwa Amani Allah akujalie janna

  • @bilalheri9055
    @bilalheri9055 2 года назад +2

    Ameen thumaa ameen yaraabil alaamin Mungu Ampee jannah shekh yahya kumbe alishatangulia mbele za hakii na waislamu wote waliotangulia mbele za hakii Mungu awalaze mahali pema peponi

  • @saidaali3818
    @saidaali3818 3 года назад +10

    Mashallah Islam ni dini ya haki

  • @shabanathuman6848
    @shabanathuman6848 2 года назад +5

    Allah awarehemu

  • @tamashamagoma2941
    @tamashamagoma2941 3 года назад +8

    Allah akulipeni kwa juhudi mzifanyazo. Tuko pamoja inshaAllah

  • @dottokulwa7075
    @dottokulwa7075 Год назад +4

    Ukweli hakuna niliekua nampenda kama yahya allah ampe pepo namkumbuka sana naninamuombea mazige allah aendelee kumuweka hai nakumpa afya njema yeye na familia yake

  • @munzshabby4521
    @munzshabby4521 3 года назад +2

    Good work masheikh wangu mola awabariki k

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j Год назад

    Allah azidi kuapa afya ma professional

  • @Jabaman207-ue6sk
    @Jabaman207-ue6sk 3 месяца назад

    Mazingeeeeee

  • @fathimabh1487
    @fathimabh1487 2 года назад +2

    Mashaa Allah mwennyezi mungu amrehemu alifanye kabri lke liwenanuru inshaa Allah 😭

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 2 года назад +3

    Hakika mashekhe zetu Allah awatunze awape mwisho mwema

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j Год назад

    Mansha Allah

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 года назад +9

    Mashaallah masheikh wetu mungu awajalie na afya njema nguvu nyingi ili mzidi kutangaza dini ya haki

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 года назад +4

    Mungu awaifadhi pema peponi inshaallah Amiin

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 года назад

    Yahaya, Said Ricco (Mungu awafutie madhambi yenu), mliipigania dini ya Allah Kwa nguvu kubwa!! Makaburi yenu yawe ni mabustani katika mabustani ya peponi!! Amen!!

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 3 года назад +2

    Masha allahy Mashekh wetu mungu Awaongoze katikamafundisho Munaowafundisha Awawenzetu ameen . Ken Juma Ameelewa lakn Anaogopa kusemaukweli Mbelezawatu . Uwezisema Yesu ni mungu Wataki yeye ni mwanadamu kama wengine . Kaulizwa Kama yesu Ni mungu Je Alipokua Tumbona Mwa mariam Je mungu wake Mariam Nae Alikua nani Akaogopea kujibu lakn wameelewatu

  • @naamanomarimohamed9364
    @naamanomarimohamed9364 2 года назад +1

    Amin Thuma Amin

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l 3 года назад +8

    Wakristo wana hila sana,toleo la zamani Luka 4:8 limeandikwa "msujudie bwana Mungu wako...."
    Toleo jipya wamerekebisha wamelitoa neno "msujudie" wameandika "utamtumikia bwana Mungu wako...."
    Wamefanya hivi kwa sababu neno kusujudu linatupa nguvu Waislamu kuwa sisi tunasujudu,hao hawasujudu.

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 3 года назад

      Rashid dini isio yako unaizungumziaje?
      Hujui msingi wake wala maana yake,unchojua ni dini ya haki,hta haki yenyewe huitambui,akili yako imeenda wapi?

    • @user-my9hc6uf9l
      @user-my9hc6uf9l 3 года назад +1

      @@isaacsengunda3099Nikuulize wewe akili yako imeenda wapi mpaka unafuata dini ambayo kila kukicha kitabu chake kinatiwa mikono??
      Nilidhani utaamka.kumbe ndio kwanza unavuta shuka!

    • @isaacsengunda3099
      @isaacsengunda3099 3 года назад

      @@user-my9hc6uf9l kitabu gani kinatiwa mikono,,
      Wewe ymeshikilia lugha tu,na hata kusoma hujui,umebaki kusubiri usomewe na waarabu,wakudanganye ukajitoe muhanga,ujinga huo,mara IS,BOKO HARAMU,JANJAWID,TALEBAN,nk,,nk,,huo ni ujinga na ushenzi

    • @saramss7262
      @saramss7262 2 года назад

      Rashid liangaliye vizurii Tena

    • @saramss7262
      @saramss7262 2 года назад

      @@isaacsengunda3099 hawaa waabudu majini hata muongee Nini hio CIO DINI HATA MSEMEJEEEEE YESU NI BWANA NA MWOKOZI WETU

  • @mikatejunior1362
    @mikatejunior1362 Год назад +1

    Pumzika kwa amani shekhe yahaya

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 3 года назад +13

    I miss Yahya alot, Allah amrehemu

  • @AliMohamed-ny2op
    @AliMohamed-ny2op 3 года назад +3

    Allah akujazie hasanaat nyingi shekhe letu

  • @user-ul2mi3je7c
    @user-ul2mi3je7c Год назад

    Shehe sulaiman nkata

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 2 года назад +1

    Mashallhaaa allha awalehemu

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 года назад +1

    maashaALLAHu wahadhiri we2 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mudichezo8127
    @mudichezo8127 2 года назад +2

    Mungu awarehemu wote walitangulia

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 3 года назад +4

    kazi nzuri jamani rudisheni mihadhara raha kweli

  • @avalonking1655
    @avalonking1655 2 года назад

    Mazinge uko juu baba💪💪💪

  • @user-mu2ej3kq8r
    @user-mu2ej3kq8r 2 месяца назад

    Allahuakbar

  • @user-xh7wy2mi2j
    @user-xh7wy2mi2j Год назад

    Mazinge nakupenda bure wew umeufanya w'islam upendeze zaidi

  • @bilalheri9055
    @bilalheri9055 2 года назад

    Mungu amjallie shekh Mazingee umri na afya njema

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад +7

    Wachungaji wamefeli kabisaaaa

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 2 года назад

    Maa sha allah.zamani sana callif Nairobi

  • @Junior-rl2hj
    @Junior-rl2hj 3 года назад +5

    Mazinge oyeeeee

  • @user-ou5pp9yw4k
    @user-ou5pp9yw4k 6 месяцев назад

    Mashaallah

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Mkristu kamili habishani Kwa sababu akishaamini kuwa Yesu ni Mungu mengine hayana nafasi.Hao sio wakristu

  • @mabaazizitigermnyama5254
    @mabaazizitigermnyama5254 3 года назад +3

    Mashallah 🙏🙏🙏🙏

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 года назад +3

    This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv4825 3 года назад +4

    Masha Allah

  • @shaikhgul5492
    @shaikhgul5492 Год назад +1

    Mashallah

  • @moviekaa
    @moviekaa Год назад

    Mazinge kamvuruga pastor 😂😂😂 safi sana 👏👏👏

  • @apangomombasa9230
    @apangomombasa9230 3 года назад +2

    MA SHA ALLAH

  • @jesmirmohamed3467
    @jesmirmohamed3467 2 года назад

    yahaya Allah akupe jannah inshaallah kutoka kenya

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад +1

    Saimu Gwao Umafaa sana kusasupportiwa

  • @PirfaImanipirfa
    @PirfaImanipirfa 4 месяца назад +1

    Allah awajalie ma sheikh wangu imani petro, Yahya na wengine wote upesi ktk makaburi yao😭😭😭😭🤲🕋☝️

  • @ashaomary5558
    @ashaomary5558 11 месяцев назад

    Inalillah wainailah rajiun

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 года назад +7

    Nilikuwa nikisikia Shee Mazinge akiwataja sn km Yahya, Ricco na wengineo na leo ndio nawaona ktk muadhara wa kitambo ktk RUclips

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 2 года назад +2

    Maa Shaa Allah, Shukran Ma Sheikh.

  • @user-fw1qo8ve9k
    @user-fw1qo8ve9k 10 месяцев назад

    Ustdhi majini

  • @livingstoneberege3348
    @livingstoneberege3348 2 года назад +2

    ALLAH SIYE MUNGU

    • @omarymsagati2588
      @omarymsagati2588 2 года назад

      toa andiko

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 года назад +2

      POLE Sana, Tatizo MUNGU wako ni Binaadamu na ALLAH siye Binaadamu wala KIUMBE chochote na HAZAI wala HAZALIWI wala hana Mama wala bibi wala Babu.

    • @livingstoneberege3348
      @livingstoneberege3348 2 года назад

      NINAMJUWA MUNGU KULIKO NINYI WAISLAMU NIPENI ANDIKO NDANI YA BIBLIA KUWA ALAH mungu WA AISLAMU NI MUNGA KUHUSU KUSEMA MUNGU WETU NI BINADAMU NI KWA SABABU YA UPOFU WENU KWAKUWA MAANDIKO HAMYAJUWI MNAJIFUNZA BIBLIA KWA SABABU YA KUPINGA WALA HATAKI KUELEWA (YESU NI MUNGU ) MWANADAMU NIYE MFANO WA MUNGU WALA SIYO MUNGU NI MFANO WA MWANADAMU mwanzo 1;28-28. waebrania 1:1 -3 wafilipi 2;6-9 yohana 14:7-10. 1timotheo 3; 16 luka 24;25-28. yohana 17;4-5 Ezekiel 34:11. malaki 3;1-2

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 года назад

      @@livingstoneberege3348 USIKU mwema.

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 года назад

      @@livingstoneberege3348 🤣🤣🤣IMANI Ni HATARI SANA.

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Yesu ni Mtu na ni Mungu pia.
    * Mkristo kamili KAZI yake sio kubishana kwani anajua hata eweje Yesu ni Mungu*

  • @kameliaalbusaidy5459
    @kameliaalbusaidy5459 2 года назад +2

    MashaALLAH ma shekhe wetu. ALLAH Awazidishie hiyo ilm na kuwafundisha wenzetu the right path. Naomba kama itawezekana hizi video clips zikamilishwe. Zinamalizika kabla hamjamaliza kuongea hii mada. Inatuacha kutaka kujua nini matokeo yake ya mwisho

  • @harethojelle6485
    @harethojelle6485 2 года назад

    Manshaallah Mahabibu wetu we are proud of all of u

  • @issandayishimiye6247
    @issandayishimiye6247 2 года назад

    L islam est ma religion

  • @abdidude4167
    @abdidude4167 Год назад

  • @user-sh9mn1ir5q
    @user-sh9mn1ir5q 7 месяцев назад

    Sii kila mchungaji au askofu, aliye na uwezo wa kuwajibu hawa waislamu

  • @hajirinibakari25
    @hajirinibakari25 3 года назад +3

    Sheikh mazinge kunajamaa anachafua hali ya hewa kwenye tv ya davista mata anapotosha. Juu ya uislamu anadai alsha kua sheikh sasa maneno anayo yaongea anapotosha kweli kweli

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 года назад +1

    Mungu awalipe kheir na hawasameedhabi zao waliotangulia mbele ya Aki , ayabadilishe mabaya yao kuwa mema

  • @ahmadseif7241
    @ahmadseif7241 2 года назад

    poleni sana wakristo

  • @ntandumathayo3257
    @ntandumathayo3257 3 года назад +2

    Kwahio waislamu mmeamua kumuhubiri yesu

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 3 года назад

      Wanamhubiri kwa jinsi yoyote na hawapokei nguvu

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 2 года назад

      wameamua kumuhubiri yesu kukwakua wakristo hamna zaidi ya kuimba kwaya na miujiza ya uongo

  • @marrymwacha9262
    @marrymwacha9262 2 года назад

    Allah hawarehem

  • @salehaltooq5829
    @salehaltooq5829 2 года назад

    Allahumma ameen

  • @abangaabanga4677
    @abangaabanga4677 Месяц назад

    Hapa angekuwepo Christian Prince pangekuwa bomba sana

  • @masamasa2387
    @masamasa2387 3 года назад +1

    Allahu Akbar

  • @adamjumaaa1521
    @adamjumaaa1521 2 года назад

    Safi sana

  • @ismailmustafa2649
    @ismailmustafa2649 2 года назад

    Assalam alaikum ? BAraka LLahu fiikum
    Salamui zetu toka hapa Hoima Uganda nikikumbuka wakati mulipo tutembeleya miaka ya 1990s

  • @alsamali6964
    @alsamali6964 2 года назад

    Mwaka gani hii

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Год назад

    Nyakati 2-7-3.

  • @amurimzungu-tn4jf
    @amurimzungu-tn4jf Год назад

    Wakenya mola akuongozeni yaani kumezidi dini za maajabu kupita kiasi na wanawasikiliza sana hao maskofu wao wapotevu mpaka wanawaulisha ibadah z maajabu wamewaambiwa wafunge hadi kufa yaani walioingia matatizoni wengi watu maskini wa vijijini huko yaani kenya inamtihani mkubwa sana Bila ya uislamu kenya wataangamia kila siku

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Год назад

    Mathayo 21-12

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 2 года назад

    Mwambiye nibaahati kupata ata iyo yesu kasujudu katawaza kasali musikitini wakijuwa wazungu wake ma papa nawangereza watafuta kwamana wamefuta mengi tu ya Mungu na manabi niwoooote waislilam isipokuwa awo walofanya mupanho wa bibiliya kwa hiyo nibahati kupata neno layesu kufanana na waisilam ao musa Allah atupe pepo waisilamu inshaallah

  • @kamaumwenjerwa7032
    @kamaumwenjerwa7032 2 года назад

    AFADHALI NIABUDU MBWA KULIKO KUABUDU ALLAH NA KUMFUTA MUHAMMAD

    • @hassansaleh9730
      @hassansaleh9730 2 года назад

      Allah akusamehe kwa hayo maneno mazito, Allah akupe uongofu wakutambua njia ya haki🙏

    • @kamaumwenjerwa7032
      @kamaumwenjerwa7032 2 года назад

      @@hassansaleh9730 Muongofu ni Mohammed na ALLAH. MALAYA WAKUBWA ALLAH NA MUHAMMAD

    • @hassansaleh9730
      @hassansaleh9730 2 года назад

      Hata kama humkubali Allah na mtume wetu basi si adabu mtu wa dini moja kitukana mitume na mungu wa dini nyengine, na vip unaemtukana akawa ndo mungu wa kweli na haki?? Unahis utakuw umetenda haki kwa hilo?

    • @kamaumwenjerwa7032
      @kamaumwenjerwa7032 2 года назад

      @@hassansaleh9730 KWETU WAKRISTO HATUTAMBUI MUHAMMAD.
      MUHAMMAD SI MTUME WAMUNGU
      NAHESHIMU MITUME WOTE WAMUNGU.
      LAKINI ALLAH NA MUHAMMAD KUMAMAZAO WAKWENDE WAFIRANE WAWILI

  • @pelesilazaro4312
    @pelesilazaro4312 3 года назад +2

    Mungu awasaidie Sana mungu alituleta duniani kuihubil injili kwa Kila kiumbe lakini nyie mpo kwa kubishana mna fikili ubushi utawapeleka wapi

    • @mohamedsalim7271
      @mohamedsalim7271 2 года назад

      Hakuna kubishana ni kuelimishana kaka....,ila inatengemea na uelewa wako,....au sio,peace one love brother....,achana nao wawekane sawa...

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 3 года назад +2

    Kuna zama zilipita ukimwona Mazinge unatulia tuli.....alikuwa amewiva kineno

  • @modbones83
    @modbones83 3 года назад +1

    Yesu ndiye njia ukweli na uzima.

    • @shamtaus6721
      @shamtaus6721 3 года назад +1

      Hakuja kuvunja torati ni njia na ukweli ule ule wa Mussa, Ibrahim u ,Adam na wengine 22.

    • @modbones83
      @modbones83 3 года назад

      @@shamtaus6721 Hamna njia mbili za kufika binguni ila moja. Na Sio Imani zote zilizo sawa ila moja tu. Ndini zote duniani nipotovu ila moja pekee. Na waikataao hufahamu ukweli wakiwa wamechelewa na kuingiamotoni. The God of Abraham Isaac and Jacob is the true God. He says that He is our Father, a father to the fatherless, a husband to the widow and a perfect expression of TRUE LOVE. He gives everyone a will to choose whether to believe in Him or not to. He forces no one to believe in Him but mwisho wa maamuzi yako Kuna malipo. Hebu kila mmoja ajidhibitishie yakwamba hajahatarisha nafsi yake milele. Usiifuate ndini kwa sababu ya mama Wala baba Wala sheikh Wala mchungaji Kisha uupoteze uhai wako jehanamu. Fanya utafiti wako mwenyewe. To my Muslim brothers, answer me this question, Do you worship the God of Abraham Isaac and Jacob? Yes Or No?

    • @analyticalguru5851
      @analyticalguru5851 2 года назад +1

      Uzima ni wa Allah mungu sio yesu nabii mungu yupi anakula ww amka

  • @mwesi527
    @mwesi527 Год назад

    Alianguka akubon,goa

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 2 года назад +2

    Mwonekeno huu si wa sasa wa al alamaa mazinge,akhi imekuwaje kidevu kimekuwa kama barbu? Allah akupe nguvu ya kubaki ktk haki,kazi mliyo ifanya nikubwa sana

  • @msellemkassim2515
    @msellemkassim2515 Год назад

    Mwanzo 11-6 bwana asema lugha yao ni mmoja

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 года назад +5

    Kama kuna ma pastor wengne waje maana hawa kidogo sana😂😂😂🤣

  • @marrymwacha9262
    @marrymwacha9262 2 года назад

    Mwalimu kinyogori niombe

  • @allymshammaandiko5364
    @allymshammaandiko5364 2 года назад

    2021

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v 9 месяцев назад

    Yesu hajafundisha kwamba ukisujudu ndo utauona ufalme wa mbinguni
    Acheni kuchanganya mambo
    Mu biblia haina za kuomba ziko nyingi
    Points mbili za Yesu Kristo ni hizi::
    1 Acheni dhambi ufalme wa Mungu unakaribia tubuni mkaokoke
    Yohana 3
    3 Yesu akajibu, akamwambia, amin,amin, nakuambia mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu .
    6 Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili, na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.
    Amen !!!
    swali imezaliwa kwa mara ya pili

  • @sharrifidris3422
    @sharrifidris3422 3 года назад +2

    Hahahaha... said rico ameuliza swali nzuri "kwani unataka kumnunua mtoto"?